Mtumishi binafsi ninaendelea kubarikiwa sana na mahubiri yako ,ila vipi kuhusu ujio wa Ile ahadi yetu ya albamu ya kiapo Cha damu.
@JoaquimdriveMicher3 ай бұрын
Amém
@MGALILAYABillionaire3 ай бұрын
Na maisha ya dunia si chochote ila ni starehe ya udanganyifu. Hakika maisha ya dunia yanahitaji unyenyekevu katika kuyaishi, hayahitaji mtu apende starehe za kumuasi Mungu huku akijisahau kuwa mauti yapo mbele yake. Maisha ya dunia hayahitaji chuki wala vinyongo baina ya mtu na mtu kwani ni maisha tunayoishi kwa muda mfupi. Kila mmoja aishi na watu kwa wema na kuwapenda kama wewe mwenyewe. Watu wamependa starehe sana lakini tukumbuke huu muda unaotumia katika starehe ipo siku, ipo siku utakuja uujutie kama hautabadilika. Musa alikuwa anahubiriwa na mamaake, ile kumwambia wewe sio mmisiri akakua akijua ipo siku nitaacha haya yote na nitaenda kwetu. Aliacha nyumba nzuri, akaacha chakula kizuri, elimu, heshima na akaende kushiriki mateso na wenzake. Sawia na mlokole anayeamini Yesu huu ni wakati wa kutoka kwenye maneno ya manabii na kusikia Neno la Mungu. Amen Amen ubarikiwe mtumishi... umenipigisha hatua mbele kiimani.