Mama kashazeeka mwengine mtu mwingine kijana mwenye nguvu hata kama ni mwanamke vijana wamakuwa wengi sana.
@elibarikimollel71493 ай бұрын
Ee Mungu tunasue kwenye mtego huu! Yani sehemu kubwa 75% wananchi hatuna hamu na hiki chama ila basi tu. Lakini haijalishi,kila madhabahu-kundi lina mipango yake katika ulimwengu wa roho upande wa giza bila kujali ubaya wake! Lakini lipo pia kundi-madhabahu za Mungu aliye hai zenye mrengo mzuri katika ulimwengu wa roho upande wa Nuru! Funguo zote za Mambo ya nyakati anazo Mungu mwenye nguvu na uwezo asiyetishwa na nguvu za damu na nyama,akisema amesema, lazima utawala wa dhuluma ufike mwisho si zaidi ya miaka 70 au kabla hata ujipange na majeshi yake,Mungu hajawahi kushindwa!
@mussamussa94463 ай бұрын
Umefanya utafiti?
@robertphilip3853 ай бұрын
Achatu ndugu yangu nikiangalia haya majamaa ya kijani nahisi kutapika
@gm0033 ай бұрын
Majizi takataka ninyi!! Hamna lolote! Ila hii nchi mtaiangamiza hii nchi, ccm mmeishiwa sauti, uhalali na mvuto , kaeni pembeni kwa heshima!
@maligiretongora33333 ай бұрын
Dp world oyee
@YangaNews3 ай бұрын
Wezi wakubwa hawa sikipendi hiki chama mm jamani uwiiii😭
@MurunguwetoshaDeheaven3 ай бұрын
Gen z are watching
@bakermusa90333 ай бұрын
Chama kubwa la majambazi ya Taifa mtatumaliza maluhani ya ziwani
@robertphilip3853 ай бұрын
Njaa tu imempeleka ccm
@dennisungonella2053 ай бұрын
Msimu wa usajili huu kwa walaji, kufuata uteuzi.😂
@YangaNews3 ай бұрын
Aki ya mungu ikija pita chadema tafuteni mashimo mjifukie na mwakani lazima ipite wezi nyie