mimi ni mkenya lakini napenda hawa watu nliwaona mwaka jana nikiwa apo chalinze
@user-wx3dg6me8u8 ай бұрын
Hawa jamaa wanaongea ukwel sana, wanafurahisha na pia nimegundua wanatia huzuni muda huo huo. Ila yote kwa yote hongeren sana ndg zangu, Allah awabarik katika kaz zenu.❤❤❤
@ebengapierre88267 ай бұрын
Ebwana kazi nzuri ❤❤❤❤❤ nawapa ongera 🇨🇩nawafuata kutoka kongo
@user-hn6kv6xe7m7 ай бұрын
Mupo vzr sana vjana mnaelimisha sana
@user-hp9xd2jj7e7 ай бұрын
Dah noma nyie ni wakali sana.
@Chum.user-di7jg2rn2q7 ай бұрын
Ukweli tupu❤❤❤❤❤❤❤❤!! Wanawake moto wa kuotea mbali
@JumanneKAHAMBANSHASHA5 күн бұрын
Mna gusa penyewe ❤
@yunisluvanga42118 ай бұрын
Wapo vzuuri saaaana Hawa watu barahaaa mnachekesha saaaana
@misifaskills7458 ай бұрын
Sawa nmeelewa hapo kwa Kazimoto tabata segerea
@JumanneKAHAMBANSHASHA5 күн бұрын
Elimu bure endeleeni kuwapa erm wasio na erim nawashukuru sana 😅
@AbdallaMwagora-sm1rj8 ай бұрын
Hawa jamaa mm nawakubali saana .na wanafaa tuwaunge mkono ,ili waendelee kutupa barudani.
@YoungsHilary-xd2ml8 ай бұрын
Kweli kabsa kupambana ,ni kusonga mbele
@mustaphamatelefone-lc9pr8 ай бұрын
Nawakubali sana hi myamba
@SaimonBishanga-uq7qz8 ай бұрын
Bana bana nimekutana nao ndo wenyewe
@CLINTONMAGETO-do4ce6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂ati ndizi😂😂😂😂 waaaah, kazi safi
@emmanuelkaindo98998 ай бұрын
Hongeren sana
@RamadhaniKaholi-os3tn8 ай бұрын
Mpo vizuri mtafika mbali ,,,mnatoa stress
@labionmtinginji42818 ай бұрын
Anabandika nywere juuu ya nywere kucha juu ya kucha kope juu ya kope😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@imanuelnguya92778 ай бұрын
😂😂😂😂 daaah mbaka naulizwa na mwenzangu unacheka nini 😂😂😂 sensa kaesabiwa
@user-bv4gu5po4g7 ай бұрын
Kazi nzuli 😂😂😂😂
@uwezawamungumkuu.amaniafrika8 ай бұрын
Balaa tupu. Weka mbali na moyo wako uishi kwa amani kamanda.. poleni.
@emmanuelmichael97648 ай бұрын
naomba namba ya hawa ndugu
@johndionice28993 ай бұрын
Andrea
@user-jb4li1un9x8 ай бұрын
Vizuri sana wazee mkovizuri munguawatangulie sana
@aminaomary55678 ай бұрын
Mko juu ndugu zangu❤❤❤
@rahmamamy40347 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂mnaniacha hoi
@user-tl8uq8ps8t8 ай бұрын
Nakubali sana mungu awazidishie
@salumsalumrobert8 ай бұрын
Hatari sana the brack
@RujainahOmary-bq2ru8 ай бұрын
Ety mimi sio mgonjwa mimi mwizi niweke ndani Unahisi bonge angemfanya nn
@OmaryMwaropa-dy3no8 ай бұрын
Angeenda mla
@Mc_Chabala8 ай бұрын
Mafuta
@sadinimtinangi-zt4pv8 ай бұрын
Yaan lazima ucheke kishamba 😅😅😅😅😅
@jovinmancomedytz8 ай бұрын
Tanzania tunavipaji wengi sana jamani Mungu awabariki mnaweza
@user-uo3of7ye2z8 ай бұрын
Mnawenz 😂
@user-zl5kt1em2t8 ай бұрын
Kongole brothers
@riverjoshua81418 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂nimewapta sasa
@charlesmakuri7928 ай бұрын
Hii collaboration nzuri
@kamtafuteTena018 ай бұрын
Nouma sana hawa jamaaa❤❤❤😂😂😂😂
@peteromukule50124 ай бұрын
Wazee ni wajasiri sana hao
@tmbashujaaosama38107 ай бұрын
Kweli u Cuba ni muhimu eti tulia njia nyembamba mara anakamiza GIA box kumbe kichwa Cha mkewe anamwambia tulia Niko MLA ndizi kuna mlima hahaaa. Kwa nn MLA ndizi?
@eliamtinda72228 ай бұрын
Big up!
@rosetreffert41798 ай бұрын
Safi Sana 🎉🎉
@mbwelamedia34698 ай бұрын
Kuna vipaji vimejificha mtaani shida wenye nafasi hawataki warithi
@peternyambo14398 ай бұрын
97 SHULE YA UHURU, BADO WADOGO NOW DAYS WAMEZEKA AISEE
@SamoraDavid8 ай бұрын
Hawamiliki account za mtandaoni niwe nawasikiliza nawapenda❤❤
@KulekatsengeHaruni-sb6qc8 ай бұрын
😂😂😂😂😂heee iyi nikali
@xaverykihwili5778 ай бұрын
😅kikubwa kukubaliwa na watu
@sawackoswald93228 ай бұрын
Tanzania tuna talent kibao nivile hazijitokezi hadharan
@isackkidaso90308 ай бұрын
Ssfi sana
@RizikiMwinami4 ай бұрын
TikTok wanatumia jinagani hawajamaa
@aimableassumani23408 ай бұрын
Hawa jamaa wamenifurahisha 😂
@DonMooSTUDIO_Express8 ай бұрын
Kwani hawa ndio wale DOKTA MJUSI na PROFESA KAZI !?. Walisumbua sana enzi zetu tukiwa watoto 😂😂😂
@officialdinaize8 ай бұрын
Sio
@DonMooSTUDIO_Express7 ай бұрын
@@officialdinaize kama siyo wenyewe basi wamewaiga wale jamaa ndio waanzilishi
@batoolmwajuma30008 ай бұрын
😂😂😂😂,ety tukaweke wapi rooh zetu uwiiiiiii
@jamesmusyoka14477 ай бұрын
kama kuna mtu ako apo chalinze kwa petrol station yenye inaitwa (ngamila station) tafathali nijulishe nikutume salam nimerudi niko kwetu kenya
@faudhiasaidi36698 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣pyende kyukyu
@SurprisedDachshund-rc2fw8 ай бұрын
Tunataka mapya sio yayare
@user-bv4gu5po4g7 ай бұрын
😂😂❤❤❤🎉🎉
@erickabel62017 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-gx4pk2zg1g8 ай бұрын
Asante
@SaimonBishanga-uq7qz8 ай бұрын
Kakaeee Hawa ndo wenyewe
@matembatony92877 ай бұрын
Mende wingi twende maana yake twende tutarudi tena siku nyingine!
@user-tu7xf5dk6i8 ай бұрын
😂😅😂
@MuhammedSinga8 ай бұрын
🎉🎉🎉😂😂😂😂😂
@salama11138 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@user-dy9hr8tz1x8 ай бұрын
😅😅😅😅
@damianmcba95257 ай бұрын
Turia mlandizi kuna mlima,,,,laziwe uwe wa Cuba ndio uelewe