@@princemichael3023 Iyo ni massage ndomana wakapga sehemu ya wazi
@FadhiliSolomoni2 күн бұрын
Wa kwanz leo naomba like jmn
@yahayaannu36632 күн бұрын
Warra DJ smaa Asante🎉
@user-eg1ts2fu9z2 күн бұрын
Ali unatumia Akili Sana kuchambua Bigup Bro
@nasibugunda79272 күн бұрын
Watu wanamkosoa Ali ila hawazingatii anachokisema wanaangalia zaidi muonekano wake na uongeaji wake ila jamaa anajua sana
@user-eg1ts2fu9z2 күн бұрын
@@nasibugunda7927 tatizo hawana Iman kama Israel inauwezo Wa kuangusha ballistic missile duniani Israel ndio nchi yenye itelegence Bora Zaid duniani so ni lazima wangekuwa na tarifa mapema
@GeorgeAkasha-zx2rj2 күн бұрын
@@nasibugunda7927Vitu vingi anavyoongea Ally ndo uhalisia ulivyo na jamaa anajua sana, Tatizo watu wanapenda kusikia habari za kufurahisha na si habari zenye uhalisia....Keep it up broo, Ally Masubi na Henry mwinuka mnajua snaa
@SamwelRobeth2 күн бұрын
@@nasibugunda7927 shida watu WENGINE wazito kwenye uelewa wanamkosea kwa kuwa Hamasaki kuelewa kinachochambuliwa
@SamweliJacob-bm2ij2 күн бұрын
hao wanaokosoa c nawao watuerekezehumu sio kukosoatu
@worldelectro27872 күн бұрын
Benjamin Netanyahu ajiuzulu kwa maana ata watu wake hawamuungi mkono kwa ujinga anaofanya Gaza. Yémen wamefanya vizuri sana Iyo ni kama onyo kwa israel, kwa maana mfumo wao wa anga umeshindwa ku intercept Iyo missile. Israel ikeendelea n'a hiyo ujinga atasababisha maafa mkubwa kwa taifa lake
@kibonaamenye68782 күн бұрын
kwa sasa anacho subiri ni kuondoka na watu wengi maana anajua akiachana na vita anaangushwa so lazima ashikilie KIDUDE
@SamweliJacob-bm2ij2 күн бұрын
Dah ila vyeo vingine duh sasa mtu unawaza ukiachatu kaz unafungwa duh bola mm ambae sna kitu
@ayoubali-x6n2 күн бұрын
MSISAHAU KM PUTIN ALISEMA NA MM NITAWAPA SILAHA MAADUI ZENU
@trendz_25482 күн бұрын
Team mzima leo ipo.napenda sana hii segment toka Kenya
@HusseinAli-g9w2 күн бұрын
Naangalia nikiwa zanzibar kariakoo miembeni big up sana wana sns❤👍👍
@obedysylvester302421 сағат бұрын
Safi sana team hivi ndo vitu vya kuangalia sasa big up guys na wote mnaofatilia Mungu awabariki sana.
@asyajey34792 күн бұрын
Nawapenda sana mkikamilika wote ❤
@GABRIELGEORGE-qq1nj2 күн бұрын
DJ SMA KWENYE MAKALA YAKO YA MWISHO UMETUAHIDI MAKALA DEEP KUHUSIANA NA ISRAEL NA PALESTINE TUNAISUBIRI SANA SANA SANA MZEE WA FACTS NA LOGICS🎊🎉🔥🔥
@raydanfrenk2 күн бұрын
Ww ni pimbi na Dj wako 😅😅😅 kabra ajachambua unajua anachongelea ni upande gan
@djsma2552 күн бұрын
Ipo jikoni
@Awatee2 күн бұрын
@@raydanfrenksi wende BbC uko kwani uliitwa haya na weye nenda uko kwenye taifa la Mungu 😂
@niffonlinetz72142 күн бұрын
@@raydanfrenkkwani umeitwa huku kaka
@FredMwamgogwa-td6ni2 күн бұрын
@@djsma255 tunaisubiri mkuu
@emaneez2 күн бұрын
Dj sma . One and 2. Bro your good .
@muhammadharuna-mh7or2 күн бұрын
Wanaomkuba henrry mwinuka naomba like zenu
@AlexGwiha2 күн бұрын
Hamna mtu humo
@emaneez2 күн бұрын
Noma Henry . Najua Sanna very diplomatic
@thomasjuma98332 күн бұрын
Niko Kakamega Kenya, Asante
@brianbaltazar6198Күн бұрын
Big up sana SNS...nasubiria kwa hamu hiyo platform yenu mpya
@SaidyMwajeka-p2v2 күн бұрын
Huwa mnachambua very good thanks wakuu🎉🎉
@ramahkesh93602 күн бұрын
IRANI NI NEXT LEVEL HAO MBWA IPO SIKU WATAKUJA KULIA KILIO CHA MBWA KOKO😊😊😊
@user-xc6ls9xn8h2 күн бұрын
Safi sana Yemen mpka myaudi akiimbie
@IshipalemyPasko2 күн бұрын
Na atakimbia tu
@GeraldElias-s7j2 күн бұрын
Akimbie aende wapi wakati yeye ndo mwenye nchi hao warabu niwahamiaji lakin mwenye nchi ni muyahudi
@BakariZaid2 күн бұрын
Bro tuombe uzima you know nothing😢
@BakariZaid2 күн бұрын
Israel bure kabisa
@MohamedAhmada-ie7keКүн бұрын
@@GeraldElias-s7jnchi ipi iyo kwani asili yke mayahudi ni wapi
@lwakainaza2 күн бұрын
Allah u Akbar.
@mamilooutukufu35162 күн бұрын
Kiukweli Aly masubi ni fundi aisee Yuko vizur kinyama!! Chuga tunakukubali sana bro Aly masubi
@francomwacha2262Күн бұрын
Wote tuu wako vzr..
@MohdYahya-z8c2 күн бұрын
Mungu awabariki hawa jmaa wachambuz wa kipindi hiki, napenda san vipindi vyenu nafatilia san san kutok zenj
@MasterOil-qm6vw2 күн бұрын
Hamjui kwamba kupiga muda mrefu ndio kunakufanya uwe bora kwenye mapambano huothi wanauzoefu wa kivita kuliko baadhi ya vitengo vya kijeshi ndani ya marekani
@SwedyMohamed-vt5zm2 күн бұрын
Kweli jamaa.Hawa jamaa wameshindikana.
@SAMA-jw4fr2 күн бұрын
Kwanza mujue wana Sns Waisrail ni waongo sana so mujue ivo
@omondiowino78752 күн бұрын
Uongo gani wakati hata wahudhi wamedhibitisha vivyo hivyo
@MakwegaSaidiКүн бұрын
❤ big brothers kwa elimu yenu
@massejobbs42842 күн бұрын
Wachambuzi awanaga upande… lakini inajulika vizuri upande wenu ni Libanon, Yemen, Iran na Palestina. … acheni ushabiki. Mnaaribu kipindi , kuwen kati kati.(neutral)
@felisteronesmo30912 күн бұрын
Hao wengine inaeleweka sio Ally masubi ..
@Niika8702 күн бұрын
Wa mbuzi tu hawa Huwa wanaegemea Rusia na Iran
@victorngulwa23112 күн бұрын
Hahahah
@martinisadru98992 күн бұрын
@@massejobbs4284 ally masubi yuko vizuri, na inaonyesha yeye ni msomi kuliko hao wengine.
@MustaphaManole2 күн бұрын
Sasa km unaumia andaa Chanel yako ufanye Ivo uache kubweka kweny Mambo ya watu
@omondiowino78752 күн бұрын
Yani Dj smaa anadhani kuwa Israel capability yake iko tu palepale...ile siku Israel itaanza vita to the fullest strength kuna nchi ambazo hazitokwepo tena duniani
@felixrumisha5132Күн бұрын
sio kweli, tumeamiishwa tu
@Nassib-h5kКүн бұрын
Hata yy hatakua dunian
@omondiowino7875Күн бұрын
@@Nassib-h5k Israel bado IPO sana
@felixrumisha51329 сағат бұрын
Israel anaonea warabu maskini wanaomzunguka pale, ila hana misuli hiyo, tena awashukuru US, Hamas tu kamtoa kamasi
@iddimwamtemi-ow7kn2 күн бұрын
Wakwanza leo😊
@MikelSitoe2 күн бұрын
Leo tuko pamoja mara nyengine❤❤❤❤
@MaulidiMahamudu2 күн бұрын
Kwakweli hongereni sana Mimi binafsi hupenda sana kuwasikiliza na kuwaangalia kwaajili ya kujifunza na kujua kwa undani kinacho endelea kule mashariki ya kati.
@user-mq9im1wd4x2 күн бұрын
Ila kaka Skay tuletee na jamaa mmoja anaitwa Ibrahim Rahby
@GeraldElias-s7j2 күн бұрын
Naungana nawew lakin pia asimsahau thabiti mrangi jamaa anajua sana
@abuuyusratv3796Күн бұрын
Hongereni sana
@Pedeshee012 күн бұрын
Wahutu wa Yemen wapo vizuri kuliko wahutu wa burundi
@Beckam2542 күн бұрын
😂😂😂
@Pedeshee012 күн бұрын
@@Beckam254 ehhh jamaa wamepata umaarufu ujue wamepigana miaka 8 sijui Tisa na muungano Wa nchi Kama saudia,Umoja Wa falme za kiarabu na baadhi ya nchi washirika Wa saudia.Hawa Wahutu Wa Yemen vita washavizoea na hawana cha kuputeza.Big up Wahutu
@yusufumwasha5482 күн бұрын
Pamoto sana humu hongereni sana
@Williamstozzo2 күн бұрын
Defense systems siyo tu kuwa zinadungua kila kombora linalokuja ila zinafanya tathmini pia muanguko wa hilo kombora na madhara yake...
@eliasaNgahehwa-l2f2 күн бұрын
Wrong
@yassinhamza19692 күн бұрын
Mfumo wa ulinzi unadungua chochote kinaachopita juu chenye asili ya chuma
@thefactbook...16072 күн бұрын
@@yassinhamza1969ahsante kaka wewe unaelewa watu huwa hawaelewi lakini wanajifanya wanajua
@husseincКүн бұрын
Si kweli hizo ni propaganda kuonesha akushindwa kulidungua hili kuficha haibu yemen awezi akarusha kombola hilo la mwendokasi kilometa 2000+ ili likapige bustani ni lazima kuna shabaha muhimu ameikusudia
@SamweliJacob-bm2ij2 күн бұрын
Jaman mm nashangaasana hiv kwamnaosema izarael nitaifa la mungu mbona nitaifa ambalo halina amanikabisa mudawote vita tu inamaana kat ya tanzania yenye amani na izarael wanao ish kwa mashaka mudawote nilip taifa la mungu hapo sierew kabisa yhn
@nassoromfumya73192 күн бұрын
Israel anaua. Why wao wapige sehem ya wazi? Poor interigent?? Ujumbe umeshatumwa mara nyingi. They hsve to fo it!!!!
@MikelSitoe2 күн бұрын
Dini ya kislamu hairuhusu kuua mtu asie kuwa na hatia, ku shambulia sehemu za huduma, za afya kama hospito, sehemu kama shule, ngemana hawa hawafanyi, sio kama hawawezi, Wana weza hayo yote,
@MasterOil-qm6vw2 күн бұрын
Kaka taarifa zilizopo ni kwamba mfumo wa ulinzi wa israel wa Ayan dou pia umeshabuliwa
@Ibrahlaiza2 күн бұрын
Chanel gani ndio ime report hiyo
@nasseralhatmi17622 күн бұрын
@@Ibrahlaizachannel ya kwako
@Awatee2 күн бұрын
@@nasseralhatmi1762😂😂😂😂
@nasseralhatmi17622 күн бұрын
@@Awatee Ndugu yangu Mimi kusema ukweli hawa Wazungu weusi Tanzania hasa Mashoga Weusi Tanzania huwa nawatukana sana sababu ni Wanafiki wakubwa Tanzania na wana WIVU umewajaa kwahiyo hata uwaelemishe vipi wao ni kupinga Wajuaji kila kitu wanakijua na hapo hapo wanawatetea sana Wazungu hata sijui wana nini? Kwahiyo badala yake Mimi nimeamua kuwatukana tuuuu
@Awatee2 күн бұрын
@@nasseralhatmi1762 chuki za udini zinawasumbua hawana jipya
@ClarteCom2 күн бұрын
Kipindi changu pendwa
@maryannqueen73562 күн бұрын
Mimi naishi Germany Ila Nina wasiwasi sana ninaposikia hizo ma kilometers: sababu Putin akifika koo na NATO na aamue kurusha kombora moja kwa majirani, sisi Berlin naona tuko Karibu sana.. Vita Bado ndio testing testing.. May god help us
@Pedeshee012 күн бұрын
Upo mji gani jirani yangu
@FadhiliSolomoni2 күн бұрын
Like jmn me wa kwanza
@salehabdallah2274Күн бұрын
Mungu awabariki kiukweli mnatupa habar na kuzichambua vizur
@MasterOil-qm6vw2 күн бұрын
Marekani bado yuko nyuma sana kwenye silaha amejaza plopaganda t na vibaraka na mamluki
@festohaule97162 күн бұрын
Dunia haina Siri tena..kia mtu anajifua kupigana na kukua kiyasansi
@michaeljuma2542 күн бұрын
Hata Mimi wakati nimeona hiyo taarifa ya Houthi kuwezesha kombora la hypersonic na kulifikia kabisa Tela Aviv ni habari iliyonishangaza
@GeorgeAkasha-zx2rj2 күн бұрын
Russia alishawahi kusema, nyinyi mnawapa maadui zangu silaha waniangamize na Mimi nitawapa maadui zenu silaha pia wawaangamize....Naweza Jenga mashiko kwa hii point mkuu.
@michaeljuma2542 күн бұрын
@@GeorgeAkasha-zx2rj tit for tat
@GeorgeAkasha-zx2rj2 күн бұрын
@@michaeljuma254 Houthi anafadhiliwa sanaa na Iran na pia Iran rafiki ake mkubwa ni Russia( Hizi dots ukiunganisha Kuna point unapata).
@MasterOil-qm6vw2 күн бұрын
Iran ana njia nyingi za kulipa kisisa cha haniey hawana haja ya kutangaza tena kwamba tunafanya kitu fulani wameamua mwendo wa kimya kimya
@salehsaleh13052 күн бұрын
israil anaishi ila kwa hofo ya kuogopa kifo ila mahasimu zake kifo ni ibada
@yuscoramadhan84622 күн бұрын
Ila nakumbuka ktk GPS zilizopita maisha wahi kupinga Iran 🇮🇷 hana hypersonic tena mlikataa
@GABRIELGEORGE-qq1nj2 күн бұрын
NAOMBENI LIKES ZANGU NYINGI SANA KWA AJILI YA BUNDALA DJ SMAA MASUBI NA HENRY MI NDO VIEWER NO1 TODAY🎉🎉
@ahmadabdu29982 күн бұрын
Asante snaa GPS... Na wakubali snaaa...
@flm15302 күн бұрын
Baadae utaskia free yemen😂
@mohammedsalim33152 күн бұрын
Wakajaribu hio hamasi peke yake inawatoa uharo .
@asyajey3479Күн бұрын
Sio rahisi kwa sasa bado ajamalizana na hamas atawezana na Yemen iko kilometer za mabali uko na wayemen kufa kwao kawaida tu huwa hawajali hata 😊
@MussaIdrissa-o4zКүн бұрын
Sky ali masubi dj smaa and henry munaongea sana kwakwel muko vzr. Sanaaa katika uchambuzi swali langu nikwamba muna angalau bunduki kila mmoja wenu hapa
@Saletz-j8q2 күн бұрын
Nawakuli snaa sns
@JustusNteghay2 күн бұрын
Mungu hayuko upande wowote kt vita hiyo.Wachambuzi semeni ukweli bila kuegemea supande wowote.Kumbukeni Hamna mchango wowote wa kusimamisha vita wala kuusaidia upande mnaoupendelea
@sharifahabsi5004Күн бұрын
Pamoja frome Oman 🇴🇲
@GeorgeAkasha-zx2rj2 күн бұрын
Daah broo Ally Masubi kwenye mambo ya kivita unachangamka sana, ushauri wangu kwako jiungeni na wenzenu mtafute mtengeneze hata satellite broo naona mtakuwa mabilionea wakubwa sana baadae
@PAULNYANDILEКүн бұрын
jinga la mwisho
@colmanmfoyi28052 күн бұрын
brothers mko vizuri
@abubakarimsere2 күн бұрын
GPS FOR LIFE ❤
@moddyfirrem64752 күн бұрын
Daah masubi amenoga
@themoredwamichano86362 күн бұрын
Mwanetu sana huyo
@josephwaigama-sb8hz13 сағат бұрын
Hi sana
@frankmushendwas372 күн бұрын
Hii gps tunaomba muirudie sauti imekata sana
@brianbaltazar61982 күн бұрын
Big up sana GPS
@jumaamsuya52 күн бұрын
Shukurani kiukweli leo tumepata madini bg up iyo chaneli mpy tupo pamoja salut
@osmanmohammedosman54932 күн бұрын
DAR TO LUBUMBASHI CONGO NI 2000KM
@KZee-f7n2 күн бұрын
Gps for life ❤
@husseinhemedi9314Күн бұрын
Hizi video zitaixhi mda mrefu xan wazo langu mue mnaweka taree kila makala ya GPS
@ChukuMrido2 күн бұрын
Safi mpo vizuri
@mohdnasser36202 күн бұрын
Yanayo kuja yanafurahisha .wahouthi wamefika kumpaka wa Syria na israel
@AyoubJha-l5j2 күн бұрын
Maswali mazuri sana na Majibu mazuri zaidi
@user-pd5hl9di2q2 күн бұрын
Unakosea mbona meli za marekani na UK na Israel mhuthi anashambulia mbona mhuthi amepiga Israel kwa drone hiyo nayo ameruhusiwa na Irani wakati Yemen alitangaza ana hypersonic, hypersonic hata USA hawezi zuia maana hypersonic zina speed tofautitofauti
@salumabdallah29902 күн бұрын
Kama ni ivo basi israil ni swala la muda tu kupigiga tayari miii naaamini israil hana muda tena
@UUWF2 күн бұрын
Oya ila hapo kuna unyama mwingi . Halafu Ally na Hendry mnamkimbiza sana smaa
@abdillahchikota43038 сағат бұрын
Big up ma broh
@ezekiambise259514 сағат бұрын
Uchambuzi mzuri 🔥
@yuscoramadhan84622 күн бұрын
Sahihi ni nje ya mipaka
@mussasaid55722 күн бұрын
Nawaelewa sana washkaji keep it up
@michaeljuma2542 күн бұрын
Nawapenda sana♥️
@ismailmasoud6001Күн бұрын
Nilimsikia kiongozi wa Yemen anasema hilo kombora la hypersonic walilorusha Israel zipo model nyingine Nne mpya mbele ya Hilo....!...hao ni Yemen , je IRAN atamua na silaha za Gani..!
@ramiamisanya98732 күн бұрын
Hivi hawa miamba 3 kwann wasiingie kwenye Jeshi letu JWTZ ? Mana wana Nondo kali sana pia watalisaidia Jeshi kimbinu,kisilaha etc.
@arttilioemiliam2419Күн бұрын
@@ramiamisanya9873 aaahahaa hujui midomo ni KAZI ya Wa Tz. Vitendo ndio hivyo Tena. Tunasoma Hadi chuo kikuu hata kijiko Cha mbao hatuwezi tengeneza aaa.. wahara
@HamzaMbasha-xs2ky2 күн бұрын
Masubi anaonekana msomi sana huyo jamaa
@FilbertRobert-e4u2 күн бұрын
Daaah! Nimeshangaa sana mnajua
@alhudhaify7810Күн бұрын
Henry namuelewa sn
@ahmedmishamo89972 күн бұрын
Delicious conversation ❤❤❤❤❤
@zawadimpayo38392 күн бұрын
Je wakimiliki nyukia siitakiwa baraha
@igurusitv65532 күн бұрын
Hatari sana, wacha waendelee kubanwa wasilipate
@Pedeshee012 күн бұрын
Wahutu wa Yemen wamekua maarufu kweli
@abkhamsalshamte4292 күн бұрын
Tangia nianze kua mwana sns nimejifunza mengi sn brothers ujumbe umefika na utaendelea so nahitaji kujua zaid kuhs munganyiko wa historia kati zama za nyuma tukiunganisha na sasa.🎉🎉❤
@Josephmashombo2 күн бұрын
Kazi poa sana jamaa bigup
@zakariaabdalla-uo3nk2 күн бұрын
Allah awazidoshie ila mefrah
@inogelapixels2 күн бұрын
Henry Yuko vizuri Sana,ila awe anawapa nafasi na wenzake
@mbux74432 күн бұрын
Heshima kwao
@faidamuhamed30112 күн бұрын
Big up brothers from UAE
@GraceMashinga-be9wb2 күн бұрын
Kubwa sana hii
@user-pd5hl9di2q2 күн бұрын
Technology ya vita kwa sasa IPO juu USA na Israel wamekuwa na ndoto za zamani kuwa ndio vinara wa Vita, Israel waongo maafa ni makubwa kituo cha treni kimeshambuliwa na watu wameumia
@MayalaLubalaКүн бұрын
Israel lazima aimalize yemen kama gaza nai julikane Mungu ni Mungu wa israel
@jafaribori54282 күн бұрын
ninawapenda sana kwakweli ninawafatiliaa kwa ukaribu mmno kutokea hapa England
@golebenson45972 күн бұрын
Ali masubi mchabuzi bora wa makomboraaa.🎉🎉
@naqiahmad262 күн бұрын
mko vizuri maboss
@habibukimwaga52782 күн бұрын
Napenda sana kipindi hichi
@AhmedAhmed-z6m7t2 күн бұрын
Ali Masubi ni Noma kwenye Mambo ya Vita,Ilibidi uingie jeshini
@mrabdultv83562 күн бұрын
Bro sky, Dj SMA, Ally Masubi na Henly kwa hisani yenu nawaombeni mtuletee GPS juu ya jasus wa MOSSAD yule Cohen namna alivyo tumwa syria mpka alipokuja kukamatwa na kunyongwa 1965 nawaombeni
@AGM196972 күн бұрын
Hizo hawatupendi sana
@mrabdultv83562 күн бұрын
@@AGM19697 hawataki wenyewe au nyinyi hapo studio hampendi
@mrabdultv83562 күн бұрын
@@AGM19697 hawataki wenyewe au nyinyi hapo studio hampendi
@user-zh6dw2nh8i2 күн бұрын
Nawakubali sana, ila Kuna mtu ana dominate uchambuzi, Dj sma hapati muda wa kutosha kuchambua. rekebisheni
@MasterOil-qm6vw2 күн бұрын
Mashoga Hata wafe hawasemi Siwanajifanya wana ulinzi kuliko taifa lolote hawana lolote ni waongo wanapiga kilaini kama ngoma wala hawatishi