Mtumishi pole baba mmh kazi ya dunia inaumiza san shetan ana vuruga wapendanao ila Mungu mwema atakupa wa kufanana nae had mwisho
@nashonjoel206 ай бұрын
Kizazi hiki Roho ya Zinaa imekuwa ni tatizo kubwa. Kuna kesi nyingi sana za Wanawake kuchepuka wakipata mwanaume aliyeokoka. Lakini DUNIA HADAA, Dunia itamfundisha huyo mwanamke.
@Crabtree18446 ай бұрын
Eh, jameni. Pole sana mtumishi. E mwenyezi Mungu, tafadhali uwalishe, uwalinde, uwafundishe watoto wasipotee wala wasife moyo; pia simamie mfanyi kazi aliyebaki na watoto. Kwa jina la Yesu naomba, Amen
@user-ii1qk9xn9z6 ай бұрын
Kwa Mungu kila kusudi lina mpango, mungu uandaa kusudi alafu ndani ya kusudi mambo yanaanza kutokea. Lakini kwa wanadamu kila mpango una kusudi. Mungu anajua kwa nini na kusudi la jambo hilo ni Yeye analijua Mtumishi. Mungu anakuandalia chema 🙏🙏 Maombi yangu. Wimbo unagusa moyo wangu.😢
@frankmtavangu551714 күн бұрын
Pole sana mtumishi hakika siamini kama hili limekukuta wewe? Duu!!
@peninamziray63026 ай бұрын
Mtumishi Bwana Yesu apewe sifa......kama ni nyimbo umeimba kutokana na mapito ya watu sawa Ila kama ni ww yamekukuta kwa vita ulivyonavyo si zani kama ni sahihi kumtangazia adi haya unampa nguvu ya kukupiga vita MUNGU atupe maarifa
@Rashid-vm1fk6 ай бұрын
Pole sana Mtumishi wa Bwana,jipe moyo Mungu yuko pamoja na wewe japo inauma sana vumilia,licha ya mateso yote mliyopitia wakati wa ajali pole sana.
@michaelwanyanga6 ай бұрын
Mambo kama haya kwa watoto wa Mungu waliobeba kusudi maalum hutokea. Mtumishi wa Mungu, Paschal Cassian, usijali wala usiogope, Mungu unayemtumikia ni Mkuu na mwenye rehema kuliko tunavyodhani tulio wengi. Faraja uliyonayo ni kuu kuliko ile tunu iharibikayo. Tunza familia yako utapata thawabu kuu.
@user-mk1bz9dx3q6 ай бұрын
Laaa! Machozi, we baba, we, mtumishi mbona umetuliza sana, Huyu dada ameusikia wimbo huu, simama Kwa Mungu baba
@Pendopasilika6 ай бұрын
Paschal mbona inahuzunisha sana mtumishi wa MUNGU BWANA YESU akutetee dah inaumiza sana kumbe ule wimbo ilikuwa kweli
@user-md7bq3ew4e6 ай бұрын
Pole sana mtumishi Mungu yu pamoja nawe
@agnesmbone2316 ай бұрын
Pole sana mtumishi ,kila jambo lina mwanzo na mwisho wake ,
@fordraymondjohnson23806 ай бұрын
Wa kwanza ndg zangu tumsapot mwinjilisti pascal
@Rashid-vm1fk6 ай бұрын
Ee Bwana wetu Yesu Kristo msaidie Mtumishi wako katika kipindi hiki kigumu ambacho amesalitiwa na mwenza wake, wanawake wengine ni waasisi wa delila( derailleur) ukiwa na mwanamke inabidi ujipange kisekolojia kweli kweli maana hawaeleweki kama popo.
@Nyota1-en4oq6 ай бұрын
watumishi wa Mungu wana pita kwenye Mambo mazito sana pole sana mtumishi wa Mungu
@faustermatiko69606 ай бұрын
Pole sana jipe moyo.........Mungu atakupa aliyesahihi. Cha msingi tunza watoto wako Maana hiyo ni zawadi kuliko vyote.
@jovettedenise25916 ай бұрын
Pole sana mutumishi yote ya Mungu
@super_boy_tz6 ай бұрын
Naona jamaa ndo anapewa pole sana msiegemee upande mmoja je tukija sikia ya mwanamke je itakuwaje mambo ya ndoa. Yaache kama yalivyo. Wala msi base upande mmoja kikubwa waombee wote yamungu mengi. Hakuna aloe kamilika kwenye hii dunia
@nikodemmwahangila33346 ай бұрын
Pole amekufa au kaenda kuolewa huko
@thevoiceofdestiny82626 ай бұрын
😅😅😅
@aberydanny96086 ай бұрын
Daaah pole sana mtumish wa Mungu utavuka Mungu yuko pamoja nawew usivunjike moyo liko kusudi mbele yako.
Smart kids mtumishi endelea mbele kuna sababu uyapitie haya nakuombea
@hanidamlwale12276 ай бұрын
Pole sana mtumishi, Mungu akutie nguvu uwalee watoto wako🙏🙏
@frankbeyanga98416 ай бұрын
Pole sanna pastor mungu atakup mwingne
@user-xe5yp2ky8b6 ай бұрын
Mungu yupo na atamua Hilo japo ssi tutacema mengi ila msemaji wa mwisho yupo kazi namini watoto wataish na watakuwa jipe moyo mkuu maan haikuwa lengo amen
@lilianbenedict86886 ай бұрын
Kisicho ridhiki hakiliki , mwenyezi mungu akutie nguvu mtumishi wake 🙏🙏🙏
@savinosalamba91746 ай бұрын
Umeshambulia sana,kina mwamposa,geodervie,suguye,n,k MAPIGO HAYO BROTHER ,USIPOACHA MUNGU ATAKUNYOOSHAA
@ruthmwamburi756Ай бұрын
Ni vita kumbuka ulitoa siri za ufalme wa giza ndio maana wanakupiga,shetani anachukia ndoa sana.Simama katika zamu Mungu ako nawe wala usihofu,Shalom!
@nsiamasawe45786 ай бұрын
Watumishi wawe na muda wa kutoa huduma na muda wa kukaa na familia
@user-qr1ue2ff6d6 ай бұрын
Pole mtumishi wa mungu.
@chakimtaratibu92554 ай бұрын
Pole sana mtumishi wa Mungu ! Usife moyo
@RivonaNtanyinya6 ай бұрын
Endelea kumtumaini Mwokozi wetu aliye hai Yesu Kristo aishiye milele ,utayaweza yote katika yeye akutiaye nguvu.Amina.
@CleverGalaton-tz6 ай бұрын
King Cassian Mungu Akupitishe katika hili Inaumiza nimevaa haya maumivu kwa sehemu fulani
@user-vt3dp2st5e6 ай бұрын
Mungu akutangulie mrudiane na mkeo. Na Mungu akuponye hilo tatizo
@VioletNamz-tq4tg6 ай бұрын
Pole sana mtumishi wa bwana, Mungu akutie nguvu. Majaribu ni mtaji kwa waokovu baba.
@user-ge7jn3sg8z18 күн бұрын
Aisee pole
@user-ei2ur9mq2n6 ай бұрын
pole mtumishi wa mungu hayo ni mapito tu songa mbele
@justuslibese60146 ай бұрын
Jipe Moto ndugu kila kitu kina sababu muweke yesu mbele kila kuchao
@frankmasembo6 ай бұрын
Pole sana Mtumishi wa Mungu.
@neemamsanga2533 ай бұрын
nimeumia sana😭😭😭😭😭 Mungu akutie nguvu,,,,😭😭😭😭
@nyota7796 ай бұрын
Nilijua amefaliki kama kaondoka kwako siyo mbaya huenda angekuua
@boazrubeni30486 ай бұрын
Pole mtumishi wa MUNGU wew songa mbele bila kukata tamaa na mungu akujalie ushindi zaid na zaid katika changamoto zozote za hapa duniani
@KingfreedomFreedomАй бұрын
Paschal Cassian Am from Mozambique but I like your songs to much... Mimi Nilipata maharifa juuyako paschal Cassian... Mala ya kwanza nilipo sikiya huuuwimbo nilizama studio kukufaliji muinjilisti... 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Never give up my paster.... Walikujalibu wewe Ila wameshindwa wameona ni vema wakujalibu tena kupitia mwenziwako wala mke wako......🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@user-uk4dl8ug3x6 ай бұрын
Ninyakati tu yakupasa kuvumilia na kusonga mbele na Yesu,kumbuka hata Hosea alipitia haya usiogope.
@pascalinamukui84006 ай бұрын
Wimbo unatia huruma mungu akupe nguvu na akulinde akuinue
@savinosalamba91746 ай бұрын
Umetukana WATUMISHI sanaaaaaa,
@heritier51196 ай бұрын
Wanawake wa kikristo wanaojua umuhimu wa ndoa ni wachache sana
Woooiyee so touching song pole God has another way let her go
@luhelusonline6826 ай бұрын
Aisee inauma sana kwa ambaye hajui hawezi elewa kabisa Mtumishi wa Mungu songa mbele wote yina yapitia
@robertmakuukabwali94886 ай бұрын
Pole sana ,ila amehenda kujifunza dunia na fimbo zake.
@SuzanaFidelis-kt8zh2 ай бұрын
Duuuuh! Inauzunisha sana
@jeannekatembe63966 ай бұрын
Pole maskini. Mungu awe mgariji wako . Kutunga wimbo ni upendo mkubwa sikilizeni maneno ameimba. Pia Dunia nzima imejuwa kupitiya huo wimbo sijajuwa nimejuwa kupitiya wimbo. Sababu tupo mbali USA. Poleni jamani daa
@isakashega60566 ай бұрын
Umenigusa sana mtumishi wa mungu
@barakamahenge66026 ай бұрын
Mh!
@EsterbernardoVumo-kn2xv6 ай бұрын
Mungu Ni Mwema Sana Mungu Atawakuza Watoto.
@tegemeantenga1026 ай бұрын
Pole sana kwa kuachwa ila kikubwa amekuachia watoto wako ww pambana walee na wasomeshe ipo sku atakukumbuka tu
@user-mm3gg4oe9b6 ай бұрын
Pole mtumishi wa mungu inauma ila mwache
@anethkabelinde53506 ай бұрын
Huo mstar wa ntampata ataenifaha mtumishi ufute,kifo ndo kitawatenganisha ivyo kamuombee arud tu huna namna,km hatorud kaa ivyoivyo mpk mwisho wako,barikiwa,hz ndo mpk naogopa ht Kwa kweli
@LucyKapinga-fg4dk6 ай бұрын
Uenda Hakuwa Sahihi Kwako Mtyumishi MUNGU ATakuonyesha Alie wako
@johnsonmichael9456 ай бұрын
Jamani kasian ndugu yangu mbona unatuhuzunisha san MUNGU akutie nguvu
@kennedywabomba18516 ай бұрын
Kila jambo lina sababu Mungu akulinde
@boazmwakibinga85566 ай бұрын
mung hamtupi mja wake kaka amin nalo ni pito tu
@winiemwalongo87796 ай бұрын
Kwani mmeachana na mkewakooo??😮
@martinahlighare64956 ай бұрын
Kila jambo na majira yake. Mengi yapo ya kuzuia mtu kusonga mbele ila unajiondolea kwa kuyaweka pembeni ili kutimiza kusudi lako. Maandalizi ya kusudi yaja na yatakua mazuri kuliko mwanzo.
@maliammaliamchali46336 ай бұрын
Pole sana mtumishi
@DonDesdery6 ай бұрын
Duh, mbona inafikirisha,ilikuaje kwan,alikusalit ama alitangulia mbele ya haki
@fortunatabangili23686 ай бұрын
Atakuwa ameachana
@emmanuelmachibya20346 ай бұрын
Mbona fumbo mzee😢
@SarahMwakindu6 ай бұрын
Kaka pole Sana kilamtu atavuna akipandacho isshi Manisha hayohayo yautakatifu mbingu zitafunguka nataka nikutimoy sisi tulionyenyekea mwamungu tuta 8:39
@hossalemanuel19686 ай бұрын
Pascal, kwani sio ulituambiya kwa umepata tatizo kwenye sehemu za siri ivyo uwezi fanyakazi tena. Labda ukipata pesa utahenda tena india... Mwandishi wa habiri alikuhuliza kuhusu ilo tatizo na ukajibu kwamba mkewako bado ni kijana itakuwa ngumu kubaki na wewe ikiwa aumpi aki ya chumbani! Na pia hu wimbo ni wikitambo, au auoni kama unamchafu mkeo? Alieku anakuuguza kipindi chote ulipopata ajali na watu wote tulimsifu mkeo kwa moyo wake .
@agnessima50326 ай бұрын
Una hekima...
@Rogathe-Rogathe6 ай бұрын
Una busara
@OmanOman-dd5qk6 ай бұрын
Ili iweje kumbuka yanyuma usiangalie mbele tu
@Rashid-vm1fk6 ай бұрын
Nini maana ya kuishi kwenye shida na raha
@OmanOman-dd5qk6 ай бұрын
@@Rashid-vm1fk kuvumiliana
@MargrethMlokaАй бұрын
Jaman jaman
@fordraymondjohnson23806 ай бұрын
Ni wimbo uliolenga wanandoa wengne au na kwako limekukuta kaka yangu?
@amashapatrick2116 ай бұрын
Ni kweli kwa wimbo huu kamaanisha kuwa mke wake kaondoka
@user-wy4jc1jq2u6 ай бұрын
Na mm sjaelewa
@user-he9ng6nu2z6 ай бұрын
Nini tena jaman😢😢
@MaryNdauka-qq9eo6 ай бұрын
Ata IVo huyo dada kajitahidi kuvumilia mi siwezi😢
@rewardhaindo82496 ай бұрын
Hii ni kweli imemtokea mtumishi au ni wimbo tu
@judithlejalearnmore22366 ай бұрын
Na aende asikutatize ki kimani Wako mazuri wenye kunijua Mungu atakaye kupenda na wanao
@paulmadundo80846 ай бұрын
mwaka mpya ndio kwanza umeanza huu, hatari sana. Poleni sana na hongereni kwa kufikia muafaka
@ngalukomcharo98416 ай бұрын
'Don't judge 'before you know the clues'Don't accuse.God him self will.
@agnessima50326 ай бұрын
Kweli kabisa. Halafu kumweka mtu hadharani hivi sidhani kama ni hekima...wimbo una madongo pia..😢
@janetkisuke74626 ай бұрын
Labda ni wimbo tu katunga
@heritier51196 ай бұрын
Waumiao ni watoto
@tumainmwambala75266 ай бұрын
Pole mtumishi
@jessymabula88676 ай бұрын
Pole mtumishi japo🙆🤷
@user-yd4vy7le3h6 ай бұрын
Pole sana baba
@amashakisoma25966 ай бұрын
Pole sana
@magreciousthomas35276 ай бұрын
Bora kaondoka sahivi kuliko kipindi kile unaumwa japo inaumiza poleh san
@MariamObotte6 ай бұрын
Mtu anaejiongeza anaweza tangaza mambo yandani?, mwanaume kaba!!!
@PaulinaMlelwa-pv9fw6 ай бұрын
Pole kaka
@salimajosephine16736 ай бұрын
Polesana njoivo
@eliamtanzaniaog63806 ай бұрын
Sina neno.inaniuma saana.hilo jaribu ni kubwa saana .ILA MUNGU AKUTIE NGUVU
@YasintaRaphael6 ай бұрын
Hii ni namna shetani anajalibu kutikisa huduma.uliyopewa na MUNGU lakini hayo yote yapo kwa mda tu .MUNGU akutie nguvu songa mbele
@SarahMwakindu6 ай бұрын
Usil Kaka yangu kwauliyo yapitia nimengi ona kwamba Hilo nidog kila mtu atavuna akipanda wesonga mbele na yesu neema yako ipo mbingu zifunguke kwaajili yako 8:39
@jeremiahcharles60276 ай бұрын
Kuachwa kuachwa ,,,,kuachwa ni shughuri pevuuuuuu
@agnessima50326 ай бұрын
Umefanya 😂😂😂 sana japo sikutegemea.
@AbbahCostaabbahCostaabbah6 ай бұрын
Kwan kimetokea nn
@Rashid-vm1fk6 ай бұрын
Ila atambue hata huko alikokibilia anazini pia ajue hata huyo aliyemchukua ni mwanadam lolote linaweza kutokea, jamani wanadamu tukumbuke kunashida na raha,tusipendane wakati wa raha tu. Mi nahisi wengine ni mapepo katika form ya kibinadamu unajua ni mlembo kumbe ni pepo,
@heritier51196 ай бұрын
Mapepo
@waimani55506 ай бұрын
Ungejiuliza kwanza ni kipi kimemkimbiza huyo mke wake kwenye ndoa wakati waliishi pamoja kwenye shida tena tena wakati amepata ajari ya gari, na toka kipindi jamaa alikuwa hajulikani kwanini sasa aondoke?
@majaliwamsigwa62066 ай бұрын
Jamani!!!mwee!!!
@heritier51196 ай бұрын
Mama wachungaji wanachepuka sana siku hizi
@sendemwasende44586 ай бұрын
Mtumishi umekosea, ungekaa kimya ukamuombea badala ya madongo ya mtandaoni. Unamjua shetani na utendaji wake, unajuaje kama ametumika ili uanguke?
@user-bj6bv9xp4f6 ай бұрын
Kwani nilini ilikua hivyo
@mchisraelimbarikiwanassari35886 ай бұрын
Yamekukuta mapema ,nabado utapanda unachopanda,umeshinda kuwakejeli watumishi wa Bwana