NJIA RAHISI YA KUPATA VIFARANGA WENGI WA KIENYEJI UKIANZA NA KUKU WA 5

  Рет қаралды 95,969

Changamkia Fursa

Changamkia Fursa

Күн бұрын

Njia rahisi ya Kupata Vifaranga Wengi wa Kienyeji Ukianza na Kuku wa 5
Ukiwa na Shauku ya kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji unatakiwa kuwa na uwezo wa Kupata Vifaranga wengi wa kienyeji ndani ya Muda mfupi.
Pia unajiuliza uanze na Kuku wangapi watakao kuzalishia vifaranga wengi ili upate faida ya kuendesha maisha yako.
Tuwe pamoja kwenye kipindi cha leo, utajifunza njia rahisi ya kupata vifaranga wengi wa kienyeji ukianza na kuku 5
TIMESTAMP
0:00 Utangulizi
1:40 Ujenzi wa banda la kuku wa kienyeji
2:20 Chakula bora
3:20 Vitu Muhimu ndani ya Banda
3:52 Ukusanyaji wa Mitetea
4:55 Ulishaji Bora wa Chakula
5:25 Uhifadhi wa Mayai
6:30 Uleaji wa Vifaranga wa Kienyeji
8:35 Ufugaji wa kuku wa kienyeji biashara
PLAYLIST
Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji
bit.ly/2JlD0sl
Njia ya Kupata Vifaranga Wengi wa Kienyeji
bit.ly/2YZjyJg
Ufugaji wa Kuku Chotara
bit.ly/39r7FPD
Magonjwa Tishio ya Kuku
bit.ly/39oRfr1
Ujenzi wa Banda Bora
bit.ly/3bxQJs2
Uleaji Bora wa Vifaranga
bit.ly/2JjPH73
SOCIAL MEDIA
KZbin; bit.ly/2vU8SBg
Facebook; bit.ly/39ogwlb
Instagram; bit.ly/3dA25xF
Twitter; bit.ly/2UIh3Jh
What's app; 255 (0)752209073
For Advertisements
Email; changamkiafursa@gmail.com

Пікірлер: 128
@bwanashamba7497
@bwanashamba7497 4 жыл бұрын
Ndio kaka umeongea Mambo mengi Sana ya msingi watu wakizingatia lazima wafaidike
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Kitu cha msingi ni kuweka kumbukumbu vitu vyote vya msingi ili uvifiweke kwenye matendo
@margarethmanoni9689
@margarethmanoni9689 Ай бұрын
Nashukuru sana mwanangu kwa somo zuri nilikuwa sijui kuwa kunakubadilisha jogoo maana jogoo wangu wamezaliwa hapahapa na dada,mama zao wapo hapa ngoja ninunue jogoo wengine
@hasnaahmed6877
@hasnaahmed6877 3 жыл бұрын
Kaka somo zur sn hamna watalam wa ufugaj mikowan
@tululililomo4706
@tululililomo4706 4 жыл бұрын
Kweli elimu haina mwisho kumbe kuna umuhimu wa kubadilisha majogoo nilikuwa napuuza sana mkuu hili jambo sasa nabadili mwelekeo ahsante sana
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Nimuhimu sana, itakusaidia kupata vifaranga wasioshambuliwa kirahisi na magonjwa
@analwabwela9121
@analwabwela9121 2 жыл бұрын
Saafi sana
@EMMANUELKIJINZA
@EMMANUELKIJINZA 25 күн бұрын
Nataman sana elimu hii maana naona ni Moja ya kitu Cha msingi sana😊
@fredricklukosi9224
@fredricklukosi9224 2 жыл бұрын
Somo zuri sana 🙏🙏🙏
@LucyKamwela-dn1hh
@LucyKamwela-dn1hh 3 ай бұрын
Asante nataman saana
@bongoplay865
@bongoplay865 2 жыл бұрын
Asante sana
@gwamakamwailunga3039
@gwamakamwailunga3039 4 жыл бұрын
Video hii imejibu maswali nilikuwa nawaza kukuuliza,hongera sana natumaini utakuwa mentor wangu siku zijazo.
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Asante sana kwa Mrejesho wako
@omanjalan582
@omanjalan582 9 ай бұрын
Asante sana brother
@user-rn2ih3vf3w
@user-rn2ih3vf3w 11 ай бұрын
Asante ndugu Kwa ushauri
@user-io3xx2jw7f
@user-io3xx2jw7f 7 ай бұрын
Uko vizuri
@user-jn7pi4fl5m
@user-jn7pi4fl5m Жыл бұрын
Jamani nawapenda sana
@saimonchangombe7888
@saimonchangombe7888 23 күн бұрын
Good
@pasliterwakungwi9385
@pasliterwakungwi9385 10 ай бұрын
Napenda kufuga kuku Asante
@blackboy5419
@blackboy5419 Жыл бұрын
Naipenda uduma hii
@KulsumMeghji
@KulsumMeghji Ай бұрын
Vizuri sana 🎉
@stephanmiganigan3297
@stephanmiganigan3297 Жыл бұрын
Napenda sana kufuga kuku
@MashakHassan
@MashakHassan 2 ай бұрын
Napenda kujua kua chakila cha kuku wa kisasa wakienyej ninaweza kuwap
@KuluthumuHamada
@KuluthumuHamada Ай бұрын
Ahsant sana broo kwa elim unayo 2patia
@user-qk3xi3sm5l
@user-qk3xi3sm5l 5 ай бұрын
Napendapenda kufuga ila changamoto ya magonjwa na mtaji wa kununua chakula
@sophymussa5562
@sophymussa5562 8 ай бұрын
Ahsante
@twororeturimekijambere5491
@twororeturimekijambere5491 2 жыл бұрын
🇧🇮🇧🇮asanteni Kwa mafunzo yako
@alesnjeje173
@alesnjeje173 4 жыл бұрын
Somo zuri,
@user-xr2ze8wv5w
@user-xr2ze8wv5w 3 ай бұрын
Uko vzr kaka
@user-yr4io7io7p
@user-yr4io7io7p 5 ай бұрын
Natamani sana nijue kutunza vifaranga bila vifo
@anjelistfelix1041
@anjelistfelix1041 6 ай бұрын
Nimefurahua
@harunmwazembe9980
@harunmwazembe9980 4 жыл бұрын
Asanteh sana kwa ushauri mzuri,,,,, me MWANAFUNZI aisee alafu Niko mbali na home lkn nataka nifuge hao kuku,, si naweza kushare na mtu ambaye anampango wa kufuga kuku !!!!
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Hakikisha unaShauku na ufugaji wa kuku
@maulidmtani2399
@maulidmtani2399 4 жыл бұрын
Nakukubali sana Kaká kwa elimu unayoitoa
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Tuko pamoja
@maimunamohamed3558
@maimunamohamed3558 6 ай бұрын
Nimependa mafunzo yako kaka ubarikiwe mm ndio naanza na nimejifunza Sana
@Ishengoma1
@Ishengoma1 4 жыл бұрын
Kwa ushauri bora nawapataje. Naomba mawasiliano
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
What's app 0752209073
@mizaseif7685
@mizaseif7685 Жыл бұрын
@@changamkiafursa utaratibu wa kujiunga upoje kwa sasa
@josephmasika3854
@josephmasika3854 Жыл бұрын
Alhamdulillahi
@kaluluthehair4400
@kaluluthehair4400 19 күн бұрын
Mim nataka kufuga kuku kienyeji
@GloriaMbunda
@GloriaMbunda 4 ай бұрын
Ni nzur
@JustinaJwangi-oc6vc
@JustinaJwangi-oc6vc 10 ай бұрын
Nimefurah San kupat elimu kutok kwen kuhusu ufugaji napenda sana kufuga, swal lang ni je ni kwel ukiwapunguzia manyoa mkian hasa kuku jike wananenepaa
@kishingochangawa5383
@kishingochangawa5383 Жыл бұрын
muna maelezo mazuri
@RatifaJuma-cd8rh
@RatifaJuma-cd8rh 5 ай бұрын
Naomba msaada mimi nimeanza kufug kuku na sijui jins yakufuga kuku
@queenwolf2576
@queenwolf2576 2 жыл бұрын
Kuku wangu ametaga yai Ila liko na Ufa hilo linaweza kutotoa kifaranga
@user-nr2vw5vz2n
@user-nr2vw5vz2n 8 ай бұрын
Huuu uongo
@theresiagratta5796
@theresiagratta5796 Жыл бұрын
asante naomba uniweke kwenye group la wafugaji asante mno
@unisobura9677
@unisobura9677 2 жыл бұрын
Ni vyakula vipi vya kuwapa kuku wanotaga
@user-pr5sl2qe4r
@user-pr5sl2qe4r 8 ай бұрын
Mimi nnapenda sana ufigaji. Na nimepeleka D’salaam incubator , sasa naomba kupata mayai ambayo tujaribu kutotoa watoto
@neemamassame8183
@neemamassame8183 2 жыл бұрын
Ahsante kwa maarifa na je nitapataje logo na tetra kumcha?
@mariammkono7455
@mariammkono7455 8 ай бұрын
Naomba unisaidie je kuku wanaweza kulala banda moja na kuku
@stivinimashurubu9989
@stivinimashurubu9989 4 жыл бұрын
Chakula ngani tofaut na pumba
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Layers Mash, chakula cha kuku wanaotaga
@nadhirmushi4347
@nadhirmushi4347 4 жыл бұрын
Oya fanya somo lijalo tufundishe utengenezaji wa chakula cha kuku kwanzia start mpaka kuku wanapoanza kutaga bro
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Tuko pamoja
@danielelwin1778
@danielelwin1778 4 жыл бұрын
Naungana na Mushi, somo lijalo tufundishe kuhusu utengenezaji wa chakula cha kuku kwa njia za asili
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Tuko pamoja
@user-hu2uy5mp1j
@user-hu2uy5mp1j 4 ай бұрын
Kaka jambo nihalbie vyakula vyakuku ili ciselé mukiswaili
@estherkimani3512
@estherkimani3512 4 ай бұрын
Vifaranga wa kuku ya mayai kutoka siku moja inafaa kukaa kwa stima mda mgani
@NathanielPeter-wv3wg
@NathanielPeter-wv3wg 2 ай бұрын
CHAKULA CHA KUTAGISHA NI KIPI
@nkuutufred2444
@nkuutufred2444 3 жыл бұрын
Please, can't you give us a teaching in English. So that all Africans can understand this very important information. It is very important
@shakurfaith
@shakurfaith Жыл бұрын
He doesn't have to. It's not his language! Just ask for subtitles
@catherinejanken7697
@catherinejanken7697 Жыл бұрын
Z xko hoopi j
@catherinejanken7697
@catherinejanken7697 Жыл бұрын
JIPic
@user-kv7hq5mb6m
@user-kv7hq5mb6m 11 ай бұрын
Chakula bora hicho nikipi,
@Ishengoma1
@Ishengoma1 4 жыл бұрын
Tunasubiria madini
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Saa mbili kamili Asubuhi
@hadijamandemla7017
@hadijamandemla7017 4 жыл бұрын
@@changamkiafursa naulizia je kuku WA 3 au 4 wanauzwa bei gani Naomba jibu lako
@estherkimani3512
@estherkimani3512 4 ай бұрын
Nauliza jogoo moja inafaa kuwa kuku wa wangap
@atoshamkingule7258
@atoshamkingule7258 4 ай бұрын
Kuku Kimu dear
@user-ft6os1tj9b
@user-ft6os1tj9b 3 ай бұрын
Mnapatikana wapi?
@IbrahimOmary-mw1dt
@IbrahimOmary-mw1dt Жыл бұрын
ivi kuku wanawezaj kutaja mayai meng
@AliyHamsin
@AliyHamsin 2 ай бұрын
Nataka namba zako ili nikuuliza nakulipia fomla
@calsonmbowe7669
@calsonmbowe7669 2 жыл бұрын
unawezaje kupata majogoo ?
@saleheluvanga9929
@saleheluvanga9929 Ай бұрын
Chakula icho kinaitwaje kaka?
@user-nr2vw5vz2n
@user-nr2vw5vz2n 8 ай бұрын
Nichakula ngani hicho
@neemapetertungu677
@neemapetertungu677 2 жыл бұрын
nimeanza na kuku wanne na jogoo mmoja, ila wakitaga, kunakitu kinakula mayai, leo nimechungua nimeona shimo, sasa ni nyoka au panya...wananimalizia mayai nisaidie la kufanya. mabanda niliyo yayo ni kama hayo yenu.nipasafi.
@hamisishabani4009
@hamisishabani4009 5 ай бұрын
Piga lafu floor then weka malanda au majan makavu kuwa makin na mlango au matundu ambayo yanaweza pitisha wadududu
@yohanaissaya4338
@yohanaissaya4338 Жыл бұрын
Nize na kuku ngapi
@bokasanyagali3937
@bokasanyagali3937 2 жыл бұрын
Ok
@washaumfaume8602
@washaumfaume8602 8 ай бұрын
Nichakula gani chakuwapa kukuwanaotaga msaada
@user-jn7pi4fl5m
@user-jn7pi4fl5m Жыл бұрын
Utajuaje sasa kama wanamafua
@Irene-bz6zz
@Irene-bz6zz Жыл бұрын
Asnte kwa somo, lakini mbona kwangu magonjwa hayakatiki? Inanikatisha tamaa
@SilasshijaMangu
@SilasshijaMangu 4 ай бұрын
Umejtaid xn
@maimunamohamed3558
@maimunamohamed3558 6 ай бұрын
Ni mda gani inafaa kuwatenganisha vifaranga na mama Yao nikiwa Kenya
@alesnjeje173
@alesnjeje173 4 жыл бұрын
Naweza kumnyanganya vifaranga kuku alietotoa vya siku moja?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Ndio, utawalea kwa njia ya kubuni
@Barick2
@Barick2 6 ай бұрын
Wewe ulianza kufuga kuku wangapi
@ruthamba6293
@ruthamba6293 4 жыл бұрын
sasa hawa KuKu unawa chakula gani? mpaka wanazaliana kwa haraka...!!
@tunsumemwajumba7149
@tunsumemwajumba7149 10 ай бұрын
Mayai napata?
@ManyahiAlbanusi-hf2ew
@ManyahiAlbanusi-hf2ew Жыл бұрын
Naomba niulize mi ninakuku 30 nafugia kwenye Banda mambogani naitaji nizingatie?
@user-ed8nt9xy4w
@user-ed8nt9xy4w 20 күн бұрын
aksanti kwa siri za ufugaji wa kuku; sasa na hitaji saana video zenu ni fanye nini
@MashakHassan
@MashakHassan 2 ай бұрын
Napend kufuga
@user-my7ik4hd4p
@user-my7ik4hd4p 4 ай бұрын
Nikwamara ya kwanza kuona vidio hii nauliza hiyo majani naona kuku wakila ni majani ipi ambao kuku Wafaa kukula ama mti wowote
@user-nl8rm4mf5i
@user-nl8rm4mf5i 4 ай бұрын
Habar mm natk group len whatsapp ili kupat elimu
@joycemlighite9271
@joycemlighite9271 2 жыл бұрын
jamani mbona kuku wangu hawatotoi vzr
@sikujuwabackari3554
@sikujuwabackari3554 Жыл бұрын
Lakini naomba kwanza samahani , mtu akiuliza swali asijibiwe inamaanisha nini ? kama alikosea au hakukosea cha muhimu ni kumjibu
@magdalenalaban8895
@magdalenalaban8895 Ай бұрын
Jina litatokea nani
@victorsteven4013
@victorsteven4013 Жыл бұрын
Chakula hicho kinaitwaje
@analwabwela9121
@analwabwela9121 2 жыл бұрын
Unapatikana wap?
@user-nl8rm4mf5i
@user-nl8rm4mf5i 4 ай бұрын
Habar mm natak group lenu ili nipat eliminate zaid
@joycemlighite9271
@joycemlighite9271 2 жыл бұрын
chakula cha kuku wanaotaga ni chakula gani
@scholasticamswata3548
@scholasticamswata3548 Жыл бұрын
Chakula gani?
@christinapaul1859
@christinapaul1859 2 жыл бұрын
Nielekez tafadhal nikiyaacha pamoja siku y kulalia nawagawanyiajeee msaada tafadhal
@DaudiMwasipaja-cv5lq
@DaudiMwasipaja-cv5lq 10 ай бұрын
Dawa gani Nagalama Zane?
@tesmaochango4885
@tesmaochango4885 2 жыл бұрын
Kuku wa kienyeji wanakula chick starter kwa muda wa wiki ngapi
@paschalmagubo6337
@paschalmagubo6337 3 жыл бұрын
Na jogoo akimpanda jike ambae ni mwanae wa kumzaa inaweza kusababisha udhaifu wa kifaranga?
@shakurfaith
@shakurfaith Жыл бұрын
Ndio
@joviangeofrey7212
@joviangeofrey7212 4 жыл бұрын
Kaka nashukuru sana kwa elimu hii. Ila kaka nataka kufuga mabata mzinga. Una elimu kuhusu ilo?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Hakuna kichoshindika, elimu ninayo ila sina uzoefu 🤔
@joviangeofrey7212
@joviangeofrey7212 4 жыл бұрын
@@changamkiafursa ok sawa
@user-jq6ug1gc8g
@user-jq6ug1gc8g 5 ай бұрын
Nina majike 18 nitafute majogoo mangapi
@atoshamkingule7258
@atoshamkingule7258 4 ай бұрын
Tafuta wawili
@jacksonntandu4771
@jacksonntandu4771 4 жыл бұрын
Kaka unaacha vifaranga walelewe na mama yao ama
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Ndio, na lazima niwafungie ili kuwalinda na wanyama hatarishi
@zamdakimaro8040
@zamdakimaro8040 Жыл бұрын
zNIMETAXAMA VIDEO NYINGI HII NDIO NIMEEELEWA
@christinapaul1859
@christinapaul1859 2 жыл бұрын
Naomba msaad nina kuku 6 wanatag sehem moja,siku wakianz kulalia nitumie njia gani kuwalalishia mayai ya kutotoa na inasemekana mayai yasizid siku kumi na nne?
@doramwakatwila2971
@doramwakatwila2971 4 жыл бұрын
Naomba niunge no yangu ni 0628156568
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Fata maelekezo ya video ujisajili kwenye group. Darasa litaanza tarehe 10 mwezi wa 7
@felixyegon-gb5ri
@felixyegon-gb5ri 10 ай бұрын
Asante sana brother
@jeremiahwepukhulu3916
@jeremiahwepukhulu3916 2 жыл бұрын
Good
@saimonchangombe7888
@saimonchangombe7888 23 күн бұрын
Good
Uleaji wa Vifaranga wa Kuku wa Kienyeji Kwa Njia ya Kisasa
13:46
Changamkia Fursa
Рет қаралды 40 М.
BANDA BORA ENEO DOGO#Kuku Uchumi
11:46
Kuku Uchumi
Рет қаралды 47 М.
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 184 МЛН
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 66 МЛН
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 106 МЛН
165 days: Start a business with a free-range chicken farming model.
1:04:19
Nilianza na Kuku 8 wa Kienyeji, Lakini Nimezalisha Kuku wa Kienyeji 300
10:37
SABABU 3 ZA KUKU WA KIENYEJI KUTOTOA VIFARANGA WACHACHE
7:14
Changamkia Fursa
Рет қаралды 26 М.
NILIANZA NA KUKU 50 WA KIENYEJI  SASA NINAUZA VIFARANGA 2500 KILA WIKI
12:12
JINSI YA KUANZA UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI (HISTORIA YANGU)
12:54
Changamkia Fursa
Рет қаралды 38 М.
TENGENEZA FAIDA ZAIDI YA TSH 450,000/= KWAKUFUGA KUKU 75 TUU.
12:22
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 184 МЛН