Jamaa ana imani kubwa sana ndani yake afu ni mkweli, hope wengi wetu tutajifunza kuhusu imani kupitia interview hii. Big up Bro. Millard
@mbotwambotwa21862 жыл бұрын
Majibu mazari barikiwa sana
@Queen-be1uf4 жыл бұрын
Mashaallah. Allah atakujaalia utaswali pia. Jitahidi uswali sala tano.
@jihadabdi77544 жыл бұрын
Nampenda sana huyu msela Millard ayo big up bro unamaswali yakueleweka
@giovannygracious34344 жыл бұрын
Bwana asipolinda Mji waulindao wafanya kazi bure!! Unaweza ukawa na mageti makubwa na kufuli za alam na bado wez wakavunja na kuiba!! Unaweka turubai unafunga Duka lako unaenda nyumban unalala usingiz mtammmmm kabisaaa Bwana analinda!! Barikiwa mnoooo kaka kikubwa Iman yako na Mungu wako!! Mungu akuinue mnooo katika viwango vya juu.
@KA-yz2ld4 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu na mimi nakuomba unizidishie imani kwako yakumpita huyu kaka by your grace🙏🏿... Kaka Nakuombea M/Mungu azidi kukuendeleza kwa kila namna 🙏🏿...
@winnermariah4 жыл бұрын
Huyu Kaka 🙌🙌Imani yake Kali sana na MUNGU anampenda mnoo..ila Aanze Kusali Abarikiwe Zaidi
@hannansdeliciousfood42612 жыл бұрын
Hamim sasa uswali bila swala unamuuzi Mungu...Allah hapendi mtu asiependa ibada....lengo tuliloumbiwa ni kumuabudu Allah...S.W....
@harounali90574 жыл бұрын
Kijana chapa kazi uko mbali sana kidunia na Allaah aku ongoze zaidi katika twaa yake uapate kumsujudia.
@mutheekigwaci48714 жыл бұрын
Huyu Ni mtunguyaz budaboss Mungu akubariki njaro zako zakubarika👊👊👊👊🙏💪
@nalyismail99154 жыл бұрын
Jamaa uko vizuri Ana jiamini Sanaa,kubwa kulikoo sio muongo anaongea ukweliii wenginee wanacheka halii ya kuwa hata msikitin ama kanisani hawajawahii fikaa miaka mingi zaidi yakee,imanii tuu kuamini kwa kila jamboo kuwa mungu yupoo na sio kila anae swalii ndio msafii Sana kuliko wenginee mungu tuu ndio anajuaa
@thobiasmwambeta69904 жыл бұрын
Acheni Iman mbaya, Nampa big up jamaa anaiman Kali Sana kumuamin Mungu .
@seifchembela43464 жыл бұрын
Kwaiyo wanao weka milango awa Amin mungu
@farajakasikile88464 жыл бұрын
Sio kwamba awaamini ila imani yake pia ni kubwa
@happyjohn58824 жыл бұрын
@@seifchembela4346 kuna tofauti kati ya imanii na kumwomba Mungu, ukiwa na imanii yaan hata kumwabudi Mungu nikitu simple coz maandiko matakatifu ynasema "" Tukiwa na imanii kama punje ya diliani basi tutauwambia mlima ng'ooka na unang'ooka tuu.so hongera sana kwakee brother
@sidratybinkhamis28374 жыл бұрын
Kwel
@shamilanunu40454 жыл бұрын
Ana lolote.....Mzee wa Miba huyu
@adremapanya17594 жыл бұрын
Respect kwako Braza Millard Ayo
@mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын
Subhan Allah, interview nzuri sanaa, Mmmh Yuatisha Jamaa.Millard Mfayie Suprise Ya Mlango wa duka.
@bahatsamson72204 жыл бұрын
Daah, kweli MUNGU mkuu
@alexmoses76454 жыл бұрын
@@bahatsamson7220 y7y
@eliuthamangula17914 жыл бұрын
Millard uko vizuri utangazaji: nice questions flow. Mtangazaji mwingine apate mtu anajibu kimkato hivi interview Haizidi dakika moja.
@kulwamartin2954 жыл бұрын
Ana Flows nzuri za Maswali...Nampongeza sana @Millardayo
@sebanyalusi64934 жыл бұрын
Millard uko good mzee
@msetikebwasi68954 жыл бұрын
mjibuji ndo balaa
@arushijuma60564 жыл бұрын
Genius Allah akujaliee uanzwe swalaaa brother
@prudencecharles89804 жыл бұрын
Hata Mimi naamini sane mungu he can move mountains...i just love his faith mungu na amubariki
@mwanahamisisaidihamisi62393 жыл бұрын
Mashaallah mungu akuzidishie imani
@eriqemarson23624 жыл бұрын
Kuna kitu kaongea huyu jamaaa...."Hatua ya kesho huijui na kikubwa kumuamini sana Mungu" aseee hili swala ni kubwa sana maana huyu mjuba kaelewa kwamba Mwenyezi Mungu ndie mlizi wetu sana wa kila siku.... may our almight one God bless this Guy truly! maana kama kweli amekiri kwa ndimi zake kwamba Mungu yupo na ndiye mlinzi wetu sisi wanaadam basi Namuombea sana azidi kumfanikisha. Inshallah!!!
@mussaabdiel97974 жыл бұрын
Jaribu na ww dukan kwako
@fredducaunt17244 жыл бұрын
@@mussaabdiel9797 Hapo ni kumjaribu Mungu wewe
@wanderenyeura90114 жыл бұрын
Amina
@Intertainment-z1x Жыл бұрын
Kweli mungu ana nguvu sana bro
@Mjingafaki4 жыл бұрын
Jamaaa kanichekesha sanaa majibu yake
@ayubujohn76214 жыл бұрын
Nimependa sana interview yako mungu akubaliki kazi yako
@hassanmkungile60214 жыл бұрын
Uyu Jamaa anaailkili Sana na wamekutana wote Akil mingi 😂😂😂
@abasisabuni38834 жыл бұрын
Ma Shaa Allah Best interview Kuna kitu cha kujifunza kwa huyu jamaa tuchukue mazuri yake especially vile anaamin katika Mungu naamin atakuja kua Muumin mzuri Big Millard Ayo Leo umepatikana brother
@maidasaid94494 жыл бұрын
"Sauti y mke wangu uisikie ww...iyo haipo" hata dini inakataz...safi kijana hapa umejali thamani y mke na mwanamke
@sospetermathias42534 жыл бұрын
Noma sana Millard sijawahi kuzichoka habari zako
@jamalmohamed40584 жыл бұрын
MASHA ALLAH... AMEMTANGULIZA ALLAH
@djsumahassan26234 жыл бұрын
juu ya yote ALLAH ndie muweza wa kila jambo brother uko vizuri ALLAH akupe maisha marefu
@hannansdeliciousfood42612 жыл бұрын
Allahumma Amiin Allah anatosha
@estatekisombola92514 жыл бұрын
Jamaa ana akili nyingi sana love from Australia 🇦🇺🇦🇺
@MauFundiElectronics Жыл бұрын
Interview za Millard ayo TV ni mzuri sana yaani anajua kuuliza maswali yale ya muhimu ni mzuri sana interview
@lizburton98333 жыл бұрын
Wow! This is God an God is every where , every one believe Tanzania their tough on witch craft but u cant imagine how believe he is
@ml-elisante-kwayayavijanai65704 жыл бұрын
Kweli Kama anamwamini Mungu itakuwa anaiman kubwa Sana. Big up bro
@mbarakabdallah46314 жыл бұрын
Hyu jamaa anajielewa..ila kwenye ibada ndio mtihani...Allah swt amuongoze ktk hili.
@gangmore90914 жыл бұрын
Karibu zanzibar wapo wanao fanya ibada lkni ktk biashara zao hawamuamini Mungu wanafanya ushirikina wapo wanaofnya ibada maisha yao hawamwamini Mungu wenye imani mbovu watakuchukulia vingine ila mlizi wa anaefanya ibada na asiefanya ibada Mungu peke yke
@idreamfoto4 жыл бұрын
God First!
@mbarakabdallah46314 жыл бұрын
Daah milad blog yako inapendwa kichizi..hadi laki zako one m na zidi ...hongera kwanza
@marywillium74714 жыл бұрын
Nakupenda Millardayo kwa Kaz Zako..GOD BLESS YOU KTK KAZI ZAKO...♥️♥️♥️😍😍
@stellashore31044 жыл бұрын
Mmh,kuswali haswali,labda kama ni mtoaji mzuri wa sadaka na kusaidia wasiojiweza ,Mungu analinda kweli.
@Chinewlaroi Жыл бұрын
iyo Noma sana
@jobaisyrainer7114 жыл бұрын
km unaamin uyu jamaaa ni mafyaaa wa ndumba gonga like twende sw
@mtukwaomedia4 жыл бұрын
Milad ayo unamaswali mazuri sana
@suncheofficial58274 жыл бұрын
Huyu jamaa toka dk 1 ya interview kamtaja mungu zaidi mara 20 imani kubwa san
@rukiamsomi68694 жыл бұрын
Ila kuswali haswali
@tumtumkhan31154 жыл бұрын
Jamaa amenifurahisha kweli. Nilikuwa na tafash zangu nimezisahau
@hawabilali48374 жыл бұрын
Hakika Mungu anaangalia moyo wa mtu, kumuamini Mungu kupo ndani ya mtu sio watu wanavyokutazama.
@tricemollel6739 Жыл бұрын
Jmn millard hilo ni bonge la interview ♥️🙏💪
@dumelatembo68024 жыл бұрын
HII IMANI NI KALI SANA NAAMINI MUNGU YU MWEMA NA anapotajwa na anaye mwamini humbariki mara dufu.
@neemamosha23274 жыл бұрын
DUME LA TEMBO amen
@winnermariah4 жыл бұрын
Ameeen
@godfreypeter34744 жыл бұрын
Safi
@serahmwanja86884 жыл бұрын
Asante. How are you doing fine
@fatmakhanii16764 жыл бұрын
Hongera sana kwa kweli maongezi yako Yana hekma sana ila hapo kwenye ibada ndio katuangusha ila mungu atamfanyia wepesi inshaAllah
@katibatanzania30894 жыл бұрын
Uyu jamaa yy amemuamini sana mungu ndiyo mana amejiyamini na wa tnzna awajawahi kuona mayisha ya namna hiyo ndiyo mana wanashindwa kuiba
@mcctz36724 жыл бұрын
Mmmh ametisha
@titusmayala46584 жыл бұрын
Hahaha, ana confidence sana na anajibu kwa kujiamini, nachojiuliza haendi kuswali kuna nn hapooo?
@rahmahersi65844 жыл бұрын
Ishi uone mengi ya dunia. Millard Ayo.
@ismailmajala28024 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤦🏽♂️ mlinzi ninaye Mwenyezi Mungu 🙏 Allah akupe nguvu na iman thabit
@brobabuu39734 жыл бұрын
Kwa yeyote anayesoma hii.. nakuombea Baraka na maisha marefu yenye mafanikio tele. siku njema iwe kwako na kwa familia yako YOTE.! Ikikupendeza waweza pita kwenye channel yangu napost mada mbali mbali za biashara na mafanikio uweze kujifunza jambo siku ya leo. Kwa pamoja tutafanikiwa!!
@erickevarist87383 жыл бұрын
Hata mungu anasema usimruhusu ibilisi nafasi wewe
@mussafoum65622 жыл бұрын
Safi sana
@saidabdullah72734 жыл бұрын
Mungu ndio kila kitu jamani... ukimuamini kikweli haswa utashangaa ulinzi wake hakuna mlinzi zaidi ya mungu...maneno yake sahihi kabisaa
@baltzrluus32874 жыл бұрын
nawewe amini halafu usifunge mlango
@allthingdranabeauty4 жыл бұрын
Sometimes sio uchawi sababu anajiamini na hao walimzunguka hawawezi sababu wameshajiwekea kuwa ni uchawi sio hawawezi kuiba kwa kuogopa
@hajihassan54334 жыл бұрын
Angefungua huku kwetu huyo Mungu ndio angemtwika Mwizi mzigo.
@gloryjulius11084 жыл бұрын
Hakika hakuna kinachomshinda Mungu aminini tu
@alhamdulillah57964 жыл бұрын
Hakuna imani ya mtu kumuamini Mungu halafu uikate miaka 7 hujasujudu. Kwawaida ya imani ya kumuamini Allah/Mungu inakupeleka kwenye khofu ya kutokutenda aliyoyaamrisha na kukupa mapenzi ya Mola wako. Ssa yy imani yake iwe inampeleka wapi miaka yote hiyo? Na anaimani kubwa ya kuacha duka lisiguswe. Allah anajua yaliyokwenye nafs yake lkn ndugu zangu tofauti ya muisilam na asiekua muisilam ni swala. Na alipojiwa Nabii Mussa (A.S) na mwanamke aliyezini na kuua mtoto akamfukuza kwa kukhofia adhabu za Allah zisishuke naye yupo pamoja na yule mama. ALLAH alimtaka amrejeshe yule mama na akamuuliza Nabii Mussa kwani hakuona mtu mwenye makosa zaidi kuliko huyo mama na akaambiwa ni twariqu swalaa ambaye kinaingia kipindi cha swala na yy anaamua kwa makusudi kua haswali. Swala ni mkoba wa kutia amali zako bila ya swala ni sawa na kwenda kuokota maembe halafu ukawa huna cha kutilia. Kama kweli anamuamini Mungu na anajua Mungu anamlindia mali yake imani ingekwenda kwenye kurejesha shukurani/swala na ingemtengeneza hadi akaingia masjid kujumuika na wanaume wenziwe na pengine adhana ya sala anaisikia na anaipuuza imani gani hio kubwa? Allah amuongoze yy na sie, Amiin.
@violetpaulsen17413 жыл бұрын
Tumuamin sana Mungu ndugu zangu
@breackychangwe73264 жыл бұрын
Daaaaah Jamaa Akili nyingi sana
@fatmastawbry60904 жыл бұрын
angeswali mungu angebariki biashara yake.imani bila kuswali haina barka
@kibonaamenye68784 жыл бұрын
ebwanae Mungu yupo na anaishi na watu wake, amini Mungu yupo na nguvu zake na miujiza yake inatembea nasi., Amim kunakitu umenifunza
@asiajuma83304 жыл бұрын
Mungu ndio kila kitu kaka uko vizuri alafu ni mtafutaji sana
@bmpondamussa36244 жыл бұрын
Maa sha llah kama unamuamini Allah kweli nikila kitu ila namshauli aswali.
@epafrangweshemi40144 жыл бұрын
Kama anayosema ni kweli, Ndio imani tunayopaswa kuwa nayo yani mahusiano ya moja kwa moja na Mungu. Kanisa, misikiti na mahekalu yanasaidia tu kutufundisha na kutukumbusha juu ya kumjua Mungu na uwezo wake. Kuna la kujifunza kuhusu Imani hapa kuwa Mungu anaweza kila kitu isipokuwa sisi wenyewe tunamwekea mipaka na kujitia unajisi ndio tunapotetereka.
@kijonalusay4 жыл бұрын
Nimempenda jamaa jinsi anavojibu maswali Allah azidi kumsimamia ila kazingua kua ana zaidi ya miaka 7 hajaswali hakika huu ni mtihani kwake Allah amjalie na imani yake izidi na aanze kusali
@aminafesali58174 жыл бұрын
Amin insha allah atamjalia na atasali insha allah
@lawrencerichline46714 жыл бұрын
Imani ni bora kuliko dini
@pickmaxtv76894 жыл бұрын
Kikubwa kumuamini mungu anayosema yanawezekana
@abuyunusmohamed69614 жыл бұрын
Kumbuka mwenyezi Mungu aliyetuumba ndiye alietuamrisha tuchukue tahadhari.Uinzi muhimu
@soudmeena4 жыл бұрын
Bhi
@abdujuma14394 жыл бұрын
Daah blaza we niatali xn
@iddyshabani59424 жыл бұрын
KAMA UMEGUNDUA MILARD AYO ANA WASI WASI /KITETE /MTERO GONGA LIKE
@venerandamdede93764 жыл бұрын
Hahahahaa kabisa anaogopa
@mrsjj88044 жыл бұрын
Hhhhh basi haaya
@robertchugu79324 жыл бұрын
Anamtero kama wote
@husnamahadhi74374 жыл бұрын
Hahaaa
@tawfiqahmadbakari43144 жыл бұрын
Jamaa ana maconfidence hatr
@d.m4534 жыл бұрын
Ujasiri wake umewafanya watu kuwa waoga wanahisi kunanguvu ya ziada,wanashindwa kuiba.
@lizzydiy45904 жыл бұрын
Mmmh sio rahis kua na ujasir huo pengne Kuna kityuu
@mustaphyassin97434 жыл бұрын
Debora nicheki kwa no 0629908339
@d.m4534 жыл бұрын
@@mustaphyassin9743 Kuna nini?
@hannansdeliciousfood42612 жыл бұрын
Karib znz Hamim tunakukaribisha
@allyhussein63634 жыл бұрын
Angekuja kufungua uku mtaan kwetu. Nadhani akil ingemkaa xawa tu. Wangap wanakubal kuwa mtaan kwao amnaga uzembe kama uwo? Like hapa na ku comment
@rehemaally75204 жыл бұрын
twende saw boc
@jasmineshechambo34014 жыл бұрын
Iba wibiwe
@monicanyefwe48084 жыл бұрын
😂😂😂
@binbarwan74014 жыл бұрын
km kwnu hkuna uzembe nenda kamuibie uone km hujatembea uchi😀😀😀
@zenadaudzena28494 жыл бұрын
😂🤣🤣
@favourkind37464 жыл бұрын
Imani ya kumwamini Mungu tu
@khadhoujjojo3384 жыл бұрын
Astaghfirullah muislamu na huswali na wamuamini mungu..."kumuamini Allah(M. Mungu) ni misingi ya dini zote.
@rukiamussa95094 жыл бұрын
Unaweza usali na matendo yako ya ovyo ndio mana unaambiwa UISLAM UNAANZA IMANI MASHALLAH KAK MUNGU AKUONGEZEE IMANI ZAID SIKU MUJA UTASWALI INSHAALLAH
@alhamdulillah57964 жыл бұрын
@@rukiamussa9509, Tofauti ya kafiri/asiemuisilam na muisilam ni swala
@mariammuscat43004 жыл бұрын
Aallah amjaliye aswali
@khadhoujjojo3384 жыл бұрын
@@mariammuscat4300 Allahumma Ameen
@mwinyicostantino98624 жыл бұрын
Hahaha! mr milard apa uligonga mwamba broo ulikifata sicho ulichokipata;pole ila unapambana 4sure broo,kip it up
@silakweya59813 жыл бұрын
Kakutana na jiwe kavu aseee
@angeljasson43764 жыл бұрын
Hyu jamaa inawezekana hana lolote ila kwakua sio kawaida watu wanaogopa2 alf ana akili nyingi sana
@jumandutu22754 жыл бұрын
Ndo ivoo masikini
@dotosalim50904 жыл бұрын
Umeonaee
@hadijalukas59594 жыл бұрын
yani huyu mjanja sana hana rorote wala chochote ila kawashika nyota wezi
@ZaharadaffaZaharadaff4 жыл бұрын
Nakubaliana na wewe
@7limonuh2714 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@grecioussilas98854 жыл бұрын
milard kweli unatupasha habari sina cha kukupa ila ...# mungu atakupandisha viwangoooooo
@allisonmadii76204 жыл бұрын
Ntwara Njini kwa Nkuu wa Nkoa..hahaha nimekubali.
@frankg.heavenly24754 жыл бұрын
Hahahahahaaaa
@mrsochu-hv7bm4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣mbavu zangu mie
@healthchoicewithluciebern87414 жыл бұрын
Anamfanana na Mama Diamond bien Sandra
@mwinukafundibombanjombe4 жыл бұрын
Wezi lazima wanamjua uyu jamaa ivyo wanaogopa kuingia kwenye 18 zake
@m.mmarckus62984 жыл бұрын
Kweli,watu waone njia ipo wazi washindwe kupita kufanya yao
@biharucussi81304 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@marymagdalinengala15674 жыл бұрын
😂😂😂😂kabxaa
@eliajuma90124 жыл бұрын
Et duka unaacha waz arafu unamwachia mungu ukulindie! Mungu humsaidia yule anaejisadia mwenyew
@rachelhozza70474 жыл бұрын
haaah shikamoo mzee wa mungu
@justinjoshua10594 жыл бұрын
Nskukubali sana Millard ayo
@husnamahadhi74374 жыл бұрын
Hakujiombea nafsi yake ameiombea jamii huyu kaka Mungu amsahidie in sha Allah
@gracetiampati21704 жыл бұрын
Millard Ayo. Nakupongeza kwa kazi nzuri unayo fanya. But ningomba uweze kua unawesa simu ya mwanchi maskini Kama huyu kwenye habari zake unapo zizimua, ili walinwengu wapenda wema na wanao sikia Kama wamependezwa na juhudi na Imani ya mtu Kama huyu na kutaka kumchangia kitu kidogo pengine akaweza kuongeza biashara yake au kununua matunda akala na familia yake Basi anawesa kuwapatia. Please
@sharifukalanje45972 жыл бұрын
Dah nouna sana
@swahibsinjo84394 жыл бұрын
Kuna kitu ya pazia huyu jamaa anatudanganya, hata Mungu anataka ujisaidie kwanza ili akusaidie sasa wewe jaribu kuacha milango wazi halafu useme Mungu atakulindia, kama ndo hivyo tusingekuwa tunaenda makazini Mungu anatudondoshea tu biriani gheto!!!
@habakukihabakkuk75684 жыл бұрын
Noma sana
@Waytozanzibar4 жыл бұрын
Huyu kuna siku atakuta magazeti2 ktk hicho kichochoro, mwache ajifanye anaimani ya Mungu. Mungu anasema kwanza anza kujilinda namimi ndio nitakulinda, sasa wewe una-acha uchochoro wako wazi then unasema unamtegemea Mungu.
@rickyfyne77954 жыл бұрын
Dah!! Imetisha sana hii
@upendohalisi804 жыл бұрын
Millard upo vizuri ktk tasnia hii
@abuusalim42334 жыл бұрын
Asante millad
@bintiiddy70434 жыл бұрын
Kijana yuko vzr mjengo wake wamaona insha Allah kijana utamalizia😍👌
@humphreydaimon70284 жыл бұрын
Mjengo noma isee
@iddijumbe18164 жыл бұрын
@@humphreydaimon7028 0
@jamii_yetu4 жыл бұрын
Big up broo na pole kwa safari
@zabibumunis6734 жыл бұрын
Baada ya interview baadae hao Majamaa wanaotizama hapo watakujakujaribu kuiba
@mshindinewtvshow7054 жыл бұрын
Safi sana huyu jamaa
@sharifakhamis24614 жыл бұрын
Siri yangu siri yangu
@lydiamuli33284 жыл бұрын
Mpaka kuacha duka bila.mlango ni siri yangu 😁😁
@nsesheyemwasote62484 жыл бұрын
😂😂😂kwa kweli
@fadhilsanga28474 жыл бұрын
Millard ayo uko vizuri. Kwa kaZi yako Naququbali. ..,...
@ediboutros54644 жыл бұрын
Mtu anamuigopa mungu miaka 7 hajaswali Allah amsaidie mzee wetu
@fatmaahamadabass8080 Жыл бұрын
Nitakuja Nalingu nikuone kakangu Inshallah si mchezo salut kwako.
@amaniamani11294 жыл бұрын
Nimependa hekima ya majibu yake yupo vizurii Sana'a Na katika maisha ujasirii ni dawa toshaaa
@abumoyo53414 жыл бұрын
Nimekuelewaa sanaa baharia
@kingwatabata42304 жыл бұрын
Kama umesikia SISWARI twende sawa😂
@mwanzomwisho12174 жыл бұрын
Nimesikia ''SISWALI'' ila sio ''SISWARI''.
@moonfmoontv4 жыл бұрын
Am from German.. I don't understand Swahili... But huyu jamaa katisha sana