JE YESU ALIKUFA???

  Рет қаралды 21,657

BIBLIA NURU YA DUNIA

BIBLIA NURU YA DUNIA

Күн бұрын

Пікірлер: 200
@olengonelson7453
@olengonelson7453 4 ай бұрын
Katika Mjadala huu Mwalimu Ndacha hakuja kucheza. Hakupenda upuzi katu. Mungu akulinde sana mwalimu.
@AntonyManeno
@AntonyManeno 4 ай бұрын
Bwana YESU Asifiwe Milele Hata Milele❤❤❤ Amen❤
@tungarazamtani4007
@tungarazamtani4007 4 ай бұрын
pastor Ndacha Mungu akubariki sana
@issakongolo2832
@issakongolo2832 4 ай бұрын
Mchungaji Ndacha nakupenda tokea Congo DRC❤❤❤
@dennycegulavi3810
@dennycegulavi3810 4 ай бұрын
If the teaching of Brother Ndacha hasn't convicted the hearts of the Muslims present, woe unto them because there's no more further teaching to convince their hearts to repent their sins, turn to Jesus, and accept Him as the LORD, and Savior. May God continue to use your area of ministry as an instrument of praise and to use you as a vessel of honor. God bless you, brother Ndacha.
@OLUNGAJOSHMAH
@OLUNGAJOSHMAH 26 күн бұрын
Amen bro
@jeanninemunezero6469
@jeanninemunezero6469 4 ай бұрын
Mwisilamu ambaye arisikiya hoja hizi za ndacha na abaki kuwa Mwisilamu ako katika hasara
@YusuphLyanga-e8j
@YusuphLyanga-e8j 4 ай бұрын
Hoja za ndacha hawawezi kuzijibu wanabaki kupoteza mda2
@franciscomtambakuluca2830
@franciscomtambakuluca2830 4 ай бұрын
Ni kweli kabisa
@kinyuasamuel5326
@kinyuasamuel5326 4 ай бұрын
Dacha nimwalimu wa suree
@OmariShuli
@OmariShuli 4 ай бұрын
Ndacha yuko muwazi zaidi kuthibitisha kuwa wakristo mna miungu wawili.Hiyo nimeilike.
@OLUNGAJOSHMAH
@OLUNGAJOSHMAH 26 күн бұрын
​@@OmariShulikwa wazo lenyu msikitini maana nyie mna miungu wengi sana..mafano Q74:24
@johnmuriithi8832
@johnmuriithi8832 4 ай бұрын
Yesu yuhai milele na milele
@peaceirene8183
@peaceirene8183 4 ай бұрын
Asiyeelewa maana haambiwi. Hawa ndungu zetu waislamu hawajui garama ya rohoni ndio manake wanafundisha Kwa jinsi ya mwili. BWANA YESU ASIFIWE Milele
@hudsonkishah8677
@hudsonkishah8677 4 ай бұрын
Congratulations pst Nadacha we are waiting for Dr Sule to be baptized bro Sule you are welcome to Christianity God loves you
@erickbyamungu973
@erickbyamungu973 4 ай бұрын
Mungu akubariki pasta Ndasha nakufwatiriya sana Niko south Africa
@EliabuShima
@EliabuShima 4 ай бұрын
Barikiwa sana
@andersonwaweru8482
@andersonwaweru8482 4 ай бұрын
Yesu alifufuka kutoka kwa wafu,lakini Muhammad na wewe sulle, mtamngoja yesu kristo, either mfufuliwe ufufuo wa kwanza au wa pili, sana sana wa pili finali jehanam.
@lizzykerubo860
@lizzykerubo860 4 ай бұрын
Hapo kaka ukanimaliza ety sana sana finali jehanam sule na Muhammad 😅😅😅😅😅😅
@lizzykerubo860
@lizzykerubo860 4 ай бұрын
Ety sana sana ufufuo wa pili hahaha, lakini hapo sasa ndipo penyewe
@saphinalutaha9077
@saphinalutaha9077 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂muwe mnachekesha izo akil mnamanisha had mtume ibrahm naye atahukumiwa na yesu atakae hukum ni mungu pekee mtume Mohammed alikufa kwa sababu alimalza kaz zake masih hakumalza kaz yake ndomana atarud
@navokisembo
@navokisembo 3 ай бұрын
Barikiwa mtumishi Ndacha na Paulo
@KakulungeMbwambo
@KakulungeMbwambo 4 ай бұрын
Kama doctor sullen una wazoo la kwenda mbinguni pr ndacha ameletwa kwaajili ya ukombozi wako. Usifanye moyo wako kua mgumu na kuchanhia kupotosha wengine man utalipwa Mara Mia .
@IsaacklesaanLesaan
@IsaacklesaanLesaan 4 ай бұрын
Mungu awabariki watumishi wake ❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏
@afre8738
@afre8738 2 ай бұрын
Mungu akubariki Mwalimu NDACHA
@tonkeijonathan5392
@tonkeijonathan5392 Ай бұрын
Mwalimu ndacha unafundisha vizr mungu Akubariki Sana mtumishi wa mungu
@YesuniBwana-sv5zd
@YesuniBwana-sv5zd 4 ай бұрын
ndacha muheshimiwa wa mungu mungu wambinguni akupe yote.
@RITAChepngetich
@RITAChepngetich 2 ай бұрын
Mungu akubariki ndacha , muislamu utafunsa but wanaelewa opposite hawatasikia hadi ile yesu atakaporudi mara ya pili
@AnithaMuvurwaneza
@AnithaMuvurwaneza 4 ай бұрын
Tu nakukubali mtumishi Roho Wa Mungu Iwe ju yako Hekima tele itokayo ju mbinguni🎉🎉🎉🎉
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 4 ай бұрын
Dr. sulley is next level, huyo ndacha atawadanganya sn MAKAFIRI wenzake na kwenda wote motoni
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 4 ай бұрын
We nguruwe huna akili yani unaamini sule yupo sahihi wakati anapotosha mamuma wenzie kama nyinyi majafiri wa kiarabu wajinga wajinga
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 4 ай бұрын
@@ramadhanmahongole9293 nguruwe si ninyi makafiri mnaokula, mtakuja ona mtapopatwa na umauti moto unawasubir msipoitambua haki mapema
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 4 ай бұрын
@@halidimgonza5945 acha ulevi we nguruwe... haki iko ndani ya ukiristo tu na mtume wa wakiristo ndio yesu ambae atakuja kuhukumu ulimwengu siku ya khiama nyie mhammad wenu yupo kablini naye atahukumiwa na yesu pia siku ya khiama acheni mamuma jitambueni nyie makafiri
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 4 ай бұрын
@@halidimgonza5945 bora sisi tunakula nguruwe wazi hatujifichi kuliko nyie makafiri mnakula kwakujificha
@zachariamichael8871
@zachariamichael8871 4 ай бұрын
sasa kati ya sule na Quran nani muongo mana Quran inakubali YESU alikufa sasa ww unamkubali kishabiki tu ila ukweli umesikia.
@DeborahKarwitha
@DeborahKarwitha 4 ай бұрын
Amen mtumishi Mungu akubariki
@filibetifilibeti534
@filibetifilibeti534 3 ай бұрын
Kweli ww mtumishi wa shetani DR SULLE
@apollorutamucero6971
@apollorutamucero6971 2 ай бұрын
Na tumekuteremushiya kitabo n Wawungu wengi!
@Mtumisi
@Mtumisi 4 ай бұрын
Amen mtumishi
@يونيسيونيس
@يونيسيونيس 4 ай бұрын
Na ngoja sule apite kwa hoja Niko makini Sana ata mimi ni slimu.kwaza hiyo maadiko ya Quran woi na asibadirishe maadiko, hiyo maadiko imekauka
@rajinkalisia1730
@rajinkalisia1730 4 ай бұрын
Mungu akubariki sana mwalimu Ndacha
@ustadhfarouq7729
@ustadhfarouq7729 4 ай бұрын
Hakuna mungu anaeza bariki mtu anayesema wako mungu watatu,hiyo nikufuru kubwa mno.
@samutykuntathebantu8402
@samutykuntathebantu8402 4 ай бұрын
​@@ustadhfarouq7729jini shindwee pepo chafu ya allah
@japhetndoro6533
@japhetndoro6533 4 ай бұрын
Mungu wa tatu????
@japhetndoro6533
@japhetndoro6533 4 ай бұрын
Nani anasema ivo
@KOMBOMWAGUYA
@KOMBOMWAGUYA 4 ай бұрын
Mungu akubariki mwalimu Ndacha Kwa kuwaelimisha hao waislam
@Sharrif456
@Sharrif456 4 ай бұрын
Hakuna kitu tume elewa nyi ndo mliopotea vitu za common sence hamuelewi
@threebrothers..
@threebrothers.. 4 ай бұрын
​@@Sharrif456Utamkumbuka ndacha siku ya kiama,,usipokubali yesu uachane na maiti ya muhamadi utalia na kusaga meno
@nomar3708
@nomar3708 4 ай бұрын
​@@threebrothers.. Yesu ni kiumbe cha mungu. Hana uwezo wowote. Abudu mungu aliyekuumba
@FrankAloyce-ic6rq
@FrankAloyce-ic6rq 4 ай бұрын
Yan mm siimuelew sure anachokisema kabsa
@DrjosephKingo
@DrjosephKingo 4 ай бұрын
Wewe Sule unalemewa na hoja nenda kwenye maandiko wacha kutoa ufafanuzi wa akili zaki kila mtu ana akili. Sema Yesu hakufa kwenye maandiko ya bibilia wacha longolongo
@OLUNGAJOSHMAH
@OLUNGAJOSHMAH 4 ай бұрын
Kazi kubwa kweli Barikiweni watumishi...
@abelmoturi52
@abelmoturi52 2 ай бұрын
Toa verses Yeso akufa Dr sulle
@crispuskasanga8487
@crispuskasanga8487 4 ай бұрын
kazi bomba ndacha
@jofreyevansantony2770
@jofreyevansantony2770 4 ай бұрын
Amém mwalimu
@SantosShunni
@SantosShunni 4 ай бұрын
Deus te abençoe pastor Ndacha, Amem
@rashidmohamed1949
@rashidmohamed1949 4 ай бұрын
Asalam Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Tumwombe Allah Amwongoze Dr Sule.. Azidi kumpa elimu. Yeye Dr na team yake kwa uchache wao ndio kiboko ya wapotoshaji wa mambo ya haki
@kennethprodigy
@kennethprodigy Ай бұрын
SAFI ZOINST COGMERS MWALIMU FRANICIS NDACHA
@NicholasMidalimu-w8l
@NicholasMidalimu-w8l 4 ай бұрын
Leo nayo mitambo imekuwa sawa kazi nzuri
@hellen9056
@hellen9056 4 ай бұрын
Duh kumbe ndo maana YESU alisema BABA uwasamehe maana hawajui wasemayo
@aminiahmad-i9q
@aminiahmad-i9q 2 ай бұрын
Waisilamu hawakubali sifa za udhaifu namapungufu kwa mungu na kufa kuteswa ni udhaifu haistahiki kwa mungu hayo ni kwa viumbe kufa na mateso.wakiristo amkeni. M ùmfahamu mungu wa kweli si yesu kama munavyojua.amkeni tafakari hayo
@douglasabuya1637
@douglasabuya1637 3 ай бұрын
Ndacha ulipewa kioawa cha bibilia kweli na Quoran,mungu akulinde
@zachariamichael8871
@zachariamichael8871 4 ай бұрын
Wapendwa katika BWANA tuchangie injili iende mbele ndacha hana biashara yoyote yakumuingizia kipato cha kukidhi mahitaji yake tumchangie mwalimu katika namba yake kama ni wakirsto wa kweli
@jeanninemunezero6469
@jeanninemunezero6469 4 ай бұрын
Sule hawezi kuka peke yake anaogopa kwa kuwa mbogo ndiye anamusadiya jamani kwa nini anakuja na bodyguard anaogopa nini?? Heeee
@Thruthministry
@Thruthministry 4 ай бұрын
Aminaa mjoli
@franciscomtambakuluca2830
@franciscomtambakuluca2830 3 ай бұрын
Ni Kweli
@DouglasThuranira
@DouglasThuranira 4 ай бұрын
Sule umelemewa bwana hauna hoja kubali ukweli ukuweke huru.
@NzyimanaAloys
@NzyimanaAloys Ай бұрын
Mimi nipo mozambique nawasimiliza hapo ndaca unasema kwri.
@BilaliFisto
@BilaliFisto 4 ай бұрын
Bb yangu ubarikiwe sana muchungaji
@EliabuShima
@EliabuShima 4 ай бұрын
Sure kumbe huna elimu ya dini kabsa hoja za nfacha huwez pita ndani
@MarthaMasha-e6q
@MarthaMasha-e6q 4 ай бұрын
Atapitaje ndani nazikona bomu🤣🤣atalipuka ndio maana anazihepa
@EliabuShima
@EliabuShima 4 ай бұрын
@@MarthaMasha-e6q ahahah
@Fedrick-jb8xb
@Fedrick-jb8xb 4 ай бұрын
Mungu akubariki mwalimu ndacha
@abelmoturi52
@abelmoturi52 2 ай бұрын
Enda kwa mada na toa verse juu ya yale you are talking Dr sule
@CharlesMisungwi-f8t
@CharlesMisungwi-f8t 4 ай бұрын
Huyo mwalimu Ndachani zaidi yawenyeakili anajaakotekote kama hewa yaokisijeni.
@MaryannWainaina-ud1de
@MaryannWainaina-ud1de 3 ай бұрын
Makuhani makubwa hawakuwa na roho mtakatifu wa kunjua kuwa yesu alikuwa mwana wa mungu ndio maana walimsaliti yesu bibilia ndio jia ya uzima
@issakongolo2832
@issakongolo2832 4 ай бұрын
Yesu ni Mungu ❤
@fauwilliam6780
@fauwilliam6780 4 ай бұрын
Kama mtu hawezi kumuelewa mwalimu ndacha hawezi kuelewa biblia kamwe,yupo na kipaji cha kufundisha tena kwa ushahidi wa maandiko
@clauselphasmandelawatrue7358
@clauselphasmandelawatrue7358 4 ай бұрын
Sule usibadilishe mada, mada si ya vitabu ... ni kufa kwa Yesu
@EliabuShima
@EliabuShima 4 ай бұрын
We mwache tu alukejuu aanguke chini dozi imemuingia
@mainasarah
@mainasarah 4 ай бұрын
Hapo sawa Ndacha kabisa
@HellenaMky
@HellenaMky 4 ай бұрын
Waislamu. Leo mnakaxi kwelikweli
@sophiaesmarcharo9775
@sophiaesmarcharo9775 4 ай бұрын
❤❤❤🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@KoomeNzima-e2v
@KoomeNzima-e2v 4 ай бұрын
Ameni
@vicmosessande
@vicmosessande 4 ай бұрын
Waislamu Hawasomi Bali Ni Kelele Tu Na Kusema Takbir
@SaidSaigor
@SaidSaigor 4 ай бұрын
Takbiir Islam will win
@GilesKhamis
@GilesKhamis 4 ай бұрын
Islamu hoi kabisa
@KimoniMbinda
@KimoniMbinda 4 ай бұрын
Nonsense abdul
@KimoniMbinda
@KimoniMbinda 4 ай бұрын
Joo kwa yesu achana na ubishi wa kimwili bro.jesus is God.
@thomasnizigiyimana5122
@thomasnizigiyimana5122 4 ай бұрын
Hojaa zimekushi sule kujibu Kubali kuokoka
@fredmariita8930
@fredmariita8930 4 ай бұрын
Mwalimu ndacha MUNGU ukupee hekima siku sote
@nomar3708
@nomar3708 4 ай бұрын
Mungu atamwingiza motoni huyu anakupotezeni mnaabudu kiumbe badala ya kuabudu muumbaji
@hezronsaid2168
@hezronsaid2168 4 ай бұрын
Mtiani sna waislamu kuelewa bibilia,lakini kumbuka kama iko watalia na kusaga meno.
@nomar3708
@nomar3708 4 ай бұрын
Mwangalieni Yusus estes ambae mzungu huyu aliyekewa pastor mkubwa anayeijua biblia amesilimu huku analia. Huyo ndacha anababaisha babaisha na muongo anawapoteza huyu
@shalomabraham3170
@shalomabraham3170 4 ай бұрын
Amen
@mosesjillo1729
@mosesjillo1729 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂huyu Ni Dr ama ni mtu amerokotwa mtaani 😅😅nmemsikiza dakika ishirini sijaona akitoa andiko yesu hakufa msalabani....anaemsifia huyu walai kapotea
@HellenaMky
@HellenaMky 4 ай бұрын
Wewe acha polojo. Sisi tunaangaria maandishi. Na syo majina uisilamu cyo ndini
@DesderiusHaule
@DesderiusHaule 4 ай бұрын
Dr sulle hoi bin taaban kwa pastor ndacha
@simonsimpiri5748
@simonsimpiri5748 4 ай бұрын
Sifa Kwa Kristo milele na milele
@Blessedboi8019
@Blessedboi8019 4 ай бұрын
Sule batizwa, nitakupa gari lingine
@nomar3708
@nomar3708 4 ай бұрын
Huyu ndacha aje kufanya mdahalo wake na Yusuf Estes, pastor mkubwa wa kizungu aliyebadili dini kuwa muislamu. Anaijua biblia nje ndani . huyo ndacha atajikojolea😂😂😂😂
@Thruthministry
@Thruthministry 4 ай бұрын
Anaijua biblia lakini haelewi kuhusu biblia ,, maana ili uelewe biblia lazima uwe roho wa MUNGU ambaye ni roho wa kweli
@issackabdi7001
@issackabdi7001 4 ай бұрын
Ndacha ana uchache wa elimu
@merydotto5046
@merydotto5046 4 ай бұрын
Sule ameshindwa hoja balikiwa mtumishi ndacha
@CharlsShukia-ju1wv
@CharlsShukia-ju1wv 4 ай бұрын
Mpumbavu hata ukimtwanga kwenye kinu upumbavu wake hautamtoka.Wana masikio lakini hawasikii,wana macho lakini hawaoni,ni wa kuwahurumia na kuwaombea tu
@GilesKhamis
@GilesKhamis 4 ай бұрын
Ndacha ni mtumishi wa Mungu,na wewe sule ujuwe kuna uzima wa milele wa wacha Mungu,jifunze umche Mungu,shingo ngumu itavunjika
@MarthaMasha-e6q
@MarthaMasha-e6q 4 ай бұрын
😂😂Yani mwalimu ndacha amenichekesha, eti hawagusi hizo korani ni kama zina bomu
@JojoSrena
@JojoSrena 4 ай бұрын
Hata namm nimecheka😂😂
@MarthaMasha-e6q
@MarthaMasha-e6q 4 ай бұрын
@@JojoSrena ni kweli kabisa,. Si ashike hizo korani avunje hoja Jamani 🤣🤣
@MarthaMasha-e6q
@MarthaMasha-e6q 4 ай бұрын
@@JojoSrena walipigiliwa msumari ya nchi tisa wakanyamazishwa kimyaaaa . ndio maana
@JamesMoses-jd1yq
@JamesMoses-jd1yq 4 ай бұрын
Ndacha please drop your m mpesa number tukussaport maanake unafanya kazi safii ya mungu.
@BIBLIANURUYADUNIA
@BIBLIANURUYADUNIA 4 ай бұрын
+254705602959 Francis ndacha gatiba
@JamesMoses-jd1yq
@JamesMoses-jd1yq 4 ай бұрын
​@@BIBLIANURUYADUNIAthanks mtumishi wa mungu l will send you something very soon
@KelliusPapa
@KelliusPapa 4 ай бұрын
Sihukumu Mimi katika upande mbili lakini ukweli ni huu yesu alikufa na akafufuka siku ya tatu na akapaa mbinguni doctor sulwe ambia waislamu wenzako ukweli,, maana damu Yao itakua juu Yako siku ya hukumu
@Makevo08
@Makevo08 3 ай бұрын
Sulle leo kayatimbaaa....anabwabwaja tu ...waislamu ni kelele tu...hoja za ndacha hazijajibiwa
@mwesi527
@mwesi527 4 ай бұрын
Mpinga kristo Hugo hapo sulle na akili za Muhammad na walaka bin nafar
@YusuphLyanga-e8j
@YusuphLyanga-e8j 4 ай бұрын
Sule anatumia ufunuo 2:18 wakati ni kitabu cha unabii naye hat hajuii😂😂😂😂
@KanajaManyasi
@KanajaManyasi 4 ай бұрын
Hakika mambo yote yapo wazi MUNGU ni mwema ukristo raha
@japhetndoro6533
@japhetndoro6533 4 ай бұрын
Waislamu msiwe washabiki tu sikizeni hoja
@ShekindiaSalum
@ShekindiaSalum 4 ай бұрын
Ndacha ni yesu mtupu. Wafundishe hao waislam wanao sali na majini misikitini.
@jeanpaulkwizera3216
@jeanpaulkwizera3216 4 ай бұрын
Uyo mutumishi wa Shetani Sure atacukuwa wengi mutoni
@AbegaLarge-tk3rc
@AbegaLarge-tk3rc 4 ай бұрын
Oja ya mch.ndacha no gumu sule ameshindwa kabisa kupitia anaogea asiyo yajuwa imeobya andiko
@isayaogola8733
@isayaogola8733 4 ай бұрын
Hakuna hasara kubwa duniani kama kuwa mwislamu
@nomar3708
@nomar3708 4 ай бұрын
Huyu ndacha fujo tu hajui lolote hajibu maswali na anazusha zusha tu
@andersonwaweru8482
@andersonwaweru8482 4 ай бұрын
Sulle itabidi uitumikie majini yako,kwa sababu huwezani na hoja za pastor ndacha.
@0badiaMwasongwe-rt1wr
@0badiaMwasongwe-rt1wr 4 ай бұрын
Kuwaelimishaa waislam ni ngumuu mnooo maana mambo ya kiroho hawajui kabisaa kabisaa
@Sharrif456
@Sharrif456 4 ай бұрын
Hivo ndo mnadanganywa kanisani hadi ma binti zenu wanaeda uchi kanisani eti mungu huangalia roho 😂😂😂😂😂
@samutykuntathebantu8402
@samutykuntathebantu8402 4 ай бұрын
​@@Sharrif456shoga ndivyo wenu wanavaa magunia na ni Malaya mitaaani
@nomar3708
@nomar3708 4 ай бұрын
​@@samutykuntathebantu8402njoo hapa kanisani uingereza utaona mashoga wanaoana kanisani na yesu anabariki. Ushoga mtupu
@KimoniMbinda
@KimoniMbinda 4 ай бұрын
Still unaogelea mambo ya mwili maana hamjui mambo ya rohoni​@@Sharrif456
@TAFSIRIZANDOTO4106
@TAFSIRIZANDOTO4106 4 ай бұрын
yani elimu ya dk.shule ni ndogo mno alafu hanyooki katika mada
@EmmyRowland-ir5gh
@EmmyRowland-ir5gh 4 ай бұрын
😂usitumie bibilia basi 😅
@mulewakatana2518
@mulewakatana2518 4 ай бұрын
Mkristo damu
@HellenaMky
@HellenaMky 4 ай бұрын
Mnakataa biblia Leo eti warumi wamebadirisha khaa. Shetani kawapuliza kwelikweli. Ila watakao okolewa niwachachetu
@AmriAmri-hy6sg
@AmriAmri-hy6sg 4 ай бұрын
Amakweli kafili yeyote Hana akili hapo dk sule bado 2 hamumuelewi inshaallah ninyi waumini hamna hatia kwani mlikua hamjui bas mtafakali hao wachungaji wako ktk masirahi wachunguzeni muache ushabiki
@Nolithajack12
@Nolithajack12 4 ай бұрын
Kabisa tutowe ubishi ndacha ni mukweli abalikiwe
@TAFSIRIZANDOTO4106
@TAFSIRIZANDOTO4106 4 ай бұрын
huyo shule kiukweli ni muongo anajua anacho kifanya moyo wake kabisa
@YusuphLyanga-e8j
@YusuphLyanga-e8j 4 ай бұрын
Mbn sule amekuwa na maneno mengi
@aminiahmad-i9q
@aminiahmad-i9q 2 ай бұрын
Mbona yesu wanafunzi wake walivishwa sanda wenye mila hiyo ya sanda ni waislamu ama wakiristo ukweli uko wazi
@kazungukasukari
@kazungukasukari 4 ай бұрын
Story mingi sule sema yesu alikufa ama hakufa ?
@richardchimba3800
@richardchimba3800 4 ай бұрын
Sule naona analeta story 😀😀😀kashindwa kabisa
@jacobkioko3495
@jacobkioko3495 4 ай бұрын
Si umesema hakuna anayekataa kifo cha yesu mbona sasa tena waema yesu hakufa
@elijahmwaniki92
@elijahmwaniki92 4 ай бұрын
Wewe sure ukifanywa kuwa mjinga ni kusema wewe ni mjinga aaaaiii bro jibu hoja wacha mchezo
@JuliusMatiku-ux4ch
@JuliusMatiku-ux4ch 4 ай бұрын
Hao ote lao moja wanatafuta hela, wameshapamgana.
Je Mungu BABA ni nani?
2:07:10
Testimony Tv
Рет қаралды 7 М.
НАШЛА ДЕНЬГИ🙀@VERONIKAborsch
00:38
МишАня
Рет қаралды 2,8 МЛН
MY HEIGHT vs MrBEAST CREW 🙈📏
00:22
Celine Dept
Рет қаралды 70 МЛН
Бенчик, пора купаться! 🛁 #бенчик #арти #симбочка
00:34
Симбочка Пимпочка
Рет қаралды 3,5 МЛН
1 сквиш тебе или 2 другому? 😌 #шортс #виола
00:36
Uungu wa Yesu.
1:16:39
Sauti ya Uzima
Рет қаралды 3,6 М.
FLAMINGO DAY 2,JE YESU ALIKUFA???
1:03:57
WARNING OF LAST DAYS
Рет қаралды 822
MJADALA KATI YA MCH NDACHA NA MCH MWAKEMWA TANZANIA
1:33:33
BIBLIA NURU YA DUNIA
Рет қаралды 27 М.
NDACHA AWAHUBIRIA ALISHABABU MOTO UMEWAKA.
20:17
GOSPEL CORNER
Рет қаралды 14 М.
Quran imeandikwa na walevi
1:00:30
BIBLIA NURU YA DUNIA
Рет қаралды 153 М.
НАШЛА ДЕНЬГИ🙀@VERONIKAborsch
00:38
МишАня
Рет қаралды 2,8 МЛН