BIG CHAWA AKIWA SHINYANGA ANAKUTANA NA RAPA WA MUDA MREFU SANA NA STYLES KALI NOORAH BABA STYLES #BigChawa #Cuuuzin #UshuaniMostWanted
Пікірлер: 171
@omarykitololi4472 жыл бұрын
Big up noorah brother wengine wakitoka kwenye music wanatumbukia kwenye madawa lakin kaka ujaingia kwenye lile balaa mungu akulinde maisha ndo yale yale tuu
@dramachatta38514 жыл бұрын
Ebhana uyu big chawa anafanya kitu tofauti sanaaaaaaaaaaa yani anawafichua watu ambao hata hatujui wako wapi ni kitu bora sanaaaaaaaaaaa na tofauti sanaaaa
@boylondontztz9204 жыл бұрын
Drama Chatta kabisaaaaaaaaaaaaa
@bigchawa9424 жыл бұрын
Aaaa thanks alot Drama
@RuzoOwzy4 жыл бұрын
Hakika
@ferouzmasoud48702 жыл бұрын
Legendary Kama legendary kitambo Sanaaa broo noorah 👊🇹🇿
@eventelias35664 жыл бұрын
Hawa ndo wamehangaikia mziki wa bongo flavour siwezi laumu kwa nini haujawapa mafanikio makubwa maana nyakati zao platforms zilikuwa chache lkn pia technology haikuwa juu kama sasa enzi hizo ilibidi utoe album ili watu wakuelewe maana walitumia cassette(kanda)..sasa hv kuna ma-KZbin na mazaga kibao
@doullateljabii62642 жыл бұрын
Best rap wangu baba star
@kiun082 жыл бұрын
Umetuwakilisha vizuri sana SHY TOWN kwenye Music...Much Respect Bro
@benlaizer99364 жыл бұрын
Mimi ni miongoni mwa watu walioadhirika kwa kukosa hits zako kwa muda mrefu natamani urudi kwa game kaka!!!
@jacobmasyaga12934 жыл бұрын
Noorah True BF Legendary. Although now a Business man. He can still made a dash back some days. Hail Noorah My Son. Happy to know you are alive and well!
@ditrickdamyen40124 жыл бұрын
Big Chawa umetisha sana. Asante sana na nimependa maisha ya uhalisia ya Noorah
@toonblastplayer10423 жыл бұрын
Noorah is my favorite artist of all time from Tanzania. Please, mwambie tunahitaji nyimbo.
@erastosolomon45544 жыл бұрын
Penda sana huyu jamaa ngoma zake zote nitatupa simu,nitauza,itaibiwa, lakini muziki wake haukosi kwa simu yangu. wasanii wote wa enzi nzetu hawanaga mikogo kama yakina naniiii???💪💪🙏🙏
@Remmy_Remmah4 жыл бұрын
Yani sijawahi kuchoka kuskiza nyimbo zako....haswa "ice cream " i still have it in my playlist👌🏾👌🏾big up sana
@sontrillthereal81864 жыл бұрын
Ukikaa na huyu bro utapata MADINI SANA.💪
@shakilahasani27904 жыл бұрын
Arudi kwenye game bana kumedoda tunataka wasanii wetu wazamani warudi wote
@boylondontztz9204 жыл бұрын
Shakila Hasani yaan tunawamiss sana maana saiz mzik unamapengo meng xn
@sandeandrea22294 жыл бұрын
Tupo tulio umiss muziki O.G
@sandeandrea22294 жыл бұрын
Tupo wengi tulio umiss muziki O.G
@mayaiddy46884 жыл бұрын
Kweli. Dada
@Kimbururu2 жыл бұрын
"Tikisa tena, katikakatika, maa umeng'aa ulivyo jidabikadabika, na usione soo kuwa nami usiulize wapi wakati uuunavyocheza unanidatisha datishaa." This is THE best part of the whole track
@muhdmimu88574 жыл бұрын
Noorah kitambo sana #One the Incredible
@amosmaiko55234 жыл бұрын
Tulioangalia nywele za noora tujuane😀😀😀😀😀😀😀😀
@chalreschungu50664 жыл бұрын
Anafanana na Mengi was Ipp
@graphixmaster61464 жыл бұрын
Jamaa flow yake ilikuwa special sana, ngoma kali kutoka kwake ni Icecream na Babastyles
@twaibumkoba43154 жыл бұрын
Big Chawa umetibu kiu yangu,nimekuwa nikitafuta sana interview ya huyu mwamba.
@bigchawa9424 жыл бұрын
Appreciate Twaibu...thanks
@danielsama15764 жыл бұрын
Kumbe tuko wengi asee nimejikuta nalia maana kipnd hyo nili nunua Kanda ya huyu jamaa
@chrispinelux67659 ай бұрын
Top artist love the song u did with kiba
@milelestudios10504 жыл бұрын
Mimi na huyu jamaa ndio wenye pua nzuri za kijanja tz. Gonga like nyingi sasa
@charleskitundu76394 жыл бұрын
hahahaha
@beautyibrahim84284 жыл бұрын
😂😂😂😂MNatumalizia hewa
@georgengakuka34204 жыл бұрын
Ludi kwenye gem mzee baba wewe unaweza sana
@thebeautycafewithdrnyorita3 жыл бұрын
Noorah you were awesome.🤛🏽
@ernestmbwana62824 жыл бұрын
Nimefurahi kumuona Nura.... Be bless brother
@wolframmwalo24323 жыл бұрын
Huyu broo fundi sana
@marryemmanuel42542 жыл бұрын
Dada ake tulikua nae nyamanoro mwanza na tulikua tukimuona Sana tu
@maulidrehani4 жыл бұрын
noorah msanii nliependa flow zake back in the days
@badmanno.16504 жыл бұрын
Ice cream bonge la ngoma....noorah mnamwezi enzi hizo...
@fatemaakeda81794 жыл бұрын
Ilo. Puwa. Duuu
@toonblastplayer10423 жыл бұрын
Noorah is my brother from another mother. Please, game inamuhitaji
@josephmwafumu77013 жыл бұрын
Waasisi wa bongo music much respect all legends
@legawayz60934 жыл бұрын
Nimependa interview zako big chawa maana unawafata walipo
@danielsama15764 жыл бұрын
Bro @bigchawa salute mingi Sana asee nimejikuta nafrai mpaka machozi asee maana Street wananiitaga baba style ety tumefanana Sana hata hvyo 2008 pale monduli teachers college/vipaimara Kule moshi niliperfom ngoma zake.....bro nafkr ulipatwa na stress ming uki compare baadhi ya Wana chamber wako mbele ya haki.... Mungu awalaze Mahalo Pema pepon Albert|Mezb......game bado inakudai #noorah nafkr kwa sasa inalipa Zaid maana malipo mengi ya takuja straight to ur hands..... #weloveibro #shytownbaby #zai #nani #vijimambo #hanitaki #mapenzisinema #ukurasawapili #tulianzishe #icecream #kaziraha #imbanami #hustler #tumefika #chambervernment
@bigchawa9424 жыл бұрын
Aaa get blessed Daniel...life
@danielsama15764 жыл бұрын
@@bigchawa942 japo kitaa kinabana yeeaah kaza buti Wajinga kila siku wa naongea ongea uzushi Aaagh Chana nao ukiona uongo bora ushoot (ngwair) Ucjali bado nipo mbali nao hawanikuti hawajui tulipotoka wanatuskia tu kwa radio Hits baada hits japo tunaandikia studio Kwenye beat kama hili la Pancho (R.I.P) uuuuhhaaa ndo Playlist napita nayo kwa sasa Noorah ft Mangwair prod by Pancho Latino
@tumainifuraha1994 жыл бұрын
Baba staz yooh daah bro mmoja hiv ambaye alkuwa mbele ya muda sana #G.O.A.T
@muniraahmed6244 жыл бұрын
SO SERIOUZ KWAKWEL I LVE IT
@atikombogolo23564 жыл бұрын
Msaanii msanii tuu dah..yaani hapo umeshachanganya mambo tayari
@fubanjenjele5214 жыл бұрын
Ulikomtoa noora daaa mungu anakuona, Unanitega
@NelisonHenry11 ай бұрын
iko pw iyooo
@fatmafetty41174 жыл бұрын
Duh nimeshangaa San kumbe yupo dah hongera sna
@mohamedhamisi97662 жыл бұрын
Daah mwana chemba
@malakimoses61154 жыл бұрын
smart and wise nigga nakukubali sana respect bro
@husseinomary44664 жыл бұрын
Kweli chawa nimekukubar umenitafutia huyu mtu dah nilikua napenda Aina yamziki wake
@bigchawa9424 жыл бұрын
✋ thanks
@jenipherkamugisha37064 жыл бұрын
Daaa nilipenda miziki yake hatari
@tonyi68074 жыл бұрын
Nimeiona This is simba kwa mbaaliii
@Basagamp44 жыл бұрын
Nimependa hii
@deepconcept20204 жыл бұрын
Original Talent. Much lov from alcapaino
@jamesmodesty28514 жыл бұрын
Big chawa leo ndio nime sab scrib sababu unajali sana god bless you
@bigchawa9424 жыл бұрын
AMEN
@tolekabungi31684 жыл бұрын
Huyu mchizi namkubali sana kitambo hiko hapa gwea huku Juma mchopang a.k.a J mo ilikua shida wakikutana jukwaa moja wapi Mchizi mox
@queenandchill914 жыл бұрын
Noorah umekuwa mdingi kinoma yaani...sema nyie ndo malegend wa Bongo flava mliipaisha sana...Nice to see you again bro✌🏽
@Uncle_Poul3 жыл бұрын
jiran yangu
@TALLUBOY3 жыл бұрын
Umefanana na mzee Mengi
@barick4 жыл бұрын
Napenda sana noorah aka baba!?OK napenda
@mongelimahene53844 жыл бұрын
Mkali Noorah, safi sana complex product
@nelsonnmwaipaja69804 жыл бұрын
Baba styles be blessed bro ##
@officialt-starboy93434 жыл бұрын
We jamaa unajua sana Nuraa rudi kwa game broo
@ubuntubantu2404 Жыл бұрын
Kila lakheri Noorah, akili nyingi
@barnabasanga75523 жыл бұрын
Noorah kumbe umri umeenda
@jumabukko72834 жыл бұрын
A very sincere interview.
@joycewijsman10144 жыл бұрын
Baba styles da jamaa mkali sana
@fredricjames7744 жыл бұрын
Plz plz plz noorah mbn bado uko vzur kwenye game? Unakwama wapi brooooo????
@goodlucktemu31494 жыл бұрын
team kaziii gusa like apa...
@nyamkamawanjara294 жыл бұрын
Dah,kakua noora jamani daa
@jobbup0lly7004 жыл бұрын
Hoya Nurah ludi kwenye game groh
@mohamedimustafa63264 жыл бұрын
Miaka mia noorah
@mtembezikipara86234 жыл бұрын
Mwana umepotea sana
@dach_addiction95574 жыл бұрын
Baba styles respect bro
@aminmohammed42494 жыл бұрын
Man! I like this😊
@mapoghamapogha41004 жыл бұрын
Jamaa amechana kinoma
@mussajacob83464 жыл бұрын
Bg chawa mtafte kali p tujue yuko wapi
@newtonelly60194 жыл бұрын
Alishafariki
@dennismrutu78243 жыл бұрын
@@newtonelly6019 😂😂😂
@mufasa20794 жыл бұрын
Heshima tu Noorah the King
@jasminetesha82254 жыл бұрын
Ice cream mbari sana broo
@elbarrey33054 жыл бұрын
Nilimpenda sana adi watu waliniitaga noorah 🤔🤔🤔 Nnachompongeza na maaamuz yake ya kuacha kumuimbia sheitwan na kurud ktk ibad kwa ajil ya maisha yake ya baadae 😢😢
@fredypastoryutd48644 жыл бұрын
Ulisemaga hautakuja kunenepa wewe na mwanafa ila saiv mmh kweli usimtukane mamba. Hakuna mwembamba duniani. Umejengeka utadhan umekula ciment
@zindunadeson16754 жыл бұрын
Homeboi baba stars
@Ibramoref4 жыл бұрын
Sema unapua kubwa bro.
@mtedewede224 жыл бұрын
Poor management hahahahaha hahahahaha kama rungu la kipepe
@madaisaide69714 жыл бұрын
Noorah na kumbuka vujimambu
@khadjasalum86104 жыл бұрын
Jamani natamani zamani ijirenew tena
@joeboythefuture81354 жыл бұрын
Nakubal
@Hillary_Daudi_Mrema4 жыл бұрын
Baba styleee
@mchovu47614 жыл бұрын
Nliskitika kuskia mez b alkufa yani waltoa dude kali
@richardmasenga27374 жыл бұрын
uyo mnyamwezi arudi ktk game uku wanazingua
@legawayz60934 жыл бұрын
Mzee wa vijimambo
@islamkarata96554 жыл бұрын
Lugha gongana..
@khalifajuma55694 жыл бұрын
Nomaaaaaaa
@msafiribakari59414 жыл бұрын
Lugha gongana
@barakalunyungu84544 жыл бұрын
Huyuu jamaa anajua kinoouma yn
@DonKhalifah4 жыл бұрын
Nakumbuka Lugha gongana
@ponsiankahesi34584 жыл бұрын
Norah amechangamuka sana
@directorjp57834 жыл бұрын
Mtangazaji unazingua!! Sijui una haraka za nini kweny kuuliza mtu hajamaliza swali umemkatisha !! Au memory ya camera ilikua inajaa!???? 🤣🤣😬😬😬
@geeva994 жыл бұрын
Mtangazaji anawenge Norah anajielewa sana ila credit kwa mtangazaji idea nzuri kufanya interview yakihenga
@lakimdiu25474 жыл бұрын
Uishi miaka mingi yeye baraka tele
@famitonawanda48314 жыл бұрын
Mbona pana kelele sana na hapanyeshi mvua
@asma24644 жыл бұрын
Mvua inanyesha hapo
@bahatidaddy14 жыл бұрын
Aisee, tupa hicho kimeo unachotumia kuangalizia
@asma24644 жыл бұрын
@@bahatidaddy1 hahahahaa. Anasema mvua hainyeshi? Hajasikia mpaka mwisho mazungumzo yao wanzungumzia mvua. Na ukitizama kabisa mvua inanyesha. Huyu jamaa vipi
@wazirisukari51784 жыл бұрын
Hahahaaa mvua inanyesha mzee
@Mamsocom4 жыл бұрын
Namkubali sana
@richardkazungu94624 жыл бұрын
Misss u noooh
@batulemwamwaja65244 жыл бұрын
Big up Noorah
@abdillahkhalfan81864 жыл бұрын
Hiiiiiiiiiiiiiiii ndie huyu🤣😂
@amosmaiko55234 жыл бұрын
Haaaaaa
@mrcaroucyempendaatashikaje48754 жыл бұрын
Noma
@ngwaleseif85864 жыл бұрын
Hii pua imekuaje😂
@salummohamed31994 жыл бұрын
Jamaa hivi ule ugonjwa wa kusahau umemuisha
@allysaidi77614 жыл бұрын
Mbn kama kafanana na Mzee mengi hyu jamaa vp ni Mzee wake ama?
@famitonawanda48314 жыл бұрын
Nakuunga mkono ni kweli kabisa ilikua nafikiria huyu kafanana nanani ila ndo umenistua, ni kweli na hiyo pua ndo balaa tupu