RAIS MAGUFULI AMTUMBUA KAIMU RPC RUKWA/ "ANAKIBURI....."

  Рет қаралды 315,105

Bongo5

Bongo5

4 жыл бұрын

Пікірлер: 118
@josephsullymarh6996
@josephsullymarh6996 3 жыл бұрын
Magufuli, baba lala salama, watanzaniya watakuliliya kama Raïs wa wanyonge...Amin.
@upendohalisi80
@upendohalisi80 4 жыл бұрын
Kama umeona polisi wametoa macho makubwa wameogopa kusema pikipiki sio laki nane hebu cheka kidogo
@EbondoSounds
@EbondoSounds 3 жыл бұрын
😁😁🤔😢😭😭
@jordankomba4418
@jordankomba4418 3 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆😆
@fabiomemba9563
@fabiomemba9563 3 жыл бұрын
hahaahaaaaaaaaaaaaaaaAaaaaa
@awadhally1052
@awadhally1052 2 жыл бұрын
😂🤣
@josephchiluka9357
@josephchiluka9357 2 жыл бұрын
😂😂😂🤔
@adamdaudi6191
@adamdaudi6191 2 жыл бұрын
Hatuwezi kukaa na upumbavu wa namna hii🤣🤣🤣, hili jamaa lilikuwa siyo la kisport sport!, tutafika tu🤣🤣🤣
@jameskyando178
@jameskyando178 Жыл бұрын
Sema mshua alikua anajua sana daah ... R.I.P JPM
@kassimukipingu5343
@kassimukipingu5343 2 жыл бұрын
Ulitengeneza heshma sana mzee wa chato
@venturejackson6357
@venturejackson6357 2 жыл бұрын
Dah pumzika kwa aman mzee wetu magufuli 😭😭😭😭😭😭
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 2 жыл бұрын
Baba umetuacha sasa Mama anatunywesha chai ya moto na Pilipili kichaa.
@francisndama4400
@francisndama4400 5 ай бұрын
😂
@dorahpaulo8158
@dorahpaulo8158 2 жыл бұрын
We miss u papa
@flova7022
@flova7022 2 жыл бұрын
Make Kwanza ncheke Mzee alikuaa mchumi balaa , pikipiki laki 8 hata yangu mbovu sikupi...dahhh RIP legend
@denistarange5580
@denistarange5580 2 жыл бұрын
😂😂
@daudimputillah8262
@daudimputillah8262 4 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akupumzishe mahala pema peponi amiiiin mkuu wangu
@integerconsulting9344
@integerconsulting9344 3 жыл бұрын
Mchapa kazi kweli kweli. RIP
@nurdinngwegwe2943
@nurdinngwegwe2943 2 жыл бұрын
Strictly. R I P Father Magufuli.
@amangervacy879
@amangervacy879 3 жыл бұрын
Jamaaa amelala daa R I P chuma
@jacklinmasawe2697
@jacklinmasawe2697 2 жыл бұрын
Lala salama baba yetu tunakulilia mpaka leo
@oscargmosha3108
@oscargmosha3108 2 жыл бұрын
Ee mwenyezi mungu ututizame sisi na taifa letu la tanzania 🇹🇿
@jumatingi2047
@jumatingi2047 2 жыл бұрын
Yani JPM bora ungemtumbuaga huyu mama ulietuachia, kwa maana anayumbisha msimamo wa familia sasa....
@modudaniel5149
@modudaniel5149 2 жыл бұрын
😂
@chimbokiswaga8662
@chimbokiswaga8662 2 жыл бұрын
Ee shangazi yangu ,😄😀😁💓
@hasinauuwimana8405
@hasinauuwimana8405 2 жыл бұрын
Yaani navyoona siasa ya Magu, imekaa kama siasa ya Chama cha Tramp wao tatizo Linashughuliki hapo hapo, kisha navyoona siasa ya Mama ni kama Chama cha Obama wao ni kukaa kweny Meza ili kutatua tatizo
@bickosichula986
@bickosichula986 4 ай бұрын
meza ipi hiyo tatizo lipi lililotatuliwa wizi kila kona.mpeni mwendazake maua yake.mama yenu kafeli tu
@SafariMsafi-um1pz
@SafariMsafi-um1pz 4 ай бұрын
Walio sikia IGP akijibu kusema ndio afande piga makofi tafadhari
@MajaliwaKapolo
@MajaliwaKapolo 18 күн бұрын
Yes huyo ni kiongozi wake ni afande wake
@EdsonSanga-zt2fw
@EdsonSanga-zt2fw 4 ай бұрын
Rest in peace our father
@mohamedelkarim2557
@mohamedelkarim2557 5 ай бұрын
Daa sema kazi ya Mungu haina makosa 😢
@MasumbukoNgata
@MasumbukoNgata 2 ай бұрын
Safi Sana mzee wangu mungu akulaze mahari pema aminaa
@fredythomas1848
@fredythomas1848 2 жыл бұрын
R.I.P JPM🙏
@djatm1319
@djatm1319 3 жыл бұрын
Enyewe hii ilikuwa Simba ya Africa
@awadhally1052
@awadhally1052 2 жыл бұрын
Kwel kabisa
@jumakapola419
@jumakapola419 2 жыл бұрын
Lala salama baba yani utafikili upo na sisi kumbe uliisha tutangulia mbele za haki
@comradejonasrwegoshoramwal5727
@comradejonasrwegoshoramwal5727 4 ай бұрын
Dah! Mungu amrehemu hayati Magufuli.
@kikongajoel5172
@kikongajoel5172 2 жыл бұрын
Ulijitoa akwaajili ya watu lkn mambo dunia híi
@saidhassan7779
@saidhassan7779 2 жыл бұрын
Kwa hakika huyu alikua ni kiungo kikubwa Saan,
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@user-xs6sh5wh4p
@user-xs6sh5wh4p 5 ай бұрын
Kiukweli baba huyo tanzanzia na watu wake tumeku miss sana.
@adnanidarous3117
@adnanidarous3117 2 жыл бұрын
R.i.p legend 🙌 👏
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 2 ай бұрын
Cm inapigwa hiyo😅
@geofreyambakisye4481
@geofreyambakisye4481 2 жыл бұрын
My present daaah .
@husseinyusuph4981
@husseinyusuph4981 2 жыл бұрын
R.i.p legend 😭😭😭😭😭
@agustinoezekiel367
@agustinoezekiel367 3 жыл бұрын
Eti umelala,dar kazi ya MUNGU kwakua hata mm sina muda hapa
@mwana-unique
@mwana-unique 3 ай бұрын
Nani ametazama hapa 2024
@enoskilongo7685
@enoskilongo7685 2 жыл бұрын
Tulieni napigiwa simu na Mh.Rais
@gmaillameckmnyika
@gmaillameckmnyika 4 ай бұрын
Dah pumzika baba😭😭😭😭😭😭
@sabihimngetuka6971
@sabihimngetuka6971 4 жыл бұрын
Hzo pkpk mtazipata wap mbili ili muongeze mbili ziwe nne kwan hakuna pipk ya million moja
@gosbertireneus5558
@gosbertireneus5558 2 жыл бұрын
Daaaaah ila Magufuli ulitisha baba endelea kupumzika kwa amani
@emilysanga7662
@emilysanga7662 4 ай бұрын
Mwamba huyo ukilikologa lazima ulinywe
@ramadhanimwinyi-7445
@ramadhanimwinyi-7445 4 ай бұрын
Hatutampata tena Kama huyu
@user-hi2gh2jx4s
@user-hi2gh2jx4s 5 ай бұрын
Duh pkpk laki 8 hhhh watu wameogopa kusema
@frankmwinuka6298
@frankmwinuka6298 Жыл бұрын
Jembeeeeeeeeeeeee dah kweli ni kama tupo ndotoni
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 4 жыл бұрын
Magufuli kuna waziri mmoja umemteua hujui historia yake ni muonevu mzee wangu,ni mtu hafai kabisa ni mbunge wa jimbo moja huko mbeya
@frankmwinuka6298
@frankmwinuka6298 Жыл бұрын
Rais wetu wa wanyonge
@majaliwacosmas3322
@majaliwacosmas3322 2 жыл бұрын
Huyu ndio Rais. Kaondoka sasa tutakiona
@shorewanda5635
@shorewanda5635 11 ай бұрын
Naliaga tu! ntalia mpaka mwisho wa maisha yangu!!
@EmmanuelMajele-ny2hk
@EmmanuelMajele-ny2hk 4 ай бұрын
❤❤
@ChidyMbinga
@ChidyMbinga 4 ай бұрын
R I P Baba
@hamisrajab5340
@hamisrajab5340 2 жыл бұрын
Huyu ndio alikua rais wawanyonge sio filam
@noelnoel4916
@noelnoel4916 2 жыл бұрын
Miss you
@mechackmarwa5789
@mechackmarwa5789 2 жыл бұрын
Hua natokwa na machozi napoona krp za magu Mungu anajua2 jamani ila tumedondosha chuma cha uhakka
@abedysteven4930
@abedysteven4930 2 жыл бұрын
Baba tutakukumbka daima !! Hakika ulikuwa rais ! Cjui kama 2tapata kama ww
@alkadkomba5449
@alkadkomba5449 2 жыл бұрын
Hahahhah Mis u Dady's Nation
@loreensaimon3958
@loreensaimon3958 2 жыл бұрын
Jamn huyu baba bodyguard wa raisi yukwap
@jesuittemba663
@jesuittemba663 2 жыл бұрын
USA
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe 11 ай бұрын
😢😢Tutafika tu
@rockycity7213
@rockycity7213 5 ай бұрын
Mr presidentAlikua ni 🔥🇹🇿
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 4 жыл бұрын
Nataka nikujulishe kwakina kuhusu mtu huyo
@josephmwabange9633
@josephmwabange9633 2 жыл бұрын
Jamani nyie,Tanzania hatuna bahati
@onesmothimos2635
@onesmothimos2635 2 жыл бұрын
Inchi ambayo Kuna madini aina mbili ambayo aya patikani kwingine duniani nayo ni tanzanite na Doctor magufuri
@EbondoSounds
@EbondoSounds 3 жыл бұрын
😁😁😁😭😭 JPM mtu kesha tumbuliwa tayari
@lawrencehezronmwakalebela2738
@lawrencehezronmwakalebela2738 4 жыл бұрын
Viongozi wanashindwa kueleza ukweli...pikipiki gani inauzwa laki8
@dickisonjulias8370
@dickisonjulias8370 4 жыл бұрын
Ad lak5 zipo wanazo Kamata
@dickisonjulias8370
@dickisonjulias8370 4 жыл бұрын
Jaman ulew nn izo za selikal aztozwi ushulu pikpki China ni lak6 ushulu tz ni pesa nying
@emmanueljohn5162
@emmanueljohn5162 4 жыл бұрын
Ziko kibao Serkali wana bei zao zenye exemption acha kukariri we unadhan akienda kununua anaenda ka raia bal taasis ya umma
@sneedlekisengo9592
@sneedlekisengo9592 2 жыл бұрын
hahaha wataongezea na zao
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 5 ай бұрын
Hizi hekahela tumezimisi❤
@Gab217
@Gab217 4 жыл бұрын
Mmmmmh Tutafika tu
@onesmoretz2785
@onesmoretz2785 4 жыл бұрын
On the spot
@eliasstafawa4935
@eliasstafawa4935 6 ай бұрын
Chuma kimelala😢😢😢😢😢😢😢
@ramadhanikasebulla5221
@ramadhanikasebulla5221 4 ай бұрын
Chuma 😢
@bonifacejengela1883
@bonifacejengela1883 2 жыл бұрын
Na Imani upo mioyoni mwetu
@zainabrajab7862
@zainabrajab7862 3 жыл бұрын
Suguye 30:12:2020
@EXCELMASTER-Wiseoption
@EXCELMASTER-Wiseoption 5 ай бұрын
Leo ni january 2024. Nilikuwa naangalia bunge na kuona upuuzi unaondelea. Ghafla nikaona hii clip yako tutakukumbuka sana
@hadijamgamba4397
@hadijamgamba4397 3 жыл бұрын
Mzigua kaka angu chup chupu
@lusajomwankusye3477
@lusajomwankusye3477 2 жыл бұрын
🙏
@maikoandrew58
@maikoandrew58 2 жыл бұрын
Hivi kuna pikipiki ya milioni moja ?
@allanmnzava8216
@allanmnzava8216 2 жыл бұрын
Kweli haiishi
@binzubeir6510
@binzubeir6510 2 жыл бұрын
IGP hujambo! Hhhhhhh
@vumilialeonardi109
@vumilialeonardi109 2 жыл бұрын
Rais magufuri utasaurika kamwe
@kale_maga
@kale_maga Жыл бұрын
Atokei tna rais km uyu tz
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 4 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀
@albertswai7153
@albertswai7153 2 ай бұрын
R i p.
@user-ny2xf5wp6f
@user-ny2xf5wp6f 5 ай бұрын
😅😅
@immamrema2288
@immamrema2288 4 жыл бұрын
⚖️🔥
@ErickEdwin-ys3hy
@ErickEdwin-ys3hy 4 ай бұрын
😮-
@gervasisaya4973
@gervasisaya4973 2 жыл бұрын
Magufuli wewe baba
@DavidbundalaGogogo
@DavidbundalaGogogo 3 ай бұрын
Daa alikua jembe
@kikandoowani3769
@kikandoowani3769 2 жыл бұрын
Zuchu
@dangomc_niger
@dangomc_niger 4 ай бұрын
eti milion 1 unapata pikpik
@BongoCryptos
@BongoCryptos 5 ай бұрын
Master JPM
@josephsullymarh6996
@josephsullymarh6996 3 жыл бұрын
Magufuli, baba lala salama, watanzaniya watakuliliya kama Raïs wa wanyonge...Amin.
@smoothcriminal6269
@smoothcriminal6269 2 жыл бұрын
Si bure wewe sio mtanzania, kwa hicho kiswahili unachoongea 😂 nani mtanzania anamlilia magufuli
@jackilinram1083
@jackilinram1083 3 жыл бұрын
Laela tunakulilia magufuri
@Basagamp4
@Basagamp4 4 жыл бұрын
Hahahaha Mzee bwana Pikipiki Laki 9?
@afropatriot7769
@afropatriot7769 2 жыл бұрын
Utaratibu wa manunuzi ya kiserikali nadhani Kuna punguzo la kodi
@alfrefkukwa4888
@alfrefkukwa4888 2 жыл бұрын
Zuchu
@akidanyanje9072
@akidanyanje9072 2 жыл бұрын
Yaani tuna ishi kizembee sanaaa
"NENDA KAMKAMATE SASA HIVI, UMUWEKE NDANI HARAKA" - JPM
8:41
Global TV Online
Рет қаралды 1,1 МЛН
MAGUFULI AMTUMBUA OCD NJOMBE, AMREJESHA BAADA YA SALA YA TOBA
5:27
Mwananchi Digital
Рет қаралды 52 М.
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4,1 МЛН
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 15 МЛН
makabidhiano ya ofisi kati ya Rais Magufuli na JK Novemba 12,2015
6:39
Sababu za madini kutoroshwa hizi hapa
16:08
Azam TV
Рет қаралды 106 М.
MAGUFULI AANIKA MADUDU KUHUSU CORONA - "FENESI, MBUZI NAO WANA CORONA"
35:46
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
0:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 18 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
0:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 6 МЛН
Поймали акулу
0:51
Pavlov_family_
Рет қаралды 2,2 МЛН