Rais Magufuli leo alitembelea Feri ambapo moja ya kitu amefanya baada ya kufika eneo hilo ni kujichanganya na Wananchi kukata tiketi kisha akapanda Panton kwenda na kurudi Kigamboni.
Пікірлер: 709
@msafitv86633 жыл бұрын
Wangapi tumekuja kuangalia baada ya kifo cha raisi wetu?
@rafaelmeza85863 жыл бұрын
😭😭😭 mm aisee
@mamussi68723 жыл бұрын
Wengii tu bora nisiangalie hizi video maana najisikia kulia vile dah
@zulfahyusuph18633 жыл бұрын
Mim
@housnayousif7803 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@marianapatrick59933 жыл бұрын
It's so painful 😭😭R. I. P. JPM
@bashirkambale45734 жыл бұрын
Kama unamukubali magufuli ni mtu wa watu gonga like apa.
@bahatimihambo76393 жыл бұрын
Sku zote utakua nasi mioyoni mwetu
@ahmedsaidi4382 жыл бұрын
No one will ever replace him rest in peace magu
@DottRoBroc3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
@kambamazig020243 ай бұрын
Thank you for sharing your thought, he was a man of the people, humble and honest!
@happykajeli54533 жыл бұрын
Umekuwa Rais wa tofauti sana nenda baba kapumzike upendo wako hautaondoka moyoni mwangu na kwa watanzania wengi 😭😭😭😭
@ibrahimhumbotv7 жыл бұрын
Ucle magu umenifanya nikukubali zaidi siku moja moja sio mbaya kufanya hivi, kama unamkubali unce MAGU gonga LIKE hapa. 👍👍👍😁
@hashimabu68837 жыл бұрын
ibrahim humbo TV Safi sana rais wetu tuko nyuma yako
@magigeametisha96996 жыл бұрын
mmmh
@hawaali81074 жыл бұрын
😭😭😭😭yaani Huyu ni rais wa wanyonge Allah amkinge na kila shar wazanzibar igeni tabia ya huyu jembe acheni ukuda
@simonkaggwanjala95974 жыл бұрын
@@hawaali8107 Anazingua ban Anajipendekeza tu saiv uchaguzi , me ananikera sana kwa sababu ya kuwafunga mashee wasio na hatia😔
@abdiwelidaud6694 жыл бұрын
Rais wa maana ndo huyuu maguli.
@CTM.24Updates3 жыл бұрын
Daàh NANI ANAANGALIA BAADA YA KIFO CHAKE 🙄😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭😭🇹🇿🇹🇿🙏
@crausmasala85723 жыл бұрын
Dah yani inauma sana
@abrahammisanti85573 жыл бұрын
Hao waliopiga naye picha ndio wataria kwa sauti kubwa zaidi
@ameenaameena12243 жыл бұрын
Mimi Huku nalia
@abrahammisanti85573 жыл бұрын
Pole sana Dadaangu
@germanuskalugwa15267 жыл бұрын
dah... uyu siyo raisi ni mkombozi... huwezi pendwa na wote, ila utapendwa na unapendwa na wengi.. asante Mungu kwa kutuletea kiongozi uyu..
@ferouzmasoud47413 жыл бұрын
Inaniuma Sanaa 😭😭😭😭
@tigerabs91232 жыл бұрын
Still watching it 2022 may his soul rest in peace 🕊️✌️
@omanghobra48693 жыл бұрын
Ivi jaman mbona mm nashidwa kujizuia najikuta mda wote nalia😭😭😭
@priscacharlescharles90143 жыл бұрын
Sio peke yako tu my 😭😭😭😭
@fredahkishenyi843 жыл бұрын
Inauma Mungu atusaidie
@josephinanikwelimdacki33303 жыл бұрын
Jizuwie ndugu kisha muombe mungu sana atakupa amani
@hadijamagufuli26613 жыл бұрын
Sio wewe bas tuko wengi mie wakati mwingine naingia ndani nalia mapaka bas na sijajuwa ni kwanini kifo cha huyu Baba mpaka Leo kimeninyima raha we acha mwaya we 😭😭😭
@kambamazig020243 ай бұрын
Si wewe peke yako, tuko wengi! RIP JPM.
@rukkysayid66133 жыл бұрын
Sina la kusema nakuombea dua roho yako ilale mahala pema peponi😭😭😭😭😭😭😭
@denismethod12847 жыл бұрын
Mara moja moja sio mbaya kulipa kodi kazi nzuri mkuu
@juliuskatemi68167 жыл бұрын
huyu ndo rais tulielewana tukimngoja kwa miaka mingi, nampenda Sana rais wa Tanzania. MUNGU akulinde rais wangu
@sarasifazabwana57437 жыл бұрын
julius katemi Isa.25:9"Katika siku hiyo watasema,Tazama,huyu ndiye MUNGU wetu,Ndiye tuliyemngija;Huyu ndiye BWANA tuliyemngoja,Na tushangilie na kuufurahia wokovu wake".MUNGU yuko ndani ya hili Taifa.
@Ryoof-qo7if4 жыл бұрын
Natamani kenya siku moja nasi tupate km magu
@emmanuelbonifase11143 жыл бұрын
Anajichanganya na wanyonge sio mjivuni ukijishusha utapandishwa aminaa rais wa wanyongee
@magdalenaashery37423 жыл бұрын
Jamani kumbe magu alikua anajishusha hakuwai kujikweza lala salama uko uliko baba
@rezegerezege6913 жыл бұрын
Leo ayupo Duniani inaniuma 😭😭😭😭😭
@gahizishaban43124 жыл бұрын
I love this president with all my heart thank you new born African son all the way from Rwanda
@isaackagame18763 жыл бұрын
Oh this man was down to earth. Farewell pombe😭😭😭
@andersonsoly14697 жыл бұрын
hongera Rais ww kweli kipenzi chawatu wengene wasingeweza kufanya unayo yafanya hongera sana na MUNGU akubariki Amen!!
@yahyamajidyahyahilalal-har87623 жыл бұрын
Aiseee pole kwetu Watanzania roho zinaumia Sana huu ulikuwa zaidi ya upendo Magufuli alituonyesha Watanzania
@arnoldwillison87297 жыл бұрын
Raisi wangu we ni mfano bora wa kuigwa katika nchi hii nakupendaa Mh. raisi wetu
@khalidbalala77533 жыл бұрын
Waliobahatika kupija picha nae watamkumbuka zaidi kwa siku kama ya leo baada ya kutangazwa amefariki 17-03-2021
@ferouzmasoud47413 жыл бұрын
Daaah 😥 mbona naona Kama ndoto hviii jmn 😭😭 Mbona katuondoka mapema sanaa Kiongoz wetu 🇹🇿 Mbele Yako nyuma yetu MW/ MUNGU akulaze mahara pema peponi 🙏
@m.mmarckus62983 жыл бұрын
Mm nahisi kaenda kutembea atarudi
@julihanjosephyjs63613 жыл бұрын
Kinachoniuma daraja la kijazi ubungi pale kafungua yeye ,aliumwa lini ,nawala hatujasikia homa yake ,Mara kafa khaaa inauma Sana.
@explorerwanda64583 жыл бұрын
@@m.mmarckus6298 so sad
@afrahoman28442 жыл бұрын
Yan machoz ye2 anayaona
@user-mt4ff5fi8s7 жыл бұрын
Dhaa magufuli ni president wakipeke mashallah
@khadijaangore44084 жыл бұрын
Masha Allah
@emmanuelmajumbi97942 жыл бұрын
My king my president my role model RIP JPM you lived for people you're my hero thank for your life.
@melissamugisho36257 жыл бұрын
A great president ! May the Almighty God bless you
@khadijaangore44084 жыл бұрын
Ameen yaraab alamiin
@adomatichristopher40522 жыл бұрын
It pains me a lot to see my friend.JPM. my best president ever.
@jenifajuma53953 жыл бұрын
Baba tunakulilia mnooo tumeumia Sanaa😭😭
@daishajumanne59903 жыл бұрын
Jamani😢😢😢😢😢😢😢
@daishajumanne59903 жыл бұрын
Daaah wallah haito tokea habadani kumsahau magu wetu yarabi mungu atuwekee mahali pema magu wetu😢
@OmarOmar-ew9zs3 жыл бұрын
Sadaka zake alizotoa zitamuokoa kwa muumba wake lazima tujifunze huyu jamaa sio rahisi alikua Yuko na Imani ya aina yake duh!
@afdaa9467 жыл бұрын
Ma shaa Allah tanzania's b proud of ur prezo
@eaglemuhsin21292 жыл бұрын
I respect and love u sir may you Rest in peace
@nafisamohamad31826 жыл бұрын
Jamani watanzania mumepata rais mzuri kweli hanaga dharau anawapenda sana wananchi yake na hapendi kujionesha kama yy ni rais kila anapotembea awepo ndani ya gari kama vle marais wengine hata hatupati kumuona live wala kuenjoy nae kwa kupiga pic kama hapo wadada walvyokubaliwa kupiga pic nae, mungu awalindie rais wenu huyo anatabia yake pekee na hata pia kapitia sana maisha ya hivyo chochote kwake bora hata kukaa kwa mkeka akitandikiwa ana kaa hata ugali bila nyama anakula ni mtu aliejitambua katka hayo maisha na kujiamini zaidi, na hivyo ndio binadamu wengile waliojaliwa uwezo wakimaisha inatakiwa waige mfano kama huo, wakumbuke roho ndio utu mali si kitu.
@user-qo9gx6nj1uКүн бұрын
Nakukumbuka sana babaangu mungu akuhifadhi kamambinguni tunaonana basi tutaonana
@Ronald-gh6jl3 жыл бұрын
Such a great, wonderful leader, mungu aiweke roho yake marehemu jpm mahali pema peponi
@mohamedkutwambi2 жыл бұрын
A man of the people,rest in eternal peace JPM you will always stay in my heart 😭😭😭😭😭😭😭😭
@williamkadzomba25702 жыл бұрын
Man of the people keep on resting in peace HEROO
@hafsaali44233 жыл бұрын
Utakumbukwa milele kweli mungu alikuleta kwa kusudiyo duniyani na amekuchukuwa bado tulikuhitaji sana
@francischiko37527 жыл бұрын
Safi sana kiukweli mimi nimeipenda hii dah raha sana
@mariyammariyam86496 жыл бұрын
Ni lazima apongezwe jmn rais.Magu kwa kazi nzuri
@fahadfahmy7 жыл бұрын
wakuu waliopita hawakufanya hivi huyu Raisi namkubali sana.
@alistairelias5367 жыл бұрын
Fahad10 Una uhakika?
@fahadfahmy7 жыл бұрын
Alistair Elias ninauhakika sababu mimi ni mfatiliaji mzuri sana wa mitandao na habari tena kwamiaka mingi tu,ila nataka na wewe uniambie kiongozi gani unamkubali?
@shamssaid76327 жыл бұрын
Walinzi wana kazi ngum. Kwa MH. Rais. Nimkupenda saana my President
@davidjoseph97762 жыл бұрын
Rest In Peace Legendary... Raisi wa wanyonge
@saumuabdalla6863 жыл бұрын
Yani kweli kazi ya mungu haina makosa najikuta nikilia kila saa
@nshonabdll93633 жыл бұрын
Baba unatulizajmn baba yn rais amejaaa upendo uyu. Acheni tufe natulie 😭😭😭
@masudyomary19797 жыл бұрын
Ningekua mm ninakauli rais wetu atawale milele mungu akulinde wa tanzania tunakupenda sana
@dalmasruwa14793 жыл бұрын
Waa God bless Mr Maguu i wish he cld cheif adviser to our president to Kenya tulikosea kwa ballot
@angelinachimale22145 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu rais wetu penda sanaaaa ahaaa misimamo yako God bless u.
@mustaphamohamed3533 жыл бұрын
Malazingine natamani ata kukufulu ila Kila nitazamapo matukio yako ayati uwa nalengwa na machozutu mwenyezi mungu akupe kauli thabiti mbele za haki😭😭😭
@esthermataba29437 жыл бұрын
amani sana.. hata mm ningepata hii fursa ningeitumia vilivyo. kuna watu hawajawah kukutana na rais tena mchapa kaz km mjomba john
@fetilishazomar47997 жыл бұрын
Penda sana Rais wangu Maisha marefu Aiseee
@ibrahimjoseph27893 жыл бұрын
Magufuli hizi video ni azina ya Tanzania 🇹🇿🇹🇿 tutajifunza sana, wasio kujuwa miaka ijayo tutaeaonyesha ivyo zitaishi, hii ni zama ambayo wengi tumeshuudia huongozi wako wanyerere sikushuudia na hata waliokuwepo wamekusifu wewe ni baba lao, TULIKUPENDA MUMGU KAKUPENDA ZAIDI BY BABA
@hadijamagufuli26613 жыл бұрын
😭😭😭Acha my nahata kama watakuwepo hata wawe wanaongoza nchi vizur ila hawatamfikia huyu baba kwa ucheshi wake 😭😭inauma
@agaowajouniar66143 жыл бұрын
Halafu hivi unadhan machozi yataisha ktk mbon zetu za macho thubutu nikiangalia clip zake muda woot machoz yana nimwagika Kama au sijui ninunue kiswaswadu maan nitakua sion kitu duuuh lala salama mpendwa wetu wa wanyonge
@jenyyusuph49733 жыл бұрын
Ndio basi Tena tuli ishi na mtumishi wa mungu pasina kujua
@abelbaraka2635 жыл бұрын
May God give you long life to live...
@paschalkimwaga91173 жыл бұрын
Ni ngumu kuamini kuwa rais wetu hatunaye tena 😭😭
@jenyyusuph49733 жыл бұрын
Duuh furaha yetu ime eenda ghafula lamda tulikua tuna Ota bwana 😭😭😭😭😭😭😭😭
@yolakahmathews69137 жыл бұрын
This is fantastic.
@venancemalima11813 жыл бұрын
Upendo wake,jitihada zake kusaidia wanyonge kiafya,kielimu,na kiuchumi hazipo tena leo.Mungu alitoa na Mungu alitwaa jina lake liimidiwe milele.Lala Baba yetu .😭😭😭 Umeacha vidonda ktk mioyo ya Watanzania
@angelamarlow5103 жыл бұрын
Hakika ameacha vidonda
@ezekielfunuki64026 жыл бұрын
M/Mungu akupe nguvu mh. RAIS uweze kutimiza azma yako hasa ya kuleta maendeleo ktk taifa letu! Kwakwel hii nmeipenda!
@fettyramadhan6222 жыл бұрын
Tulio Rudi kuitazama hii like twende sawa Rip
@isayasway86334 жыл бұрын
Vizuri sana Mzee magu hauna ubaguzi
@ahmedkhatibu53877 жыл бұрын
much respect Mr president ,,,,hapa kazi tuuu
@dicksongervas51642 жыл бұрын
Inaniuma nafisi kumukosa nipenda mawazo yake kitafa
@maryamsinganomaryamsingano79387 жыл бұрын
daa anatia hadi raha jamani iwemfano kwa wengine
@innobugobola16943 жыл бұрын
Dah bas tu Mungu nMwema lkn Ina nPaiñ 🙏🙏🏼🙏🏼😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🏼🙏🏼🙏🏼!!!
@allymanenokingo7344 жыл бұрын
Dah sinachakusemaa juu ya magufulii ilaa mungu ampe maishaa marefu
@zamaradihussein6617 жыл бұрын
sisi wanadamu sijui kiongozi afanyeje ili aambiwe pongezi zake, kuna watu vyama vimewaingia ktk damu hata dini haina nafasi, kiongozi akifanya jema apongezwe hata kama hukumchagua, muogopeni mungu sote ni udongo tu tunapita
@gracethomas6837 жыл бұрын
Zamaradi Hussein kabisa zama kuliko dini...Hatujui siku wala saa umeandika point
@jacquelinemabula25196 жыл бұрын
Zamaradi Hussein well said zama
@MS.independent89343 жыл бұрын
Nime amini wanawake tunapenda pc 🤣🤣 nenda salama baba💔🇹🇿🕯️😭
@hadijamagufuli26613 жыл бұрын
Sintokuja kupiga kula mwenzenu hata siku moja magu baba ohhh siamnini mwaya haitakuwepo kama magu baba mcheshi na wananchi habagui da inauma 😭😭😭inauma baba ohh kilio changu mungu ndie anyekiona 😢
@aishaswalehaishaswaleh56165 жыл бұрын
Uhuru angalia makufuli anavyoishi n wananchi wake
@mohammedanuman18412 жыл бұрын
U are great man Africa we be proud of u RIP we love you but Allah loves you best
@khadijahassan35044 жыл бұрын
Nakupenda sana kiongozi wang daima mbele haturudi nyuma love you more💓💓💓💕💖💕👍👍👍💞💝💞💝💘💘👌👌
@davidorito17077 жыл бұрын
Safi Sana President
@watendekiyagi81777 жыл бұрын
huyo ni rais wa mioyo ya watu nampenda sana
@dannyosolo27523 жыл бұрын
Magufuli is among the greatest African President
@geofreymwatonoka16287 жыл бұрын
Asante kipenzi wa watanzania tunaimani nawe utawale miaka mingi zaidi
@kramsjunior44474 жыл бұрын
Man of the people
@jamesngadaya27912 жыл бұрын
Wanamuita dikteta yes sio shida But tulikupenda dikteta wetuuu...😭
@mkombozidrivingschool81604 жыл бұрын
Mhuuuuu, wabongo bhana,!!! Hiii sawa na kukutana na maraika wa mungu, ukasahau shida zako ukabaki kumshangaaa na kupiga picha nae, akitoka, ndipo unaanza kukumbuka, wabongo bhana!!! tujuane tulioona self zikipigwa na wadau kwa mweshimiwa raisi
@akademkkz7 жыл бұрын
😂 0:15 kata wanee... ila big up mzee wetu wa kazi
@omarjumanne44716 жыл бұрын
Huyo ndo rais wetu safi sana
@yazidiabduli20695 жыл бұрын
Sijaona raisi wa mfano kama huyu tanzania nilikua simkubali lakini sasa na mkubali kiroho safi
@shaffiidaffa47617 жыл бұрын
Mungu akuweke mheshimiwa yaani unatuonesha hali ya mtanzania tena mzalendo anaeipenda nchi yake hakika ww ni mfano wa kuigwa
@edithajoseph76752 жыл бұрын
Mungu ndie anae jua kifo chako kilitokana na nini Mungu ilinde Tanzania Mungu ibariki Tanzania Amen
@ommylisttz55397 жыл бұрын
Jamani nimesikia rahaa sana mimi nampenda sana
@patrickchristopher13117 жыл бұрын
Kweli hakuna mtu wa mfano kama raisi huyu. Kwan kuwa kiongozi aangali privilege kwan kama kuvuka asingelipa akapanda bure lakin kujua kuwa ni wajibu wa kila mtanzania kulipia kivuko na yeye kama mtanzania akalipia kivuko. Big up to Mr president
@pamelasimon15327 жыл бұрын
Patrick Christopher akachukua na chenchi 😺😺😺😺
@abdulmkanda23007 жыл бұрын
Pamela Simon hahaha
@mbeyatv7 жыл бұрын
Nilijua wengi wataangalia kwenye kipengere cha chenji.....hata mimi ni mmoja wao
@shumamasima67475 жыл бұрын
Nakuelewaga saana mh. Magufuli
@neemapatrick82934 жыл бұрын
Gerald Mligo cheji lazm achukuwe make amefanya kamm raiya wa kawaida tuu hajatka kuonyesha ufahali wa kuacha hela
@nicolasevarst12806 жыл бұрын
This is the blessing.
@komboomar82753 жыл бұрын
*Magufuli mmoja alizaliwa mmoja na ameondoka mmoja mwamba wa africa umeanguka kilio kwa africa mzima*
@nicetamasawe81217 жыл бұрын
huyu mzèe yuko peace sana ila ukimzingua
@douglasjackson3734 жыл бұрын
Niceta Masawe 😂😂😂😂
@hajjiyasin42554 жыл бұрын
Uhuru na magufuli wanaweza kuwa sawa kweli?
@khadijagundumu62104 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@raissafabien42853 жыл бұрын
😭😭😭😭Bab kwa nini umetuacha ?? Rudi basi siku moja nikwambie neno moja😭😭😭😭😭eeeeeh MNGU
@saifalrajhi50017 жыл бұрын
Mungu akulinde mheshimiwa, na tunaomba uwe katika historia ya Tanzania. Mheshimiwa ukiondoka tuletee atakae fata mwendo wako na tutampa Kura zetu bila ya woga. Tunakuomba tumbua CCM na iwe na watu Tanzania kwanza.
@abwekamili49996 жыл бұрын
Duuhh natamani congo ipate raisi kama uyo
@queenfizi56544 жыл бұрын
Tusubiri sana kaka 😪
@noordinismail86507 жыл бұрын
Top president I have not everseen be for
@hindisaidi50977 жыл бұрын
David Gideon.unasemaje kua wabunge wa upinzani hawapewi haki .unafuatilia bunge.?ushabiki na unafiki uko wazi.rais hahusiki na bunge. bunge in mhimili unaojitegemea.ongea bunge na spika wake tu. mi nasema wapinzani wanashindwa kwa kura .hilo wanalijua ndio maana hununua vyombo vya habari na kuongea hovyohovyo kama trump .sasa wanasema wamarekani wampime akili.
@kaundasutikaunda77693 жыл бұрын
Dah inasikitisha sana. RIP JPM SON OF AFRIKA
@benezethbwikizo31587 жыл бұрын
safi Mh.rais watanzania hatukukosea na tunaimani na wewe kiongozi
@ayoubkamendu15062 жыл бұрын
Asante Mh. Magufuli, tunayakujifunza mengi
@kanukanute15144 жыл бұрын
Rais wetu umekuw mfano wa kuigwa kote ulimwenguni hakika tumepta rais bora mchapakaz n mwajibikaj katika taifa le2,Allah azid kukupa Afya njema wewe n uhongz wako.ndg JPM Rais tanzania🙏🙏🙏
@teedullah57083 жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😭😭😭😭😭😭 Jamani munqu mrehemu
@zawadiomari37572 жыл бұрын
Daa yaan kila nikimuangalia choz linanitoka kweli chema akidumu
@davidkaitira96494 жыл бұрын
Hatar xan naenjoy
@bigambomaulidi68936 жыл бұрын
Duh! I'm so excited kwa alichakifanya Muheshimiwa #Rais nakupenda na nitazidi kukupenda na kukubali daima #hapaKazi2
@adelinekombe96606 жыл бұрын
Daaa huyu ndio rais sasa sio ukiwa kiongoz bas ndege ndege na ww mpaka unakufa hujui hata changa moto za watu wako hongera sana rais wetu kwa upendo wa pekee.
@sembosayenda71826 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mhe.Rais wetu john pombe Joseph magufuli