Hongera sana wasafi media, uchambuzi wenu nimeupenda. Mmekomaa, big up sana!
@philemonsnyanda94506 күн бұрын
Hawa wako vizuri kuliko kitenge na genge lake
@user-bn4br7qm7r27 күн бұрын
Fedha za mama abduli zinafanya kazi
@jumakisailo84962 күн бұрын
Na kweli inawezekana Abdulli alishatia timu kwa Msigwa..🤣🤣🤣...siasa bwana...ni hatari sana, na huu ugumu wa maisha sasahivi. We acha tu.
@yassinkimolo294321 күн бұрын
Huyo kahama kwasababu kanyimwa kuwa mwekiti wa kanda ya nyasa ameona hataweza kuvujisha tena siri za chadema
@saulopaulokavenga679225 күн бұрын
Sahihi kabisa kaka,
@EliaHiluka20 күн бұрын
Hatuna lakujifunza kutoka kwa msingwa tunajua ni njaa yake tu
@yassinkimolo294321 күн бұрын
Hakuna cha kujitafakari hilo lilikua donda ndugu bora katuachia chama chetu tunahitaji watu wenye ukweli wakutafuta mabadiliko
@altonkanjolonga238020 күн бұрын
Mko sawa uchambuzi wenu mzuri,hongereni sana
@user-jb8bo2qw6r26 күн бұрын
Je,chadema imekuwa "saccos"ya Mbowe pale tu Msigwa aliposhindwa uchaguzi? Alipokuwa akishinda ,Chadema ilikuwaje?Ilikuwa tamu eeee!
@revocatusmatungwa231026 күн бұрын
Msigwa umefata cheo lakini kumbuka kuna wana ccm walioangaika na ccm miaka na bado awajapata cheo sasa siamini sana kama utapa mapema kabla ya waleee
@HappyKitindi24 күн бұрын
Hupati cheo kwasababu ya kuhangaika muda mrefu unapewa cheo kutokana na status yako. Ndo maana vijana wadogo wamekuwa wakuu wa shule lakini Kuna wazee hapo ni walimu wa vyeo vya kawaida. Wenye nguvu na wenye maarifa watatawala hii ni principle katika maandiko matakatifu
@foibennjeje773026 күн бұрын
Si Maneno tu ni ushetani unawaingia lazima akili iwatoke msigwa na akili yake kubwa ameshindwa Cha kuongea shetani mkubwa kuliko ccm
@PhilipoMwita-wc1ku26 күн бұрын
Ccm ndio wajitafakari kwakuvunja Sheria walizozitunga ...na rushwa ambazo wanazitembeza
@khamisassan955626 күн бұрын
Wewe Edo ni mtangazaji kweli kweli
@user-bd1zr4vn1b27 күн бұрын
Nilikuwa najua siku zote mchunguji wauongu huwa nauchu wamadaraka ndio maana awapendagi msaada wakiwa kwenye madhabau yao
Atakuwa ameahidiwa cheo kama ukuu wa wilaya lakini CCM kindakindaki hawamkubali
@MussaBundala-yg8nw20 күн бұрын
Safi sana hoja nimeipenda, lakini muda mwingine daah!
@ErastoMaridadi26 күн бұрын
Mmeongea vizuri sana wachambuzi,wanasiasa wa Tanzania njaa kali,hawako kwa maslahi ya taifa
@AshaMwamba26 күн бұрын
Kweli kabisaaaaaa
@MasumbukoZuhumpa25 күн бұрын
PETER MSIGWA UMEPOTEA NJIA
@SundaySteven-bz4yq27 күн бұрын
Huyu ni tamaa angehamia nccr,,,tungesema chama hakiko vizuri huyu amehongwa na mama abduri
@MsAggie527 күн бұрын
😂😂
@SurprisedFullMoon-gg9vu17 күн бұрын
Ni kwel kabsaaaaa
@obinasimbeye17507 күн бұрын
Atateuriwa tu na ndio atakaa kimya
@clemencemkondya856127 күн бұрын
Msaliti mkubwa chama aende kwa wajinga wenzake
@OmmyJames-xn7ji27 күн бұрын
SIASA HAINA ADUI WALA RAFIKI 😢😢😢NEXT VICTIM LISU
@obinasimbeye17507 күн бұрын
Hakuna Cha kujitafakari hapo ni njaa tu
@iddyissa811026 күн бұрын
Kweli kabisa Wana siamamia masilai Yao msingwa tapelitu nashangaa uchungaji kampa nani
@ProsperReuben-fg6uh27 күн бұрын
Osca no kweli Ameondoka nassar kaondoka kafulila kaondoka zitto lkn wako wap Leo hii wamejifia kisiasa
@mustafakimalio912926 күн бұрын
Tuambie Wana nafasi za uo gozi au Hawana au ulitarajia kuwaona ktk majukwaa ,,toa list yao yote waliotoka na walipo
@sallyeliya52137 күн бұрын
Oscar umeongea vzr
@user-cx1xz2is5d6 күн бұрын
Msigwa njaaaaaaaa ilimkolea sasa huko utapeqa nn ulipata 00000
@charlessolomon59289 күн бұрын
Umezungumza kitu kikubwa imani ndo kitu sahihi
@dayanikitambi208520 күн бұрын
Ameahidiwa ukuu wa mkoa ananjaa sana msigwa huyo
@FrankMwakatundu-cu6bd20 күн бұрын
HUJASEMA KWELI, SI WOTE JE, MWAL. NYERERE ALIKUWA NI MCHUNGAJI HAKUWA MWANA SIASA?
@zhaozlyoung26 күн бұрын
Uchawaaa uchawaaaa
@user-hj3ky9zy6y19 күн бұрын
Mko vz
@user-jb8bo2qw6r26 күн бұрын
Wanaostahili kujitafakari ni ccm tokana na wao kuuza raslimali za Tanganyika tu bila kuzigusa zile za Zanzibar!Kisa ni "halua,bokoboko na tende ".
@KassimAlly-xp4dz25 күн бұрын
2lia ww
@msabahaali75827 күн бұрын
kiukweli ms gwa hana hoja za msingi za kuhamia CCM
@HappyKitindi24 күн бұрын
Wewe sio msigwa, heshimu maamuzi ya mtu mwingine huwezi jua maumivu aliyopitia au maumivu aliyopitia akaamua kuhama
@davidkawesa35946 күн бұрын
@@HappyKitindimsigwa jinga
@peterbangari427325 күн бұрын
yupo lwasa aliludi ccm lakini hakuwa amaneno machafu alisema TU nimeludi nyumbani basi
@lucasmaganya962822 күн бұрын
Hawa ni wanasiasa wa kushangaza hasa kwa mtu kama msigwa hakuwa tu mwanasiasa bali anajitambulisha kwa mchungaji na mchungaji ni mwakilishi wa MUNGU hatukutegemea
@ErastoMaridadi26 күн бұрын
Jamani mwl nyerere ameongoza tanu,ccm karbu miaka 40,kwa sababu ya kuogopa mamluki ambassador wanaweza kuua chama,mbowe kukaa madarakani muda mrefu ndio uimara wa cdm na wanamuogopa kwa uimara wake kiuchumi na kisiasa.akina mrema walitumiwa wakaua nccr na tlp.cdm msidanganywe kumtoa mbowe
Kaka Oscar hata Lissu hawezi toka Chadema ana msimamo wa kweli wengine nikutafuta ulaji tu, hata huyo Msigwa ni uroho wa Madaraka tu
@giftkalenge41821 күн бұрын
acheni mambo ya siasa chambueni mpira
@rebekakulwa615926 күн бұрын
Kazi ya fisiemu ni kununua watu kutoka chadema miaka 65 leo mmeshindwa kuongoza mmetutia umaskini mmeuza. Kila kitu mmebakiza kuuza figo zetu achaneni na mbowe tunamtaka wenyewe kakojoeni mlale
@johnmshuta513321 күн бұрын
Kwel
@philemonsnyanda945025 күн бұрын
Saiv wachambuzi mumeamza kua na akili timamu za kiuchambuzi, musigwa amebugi na ameingia cha kike🤣
@user-jb8bo2qw6r26 күн бұрын
Je,unapofika wakati wa kuchagua mgombea wa kupeperusha bendera ya ccm ktk Uchaguzi Mkuu,kwa nini siku hizi hawaruhusiwi wagombea wengine kushiriki kama ilivyokuwa pale awali?Je,hiyo ni demokrasia ktk ccm?Ndugu Mbowe hushiriki pamoja na wengine ktk kuwania nafasi hiyo.Wengine hawazuiwi kama ilivyo ktk ccm.
@johnmichaellukindo2125 күн бұрын
Oscar uko sahihi mbowe peke yake hawezi kuondoka chadema!
@brownmashine25 күн бұрын
Chadema hawawez kujitafakar coz chadema n taasisi na sio nyumba ya mtu
@abdallahkambangwa721526 күн бұрын
mwanasiasa akikuambia usiku mwema toja nje uangalie jua kama limezama
@user-pn1rd1fs9x26 күн бұрын
Kwanini wanaenda ccm tu
@simonpetershauri296826 күн бұрын
Kila jambo na wakati na majira yake acheni porojo
@isayamwashibanda581927 күн бұрын
Akuna nacho kiamini ninjaa tuuu
@philemonkafyulilo712826 күн бұрын
Unafiki tuuuu
@jakobongwara303826 күн бұрын
Mwandishi uko sahihi hawa wagombea tumegundua wooooooote taperi galama zao wanaludisha kwakutumia nipe kura maana yakula inamaana kuraushibe tumbo bwibwibwi nakuchafua hali yahewa
@mzeekidevu968826 күн бұрын
Ccm ndooo matatizo kwa kuwaahidi vipande thelathini hoja si za msingi kabisa ni uchafu hata mtoto mdogo hoja za wanaohama vyama hawezi zielewa
@RubenMtuwaMungu-bz8ee26 күн бұрын
Tunahitaji chama kipya cha upinzani kitakachoendeshwa na viongozi wasio wabinafsi Ili kuiondoa CCM madarakani. Vyama vya kisultani havitupeleki popote.
@JosephMsuya26 күн бұрын
Si ndio
@user-bn4br7qm7r27 күн бұрын
Ahaaa Oscar ccm inatoa kibunda mzee ,unataka chadema ifanye nini kwenye hilo?
@leahnzali493327 күн бұрын
Kina Yuda mpaka sasa wapo.ajidhalilisha mwenyewe
@alisaid902424 күн бұрын
Chama cha Mbowe na watu wamechoka ,kafanya chama kama chake ni dikteta halafu ataka haki
@erickmsigala13823 күн бұрын
Baba yako unataka haki?
@gangan461820 күн бұрын
Kenge wa kijani tulia wewe...@@erickmsigala138
@user-eu7td2hx8o26 күн бұрын
Mboe chama ni Mali yake, tofautisha msigwa na mbowe
@erickmsigala13823 күн бұрын
Umejinyea ccm ni mali ya nani? Watangazaji wanachambua vizuri wewe unaonyesha jinsi gani ulivyo mpumbavu
@rockcitynative998526 күн бұрын
Huyo Muha ni fala eti uongozi ndani ya CHADEMA ukitafakari!? Pumbavu sana wewe. Huko CCM watu wanafuata ajira na wengi wanaohama CHADEMA ni wale walikuwa na ajira ikaisha ua ikatishia kuisha na kule CCM wanahaidiwa ajira kwamba ukija tu tutakupa hiki na ndio maana wanakimbilia CCM. Na yote hii ni kutokana na CCM kuwa wao ndio waamuzi wa kila kitu na hata mgombea wa upinzani kushinda ubunge au udiwani ni CCM ndio inaamua maana isipomtaka hatangazwi kwahiyo kuzifanya siasa za upinzani kuwa ngumu sana na wanaozidiwa na nja ndio hujitungia vijisababu na kukimbilia CCM walikohaidiwa ulaji.
@user-eu7td2hx8o26 күн бұрын
Mute waelewa chadema ukiwa tofauti na mbowe huna chako, hao kina sugu mnyika ,wamelaza masikio waambie wachukue form kuchuana na mbowe waone kitakacho wakuta, muulizeni sumai alifikili chadema sawa na ccm kilimkuta nn, namkubali sana lisu sio mbowe , mbowe tagus nimepata ufahamu wa vyama yeye ndio mkuu pale juu,inamana chadema nzima wote vilaza isipokuwa yeye tu?hapo hakuna demokrasia ndani ya chama,wekeni uhuru ndani ya chama mbona asubuhi tu mnachukuwa nchi . Vichwa tunavyo Virginia ill chama ni Mali ya mtu,kinaendeshwa kwa mawazo ya mtu,mfano Dr sraa huyo mzee wa kumletea lowasa kweli?.wizi woooote wa lowasa mlisahau mzee wa watu tupa kule. Tusikiendeshe chama kwa maslahi ya wachache. Nb having mdee anaubavu wa kwenda kuapishwa bila baraka za mkuuu, jiulize x2
@user-bz3kk5te4m26 күн бұрын
Mbowe hatoki pale atoke ili iweje
@godfreyfrancis101327 күн бұрын
😂 kumbe mchungaji anaweza kuwa mnafki
@MsAggie527 күн бұрын
Ndo nashangaa njaa hii hata neno la Mungu hulitii
@KharidyYusuph21 күн бұрын
Nimewakubali
@clemencemkondya856127 күн бұрын
Hakuna chakuhonga chadema nichama cha mtu mmoja miaka 24 nimwenyekiti wa mmoja wa taifa .Hiyo ni saccos ya mtu mmoha .