Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru mfanyabiashara Yusuf Manji katika kesi ya kutumia dawa za kulevya baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha kosa hilo.
Пікірлер: 64
@user-nf3dc9fb6v6 күн бұрын
Mungu akupumzishe kwaamani
@britonmwaipopo60856 жыл бұрын
Mungu hufanya njia pasipo na njia.
@johncapera5376 жыл бұрын
Pole sana Yusuph manji
@veronicalucas5806 жыл бұрын
pole sana baba dunia mapito be strong
@zuhuraally1716 жыл бұрын
Mungu mkubwa akuepushe na mengine
@frankernest19866 жыл бұрын
Mungu ni mwema tu nashukuru kwa kija jambo ambalo amepitia
@issaramadhan39416 жыл бұрын
Acheni Mungu Afanye Kazi Yake Asante Mungu Kwa Kusikia Kilio Chake Huyu Mja Wako Jamani
@oliviaseth46526 жыл бұрын
Wamemuonea bure, ili wachukue mali zake, Magu mungu ana kuona, pumbavu zako
@cynobaby506 жыл бұрын
Love you manjiiii.. Mwaaaaah
@saedmakongoro86336 жыл бұрын
excuseme may I say something private with you!?? please
@devotanarberty41806 жыл бұрын
Mungu alkua p1 nawe akujarie afyaaaaa
@mutalemwakalangari11176 жыл бұрын
Nifaraja kwetu sisi wana jangwani kusikia boss kaachiwa huru
@immamlowe7346 жыл бұрын
Nimefrahia kupna moment zinazosema kanji ashukuru mingu kuliko wanaochukulia ameshinda wakati upande qa mashitaka umeshindwa kuthibitisha.
@gordiansoko59216 жыл бұрын
Waswahili acheni kuendekeza njaa mmevaa Manji muonekane kwamba mnamjali sana.Alipokuwa Segerea mliwahi kumpelekea chai au hata kumjulia hali acheni hizo.Manji nenda kajipumzikie achana na hawa waswahili wako kwa ajili ya kutaka kufyonza mihela yako tu.
@yeshuasweapon43842 жыл бұрын
Umeongea point sana
@SurprisedOmbreSky-qg6dk5 күн бұрын
Watanzania Wana upendo
@veaninkyiee38326 жыл бұрын
Mungu amsimamie kwani haya yote ni mapito
@josephsetebe82946 жыл бұрын
sikuzote mchunga ng'mbe atabakikua mchunga ng'mbe 2.mungu alikua bamoja nawe ndugu manji.akubariki wabaya atahukumiwa siku moja namalipo hapahapa duniani.
@sheilalolila22336 жыл бұрын
alhamudulilahi
@abelmirwatu5446 жыл бұрын
Mwanaume aliye kamilika lazima apate misukosuko, kifupi Manji pamoja na Yanga imezalilishwa sana kitaasisi na kibinadamu itabidi tulipwe fidia kwa usumbufu kwa yule aliye tutu humu ilo alikwepeki wana Yanga pamoja na Manji haki inalipwa hapapa duniani na sipengine...Waswahili wanasema hivi akuchomae mchome.
@saidmathias88506 жыл бұрын
pole and be strong
@MariamsLifestyle6 жыл бұрын
Mungu ni mwema
@marumbamgeni47966 жыл бұрын
POLE SANA MUNGU NDIYE AJUAE YOTE KABLA NA HATA MWISHO .KILA MMOJA ATALIPWA KADLI YA MATENDO YAKE.
@mariammapate61486 жыл бұрын
mwacheni mungu aitwe mungu tuna kila sababu ya kumshukuru
@barakafikirini18816 жыл бұрын
Penye haki uongo hujitenga
@maryshirima30496 жыл бұрын
And if the bad guys wann stop me running.....in Manji's voice
@swedially49114 жыл бұрын
Wakili mzungu? Huyu wa Bei ghali sna
@zahramunir85966 жыл бұрын
Sasa mrudishieni vitu vyake vyoote mlivovichukua.! card zake za bank n.k.. Mnawatesa watu tu Lo.!!🤔
@blandnakonkii74703 жыл бұрын
Huruma bas tu
@mikehjackson22776 жыл бұрын
Wana wa islael walipita katika ya maji na maadui zao wakafia kwenye maji wakati wa Mungu ukifika hakuna wa kuzuia ashukuliwe Mungu
@ashatadei56396 жыл бұрын
mungu mwema sijawahi ona mwenye haki ameachwa
@rashiddaudi71206 жыл бұрын
Asha Tadei mimi nilifahamu ilikuwa ni visasi tu pumbavuuuuu Mungu yupo tutaona malipo yao
@MariamsLifestyle6 жыл бұрын
Mungu nwema sana
@emmanuelsamwel28656 жыл бұрын
rengo lao lilikuwa wamtoe kwenye udiwani na wamefanikiwa ok mungu yup asante ayo mkubwa
@immamlowe7346 жыл бұрын
Emmanuel Samwel kama keel unampenda manji huwezi mchochea na serikali. Coz, pamoja na kuachiwa yy alikubali anatumia.kuachiwa guru no mambo y kiufundi c kwamba hakuwa na hatia.
@alihijiiddi89776 жыл бұрын
Filing limechezwa hapa JAMANI msitudanganye KULA mani ANAKWENDA KUWAPA VIZURI yameshwa zungumzwa haya 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 pasa inatembea mkwanja wanguvu unatembea ❤️❤️❤️❤️❤️
@husseinseif98566 жыл бұрын
Hata ck moja uongo haujawahi kushinda mbele ya ukweli
@ahmedalshammari93726 жыл бұрын
jaman mtamuua huyu mwanaume wa watu
@mohdnasser8945 жыл бұрын
inchi imeshikwa na kichaa alisema aliye juu lazima ashuke sasa fanyeni biyo sana mtowe pesa zenu tz sivyo mtajuta
@joycerichard9274Күн бұрын
Magufuli alimtesa huyuanji
@ovenymahenge25286 жыл бұрын
daaah afadhari
@magnucjames18556 жыл бұрын
mi naona raia wanalia tu kunde zao hazina soko, coz boss unaonewa na wenye roho mbaya. ila inabd wakulipe fidia kwa kukusumbua na kukudharirisha
@immamlowe7346 жыл бұрын
Safi acha aje uraiani
@immamlowe7346 жыл бұрын
Kanji pls umeachiwa guru haimanishi hukuwa na hatia. Be honest to your government don't use people's blein and ploud pls.
@rashiddaudi71206 жыл бұрын
Imma Mlowe wewe mwehu ndio unaosapoti ujinga visasi sio atia
@immamlowe7346 жыл бұрын
Rashid Daudi tumia ubongo wako mpenz
@mikehjackson22776 жыл бұрын
Imma Mlowe sasa kama anamakosa mbona kaachiwa huru sasa ???
@chechemoto6 жыл бұрын
Kesi za kubambikiziwa. Serikali ya visasi
@halimakhalfan11966 жыл бұрын
mungu cyo paulo wala athuman
@isaackedward69846 жыл бұрын
Pole xana manji mungu atawalipa hao wababe wa nchi hii watakufa kama bwaa hao. Japo wewe ni ccm moyo uliniuma xana kwa yale mateso maana ubinadamu kwanza chama baadaye
@immamlowe7346 жыл бұрын
Yusufu manji umeshinda haimanishi hukuwa na makosa.tudi upya shirikiana na serikali usilaghaiwe na upinzani unafanya mengi kwa hira.
@erastomwakalukwa35946 жыл бұрын
wapinzani ndio walimfungulia mashtaka
@tatut38896 жыл бұрын
Imma Mlowe ashilikiane nao nn wakati wamemsweka ndani miezi yote iyo
@bathromeochengula58956 жыл бұрын
je akiwashinda watamlipa maana wanampotezea mda tu visa binafsi sawa na enzi za Babuseya
@erastomwakalinga70796 жыл бұрын
bashitee ndo chanzo cha yote hayo maana uliwataha watu bila ushahid mwisho wa siku wanateseka bila makisa ila mungu yupo
@MariamsLifestyle6 жыл бұрын
Erasto Mwakalinga kabisa
@abdallahhamza96896 жыл бұрын
Mmama umeganda ganduuuuu
@immamlowe7346 жыл бұрын
abdallah hamza we umeongea LA maana klko wengine weng
@diwanilemomo31176 жыл бұрын
bado wana sema makonda amesoma
@immamlowe7346 жыл бұрын
Diwani Lemomo mpumbavu we.ametoka so kama hakuwa na makosa.
@immamlowe7346 жыл бұрын
Diwani Lemomo Nazi ya makonda inahitaji yeye ajue kusoma na kuandika tu BC.haihitaji awe musomi. Simanishi hajasoma,amesoma kuliko wewe.