November 9, 2017 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alisimama Bungeni Dodoma kujibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wabunge na moja ya maswali aliyoyajibu ni lililoulizwa na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe.
Пікірлер: 366
@murithiramires9058Ай бұрын
Tunaona hii video 2024 mnipe like. Tundu Lissu atakomboa Tanzania mwaka ujao
@MustaphaSeleman-z7c16 күн бұрын
Daaah walipambana sana viongoz wt
@afyatv22203 жыл бұрын
Waliorudi na kuingalia hii video 2021 kama mimi tujuane kwa likes hapa
@zachieally63213 жыл бұрын
Hahahahaha hii dunia bhna
@abdullykapole96174 жыл бұрын
Usipo jua swali bora uliza warudie hili hujibu vzr swali maana njia ni barabara wewe unapita kwenye maji jibu swali la MBOWE vzr...🙏
@charleskingimwakasagule5752Ай бұрын
Kweli kabisa wazili alipuyanga sana eti alitumia akili sana kukwepa kumbe sisiemu ilimtuma kujibu
@isaacnewkaboy91326 жыл бұрын
Majaliwa nilikuwa nakukubali kwamba unawezo mkubwa lakini kwa majibu haya.... "ww ni kibaraka" maana inaonesha wazi huna maamzi ww kama mtendaji mkuu wa serikali.... yaaan unazunguka bado hutoi majibu yayoeleweka... shame up on u
@alhaji60946 жыл бұрын
Wazir Mkuu ameshindwa kujibu swal naona anazunguka tena pale alipoambiwa umekosea mwanzo
@jacobolucas59355 жыл бұрын
Wehu nyie tushawajua serikali yenu ni ya watu wasio julikana uchunguz mpaka saiv miaka 3 mungu yupo atawalipieni kwa yale mnayo yatenda
@ramadhanikessy75815 жыл бұрын
Malipo ni duniani
@saidkhantz25256 жыл бұрын
UKIWA upinzani hasa Raha Wallah.... Upinzani una wasomi, upinzani una watu wenye uwezo wa kutoa hoja zilizoshiba.... Mijitu isiyokuwa na akili utasikia ikisema " kupigwa risasi kwa lisu ni mipango ya ukawa" sasa kama ni mipango ya ukawa kama wanavyoamini wananchi wanaoipenda fisi em? Kwa nini fisi em yenu isiruhusu jeshi la uchunguzi la watu weupe lishuke hapa nchini kufanya yake????.. ina maana ukawa hiyo hiyo ndio ihusike na mipango ya kupigwa risasi lisu, na ukawa hiyo hiyo ndio itake kupatikana uchunguzi wa kimataifa?. Au na hao wa kimataifa nao ni ukawa watawatetetea?.. acheni kutufanya mazuzu bhna ccm
@abduljuma52846 жыл бұрын
duche! kwerii nchii imepotea wazirii kumbe nikilaza kiasi hicho chakushangaza wapumbafu wanampigia makofi sasa makofii yann hapo amahakika Tanzânia tunawawakilishi wengi kuliko viongoz
@morismush4273 Жыл бұрын
Wazuri mkuu unatuda,nganyaa
@niazonbukoke1964 Жыл бұрын
Majaliwa ni kilaza kwa Mbowe
@nabiipetermaganga.77155 жыл бұрын
Majaliwa hawezi kujibu hayo maswali ya mbowe ni magumu sana majaliwa analikwepa kujibu maswali mbowe hongera kwa maswali mazur wazur mkuu hawez kuyajibu
@jumajumanne6515 жыл бұрын
Peter Mapesa ccm oyeeeeeee majaliwa safiiiiiiii
@mathiaspaulina73556 жыл бұрын
mh . waziri mkuu kwann msiruhusu vyombo vya nje vifanye uchunguz haraka ili suala LA unyanyasaji na mateso kwa tz ikomeshwe haraka?
@juliustantau13455 жыл бұрын
Mathias PaulinTundulissu
@amenyemwansile6313 жыл бұрын
Mbowe kweli Ni genius nakukubali brother mbowe
@stephenmkulia97456 жыл бұрын
Hata mimi nashangaa maudhui ya makofi hayo. Hakika wabunge wetu ni vilaza ajabu.
@muhidinihassani5205 жыл бұрын
Hao ndio ccm oyeee kazi yao NI kupiga makofi tu, sio kujadili kwa maslai ya nchi
@micamathew64335 жыл бұрын
Bado mh Majaliwa anajibu kwa kuficha, sasa hapo kuna tatizo..mh Mbowe ww kuwa na subira, iko siku mambo yatanyooka tu.
@ezekieljacob57954 жыл бұрын
Eeee amen yatanyooka,kwani tunaishi miaka mingapi ??? Mpaka asubili mambo yatanyooka ??dunia tambara bovu
@AloisNashali6 жыл бұрын
Huyo majariwa pumbu tu
@musamabura52006 жыл бұрын
Majaliwa hajajibu swali la Mh Mbowe ,,,amezunguka bila kusema kuwa anaruhusu international investigators au lah!!
@samwelimwinyi93276 жыл бұрын
Musa Mabura-√
@pendomartini4476 жыл бұрын
Pale ambapo mtakamilisha kazi hata ikiwa miaka 50 ijayo,......
@loner_wolf4 жыл бұрын
Hawa nilichoelewa wanahisi picha limekaribia kuisha .... Next yr wengi watakuwa wanashuhudia mjengo kupitia youtube Kama sisi raia wakawaida .....Sasa wanatafuta huruma tu , na TRUST ME Sera watakuwa hawana ktk kampeni zao ila hizi story za kutekwa na kuteswa ndio zitakuwa sera zao.
@rashidyishika68684 жыл бұрын
We wazir Mkuu kumb Msanii??
@africanstears77555 жыл бұрын
cctv camera kwenye majengo jilani na nyumba ya tundulissu ziko wapi
@ezekieljacob57954 жыл бұрын
Ndugu wapendwa leo nimefurahi sana kumsikiliza rais Magufuri.Kasema!!!! Wapelelezi ndiyo shida eanachukua mda mwingi mno kupeleleza na kutoa jibu na ndiyo maana nanukuru kasema kuna wafungwa13 elfu lakini mahabusu wanaosubili ili wajue hatima yao wako 17 elfu. Hawa wako ndani wananyea kwenye ndoo .wakiuliza jibu ni ,upelelezi bado,miaka 5 mtu yuko mahabusu kweli ??? Hii inaingia akilini jamani? Kwa hiyo swala la Tindu Lisu mpaka yesu aje !!nakwa vile yuko karibu!wacha tusubili,ila hao wapelelezi cha moto chao kinakuja
@erastosolomon45546 жыл бұрын
Maelezo mengi ya nini? Jibu swali, yani majibu yako waziri mkuu hata kama angekuwa mtoto mdogo tayari angejua anadanganywa. Na hao wanaompigia makofi waziri ni macrazy sioni la msingi kupigiwa makofi wakati maswali ya muhimu hajayajibu kiufasaha.
@bulessatv33234 жыл бұрын
Ni kweli umuhimu Wa Uchunguzi wa kina ni Muhimu ila kama Mtu anajeruhiwa kwenye Maeneo ya Watu wakubwa yaani Mawaziri na Ni maeneo yenye Cctv camera na high securty una Vamiwa na Asijulikane hadi leo zaid ya miaka 3 kuna tatzo either Kwenye vimbo vya ulinzi Ushauli wangu Tuweni wamoja kuijenga Nchi Si kosa kwa kiongozi kukosolewa pale anapoonekana hajafanya vyema Mhe Waziri Naomba ujibu kwa Faida ya Audience ote na Tanzania Kwa Ujumla Tanzania yangu Nchi yangu
@abubakarimchani1146 жыл бұрын
mungu atakuja kutoa jibu ck1 tu tuombe uzima2
@bulayaconfidential72123 жыл бұрын
majibu yanaendelea kujibiwa!!
@mbuyaelyaoni6266 Жыл бұрын
Kweli. Majibu naona kama tayari
@kavassay88995 жыл бұрын
Mboowe mungu akupe miaka10000
@paschalinejoginda57026 жыл бұрын
jibu swali bna,,,unajikanyaga mheshiwa
@aloycekiwia86136 жыл бұрын
Mbona hajibu kwa nini hawataki Tume ya Kimataifa.? Swali Gumu hiloo.!
sio 0/100 tu mi naona ata -20/100 yaani anadaiwa kabisa
@michaelmpoma35795 жыл бұрын
FADHILI IBRAHIM ...watu wanazunguka danadana had unatia hasira
@r-boymnyange37436 жыл бұрын
Kwann wasiruhusu vyombo vya nje kufanya upelelezi hilo ndo swali unaongea tofaut na swali!!?
@EREVUKATV6 жыл бұрын
Mbowe unaakil sana baba, huyu waziri sijui n@n hana lolote, N4$3/|\4J3 \|/AZ1æ1 ANAONGEA PUMB4 TU HAKUNA KITU CHOCHOTE UNAFKI ACHA WW, NA NYIE MNAOPIGA MAKOFI NI MBURURA KABISA HAMNA AKIL WOOTE
@maikochales31545 жыл бұрын
mbowe we nimtata wanakwepa swali lako
@esteribrahim71275 жыл бұрын
Si mruhusu uchunguzi
@tracyjustice16006 жыл бұрын
Waziri ujajibu swali unazunguka mmbuyu tuuu
@stevenhinjo96646 жыл бұрын
mbona mauaji mengine hamkutaka wachunguzi watoke nje? kweli binadamu mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu!;
@lucasgasper52356 жыл бұрын
Steven Hinjo Na wewe nenda kawaombeee hao wengine uchunguzi wa nje
@trgphonegeorge38326 жыл бұрын
Steven Hinjo inategemeana na mazingira ya tukio,
@mahelamnazaletimahela93174 жыл бұрын
We kum kweli yan ujui chochote boya tu
@chiefmachibya38946 жыл бұрын
Wanaopiga makofi ni mbwa tu
@AnnaAlly-m4e4 күн бұрын
Pongez kwa ujasili kiongoz
@johnsonbagambi8353 жыл бұрын
Mbowe ni kichwa
@happinessmwaipopo74266 жыл бұрын
Maelezo ya nini mengi ruhusuni vyombo vya nje muone kama mtapona. Hamna lolote serikali uchunguzi gani mmefanya mfyuuuu
@EREVUKATV6 жыл бұрын
Happiness Mwaipopo uko vizuri sana ccta nimekupenda bure
@simonsixbert26606 жыл бұрын
Happiness Mwaipopo albadir vipi? hamkusoma
@happinessmwaipopo74266 жыл бұрын
Simon Sixbert kumuulize shehe, umeona wapi ninajuzuu mimi😏
@hajihassan54335 жыл бұрын
Mtu binafsi au taasisi zinaweza kufanya uchunguzi wenyewe kama vile CHADEMA ilivyokodi taasisi ya kuwaambia vipi watashinda Uchaguzi na ndio wakamkodi Mh. Lowasa ambapo matokeo ya utafiti yalionesha CCM itashinda kwa 45% UKAWA 40% na Mhe. Lowasa alikuwa akitembea na 15% za likebility ya kupendwa hivyo hata angegombea kama mgombea binafsi angepata 15% ya kura ndio UKAWA wakamkodi. Nashauri na kwa hili wawalete wachunguzi kwa siri na baadae taarifa iwekwe wazi, tupo pia tunaodhani mhalifu katokea CHADEMA kwa nini dereva hataki kuja, aliko anafadhiliwa na nani?
@revocatusmanyama86215 жыл бұрын
Uchungz mpaka lini?
@dioclesefaustine1076 Жыл бұрын
Mh: sijalizika na majibu yako. Msilete siasa kwenye maisha ya watu. In short umejibu kisiasa. Inatufanya kama wananchi wa nchi hii kama hatuna akili. Msitake taifa lilete mapigano ya sisi kwa sisi. Kwani nn kinazuia uchunguzi usifanyike? Hatutaki siasa hapa.
@mamarama63606 жыл бұрын
Mh mkuranga kulee Kibit wamekufa wengi lkn hamukusimama kuomba serikal ilete wachunguz kutoka nje?
@abduljuma52846 жыл бұрын
kwakweliii hii nchii nihamnazo kweli sasa waziriii kajibu nn hapo mbona haelewek
@janendomba94615 жыл бұрын
lini uchunguzi utakamilika jamani mungu anawaona au mfute vyama pinzani
Mnao piga makofi mnadhani watanzania wajinga, kila kitu kiko wazi, mshenzi wewe majaliwa msitufanye mabwege, mumewauwa kibiti kumbe mnamtafuta Lissu, ili mje mumchaganye na Lissu.
@oliviaseth46526 жыл бұрын
Usinitishie maisha kwani uongo
@idrisspetto86935 жыл бұрын
Wewe mbwa mshenzi wewe na ukoo wako
@idrisspetto86935 жыл бұрын
Usirudie kumtusi waziri wetu pumbavu weww
@laulianmeneja20794 жыл бұрын
Mbona hamtaki uchunguzi wa nje
@edwiniedwin33475 жыл бұрын
Mbn hujibu swali??
@jordankaaya6066 жыл бұрын
Duuu mbna swali la msingi halijajibika?
@ntegrity277 Жыл бұрын
Kama angepigwa risasi mwana ccm nadhani watu wengi wangenyongwa kwahiyo ni tabia ya nchi na hakuna uchunguzi au!
@daybrelimite61266 жыл бұрын
Serikali ya Wendawazimu, hamna chochote hapoo!!
@jackjohnjohnsirifeta61444 жыл бұрын
Ongea ukweri wazir
@pilotngulamba388 Жыл бұрын
kweni ao wa kibiti sio watanzania nanyi mnaoshabikia kuwa hajajibu vizuri kibiti nao wamepigwa lisasi na ni watanzania pia hacheni kuongeleo ujinga kweni lisu nani na hao walio uwawa na ni nani?
@joshuahassan1605 Жыл бұрын
Hivi report ya hayo aliyoyataja prime minister ilishatolewa??
@calvinjackson2087 Жыл бұрын
Waziri mbona hujibu maswali unapigiwa makofi yasiyo ya msingi
@HellenLemilya2 ай бұрын
Duu uchunguzi huo uliishia wapi ,ulipata nini sasa ,au Bado wanaendelea kuchunguza ?hapa ndipo viongozi wa Tanzania wanaponikera ,na hata kuwachukia na kuona chadema na wapinzani wengine wapo sahihi
@happinessmwaipopo74266 жыл бұрын
Kama hamjafurahishwa Mbona kwenda kumuona mlikuwa mnakataza watu Wa chama cheni wasiende? Mnaruka ruka mnamjua mhusika na Mungu atawaumbua tu.
@erickcobra40546 жыл бұрын
Happiness Mwaipopo amen
@mbonireamina64975 жыл бұрын
Kama uchaguzi utafanyika kwa haki na huru mimi kura yangu nitampa TUNDU ANTIPASI LISU. Huyu bwana yuko baribu sana na MUNGU kuliko Magufuli. Mimi nina imani machungu aliyopitia yalisimamiwqa na MUNGU. Magufuli sio chaguo la MUNGU ni chaguo la CCM na SHETANI. Mambo anayofanya Magufuli ni ya mapepo tu. Ameshawalisha baadhi ya Watanzania libwata wawe wanamsifia kuwa kafanya na kujisahau kinachojenga Tanzania ni kodi zao zikiwepo kodi za WAPINZANI. Maisha ya Magufuli baada ya kuwa Rais ni kifungo tu.
@venancebasil46566 жыл бұрын
daaaaah wanasiasa wanajua kuzungusha maneno
@issackchalahani12355 жыл бұрын
Yaani majibu ukiyasikiliza vizuri unapata kujua kwamba, ukweli hauja zungumzwa.
@fadhilimwaitete3692 Жыл бұрын
Towa majibu au jibu swali pamoja nakulibia atujalizika na hayo majibu
@r-boymnyange37436 жыл бұрын
Yaani Hao wanaopga makofi cjui wanafahamilia zilizolelewa katika MALEZI mazuri
@amswhlnd25 күн бұрын
Swali la mbowe nikwamba hayuna imani na vyombo vyetu vya usalama kwann msikubali tu ili kuondoa hisia mbaya kwenye vyombo vyetu vya usalama
@hocymbesere94596 жыл бұрын
asee ww jbu swali usikwepe hiv hawasomag koment hawa nyumbu
@robertshedlack53545 жыл бұрын
woi Waziri hapo sjaona jipya aliongea, mungu ataumbua tu hao mnaosema hawajulikan
@richardmakao74886 жыл бұрын
hawawezi kuruhusu wachunguzi huru kwasababu wao ndo wanahusika
@ezekieljacob57954 жыл бұрын
Aha Taita duh Majaliwa kasema anayejuwa aende akatoe taarifa .baba nenda lakini niachie kadi yako ya benk na pini namba kabisa.ili niweze kuwa na kuletea uji mahabusu maana ukiingia huko kutoka ni 2050
@bonifacechengula1860 Жыл бұрын
Alikwepa swali la taasisi za kimataifa kuhusishwa kwenye uchumguzi. Kwanini? Serikali yake ndio illihusika
@solomonmwisala1576 жыл бұрын
Natia shaka hapo hakuna kitu hapo. haaaaaaaaaaaaa.
@francomtitu1434 жыл бұрын
Ajamani
@edwiniedwin33475 жыл бұрын
Mbowe nakuelewa sanaaaa , hawana majibu hao ya kukupa mkuu .
@mkijilukali2010 Жыл бұрын
Istoly itawaukumu mwaka wowote nasikuyoyote
@loner_wolf4 жыл бұрын
Mbowe ulishirikiana na serikali kumpata shuhuda namba Mona ambaye NI dereva ? Kwann mlimficha dereva alipohitajika ? Waziri sio mtu wa kuulizwa maswali hayo ya kiajabu ajabu ...... Huo NI ukosefu wa heshima . Mnaficha watu alafu mnauliza uchunguzi umefikia wapi !! It's big disgrace . Uliza issue za jimboni kwako au maendeleo na sio maswali hayo mepesi .
@BarakaWaya6 жыл бұрын
Daaaah maswali kwa uchungu ,majibu sasa duuuu
@yusuphchami29916 жыл бұрын
mh, waziri mkuu kama vyombo vyetu vinauwezo mbona hakuna majibu mpaka Sasa Mimi naona nibora turuhusu wachunguzi kutoka nje watusaidie kupata majibu sahihi
@wakusmilewakusmile4295 жыл бұрын
Were musika Katika saksta hiri
@hamadimaulidi9485 Жыл бұрын
Mm kama mm waziri ujatoa jibu hapo umezinguwa
@hamadimaulidi9485 Жыл бұрын
Kwa nn afutwe ubunge waziri Hana majibu walewale
@eliajimmy51286 жыл бұрын
hapo nimeona serikali ndio wanaotuuawa kwa nini mnakataa wachunguzi wakimataifa
@amosseme85756 жыл бұрын
Unawaamin sana wachunguz wa nje ety
@eliajimmy51286 жыл бұрын
Amos Seme umeambiwa swala la bot mliita wachunguzi kutoka Scotland kwa nini mashambulizi haya mnayachukulia POA?
@r-boymnyange37436 жыл бұрын
Majibu ni tofaut na swali uchunguzi mpaka lini Sasa matukio yote ya Zaman mbona hakuna hata jibu hata 1
@mbonireamina64975 жыл бұрын
Katika watu wanaharibu hii Tanzania ni hawa CCM. Wanadhanishia wamewekwa madarakani milele. Namkumbusha tu Magufuli kuwa kuna mtu alikuwa anajiita Idd Amin yuko wapi. Alijipa majina makubwa kuwa yeye ni Rais wa Maisha Uganda leo yuko wapi. Mtanzania ukiwa hai mshukuru MUNGU wako na watendee wenzako mema. Magufulib anamwambia "MNYIKA" nimekuletea Maji kwenye jimbo lako unataka DEMOKRASIA. Hivi Magufuli ndie analeta maji au kodi zetu anazochukua. Laana ya kuwavunjia wapiga kura wako nyumba na kuwaambia hautalipa fidia ni unyama na malipo yake utayaona mda sio mrefu. Mbona Karume kule Zanzibar alikuwa anawajengea watu nyumba za kuishi wewe unakimbilia mambo makubwa wakati watu wako unawavunjia nyumba bila kuwalipa. Watu uliowaua damu zao zitakulilia milele hautakwepa hilio. Umekuwa "HITLA" wa Tanzania unawazuia wenzako kufanya mikutani wewe ni kama nani Duniani. Umebatiuzwa unaitwa "YESU" haya ni majanga. Hivi unaweza jifananisha na YESU kweli wewe Dikteta. Tujengee hosipitali za rufaa hatuna haja ya kwenda India tena. Ndege zzako zikienda India waliojaa ndani ni wagonjwa wa Tanzania hakuna hata wafanya biashara. Tuambie basi Watu wako hasara tuliyopata kwenye biashara ya Kusafirisha Gesi na korosho kuja na Dar es salaam. CCM kwa nini hampendi kusema ukweli. Mumelipa Deni la ndege Dola milioni 20 bado milioni 13 mnasema mumeshinda kesi. Kwa nini mnatufanya wajinga. Mimi niwaambie tu 2020 tutaminyana sana. Wabunge wa CCM mtakula mikongoto mbaya sana. Tumechoka kuona mko Bungeni kiupiga makofi tu.
@siamollel97256 жыл бұрын
Ukweli Mh mbowe polisi wanatesa sana RAIA,wakija hahuku kukamata waalifu,wanatoa vitisho na kupoga watu ovyo
@gregoryntandu47184 жыл бұрын
Sia Mollel ukiwa salama ww huta Jua kama wezako wako hatarini
@esteribrahim71275 жыл бұрын
waziri MKUU wapi huyu anaongea pumba 2
@mahelamnazaletimahela93174 жыл бұрын
Malaya tu
@kavassay88995 жыл бұрын
Wabunge wa ccm bhn wanapiga makofi ya nn au wanataka watu waendelee kuuliwa
@peterbendera4906 жыл бұрын
Hahahaha Jamaa anaulizwa inshu ya Lisu anajibu inshu za Kibiti......Jaman jaman na majibu yanayotolewa hayana uzito ni yakawaida sana ambayo hata mtu yoyote anaweza kujibu....eti hiyo ndio Tanzania Mpya..... hahahahahaha
@muhidinihassani5205 жыл бұрын
Serikali ya udikteta haiwezi kujibu
@elihurumathomas6864 жыл бұрын
Binge Lina washangiliaji wengi kuliko wanaofikiria
yaani kuna watu hapa hupenda ukikomenti hapa basi usapoti mawazo yao tu kama analaumu serikari basi na wewe ulaumu akitukana nawe utukane hapo hujisikia furaha na amani lakini ukiwa kinyume na mawazo na baadhi ya watu hao wanaanza kukutukana nadhani wanadhani matusi ndiyo yatawasaidia
@dovicochristopher53886 жыл бұрын
Steven Hinjo 😂😂😂
@mwanahella96506 жыл бұрын
Hayo sio majibu kwakweli khaa🤔😢🙄
@jakobodeus95223 жыл бұрын
Serikali ya ccm wanasali kweli ?
@paulojosephy63386 жыл бұрын
swali ni kwamba kwnn serikali hairuhusu vyombo vya uchunguzi vya kimataifa kuja kuchunguza kwnn inakata..... lkn waziri mkuu hajajibu hili swali
Sasa ni hofu gani kama watakubali vyombo huru vya nje kuja kufanya uchunguzi ?
@riwayazakiswahilitv46356 жыл бұрын
swali halijajibika..haha waziri mkuu unasherk
@EREVUKATV6 жыл бұрын
Nasra Wangu aache siasa hakuna anachokisema nasema na mtakoma
@piushappyness2265 жыл бұрын
mbowe anahusika
@jonathanntare47875 жыл бұрын
Katombwe shetani
@piushappyness2265 жыл бұрын
Jonathan ntare tunakotombwaga wote wewe leo huendi
@meshackmangare91944 жыл бұрын
Asingeomba uchunguzi wa kimataifa!.
@magesagambajr3546Ай бұрын
Namuona ndugai kaduwaa km kala pili Toni
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Mbunge wako au wa Masasi??
@ismailkidongo93845 жыл бұрын
Wanausika wenyewe
@pascalkenyatta4204 жыл бұрын
Watanzania so wajinga
@AhmedSeif-il1xx2 ай бұрын
Hakuna ccm anaependa haki mpaka kiama
@maxwebjli32412 жыл бұрын
unazungusha t maneno
@zuwenasirgutty88306 жыл бұрын
Specific ya hayo Makofi niyakazi gani....!!??
@stewardnkinda9552 Жыл бұрын
Mbona Hadi Sasa hatuja pata majibu Toka kwenye vyombo vya Dola serikali hii Ina shida sana, kwann asiluhusu vyombo vya umoja wa mataif a vije vitedo hivi havivumilik