Brother paschal hilo suala ukiliongea hilo makanisa ya sasa wanakuona umechanganyikiwa duuu!!!!! Kanisa la sasa mungu atusaidie.
@malkiarosemuhando33103 ай бұрын
Ni kweli kabisa mtumishi Mimi Mungu alinionya sana kuhusu Hilo unaloongea, yesu tusaidie
@charlesnyanhanga43823 ай бұрын
Aise hii yenyewe kabisa barikiwa mtumishi
@fredgonga2 ай бұрын
Mungu akubariki sana, Siku hizi pia kuna washirika wanafanya biashara siku ya ibada maeneo ya kanisa na huku ibada inaendelea.
@jumarata64593 ай бұрын
Unachokisema ni cha kweli mtumishi wa Mungu! Wachungaji wasiwe wanasiasa!
@kuriaisaac17753 ай бұрын
Ujumbe umewafikia woote hata wale waliokuwa hawajafunguliwa. Huu uusemao ndio ukweli usiopingika "BIG UP!" MUNGU ATUPE MACHO NA AKILI ZA ROHONI TIMPE YEYE HESJIMA ANAYOSTAHILI MAANA HAFANANISHWI. BAROKIWA MTUMISHI.
@Kabendera-s1wАй бұрын
Mubarikiwe Mutumishi tuna wafata sana Ukweli na usemwe ijapo kuwa utauma
@FilipoJastin3 ай бұрын
Barikiwe mtumishi Sema kweli
@GodfreyMakala2 ай бұрын
Mungu akubarik sana
@jovettedenise25913 ай бұрын
Mungu akuinuwe mala nyingine na akupe nguvu na unacho kihitaj8 ili kazi yake ifikiye wengi🎉🎉🎉
@DicksonMchapo3 ай бұрын
Kaka wewe nakuelewa sana nakuelew vibaya mno na MUNGU aendeleh kukupa iyo afya ambayo uko nayo
@martinahlighare64953 ай бұрын
True. Politics is a dirty game, whereby as a preacher, u should avoid performing on the altar of God. Mpanda farasi wawili hupasuka msamba. Mungu atujalie kushikilia wito aliompa kila mmoja pasipo kuchanganya.
@Pendopasilika3 ай бұрын
Ni kweli wanaombea Kura makanisani aisee ubarikiwe mteule wa BWANA kanisa haliheshimiwi MUNGU atusaidie mtumishi wa BWANA
@KimaroGodliving3 ай бұрын
Barikiwa
@tinnahagustinolyelu42472 ай бұрын
Ni kweli huwezi kutumikia mabwana wawili
@tukuyufm.3 ай бұрын
weka neno la mungu lipepete wapumbavu wa injili hawa, wanajua dhahiri wanazichezea madhabahu za mungu kwa kujua
@MGALILAYABillionaire3 ай бұрын
Ni nani aliye kipofu ila mtumishi wangu? Au aliye kiziwi kama mjumbe wangu nimtumaye? Ni nani aliye kipofu kama yeye aliye na amani? Naam kipofu kama mtumishi wa Bwana? Unaona mambo mengi lakini huyatii moyoni, masikio yake ya wazi lakini haskii... Isaya 42:19-20 Wamesahau kile Mungu aliwaitia kukifanya... wapo madhabauni kwa ajili ya vitumbo vyao tu! Wamepitisha tamaa mbele wamesahau na Kristo. Wanaalika wanasiasa madhabauni, wanaalika wasanii kutafuta hela tu hakuna kiingine. Ndio unaona kanisa la leo hakuna nguvu za Mungu, hakuna uwepo wa Mungu... wanafanya vituko tu madhabauni. Wamesahau Mungu atawahukumu wachungaji kwanza. Kila mmoja ataulizwa kazi aliyoifanya.. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
@HelbethMlelwa2 ай бұрын
Nakushauri ungefungua kanisa la mfano ili tujifunze kwako na vile utakavyosimamia au kuongoza hilo kanisa.
@christophermwankenja12213 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu akusaidie ingia ndani kuongea na Mungu wako atakujulisha yaliyokweli.Nikutakie siku njema.
@Visionofeagle96893 ай бұрын
Amen Amen Amen
@mtumishiraymond20013 ай бұрын
Amen 🙏🏿
@MategemeoMwema-ip2dd3 ай бұрын
Barikiwa sana Mtumishi
@cellinamuro68723 ай бұрын
Nani wewe unahukumu wewe Mungu acha Mungu ahukumu mwenyewe Hilo domo lako lifunge huna jipya kagir mbele juko
@EsterAnyelwisye3 ай бұрын
Amina sema nasi bwana yalio makusudi yako
@Visionofeagle96893 ай бұрын
Kweli kabisa,, zama zike inchi ilikuwa naongizwa na Theocracy, walakini le inaongozwa na democracy, yaani ushetani 💯.
@LucyKapinga-fg4dk3 ай бұрын
Kaka Pascali Mtumishi Samahani, Naomba Kuuliza unapaka Kichwani Super black Au niipicha Aionyrshi Vizur
@vicentraphael8993 ай бұрын
Waaombee sana sio kuwasema sema hovyo mbona unaomba mchango mchango wenyewe unatoka Kwa wanasiasa usihukumu usije ukahukumiwa mwenyewe kuwa makini kinywa chako umetegwa Kwa maneno ya kinywa chako mwenyewe.
@josephnkwamino65093 ай бұрын
Sema sema baba halleluyah
@EmanuelBlassy-uz4gm2 ай бұрын
Wanaendekeza matumbo yaooo
@mariaanthoniangowi9376Ай бұрын
Kwa hili nakupongeza mchungaji
@PeterMahona-zd3oz2 ай бұрын
nikweli jamani wachungaji mjitambue
@MaxOx-u8i3 ай бұрын
Nikweri Kabisa Kabisa unasema.Tufaamishe bila kutwambia ukweli na wewe unajua ukweli utaulizwa na Bwana siku ya kiyama. Wanao kusema vibaya Hawajui wanavyosema .Bila kuchangia kazi ya Bwana injili itaendelea je? Ata Kanisani wanatoa mchango kwa kazi ya Bwana. Tunapenda ayo mauburi utachangia kuinua kazi ya Bwana Yesu.
@personalitiesan98063 ай бұрын
Mm nlihama kwa gwajima baada ya kuona siasa ndani ya kanisa. Yani nlmkubali gwajima mnooo lkn alipohama chadema na kwenda CCM nkahis SI salama daaaah
@JamesKanyenda-y9y3 ай бұрын
Wewe ujuwi biblia ndo maana uliama Kwa gwajima.mungu akupe macho ya rohoni ukiwa kimwili gwajima uwezi kumuelewa.ila utaelewa tu kwakuwa macho yako yataona Sku zijazo
@albertinamichael61233 ай бұрын
Hawa ni wachungaji wa shetani.
@juliusjoseph6320Ай бұрын
Madhabau haionekani kwa macho Mchungaji Wala Mungu hakai kanisani kanisa ni mtu Mwanini soma Matendo ya Mitume 17 ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ²⁴ Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo, yeye, kwa kuwa ni Bwana wa mbingu na nchi, hakai katika hekalu zilizojengwa kwa mikono; ²⁵ wala hatumikiwi kwa mikono ya wanadamu kana kwamba anahitaji kitu cho chote; kwa maana ndiye anayewapa wote uzima na pumzi na vitu vyote.
@fatumaaybu86483 ай бұрын
Kweli kabisa❤
@katarinaJ3 ай бұрын
MUNGU NI MKUU SANA. NA NI MTAKATIFU SANA. NI MKUU kuliko wanasiasa NI MKUU kuliko rais awaye yote NI MKUU kuliko wafalme na masultani. Yeye ni MFALME WA wafalme BWANA wa mabwana. Anastahili sifa na heshima zote. Kujiita 'mchungaji' wakati unacheza 'siasa chafu' ni MACHUKIZO MBELE ZA MUNGU. Yawapasa KUTUBU maana Yesu karibu anarudi.
@Mwinjilist-samson3 ай бұрын
Paschal casian natamani nikutane na wewe baba waimani
@renatus56872 ай бұрын
Hata ww c ni mwizi tu mbona ulikua ukitoza pesa za kujenga kanisa ukala mpaka Leo halijawai kuonekana jizi tu
@Francomsangawale3 ай бұрын
Ni ukweli mtupu kweli wachungaji wengine siyo wachungaji nikama wachinjaji.
@SadokizeTz3 ай бұрын
WE JAMAA HUWEZI KAZI YA MUNGU, ACHA KUONGELEA WENZAKO, NDO MAANA HUPATI MUUMINI HATA MMOJA WEWE
@MGALILAYABillionaire3 ай бұрын
Unafikiri waumini ndio watakaopeleka mtumishi mbinguni, potelea mbali ni matendo yake na kazi ya Mungu aliyoifanya. Kuwa na waumini wengi na hauwaambii ukweli kuhusu Kristo jehanamu ipo kwa ajali ya hao.
@SadokizeTz3 ай бұрын
@@MGALILAYABillionaire SHIDA YA HUYU JAMAA ANAWASEMA WENZAKE, BADALA YA KUHUBIRI INJILI
@MGALILAYABillionaire3 ай бұрын
@@SadokizeTz anahubiri ni wewe hauchukui muda kusikiliza anachokisema. Walio wa kweli sio haraka kuwaelewa. Siku zote anaye onya watu umuona kama hana injili... lakini siku inakuja kila mmoja atajuta wanasiasa madhabauni ni dhambi...
@SadokizeTz3 ай бұрын
@@MGALILAYABillionaire HAKUNA MWANADAMU ANAYEWEZA KUONA MAZAIFU YA MWENZAKE, NYIE MNAJIINA MKO SAHIHI, NDO MTAKUWA WAKWANZA KWA MOTO
@AnethSwila-tw9mv3 ай бұрын
@Sadokihasemi wenzake anasema neno la MUNGU maana biblia inasema ukiona mtu anapotea na usimwambie ukweli utadaiwa damu yake kwahiyo hakosei hata kidogo anasema kweli Ili kama mtu alikuwa hajui anchofanya anakosea ajue
@SadokizeTz3 ай бұрын
HIO NAMBA UNAZOZIPITISHA HAPO UNATAKA UCHANGIWE NINI, NENDA KATAFUTE HUKO,
@AnethSwila-tw9mv3 ай бұрын
😢😢😢😢
@OswardSanga-ep5js13 күн бұрын
Mjinga mwenyewe usieijua madhabahu madhabahu niwewe acha uzwazwa Mungu yupo popote hekalu Kama jengo yeyote anaingia nasiasa niyawote wanapiga Kura nakuchagua acha
@moseshaule5863 ай бұрын
Wewe usiwaseme baba zako wewe , hicho ni kiburi cha uzima.. hata kama wakikosea wewe waombee Bwana aseme nao. Soma kisa cha Daudi na Sauli..Licha ya Sauli kukataliwa na Mungu lakini Daudi alinyenyekea na alisema usimnyooshee mkono nabii wa Bwana
@pirminmatumizi54643 ай бұрын
Hawa nawaita "wajasiriaDini"; huoni namba zinazotembea hapo chini, Je, zinataka nini? Maisha magumu sana aisee!