Amen barikiwa Sana mtumishi wa mungu hakika umenitia nguvu Sana nina imani ya kwamba ndoa yangu hii itasimama,na nitamutumikia mungu katika Maisha yangu yote 🙏🏿
@dorcasdavid22473 ай бұрын
Ameen Mtumishi wa Mungu,nakumbuka sn Ulipopitia na Ulipo sasa kwa kweli Acha Mungu Aitwe Mungu Tuuu.kweli Naamini Ni Marufuku Kukata Tamaaa.
@scolarjapheth32492 ай бұрын
Barikiwa mtumish hakika nimepata nguvu mpya 🙏🙏🙏🙏
@daudimichael73383 ай бұрын
Hii naona wengi hawajaelewa, ni huyu mke wanaemfahamu aliyekuvumilia kipindi cha kukuuguza ulipopata ajali ndiye amekukimbia au ni mchumba wa awali uliyemchumbia ndiye alikukimbia, ndipo ukampta huyu aliyekuvumilia kipindi cha kukuuguza ulipopata ajali? Labda uje ufafanue zaidi.
@zuwenasalim27943 ай бұрын
Huyo alikuwa yule mwanamke wakwanza
@MsekwaLoli3 ай бұрын
Kama umeweza kuishi mbali na wazazi wako. Utashindwa vipi kuishi kwa ajil ya mke au mme kakuacha wakat mmekutana ukubwan
@Mathias-yi5bo3 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza leo najua kuhusiana na 7up
@erickmpangala18143 ай бұрын
Namimi aiseeee
@Mfunzo3 ай бұрын
sijaelewa maana somo linasema sababu za mke wangu kukimbia alafu ndani ya somo nikutiana Moyo tu kulikoni kwani
@JacquelineMamboya-we8on3 ай бұрын
Jamani Pascal Cassian,niliyekuwa namwona Msimbazi Centre miaka hiyo? Ee Mungu nakushukuru maana hamna kukata tamaa kweli.
@blessingsgeneral934 ай бұрын
Mtumainie bwana mwenye nguvu na hakuna asilo liweza❤
@zabronbarosha22714 ай бұрын
Sijaelewa Mungu atakuletea mwanaume au mwanamke mwingne kama utaachwa sijaelewa hapo na Mungu amesemaje mke mmoja na mume moja mpaka kifo sijaelewa mtumishi labda nisaidiwe
@AmisseMwenetombwe4 ай бұрын
Hapo umeongea Neno. Kukata tamaa ndo shida kubwa!!!
@Janetyjanety-sj5gw2 ай бұрын
Bibi yupi alietoroka ju tunae. Mjua alivumilia mangumu yote uliyo pitia na mungu amuzidishie niwachache kama yeye
@NaomiSanga-p5y3 ай бұрын
Amina,umenitia moyo kwakweli wa kuto kukata tamaa najua nitashinda katika jalibu ninalo pitia kwa sasa 🙏🙏🙏🙏🙏
@ANYELWISYEGODWIN2 ай бұрын
Kuna siku makonda alikabidhiwa mchango na Mtume MWAMPOSA Tsh m. 10 MIONGONI MWA wagonjwa aliowaombea na wewe ulikuwa ni MMOJA wapo. Unalikumbuka Hili mtumishi? Nami nilihudhulia ibada hiyo. Makonda kukabdhiwa. Mungu akutie nguvu.
@ButoyiMuseya3 ай бұрын
Mungu Haku bariki
@EdmundMkombwe4 ай бұрын
kazi yako ni nzuri barikiwa
@NaomiAlai4 ай бұрын
Usiache uchungu upite bila malipo.umetisha mtumishi
@jeanettegloria62442 ай бұрын
Amen
@PonsSalimu2 ай бұрын
Amen
@roselyneezekiel4 ай бұрын
I thank God for ever knowing you Paschal...... Be blessed always 🙏
@jameskilowoko71533 ай бұрын
Pastor p.c.nakuelewa sanaaa na nafuatilia sana ideas zako.❤
@MGALILAYABillionaire4 ай бұрын
Faith is a pillar. Never giver up even in a worse situation. kilichopangwa na Mungu lazima kitokee kwa wale wasiokata tumaini. Amina mtumishi, neema ya Bwana ikutoshe na uzidi kuelimisha ulimwengu.
@DevotaMlelwa-l1i2 ай бұрын
amen
@AnnaKanje-tw2rz2 ай бұрын
Ahsante kunitia moyo Baba
@FhDg-mg1gn4 ай бұрын
Kweli wewe ni ushuhuda Tosha mtumishi wamungu kabisa mungo akubariki sana amen
@re.emmanuelmdoe33454 ай бұрын
Utukufu kwa Mungu juu Mbinguni atukutukuzwe Sanaaaa Yesu Kristo, Namshukuru Mungu kwaajili Yako P. Cassian
@AidaRaphael3 ай бұрын
Asante YESU, barikiwa kwa ujumbe wa kututia moyo
@ayoubmhagule248Ай бұрын
Kufa kupo tu,...'' Weka kiitikio bado Mungu hajaamua'' Swala siyo kujikatia tamaa..
@directorwilly3 ай бұрын
Hakika haitatokea siku nikate tamaaa
@bibishemartha43784 ай бұрын
Mungu amupe zamiri ya kukuomba msamaha
@ParimeloNgarim3 ай бұрын
Vizuri san
@nonveroniquejohn2 ай бұрын
Siwezi ku jikatia tamah ao kuikatia tamaha jambo lolote
@Shalom20183 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu kwa ushauri mzuri wa kutokukata tamaa
@Stanley-vh6nz4 ай бұрын
Umenena vyema Mtumishi
@pascalinamukui84003 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu kwa kunitia moyo naomba mungu anibariki na ndoa ya heshima sitakata tamaa tena🙏
@abelsonda44862 ай бұрын
Hapa ndo Huwa wananichanganya watumishi ktk biblia hakuna kuoa tena labda mmoja wa Wana ndoa afariki......
@azizafrancine3014 ай бұрын
Nikweri mungi akumbariki
@EricMaingi-f8b3 ай бұрын
Sitakata tamaa, ahsante kwa ushauri.
@JaphetMwaipaja3 ай бұрын
Wewe mtu siyo wa kawaida
@neemamsanga2532 ай бұрын
kama ayubu,,,Kwa Imani alishinda wakina mtemani waliongea hakujal
@maxmiletz456324 күн бұрын
Amen
@FortinaLyaumi-br1ze3 ай бұрын
Amina ubarikiwe sana mtumishi
@AdamJonas-sx4mi3 ай бұрын
Acha ujinga bana sasa kama ameona humufai tena chakufanya akae kwenye moto nikipi we naye
@robertnkaragano2983 ай бұрын
Mungu akubariki sana Ev.
@NTEMI-OBURUDANI3 ай бұрын
Asante sana mtumishi wa mungu nimejengeka bara bara❤❤
@ABIGAIL67-tria4 ай бұрын
*My situation right now😢 I'm asking myself why my parents didn't work hard gor my better life now iam working for my kids and the same time working to take care of my mum . because no property my dad left😢
@HalimaNgenzi2 ай бұрын
Angalau umejiongelea hujawaponda watumish
@FaithHozza4 ай бұрын
Pole sana kaka Mungu akutetee
@StahimiliMohele4 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@jovettedenise25914 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki
@sautiyamunguduniani46204 ай бұрын
Amen sana
@QueenNyondo-h1m4 ай бұрын
Amen🙏🙏🤝
@KADALAtv2553 ай бұрын
Ninapokuona namuona Mungu lakini pia namuona Mh. Makonda daah Mungu ni mwema sana. Mke gani katoroka mbona alivumilia magumu yale jamani🥰🥰
@EvangelisteMireilleMITAMBA4 ай бұрын
Amen
@RozaliaSanka-kv5dy2 ай бұрын
Nashukuru sana kwakunitia moyo
@TuzabacarBacar26 күн бұрын
Mungu akulinde na masdui
@benjaminwafula4 ай бұрын
Lipa ubaya kwa wema hiyo point naipenda mbarikiwa sana papaa
@PurityJohn-if4ei3 ай бұрын
Yeye mwenyewe bado hajatoka huko
@NaomiAlai4 ай бұрын
Tunis maumivu Kama kazi.big Up mtumishi
@TitoRufizi-xb2ub3 ай бұрын
Nimekuelewa sana,Mungu akubariki sana
@benadatemumelo88843 ай бұрын
Waaaaau this is nice . Watching from Qatar
@SuzyMuhando-yf8do4 ай бұрын
Mungu nisaidiye kuwa Imani kama hii kaka paschal sitakata tamaa
@judithnjunwa66683 ай бұрын
Amen amen Iam beautiful 🎉
@FaustineTz3 ай бұрын
Ujumbe mzuri sana
@Mwinjilist-samson4 ай бұрын
Amen
@janemhangomhango58413 ай бұрын
Nakuelewa Sana Pascal
@MTEULEWAMUNGUTV3 ай бұрын
Ameeeeeeen ameeen
@wilkisteregesa48454 ай бұрын
Sifa na utukufu ni kwa Mungu mkuu
@TwitikeMwakyonde3 ай бұрын
Amina,mtumishi,
@JuliaLumande-r4p4 ай бұрын
🤔mungu azidi kukulinda kaka
@apostleelisha29943 ай бұрын
Amina Amina natiwa nguvu
@elizabethmwinzi3424 ай бұрын
Wow amen amen and aki najaribu God bless
@Sangaligospel4 ай бұрын
Barikiwa kwakunitia moyo
@EzekielMwakipesile4 ай бұрын
Ubalikiwe mtumishi
@magneticofficialtz4 ай бұрын
Amen🎉🎉🎉
@StahimiliMohele4 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@VivianMkumbo4 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi.
@AlfredJoseph-xx1nh4 ай бұрын
Mungu yupo nawe
@christinephilip50434 ай бұрын
Amen amen🙏 🙏 🙏 🙏
@germainndayishimiye86843 ай бұрын
Amen Amen 🙏
@LucyMerchiorly4 ай бұрын
AMEN AMEN
@King_Of_Everything4 ай бұрын
✌️👍🙏.
@agnessndabhalu4 ай бұрын
Mungu azidi kikupigia na kukuinua hatua nyingine zaidi.
@agnessndabhalu4 ай бұрын
YESU AKUTETEE MTUMISHI NA ZAIDI HUDUMA YAKO IZIDI KUINULIWA.
@BarakaSenior4 ай бұрын
Living testimony
@floraflora94903 ай бұрын
Mbona hakukimbia ulipokua na pipe mtumishi uongo dhambi
@RebeccaNashon3 ай бұрын
Sasa uongo wake uko wapi huwezi jua yote
@estherkinyaga51723 ай бұрын
Kasema mke wake wa kwanza hata hajawa maarufu. Nahisi baadae alikuja kuoa mke mwingine. Muwe mnasikiliza na kuelewa vizuri
@jeremiahcharles60274 ай бұрын
Ameeeeeeen
@legendCopyАй бұрын
Naomba whatsapp nr pstr
@erickmpangala18143 ай бұрын
Nakuelewa saaaana EV Paschal Cassian.....Napenda saana Kazi zako Kakangu. Mungu akubariki saaana Kaka.