Lissu afunguka kuhusu madini 'Mungu anasikia.. mtaniambia'

  Рет қаралды 373,144

Millard Ayo

Millard Ayo

7 жыл бұрын

Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ni niongoni mwa waliopata nafasi ya kusimama Bungeni leo June 13, 2017 kuchangia mapendekezo yake katika bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka 2017/18 na haya ndio aliyozungumza

Пікірлер: 313
@philipowyinjones9645
@philipowyinjones9645 4 жыл бұрын
Daaah wazazi walizaa kichwa kwelikweli Mungu akupe maisha marefu
@christophertarimo5047
@christophertarimo5047 3 жыл бұрын
Sio mchezo
@rajabumapunda416
@rajabumapunda416 4 жыл бұрын
itapita miaka mingi sana kumpata mtu kama uyu
@stephenmalilo9833
@stephenmalilo9833 7 жыл бұрын
Hivi ukiongea baada ya Lissu kuongea unajiskiaje??
@geraldcargotransporters8544
@geraldcargotransporters8544 7 жыл бұрын
Tundu Lisu nakukubari sana, kuwa mzalendo wa nchi yangu
@josephkisura8898
@josephkisura8898 4 жыл бұрын
Dah baada ya kuchangia hapo alipigwa lisasi mchana mungu akuokoe na akulinde jembe
@helencyprian6044
@helencyprian6044 3 жыл бұрын
Kwakweli inasikitisha sana, wanadamu tuache chuki bali tuwe na upendo na tukubali kukosolewa maana sote tunamapungufu
@isayamachaine4705
@isayamachaine4705 Жыл бұрын
Lissu is always ahead of time
@TegooMuhando
@TegooMuhando 2 ай бұрын
Ujambo mrembo Masha llah mungu kaumba mama kazaha ww ni mzuri umekamirrka kira hidara kuanzia utmishi mpaka utwara maishara mungu acha aitwe mungu na ware wote wanao kutakia mabaya basi mwenyezi awatie kiza very Nice baby
@jensennashon6147
@jensennashon6147 7 жыл бұрын
Lisu nakuelewa sana hasa unapoprove facts....salute
@meshackkwigize9848
@meshackkwigize9848 4 жыл бұрын
Jensen Nashon ananikonga moyo pale anapoongea kwa facts ambazo amesoma na nyaraka anazo.shikamooo kaka
@SUPREMEDIGITAL
@SUPREMEDIGITAL 6 жыл бұрын
Nakukubali hapo #TunduLissu unaenda na Reference na taarifa za kila kilichotokea na kufanyika.Lakini bado watu wanaendelea kubisha sasa sijui wanataka nini la ziada.Keep #UKAWA kwa Ukombozi
@iddisambalo8421
@iddisambalo8421 7 жыл бұрын
Napenda sana wasomi....lazma uongee kwa fact
@tithombilinyi3006
@tithombilinyi3006 6 жыл бұрын
iddi sambalo a
@daybrelimite6126
@daybrelimite6126 7 жыл бұрын
Lissu we proudly at you Sir. { natamani sana siku 1niwe mmoja wapo wa watu, kama we we!}
@arnoldarnold6271
@arnoldarnold6271 4 жыл бұрын
Lisu was smart..actualy maybe the smartest at tht time
@mwajumafadhily7712
@mwajumafadhily7712 6 жыл бұрын
Mnyama Lissu long life man
@raibena2695
@raibena2695 7 жыл бұрын
hivi sick we bongo tuna akili gani jamani hivi mtu unaona lisu kaongea pumba hivi kweli hebu kueni na akili bhana minichwa yenu imejaa mafuta ya taa lisu yupo sawa kabisa
@aggreyenock1221
@aggreyenock1221 7 жыл бұрын
Raibena ! hawana akili hao
@rosehillary8742
@rosehillary8742 7 жыл бұрын
Na hatutabadilika kamwe
@fabianvenance2891
@fabianvenance2891 6 жыл бұрын
Raibena ! Hua nakuelewa sana hata nisipokula najisikia kama mtanzania
@sammysammy5483
@sammysammy5483 4 жыл бұрын
Rebeka ww huna akili fala ww
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 3 жыл бұрын
Mwanaume wa shoka huyo hatotokea tena jama Mhe Tundu Lisu.
@emanuelbelato7524
@emanuelbelato7524 7 жыл бұрын
lisu laiti tungekuwa na watu 20 kama hii kuna mahali tungefika
@manywelemanywele7621
@manywelemanywele7621 6 жыл бұрын
Mama alitakiwa kuvuta pumzi kidogo maana ameongea kwa temper saaaana. By the way kile alichoongea Father Lissu we call it Factum Probandum
@kwisa4899
@kwisa4899 3 жыл бұрын
Nani anasikiliza hii mwaka April 20121
@kwisa4899
@kwisa4899 3 жыл бұрын
👍
@babuwaziri715
@babuwaziri715 3 жыл бұрын
Sijaona kama huyu bado, unfortunately akapigwa risasi kwasababu hiyo
@yuzotv458
@yuzotv458 3 жыл бұрын
hii ndio 7bu iliofanya mwamba apigwe risasi!!!!!
@samwelmwinyi7879
@samwelmwinyi7879 7 жыл бұрын
Kuna wakat unaweza ukihc Mwanasheria huyu Lisu haelewek! Lkn bnafc namuelewa sana! Lp neno la kumfaa zaid ya kumtakia KHERIZE MOLA zmtangulie ktk kuzfungua faham! na sharize shetan ZIMUEPUKE! haya n MAOMB yangu ya DHAMBI Tanzania mpya INAKUJA km haijaja tayar!
@DanielDaniel-ey8th
@DanielDaniel-ey8th 7 жыл бұрын
No one like Lissu, God bless you!
@fnnyanda5993
@fnnyanda5993 3 жыл бұрын
Mr.Daniel."No one like Lissu".Ni kweli kabisa hakuna mtu mchafu, Mnafiki, Anatumiwa na Mabeberu, Mchochezi nk.Kama Lissu. Yaaani, huyu ametiwa Microchip na Wazungu ili awe chombo cha kupitishia mambo yao. Na bado, Kufikia 2025,mtakuja kumwelewa tu. Endeleeni kumsifia.
@isackmabanza4937
@isackmabanza4937 Жыл бұрын
Tundu Antipas lissu the hero of the country 🔥🔥
@AmosRugaimukamu
@AmosRugaimukamu 3 ай бұрын
Huyu jamaa noma sana
@severinepetro4395
@severinepetro4395 4 жыл бұрын
Mungu akupe maisha malefu kamanda
@daniellyimo636
@daniellyimo636 4 жыл бұрын
Mungu akupe Nguvu urudi na Walio kudhuru Mungu awachukue Hakika Mungu ni Mwema.😱😱😱😱😱😥😥😥😥😥😥
@babuwaziri715
@babuwaziri715 3 жыл бұрын
Dua yako mungu ameijibu
@erickrobinson8826
@erickrobinson8826 7 жыл бұрын
dah, yani watanzania inatakiwa tuelewe maana ya bunge VIVA LISU
@user-de7nf8pp3w
@user-de7nf8pp3w 7 жыл бұрын
Nakuelewaga sana kamanda wanguu wape ukwl japo wanakuponda
@priscamalima2276
@priscamalima2276 7 жыл бұрын
افلح السريرس nakupenda bulee
@issackchalahani1235
@issackchalahani1235 5 жыл бұрын
Mungu mbariki MTU huyu aitwaye Lissu.
@benny4345
@benny4345 7 жыл бұрын
mchango wa Tundu Lissu. aliyefuatia sasa😭😭
@spiritualman_7
@spiritualman_7 Жыл бұрын
😂😂😂😢
@gaspermassawe7397
@gaspermassawe7397 6 жыл бұрын
SASA kweli MTU wa Faida km huyu mnamwuulia nini JAMANI,? FAIDA YAKE NI KUBWA KULIKO HIZO CHUKI ZENU KWA MANUFAA YA NCHI,
@helencyprian6044
@helencyprian6044 3 жыл бұрын
Asante sana
@jumajasjas2925
@jumajasjas2925 7 жыл бұрын
point ya msingi n kubadir sheria zetu... na kingine Kikwete nae ahojiwe maana hata escrow pia mkataba wa iptl unamhusu... jamaa ni mwizi ila n mwanasiasa...tukitaka kufika lazma tufanye maamuz magumu... mda mwingne n bora tu nchi ingekua yakifalme... hawa marais walopita n lazma wahojiwe... haiitaj uwe na PhD kujua kua hao marais nao walinufaika... au bado wananufaika...
@mahewasamwel398
@mahewasamwel398 2 жыл бұрын
Sio kuhojiwa wafungwe kabsa
@omarymbalala6224
@omarymbalala6224 7 жыл бұрын
Shikamooo tundu lisu
@noelasimon1878
@noelasimon1878 3 жыл бұрын
kwanii usiwe rais lisuu kwann ww kura yng chukua
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 5 жыл бұрын
Wenye akili na uwelewa mara nyingi hawaupati uongozi wa juu urais ila wababaishaji na wazee wa kubip!!! Mungu wangu keep this man alive!! Ana upeo mkubwa na misimamo inayoeleweka!!!!
@geraldsanzala8119
@geraldsanzala8119 5 жыл бұрын
Hivi kweli Tundu Lissu ana makosa kwenye hii nchi???! Kweli??
@abdallahantony9524
@abdallahantony9524 3 жыл бұрын
Hana hata kidogo
@BarakaWaya
@BarakaWaya 7 жыл бұрын
Shetani tu ndo atampiga Lisu
@saidjagger.5543
@saidjagger.5543 4 жыл бұрын
Tundu always iz back
@TheQaled
@TheQaled 7 жыл бұрын
Wawakilishi wa Chama tawala mnatia aibu,lkn ipo siku mtapigwa mawe majimboni...Mungu anawazoom
@luganokapula6267
@luganokapula6267 7 жыл бұрын
Khaled Masondore mulize tindu lissu jimboni kwake kafanya nn
@beatusnestory1158
@beatusnestory1158 7 жыл бұрын
Lugano Kapula hata Huyo wa jimboni kwako kafanya nn
@robbiejerrson7437
@robbiejerrson7437 Жыл бұрын
Duuh, hii imenikumbusha mbali. Jamaa alimaliza tu kuzungumza asubuhi ile, mchana wa saa 7 akapigwa risasi na bahati nzuri Mungu akamnusuru, hakufa..!
@estambuya3901
@estambuya3901 Жыл бұрын
Mungu ni mwema kutupatia watu kama tundu lisu.
@venancemsanjila1895
@venancemsanjila1895 7 жыл бұрын
Tanzania mpya..Iiileee....Naiona....MAGUFULI NI AFYA YA WATANZANIA...Mungu bariki TANZANIA
@christophertarimo5047
@christophertarimo5047 3 жыл бұрын
LISSU the Legend
@salummawazo4324
@salummawazo4324 3 жыл бұрын
Lissu kwanini umebadilika umekuwa pappet dah 😭
@babuwaziri715
@babuwaziri715 3 жыл бұрын
Kaka kauli yako nzito, unapaswa kuwa uhakika na sio kufuata political wagging. Tuseme kama asingepigwa risasi angekimbia nje ya nchi? Leo ungemuita puppet?
@shamssaid7632
@shamssaid7632 7 жыл бұрын
Shikamoo TUNDU LISU. Huyo mama yupo nje ya mada
@hajihajiobery8317
@hajihajiobery8317 6 жыл бұрын
Shams Said
@joxeesetty1980
@joxeesetty1980 7 жыл бұрын
Lissuuu saluti kwk
@johngavile5106
@johngavile5106 5 жыл бұрын
Watu na maliza chuo wanazurura mtaani we Una unga mkono wee mama umetumwa wewe
@robertonaftal4856
@robertonaftal4856 7 жыл бұрын
Mzee lissu ww unajua yan
@peninamartin9867
@peninamartin9867 7 жыл бұрын
Ho ngera sana Jembe Letu Lisu. Mungu Akulinde Daima.
@marryshilla2922
@marryshilla2922 7 жыл бұрын
sawa tindu lisu leo umewapa ukweli
@boniphasmvungi9807
@boniphasmvungi9807 7 жыл бұрын
tulikuwa tunakusubir wewe sasa tumeelewa
@zabronhamad9530
@zabronhamad9530 6 жыл бұрын
lissu Mungu akubariki na akujalie maisha marefu kamanda
@tanzaniatheroyaltour518
@tanzaniatheroyaltour518 2 жыл бұрын
The legend tundu lisu
@evaristedward8557
@evaristedward8557 7 жыл бұрын
Uzalendo Wa kweli ni kusimama na taifa lako wakati wote na kuionya serikali inapokosea! Kua mzalendo sio kusimama na raisi au kiongozi yeyote wa serikali! Tunashukuru kupata sauti hizi katika taifa letu! Washabiki na wasio na maarifa ni ngumu sanaa kwao kuelewa! Mungu ibariki Tanzania!
@jamesmedard5538
@jamesmedard5538 7 жыл бұрын
Asante Mh.Lissu nakupongeza sana kwakusimamia ukweli
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb 7 жыл бұрын
Hizi ndio hoja zenye Afya..... Lissu endeleza babu, watu wanashindwa kutofautisha kupinga na kukosoa kwamba ni mambo mawili tofauti. Niligemea JPM angekuwa anawapongeza wale wote waliokuwa wanazungumzia ili suala wakati likiwa changa. Hivi kusifiwa lazima asifiwe mkubwa tu mdogo huwa hasifiwi??? Rais awaunge mkono hawa jamaa huwa wana hoja zenye mashiko mno.... Hao wabunge wake hawana msaada wanakosa maarifa na wamejaa uwoga. Mh. Rais acha watu wakukosoe na kukupinga kwani ili ndio litakujenga zaidi kwani wewe ndio muamuzi wa kile unachokiona ni sahihi, ila ushauri mzuri chukua.
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb 7 жыл бұрын
Lissu anachokoza mada... tupo hapa tulipo because of u mnaojiita chama tawala.
@barakamusa9745
@barakamusa9745 6 жыл бұрын
lisuuu
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 11 ай бұрын
JEMBE LISSU MTUME WA MWENYEZI MUNGU KWA TANZANIA❤❤❤❤❤
@patrickpaul5692
@patrickpaul5692 6 жыл бұрын
lissu anaongea point tena kwa fact hadi ccm humo ndani wanatamani wakimbie
@gichochore9990
@gichochore9990 3 жыл бұрын
Nakukubali sana lisu
@fayeezomar8283
@fayeezomar8283 7 жыл бұрын
respect u!
@Tutindaga
@Tutindaga 7 жыл бұрын
ndio nilikuwa nasubiria hili jembe liongee roho yangu itulie sasa nimeshaelewambivu na mbichi VIVA TUNDU LISSU
@aggreyenock1221
@aggreyenock1221 7 жыл бұрын
V Allen una akili sana Dada angu
@emmanuelmsigwa714
@emmanuelmsigwa714 7 жыл бұрын
walioshindwa kuzifanyia kaz ropot zanyuma c Magufuli.Magufuli n Jembe babukubwa wtz tutaona jins atakavyoifanyia kaz ripot hii Mungu mpe ujasili Rais wetu.
@thetreasure2230
@thetreasure2230 7 жыл бұрын
V Allen una IQ kubwa sana.
@getrudadodieck7164
@getrudadodieck7164 6 жыл бұрын
tundu lissu
@thetreasure2230
@thetreasure2230 7 жыл бұрын
JPM jishushe tu rais wangu. Hili jembe Lissu linakufaa sana.
@engbugomolajulius1018
@engbugomolajulius1018 7 жыл бұрын
The XYZ were jamaa umeona mbali sana.
@mohamedmnjeja6182
@mohamedmnjeja6182 Жыл бұрын
mwamba ndo huuyoooo hapo sas 💪💪💪💪 mh Lissu
@danielnyangi7806
@danielnyangi7806 7 жыл бұрын
tuache kufukua makaburu yasije yakatunukia badae badae tukahama madha tuangaarie mberee chamusingi marufu kusafirisha dhabu kwenye .makotena acacia hana t.i.n namba anatumia ya baryck unaogopa mini lisu
@shekhekassim6402
@shekhekassim6402 6 жыл бұрын
Wewe ni kifaa Allah atakulipa
@bonybabalao8921
@bonybabalao8921 4 жыл бұрын
Wew utapata uraizi mim chma chdema
@dicksonaroka6961
@dicksonaroka6961 4 жыл бұрын
Mi naomba nikwambie kua JPM ameweza kile ulicho kua na wasi was nayo na sasa katuletea sheria mpya nzuri ya madani yetu Asante JPM kwa kutegua hichi kitendawili ambayo ilishaachwa kua haiwezekan na sasa imewezekana.
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 11 ай бұрын
SIKUKOSEA KABISA NILIPOKUPA KURA YANGU NAJIVUNIA HILO❤❤❤❤
@kovuchanelstar9446
@kovuchanelstar9446 6 жыл бұрын
MTU makin saana tundu lisu....mungu akujalie
@mwalimupaulosmengi6980
@mwalimupaulosmengi6980 7 жыл бұрын
only the cursed oppose you viva Lissu
@justinemgomi9561
@justinemgomi9561 7 жыл бұрын
asante TL
@abduurassa2308
@abduurassa2308 4 жыл бұрын
Kiukweli tundu lisu mm ninakuelewaga sana nitamani ciku moja tanzania wawatunze watu kama hawa lakini watanzania atutaki kuwa mbiwa ukwli kwa sasa tanzania atuna mtu kama tundu lisi
@sometimes5621
@sometimes5621 4 жыл бұрын
Lissu akisikia tena waneno aliyosema sijui atajisikiaje?
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 2 ай бұрын
Huyu mtu anajituma sana hivi hizi taarifa anatoaga wapi
@amosdaudi9793
@amosdaudi9793 7 жыл бұрын
Acha wafu msifie mfu kisha mfe mzikane...uzalendo kwanza kumpiga Jpm ni sawa na kuongea kimakonde ulaya ...Watz HATUWASOMI KABISAAA na visiasa vyenu feki mtasubili sana.
@alexlyova5115
@alexlyova5115 7 жыл бұрын
LISU WEWE NI KIBOKO YAO...... ACHA WAKUPINGE LAKINI WATAKUJA KUKUMBUKA ULIYO YAONGEA...!!!
@christantkitaka4946
@christantkitaka4946 3 жыл бұрын
Huyu jamaa n tunu yaa tanzaniaaa leo 2020 nAsema n yeye
@Adryfierce
@Adryfierce 7 жыл бұрын
Shikamooo LISSU... No one like u... hahahah
@ngwanafabian7532
@ngwanafabian7532 4 жыл бұрын
Asante Yesu kwa kutuletea Dr. John Joseph Magufuli. Umemshindia vita ya makinikia, uzushi, chuki, corona na mengine mengi. Umewaaibisha wasaliti wa taifa walituombea tunyimwe misaada kumbe wanatusaidia kujitegemea kama taifa hivyo wametusaidia kuingia uchumi wa kati mapema kabla ya malengo yetu. Bariki watanzania wote wenye mapenzi mema. Amina
@boscojohn4120
@boscojohn4120 5 жыл бұрын
Mashine ya kazi hiyo
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 3 жыл бұрын
Mungu tubariki watoto wa Tz
@guliyinyabungi332
@guliyinyabungi332 11 ай бұрын
Ni Kweli huyu jamaa yuko mbele ya muda. Leo ni miaka 5 lakini mambo aloyasema yanajitokeza
@jumaedward7110
@jumaedward7110 2 жыл бұрын
The MASTER!
@denisfidelismapunda4316
@denisfidelismapunda4316 6 жыл бұрын
makinikia yale mabilioni yameishia wapi wadau?
@doctorjuniour9459
@doctorjuniour9459 7 жыл бұрын
SHIKAMOO LISSU
@samuelmuhina3186
@samuelmuhina3186 7 жыл бұрын
2onesheni kisomi wapi mnafki sio chuki zenu na ujinga 2 ulio watawala,msikilize vzr pnt zake wenyewe warowezi wanamuogopa muone evn spika sura yake haina furaha,wao kazi yao kumsifu rais hadi muda unaisha,CHADEMA kule kwa wasomi na waelewa
@helencyprian6044
@helencyprian6044 3 жыл бұрын
Hujakosea kabisa, sikiliza alofuata baada ya lisu halafu jipe jibu
@stephanothomas3585
@stephanothomas3585 6 жыл бұрын
Sema baba seeeemaaaa!!
@shedeck8974
@shedeck8974 3 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua sanaa, sema kaja kubadirika uku mwisho.
@consolatamaarufu6762
@consolatamaarufu6762 6 жыл бұрын
lisu love you so much
@obadiajumamkaria2568
@obadiajumamkaria2568 10 ай бұрын
Unajua lisu aongeitu anafanya utafiti wajambo huyu mtu anafaakua Raisi
@bernardmallya2967
@bernardmallya2967 3 жыл бұрын
Hako kadada kalichoongea baada ya Lissu sijui kinatokea wapi maana hakijielew. Mwenzako kasoma toka kwa Mkapa kenyew kanashupalia vtu visivyovijua. CCM wametudanganya sana waTz, CCM wametuibia sna waTz. Ipo siku watang'ooka tu ndio tutajua madudu yao kiundani. Na maneno yote waliyosema wapinzani yametokea na tumejionea
@feyzalyusuph14
@feyzalyusuph14 4 жыл бұрын
Tunakumis Mh Lisu
@shooterchriss9572
@shooterchriss9572 5 жыл бұрын
Lisu noma
@samuelmuhina3186
@samuelmuhina3186 7 жыл бұрын
watanzania 2badilike msomi anaongea kwa fact(improved by evidance),Tundu anashawishi ila ccm wanaleta uelewa wao2,hapo ana hadi report zote anaonesha,lini kulifanyika nini mfano lini walipiga saini juu ya hiyo mikataba,anahoji kwanini washuhurikiwe wengine waachwe.mnaosema mnafki 2onesheni 2one mki2zidi pnt 2nafuata mawazo yenu,pr tibaijuka mwenyewe kasisitiza serikali im2mie
@rosehillary8742
@rosehillary8742 7 жыл бұрын
Jamani mumuelewe Huyu Lissu anamaana sana.HAkurupuki
@mragahpallangyo6261
@mragahpallangyo6261 4 жыл бұрын
Duu Lissu Wee ni jembe la ukwel nitakupenda milele
@frankmanga3721
@frankmanga3721 7 жыл бұрын
Tundu lisu oyeeee
@almostgoro6604
@almostgoro6604 7 жыл бұрын
Honestly..!! lazima watanzania tuwe makini na tutumiye elimu zetu..!! lazima tuwe na fact ktk mambo yanayo husu taifa letuu..!! Hii mikataba yotee imesainiwa na viongozi walopitaa hakuna asiyejuwa hilo..!! Our president Makufuli just be transparency to us Tanzanians..!! TUSAIDIYE kiukweli kama mzalendo..!!
@yohanamwamlima2999
@yohanamwamlima2999 6 жыл бұрын
Almost Goro sawaaliyekamata makinikia ninani kamasio magufuli
@kashindisimon5265
@kashindisimon5265 6 жыл бұрын
Lisu ni kichwa
@bernardbenedicto1373
@bernardbenedicto1373 3 жыл бұрын
Nikitaka kuangalia bunge mwakahuu,nitajikusha
@geofreychitamu366
@geofreychitamu366 7 жыл бұрын
Mungu yupo juu ya nchi,ila swali langu huwa ni,kwa maslahi ya nani,wachache wasemao kweli wafungwe?
@faidamanoni2285
@faidamanoni2285 7 жыл бұрын
siku Tundu lisu akaacha kupiga kelele Tanzania tutaibiwa hadi vichwa vyetu
@consolatamaarufu6762
@consolatamaarufu6762 6 жыл бұрын
nakuelewa mpaka naumwa kaka
@jongosalehe1036
@jongosalehe1036 2 жыл бұрын
Point
@issazakaria863
@issazakaria863 3 жыл бұрын
Hiii bungee la sasa iv sasa hiiiiii
@issasalum1546
@issasalum1546 7 жыл бұрын
kama sheria ni msumeno utakata mbele na nyuma
Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017
11:11
Millard Ayo
Рет қаралды 1,4 МЛН
Cool Items! New Gadgets, Smart Appliances 🌟 By 123 GO! House
00:18
123 GO! HOUSE
Рет қаралды 17 МЛН
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 8 МЛН
Godbless Lema Aliamsha Dude Bungeni, Hali ya Hewa Yatibuka
15:51
Global TV Online
Рет қаралды 573 М.
Tundu Lissu- ccm ni Fashist
8:22
el battawy
Рет қаралды 64 М.
ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
17:08
Global TV Online
Рет қаралды 553 М.
BUNGENI: MBOWE VS MAJALIWA KUHUSU SHAMBULIO LA LISSU
12:23
Millard Ayo
Рет қаралды 302 М.
'Sikutoroka' - Dereva wa Lissu aiambia DW
16:33
DW Kiswahili
Рет қаралды 759 М.
SUGU: "Please Don't Shut Me! Tubishane kwa Hoja na Siyo Bunduki"
11:24
Global TV Online
Рет қаралды 466 М.