Goli pekee la Prince Dube limeipa Yanga ushindi wa bao 1-0 ugenini dhidi ya CBE SA ya nchini Ethiopia, mchezo wa raundi ya pili, Ligi ya Mabingwa Afrika #CAFCL Mechi imepigwa kwenye Dimba la Abebe Bikila, nchini Ethiopia....
Пікірлер: 264
@henrynyanswi21324 күн бұрын
Selfishness of players cost Young Africans in this game
@mwajumampokileomckapela75414 күн бұрын
Safi sana yanga mmejituma ila mwalimu atayafanyia kazi mapungufu 💚🖤💛
@jabiriramadhani36924 күн бұрын
Ni ishu ya psycholojia tu
@ahmedsalehe94894 күн бұрын
@@mwajumampokileomckapela7541 psychology mechi mbili mfululizo nna ukiangalia vzuri sio psychologia ya wachezaji utaona ni mpango wa wachezaji na benchi la ufundi
@elizabethkalinga08224 күн бұрын
Hongera sana kwa Ushindi 💚💛💚💛💚💛💚 japo mumekosa magoli mengi mno, hao walipaswa kuoga Magoli Lukuki kwao, ili wakija huku muwe mnateleza tu na mpira
@Kenmy-k6d2 күн бұрын
Ila yanga 😢 izo nafasi zooote dah
@Vidor_jr4 күн бұрын
First view Azam✌️
@frida-oi6kw4 күн бұрын
Ila jaman..ukweli usemwe, tuachilie mbali sijui kuchoka...kuna kitu hakipo sawa hap Hata kama ungekuwa uchovu wa aina gani ndio sio kwa kukosa nafasi karibia 7..😢😢😢...Mungu awasaidie tu yanga...maybe kuna vita kubwa sana kwenye ulimwengu wa roho 😢😢... haiingii akilin kabisa.. there's something not normal here
@ahmedsalehe94894 күн бұрын
@@frida-oi6kw sio vita huo ndo tafsiri ya Sportpesa kwenye jezi ya yanga. Kuna wakati wana amua kumfaidisha mdhamini wao. Yanga amefanya hivi mechi 2 mfululizo
@elizabethkalinga08223 күн бұрын
@@frida-oi6kw Kweli kabisa Yamekoswa Magoli mengi ya Wazi mno, Kulikoni? Na Pochi ya Mama ilikuwa inasubiri kwa hamu
@marystambuli80453 күн бұрын
@@frida-oi6kw uko sahihi. Inabidi hili lifanyiwe kazi mapema sana. Tunakoelekea ni kubaya. Ikiwa hii CBE imewatoa jasho hivi je wakikutana na timu kama Al ahaly itakuwaje? Hapa hata NBC ligi itakuwa shida na Champions ligi ndio kbs. Tuzidishe kuomba na wachezaji wajitafakari zaidi. Hii siyo Yanga ya msimu uliopita, kulikoni?
@frida-oi6kw3 күн бұрын
@@ahmedsalehe9489 hata kama still haingii akilini hata kidogo..shida yetu sisi tunaangalia kwa macho tu juujuu and we don't know that there's something behind
@frida-oi6kw3 күн бұрын
@@marystambuli8045 sio kila mtu anapenda mafanikio yako😅😅
@BenjaminJaphet-m4x4 күн бұрын
Wa kwanza mm like ❤❤
@KontawKontaw4 күн бұрын
Ubaya ubwelili jamani❤
@sosomacharles99203 күн бұрын
Angekuwa Guede hizo nafasi angeziweka zote.
@agapitymavunde73714 күн бұрын
Hawa Wachezaji wasichekewe technical staff muwaweke chini. Kwenye mpira kuna kukosa ila sio kukosa kwa kiwango hiki kila mtu uwanjani... Hapo tutasingizia uchovu. Hapana wachezaji wasi-undermine game.. hizi ndo game za kutengeneza hofu kwa team tunanzoenda kutana nazo mbeleni ili wawe na attention itatusaidia hata style ya uchezaji WA mpinzani utachange kuhofia attack yetu. Ila kwa jinsi hii sio ishara nzuri. Kwenye Nafasi tano team kama Yanga club bingwa inabidi Nafasi 3/2 ziwe goal. Mechi kama na Al ahly Nafasi kama hizo unazipata mbili au tatu ukitokea hicho kinachoonekana hapo hatujapoteza game.
@R10_Rajab4 күн бұрын
@@agapitymavunde7371 Nipo na wewe kwa hili haina kuwachekea wachea aji kwa nafasi zile za wazi zilizokoswa hii sio poa kabisa
@ahmedsalehe94894 күн бұрын
@@agapitymavunde7371 sio vita hiyo ndo tafsiri ya Sportpesa kwenye jezi ya yanga. Kuna wakati wana amua kumfaidisha mdhamini wao. Yanga amefanya hivi mechi 2 mfululizo
@mariamMilha-st3qu4 күн бұрын
Yanga Ongera sana japo mumetuzowesha magoti mengi Dubeeeeeee Allah anyoosheye Mukowake wabalakaaaaaa💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽👊👊👊💐💐💐wenimucezaji kabisa💐💐💐💐🇧🇮
Yanga bingwa yanga tamu yanga rahaa ww huogopi 💃💃💛💛💚💚💪💪
@kadmc91244 күн бұрын
CBE ni underdog to young africans, that why yanga wamefungA bila hata kushangili
@AkramIbrahim-m6x4 күн бұрын
Jamani Tulicho Kipata Tumshukuru Mwenyeez Mungu KL Mechi Tunafunga Magoli Mengi Leo Leo Sio Sk Yy Ni Sikuoni Ya Wengine Tujue Tumshukuru Mungu Kwa Alicho Turuzuku
@barikitvshow4 күн бұрын
Third comment
@SamuelKuto-e6j4 күн бұрын
Yaan mbayaa Leo chance zote nje wakenya tuko nyuma yenu pia
@MagdalineMambo4 күн бұрын
Wanayanga tuwaombee wachezaji.Maombi ni muhimu sana, tusianze kuwalaumu. Si mambo ya kawaida leo.Mungu awapiganie kuna nguvu za kiza zimetumwa.tuombeni sana
@GracePaul-k2l4 күн бұрын
Bila d mbili mtu awezi elewa tuna vita mno na wanachotaka ni kutuhaibisha
@R10_Rajab4 күн бұрын
Sio kuwalaumu leo kuwasema ni wakuwasema lazima wamepoteza nafasi nyingi safu ya ushambulia aji nyingi sana lazima wasemwe
@HajiAbdullah-yy6yd4 күн бұрын
Nakupongeza dada kwa muono wako,hata mimi nimeliona hilo, sio bure! Lzm kuna nguvu za giza zimetawala.
@frida-oi6kw4 күн бұрын
Inawezekana aisee 😢😢...Yesu tulindie yanga yetu
@R10_Rajab4 күн бұрын
@@frida-oi6kw Yesu wako usimuingize hapo ameshindwa kujiokoa kwa walimsulubu ataiokoa Yanga wacha hizo bidada Allah pekee ndie wa kuombwa na sio yesu .
@ceciliaathanas31354 күн бұрын
Wa kwanza leo.naombeni likes zangu
@BarakaMremy2 күн бұрын
kweli yanga tm kubw
@albertlambert28104 күн бұрын
Yani hawa. Had na wa onea uruma mechi ya marudiano
@abednegomawalla87474 күн бұрын
Azizi ki arudi kazini kwake.
@edisondiokeresy23064 күн бұрын
Siku ya Leo aikua nzuli Kwa. Wachezaji wote sio Kwa dube tu maana wote wamekosa magoli ya wazi kabisa ila Cha msingi tumeshinda ugenini Yanga mbele nyuma mwiko 💚💚💚💚🟩🟩
@jayBabakaila98834 күн бұрын
Sema tu yanga imecheza but nivile kilamtu alikuwa anataka kufunga
@FrenkHowi3 күн бұрын
Ndio kawaida za yanga wanapoteza nafasi 10 alaf wanapata Moja tuu
@hazjay46714 күн бұрын
Nafasi Saba Za Wazi Kabisaaaa....!!
@dennissamora7293 күн бұрын
Mie nalia na Azam tv. Highlights ni mbovu sana. Matukio hamyarudii vizuri kwenye angle tofauti tofauti. Tafuteni professional cameramen wazuri! Hamjifunzi tu kwa wenzenu ulaya?
@godwillrichard70173 күн бұрын
Azamtv hawajarusha hii mechi kwa mitambo yao direct ni feeds kutoka channel nyingine
@user-bf5uw2je2n3 күн бұрын
Hakikaa umejibuu vemaa
@dennissamora7293 күн бұрын
@@godwillrichard7017 hata kama wangekuwa wao bado highlights zao ni mbovu
@barakakaduma43953 күн бұрын
Mi siwezi laumu ivi viwanja vya ugenini mambo ni mengi mana haiwezekani wachezaji karibu ote wamekosa nafasi nyingi za wapi wazi sasa utalaumu vipi, Chama, Nzengeli, Dube, Mzize, tushukuru kwa point 3 za ugenini ukilaumu coach ua wachezaji basi jua tu wewe hujui mpira.
@frankmsisi1493 күн бұрын
Hapa issue ni magoli sio points
@gaudencemaumba75943 күн бұрын
Umeongea ukwel ambao watu hawataki kuusema, watu wanajiandaa nje na ndan ya uwanja, siwez kushangaa ii ugenin
@MonicaSimon-py3nx4 күн бұрын
Kweli mmecheza natumepata ushindi mzuri lakini kwaleo hamkutufurahisha mmetuzoesha magoli mengi lakini leo mmekosa magoli mengi sana nawaomba mashujaa wangu tarehe 21 musirudie tena makosa malambili pleasea tunaitaji ushindi wagoli nyingi zaidi nawapenda sana
@AnastaziaAnton4 күн бұрын
aaaah kweri sku Leo mbaya
@AkramIbrahim-m6x4 күн бұрын
Tusipende Kulaumu Wachezaji Nao Pia Binaadam Sio Malaika Tulichokipata Tuseme Alhamdulillah Tuombe Mungu Mechi Ijayo Tupate Ushindi
@HalimaShaban-p4s4 күн бұрын
💯
@benjaminchristopher2193 күн бұрын
Kweli tuwe na shukran hata Kwa kidog
@TwahirMohammed-x2h4 күн бұрын
Dube hashindi sipitali siku hizi anashinda kwenye nyavu😂😂😂❤❤❤
@hermitclassic96564 күн бұрын
Wakwanz me npeni like👍
@EliyaKudaga-u4q4 күн бұрын
Yanga tunabahat sana tunapitia mteremko
@HamisaKassim-d2s3 күн бұрын
Hatar
@Kijana-wa-Tanzania4 күн бұрын
Wafungaji wa Yanga inabidi wabadilike sana bana. Tulikuwa na goli karibu tano leo sema umakini haukuwepo.
@MathiasSanjo2 күн бұрын
Kweli yanga washamba nafas nyingi wanapata Ila wanachezea😊😊🎉
@ip_header3 күн бұрын
Points 3 ndio jambo la msingi, mpira mzuri utapigwa nyumbani(TZ) Mungu akipenda
@AllyMasangaluka-bm5ib3 күн бұрын
Nilikua na matumaini na dube lnjinia anakosea lli chotakiwa mchezaji aonyeshe uwezo
@ahmedsalehe94894 күн бұрын
Hivi ni strategy ya Team kutokufunga magoli mengi au sportpesa ina uza fixed odds?!
@adeltuszakumuha96183 күн бұрын
Hivi nafasi zoote za wazi Yanga wamecheza hovyo sana
@sosomacharles99204 күн бұрын
Dube aanze kuwekwa benchi,maana hii ni mechi ya pili anakosa magori mengi,Baleke yuko wapi?
@JastinOchola4 күн бұрын
Tuliza mshono wew unajua kuliko mwalimu
@SamweliMohamed-g6q4 күн бұрын
YANG AFRIKA FOREVER
@AllyMasangaluka-bm5ib4 күн бұрын
UmaliIaji yanga nishida wanapoteza sana nafasi shida lyo kwamasjindanomakubwa
@EdwinRutunda4 күн бұрын
Hii ni Club bingwa au bonanza😂
@adeltuszakumuha96183 күн бұрын
Nzengeli bhana😮
@Mbilizi-c5l4 күн бұрын
ufike wakati kocha ampe kwanza baleke nafasi ya dube mana mana dube anatunyima magoli ya wazi atokee sub ili ajifunze kuongeza umakunu mana raha ya namba tisa magoli
@NaimaSaid-r6c4 күн бұрын
Dah kama Yanga mtaendelea kucheza hivi hivi hakika mtatolewa mapema sana kazeni Vishundu ivyo
Hawa wa Ethiopia wskija kucheza na nyuki huku ndo watajua hawajui
@SmartTz-y5z4 күн бұрын
Kwaoo Kama kwetubtu
@Fazldonjr4 күн бұрын
Duh kweli
@shabanhafidhu19513 күн бұрын
Hapo yanga Kuna watu wanakosa sana nafasi za wazi Halafu Co Poa kabisa
@stevenemwakasimba-pt8er2 күн бұрын
Huyu boca ni shughuri nyingine sio kwa macross hayo
@asasiame5002 күн бұрын
Bora hao walifunguka wakawa na shot on target siyo Makolo hata shot on target hamna
@LowassaLobulu4 күн бұрын
Duh mmejitahdi lakn tulizeni mpira kwa mnakuwa na para kubwa
@fredyelifuraha25534 күн бұрын
Max naye mapepe ya kutafuta Umaarufu nafasi nzuri kama ile..
@LailaNgozi3 күн бұрын
Yanga yanga yanga kunawatu wanateseka huku jamani
@colonelmustafa72134 күн бұрын
Yanga hii ndio itachukua kombe la club Bingwa??wachezaji wanakosa magoli,hii timu ya ehopia ni mbovu haifai kuwa uwanjani..
@Panuakuma4 күн бұрын
Kama mbovu imeendaje club bingwa?
@kipetasingo27743 күн бұрын
kwa hii game yanga wakirudi hawatakiwi kupata ata jero la mama
@ElishaWilliam-g9u3 күн бұрын
Simba kaza buti muweke heshima nyumani
@MosesKaaya4 күн бұрын
Leo ilikuwa mbaya kwa Yanga, ila point 3 wanazo cyo mbaya
@kurwamussa31543 күн бұрын
Wachezaji wanamachofu ya safar hawajapa mda hata wakupumzika😊
@ISSASHABANI-sw7lx3 күн бұрын
Huyu dube washamroga teyari atakaosa magoli sana tu
@benjaminchristopher2193 күн бұрын
Iman yako ww cc hamuamin hayo
@marystambuli80454 күн бұрын
Wachezaji wetu mbona kila mara wanakosa magoli mengi hivyo? Hawana confidence au ubinafsi? Wasisubiri kila goli afunge Dube, yeyote akipata chance afunge lasivyo itakuwa shida kwetu.
@vallencymacdonalds4 күн бұрын
Ni kweli ...
@DeusdeditBimbalirwa-js6dk2 күн бұрын
Ubinafsi/uchoyo nao umechangia. Kila mchezaji anatamani kufunga goli la champions league. Mchezaji badala ya kutanguliza timu, anajitanguliza mwenyewe. Badala ya kutoa pasi kwa mwenzake aliye kwenye nafasi nzuri zaidi ya kufunga, analazimisha kufunga, anakosa hatimaye anaigharimu timu nzima. Uongozi, benchi la ufundi tafadhali sana ingilia kati kabla mambo hayajaharibika sana. Si mnaona Dunduka linavyokuja kwa kasi!?😂😂😂
@malietamaliet3 күн бұрын
😢😢😢😢siwarahumu wachezaji wetu mmechoka na safari piah hali ya hewa ya uko ila mechi ijayo walau nafasi 4 funga 2 jmn sio kukosa zote tutakutana na ahly ama mamelodi nafasi ni moja na unatakiwa umalize game😢 kwa iyo nafasi
@GraceMhoja-bu3ce3 күн бұрын
huu sio uchezi wa yanga
@godlivedanda32284 күн бұрын
Inabd ufike wakati pesa za bonus wawe wanatafuta wenyewe kupitia goli la mama ili wazitafute kwa uchu zaidi
@herymageta4 күн бұрын
Kocha wetu wa yanga lazima achukuwe taadhari kwa jinsi wachezaji wetu wanavyo cheza wamepoteza umakini kabisa, Natapata ushindi bac2 wanakatisha tamaa. Dube kusakosa kibao,Pacome ustaaa umezidi anakaa sana na mpira
@godfreylutengano93674 күн бұрын
Wachezaji wote wambele wacheza chini ya kiwango
@oscarmwailubi50784 күн бұрын
YANGA timu yangu Leo japo tumeshinda lkn spiral haukuwa mzuri wa kuinjoy kama mtoko inside mlivotuzoesha washabiki wetu. Sijui Leo tatizo lilikuwa nn?
@BrazaVille-we1hs4 күн бұрын
Hamna mfungaji nafasi 5 anatumi Moja na zote za wazii 😂😂😂
@MauBonde4 күн бұрын
Dube na mzize Mimi naenda na mzize
@BeatriceMsonge-jv1mz4 күн бұрын
@@MauBondehivi nyie si ndo mlisema mzize hamn kitu kwann mnapenda kuwasema wachezaj vbaya wakikosa nafas mbona hamn shukuran nyie mashabiki dah ad mtu amelia kisa nyie mashabiki msio na uvumilivu mzize mlimsema hivyo hivyo leo eti naenda na mzize mbona ata uyo mzize kakosa mbona aziz k hamumsemi anapoteza mipira🚮🚮🚮
@thadeusmarkiminja22824 күн бұрын
Hapa Yanga wanefanya makosa makubwa.wangetoka na magoli si chini ya manne.tuombe mjngu mechi itakayofuata yasitokee yaliyotokea kwani kesho yake tunaweza kujikuta tupo nje ya mashindano.Asikwazike mtu.
@MrMujwahuki4 күн бұрын
INUKAAAAA, Yanga mnatuwakilisha vyema!!
@JumaUdoba4 күн бұрын
Jaman naipenda yanga😃😃😃😃🤣🤣🤣
@omega-gl9wtКүн бұрын
Yanga ktk mchezo wa pili wanapaswa kucheza pasi ndefu mipira nyuma ya defence sababu wao wanacheza pass fupi fupi
@R10_Rajab4 күн бұрын
Wapambana aji leo mmekera sana timu imetengeneza nafasi nyingi za kufunga why simekoswa ?na kupatikana moja tu why?hili kosa lisijirudie tena wana wa nchi please chonde chonde nafasi zinapotengenezwa zinahitaji umalizia aji mzuri ,na umalizia aji mzuri ni kuzitumia kwa kufunga anyway well done wana wa nchi kwa point 3 muhimu...
@johnwankyo28894 күн бұрын
Siku hazilingn jmn tuwaombee tuuuu
@ahmedsalehe94894 күн бұрын
@@R10_Rajab sio vita hiyo ndo tafsiri ya Sportpesa kwenye jezi ya yanga. Kuna wakati wana amua kumfaidisha mdhamini wao. Yanga amefanya hivi mechi 2 mfululizo
@scopy04284 күн бұрын
Ivi hawa wachezaji wa Yanga walikuwa wanajua kweli kila goli linathamani ya 5million?
@user-qj7ci5cs9i4 күн бұрын
Mmmh pira gimbi hili
@charlesjohannes59894 күн бұрын
Subir ya kwako kesho
@omarfadhil75544 күн бұрын
Wachezaji wetu wengine either ni ubinafsi walio nao mbele ya golikipa au ni pupa ya kutaka kuingia katika daftari la wafungaji....
@MauBonde4 күн бұрын
Ifike time kocha amuamini mzize.
@Gdjn9744 күн бұрын
Binafs nmeshukuru tulicho pata ila naimani tutakuwa zaid ya hapa
@PeterSevere4 күн бұрын
Nataka kuona baleke ktk mechi za ligi apewe nafasi
@AbdillahChia4 күн бұрын
Yanga Bingwa ndo nnaloweza kusema mm
@ahmedsalehe94894 күн бұрын
watu wengi wanaweza laumu na kujiuliza maswali juu ya kilicho tokea kwenye mechi mbili mfululizo ila ukweli ni kwamba hii ndo tafsiri ya Sportpesa kwenye jezi ya yanga. Kuna wakati wana amua kumfaidisha mdhamini wao. Yanga amefanya hivi mechi 2 mfululizo baada ya kushinda magoli mengi mechi 2 mfululizo. Mechi inayo fuata itakua na magoli mengi
@EmanueliWildausoni4 күн бұрын
Yani hz timu zinazocheza na yanga daa et hawa ndio wamefuzuu club bingwa jaman
@user-ch2it3qt5z4 күн бұрын
😂😂ko unamaanisha YaNGa n kubwa kulko hiz team qnazo pangiwa et😂 ata kwa mameimliongea Sana yanga atafungwa nyng leo Tena kubali tu yanga n Bora
@kwamefidel7364 күн бұрын
Wachezaji wamechoka wametoka kwenye mechi za timu za taifa
@jabiriramadhani36924 күн бұрын
Ndio ubaki na goli upige juu au pembeni
@omega-gl9wt2 күн бұрын
Nyuma ya mabeki
@abeela1913 сағат бұрын
So shameful media, you are only showing yanga trials 👎🏼👎🏼👎🏼
@samsonhamery38094 күн бұрын
Wachezaji,warudishemoto wao waliokuwa nao,msimu,uliopita sasa,Hivi Kuna makosa mengi,wanafanya🌎wanapoteza,pasi wanakosa magori ya,wazi yaani,Hadi,Azizi kii wanamsubsitute ajabu.. kama tutaendelea Hivi ,tutakosa ubngwa msimu,huu
@Lucia-hx3ch4 күн бұрын
Wanayanga msiumie sana...hiki n kiwango chetu 2017😂😂subr waje 2024 waone😂😂😂
@mweyoms55483 күн бұрын
Hii mechi ilitakiwa golikipa aokote mpira kwenye kamba si chini ya mara kumi
@ManiragabaAlphonse-y9h4 күн бұрын
Like ❤my friends
@KhalifaHussein-d7c4 күн бұрын
mashabk kam ujui mpra kaa kimy
@NaftaryMgoye2 күн бұрын
Yanga wamecheza kimataifa wameshinda
@chinashao46794 күн бұрын
Wachezaji wamechoka na game za kimataifa tuwage na fadhila mashabiki