Allah amsameh madhambi yake na wazee wetu wote waliotangulia na kila mja wa,kiislamu
@chamritaabdul15923 жыл бұрын
Alhamis ilopita SAA kma izi kipenzi chetu maalim seif,kashatuachisha😭😭😭😭M. Mungu amjaalie makazi mema.
@Itzurfavpetpo3 жыл бұрын
Ameen
@fatmasaid97653 жыл бұрын
Allah a msamehe madhambi yake na wazee wetu wote waliotangulia mbele ya haki Allah awasamehe
@Itzurfavpetpo3 жыл бұрын
Ameen
@hajjism Жыл бұрын
Shukran na dua kwa marehemu wetu kwa ujumla.
@MohamedMohamed-fz5qh3 жыл бұрын
Allah amjaalie pepo ya juu kabisa mzee wetu!
@ahmedkhamis95393 жыл бұрын
Allah akupe pepo ya firdaus
@rayurayan5433 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭 mpk leo tunalia Allah tupe subra
@fatmas73383 жыл бұрын
Allah akupe qaul thabit kiongozi wetu na akuswameh makosa yako
@alimsabah49213 жыл бұрын
Hakika tumeondokewa zanzbar wkt ambao bdo tulikua tunamhitaji Màalim Alla amsameh dhm zke aaamiin
@mwajumashauri96743 жыл бұрын
Wallah litiee nuru kabri yake
@a.8563 жыл бұрын
Allah amrehem amsameh na amlaze pema na wema amin
@saidfabiano95883 жыл бұрын
Allahummaghfirlahu warhamhu waskinahu fil jannah Allah akubariki uliyetunga hii na akuzidishie ujuzi maradufu maneno mafupi lakina matamu snaaaaaa
@ahmadgharib98863 жыл бұрын
Asalam aleykum Akhiy nimekuwa nafatilia Sana Gumzo ni nzuri sna na zinatungua macho na tunafaidika nazo.ombi langu kwako Ile music Bora ungeindowa Ukaweka chengine Bora zaidi .hayo nimaoni yangu.
@abdullahomarabdullah3223 жыл бұрын
Shukrn Mohd Khelef Ghassan kwa faraja yko allah atuzidishie subra na amraham kipenz chetu...
Kaka Muhammad assalam allaikum. Kuna ushauri natumai utaufanyia kazi. Hongera sana, MashaAllah, Allah akubarik, kazi zako ni nzuri sanaaa. Ila kuna jambo binafsi nashindwa ku share ninaposkia IZO ALA ZA MUSIC. Naomba kama kuna mbadala wake ujaribu hwenda ikatokea kilichobora zaid ya izo ala. Asante sana kaka angu. Nakupemda kwa ajili ya Allah.