BREAKING: JPM Atembelea Shule Aliyosoma Nyerere

  Рет қаралды 251,473

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

BREAKING: JPM Atembelea Shule Aliyosoma Nyerere
Rais Dkt John Magufuli, ameendelea na ziara yake ya kutembelea, kukagua na kuzindua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali hapa nchini.
Leo Septemba 05, Rais Magufuli ametembelea shule ya msingi Mwisenge mjini Musoma aliyosoma Baba wa Taifa , Mwl Julius Nyerere.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.youtube.com/... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Suazi1
/ uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .

Пікірлер: 178
@michaelsukwa4371
@michaelsukwa4371 6 жыл бұрын
HONGERA RAIS wetu MAGUFULI kwa kazi nzuri
@yuzotv458
@yuzotv458 6 жыл бұрын
love heart,is the key to leadership.congratulation Dr J.P.M (our presedent of tz)
@jolitejolite1497
@jolitejolite1497 6 жыл бұрын
Mungu akubariki rais wetu akionekana kila siku unabadirisha dila ya maendeleo Tanzania
@marconzilankoma7581
@marconzilankoma7581 6 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania Mungu Mbariki Rais na umrinde Mungu wabariki na watu wake
@ayubunjiwa2818
@ayubunjiwa2818 6 жыл бұрын
Miaka 10 haimtoshi kwa nzuri anayoifanya! Inabidi aongezewe miaka 5 zaidi! Be blessing mh Rais
@ChoroTesla
@ChoroTesla 2 жыл бұрын
Na utabiri wako wakipumbavu haukutimia
@myoutubecom-gg7sb
@myoutubecom-gg7sb 6 жыл бұрын
MaashaAllah
@habilicharles4410
@habilicharles4410 6 жыл бұрын
Huyu Rais ataacha alama kubwa sana baada yakipindi chake kuisha maana anayoyafanya niyaleee ya Baba wa Taifa hili Mwl. J.K. Nyerere. Hongera sana mkuu wetu wa nchi hii mungu akulinde zaidi.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 ай бұрын
na ameshaenda baba huyu dah jmni
@alexjosephat9030
@alexjosephat9030 6 жыл бұрын
Utawaleeeee daimaaaa baba. Nakukubali snaaaa
@pilibarakaiteba8750
@pilibarakaiteba8750 6 жыл бұрын
Apoo safi sanaa yanii nakupendaa kufaa
@yuzotv458
@yuzotv458 6 жыл бұрын
safi sanA WEWE TU NDO UNANIISPIRE KUJA KUA HEAD LEADER WA NCHI.GOOD BETTER BEST,WATOTO LEO NI SIKUKUU YAO JAMENI.👏👏👏👏
@fredkyara.babamunguwambing482
@fredkyara.babamunguwambing482 6 жыл бұрын
Hongera Rais wangu
@yuzotv458
@yuzotv458 6 жыл бұрын
good
@firdausabdullah6315
@firdausabdullah6315 6 жыл бұрын
Kazakh allah kher allah ukaipate akhera yako
@BarakaWaya
@BarakaWaya 6 жыл бұрын
Mungu akibariki Sana mhe. Rais
@zakiamaungazakia720
@zakiamaungazakia720 6 жыл бұрын
Safi sana
@gipsonice7gipsonice791
@gipsonice7gipsonice791 5 жыл бұрын
Asantee
@jonasamos555
@jonasamos555 6 жыл бұрын
Big up diwan Ila sitaki kujua chama chako
@rezegerezege691
@rezegerezege691 3 жыл бұрын
CCM😆😆😆😆😆
@pigapesa1013
@pigapesa1013 6 жыл бұрын
safi sana mh Rais
@agneomasonda2462
@agneomasonda2462 6 жыл бұрын
Safi sana mheshimiwa Rais Mungu akubarikiwe
@paschaljeremiah4903
@paschaljeremiah4903 6 жыл бұрын
Big up Rais wetu kwa kukumbuka wakombozi wetu, I actually appreciate you so much!
@binurarassi8156
@binurarassi8156 6 жыл бұрын
Wanafunzi hao ni Malaika, nao pia Wamefurahi mno kukuona Laivu Rais Magufuli, Na sadaka Hiyo uliyoitoa Hapo ni DUA tosha, Mungu akubariki.
@maryammaram2612
@maryammaram2612 6 жыл бұрын
Najivunia kuwa mTanzania hongera baba magu
@mosesmajige913
@mosesmajige913 6 жыл бұрын
Hi
@maigabarikiwasanamtuwamung5712
@maigabarikiwasanamtuwamung5712 5 жыл бұрын
Hakika Mungu akubariki Sana Mheshimiwa Raisi wetu tunakuombea
@charleskaflela5747
@charleskaflela5747 6 жыл бұрын
Mungu akubariki mh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Wa Tanzania Dr John. P.Joseph Magufuli
@rezegerezege691
@rezegerezege691 3 жыл бұрын
Mwanangu naona Rais na Diwani Manyama Mungu Awalinde . AMINA.
@Paulkipkoech-f6i
@Paulkipkoech-f6i 3 ай бұрын
This one was exceptional... Human touch per excellence!
@jamesjamesalpha8361
@jamesjamesalpha8361 6 жыл бұрын
nakukubali sana Mh Rais wangu
@geofreymgeni2668
@geofreymgeni2668 6 жыл бұрын
the best presendet in africa for now
@francisgituti2494
@francisgituti2494 3 ай бұрын
Fantastic
@paiwanjara3502
@paiwanjara3502 5 жыл бұрын
hongera mheshimiwa namimi nmesoma hapo tangu dalasa la kwanza mpaka 7 naipenda sana
@lisanzai8246
@lisanzai8246 6 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana mueshimiwa
@magibomwita8134
@magibomwita8134 5 жыл бұрын
Mungu hakupe maisha marefu JPM
@mwasitihatibu9691
@mwasitihatibu9691 6 жыл бұрын
mashaallah
@felistermatindi119
@felistermatindi119 4 жыл бұрын
Baba rais wangu nakupenda mpaka nasisimka, hongera baba kwa kazi nzuri
@athumanomary1438
@athumanomary1438 5 жыл бұрын
Asante san baba yetu asante sana viongozi wetu asante sana raisi wetu raisi wetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe
@petermahimbo9450
@petermahimbo9450 5 жыл бұрын
Aamen Aamen Mr president. Mungu akupe uhai mreefu kama ule mount meru
@veronicatweve8908
@veronicatweve8908 2 жыл бұрын
😭😭😭🙏🙏
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 6 ай бұрын
Mashaalah
@frankakuno.9511
@frankakuno.9511 6 жыл бұрын
Safi sana j.p.m
@robertpeter4283
@robertpeter4283 6 жыл бұрын
Hongera jpm rais wetu
@NicodemusMwakifwange
@NicodemusMwakifwange 5 ай бұрын
Hongera kwa kumhenzi Baba wa Taifa Mwl.Julius K.Nyerere
@rezegerezege691
@rezegerezege691 3 жыл бұрын
Tunakubariki Mh. RAIS WETU JOHN POMBE MAGUFULI . TUSAIDIE SANA MKOA WA MARA .
@nelsonmumghamba3767
@nelsonmumghamba3767 6 жыл бұрын
Mh:umekua mfano wa kuigwa ndani ya nchi, ndani ya Bara la África na kimataifa kiujumla, GOD bless you
@deustutu1162
@deustutu1162 6 жыл бұрын
hongera sana rais kuwajal hao watoto walemavu
@abdullahkazungu4025
@abdullahkazungu4025 6 ай бұрын
Mungu akuweke pahala Pema peponi
@LebahatiLaizer-b4q
@LebahatiLaizer-b4q 17 күн бұрын
Lala baba Tulikupenda sana lakn mungu kakupemda zaidy 😭😭
@sadikingstudio8166
@sadikingstudio8166 6 жыл бұрын
Bravo Rais Dr JP MAGUFULI
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 6 ай бұрын
Eh mungu
@JustusMwania
@JustusMwania 6 ай бұрын
Good and important history
@binurarassi8156
@binurarassi8156 6 жыл бұрын
Rais wetu Magufuli, Ni mfano wa kuigwa, Yaani hapo Mzimu wa Nyerere unakuona, Kila anaekuona Hapo Ana furaha isiyo kifani, Nakuombea DUA, Mungu akulinde.
@muddyso1953
@muddyso1953 2 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu humjalie na woote waliefanya makubwa na kuacha alama kubwa kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu
@godlovemrosso8715
@godlovemrosso8715 6 жыл бұрын
Huyu rais ni wa mfano kabisa tumempata kutoka kwa mungu nakuombea rais wangu uwe na afya njema na moyo huo huo
@hajiubwa5659
@hajiubwa5659 5 жыл бұрын
Y
@sakinayusuf5072
@sakinayusuf5072 5 жыл бұрын
Aamin
@atleyutonga6131
@atleyutonga6131 6 жыл бұрын
Hakika Watanzania tuendelee kumuombea huyu Rais, hakika Mungu ametupatia mtu sahihi kwa wakati sahihi
@allykivike7228
@allykivike7228 5 жыл бұрын
Nimefurahi sana raisi kama wewe Africa hakuna mungu akusamehe pale unapo kosea kwani wewe ni binadam ila mimi nakupenda sana nashindwa kujizuia hisia zangu
@abdallahomari8680
@abdallahomari8680 5 жыл бұрын
Nampenda Sana Rais magufuli anaroho inayoongozwa na mungu lkn namshauri pia awe mvumilivu akubali maoni yawengine na aruhusu uhuru wa kujieleza, na kukosolewa anapo teleza.
@raymondkaswaga8334
@raymondkaswaga8334 5 жыл бұрын
Abdallah Omari alikataa lini kukosolewa??
@raymondkaswaga8334
@raymondkaswaga8334 5 жыл бұрын
Abdallah Omari alikataa lini kukosolewa??
@ceciliaonyango301
@ceciliaonyango301 6 жыл бұрын
jamani hadi machozi ya furaha yamenitoka
@habilicharles4410
@habilicharles4410 6 жыл бұрын
Kwel kabisa huyu niwapekee
@enriquebalome8460
@enriquebalome8460 5 жыл бұрын
amini hata mm moyo unatamani aendelee kuwa rais ili Tanzania tuifaidi
@lukasochola576
@lukasochola576 5 жыл бұрын
kiaje na wee ni mkenya tu
@samwellwiza5339
@samwellwiza5339 5 жыл бұрын
Sasa nahisi Nina Raisi....
@ipandeipande538
@ipandeipande538 6 жыл бұрын
vizur
@WilliamMpachila
@WilliamMpachila 6 ай бұрын
Mungu amuweke mahala pema ,amin
@abdallakassim9954
@abdallakassim9954 5 жыл бұрын
Big up our president
@angelmmbaga6043
@angelmmbaga6043 6 жыл бұрын
inapendeza sanaa
@saimonedward8770
@saimonedward8770 6 жыл бұрын
bonge rais mungu akupe maisha maref una moyo ubinadam
@williampilly4832
@williampilly4832 6 жыл бұрын
Ubarikiwe rais wetu
@trickytriggtz9440
@trickytriggtz9440 6 жыл бұрын
Asante JPM
@jamesangole6330
@jamesangole6330 6 жыл бұрын
Love to u Mr President good leadership style
@patrickKitambo
@patrickKitambo 5 жыл бұрын
Mimi naona magufulia tumpe ufalme aongoze mpka mwsho wake atatuo kwenye huu umaskini
@kartelgizemc1590
@kartelgizemc1590 5 жыл бұрын
Good President..
@sembosayenda7182
@sembosayenda7182 6 жыл бұрын
Jamani ukiwa na rais ambae anaijua Tanzania vizuri raha sana
@mfubwakilua5380
@mfubwakilua5380 6 жыл бұрын
Mm mwenyewe zaid machozi yananitoka kweli hakuna km Magufuli
@rajabungereza8755
@rajabungereza8755 5 жыл бұрын
Jembe letu hilo jaman mungu atume nn
@GodfreyMushi-kn3nb
@GodfreyMushi-kn3nb 6 ай бұрын
Bonge la raisi ajawahi kuepo apa tanzania eeeh YESU kumbuka taifa la watu wako utuletee mwingine kama uyuu tunaomba katika haki yako eeeh BWANA tusiaibike
@Tollykiyangakiyanga
@Tollykiyangakiyanga 4 ай бұрын
...😮😮
@saidbarawa9096
@saidbarawa9096 5 жыл бұрын
Wale ambao hawajashuhudia utawala wa Nyerere,Sasa wanaishuhudia kupitia rais magufuli
@GilbertMkandala
@GilbertMkandala 6 ай бұрын
Mzalendo wa kweli ulielipenda Taifa lako Kwa dhati endelea kupumzika 😭😭😭
@nzengamwamulima7724
@nzengamwamulima7724 6 жыл бұрын
I la we we unatakiwa kuwa Rais wa Africa nzima
@saidbarawa9096
@saidbarawa9096 5 жыл бұрын
Rais wa wanyonge,wakenya wenzangu mupo,wakenya tutapata rais Kama jpm lini.
@SophiaMagoti-li8bc
@SophiaMagoti-li8bc 3 ай бұрын
Sijui ndiyo ulikuwa unaianga tz 😢😢
@angelinaelishachisongela7859
@angelinaelishachisongela7859 5 жыл бұрын
Yaan hatuna la kusema zaidi ya kumshukuru MUNGU WETU
@saulikinahi6703
@saulikinahi6703 6 жыл бұрын
Dhamira yako na maono yako juu ya nchi inatia moyo sana
@mako331
@mako331 6 жыл бұрын
Yani ndio nikisikia wajinga wengine wakimpinga huyu Raisi ninasikia uchungu sana, hao ndio watu hawaitakii hii nchi mema wanakula na mafisadi, Mungu akulinde Raisi wetu
@suleimanramadhan6
@suleimanramadhan6 6 жыл бұрын
Kwa hiyo hili dawati alikuwa anakaa peke yake Haya bhana penda Sana kiongozi wangu
@Mwasungastanley
@Mwasungastanley 5 ай бұрын
Rest In Peace My lovely President J.P.M❤️❤️❤️
@saidbarawa9096
@saidbarawa9096 5 жыл бұрын
Tanzania mnarais wa kujivunia, ningependa kuwa mtanzania kwa utawala bora
@thomasmartinez786
@thomasmartinez786 2 жыл бұрын
Pumzika kwa amani jembe daima utakumbukwa 😭😭
@bikosi9537
@bikosi9537 5 жыл бұрын
Magu hoyeeeee
@neemaadamu3698
@neemaadamu3698 5 ай бұрын
Utakumbukwa milele
@athumanomary1438
@athumanomary1438 5 жыл бұрын
Watanzania wenzangu nazidi kuwaomba tuzidi kumuombea raisi wetu kwa mwenyez MUNGU kwa imani zetu
@abdallahmdanga1140
@abdallahmdanga1140 5 жыл бұрын
Muheshimiwa Mungu anakuona hiyo inatosha kabisa kusema
@tatusaid1223
@tatusaid1223 5 жыл бұрын
kama umeskia anko magu akisema, huyu mwalim nae, gonga like hapo
@clementhiddi1486
@clementhiddi1486 4 ай бұрын
JPM♥♥
@HassanSheiza-i4j
@HassanSheiza-i4j 5 ай бұрын
Ulela kwa Amani Tutakukumbuka Milele
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 6 жыл бұрын
Imenigusa sana
@mcmackone1958
@mcmackone1958 6 жыл бұрын
Nashangaa hiyo rangi ya jiwe la kumbu kumbu mbona Ccm?
@awadhirajabu7754
@awadhirajabu7754 5 жыл бұрын
Tunaotumia Airtel Kwakweli Kazi Tunayo Hata Raisi Wetu Atumuoni Vizuri Mtandao Unazunguuka Tu Nilimuomba Wa Halotel Imefunguka Araka Tatizo MB Zimekwisha Nimerudi Kwenye Airtel Malazi Tupu Hata Raisi Wetu Kipenzi Video Zake Za Ziara Atuzioni Kwa Wakati Mpaka Utumie Halotel
@tatusaid1223
@tatusaid1223 5 жыл бұрын
huyu mzee, basi tu,sina la kunena juu yake, mungu ampe maisha maleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeefuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
@JamalDaudlulyeho
@JamalDaudlulyeho 4 ай бұрын
Huwa nikimwona magufuli inaniuma sana kwann tumempoteza
@mudhihirugara8845
@mudhihirugara8845 4 ай бұрын
Chema hakidumu magu ugekuwwpo saizi tungekuwambari
@charznyamaresa5571
@charznyamaresa5571 6 жыл бұрын
jamani tatua matatizo wanaogopawanatetemeka
@suzanpatrick8381
@suzanpatrick8381 6 жыл бұрын
hahaha mwl. mkuu nayeee katumwaaaa
@onyangodominick3789
@onyangodominick3789 5 ай бұрын
Huyu ndio alikua raisi wa Africa Hawa wengine mmmmmmmmm
@shukurudavid4369
@shukurudavid4369 6 жыл бұрын
naona my colleague angu unahojiwa ahahahhha, hataree brooooo
@fredkyara.babamunguwambing482
@fredkyara.babamunguwambing482 6 жыл бұрын
Penda sana wewe JPM. Rais wa mfano wa kuigwa Dunian
@AliBaba-zb3tg
@AliBaba-zb3tg 6 жыл бұрын
Ushauri tu nakupa huu upendo ukimpa mama yako utafanikiwa sana kama huyu unae mpenda alipata baraka kwa mama yake akaja kukuongoza wew sasa nawe jaribu aya mapenzi utafika huku
@piushappyness226
@piushappyness226 5 жыл бұрын
jpm Mungu akutunze baba duh
@damianmakala2913
@damianmakala2913 6 ай бұрын
Rais magufuli alimwamini Sana mungu na alimtanguliza Sana mungu kwenye Kila jambo !
@elishangendabanyikwa3573
@elishangendabanyikwa3573 6 жыл бұрын
Siyo yeye unayemuona huyo!, bali ni MUNGU aishiye ndani yake... Ashukuriwe MHESHIMIWA RAIS wetu JOHN MAGUFULI kwa kukubali kufanyika kuwa makao Makuu ya MUNGU... Hapana shaka kuwa UFALME wa MUNGU umo ndani yake...!!!!!
@imamuhemedi4387
@imamuhemedi4387 5 жыл бұрын
Elisha Ngendabanyikwa
@raurau1015
@raurau1015 6 жыл бұрын
Asate raising
@hassankimweri3646
@hassankimweri3646 5 жыл бұрын
Nashindwa niseme nini
JPM Alivyompigia Lukuvi Hadharani, Amkopesha MIL 1!
10:21
Global TV Online
Рет қаралды 485 М.
0CTOBER 31,2016 ZIARA YA MH RAIS MAGUFULI NCHINI KENYA PARTY ONE
56:16
Which One Is The Best - From Small To Giant #katebrush #shorts
00:17
Win This Dodgeball Game or DIE…
00:36
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 44 МЛН
когда не обедаешь в школе // EVA mash
00:51
EVA mash
Рет қаралды 4,1 МЛН
DP Rigathi Gachagua Addresses the Nation
2:00:02
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 16 М.
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
"NAKUAGIZA MSIMAMISHE KAZI LEO, AMEUA, ETI ALILEWA, KHAA" - MAGUFULI
8:19