BUNGENI: MBOWE VS MAJALIWA KUHUSU SHAMBULIO LA LISSU

  Рет қаралды 311,443

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

November 9, 2017 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alisimama Bungeni Dodoma kujibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wabunge na moja ya maswali aliyoyajibu ni lililoulizwa na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe.

Пікірлер: 366
@murithiramires9058
@murithiramires9058 Ай бұрын
Tunaona hii video 2024 mnipe like. Tundu Lissu atakomboa Tanzania mwaka ujao
@MustaphaSeleman-z7c
@MustaphaSeleman-z7c 16 күн бұрын
Daaah walipambana sana viongoz wt
@afyatv2220
@afyatv2220 3 жыл бұрын
Waliorudi na kuingalia hii video 2021 kama mimi tujuane kwa likes hapa
@zachieally6321
@zachieally6321 3 жыл бұрын
Hahahahaha hii dunia bhna
@abdullykapole9617
@abdullykapole9617 4 жыл бұрын
Usipo jua swali bora uliza warudie hili hujibu vzr swali maana njia ni barabara wewe unapita kwenye maji jibu swali la MBOWE vzr...🙏
@charleskingimwakasagule5752
@charleskingimwakasagule5752 Ай бұрын
Kweli kabisa wazili alipuyanga sana eti alitumia akili sana kukwepa kumbe sisiemu ilimtuma kujibu
@isaacnewkaboy9132
@isaacnewkaboy9132 6 жыл бұрын
Majaliwa nilikuwa nakukubali kwamba unawezo mkubwa lakini kwa majibu haya.... "ww ni kibaraka" maana inaonesha wazi huna maamzi ww kama mtendaji mkuu wa serikali.... yaaan unazunguka bado hutoi majibu yayoeleweka... shame up on u
@alhaji6094
@alhaji6094 6 жыл бұрын
Wazir Mkuu ameshindwa kujibu swal naona anazunguka tena pale alipoambiwa umekosea mwanzo
@jacobolucas5935
@jacobolucas5935 5 жыл бұрын
Wehu nyie tushawajua serikali yenu ni ya watu wasio julikana uchunguz mpaka saiv miaka 3 mungu yupo atawalipieni kwa yale mnayo yatenda
@ramadhanikessy7581
@ramadhanikessy7581 5 жыл бұрын
Malipo ni duniani
@saidkhantz2525
@saidkhantz2525 6 жыл бұрын
UKIWA upinzani hasa Raha Wallah.... Upinzani una wasomi, upinzani una watu wenye uwezo wa kutoa hoja zilizoshiba.... Mijitu isiyokuwa na akili utasikia ikisema " kupigwa risasi kwa lisu ni mipango ya ukawa" sasa kama ni mipango ya ukawa kama wanavyoamini wananchi wanaoipenda fisi em? Kwa nini fisi em yenu isiruhusu jeshi la uchunguzi la watu weupe lishuke hapa nchini kufanya yake????.. ina maana ukawa hiyo hiyo ndio ihusike na mipango ya kupigwa risasi lisu, na ukawa hiyo hiyo ndio itake kupatikana uchunguzi wa kimataifa?. Au na hao wa kimataifa nao ni ukawa watawatetetea?.. acheni kutufanya mazuzu bhna ccm
@abduljuma5284
@abduljuma5284 6 жыл бұрын
duche! kwerii nchii imepotea wazirii kumbe nikilaza kiasi hicho chakushangaza wapumbafu wanampigia makofi sasa makofii yann hapo amahakika Tanzânia tunawawakilishi wengi kuliko viongoz
@morismush4273
@morismush4273 Жыл бұрын
Wazuri mkuu unatuda,nganyaa
@niazonbukoke1964
@niazonbukoke1964 Жыл бұрын
Majaliwa ni kilaza kwa Mbowe
@nabiipetermaganga.7715
@nabiipetermaganga.7715 5 жыл бұрын
Majaliwa hawezi kujibu hayo maswali ya mbowe ni magumu sana majaliwa analikwepa kujibu maswali mbowe hongera kwa maswali mazur wazur mkuu hawez kuyajibu
@jumajumanne651
@jumajumanne651 5 жыл бұрын
Peter Mapesa ccm oyeeeeeee majaliwa safiiiiiiii
@mathiaspaulina7355
@mathiaspaulina7355 6 жыл бұрын
mh . waziri mkuu kwann msiruhusu vyombo vya nje vifanye uchunguz haraka ili suala LA unyanyasaji na mateso kwa tz ikomeshwe haraka?
@juliustantau1345
@juliustantau1345 5 жыл бұрын
Mathias PaulinTundulissu
@amenyemwansile631
@amenyemwansile631 3 жыл бұрын
Mbowe kweli Ni genius nakukubali brother mbowe
@stephenmkulia9745
@stephenmkulia9745 6 жыл бұрын
Hata mimi nashangaa maudhui ya makofi hayo. Hakika wabunge wetu ni vilaza ajabu.
@muhidinihassani520
@muhidinihassani520 5 жыл бұрын
Hao ndio ccm oyeee kazi yao NI kupiga makofi tu, sio kujadili kwa maslai ya nchi
@micamathew6433
@micamathew6433 5 жыл бұрын
Bado mh Majaliwa anajibu kwa kuficha, sasa hapo kuna tatizo..mh Mbowe ww kuwa na subira, iko siku mambo yatanyooka tu.
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 4 жыл бұрын
Eeee amen yatanyooka,kwani tunaishi miaka mingapi ??? Mpaka asubili mambo yatanyooka ??dunia tambara bovu
@AloisNashali
@AloisNashali 6 жыл бұрын
Huyo majariwa pumbu tu
@musamabura5200
@musamabura5200 6 жыл бұрын
Majaliwa hajajibu swali la Mh Mbowe ,,,amezunguka bila kusema kuwa anaruhusu international investigators au lah!!
@samwelimwinyi9327
@samwelimwinyi9327 6 жыл бұрын
Musa Mabura-√
@pendomartini447
@pendomartini447 6 жыл бұрын
Pale ambapo mtakamilisha kazi hata ikiwa miaka 50 ijayo,......
@loner_wolf
@loner_wolf 4 жыл бұрын
Hawa nilichoelewa wanahisi picha limekaribia kuisha .... Next yr wengi watakuwa wanashuhudia mjengo kupitia youtube Kama sisi raia wakawaida .....Sasa wanatafuta huruma tu , na TRUST ME Sera watakuwa hawana ktk kampeni zao ila hizi story za kutekwa na kuteswa ndio zitakuwa sera zao.
@rashidyishika6868
@rashidyishika6868 4 жыл бұрын
We wazir Mkuu kumb Msanii??
@africanstears7755
@africanstears7755 5 жыл бұрын
cctv camera kwenye majengo jilani na nyumba ya tundulissu ziko wapi
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 4 жыл бұрын
Ndugu wapendwa leo nimefurahi sana kumsikiliza rais Magufuri.Kasema!!!! Wapelelezi ndiyo shida eanachukua mda mwingi mno kupeleleza na kutoa jibu na ndiyo maana nanukuru kasema kuna wafungwa13 elfu lakini mahabusu wanaosubili ili wajue hatima yao wako 17 elfu. Hawa wako ndani wananyea kwenye ndoo .wakiuliza jibu ni ,upelelezi bado,miaka 5 mtu yuko mahabusu kweli ??? Hii inaingia akilini jamani? Kwa hiyo swala la Tindu Lisu mpaka yesu aje !!nakwa vile yuko karibu!wacha tusubili,ila hao wapelelezi cha moto chao kinakuja
@erastosolomon4554
@erastosolomon4554 6 жыл бұрын
Maelezo mengi ya nini? Jibu swali, yani majibu yako waziri mkuu hata kama angekuwa mtoto mdogo tayari angejua anadanganywa. Na hao wanaompigia makofi waziri ni macrazy sioni la msingi kupigiwa makofi wakati maswali ya muhimu hajayajibu kiufasaha.
@bulessatv3323
@bulessatv3323 4 жыл бұрын
Ni kweli umuhimu Wa Uchunguzi wa kina ni Muhimu ila kama Mtu anajeruhiwa kwenye Maeneo ya Watu wakubwa yaani Mawaziri na Ni maeneo yenye Cctv camera na high securty una Vamiwa na Asijulikane hadi leo zaid ya miaka 3 kuna tatzo either Kwenye vimbo vya ulinzi Ushauli wangu Tuweni wamoja kuijenga Nchi Si kosa kwa kiongozi kukosolewa pale anapoonekana hajafanya vyema Mhe Waziri Naomba ujibu kwa Faida ya Audience ote na Tanzania Kwa Ujumla Tanzania yangu Nchi yangu
@abubakarimchani114
@abubakarimchani114 6 жыл бұрын
mungu atakuja kutoa jibu ck1 tu tuombe uzima2
@bulayaconfidential7212
@bulayaconfidential7212 3 жыл бұрын
majibu yanaendelea kujibiwa!!
@mbuyaelyaoni6266
@mbuyaelyaoni6266 Жыл бұрын
Kweli. Majibu naona kama tayari
@kavassay8899
@kavassay8899 5 жыл бұрын
Mboowe mungu akupe miaka10000
@paschalinejoginda5702
@paschalinejoginda5702 6 жыл бұрын
jibu swali bna,,,unajikanyaga mheshiwa
@aloycekiwia8613
@aloycekiwia8613 6 жыл бұрын
Mbona hajibu kwa nini hawataki Tume ya Kimataifa.? Swali Gumu hiloo.!
@mustafachiumbwe3136
@mustafachiumbwe3136 5 жыл бұрын
mungu yupo on day mficha jereha umauti umuumbua
@barakambise2773
@barakambise2773 4 жыл бұрын
Nasi uache msahidiwe kutafuta
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 3 жыл бұрын
Miccm washenzi wanaua wafrica wenzao kisa niubinafsi uchoyo!!hivi mnaakili nyee miccm mtachelewa kusongambele maana mnaandama wenyevipaji vyakutukwamuwa!!!!
@aissacktegama8972
@aissacktegama8972 4 жыл бұрын
Tuteteeni Sisi wafanyakazi kampuni binafisi mishahara inachelewa pia hawapeleki michago yeti nssf tusaidieni wambuge wetu
@fadhiliibrahim9702
@fadhiliibrahim9702 6 жыл бұрын
Kwa majibu haya kama ndio mtihani ticha natoa 0/100
@samwelimwinyi9327
@samwelimwinyi9327 6 жыл бұрын
FADHILI IBRAHIM-Ahahahaha- wazr kapga chenga kujbu!
@lucasgasper5235
@lucasgasper5235 6 жыл бұрын
FADHILI IBRAHIM Kweli kabisa
@amrikemwalu979
@amrikemwalu979 6 жыл бұрын
sio 0/100 tu mi naona ata -20/100 yaani anadaiwa kabisa
@michaelmpoma3579
@michaelmpoma3579 5 жыл бұрын
FADHILI IBRAHIM ...watu wanazunguka danadana had unatia hasira
@r-boymnyange3743
@r-boymnyange3743 6 жыл бұрын
Kwann wasiruhusu vyombo vya nje kufanya upelelezi hilo ndo swali unaongea tofaut na swali!!?
@EREVUKATV
@EREVUKATV 6 жыл бұрын
Mbowe unaakil sana baba, huyu waziri sijui n@n hana lolote, N4$3/|\4J3 \|/AZ1æ1 ANAONGEA PUMB4 TU HAKUNA KITU CHOCHOTE UNAFKI ACHA WW, NA NYIE MNAOPIGA MAKOFI NI MBURURA KABISA HAMNA AKIL WOOTE
@maikochales3154
@maikochales3154 5 жыл бұрын
mbowe we nimtata wanakwepa swali lako
@esteribrahim7127
@esteribrahim7127 5 жыл бұрын
Si mruhusu uchunguzi
@tracyjustice1600
@tracyjustice1600 6 жыл бұрын
Waziri ujajibu swali unazunguka mmbuyu tuuu
@stevenhinjo9664
@stevenhinjo9664 6 жыл бұрын
mbona mauaji mengine hamkutaka wachunguzi watoke nje? kweli binadamu mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu!;
@lucasgasper5235
@lucasgasper5235 6 жыл бұрын
Steven Hinjo Na wewe nenda kawaombeee hao wengine uchunguzi wa nje
@trgphonegeorge3832
@trgphonegeorge3832 6 жыл бұрын
Steven Hinjo inategemeana na mazingira ya tukio,
@mahelamnazaletimahela9317
@mahelamnazaletimahela9317 4 жыл бұрын
We kum kweli yan ujui chochote boya tu
@chiefmachibya3894
@chiefmachibya3894 6 жыл бұрын
Wanaopiga makofi ni mbwa tu
@AnnaAlly-m4e
@AnnaAlly-m4e 4 күн бұрын
Pongez kwa ujasili kiongoz
@johnsonbagambi835
@johnsonbagambi835 3 жыл бұрын
Mbowe ni kichwa
@happinessmwaipopo7426
@happinessmwaipopo7426 6 жыл бұрын
Maelezo ya nini mengi ruhusuni vyombo vya nje muone kama mtapona. Hamna lolote serikali uchunguzi gani mmefanya mfyuuuu
@EREVUKATV
@EREVUKATV 6 жыл бұрын
Happiness Mwaipopo uko vizuri sana ccta nimekupenda bure
@simonsixbert2660
@simonsixbert2660 6 жыл бұрын
Happiness Mwaipopo albadir vipi? hamkusoma
@happinessmwaipopo7426
@happinessmwaipopo7426 6 жыл бұрын
Simon Sixbert kumuulize shehe, umeona wapi ninajuzuu mimi😏
@hajihassan5433
@hajihassan5433 5 жыл бұрын
Mtu binafsi au taasisi zinaweza kufanya uchunguzi wenyewe kama vile CHADEMA ilivyokodi taasisi ya kuwaambia vipi watashinda Uchaguzi na ndio wakamkodi Mh. Lowasa ambapo matokeo ya utafiti yalionesha CCM itashinda kwa 45% UKAWA 40% na Mhe. Lowasa alikuwa akitembea na 15% za likebility ya kupendwa hivyo hata angegombea kama mgombea binafsi angepata 15% ya kura ndio UKAWA wakamkodi. Nashauri na kwa hili wawalete wachunguzi kwa siri na baadae taarifa iwekwe wazi, tupo pia tunaodhani mhalifu katokea CHADEMA kwa nini dereva hataki kuja, aliko anafadhiliwa na nani?
@revocatusmanyama8621
@revocatusmanyama8621 5 жыл бұрын
Uchungz mpaka lini?
@dioclesefaustine1076
@dioclesefaustine1076 Жыл бұрын
Mh: sijalizika na majibu yako. Msilete siasa kwenye maisha ya watu. In short umejibu kisiasa. Inatufanya kama wananchi wa nchi hii kama hatuna akili. Msitake taifa lilete mapigano ya sisi kwa sisi. Kwani nn kinazuia uchunguzi usifanyike? Hatutaki siasa hapa.
@mamarama6360
@mamarama6360 6 жыл бұрын
Mh mkuranga kulee Kibit wamekufa wengi lkn hamukusimama kuomba serikal ilete wachunguz kutoka nje?
@abduljuma5284
@abduljuma5284 6 жыл бұрын
kwakweliii hii nchii nihamnazo kweli sasa waziriii kajibu nn hapo mbona haelewek
@janendomba9461
@janendomba9461 5 жыл бұрын
lini uchunguzi utakamilika jamani mungu anawaona au mfute vyama pinzani
@haddysophiasson7530
@haddysophiasson7530 6 жыл бұрын
Polisi wabongo wanajua kukamata boda boda tu
@hamismalimungu9959
@hamismalimungu9959 6 жыл бұрын
😂😂kwel kaka
@johnwaitara9681
@johnwaitara9681 5 жыл бұрын
Kwel ingekua bodaboda aaa mapema utasikia huna kofia ngumu hujavaa viatu
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 6 жыл бұрын
Mnao piga makofi mnadhani watanzania wajinga, kila kitu kiko wazi, mshenzi wewe majaliwa msitufanye mabwege, mumewauwa kibiti kumbe mnamtafuta Lissu, ili mje mumchaganye na Lissu.
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 6 жыл бұрын
Usinitishie maisha kwani uongo
@idrisspetto8693
@idrisspetto8693 5 жыл бұрын
Wewe mbwa mshenzi wewe na ukoo wako
@idrisspetto8693
@idrisspetto8693 5 жыл бұрын
Usirudie kumtusi waziri wetu pumbavu weww
@laulianmeneja2079
@laulianmeneja2079 4 жыл бұрын
Mbona hamtaki uchunguzi wa nje
@edwiniedwin3347
@edwiniedwin3347 5 жыл бұрын
Mbn hujibu swali??
@jordankaaya606
@jordankaaya606 6 жыл бұрын
Duuu mbna swali la msingi halijajibika?
@ntegrity277
@ntegrity277 Жыл бұрын
Kama angepigwa risasi mwana ccm nadhani watu wengi wangenyongwa kwahiyo ni tabia ya nchi na hakuna uchunguzi au!
@daybrelimite6126
@daybrelimite6126 6 жыл бұрын
Serikali ya Wendawazimu, hamna chochote hapoo!!
@jackjohnjohnsirifeta6144
@jackjohnjohnsirifeta6144 4 жыл бұрын
Ongea ukweri wazir
@pilotngulamba388
@pilotngulamba388 Жыл бұрын
kweni ao wa kibiti sio watanzania nanyi mnaoshabikia kuwa hajajibu vizuri kibiti nao wamepigwa lisasi na ni watanzania pia hacheni kuongeleo ujinga kweni lisu nani na hao walio uwawa na ni nani?
@joshuahassan1605
@joshuahassan1605 Жыл бұрын
Hivi report ya hayo aliyoyataja prime minister ilishatolewa??
@calvinjackson2087
@calvinjackson2087 Жыл бұрын
Waziri mbona hujibu maswali unapigiwa makofi yasiyo ya msingi
@HellenLemilya
@HellenLemilya 2 ай бұрын
Duu uchunguzi huo uliishia wapi ,ulipata nini sasa ,au Bado wanaendelea kuchunguza ?hapa ndipo viongozi wa Tanzania wanaponikera ,na hata kuwachukia na kuona chadema na wapinzani wengine wapo sahihi
@happinessmwaipopo7426
@happinessmwaipopo7426 6 жыл бұрын
Kama hamjafurahishwa Mbona kwenda kumuona mlikuwa mnakataza watu Wa chama cheni wasiende? Mnaruka ruka mnamjua mhusika na Mungu atawaumbua tu.
@erickcobra4054
@erickcobra4054 6 жыл бұрын
Happiness Mwaipopo amen
@mbonireamina6497
@mbonireamina6497 5 жыл бұрын
Kama uchaguzi utafanyika kwa haki na huru mimi kura yangu nitampa TUNDU ANTIPASI LISU. Huyu bwana yuko baribu sana na MUNGU kuliko Magufuli. Mimi nina imani machungu aliyopitia yalisimamiwqa na MUNGU. Magufuli sio chaguo la MUNGU ni chaguo la CCM na SHETANI. Mambo anayofanya Magufuli ni ya mapepo tu. Ameshawalisha baadhi ya Watanzania libwata wawe wanamsifia kuwa kafanya na kujisahau kinachojenga Tanzania ni kodi zao zikiwepo kodi za WAPINZANI. Maisha ya Magufuli baada ya kuwa Rais ni kifungo tu.
@venancebasil4656
@venancebasil4656 6 жыл бұрын
daaaaah wanasiasa wanajua kuzungusha maneno
@issackchalahani1235
@issackchalahani1235 5 жыл бұрын
Yaani majibu ukiyasikiliza vizuri unapata kujua kwamba, ukweli hauja zungumzwa.
@fadhilimwaitete3692
@fadhilimwaitete3692 Жыл бұрын
Towa majibu au jibu swali pamoja nakulibia atujalizika na hayo majibu
@r-boymnyange3743
@r-boymnyange3743 6 жыл бұрын
Yaani Hao wanaopga makofi cjui wanafahamilia zilizolelewa katika MALEZI mazuri
@amswhlnd
@amswhlnd 25 күн бұрын
Swali la mbowe nikwamba hayuna imani na vyombo vyetu vya usalama kwann msikubali tu ili kuondoa hisia mbaya kwenye vyombo vyetu vya usalama
@hocymbesere9459
@hocymbesere9459 6 жыл бұрын
asee ww jbu swali usikwepe hiv hawasomag koment hawa nyumbu
@robertshedlack5354
@robertshedlack5354 5 жыл бұрын
woi Waziri hapo sjaona jipya aliongea, mungu ataumbua tu hao mnaosema hawajulikan
@richardmakao7488
@richardmakao7488 6 жыл бұрын
hawawezi kuruhusu wachunguzi huru kwasababu wao ndo wanahusika
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 4 жыл бұрын
Aha Taita duh Majaliwa kasema anayejuwa aende akatoe taarifa .baba nenda lakini niachie kadi yako ya benk na pini namba kabisa.ili niweze kuwa na kuletea uji mahabusu maana ukiingia huko kutoka ni 2050
@bonifacechengula1860
@bonifacechengula1860 Жыл бұрын
Alikwepa swali la taasisi za kimataifa kuhusishwa kwenye uchumguzi. Kwanini? Serikali yake ndio illihusika
@solomonmwisala157
@solomonmwisala157 6 жыл бұрын
Natia shaka hapo hakuna kitu hapo. haaaaaaaaaaaaa.
@francomtitu143
@francomtitu143 4 жыл бұрын
Ajamani
@edwiniedwin3347
@edwiniedwin3347 5 жыл бұрын
Mbowe nakuelewa sanaaaa , hawana majibu hao ya kukupa mkuu .
@mkijilukali2010
@mkijilukali2010 Жыл бұрын
Istoly itawaukumu mwaka wowote nasikuyoyote
@loner_wolf
@loner_wolf 4 жыл бұрын
Mbowe ulishirikiana na serikali kumpata shuhuda namba Mona ambaye NI dereva ? Kwann mlimficha dereva alipohitajika ? Waziri sio mtu wa kuulizwa maswali hayo ya kiajabu ajabu ...... Huo NI ukosefu wa heshima . Mnaficha watu alafu mnauliza uchunguzi umefikia wapi !! It's big disgrace . Uliza issue za jimboni kwako au maendeleo na sio maswali hayo mepesi .
@BarakaWaya
@BarakaWaya 6 жыл бұрын
Daaaah maswali kwa uchungu ,majibu sasa duuuu
@yusuphchami2991
@yusuphchami2991 6 жыл бұрын
mh, waziri mkuu kama vyombo vyetu vinauwezo mbona hakuna majibu mpaka Sasa Mimi naona nibora turuhusu wachunguzi kutoka nje watusaidie kupata majibu sahihi
@wakusmilewakusmile429
@wakusmilewakusmile429 5 жыл бұрын
Were musika Katika saksta hiri
@hamadimaulidi9485
@hamadimaulidi9485 Жыл бұрын
Mm kama mm waziri ujatoa jibu hapo umezinguwa
@hamadimaulidi9485
@hamadimaulidi9485 Жыл бұрын
Kwa nn afutwe ubunge waziri Hana majibu walewale
@eliajimmy5128
@eliajimmy5128 6 жыл бұрын
hapo nimeona serikali ndio wanaotuuawa kwa nini mnakataa wachunguzi wakimataifa
@amosseme8575
@amosseme8575 6 жыл бұрын
Unawaamin sana wachunguz wa nje ety
@eliajimmy5128
@eliajimmy5128 6 жыл бұрын
Amos Seme umeambiwa swala la bot mliita wachunguzi kutoka Scotland kwa nini mashambulizi haya mnayachukulia POA?
@r-boymnyange3743
@r-boymnyange3743 6 жыл бұрын
Majibu ni tofaut na swali uchunguzi mpaka lini Sasa matukio yote ya Zaman mbona hakuna hata jibu hata 1
@mbonireamina6497
@mbonireamina6497 5 жыл бұрын
Katika watu wanaharibu hii Tanzania ni hawa CCM. Wanadhanishia wamewekwa madarakani milele. Namkumbusha tu Magufuli kuwa kuna mtu alikuwa anajiita Idd Amin yuko wapi. Alijipa majina makubwa kuwa yeye ni Rais wa Maisha Uganda leo yuko wapi. Mtanzania ukiwa hai mshukuru MUNGU wako na watendee wenzako mema. Magufulib anamwambia "MNYIKA" nimekuletea Maji kwenye jimbo lako unataka DEMOKRASIA. Hivi Magufuli ndie analeta maji au kodi zetu anazochukua. Laana ya kuwavunjia wapiga kura wako nyumba na kuwaambia hautalipa fidia ni unyama na malipo yake utayaona mda sio mrefu. Mbona Karume kule Zanzibar alikuwa anawajengea watu nyumba za kuishi wewe unakimbilia mambo makubwa wakati watu wako unawavunjia nyumba bila kuwalipa. Watu uliowaua damu zao zitakulilia milele hautakwepa hilio. Umekuwa "HITLA" wa Tanzania unawazuia wenzako kufanya mikutani wewe ni kama nani Duniani. Umebatiuzwa unaitwa "YESU" haya ni majanga. Hivi unaweza jifananisha na YESU kweli wewe Dikteta. Tujengee hosipitali za rufaa hatuna haja ya kwenda India tena. Ndege zzako zikienda India waliojaa ndani ni wagonjwa wa Tanzania hakuna hata wafanya biashara. Tuambie basi Watu wako hasara tuliyopata kwenye biashara ya Kusafirisha Gesi na korosho kuja na Dar es salaam. CCM kwa nini hampendi kusema ukweli. Mumelipa Deni la ndege Dola milioni 20 bado milioni 13 mnasema mumeshinda kesi. Kwa nini mnatufanya wajinga. Mimi niwaambie tu 2020 tutaminyana sana. Wabunge wa CCM mtakula mikongoto mbaya sana. Tumechoka kuona mko Bungeni kiupiga makofi tu.
@siamollel9725
@siamollel9725 6 жыл бұрын
Ukweli Mh mbowe polisi wanatesa sana RAIA,wakija hahuku kukamata waalifu,wanatoa vitisho na kupoga watu ovyo
@gregoryntandu4718
@gregoryntandu4718 4 жыл бұрын
Sia Mollel ukiwa salama ww huta Jua kama wezako wako hatarini
@esteribrahim7127
@esteribrahim7127 5 жыл бұрын
waziri MKUU wapi huyu anaongea pumba 2
@mahelamnazaletimahela9317
@mahelamnazaletimahela9317 4 жыл бұрын
Malaya tu
@kavassay8899
@kavassay8899 5 жыл бұрын
Wabunge wa ccm bhn wanapiga makofi ya nn au wanataka watu waendelee kuuliwa
@peterbendera490
@peterbendera490 6 жыл бұрын
Hahahaha Jamaa anaulizwa inshu ya Lisu anajibu inshu za Kibiti......Jaman jaman na majibu yanayotolewa hayana uzito ni yakawaida sana ambayo hata mtu yoyote anaweza kujibu....eti hiyo ndio Tanzania Mpya..... hahahahahaha
@muhidinihassani520
@muhidinihassani520 5 жыл бұрын
Serikali ya udikteta haiwezi kujibu
@elihurumathomas686
@elihurumathomas686 4 жыл бұрын
Binge Lina washangiliaji wengi kuliko wanaofikiria
@errymwazembe2847
@errymwazembe2847 6 жыл бұрын
mheshiwa mbona majibu hayana mshiko wala hayana ukweli wowote niungo mweupe kabisa
@stevenhinjo9664
@stevenhinjo9664 6 жыл бұрын
yaani kuna watu hapa hupenda ukikomenti hapa basi usapoti mawazo yao tu kama analaumu serikari basi na wewe ulaumu akitukana nawe utukane hapo hujisikia furaha na amani lakini ukiwa kinyume na mawazo na baadhi ya watu hao wanaanza kukutukana nadhani wanadhani matusi ndiyo yatawasaidia
@dovicochristopher5388
@dovicochristopher5388 6 жыл бұрын
Steven Hinjo 😂😂😂
@mwanahella9650
@mwanahella9650 6 жыл бұрын
Hayo sio majibu kwakweli khaa🤔😢🙄
@jakobodeus9522
@jakobodeus9522 3 жыл бұрын
Serikali ya ccm wanasali kweli ?
@paulojosephy6338
@paulojosephy6338 6 жыл бұрын
swali ni kwamba kwnn serikali hairuhusu vyombo vya uchunguzi vya kimataifa kuja kuchunguza kwnn inakata..... lkn waziri mkuu hajajibu hili swali
@goodluckymakere9023
@goodluckymakere9023 6 жыл бұрын
Paulo Josephy kweli
@samwelimwinyi9327
@samwelimwinyi9327 6 жыл бұрын
Nmekuelewa sana kwa swali-Paulo Josephy!
@paulojosephy6338
@paulojosephy6338 6 жыл бұрын
+Samweli Mwinyi waziri kakwepa swali hajajibu
@samwelimwinyi9327
@samwelimwinyi9327 6 жыл бұрын
Paulo Josephy+Umeona eeeh? Ana2100 busara ktk yanayo tugharim UHAI! Nmempenda ghafla
@bigkisanga5012
@bigkisanga5012 6 жыл бұрын
umeulizwa kuhusu lisu mbona unaweweseka jibu
@ismailhasan4864
@ismailhasan4864 5 жыл бұрын
Big kisanga in hjouyasdftypouyboy e'en h
@tumainimwakalasya6875
@tumainimwakalasya6875 6 жыл бұрын
hahahaaa sio kwa kukwepa uko
@mikehjackson2277
@mikehjackson2277 6 жыл бұрын
Hivi hao wanaopiga makofi sijawaelewa wanapiga makofi ya nin
@greensky9607
@greensky9607 6 жыл бұрын
Mikeh Jackson wanaompigia makofi nani, mbowe ama Waziri mkuu?
@fehilaerick5949
@fehilaerick5949 6 жыл бұрын
we huoni
@davidmbilinyi4198
@davidmbilinyi4198 6 жыл бұрын
Mikeh Jackson hata mm siwaelewi
@happinessmwaipopo7426
@happinessmwaipopo7426 6 жыл бұрын
Mikeh Jackson wengine wamevurugwa hawajielewi kabisa ili mradi waonekane
@starlily07
@starlily07 6 жыл бұрын
Maswali yako Mh Mbowe yamewashika pabaya, hawawezi kujibu moja kwa mojaa ni kujikanyaga tu, aibu yao but time will tell na Mungu yupo kazini.
@samwelimwinyi9327
@samwelimwinyi9327 6 жыл бұрын
Leah Mwakyelu-Kweeeeel
@jeremiamalimu6087
@jeremiamalimu6087 5 жыл бұрын
vida
@jumakilinja6341
@jumakilinja6341 Жыл бұрын
Huyu ni mshenzi tu hana majibu
@SimonSaimon-n4f
@SimonSaimon-n4f 27 күн бұрын
Wametuonaa watanzania wajingaa sanaaa awa viongozi
@cosmaswilliam3805
@cosmaswilliam3805 7 ай бұрын
Ipo siku MUNGU atajibu
@loishiyemollel8071
@loishiyemollel8071 5 жыл бұрын
Sasa ni hofu gani kama watakubali vyombo huru vya nje kuja kufanya uchunguzi ?
@riwayazakiswahilitv4635
@riwayazakiswahilitv4635 6 жыл бұрын
swali halijajibika..haha waziri mkuu unasherk
@EREVUKATV
@EREVUKATV 6 жыл бұрын
Nasra Wangu aache siasa hakuna anachokisema nasema na mtakoma
@piushappyness226
@piushappyness226 5 жыл бұрын
mbowe anahusika
@jonathanntare4787
@jonathanntare4787 5 жыл бұрын
Katombwe shetani
@piushappyness226
@piushappyness226 5 жыл бұрын
Jonathan ntare tunakotombwaga wote wewe leo huendi
@meshackmangare9194
@meshackmangare9194 4 жыл бұрын
Asingeomba uchunguzi wa kimataifa!.
@magesagambajr3546
@magesagambajr3546 Ай бұрын
Namuona ndugai kaduwaa km kala pili Toni
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Mbunge wako au wa Masasi??
@ismailkidongo9384
@ismailkidongo9384 5 жыл бұрын
Wanausika wenyewe
@pascalkenyatta420
@pascalkenyatta420 4 жыл бұрын
Watanzania so wajinga
@AhmedSeif-il1xx
@AhmedSeif-il1xx 2 ай бұрын
Hakuna ccm anaependa haki mpaka kiama
@maxwebjli3241
@maxwebjli3241 2 жыл бұрын
unazungusha t maneno
@zuwenasirgutty8830
@zuwenasirgutty8830 6 жыл бұрын
Specific ya hayo Makofi niyakazi gani....!!??
@stewardnkinda9552
@stewardnkinda9552 Жыл бұрын
Mbona Hadi Sasa hatuja pata majibu Toka kwenye vyombo vya Dola serikali hii Ina shida sana, kwann asiluhusu vyombo vya umoja wa mataif a vije vitedo hivi havivumilik
@ahmedseif9461
@ahmedseif9461 Жыл бұрын
Jawabu huna ww matako
Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017
11:11
Millard Ayo
Рет қаралды 1,4 МЛН
哈莉奎因怎么变骷髅了#小丑 #shorts
00:19
好人小丑
Рет қаралды 54 МЛН
iPhone or Chocolate??
00:16
Hungry FAM
Рет қаралды 44 МЛН
Minecraft Creeper Family is back! #minecraft #funny #memes
00:26
OYUNCAK MİKROFON İLE TRAFİK LAMBASINI DEĞİŞTİRDİ 😱
00:17
Melih Taşçı
Рет қаралды 12 МЛН
MASWALI KWA WAZIRI MKUU: Mbowe achafua hali ya hewa
8:21
Mwananchi Digital
Рет қаралды 34 М.
Lissu afunguka kuhusu madini 'Mungu anasikia.. mtaniambia'
17:29
Millard Ayo
Рет қаралды 378 М.
Godbless Lema VS Waziri Simbachawene bungeni leo
9:52
Millard Ayo
Рет қаралды 1,3 МЛН
Godbless Lema Aliamsha Dude Bungeni, Hali ya Hewa Yatibuka
15:51
Global TV Online
Рет қаралды 578 М.
RAIS MAGUFULI AMTUMBUA KAIMU RPC RUKWA/ "ANAKIBURI....."
8:13
Kupigwa Risasi Tundu Lissu | Maelezo ya Waziri Bungeni
7:40
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 184 М.
哈莉奎因怎么变骷髅了#小丑 #shorts
00:19
好人小丑
Рет қаралды 54 МЛН