Ubarikiwe sana dada zangu # Edwiga Upendo + mwenzako
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Amina.....Barikiwa zaidi na zaidi
@anniesilayo42073 жыл бұрын
Hongereni am feel blessed,,,umujua kugusa mioyo,,mnaimba kwa more feelings hongereni,,mungu awajalie uwezo zaidi
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Amina Annie.....Ahsante sana kwa support
@gladysalbinus76463 жыл бұрын
Amina mama mungu azidi kukubariki na azidi kukubariki hiyo sauti
@MagdalenaKajala19 күн бұрын
Napenda sana nyimbo zenu mung awabalik sana
@thaimouraaloyce91442 ай бұрын
Kusema ukweli mnaimba jaman ,,congole kwenu wainjirist,wetu nice song,,wawoooo good beat❤
@alexiusmwenda98973 жыл бұрын
Bwana mfalme atawabariki watu wa Amani.
@DIANANDUNGWA-e2w11 ай бұрын
Happy solemnity of Christ the king 👑
@AsteriaKileo2 күн бұрын
Nimevarikiwa sanaaaaa
@thaimouraaloyce91442 ай бұрын
Hongeren watumishi wa Mungu kwa utume wa uinjirist ,,Mungu akutunze kipaji chenu nabarikiwa xana❤❤
@joshuaonyango9612 Жыл бұрын
Shukrani kwa waimbaji wetu wa Tanzania Mungu awabariki. Am so much blessed . May God grant you good health so that you may transform many soul.💖💖💖💖💖💗💗
@BabaManu20243 жыл бұрын
Kibao safi sana mwalimu...ntakuja unifunze kucheza organ..barikiwa sana kwa kazi nzuri
@allenbangoh98845 ай бұрын
hongereni dada zangu kwa kuinjilisha🤣🤣🤣
@DASTANEPIMACK2 ай бұрын
Hongeren sn kwa saut zenu nzur
@ibrahimmganga16802 жыл бұрын
MUNGU akubariki my sister, kazi yako ni nzuri saana.
@shijageorge59953 жыл бұрын
Hakika nimefarijika sana kusikia nyimbo hii imejaa kila aina ya faraja MUNGU awabariki sana
@sylvestermtundulu78843 жыл бұрын
Ujumbe Mzuri sana
@shadrackkilonzo56282 ай бұрын
Surely...I love your songs and the technic in composition......and the message up in them From Kenya St Anthony choir mwala
@petropeter14385 ай бұрын
Upo sahihi kinanda kupo tofautii kabisaa na nyimbo
@messiasulleydidy25856 ай бұрын
Hawa dada zetu wapo Juu barikiwa sanaaa
@josphatnzioki17893 жыл бұрын
Naupenda huu wimbo sana....asante Edwiga
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Barikiwa kaka Josphat
@tumshangilielyrics67533 жыл бұрын
Napenda uimbaji wako, uchhezaji kinanda na pia wewe mwenyewe.. sijui kama kuna nafasi ...hahaha
@naendwammbaga39642 жыл бұрын
Barikiwa wimbo NI mzuri sana
@manumbubujiba86103 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana.
@happyfocus98963 жыл бұрын
Congratulation to u ccter
@pascalmurhula266815 күн бұрын
Hi Edwige ! There are many days you didn't product others songs. I'm ega to hear you again
@alfredswenya Жыл бұрын
Safi wimbo mzuri kwakweli.
@ChrizostomMagono-ce2pv Жыл бұрын
Nakupenda bure dada edwiga karibu mara
@irenealbogast49163 жыл бұрын
Be blessed my cct bt nam nataman kufikia huko napenda saan nyimb zako na saut nzur 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💕💕💕💕
@RauranceeKabila3 ай бұрын
Kama una moyo wa nyama, semantics Amen
@lydialyatuu952Ай бұрын
Bé blessed dada mzuri
@reginomgaya10083 жыл бұрын
Kazi nzuri Sana dada , ubarikiwe sana
@goodlucksenya3742 жыл бұрын
Sauti nzuri sana edwiga
@tiberiousmogeni78394 жыл бұрын
Napenda kazi yako nzuri. Sauti taaaaamu😍😍
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Barikiwa ndugu
@happyfocus98963 жыл бұрын
Juhudi kubwa sanaa ,single person catholic song its a hard work
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Tumshukuru Mungu
@444444444444444ism8 ай бұрын
Waiting for a new song from yuo!!!!
@ezekielmatinya83143 жыл бұрын
Ahsanteni sana kwa kuzidi kutubariki kwa nyimbo nzuri
@jacksonnjuguna47833 жыл бұрын
Enheeeee.apo apo Dada.nmependa sana I say
@OGT4562 жыл бұрын
My favorite,,that madam Upendo.....sauti zuri izo na kina poa
@kawiche49112 жыл бұрын
Unaimba vizuri sana Aika sana mae Well done keep it up
@mjkinuthia3864 жыл бұрын
Oh how so appropriate the posting of this glorious song with the Feast of Christ the King coming up. As always, the angelic voices of Edwiga & Despina and the perfectly harmonized instruments is a beauty to behold. May Christ the King reign in our hearts and bless you dada Upendo and your ministry 🙏🙏🙏
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Thank you Fr...Thanks be to God
@mjkinuthia3863 жыл бұрын
@@edwigaupendo Karibu. Shukrani za dhati kwenu na baraka tele katika yote
@marylyimo65193 жыл бұрын
Ubarikiw sanaaa. Upendo
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Ahsante Mary
@hedwigjohn62763 жыл бұрын
Wajina nakupenda tu great job mamaa
@munenex3 жыл бұрын
Bwana akubariki sana kwa kazi njema unayofanya.
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Amina
@jamesmwita29953 жыл бұрын
Ongeleni sana kwa kuimba vizuri ,,wote ni wakali wa sauti mungu awabariki sana
@upendojoseph51392 жыл бұрын
Mwimbo mzuri sana
@tigerchristmas54913 жыл бұрын
Yani nnabarikiwa sana na ww dada Mungu atukuzwe ndani ya nyimbo zako Roho mtakatifu azd kukuongoza dear
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Amina
@cornelnamzosha2466 Жыл бұрын
Hongereni Sana ,Mungu azidi kuwainua
@magotinjegere26683 жыл бұрын
Kazi nzuri sana dada ang Mungu akubariki sana katika utume wako wa uimbaji I wish all the best
@patricekisanga69322 жыл бұрын
Upo vizuri upendo
@isakadickson9384 Жыл бұрын
Good San mnaimba vizuri sauti zenye mavutio
@serafineslaa10823 жыл бұрын
You have indeed great talent. Carry on you will be great singer in the catholic songs
@mathewleonard89733 жыл бұрын
Hongera Sana wahusika wote wa nyimbo hii ,,hakika umenibariki .Mungu mwenyewe awazidishie neema na baraka tele katika maisha yenu
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Amina....Tumshukuru Mungu
@sundaychristian69684 жыл бұрын
That's absolutely good,very nice perfect,interested song,good voices that touches my heart,I appreciate your talents,be blessed more and more
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Thanks be to God. Be blessed more
@joelotieno40733 жыл бұрын
kazi nzuri dada zangu nawaombea Mola azidi kuwabariki
@zoomtex3 жыл бұрын
Cute ,,good work despina mdende and Edwiga Upendo keep it up ,,
@nathannbanda33453 жыл бұрын
Beautiful 🥰🌹 mama, I like the song. Add English Subtitles, watching From Malawi 🇲🇼
@winledsakia34483 жыл бұрын
,
@veronicashirima1309 Жыл бұрын
Praise the Lord!!!
@alfredswenya Жыл бұрын
Nimeupenda sana wimbo,unanifariji
@jamesmwangi74553 жыл бұрын
The sound and voice control , the organ played with such skill undefined makes the whole harmony unbeatable. The song renewed will be listened for such long hard to tell. Edwiga, you and your wonderful friend Despina will always remain blessed for this much more ahead. Thank you.
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Thanks be to God James.....Glory and honour be unto him
@jamesmwangi74553 жыл бұрын
@@edwigaupendo Amen ! Stay Blessed !
@jamesmwangi74553 жыл бұрын
The sweet tempo and simple video presentation makes your outstanding performance so Divine with a clear message delivered. Our Father in Heaven is Pleased .
@mercymutisomusic3 жыл бұрын
Today I'm listening to and watching your songs,,,,I feel so blessed 🙏🙏 Say hi to Despina,,, I lover her voice too❤️❤️
@mercymutisomusic3 жыл бұрын
*love
@nelsonogua79993 жыл бұрын
Wonderful keep up and keep going
@anethteodos62083 жыл бұрын
vipenzi vya kanisa katholic❤❤
@StellaMarisSrNamae3 жыл бұрын
Saw this on a friend’s status and I came here! Whoa, can’t stop listening 🥰. Everything: voices, video and the beautiful ladies. Many blessings Edwiga and your friend ❤️
@kevinonyango18403 жыл бұрын
Congratulation, the song is nice
@kingjpama65583 жыл бұрын
naipenda sana hii nyimbo
@richardkingi6603 жыл бұрын
Wow beautiful Angels good work...God bless u
@laurentshayo4484 жыл бұрын
Waooo Madamu Kazi nzuri sana Ubarikiwe
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Amina
@sergeilunga16662 жыл бұрын
Wow wow wow.... wonderful....yes indeed Jesus Christ is King forever... angelic voices 💯🌹🌹🌹🌹
@luluadam30863 жыл бұрын
Nyimbo nzuri na sauti nzuri good song edwiga upendo
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Thanks be to God....Thank you dear Lulu
@genesmnganya39044 жыл бұрын
Kazi nzuri na bora kabisa
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Tumshukuru Mungu kaka Genes...Ahsante pia
@marymalikamalkiathepsalmis5321 Жыл бұрын
I keep on watching this ....sooo sweet
@patrickmkambilwa99323 жыл бұрын
Bwana mfalme ameketi milele atawabariki watu kwa amani asante sana kwa wimbo iyi nzuri ya sikukuu ya yesu kristu mfalme Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Amina kaka Patrick
@gladysndungu3447 Жыл бұрын
Beautiful ladies, beautiful song beautiful voices
@fredrickmutuko8810 Жыл бұрын
You are talented madam edwiga, great voice of all time.
@ringbling3183 жыл бұрын
Great voices, great song...blessing me and my family every day....I have taught my kids( dont speak swahili) and they can now sing alone. You are such a blessing!!!! Nimeisambaza sana kwa marafiki yangu hapa UK and everyone else. Happy Christ the King/ Jumapili ya Kristu mfalme...you have set the bar high....following keenly for.more and more.
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Humbled man of God.....More boessings over you
@RiqsKobia2 жыл бұрын
mungu akubraki sana dada upendo kwa kazi nzuri unayoifanya
Amina kaka Abel....Nakushukuru sana kwa matashi mema kaka
@sebastianpius21363 жыл бұрын
Wimbo mzur San. Be blessed
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Amen....We pray for John Mgandu's soul continue rest in eternal peace
@bright58911 ай бұрын
Edwiga you are quite these days we need more hot gospel music
@masikakivingu50473 жыл бұрын
Wimbo muzuri sana. Mubarikiwe.
@JonasiFransisco8 ай бұрын
Nawapenda sana
@lydiarwejuna4767 Жыл бұрын
Mmeimba vizuri
@siamuchunguzi4 жыл бұрын
Wow hadi sitamani wimbo uishe, hongereni sana Madame!! MUNGU azidi kuwainua daima
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Barikiwa mno best yangu.....Sala zako, maombi yako, hamasa yako, support yako na mengine mengi ndiyo yamechangia mafanikio katika hii hatua....Nakushukuru mno my
@siamuchunguzi3 жыл бұрын
Pamoja sana rafiki yangu wa faida
@deniscyprianus31333 жыл бұрын
Despina nashukuru tukionana live mzumbe University mwaka 2019 kwenye mahafari ya TMCS
@stainthomas43433 жыл бұрын
Huu wimbo na saut zake dah una nikosha sana nauwona uwepo wa Mungu kabisa
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Amina mtumishi....Tumshukuru.....Sifa na shukrani tumrudishie yeye
@seciliasineda40694 жыл бұрын
Hongera Edwiga umepiga hatua kubwa sana
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Ahsante Chair...Barikiwa zaidi tangu leo na hata milele
@renatusndunguru31043 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana
@eliudwakundu37263 жыл бұрын
Sauti tamu kipawa kutoka kwa Mungu,ewe Dada ktk KRISTU shime endelea kutuongoa na mix za kikatoliki hadhira tuko,Ktale kenya
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Amina...Barikiwa Mtumishi
@laurentjoseph58624 жыл бұрын
Hongereni Sana Dada Edwiga Kwa Kazi nzuri
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Ahsante sana
@christianmkangamo62693 жыл бұрын
nice... she is doing good... hongera wadada kwa utume wa uimbaji na upigaji kinanda...
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Ahsante sana
@davidamundala97204 жыл бұрын
Bwana Mfalme mzuri, dada Edwiga. Sauti mzuri sana. Bwana Mfalme akubariki kweli. Alphonse Marie.
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Amina Baba
@emmanuelkipamba84814 жыл бұрын
Ubarikiwe sana na sauti nzuri
@edwigaupendo3 жыл бұрын
Amina
@glorygabriel63933 жыл бұрын
Blessed 😇😇😇😇
@sragnesleonsi43992 жыл бұрын
Dada upendo wimbo huu unatubariki sana. Hasa tunapomaliza kipindi cha mwaka wa kanisa tunamsifu na kumtukuza mfalme wetu. How nice is it.🙏🙏🙏🙏
@magrethmbeshi46283 жыл бұрын
Wow! the song it's more nice, good voices,good arrangements surely it has lifted up my heart in adoration to chirst I have listen the whole day... congrats my lecture
@gidongailo45142 жыл бұрын
Mna sauti tamu wadada nyie. Mmebarikiwa sana yaani ila msijiinue baada ya kusifiwa. Mmesikia eee
@edwigaupendo2 жыл бұрын
Uzidi kubarikiwa. Yote ni kwa ajili ya sifa na utukufu wa Mungu. Hicho ni kidogo sana mbele ya Mungu. Tunatambua hilo. Zaidi usiache kutuombea. Ahsante
@jeanbaptistemukasmugomboka75493 жыл бұрын
Jambo mara nyingine Edwiga Upendo. Wewe ni mtahalamu kwa kupiga kinanda; ni vizuri kukaa karibu na wewe ili ni fahamu na mimi kupiga kinanda. Nawezaje kuku pata kama nafika Tanzania? Umepiga kinanda Vizuri zaidi sana. Tena na cheko yako ni nzuri mno. Nimekufuraiya sana, aswa wakati unapo cheza kwa kinanda. Wakati ninapo sikia nyimbo na mlio wa kinanda unacho piga, nimepata faraja ndani ya moyo wangu. Natamani nikuone kwa karibu. Wewe ni furaha ya moyo wangu.