BREAKING: Mahakama imemuachia huru Yusuf Manji kesi ya dawa za kulevya

  Рет қаралды 49,413

Millard Ayo

Millard Ayo

6 жыл бұрын

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru mfanyabiashara Yusuf Manji katika kesi ya kutumia dawa za kulevya baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha kosa hilo.

Пікірлер: 64
@user-nf3dc9fb6v
@user-nf3dc9fb6v 6 күн бұрын
Mungu akupumzishe kwaamani
@britonmwaipopo6085
@britonmwaipopo6085 6 жыл бұрын
Mungu hufanya njia pasipo na njia.
@johncapera537
@johncapera537 6 жыл бұрын
Pole sana Yusuph manji
@veronicalucas580
@veronicalucas580 6 жыл бұрын
pole sana baba dunia mapito be strong
@zuhuraally171
@zuhuraally171 6 жыл бұрын
Mungu mkubwa akuepushe na mengine
@frankernest1986
@frankernest1986 6 жыл бұрын
Mungu ni mwema tu nashukuru kwa kija jambo ambalo amepitia
@issaramadhan3941
@issaramadhan3941 6 жыл бұрын
Acheni Mungu Afanye Kazi Yake Asante Mungu Kwa Kusikia Kilio Chake Huyu Mja Wako Jamani
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 6 жыл бұрын
Wamemuonea bure, ili wachukue mali zake, Magu mungu ana kuona, pumbavu zako
@cynobaby50
@cynobaby50 6 жыл бұрын
Love you manjiiii.. Mwaaaaah
@saedmakongoro8633
@saedmakongoro8633 6 жыл бұрын
excuseme may I say something private with you!?? please
@devotanarberty4180
@devotanarberty4180 6 жыл бұрын
Mungu alkua p1 nawe akujarie afyaaaaa
@mutalemwakalangari1117
@mutalemwakalangari1117 6 жыл бұрын
Nifaraja kwetu sisi wana jangwani kusikia boss kaachiwa huru
@immamlowe734
@immamlowe734 6 жыл бұрын
Nimefrahia kupna moment zinazosema kanji ashukuru mingu kuliko wanaochukulia ameshinda wakati upande qa mashitaka umeshindwa kuthibitisha.
@gordiansoko5921
@gordiansoko5921 6 жыл бұрын
Waswahili acheni kuendekeza njaa mmevaa Manji muonekane kwamba mnamjali sana.Alipokuwa Segerea mliwahi kumpelekea chai au hata kumjulia hali acheni hizo.Manji nenda kajipumzikie achana na hawa waswahili wako kwa ajili ya kutaka kufyonza mihela yako tu.
@yeshuasweapon4384
@yeshuasweapon4384 2 жыл бұрын
Umeongea point sana
@SurprisedOmbreSky-qg6dk
@SurprisedOmbreSky-qg6dk 5 күн бұрын
Watanzania Wana upendo
@veaninkyiee3832
@veaninkyiee3832 6 жыл бұрын
Mungu amsimamie kwani haya yote ni mapito
@josephsetebe8294
@josephsetebe8294 6 жыл бұрын
sikuzote mchunga ng'mbe atabakikua mchunga ng'mbe 2.mungu alikua bamoja nawe ndugu manji.akubariki wabaya atahukumiwa siku moja namalipo hapahapa duniani.
@sheilalolila2233
@sheilalolila2233 6 жыл бұрын
alhamudulilahi
@abelmirwatu544
@abelmirwatu544 6 жыл бұрын
Mwanaume aliye kamilika lazima apate misukosuko, kifupi Manji pamoja na Yanga imezalilishwa sana kitaasisi na kibinadamu itabidi tulipwe fidia kwa usumbufu kwa yule aliye tutu humu ilo alikwepeki wana Yanga pamoja na Manji haki inalipwa hapapa duniani na sipengine...Waswahili wanasema hivi akuchomae mchome.
@saidmathias8850
@saidmathias8850 6 жыл бұрын
pole and be strong
@MariamsLifestyle
@MariamsLifestyle 6 жыл бұрын
Mungu ni mwema
@marumbamgeni4796
@marumbamgeni4796 6 жыл бұрын
POLE SANA MUNGU NDIYE AJUAE YOTE KABLA NA HATA MWISHO .KILA MMOJA ATALIPWA KADLI YA MATENDO YAKE.
@mariammapate6148
@mariammapate6148 6 жыл бұрын
mwacheni mungu aitwe mungu tuna kila sababu ya kumshukuru
@barakafikirini1881
@barakafikirini1881 6 жыл бұрын
Penye haki uongo hujitenga
@maryshirima3049
@maryshirima3049 6 жыл бұрын
And if the bad guys wann stop me running.....in Manji's voice
@swedially4911
@swedially4911 4 жыл бұрын
Wakili mzungu? Huyu wa Bei ghali sna
@zahramunir8596
@zahramunir8596 6 жыл бұрын
Sasa mrudishieni vitu vyake vyoote mlivovichukua.! card zake za bank n.k.. Mnawatesa watu tu Lo.!!🤔
@blandnakonkii7470
@blandnakonkii7470 3 жыл бұрын
Huruma bas tu
@mikehjackson2277
@mikehjackson2277 6 жыл бұрын
Wana wa islael walipita katika ya maji na maadui zao wakafia kwenye maji wakati wa Mungu ukifika hakuna wa kuzuia ashukuliwe Mungu
@ashatadei5639
@ashatadei5639 6 жыл бұрын
mungu mwema sijawahi ona mwenye haki ameachwa
@rashiddaudi7120
@rashiddaudi7120 6 жыл бұрын
Asha Tadei mimi nilifahamu ilikuwa ni visasi tu pumbavuuuuu Mungu yupo tutaona malipo yao
@MariamsLifestyle
@MariamsLifestyle 6 жыл бұрын
Mungu nwema sana
@emmanuelsamwel2865
@emmanuelsamwel2865 6 жыл бұрын
rengo lao lilikuwa wamtoe kwenye udiwani na wamefanikiwa ok mungu yup asante ayo mkubwa
@immamlowe734
@immamlowe734 6 жыл бұрын
Emmanuel Samwel kama keel unampenda manji huwezi mchochea na serikali. Coz, pamoja na kuachiwa yy alikubali anatumia.kuachiwa guru no mambo y kiufundi c kwamba hakuwa na hatia.
@alihijiiddi8977
@alihijiiddi8977 6 жыл бұрын
Filing limechezwa hapa JAMANI msitudanganye KULA mani ANAKWENDA KUWAPA VIZURI yameshwa zungumzwa haya 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 pasa inatembea mkwanja wanguvu unatembea ❤️❤️❤️❤️❤️
@husseinseif9856
@husseinseif9856 6 жыл бұрын
Hata ck moja uongo haujawahi kushinda mbele ya ukweli
@ahmedalshammari9372
@ahmedalshammari9372 6 жыл бұрын
jaman mtamuua huyu mwanaume wa watu
@mohdnasser894
@mohdnasser894 5 жыл бұрын
inchi imeshikwa na kichaa alisema aliye juu lazima ashuke sasa fanyeni biyo sana mtowe pesa zenu tz sivyo mtajuta
@joycerichard9274
@joycerichard9274 Күн бұрын
Magufuli alimtesa huyuanji
@ovenymahenge2528
@ovenymahenge2528 6 жыл бұрын
daaah afadhari
@magnucjames1855
@magnucjames1855 6 жыл бұрын
mi naona raia wanalia tu kunde zao hazina soko, coz boss unaonewa na wenye roho mbaya. ila inabd wakulipe fidia kwa kukusumbua na kukudharirisha
@immamlowe734
@immamlowe734 6 жыл бұрын
Safi acha aje uraiani
@immamlowe734
@immamlowe734 6 жыл бұрын
Kanji pls umeachiwa guru haimanishi hukuwa na hatia. Be honest to your government don't use people's blein and ploud pls.
@rashiddaudi7120
@rashiddaudi7120 6 жыл бұрын
Imma Mlowe wewe mwehu ndio unaosapoti ujinga visasi sio atia
@immamlowe734
@immamlowe734 6 жыл бұрын
Rashid Daudi tumia ubongo wako mpenz
@mikehjackson2277
@mikehjackson2277 6 жыл бұрын
Imma Mlowe sasa kama anamakosa mbona kaachiwa huru sasa ???
@chechemoto
@chechemoto 6 жыл бұрын
Kesi za kubambikiziwa. Serikali ya visasi
@halimakhalfan1196
@halimakhalfan1196 6 жыл бұрын
mungu cyo paulo wala athuman
@isaackedward6984
@isaackedward6984 6 жыл бұрын
Pole xana manji mungu atawalipa hao wababe wa nchi hii watakufa kama bwaa hao. Japo wewe ni ccm moyo uliniuma xana kwa yale mateso maana ubinadamu kwanza chama baadaye
@immamlowe734
@immamlowe734 6 жыл бұрын
Yusufu manji umeshinda haimanishi hukuwa na makosa.tudi upya shirikiana na serikali usilaghaiwe na upinzani unafanya mengi kwa hira.
@erastomwakalukwa3594
@erastomwakalukwa3594 6 жыл бұрын
wapinzani ndio walimfungulia mashtaka
@tatut3889
@tatut3889 6 жыл бұрын
Imma Mlowe ashilikiane nao nn wakati wamemsweka ndani miezi yote iyo
@bathromeochengula5895
@bathromeochengula5895 6 жыл бұрын
je akiwashinda watamlipa maana wanampotezea mda tu visa binafsi sawa na enzi za Babuseya
@erastomwakalinga7079
@erastomwakalinga7079 6 жыл бұрын
bashitee ndo chanzo cha yote hayo maana uliwataha watu bila ushahid mwisho wa siku wanateseka bila makisa ila mungu yupo
@MariamsLifestyle
@MariamsLifestyle 6 жыл бұрын
Erasto Mwakalinga kabisa
@abdallahhamza9689
@abdallahhamza9689 6 жыл бұрын
Mmama umeganda ganduuuuu
@immamlowe734
@immamlowe734 6 жыл бұрын
abdallah hamza we umeongea LA maana klko wengine weng
@diwanilemomo3117
@diwanilemomo3117 6 жыл бұрын
bado wana sema makonda amesoma
@immamlowe734
@immamlowe734 6 жыл бұрын
Diwani Lemomo mpumbavu we.ametoka so kama hakuwa na makosa.
@immamlowe734
@immamlowe734 6 жыл бұрын
Diwani Lemomo Nazi ya makonda inahitaji yeye ajue kusoma na kuandika tu BC.haihitaji awe musomi. Simanishi hajasoma,amesoma kuliko wewe.
@tatut3889
@tatut3889 6 жыл бұрын
Diwani Lemomo ndoapo sasa
Mtoto wa Manji asimulia namna baba yake alivyoipenda Yanga
9:02
Yusuph Manji baada ya kutajwa na Makonda sakata la dawa za kulevya
13:52
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 30 МЛН
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 68 МЛН
Always be more smart #shorts
00:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 47 МЛН
RIDHIWANI AFUNGUKA: Ni kuhusu kukamatwa kwa Yusuph Manji
12:34
Millard Ayo
Рет қаралды 73 М.
Askofu Gwajima aongea baada ya kutajwa na Paul Makonda
8:45
Millard Ayo
Рет қаралды 257 М.
"Yusuph Manji akitoka Hospitali aje, tunamuhitaji UHAMIAJI"
7:51
Millard Ayo
Рет қаралды 103 М.
HISTORIA FUPI YA YUSUPH MANJI
5:23
Matukio Online Tv
Рет қаралды 6 М.
MAHAKAMA KUU YAZUIA MALI ZA YUSUF MANJI
2:37
Mwananchi Digital
Рет қаралды 7 М.
MAANDAMANO TUESDAY!! P0LICE ARR3STED IN PARLIAMENT WHILE PROT3STlNG
8:16
МЛАДШАЯ СЕСТРА И МОРОЖЕНОЕ ИЗ АРБУЗА
0:41
ОЛЯ ПЕРЧИК
Рет қаралды 973 М.
Как в моей семье едят КЛУБНИКУ 😂🍓 #shorts
0:43
Владислав Шудейко
Рет қаралды 2,1 МЛН
Sigma Kid Hair  #funny #viral #comedy
0:17
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 5 МЛН
Гениальный План Хвостатых 😂
0:28
ДоброShorts
Рет қаралды 1,7 МЛН
Слепой парень помог раскрыть тайну 😱
0:45
Фильмы I Сериалы
Рет қаралды 1,2 МЛН