Mapacha tuko wapi tuwape maua mapacha wenzetu,kuzaliwa pacha jamani raha ❤❤❤
@fauziasultanikilewa76023 ай бұрын
Quna qaraha yaqe pia unaweza qupewa qesi ya mwenzio pia
@DeodataSimbewa-zp6ec3 ай бұрын
kuwa mapacha raha kweli❤❤❤❤
@FatmaMohammed-ry8yo3 ай бұрын
Mashaallah mtangazaji huo uvaaji wastara kwa mda wote nakupa asilmia zako Mashaallah uwe unavaa hivyo hivyo nakupenda kwaajili ya Allah
@HusseinAlly-rk1ol3 ай бұрын
Dada umependeza Kwa shungi uliova jitaid kuva Ivo Ivo hongera Sana dada
@JoanMponda3 ай бұрын
Kwani anavaagaje 😢😢
@jokhasalim96703 ай бұрын
Ni kweli kbsa yn Allah amjaalie aendelee hivohivo kujistiri Nami pia nampenda kw ajili ya Allah❤
@evelinemose99592 ай бұрын
Wamenifurahisha Sana vile wanajibu na kuongea apo wako na utatanishi wa maongezi, kisura waah naomba Anibariki na mapacha ka hao. Amen
@SrKaran-j4h3 ай бұрын
Aisee nimemmiss pacha wangu😢yaani sku yaharusi yake tulipambwa wote mume akaambiwa apite achague mkewe😂maskini alihangaika sana maana tunafanana sana
@FatmaSaid-zg1vy3 ай бұрын
Vijana wazuri MashamaAllah nawausia muwe wenye kumcha Mungu pia ili mumshukuru kwa kuwapa neema hizo
@عاملهمنزليه-ي8ض3 ай бұрын
Mapacha me naiomba san hiyo nje nipate siku moja inshallah ❤❤❤
@OmanOman-dd5qk3 ай бұрын
Duu poleni wanangu ninao hao uwaone hivyohivyo mmoja anakua machachali sana kulia kwako ndio matatali
@Aisha-o4v3 ай бұрын
Alhadllah nimewapenda hawakaka palewalipo sema wana hofu ya muugu Nawaombea kwa Allah azidi kuwa hifadhi mm pia nina pacha wangu ilatuja fan ana kihivo niseme shukran ❤
@CharlesMs25Daghaly2 ай бұрын
Oh kumb Mungu awape ujacri wa zaid lkn hta kma upaswaj kuna mmo1 alichukuliwa kabla ya mngin achen kutupig na kitu kizito vijana kufanana ndio lkn sio ivo kwakufanana point za mitihan sawa lkn sio kimawasiliano apana sio kwel
@aminamohamed99553 ай бұрын
Tupo jamani mapacha sisi wanawake watupu na tumefanana hatr mmoja akikopa anadaiwa mwingine Hahaha 🎉
@RahimaMct-ik8mr3 ай бұрын
😂😂😂
@Naw893 ай бұрын
😂😂😂😂
@HarunaFursana2 ай бұрын
Dadaaa sioo ote kweli kabisaaa kunapacha apa watafute nikupe noo yao. Dada. Uliza apo dar. Na dadaangu pacha ndugu zangu pacha watoto pacha
@HappinesPaulАй бұрын
Mko vizur Sana mapacha wa kufanana mung ashukuriwe
@KuluthumuMsuwakollo3 ай бұрын
😂😂ila wako tofaut kdg feythal ana uso mwembamba kdg faudh uso wake mpana kdg 😂nawapenda mungu awalinde
@fauziasultanikilewa76023 ай бұрын
Unadhani wafananaga qwa qila qitu bc lzm qunaquwa na tofauti
@KuluthumuMsuwakollo3 ай бұрын
@@fauziasultanikilewa7602 ni kwel kabisa
@mariapeter97112 ай бұрын
Mmoja ana mwanya mwingine hana
@paulinaobiria96492 ай бұрын
Haswa
@paulinaobiria96492 ай бұрын
Ninao mapacha mmoja mfupi kidogo watu wanawachanganya ila sisi Nyumbani tunawajua
@AWADHIHEMED-y1c2 ай бұрын
hawa wata gongeana mademu
@KhadijaMasoud-m6u2 ай бұрын
Mtangazaji kanichekesha inawezekana wao wakawa wakubwa ww mdogo hao wanaonekana mapacha mbona wao ndo wadogo kuliko ww mtangazaji wao warefu tu lkn ww mfupi lkn unaonekana km mkubwa kwao
@abcdoman87393 ай бұрын
Wanafanana ila utamjua yupo mkubwa unawajua vizuri tu
@majaliwagessler44433 ай бұрын
Waa mimi tulizaliwa watatu , ila nyumbani tulikua twapigana sana 😂😂😂,ila tukitoka nje twapendana balaa ...alafu siku ya mtihani twajaziana haki hadi walimu wakagundua sasa tukabadilishwa darasa.
@mwajohari43853 ай бұрын
Mashallah,nampenda huyu mtangazaji akiwa hivi anapendeza sana na mapacha Masha Allah
@FocusNyari3 ай бұрын
ila dakika 5 zinahesabiwa kaama sekunde
@maryamedi91413 ай бұрын
Mashallah wamekuwa wakubwa nakumbka kipindi tunasoma chuo walikuwa wapolee jmn😂😂😂😂
@HarunaFursana2 ай бұрын
Nipem namba yaw ili napacha wengine niwapen
@RaimamomedSaidi-wz1yu3 ай бұрын
Mengine wameongopa,inategemea na mapacha wengine wanapendana nawengine hawapendan,na wengine kila mmoja na akil yake,wengine shule wanafaham namwenzake faham yake ni ndogo,ila suala la kuumwa na uchoyo wakiroho wote wanakuwa hivo.ila hao wanatabia moja ya vituko ila wengine wanakuwa sirias sana na wenzao.
@JamesJastin-bg1rx3 ай бұрын
Sasa kunyoa hivo huko kichwani ndy nin?
@CharlesMs25Daghaly2 ай бұрын
Mtangazaj wangu ila uko vzr sana
@KhadijaMasoud-m6u2 ай бұрын
Ila mashallah dada mtangazaji beautiful 😍 cn una umbo sura nzuri huto zeeka haraka dada hiyo ndo sifa yko
@hawamohammed97403 ай бұрын
Nawapenda Hawa vijana natamani wawe watoto wangu Mimi naomba namba zao wallah nimewapenda
@tztanzania22622 ай бұрын
Allah akujaalie upate mapacha
@LouiseEbasomba-g6w3 ай бұрын
😂😂😂 wemm amka😂😂😂
@SoudShuraim3 ай бұрын
Walimchanganyaje
@teddysananga3 ай бұрын
Wamenenepa kidogo
@MeshackLibelio-uq1bb2 ай бұрын
Kwenye ulezi
@selinaingado15232 ай бұрын
😂😂😂😂😂 spare my ribs oo 😂
@TatuHusseni-hs7mu2 ай бұрын
Mapacha nawakubali sana pia huwa naomba kwa Allah anijalie nije nipate pia matangazaji maua yako 🎉🎉🎉 huwa nakufatilia sana
@fatmaalnabhani36093 ай бұрын
Mashaallah, mungu mkubwa. 🤗🤗
@mwamvuamagongo81633 ай бұрын
Wana utofauti kidogo
@Neema-m6s3 ай бұрын
Ni kweli hata urefu
@NikolaiMwambene2 ай бұрын
Waongo hao
@mariamuhamisimwamrezi48323 ай бұрын
😂😂😂
@MoTalentTz3 ай бұрын
Ukipiga unauwa brand😂😂😂😂
@mcnyoka3 ай бұрын
Mmenimalizia mb zangu, mnajadili upuuzi
@fideliafaida12472 ай бұрын
Wamenenepa😂😂😂😂😂
@Maua-mj7pm3 ай бұрын
Nimecheka 😂😂😂 ety anatuonabkama makatuni
@habibamura52553 ай бұрын
Mashallah ❤❤
@SophiaMoses-jk4cv23 күн бұрын
mashallah
@JulianaSamwel3 ай бұрын
Wawoooo ❤❤❤❤❤
@Naw893 ай бұрын
Daah mapacha wamenichekesha hawa
@MuhammedFoum-kr5kc3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 homa
@fabssaleh72732 ай бұрын
ALLAH AWANUSURU NA ZINA. OWENI MSINGIE KWENYE MITIHANI YA UTOVU WA MAADILI.
@SoudShuraim3 ай бұрын
Unaweza kuwatafautisha kwsbb mmoja mnene kdg
@zuberhamza78523 ай бұрын
Hapo kwenye kuwaza😂😂😂😂😂😂
@HhosnaRashid3 ай бұрын
mashaallaah wapo wazuri
@SusanJulius-cu8xp4vx4m2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 aki wamekuweza mm pia nina twins ila hawajafanana kama nyie haaaa nyinyi hatari sana
@aboudijaaboudija3 ай бұрын
saiv wamenenepa sana Masha'Allah
@mellenondieki63293 ай бұрын
Please one to wear ring to small finger to safe journey of girlfriends,musiwachanganye wasichana, DO that,,to small finger ring or one to put mark on the side chick of the face, you look handsome boys,separate yourself with the mark, any mark you can allow on your face with totootes,,or Weka Alama,hili,musichanganye,wasichana., l wish you the best l in USA 🇺🇸
@ChancelineCatherine-bj6jd3 ай бұрын
Nikama Hussen na Hassan ❤❤❤ yaninyie uuuuuh hinoma ❤❤❤😂😂
@abcdoman87393 ай бұрын
Mmoja mwembamba mmoja mnene
@jorinekanisio2 ай бұрын
Waaaooh mmetisha San matwns❤❤
@nassoromwinyinassoro3 ай бұрын
Mimi bwana nilijua sio mapacha bali komedi kumbe mapacha kweli
@KalelaTV3 ай бұрын
Dada mtangazaji uko vizur sasa yani Mungu akujalie sahizi mavazi yako yananipa imani kubwa nakumbuka tangiapo mwenzi mtukufu wa ramadhani huku vizur endelea hivyo Mashaallah
@agnessntiburella88163 ай бұрын
Nimecheka kwa sauti hilo jibu aliloulizwa, eti kama makatun😂😂😂😂😂
@SakinaSakinat-qd9rs2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 wanavituko hawa jmn wamenichekesha
@MonaJuma-cp3jg3 ай бұрын
INNALILAH WAINNAILAH RAJIUN pacha wangu 😭😭😭😭😭😭
@AnnaJoseph-oq9ul3 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭why kaka
@RajabuHayyan3 ай бұрын
Mmoja sura duara na mnene mmoja mwembmb na sura nyembmba
@SalamaNauthar2 ай бұрын
Unavaa vizuri dana dada Mashaallah❤❤❤❤
@Princescynth3 ай бұрын
Wow kumbe n twins wa ukweli nilifikiria nafikiria n
@mamanabdoul43973 ай бұрын
Maa shaa Allah.banafanana saana
@FocusNyari3 ай бұрын
Mapacha wanafanaana vityu vingi ila Kuna asilimia nyingi awa jamaaaa wanatupiga sana kwa uwongo
@hawamohammed97403 ай бұрын
Lkn mbona unajua kuwabagua Hawa vijana mmoja kidogo kibonge
@AihmAli-d8x3 ай бұрын
😂😂😂😂
@SamuKassim3 ай бұрын
❤❤❤❤❤nimecheka sana maoacha nyie😂😂😂😂
@ZinabAlzinab3 ай бұрын
Ndungu mtangazaji hao ndio mavazi Bora na sahihii
@aziza90933 ай бұрын
😂😂😂😂
@Shafikimanga73 ай бұрын
We mtangazaji, huboi
@jannetkarisa17493 ай бұрын
Mapacha tupo ila mbona mm hatujafanana
@BONGOINMOTION3 ай бұрын
Hongera
@MTUMZIMADAWA3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@aziza90933 ай бұрын
❤❤❤😂
@ZainaHalifa3 ай бұрын
Maashallah ❤❤❤
@narutonaruto43033 ай бұрын
mashallh
@SalamaTaura3 ай бұрын
😅
@RithaOmari-np8je3 ай бұрын
😂😂
@AmenaMm-r5t3 ай бұрын
Mashaallah mapacha mung awabariki ila pia mung ambarik mama
@BintiMweluhanga3 ай бұрын
Wakooo poaa san
@NuruNdegwa-yg2bm2 ай бұрын
Pia mm naomba nipate mapacha😊
@evancemoevt85973 ай бұрын
Hawa Jamaa Ustaa Umegoma!!!
@nancyg86643 ай бұрын
mbona sisi tunawajua
@mwajohari43853 ай бұрын
Asa hivi huyu mmoja kanenepa
@golimbilinyi1342 ай бұрын
Mapacha shkamoo😂😂
@sungaradjaburadjabu36263 ай бұрын
Mtangazaji wewe nakupenda sana kwa uvaaji
@SoudShuraim3 ай бұрын
Mmoja mnene mwengine mwembamba,kichwa kikubwa na kidogo,kifua kinene na chembamba
@فاطمهال-ص7ت3 ай бұрын
Ila wamefanana sanaaa haki hawa
@KhadijaNkya3 ай бұрын
Jamani wamefanana sana
@sungaradjaburadjabu36263 ай бұрын
Sauti yao iko tafauti kidogo
@JulianaSamwel3 ай бұрын
Mey nawapendaaa❤❤❤❤❤❤
@CharamKabul3 ай бұрын
Hapo kwakuwaza waongo kweli
@agnessntiburella88163 ай бұрын
❤❤❤ tupo
@Najuma-yk7vn3 ай бұрын
Mambo
@DxbYae3 ай бұрын
Nawapenda pacha
@narutonaruto43033 ай бұрын
dad nakupenda sana
@Rahmaismail-y9u3 ай бұрын
Mashallah dada unajitambua haujieki uchi kama wanavyo fanya wengine alaf wajiite wao n waislamu hongera kwakweli nahao mapacha allah awahifadh wazid pia kupendana nifuraha kwakweli