Vituko vya Mawahabi.....!! Mawahabi wamegawika sehemu 3 1. Tabligh hawa wanaonekana wajinga hawana elimu wanatumia Hadithi za uongo na visa vya kutunga 2. Majadide hawa nao ni Mawahabi wanaojiona wanajua na wanaelimu kuliko waislam wote 3. Hizbia pia nao ni Mawahabi wanaowazarau Mawahabi wenzao na kujiona wao wapo sahihi zaidi na wanachokijua wao ndio kipo sahihi zaidi NB: Mawahabi woote hao wanawadharau Masufi wanawaona wamepotea ila wao kwa wao wenyewe kwa wenyewe pia wanadharauliana Tabligh wanawadharau Hizbia na Jadide na hao wengine kadhalika wanawadharau wasiokuwa wao. Hawa jamaa wanavituko hasaa wazee wa kujua kila kitu 8:07
@ilyaaswambi16222 жыл бұрын
Kwa maoni haya,inadhihirisha wazi kuwa waislam tuna matatizo makubwa, wale mashalla, wale si shehe, wale unatafuta umaarufu, NINI Waislam, uislamu ni nuru, tushindane kwa mema, anaekosea mwite umfahishe, ndio FADHAKIR, Vyenginevyo hatufiki, Mola atubariki
@abbaspaziaog2188 Жыл бұрын
Qassimu. Ni mhuni katika dini na ni jadidah kubwa Tanzania akifuatiwa na imamu Hamisi wote hawajielewi
Hawa jamaa wanatuharibia dini. Hivi kweli hayo majibizano yao ndio tuite da'waa au wao wanatambiana? Sisi tunafaidika nini hapo? Waislam amkeni
@abuusufiyanjamada3775 Жыл бұрын
Huyu kijana mwenye kutia kinyaa kwenye manhaji yake isiyoeleweka siku hizi kadumbukia shimo lipi ? Make hatumsikii kelele zake
@lilianmakwati52282 жыл бұрын
Kwa sasa adui wa muislamu ni muislamu mwenyewe
@mahmoudmahsein12772 жыл бұрын
kwanini mnaacha kulingania na mnakesha kujibizana nyie kwa nyie, Huu sio uislam aliotuachia mtume Muhammad s.a.w. kila kukicha vijembe
@salafnungwi57232 жыл бұрын
Wasema kuwa hujafikia kuitwa SHEIKH ilhaali Description zako zimeandikwa SHEIKH MUHAMMAD! Tanga umeenda kutafuta kiki ya kupata umaarufu. NAMUOMBA ALLAH UJIBIWE NA AL AKHY ABUL ABASS OR ABUU UMEYR Na wengine katika Masheikh wakuangalie tu namna ya ubwekaji wako
@islamyussuf81352 жыл бұрын
Assalamu Aleykum
@mohdkhatib2232 жыл бұрын
ALLAH akuondoe huko kwenye ujadiida, maana ujinga umekuzidi sana
@salafnungwi57232 жыл бұрын
@@mohdkhatib223 Unaelewa unachokiongea? Pameandika kitu gani na wewe unaandk kt gn?
@mansourhubby73982 жыл бұрын
Dhana ni mbaya we jadida
@salafnungwi57232 жыл бұрын
@@mansourhubby7398 Jadida ni nini? Kushanya audio zote za masheikh wako uniletee maana halisi ya JADIDA!