Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ni niongoni mwa waliopata nafasi ya kusimama Bungeni leo June 13, 2017 kuchangia mapendekezo yake katika bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka 2017/18 na haya ndio aliyozungumza
Пікірлер: 313
@philipowyinjones96454 жыл бұрын
Daaah wazazi walizaa kichwa kwelikweli Mungu akupe maisha marefu
@christophertarimo50473 жыл бұрын
Sio mchezo
@rajabumapunda4164 жыл бұрын
itapita miaka mingi sana kumpata mtu kama uyu
@stephenmalilo98337 жыл бұрын
Hivi ukiongea baada ya Lissu kuongea unajiskiaje??
@geraldcargotransporters85447 жыл бұрын
Tundu Lisu nakukubari sana, kuwa mzalendo wa nchi yangu
@josephkisura88984 жыл бұрын
Dah baada ya kuchangia hapo alipigwa lisasi mchana mungu akuokoe na akulinde jembe
@helencyprian60443 жыл бұрын
Kwakweli inasikitisha sana, wanadamu tuache chuki bali tuwe na upendo na tukubali kukosolewa maana sote tunamapungufu
@isayamachaine4705 Жыл бұрын
Lissu is always ahead of time
@TegooMuhando2 ай бұрын
Ujambo mrembo Masha llah mungu kaumba mama kazaha ww ni mzuri umekamirrka kira hidara kuanzia utmishi mpaka utwara maishara mungu acha aitwe mungu na ware wote wanao kutakia mabaya basi mwenyezi awatie kiza very Nice baby
@jensennashon61477 жыл бұрын
Lisu nakuelewa sana hasa unapoprove facts....salute
@meshackkwigize98484 жыл бұрын
Jensen Nashon ananikonga moyo pale anapoongea kwa facts ambazo amesoma na nyaraka anazo.shikamooo kaka
@SUPREMEDIGITAL6 жыл бұрын
Nakukubali hapo #TunduLissu unaenda na Reference na taarifa za kila kilichotokea na kufanyika.Lakini bado watu wanaendelea kubisha sasa sijui wanataka nini la ziada.Keep #UKAWA kwa Ukombozi
@iddisambalo84217 жыл бұрын
Napenda sana wasomi....lazma uongee kwa fact
@tithombilinyi30066 жыл бұрын
iddi sambalo a
@daybrelimite61267 жыл бұрын
Lissu we proudly at you Sir. { natamani sana siku 1niwe mmoja wapo wa watu, kama we we!}
@arnoldarnold62714 жыл бұрын
Lisu was smart..actualy maybe the smartest at tht time
@mwajumafadhily77126 жыл бұрын
Mnyama Lissu long life man
@raibena26957 жыл бұрын
hivi sick we bongo tuna akili gani jamani hivi mtu unaona lisu kaongea pumba hivi kweli hebu kueni na akili bhana minichwa yenu imejaa mafuta ya taa lisu yupo sawa kabisa
@aggreyenock12217 жыл бұрын
Raibena ! hawana akili hao
@rosehillary87427 жыл бұрын
Na hatutabadilika kamwe
@fabianvenance28916 жыл бұрын
Raibena ! Hua nakuelewa sana hata nisipokula najisikia kama mtanzania
@sammysammy54834 жыл бұрын
Rebeka ww huna akili fala ww
@sasha-ri7tf3 жыл бұрын
Mwanaume wa shoka huyo hatotokea tena jama Mhe Tundu Lisu.
@emanuelbelato75247 жыл бұрын
lisu laiti tungekuwa na watu 20 kama hii kuna mahali tungefika
@manywelemanywele76216 жыл бұрын
Mama alitakiwa kuvuta pumzi kidogo maana ameongea kwa temper saaaana. By the way kile alichoongea Father Lissu we call it Factum Probandum
@kwisa48993 жыл бұрын
Nani anasikiliza hii mwaka April 20121
@kwisa48993 жыл бұрын
👍
@babuwaziri7153 жыл бұрын
Sijaona kama huyu bado, unfortunately akapigwa risasi kwasababu hiyo
@yuzotv4583 жыл бұрын
hii ndio 7bu iliofanya mwamba apigwe risasi!!!!!
@samwelmwinyi78797 жыл бұрын
Kuna wakat unaweza ukihc Mwanasheria huyu Lisu haelewek! Lkn bnafc namuelewa sana! Lp neno la kumfaa zaid ya kumtakia KHERIZE MOLA zmtangulie ktk kuzfungua faham! na sharize shetan ZIMUEPUKE! haya n MAOMB yangu ya DHAMBI Tanzania mpya INAKUJA km haijaja tayar!
@DanielDaniel-ey8th7 жыл бұрын
No one like Lissu, God bless you!
@fnnyanda59933 жыл бұрын
Mr.Daniel."No one like Lissu".Ni kweli kabisa hakuna mtu mchafu, Mnafiki, Anatumiwa na Mabeberu, Mchochezi nk.Kama Lissu. Yaaani, huyu ametiwa Microchip na Wazungu ili awe chombo cha kupitishia mambo yao. Na bado, Kufikia 2025,mtakuja kumwelewa tu. Endeleeni kumsifia.
@isackmabanza4937 Жыл бұрын
Tundu Antipas lissu the hero of the country 🔥🔥
@AmosRugaimukamu3 ай бұрын
Huyu jamaa noma sana
@severinepetro43954 жыл бұрын
Mungu akupe maisha malefu kamanda
@daniellyimo6364 жыл бұрын
Mungu akupe Nguvu urudi na Walio kudhuru Mungu awachukue Hakika Mungu ni Mwema.😱😱😱😱😱😥😥😥😥😥😥
@babuwaziri7153 жыл бұрын
Dua yako mungu ameijibu
@erickrobinson88267 жыл бұрын
dah, yani watanzania inatakiwa tuelewe maana ya bunge VIVA LISU
@user-de7nf8pp3w7 жыл бұрын
Nakuelewaga sana kamanda wanguu wape ukwl japo wanakuponda
@priscamalima22767 жыл бұрын
افلح السريرس nakupenda bulee
@issackchalahani12355 жыл бұрын
Mungu mbariki MTU huyu aitwaye Lissu.
@benny43457 жыл бұрын
mchango wa Tundu Lissu. aliyefuatia sasa😭😭
@spiritualman_7 Жыл бұрын
😂😂😂😢
@gaspermassawe73976 жыл бұрын
SASA kweli MTU wa Faida km huyu mnamwuulia nini JAMANI,? FAIDA YAKE NI KUBWA KULIKO HIZO CHUKI ZENU KWA MANUFAA YA NCHI,
@helencyprian60443 жыл бұрын
Asante sana
@jumajasjas29257 жыл бұрын
point ya msingi n kubadir sheria zetu... na kingine Kikwete nae ahojiwe maana hata escrow pia mkataba wa iptl unamhusu... jamaa ni mwizi ila n mwanasiasa...tukitaka kufika lazma tufanye maamuz magumu... mda mwingne n bora tu nchi ingekua yakifalme... hawa marais walopita n lazma wahojiwe... haiitaj uwe na PhD kujua kua hao marais nao walinufaika... au bado wananufaika...
@mahewasamwel3982 жыл бұрын
Sio kuhojiwa wafungwe kabsa
@omarymbalala62247 жыл бұрын
Shikamooo tundu lisu
@noelasimon18783 жыл бұрын
kwanii usiwe rais lisuu kwann ww kura yng chukua
@raphaelsamwel26405 жыл бұрын
Wenye akili na uwelewa mara nyingi hawaupati uongozi wa juu urais ila wababaishaji na wazee wa kubip!!! Mungu wangu keep this man alive!! Ana upeo mkubwa na misimamo inayoeleweka!!!!
@geraldsanzala81195 жыл бұрын
Hivi kweli Tundu Lissu ana makosa kwenye hii nchi???! Kweli??
@abdallahantony95243 жыл бұрын
Hana hata kidogo
@BarakaWaya7 жыл бұрын
Shetani tu ndo atampiga Lisu
@saidjagger.55434 жыл бұрын
Tundu always iz back
@TheQaled7 жыл бұрын
Wawakilishi wa Chama tawala mnatia aibu,lkn ipo siku mtapigwa mawe majimboni...Mungu anawazoom
@luganokapula62677 жыл бұрын
Khaled Masondore mulize tindu lissu jimboni kwake kafanya nn
@beatusnestory11587 жыл бұрын
Lugano Kapula hata Huyo wa jimboni kwako kafanya nn
@robbiejerrson7437 Жыл бұрын
Duuh, hii imenikumbusha mbali. Jamaa alimaliza tu kuzungumza asubuhi ile, mchana wa saa 7 akapigwa risasi na bahati nzuri Mungu akamnusuru, hakufa..!
@estambuya3901 Жыл бұрын
Mungu ni mwema kutupatia watu kama tundu lisu.
@venancemsanjila18957 жыл бұрын
Tanzania mpya..Iiileee....Naiona....MAGUFULI NI AFYA YA WATANZANIA...Mungu bariki TANZANIA
@christophertarimo50473 жыл бұрын
LISSU the Legend
@salummawazo43243 жыл бұрын
Lissu kwanini umebadilika umekuwa pappet dah 😭
@babuwaziri7153 жыл бұрын
Kaka kauli yako nzito, unapaswa kuwa uhakika na sio kufuata political wagging. Tuseme kama asingepigwa risasi angekimbia nje ya nchi? Leo ungemuita puppet?
@shamssaid76327 жыл бұрын
Shikamoo TUNDU LISU. Huyo mama yupo nje ya mada
@hajihajiobery83176 жыл бұрын
Shams Said
@joxeesetty19807 жыл бұрын
Lissuuu saluti kwk
@johngavile51065 жыл бұрын
Watu na maliza chuo wanazurura mtaani we Una unga mkono wee mama umetumwa wewe
@robertonaftal48567 жыл бұрын
Mzee lissu ww unajua yan
@peninamartin98677 жыл бұрын
Ho ngera sana Jembe Letu Lisu. Mungu Akulinde Daima.
@marryshilla29227 жыл бұрын
sawa tindu lisu leo umewapa ukweli
@boniphasmvungi98077 жыл бұрын
tulikuwa tunakusubir wewe sasa tumeelewa
@zabronhamad95306 жыл бұрын
lissu Mungu akubariki na akujalie maisha marefu kamanda
@tanzaniatheroyaltour5182 жыл бұрын
The legend tundu lisu
@evaristedward85577 жыл бұрын
Uzalendo Wa kweli ni kusimama na taifa lako wakati wote na kuionya serikali inapokosea! Kua mzalendo sio kusimama na raisi au kiongozi yeyote wa serikali! Tunashukuru kupata sauti hizi katika taifa letu! Washabiki na wasio na maarifa ni ngumu sanaa kwao kuelewa! Mungu ibariki Tanzania!
@jamesmedard55387 жыл бұрын
Asante Mh.Lissu nakupongeza sana kwakusimamia ukweli
@manish-fp1fb7 жыл бұрын
Hizi ndio hoja zenye Afya..... Lissu endeleza babu, watu wanashindwa kutofautisha kupinga na kukosoa kwamba ni mambo mawili tofauti. Niligemea JPM angekuwa anawapongeza wale wote waliokuwa wanazungumzia ili suala wakati likiwa changa. Hivi kusifiwa lazima asifiwe mkubwa tu mdogo huwa hasifiwi??? Rais awaunge mkono hawa jamaa huwa wana hoja zenye mashiko mno.... Hao wabunge wake hawana msaada wanakosa maarifa na wamejaa uwoga. Mh. Rais acha watu wakukosoe na kukupinga kwani ili ndio litakujenga zaidi kwani wewe ndio muamuzi wa kile unachokiona ni sahihi, ila ushauri mzuri chukua.
@manish-fp1fb7 жыл бұрын
Lissu anachokoza mada... tupo hapa tulipo because of u mnaojiita chama tawala.
@barakamusa97456 жыл бұрын
lisuuu
@thomaskiponda607911 ай бұрын
JEMBE LISSU MTUME WA MWENYEZI MUNGU KWA TANZANIA❤❤❤❤❤
@patrickpaul56926 жыл бұрын
lissu anaongea point tena kwa fact hadi ccm humo ndani wanatamani wakimbie
@gichochore99903 жыл бұрын
Nakukubali sana lisu
@fayeezomar82837 жыл бұрын
respect u!
@Tutindaga7 жыл бұрын
ndio nilikuwa nasubiria hili jembe liongee roho yangu itulie sasa nimeshaelewambivu na mbichi VIVA TUNDU LISSU
@aggreyenock12217 жыл бұрын
V Allen una akili sana Dada angu
@emmanuelmsigwa7147 жыл бұрын
walioshindwa kuzifanyia kaz ropot zanyuma c Magufuli.Magufuli n Jembe babukubwa wtz tutaona jins atakavyoifanyia kaz ripot hii Mungu mpe ujasili Rais wetu.
@thetreasure22307 жыл бұрын
V Allen una IQ kubwa sana.
@getrudadodieck71646 жыл бұрын
tundu lissu
@thetreasure22307 жыл бұрын
JPM jishushe tu rais wangu. Hili jembe Lissu linakufaa sana.
@engbugomolajulius10187 жыл бұрын
The XYZ were jamaa umeona mbali sana.
@mohamedmnjeja6182 Жыл бұрын
mwamba ndo huuyoooo hapo sas 💪💪💪💪 mh Lissu
@danielnyangi78067 жыл бұрын
tuache kufukua makaburu yasije yakatunukia badae badae tukahama madha tuangaarie mberee chamusingi marufu kusafirisha dhabu kwenye .makotena acacia hana t.i.n namba anatumia ya baryck unaogopa mini lisu
@shekhekassim64026 жыл бұрын
Wewe ni kifaa Allah atakulipa
@bonybabalao89214 жыл бұрын
Wew utapata uraizi mim chma chdema
@dicksonaroka69614 жыл бұрын
Mi naomba nikwambie kua JPM ameweza kile ulicho kua na wasi was nayo na sasa katuletea sheria mpya nzuri ya madani yetu Asante JPM kwa kutegua hichi kitendawili ambayo ilishaachwa kua haiwezekan na sasa imewezekana.
@thomaskiponda607911 ай бұрын
SIKUKOSEA KABISA NILIPOKUPA KURA YANGU NAJIVUNIA HILO❤❤❤❤
@kovuchanelstar94466 жыл бұрын
MTU makin saana tundu lisu....mungu akujalie
@mwalimupaulosmengi69807 жыл бұрын
only the cursed oppose you viva Lissu
@justinemgomi95617 жыл бұрын
asante TL
@abduurassa23084 жыл бұрын
Kiukweli tundu lisu mm ninakuelewaga sana nitamani ciku moja tanzania wawatunze watu kama hawa lakini watanzania atutaki kuwa mbiwa ukwli kwa sasa tanzania atuna mtu kama tundu lisi
@sometimes56214 жыл бұрын
Lissu akisikia tena waneno aliyosema sijui atajisikiaje?
@PhilipoMwita-wc1ku2 ай бұрын
Huyu mtu anajituma sana hivi hizi taarifa anatoaga wapi
@amosdaudi97937 жыл бұрын
Acha wafu msifie mfu kisha mfe mzikane...uzalendo kwanza kumpiga Jpm ni sawa na kuongea kimakonde ulaya ...Watz HATUWASOMI KABISAAA na visiasa vyenu feki mtasubili sana.
@alexlyova51157 жыл бұрын
LISU WEWE NI KIBOKO YAO...... ACHA WAKUPINGE LAKINI WATAKUJA KUKUMBUKA ULIYO YAONGEA...!!!
@christantkitaka49463 жыл бұрын
Huyu jamaa n tunu yaa tanzaniaaa leo 2020 nAsema n yeye
@Adryfierce7 жыл бұрын
Shikamooo LISSU... No one like u... hahahah
@ngwanafabian75324 жыл бұрын
Asante Yesu kwa kutuletea Dr. John Joseph Magufuli. Umemshindia vita ya makinikia, uzushi, chuki, corona na mengine mengi. Umewaaibisha wasaliti wa taifa walituombea tunyimwe misaada kumbe wanatusaidia kujitegemea kama taifa hivyo wametusaidia kuingia uchumi wa kati mapema kabla ya malengo yetu. Bariki watanzania wote wenye mapenzi mema. Amina
@boscojohn41205 жыл бұрын
Mashine ya kazi hiyo
@johnmalembo64643 жыл бұрын
Mungu tubariki watoto wa Tz
@guliyinyabungi33211 ай бұрын
Ni Kweli huyu jamaa yuko mbele ya muda. Leo ni miaka 5 lakini mambo aloyasema yanajitokeza
@jumaedward71102 жыл бұрын
The MASTER!
@denisfidelismapunda43166 жыл бұрын
makinikia yale mabilioni yameishia wapi wadau?
@doctorjuniour94597 жыл бұрын
SHIKAMOO LISSU
@samuelmuhina31867 жыл бұрын
2onesheni kisomi wapi mnafki sio chuki zenu na ujinga 2 ulio watawala,msikilize vzr pnt zake wenyewe warowezi wanamuogopa muone evn spika sura yake haina furaha,wao kazi yao kumsifu rais hadi muda unaisha,CHADEMA kule kwa wasomi na waelewa
@helencyprian60443 жыл бұрын
Hujakosea kabisa, sikiliza alofuata baada ya lisu halafu jipe jibu
Unajua lisu aongeitu anafanya utafiti wajambo huyu mtu anafaakua Raisi
@bernardmallya29673 жыл бұрын
Hako kadada kalichoongea baada ya Lissu sijui kinatokea wapi maana hakijielew. Mwenzako kasoma toka kwa Mkapa kenyew kanashupalia vtu visivyovijua. CCM wametudanganya sana waTz, CCM wametuibia sna waTz. Ipo siku watang'ooka tu ndio tutajua madudu yao kiundani. Na maneno yote waliyosema wapinzani yametokea na tumejionea
@feyzalyusuph144 жыл бұрын
Tunakumis Mh Lisu
@shooterchriss95725 жыл бұрын
Lisu noma
@samuelmuhina31867 жыл бұрын
watanzania 2badilike msomi anaongea kwa fact(improved by evidance),Tundu anashawishi ila ccm wanaleta uelewa wao2,hapo ana hadi report zote anaonesha,lini kulifanyika nini mfano lini walipiga saini juu ya hiyo mikataba,anahoji kwanini washuhurikiwe wengine waachwe.mnaosema mnafki 2onesheni 2one mki2zidi pnt 2nafuata mawazo yenu,pr tibaijuka mwenyewe kasisitiza serikali im2mie
Duu Lissu Wee ni jembe la ukwel nitakupenda milele
@frankmanga37217 жыл бұрын
Tundu lisu oyeeee
@almostgoro66047 жыл бұрын
Honestly..!! lazima watanzania tuwe makini na tutumiye elimu zetu..!! lazima tuwe na fact ktk mambo yanayo husu taifa letuu..!! Hii mikataba yotee imesainiwa na viongozi walopitaa hakuna asiyejuwa hilo..!! Our president Makufuli just be transparency to us Tanzanians..!! TUSAIDIYE kiukweli kama mzalendo..!!
@yohanamwamlima29996 жыл бұрын
Almost Goro sawaaliyekamata makinikia ninani kamasio magufuli
@kashindisimon52656 жыл бұрын
Lisu ni kichwa
@bernardbenedicto13733 жыл бұрын
Nikitaka kuangalia bunge mwakahuu,nitajikusha
@geofreychitamu3667 жыл бұрын
Mungu yupo juu ya nchi,ila swali langu huwa ni,kwa maslahi ya nani,wachache wasemao kweli wafungwe?
@faidamanoni22857 жыл бұрын
siku Tundu lisu akaacha kupiga kelele Tanzania tutaibiwa hadi vichwa vyetu