🤩🤸🏿♂️For real the beautiful and best soccer field that I ever seen in Africa🇹🇿⚽️
@nayopamsham56164 жыл бұрын
Ni mmoja kati ya mchezaji wa kutumainiwa Mwanahamisi Omary namkubali sana huyu dada
@mnzavachris54234 жыл бұрын
Nayopa Msham kashazeeka tyari..ni muda wa akina donesia $ labda asha rashid
@johnfrahini9944 жыл бұрын
Yaani hii timu ya wanawake ikikutana kucheza na taifa stars taifa stars lazima wachezee magoli
@geteyeyenyamsera19354 жыл бұрын
Huyu Dada no 4,6,7,8,16,19, hawa Masada ni shida yule donisia alifunga goli ambalo halijawai kufungwa hata ulaya binge la goli
@zakiazubery20554 жыл бұрын
Katunzi mi nampenda sana movement zake mhaya wangu
@zakiazubery20554 жыл бұрын
asee stumai ni machine🙌🙌🙌
@tonijr82294 жыл бұрын
timu nzuri ila uchoyo mwingiii sanaaa
@howardally41164 жыл бұрын
Jezi no 4 anajuwa mpira sana kam mwanamme
@yohanamwashilindi1204 жыл бұрын
Amina ally
@riphatmuhene96154 жыл бұрын
Burundi kipa wao mzuri sana
@gkplexus28554 жыл бұрын
what fantastic game 👏👏
@mnzavachris54234 жыл бұрын
safi sana mwlm, ila fny kuzungumza na mwanahamisi asee..kitu akifnyacho sija kikawaathiri wachezaji wengine..
@bakariluhala73324 жыл бұрын
Asanteni sana dada zetu
@piussimpleritius1554 жыл бұрын
Mpira tunacheza ila ibdi kocha awape somo tunapoteza nafasi nyngi za magor ya wazi, na gaucho apunguze ubnafsi na awe mtulivu mwishoni.
@sukariabdul28924 жыл бұрын
Hao wa Zanzibar kama tumeungana nchi moja kwa nni wana timu yao? si wangeungana na hawa wa tz ,muungano wetu nn sasa?
@saint_j72634 жыл бұрын
Sukari Abdul 😂😂😂😂sehem ambayo inaraisi wake ulitakuwa team hakuna muungano hapa
@mayalakatema25764 жыл бұрын
Hii ni CECAFA kwa wanaume tunaiita Kilimanjaro Stars siyo Taifa stazz umeeewa ww
@richardjefta42164 жыл бұрын
Kwa mpira wanao cheza hawa wadada tz ni bara wanaume wakalale wako vizuri kunaraha tupu kuwacheki wadada wa tanzania
@jjumageu63574 жыл бұрын
Kwel Kaka
@صخرهثابته4 жыл бұрын
Kabisa wanawake wana bidii kuliko wanaume wanaume nyodo na kujiona ni kwingi
@lubavaclassic70484 жыл бұрын
Zanzibar mtatusamehe nduguzetu maana tuko kundi moja na hakutakuwa na msamaha wala swaliamtumee...!!!
@hellenryoba20854 жыл бұрын
Kama naona magori ya mvua
@lubavaclassic70484 жыл бұрын
@@hellenryoba2085 Aiseeee wajiandae kisaikolojiaaaaa maana sioni kama kuna dalili hata ya gori chi ya tano....kama Uyu Burundi alimpiga tano bila na sisi tumempiga NNE bilaa loooooooooooohhh Mungu akawatienguvu Nduguzetuu...!
@sm5tv4 жыл бұрын
Zanzibar wamegoma kufanya mazoezi ,yawezekana tukapewa point tatu
@lubavaclassic70484 жыл бұрын
@@sm5tv loooooh uwanjani watakuja sema kitakachowakuta ni Mungu saidiaa mzeee...!!
@farajirashidi81864 жыл бұрын
Lubava Classic x wenyewe tunawafundisha soma nyinyi watanganyika,kina fei wapo uko abdul azizi agrei,muda xx ni babalaaao
@mastidiawamara12644 жыл бұрын
mwanahamis Omari anatunyima uhondo wa magori. Mchoyo sana
@technicalengineer95764 жыл бұрын
Mwanahamis mchoyo sana wa pasi za mwisho
@riphatmuhene96154 жыл бұрын
Asha Rashid alikua mchezaji wa Zanzibar before lkn huku kwetu soka la wanawake halijapewa nafasi.
@khadijarajab83833 жыл бұрын
Udini ndio chanzo.
@zalhathasaid20603 жыл бұрын
@@khadijarajab8383 umeonah ee yan mm natamn sku moja niwe mchezaj mpira naupend hatar
@khadijarajab83833 жыл бұрын
@@zalhathasaid2060 Njoo bara mchawi kipaji tu.
@morama7jr5594 жыл бұрын
Huyu Mwanahamis Omary (Gaucho) ni hatari aisee
@technicalengineer95764 жыл бұрын
Unamuachaje huyu Doris minja
@minaside67174 жыл бұрын
Tanzania juu
@alexanderwille92824 жыл бұрын
Mina side good
@geteyeyenyamsera19354 жыл бұрын
Taifa stars itasubili sana kwa Kilimanjaro hiloz watoto wanaupiga mwingi
@leonceleonidas37793 жыл бұрын
Zuch
@michaelraphael59704 жыл бұрын
Wanajitahidi sana haw dada tz
@gabrielisack77864 жыл бұрын
Donisia Minja namfananisha na mtu fulani kutoka Brazil yaani analijua soka
@kanutimosha11152 жыл бұрын
Hongera akina dada
@stelawilliam88364 жыл бұрын
Hongereni Dada zetu
@ashtarmaliki72102 жыл бұрын
Fayaaaaaa
@abdulqawiyyubinego98704 жыл бұрын
Big up
@sniperislam45474 жыл бұрын
namckia kwa mbaali salama ngale
@siphaholelaholela69562 жыл бұрын
Mwanahamisi ni mchezaji mzuri tatizo uchoyo wa mpira
@heryikiponda25184 жыл бұрын
Hongela mabigwa
@jjumageu63574 жыл бұрын
Da raha sana Dada zetu wanaweza
@sawmelimuru38614 жыл бұрын
Wanawake wanacheza kuliko wanaume sijui sasa tufanyaje
@saint_j72634 жыл бұрын
Sawmeli Muru tuwakutanishe tuone
@teddyerasto33454 жыл бұрын
😂😂
@ngilasingardelukumay7534 жыл бұрын
😀😀😀😀 mtangazaji Wa kike Fala kwel ety donisia anakosa goli la wazi afu anasema namna ambavyo amekosa unaweza ukamsifu
@ernestsinje86934 жыл бұрын
Mwanahamisi Omary .......HATAREE!
@mnzavachris54234 жыл бұрын
ernest sinje anapaswa kujitahidi kuachia mpira mapema zaidi kupunguza makosa!
@mcdondosha41514 жыл бұрын
Jezi namba saba mzuri ila anapoteza nafasi nyingi pia mbinafsi sana kuna haja ya kocha kumpa semina
@mnzavachris54234 жыл бұрын
Mc Dondosha mwalala huyo..mwanasha hamis
@jadenjames87634 жыл бұрын
Apa final Lazima nipate mke
@franciscomasungulwa35754 жыл бұрын
Hongereni sama Kilimanjaro Queens!
@hindisaidi50974 жыл бұрын
Wanavotoa through napenda kweli
@baizoboy17193 жыл бұрын
Sijaoa lazima nipate Mke Kilimanjaro starz
@bahariahd62994 жыл бұрын
HUYU MTANGAZAJI WA KIKE MSOMESHENI ANATUBOA KOZI HAJUI KISHA ANATAKA AJIFANYE KAMA ANAJUA ANYAMAZE ANAKERA
@nurdinhemed64 жыл бұрын
Yuko fild ndio mana...tumvumilie atakua mzur in shaa Allah
@lucasmachibya69764 жыл бұрын
Huyo awe anasubir mshahara2
@l.h.l22544 жыл бұрын
Kuna mahali anakwambia eti tangu juzi timu ya tanzania imekua ikifaidika na offside. Eti wamekuwa na ofiside nyingi na wamezitumia. Hahhha hata sijui alitaka kusema nini!
@josboy53844 жыл бұрын
@@l.h.l2254 😂😂😂😂 dah! Nimecheka sana
@josboy53844 жыл бұрын
Kiukweli anazingua hajui anachokifanya yupoyupo2 na kama yupo kwenye mafunzo akajifunzie kwenye ndondo cup huko. Huku cc 2po sirous bhana
@pauloemanueli748511 ай бұрын
Wao
@jeviounipers4 жыл бұрын
huyo number 4 ni nyoko...anaujua mpira aisee
@omarjumanne43564 жыл бұрын
Wakari.tanzania
@violethmoses50024 жыл бұрын
penda San nyie mm mwenyew mchezaj lkn sijui nitafanikiw lin
@homelandsstudios.66244 жыл бұрын
Kama upo dar wafatee simbaa watakusaidia
@neemamashauri63334 жыл бұрын
Huyo Mwanahamis anataka awe anafunga yy tu aache uchoyo
@mnzavachris54234 жыл бұрын
Neema Mashauri utu uzima kikosini nao sababu
@siphaholelaholela69562 жыл бұрын
Tatizo ubinafsi,uchoyo toa pasi kama umebanwa ndo maana ya timu
@angelavelin7294 жыл бұрын
Kwan taifa stars wanafel wap
@halifun2nd9444 жыл бұрын
Uyu kipa waburundi ameonesha uwezo mkubwa sana ila wachezaj wake ndiyo wamemuangusha
@mnzavachris54234 жыл бұрын
Hali Fun 2nd hata washambuliaji wa k'njaro wamenfny aonekane mkali lakn laiti kama wangelikuwa wanaachia mpira mapema zaidi bas tungekuwa twazungumzia mabao mengi mno..na hap hakuna mwingine bali ni mwanahamisi omary ambaye ana uchoyo wa namna yake!
@farajirashidi81864 жыл бұрын
tumeungana kichama tu kakaa
@saint_j72634 жыл бұрын
Au kati ya hawa ma-qeens kuna masela nn, mbona hivo
@salumkanju17322 жыл бұрын
Hahahahaha oya comments nyingine hazivumiliki Hahahahaha
@bahariahd62994 жыл бұрын
TANGANYIKA TIMU YAO IPO SAWA
@saint_j72634 жыл бұрын
BAHARIA HD point
@farajirashidi81864 жыл бұрын
BAHARIA HD hahahahah x wanajiita tanzania wakat wajiite tanganyika
@alfredmsambaa14434 жыл бұрын
eb jenga picha kam team ya wanaume nd ingekua inagawa doz hivo,,dah yan ingekua team zikpangwa kundi moj na tz,,wanawaza wamemkosea nn mungu🤣🤣🤣😋
@saint_j72634 жыл бұрын
ally baruan 😂😂😂😂😂😂
@jessiejessilic83054 жыл бұрын
😂😂😂
@innocentmussa97244 жыл бұрын
😀😁😂🤣
@polycarpnyoni67394 жыл бұрын
Uyu Donias km mohamed hussen vleeee
@kaaweemwenyewe28724 жыл бұрын
🤩🤩🤩🤩🤩team ya wanawake raha sanaaaaaa
@berrynilpastory15474 жыл бұрын
Polycarp nyoni xxxx
@berrynilpastory15474 жыл бұрын
Xxx
@berrynilpastory15474 жыл бұрын
Xxx
@johnfrahini9944 жыл бұрын
Yani hawa wasichana kama sheria ingeruhsu wakipige na taifa stars taifa stars wangekuwa zaidi ya nne zaidi ya hatari
@jessiejessilic83054 жыл бұрын
Niame Tanzania niende wapi sasa😂😂😂
@siphaholelaholela69562 жыл бұрын
Mwanahamisi mchongo,mbinafsi,mpendwa sifa hana utulivu kihelehele mno mwalimu mwangalieni
@violethmoses50024 жыл бұрын
jaman nawakubal xan
@siphaholelaholela69562 жыл бұрын
Ni wachezaji wazuri tatizo kila mmoja anatafuta sifa hawachezi kwa maslahi ya timu
@fatmahissa30194 жыл бұрын
Huyu mtangazaji wa kike anawashwa kama shoga mgeni, yani ana dakia dakia nyooko
@jjumageu63574 жыл бұрын
We
@oscarswila12672 жыл бұрын
Aise nooma tz
@jurmainezaidi7394 жыл бұрын
Kama sio uyu namba 4.....udambwi usingekuwepo aisee
@zaidathuman60673 жыл бұрын
Kweliii mtoto Amina huyooo
@arikasisolution22534 жыл бұрын
Huyu mtangazaj wa kike anaujua kweli mpira wa miguu
@habibuhabibu18553 жыл бұрын
Ila kipa burund wanae
@girionpantaleo58812 жыл бұрын
Huyu Donisia ni mohamed hussein mtupu
@rajablugeje91904 жыл бұрын
HAWA WADADA WAJUA KA ULAYA KULIKO WANAUME, NA SIJAJUA KAMA TZ TUTAPATA WACHEZAJI WENGINE KA DONISIA, MWANAHAMIC, ASHA RASHID
@siphaholelaholela69562 жыл бұрын
Uchoyo wa mwanahamisi unaigharimu timu wangekuwa na magori hata kumi
@aishamohammed53474 жыл бұрын
😀😀😀😀
@lucasmachibya69764 жыл бұрын
Huyo mtangazaji wa kike bora huwache kuongea unaboa haupo kimchezo upo ki mshahara
@elizabethmajaliwa34444 жыл бұрын
Mwanahamis unaweza ila tumia uwezo wako kutoa assist kwa wenzio ,acha uchoyo gawa pasi mshinde mengi
@nayopamsham56164 жыл бұрын
ila burundi wanalia kishezi yaan wakiguswa tu utasikia haaaaaa
@nurdinhemed64 жыл бұрын
Ukiona hvyo ujue wanajua mapenz sana
@saint_j72634 жыл бұрын
nurdin hemed 😂😂😂😂😂
@nayopamsham56164 жыл бұрын
@@nurdinhemed6 😃😃😃😃😃😆😆😁😁hatari sana
@صخرهثابته4 жыл бұрын
@@nurdinhemed6 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@manjaruujr1464 жыл бұрын
dabo D motoo
@salumkanju17322 жыл бұрын
Safi sana
@ndamayapejr77254 жыл бұрын
Mchaga og jez no 6
@salumkanju17322 жыл бұрын
Nakapenda san haka ka demonising aisee
@rachelalex81604 жыл бұрын
Donisia utakuja kua mtu mkubwa sana
@mnzavachris54234 жыл бұрын
halina ubishi..consistency kitu muhimu sana na yeye amekionesha anacho..ile mchezaji/ mtu kuwa wa kiwango walau vinavyokaribiana kwa michezo tofauti, na mchezo wa leo ambao kwa namna fulani waeza sema mgumu wao lakn katupia 2..asiongezeka kichwa tu akawa kama mwenzie mwanahamisi ambaye amekuwa wa ajabu sana mchezi wa 2 huu cmuelewi. Amina Ally #4 ametokea wapi naye maana ni wa moto 🔥 sijapata ona. Na lei sijamuona Bobby/ Firmino wangu wa k'njaro queens wangu --- Opa clement sanga!
@rachelalex81604 жыл бұрын
Mwanahamis anaboa maana ni mbinafs
@lyovajr.7684 жыл бұрын
Amina ally anakipiga Simba queens... Opa hii game walimpa wing ilaa akikaa namba kumi Yuko fresh xana Donisia, stumai, asha, dahhh wanajua...
@technicalengineer95764 жыл бұрын
😂😂😋😂 aliye sikia lango halikuona goal
@bogotaamri62214 жыл бұрын
Mechi za jana
@janethmpemba45823 жыл бұрын
Jman donisia Ni hatr
@jumamkubwa49544 жыл бұрын
Jmn naitwa husna naomba name kuunganishwa kwenye mpira napenda na Nina weza namba ang 0758166136
@charleslinze52814 жыл бұрын
mabingwa tz
@godfreyboniphace.nicemovie52984 жыл бұрын
Haujakosea
@bogotaamri62214 жыл бұрын
Mechi za uefa
@isackamos9163 жыл бұрын
Simba puaz
@shabaniassani28193 жыл бұрын
Burundi shd
@castonimbeni40203 жыл бұрын
Bbnn
@fucktarddotard75354 жыл бұрын
SISI kama KENYA twabeba kikombe
@johnfrahini9944 жыл бұрын
Yani hawa wasichana kama sheria ingeruhsu wakipige na taifa stars taifa stars wangekuwa zaidi ya nne zaidi ya hatari