Tunaomba huu uwanja ufunikwe juu i mean uweze kufunga na kufungua kama uke wa mercedes benz cz afa raman unaend kwa kias flan waongeze hiyo roof kuufanya uwe na muonekan na wakisas zaid
@abdulhamis98256 ай бұрын
Kwann Pesa Hzi Zote Zisingewekezwa Katika Ukarabat Mkubwa Wa Viwanja Vyetu Vya Mikoan Kwa Lengo La Kkuza Zaid Michezo Na Miundombinu? Je Hzo Pesa Ni Zetu Au Ndio Mnaenda Kukopa Tena Mje Kuanza Kutupandishia Bei Ya Vyakula Na Mahitaj Muhimu
@husseinhemedi93146 ай бұрын
Mama anaupiga mwingi Chuga tumebakiza kupandisha tem ligi kuu na itawezekana2 INSHAALLAH 🙏🇹🇿
@emmanuelde5556 ай бұрын
Kabisa ikishndkana Tunanunua
@williamsenkoro22106 ай бұрын
Pesa za AFC hutolewa kwa nchi ambazo zitafanyika mashindano Sasa mashindano yatafanyika nchi tatu za Africa mashariki. Tanzania , Kenya na nyingine. Sasa pesa za FIFA zinajenga utasilia CCM watapita na upepo. Mama anaupiga meingi😅
@princekim996 ай бұрын
Mama anaupiga mwingi kuhusu nini sasa
@Ramambena5 ай бұрын
Ok
@user-tx1dg4wp9c6 ай бұрын
Fire 🔥
@AngelaSamwel4 ай бұрын
Arusha sehemu gan
@bishweko6 ай бұрын
Na kile ilisemekana kitajengwa Dodoma kiliishia wapi?
@slayseyfer77496 ай бұрын
kwann wa dodoma hauishi??
@abdulhamis98256 ай бұрын
Ule Wa Dodoma Hauwez Kujengwa Kwa Kasi Jwa Sababu Ni Msaada Ambao Aliomba JPM kutoka Serikal Ya Morroco Huu Wa Arusha Ni Mkopo Kutoka China Kwahyo Kuna Faida Ya Watu Hapo Lazma Upigiwe Promotion
@princekim996 ай бұрын
@@abdulhamis9825 kaka mkopo wa china au hela za fifa acheni kudanganyana manina nyie
@zainabramadhani983811 күн бұрын
Tunataka na stend kubwa ya kisasa na soko
@user-tx1dg4wp9c6 ай бұрын
Wakwanza mimi jamani like
@EmanuelBenedictoJonh5 ай бұрын
😅ss ln mtaendeleza soka katika level ya kimataifa unataka ukarabati viwanja vya sodo na unaacha maeneo yanayolenga Maeneo ya kulipwa viwanja Bora vinachochea soka bora😅😅😅
@arnoldlyimo42914 ай бұрын
Dodom ni jangwa uko jamani
@trendings12936 ай бұрын
Yani Kwetu kabisa na Sisi tunakuwa na uwanja
@karimjuma40196 ай бұрын
Mngejenga mwanza
@slayseyfer77496 ай бұрын
nataka nijibiwe chap kabla cjafanya maamzi magumu
@abdulhamis98256 ай бұрын
Hutopata Jbu Ambalo Litakufurahisha Sema Nikwambie Tu Ule Uwanja Wa Dom Ulikuwa Ni Msaada Kutoka Serikal Ya Kifalme Ya Morroco Ambao JPM aliomba Kwa Mfalme Wao Ila Huu Ni Mkopo Kutoka Serikal Ya China Kwahyo Kuna Maslahi Ya Waliokuwepo Madarakan Ndio Maana Unapigwa Promo
@kwisa48996 ай бұрын
walitakiwa wamalizane kwanza na Dodoma,pia Dodoma ni center, arafu huyu mtoa Jina apunguze uchawa wa kijinga kwene mambo ya kitaifa
@samirsaid20876 ай бұрын
Kabisa nakuunga mkono.dodoma ndo capital city lazima kuwe na uwanja mkubwa