Tamaaa ya mafanikio inatesa wengi,ila mtumishi usikate tamaa yesu anawakomboa wengi kupitia mahubili yako, barikiwa sana na Mungu.
@Ruthkavutha034 ай бұрын
Bwana yesu akulinde na akuzidishie
@justicemwakikung8764 ай бұрын
Amen mtumishi Bwana nikweli Hawa nima agent washetani.Kwanamuna nyingine nima devil worshipers, false prophets, false teachers, false apostles and false pastors.
@Rashid-vm1fk4 ай бұрын
Macho yetu yako wazi lakini hatuoni,tuna masikio lakini hatusikii,tunahakiri lakini hatufikiri Ee Mungu tusaidie, barikiwa sana Mtumishi wa Bwana
@alexsanga86024 ай бұрын
❤
@paschalcassianoriginal94114 ай бұрын
KWA WALE AMBAO HAMKUTAZAMA MASOMO YALIO PITA MIEZI 6 ILIO PITA YANAENDA YANAPANDA UPYA KWA LENGO LA KUKOMBOA ROHO ZILIZO POTEA AMBAZO HAZIKUFANIKIWA KUSIKIA PAMOJA NA HILO KWA WALE BADO WANA TAKA CHANGIA MADHABAHU MSICHANGIE TUSHA FUNGA CHANGIZO NA MADHAHABAHU ITAKUWA TAYARI MDA SIO MLEFU LABDA MTU AKIWA ANATAKA KUMTUMIKIA MUNGU KWA MACHANGIZO YAHUDUMA KWA SABBU NYUMBANI MWA BWANA KWAHIGAJIKA VITU VINGI HIVYO UNAWEZA UKATUMIA NO HIZO HIZO BWANA AWABARIKI MLIO WAHI KUSIIKIA MASOMO HAYA NA WALE NDO KWANZA MNAAZA KUTAZAMA MUNGU AWABARIKI SNA MOJA YA SOMO MHIM LILILO JIRUDIA NDIO HILI MUNGU AAWABARIKI
@elbaricktv16324 ай бұрын
Fanyia kaz ilo suala la saut za background hazipo sawa saut ya mafundisho haitok vzuri
@panafricanmawesa25554 ай бұрын
Fanya kazi ako,acha wivuuuuuuuu
@jewelmabhenga47424 ай бұрын
Wewe ni taira tu kutukana watumishi wenzio nilikua nakuheshimu kumbe ni taira acha kutafuta sifa Kwa mademu, unatafuta umaarufu tu na sifa Kwa mademu.
@ManotiMabanza4 ай бұрын
Mungu. Atawanyosha. Acha. Mungu akupe ujasiri. Nakesho. Toboa. Siri. Zagiza. Tuokorewe. Mungu jifunue🙏
@geitandelwa2994 ай бұрын
Yaani ww MUNGU AKULINDE MOOYO INAUMA ILA MUNGU ATENDE JAMBO WATU WANAANGAMIA NA JEHANAMU YA MOTO INASUBILI WATENDA DHAMBI OLE WETU SS NA WATOTO WETU DUNIA IMEFIKA PABAYA MNO
@Pendopasilika4 ай бұрын
Wewe ni mwana wa MUNGU kweli alikuokoa kutoka kwenye ufalme wa Giza ili umtumikie na ndio maana shetani alitaka kupoteza dah kumbe aliona kitu kikubwa sana ambacho MUNGU alikiweka na ndo hiki tunachokiona MUNGU akubariki sana mtumishi wa MUNGU
@FrediMolell-ql9sg4 ай бұрын
Amina
@Frenk-f9l4 ай бұрын
Kwelikweli
@Musa-vv2mz4 ай бұрын
Ubarkiwe san mtumishi wamungu
@Pendopasilika4 ай бұрын
@@FrediMolell-ql9sgAmina mtumishi wa MUNGU
@Pendopasilika4 ай бұрын
@@Frenk-f9lBarikiwa mwana YESU kwa uelewa
@JanetMachuma4 ай бұрын
Amen lord mtumishi wa mungu ubarikiwe kwa kuongea ukweli wewe ntuwe tunaendana nawe endelea kuhubiria tuelewe hati tamati AMEN LORD
@MeshackDaniely3 ай бұрын
Mungu mulinde mtumishi wako aendelee kunena nakuhubilii injili mungu mpiganie ameeen
@MGALILAYABillionaire4 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi na Mungu azidi kukufunulia siri za mbinguni ili kuwafungua wengi walio gizani.
@ShedrackbwanaafyacomShed-ph9zf4 ай бұрын
Kaka yangu pascal nakuombea sana mm niko nawe katika kukemea zambi nawimbo kuonyesha niko nawe
@MatokeoEmmanuel4 ай бұрын
Amina
@EngamoSadiki4 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa BWANA WA MAJESHI, hakika watu hawatambuwi nyakati
@AnethHaule3 ай бұрын
Mungu atusahidie🙏sanaaa
@elbaricktv16324 ай бұрын
Tunapenda kusikiriza mafundisho yako lakn hizo saut za vyombo vyako vya matangazo haziko sawa kabisa ebu fanyia kazi ilo suala izo saut background haziko sawa kabisa ni ngumu mtu kukuelewa unaongelea kitu gan
@tatudavid10144 ай бұрын
Mwenyez Mungu aendelee kukutumia, kwa hakika hatuoni tumeshupaza shingon kwa vitu vinavyopita
@emilykavira30784 ай бұрын
Mungu tujaze nguvu katika Safari yakwenda mbinguni
@rechokusilimka57393 ай бұрын
MUNGU FUNDI,,lazima Mungu atamleta hata mmoja kati ya wengi ambaye atasimama nakusema ukweli bila kuogopa
@savemeallah51804 ай бұрын
Mungu akufanyie wepesi kwakila jambo amina nikweli endelea kusema ukweli maana manambi wauongo wamekua wengi kwaupande wa watoto nimitiani kwakila mzazi
@PierreRASHIDI4 ай бұрын
Ubarikiwe mchungaji 🎉🎉mimi ni Evangiliste imani bujumbura
@SuzanJoseph-vk3bb4 ай бұрын
Yani wew mchungaji sijui pasta ubiri watu wampokee Mungu si ukosoe watumishi wa Mungu, unangalia majungu ya watu we ni nani na sioni ata unacho ubiri ayo ni mavazi yanakuhusu nini we unaroho sasa ya Mungu wew mkamilifu acha kudanganya watu
@godfreymakoi98494 ай бұрын
mtumishi tafuta ujumbe wako, acha kuhubiri watumishi wengi sio habari njema
@YoakimMsuha4 ай бұрын
Kabisa
@RamadhaniMusa-jg2cu2 ай бұрын
God bless you 🙏🙏🙏🙏🙏
@NyamhangaJuma-v7l2 ай бұрын
Mtumishi madhabahu Yako yapo wapi moyo unanisukuma nije kusali kwenye madhabahu yako.
@DominicaUggy-em8vc4 ай бұрын
Mungu akulinde. Mmebaki wachache wa namna Kama yako Tanzania.
@agnesmbula52614 ай бұрын
Ur ryt...hta mi sikubaliani Na hizo nyundo kabisa...Mungu afungue Hao washirika macho
@Mamantontine4 ай бұрын
Mungu atupe ushindi kabisa
@user-st5mj6rt3q4 ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa mungu
@elishaddaipeter65214 ай бұрын
1 Yohana 3:10 hongera mtumishi wa mungu, uko sawa kabisa katika mahubiri yako
@ekiliangoliga6444 ай бұрын
Nashukuru Mungu kwakunipa Neema ya kukusikiliza wewe mtumishi wakweli
@Williamjsichalwe4 ай бұрын
Neema ya mungu iwe juu yako kwa kila ulitendalo likafanikiwe
@GodfreyJames-zt6ig4 ай бұрын
Uko sawa mtumish wa mungu huyo nabii mkuu htammi sijawai mkubli hta kdgo
@PillyItuka4 ай бұрын
Ameen mtumishi wa Mungu
@emanuelmkama13254 ай бұрын
Nabii mkuu ni Yesu tuu, huo n ukwel kabsa wengne wanajpa uungu hao nisaw na akna pharao
@moseshaule5864 ай бұрын
Yesu sio nabii, usimshushe hivyo, Nabii ni mtumwa tu.. Yesu ni Mungu tena ni Mungu mkuu na biblia inamtaja kuwa ni Mungu mwenye nguvu. Msibabaishwe na mtu kujiita nabii mkuu hicho cheo ni kidogo sana mbele za Mungu..
@emanuelmkama13254 ай бұрын
@@moseshaule586 hahahahaha Nmtume nani ilsikika Ivo na kweny bible IPO yesu akasema ntume mm ntume baba VP apo sio nabii? Baba akikupendeza kikombe iki kiniepuke alkuw anamuomba Nan? Kama yeye ni Mungu, ndo maana Kuna Mungu baba,mwana na roho elew uyo Devi sio nabii Wala ni nn niwale wafanye biashara tuu na wapo weng snaa Soma Mathew 24
@PeterAdam-o3k4 ай бұрын
Nipo kisogo na mimi namuoba sana mungu awafugue ufahamj maana wametekwa ufahamu
@AlexPolo-nx7sr4 ай бұрын
Endelea kutuelimisha maana wengi kweli hawailewi Amina ev. Cassian .
@newbornhaule4 ай бұрын
MUNGU AKUSAIDIE NI SAUTI YA MTU ALIYAE NYIKANI
@LeahLuhwavi-pd6cz4 ай бұрын
Ubarikiwe 🙏 Bwana Yesu akutunze🙏
@FurahaKanu4 ай бұрын
MUNGU wa mbinguni azidi kukutumia ubarikiwe sana kwakusema ukweli
@salimajosephine16734 ай бұрын
Ubarikiwe kakangu mtumishi wa Mungu
@CHRISTIANO-q4r4 ай бұрын
Mtumishi wa MUNGU akulinde na hakupe nguvu za kuendelea kuhubiri ujuo wa YESU kristo na kufichua udanganyifu wa mitume na manabii
@jovettedenise25914 ай бұрын
Amena barikiwa mutumishi wa Mungu🎉🎉🎉
@innocentoisso75154 ай бұрын
Mungu akusaidie usidi kusema ukwel huuo
@SuhailaSintamei4 ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu,, barikiwa sana
@tatudavid10144 ай бұрын
Amen!! Asanteeee mtumishi 🙏🙏
@agnesmbula52614 ай бұрын
Hkika tuko ukingoni Mungu atujalie mwisho mzuri
@GerardManariyo-zg4vj4 ай бұрын
Umesoma none nzuli lakini ABA batu uko unaongelea naona niwivu tu ju ata vidéo Zao hazionyeshe kama Bana muabudu Bira kumuheshimu kama mutumishi wamungu
@MariamByaese4 ай бұрын
Amena kubwa
@ministermossesmungure4 ай бұрын
Mungu akusaidie sana uijue Neema na Kweli yake katika namna ya Hekima na Ufahamu wa Yesu ndani yako Ndugu yangu wathamani Sana Paschal 🙏🙏🙌🙌🙇🙇🙏🙏
@johnmagwaza76394 ай бұрын
HUYU CASSIAN NI MGONJWA WA AKILI KABISA , NAOMBA WATUMISHI WA MUNGU MUMSAMEHE
@HazardHbcomEmmanuelprodduseign4 ай бұрын
N'est juge pas pour que vous n'est serez pas jugé attention prêché se que tu crois en lui Dieu aie bon 🇨🇩.
@CHRISTIANO-q4r4 ай бұрын
Sasa huu ndio mwisho wa dunia Enjiri iendelee kuhubiriwa hatari yote yaliyotabiriwa yametimia
@nadiatanzania4 ай бұрын
Ubarikiwe mtumish wa Mungu Mungu akutunze 🙏🙌
@EzronRington3 ай бұрын
Mamb
@nadiatanzania3 ай бұрын
@@EzronRington poa
@HABIBHASSAN-wf5mr4 ай бұрын
WAKRISTO HUWA NI WA ROMANI CATHOLIC HAYA MADHEHEBU MENGINE YALIZUKA TU...MPAKA MWAKA 1973 NIKIWA SHULE YALIKUWA AYAJAJA ILPOFIKA 1974 NDIO SASA WAKAZUKA HAWA PENTECOST..LEO HII MKOA WA MBEYA YAMESAJILIWA MAKANISA 320 YOTE YA KIROKOLE...NA DUNIA SASA INA MADHEHEBU ZAIDI YA 48,000...
@elbaricktv16324 ай бұрын
Roman Catholic ndo mashetani wenyewe kama ulikua hujui had papa shoga na kiongoz wa freemason
@agnesmbula52614 ай бұрын
Mungu azidi kukuficha Na kukutetea
@Blessing_uk4 ай бұрын
Mungu akutie nguvu mtumishi
@AmaniKasekwa-uw8hp4 ай бұрын
Mungu ndiye ajuwae
@christianmwabukusi83664 ай бұрын
Ni kweli
@irenemuia27184 ай бұрын
Amina Amina 🙏💯
@melanialeonard40314 ай бұрын
Mayowe mengi hizo ni biashara sema mmezidiana mtaji kwahyo msiwe mnasema watu pambaña na yako lakin mungu ndie hakimu wa haki
@Mapitoyazamani-y7n4 ай бұрын
BIG UP BRO
@moseshaule5864 ай бұрын
Yesu sio nabii , msimshushe hivyo. Nabii ni cheo kidogo sana Mbele za Mungu. Nabii ni mtumwa tu, hata mtu ajiite nabii mkuu bado halingani na Yesu. Sawa na nyapara kujiita mfungwa mkuu bado hawezi lingana na askari magereza. Geo devi kujiita Nabii mkuu isiwastue na wala isiwasumbue. Hata maaskofu kuna hili neno Archbishop maana yake askofu mkuu. Ni mkuu kwa wale anaowaongoza kwenye kanisa lake. Sasa hapo shida iko wapi? Labda kwa mambo mengine lakini sio kwa jina la Nabii mkuu.
@AffectionateGuitarAmp-hp5vk4 ай бұрын
Wapiye hukweli kabisa amen amen
@hellenjonson52104 ай бұрын
Sema ukweli ndicho ulichoitiwa na DAMU ya YESU KRISTO SIMBA kabila la YUDA ikufunike
@PeterAdam-o3k4 ай бұрын
Kweri kabisa yani mungu
@SusanaSimoni4 ай бұрын
Waovu wengi ndo wanawafuTa hao waovu wenzao maa na walianza safari ya kwenda mbinguni ikawashinda Ivo linatengenezwa kundi la washindwa kwenda mbinguni Kwa hiyo hao wote wanamjua mungu huenda ila wameshindwa mashariti ya Yesu kristo maana hata yeye anasema kuwa ndugu zangu na mama yangu ni wale wayatendao mapenzi ya Baba yangu Ivo Sasa hivi Kuna makundi mawili Wana wa kuasi na waenda mbinguni Ivo tu
@haillenyapesa95034 ай бұрын
Mtumishi punguza mziki unakuwa juu sana
@ShedrackbwanaafyacomShed-ph9zf4 ай бұрын
Nitafute kwa jina shedrack bwana afya wimbo unaitwa mimi ni yule yule siwezi kuiabudu sanamu
@moonstarkenya25423 күн бұрын
Amen
@yasintamsuyaАй бұрын
Na ww toa zako kijana tena unasema nabii mkuu😅
@AfwilileNisaidie4 ай бұрын
Hatuhukumu ila nabii mkuu mwamposa zumaridi na wengine je wanamwabudu Mungu ama VP
@duncanchavula12894 ай бұрын
Juwa yakwako hukumu muachie yesu anakuja
@MussaNkombanira4 ай бұрын
Ubarikiwe
@eliaslaurent-it1id4 ай бұрын
kweli isiyo pongika
@CHRISTIANO-q4r4 ай бұрын
MUNGU aendelee kukufunulia mafunuo ya kuwaponya watu roho zao mwenye kusikia atasikia
@jewelmabhenga47424 ай бұрын
Makelele tu toa ujinga wako. Hata jodevi aindikwi hivyo inaandikwa Geordavie. Sijui kwann sheria na serikali isiwe na mijadala ya wazi kati ya huyu na hao watumishi anaowatukana halafu tuamue tofauti na hapo anadharirisha watu kutokana na ujinga wake
@SelinaDorcas4 ай бұрын
Nikuulize ww Kwan hiv unajiona ukosawa ...ss bas matendo yako mwenendo wako na moyo wako ndio kitu muhimu Kwa binadam bt yaonekana ww umekwisha kupumbazwa na vitu vya Dunia
@RobertEliya4 ай бұрын
Paschal acha kuwashambulia hao watumishi, hiyo haisaidii kumhubiri Yesu, ila inakupa tu umaarufu ,Muachie Mungu hiyo kazi atashughulika na watumishi wake
Sio nyundo tu pameandikwa Pele mazabahuni kwake msemaji mkuu wa serikali ya ufalme wambinguni, nilivutiwa Sana na mafundisho yake redioni, nilipofika tu hapo sikuludi kwake tena, nando nilikua nimetoka uisilam niliteseka sana, chakushangaza Mungu anasemea namimi nenda kaokoke kanisa la mabazi hapo sombetini nikatii, mtumishi unaongea kweli usiogope kusema kufa niwajibu wa kila kitu.
@theodorythobius39654 ай бұрын
@@HAPPYSULEMungu akubariki sana mpendwa, endelea kusimama hivyo hivyo katika kristo, ubarikiwe sana.
@Pendopasilika4 ай бұрын
@@HAPPYSULEMUNGU ni MKUU sana ukimtii na kuusikiliza sauti yake atakufunulia mengi mtafute kwa bidii ataendelea kukuonyesha watumishi wa kweli katika kutenda kazi yake MUNGU akubariki
@PeterAdam-o3k4 ай бұрын
Mimi ni mtumish kutoka kisogo na haya unayoyaogea ni kweri kabisa maana hawa ni wakuu wa agaa namini kabis kabisa toboa siri na maobi kabis
@wilfredlukowo94764 ай бұрын
Kuna mengine ni kweli mengine uwongo
@rosendanshau26744 ай бұрын
Aisee sema wanaopona wapone wanaokubali wakubali ujinga.unamsujudia mtu
@EsauDola4 ай бұрын
Mtumishi mm najua wew umetumwa kuwaonya watu lakini watu hawatambui kabisa lakini watu juta watu wasipo kusikiloza wew
@DavidKasina-kg5nk4 ай бұрын
We we nakuona mjinga ukusoma yoana 10:35
@MunguMwema-m4l4 ай бұрын
Yan wewe ulivyoandika bila kutumia hekima nimjinga niwewe
@SelinaDorcas4 ай бұрын
Ww hata umefunga macho na haoni mbele .....Kwa kweli ww n mjinga tu soma wagalati 3: 1
@MCNgakungaJunior4 ай бұрын
SASA MATENDO YA HURUMA YANACHUKUAJE NAFASI YA KRISTO MTUMISHI? UKIWA HUSAIDII MNASEMA WANAJITARISHA WENYEWE. WAKITOA MSAADA WANACHUKUA NAFASI YA YESU. TUSIMAME WAPI.
@Pendopasilika4 ай бұрын
Si kutoa msaada bali kujiita nabii mkuu huko ndio kuchukua nafasi ya YESU na pia zipimeni hizo roho Kama zinatokana na MUNGU Ila kwa sababu watu hawaombi Wala hawasomi neno hawajampa nafasi MUNGU Basi MUNGU HAWEZI kusema ndani Yao geuka mtumishi wa BWANA MUNGU anakupenda usitekwe na mafundisho potofu
@eliaisack1564 ай бұрын
Amen 😢😢😢
@brownmwailunda14364 ай бұрын
Nabii Mkuu ni Mtumishi WA MUNGU na Emeanza KAZI ya MUNGU siku nyingi na hawezi kukupa hela kwamba uache kumsema hatakupa wewe piga kelele tu kwani wewe unajuwaje wewe ni Mungu huyo hatakupa hela na hakuogopi Wala hamuogopi Mtu Yeyote ZAIDI ya Mungu ulianza kumtumikia Mungu kwa kumwimbia tukaanza kukufahamu acha kutukana WATUMISHI wa Mungu ili wale wa UONGO wawe wanakupa hela huyo hakupi hata siku moja
@shukranimpomwa74604 ай бұрын
Huyo Jodev hataehajawahi kuokoka
@Shabani-qh9pd4 ай бұрын
Acha kupotosha watu
@CecileNgendapasi4 ай бұрын
Bwana yesu christo apewe sifa n'a utukufu urudi kwake
@laninjeje82904 ай бұрын
Cassian paschal ni mbwa anaebweka tu hana madhara, kelele nyingi njaa kubwa😂😂
@savinosalamba91744 ай бұрын
Cassian ACHA bangi unalaana za wazazi wako
@MunguMwema-m4l4 ай бұрын
Nawewe uko huko nini kwanini unapinga
@SelinaDorcas4 ай бұрын
Ww umekwisha kurogwa ndio maana
@Kelvinchristopher0724 ай бұрын
MUNGU akubariki, uzidi kutufumbua macho mtumishi 😢. Nimefumbuliwa macho kupitia kwako katika vitu vingi kiroho.
@PascolMsenga4 ай бұрын
Vita bado mbich
@SarahKapella-rm2of4 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi. Sema na Usiache. Onya pale pa kutuonya. Tuonye. Tufundishe.
@SarahKapella-rm2of4 ай бұрын
Amen. Mungu Azidi kukufunulia.
@PascolMsenga4 ай бұрын
Vita bado mbichi lazma mmoja afe
@Leeeeeeee-964 ай бұрын
nauliza tyu wachungaji hawatakiwi kuheshimiwa
@shukranimpomwa74604 ай бұрын
Sio kila mchungaji, wengine ni mawakala wa Shetani. Utawatambua KWA mayendo/mienendo yao
@SelinaDorcas4 ай бұрын
@@shukranimpomwa7460hapo umesema kweli
@wilfredlukowo94764 ай бұрын
Unadanganya wajinga
@emanuelmkama13254 ай бұрын
Mim nahis uyu paschal katumw na Mungu aje awaonye ,iv nabii mkuu ni Nan nkuulize wew, ni yesu au Devi?
@levisdiamond47974 ай бұрын
Anakudanganya wewe hauna hakili ,,, nyie si ndo vipofu anacho danganya ni nini
@SelinaDorcas4 ай бұрын
Umekwisha kupofushwa macho na haoni
@SusanaSimoni4 ай бұрын
Waovu wengi ndo wanawafuTa hao waovu wenzao maa na walianza safari ya kwenda mbinguni ikawashinda Ivo linatengenezwa kundi la washindwa kwenda mbinguni Kwa hiyo hao wote wanamjua mungu huenda ila wameshindwa mashariti ya Yesu kristo maana hata yeye anasema kuwa ndugu zangu na mama yangu ni wale wayatendao mapenzi ya Baba yangu Ivo Sasa hivi Kuna makundi mawili Wana wa kuasi na waenda mbinguni Ivo tu