CHEKA TU VUNJA MBAVU NA WAZEE WALIOSHINDIKANA KWA COMEDY (BLACK SANAA)

  Рет қаралды 197,766

S500 TV

S500 TV

Күн бұрын

Пікірлер: 75
@jamesmusyoka1447
@jamesmusyoka1447 7 ай бұрын
mimi ni mkenya lakini napenda hawa watu nliwaona mwaka jana nikiwa apo chalinze
@user-wx3dg6me8u
@user-wx3dg6me8u 8 ай бұрын
Hawa jamaa wanaongea ukwel sana, wanafurahisha na pia nimegundua wanatia huzuni muda huo huo. Ila yote kwa yote hongeren sana ndg zangu, Allah awabarik katika kaz zenu.❤❤❤
@ebengapierre8826
@ebengapierre8826 7 ай бұрын
Ebwana kazi nzuri ❤❤❤❤❤ nawapa ongera 🇨🇩nawafuata kutoka kongo
@user-hn6kv6xe7m
@user-hn6kv6xe7m 7 ай бұрын
Mupo vzr sana vjana mnaelimisha sana
@user-hp9xd2jj7e
@user-hp9xd2jj7e 7 ай бұрын
Dah noma nyie ni wakali sana.
@Chum.user-di7jg2rn2q
@Chum.user-di7jg2rn2q 7 ай бұрын
Ukweli tupu❤❤❤❤❤❤❤❤!! Wanawake moto wa kuotea mbali
@JumanneKAHAMBANSHASHA
@JumanneKAHAMBANSHASHA 5 күн бұрын
Mna gusa penyewe ❤
@yunisluvanga4211
@yunisluvanga4211 8 ай бұрын
Wapo vzuuri saaaana Hawa watu barahaaa mnachekesha saaaana
@misifaskills745
@misifaskills745 8 ай бұрын
Sawa nmeelewa hapo kwa Kazimoto tabata segerea
@JumanneKAHAMBANSHASHA
@JumanneKAHAMBANSHASHA 5 күн бұрын
Elimu bure endeleeni kuwapa erm wasio na erim nawashukuru sana 😅
@AbdallaMwagora-sm1rj
@AbdallaMwagora-sm1rj 8 ай бұрын
Hawa jamaa mm nawakubali saana .na wanafaa tuwaunge mkono ,ili waendelee kutupa barudani.
@YoungsHilary-xd2ml
@YoungsHilary-xd2ml 8 ай бұрын
Kweli kabsa kupambana ,ni kusonga mbele
@mustaphamatelefone-lc9pr
@mustaphamatelefone-lc9pr 8 ай бұрын
Nawakubali sana hi myamba
@SaimonBishanga-uq7qz
@SaimonBishanga-uq7qz 8 ай бұрын
Bana bana nimekutana nao ndo wenyewe
@CLINTONMAGETO-do4ce
@CLINTONMAGETO-do4ce 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂ati ndizi😂😂😂😂 waaaah, kazi safi
@emmanuelkaindo9899
@emmanuelkaindo9899 8 ай бұрын
Hongeren sana
@RamadhaniKaholi-os3tn
@RamadhaniKaholi-os3tn 8 ай бұрын
Mpo vizuri mtafika mbali ,,,mnatoa stress
@labionmtinginji4281
@labionmtinginji4281 8 ай бұрын
Anabandika nywere juuu ya nywere kucha juu ya kucha kope juu ya kope😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@imanuelnguya9277
@imanuelnguya9277 8 ай бұрын
😂😂😂😂 daaah mbaka naulizwa na mwenzangu unacheka nini 😂😂😂 sensa kaesabiwa
@user-bv4gu5po4g
@user-bv4gu5po4g 7 ай бұрын
Kazi nzuli 😂😂😂😂
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
@uwezawamungumkuu.amaniafrika 8 ай бұрын
Balaa tupu. Weka mbali na moyo wako uishi kwa amani kamanda.. poleni.
@emmanuelmichael9764
@emmanuelmichael9764 8 ай бұрын
naomba namba ya hawa ndugu
@johndionice2899
@johndionice2899 3 ай бұрын
Andrea
@user-jb4li1un9x
@user-jb4li1un9x 8 ай бұрын
Vizuri sana wazee mkovizuri munguawatangulie sana
@aminaomary5567
@aminaomary5567 8 ай бұрын
Mko juu ndugu zangu❤❤❤
@rahmamamy4034
@rahmamamy4034 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂mnaniacha hoi
@user-tl8uq8ps8t
@user-tl8uq8ps8t 8 ай бұрын
Nakubali sana mungu awazidishie
@salumsalumrobert
@salumsalumrobert 8 ай бұрын
Hatari sana the brack
@RujainahOmary-bq2ru
@RujainahOmary-bq2ru 8 ай бұрын
Ety mimi sio mgonjwa mimi mwizi niweke ndani Unahisi bonge angemfanya nn
@OmaryMwaropa-dy3no
@OmaryMwaropa-dy3no 8 ай бұрын
Angeenda mla
@Mc_Chabala
@Mc_Chabala 8 ай бұрын
Mafuta
@sadinimtinangi-zt4pv
@sadinimtinangi-zt4pv 8 ай бұрын
Yaan lazima ucheke kishamba 😅😅😅😅😅
@jovinmancomedytz
@jovinmancomedytz 8 ай бұрын
Tanzania tunavipaji wengi sana jamani Mungu awabariki mnaweza
@user-uo3of7ye2z
@user-uo3of7ye2z 8 ай бұрын
Mnawenz 😂
@user-zl5kt1em2t
@user-zl5kt1em2t 8 ай бұрын
Kongole brothers
@riverjoshua8141
@riverjoshua8141 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂nimewapta sasa
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 8 ай бұрын
Hii collaboration nzuri
@kamtafuteTena01
@kamtafuteTena01 8 ай бұрын
Nouma sana hawa jamaaa❤❤❤😂😂😂😂
@peteromukule5012
@peteromukule5012 4 ай бұрын
Wazee ni wajasiri sana hao
@tmbashujaaosama3810
@tmbashujaaosama3810 7 ай бұрын
Kweli u Cuba ni muhimu eti tulia njia nyembamba mara anakamiza GIA box kumbe kichwa Cha mkewe anamwambia tulia Niko MLA ndizi kuna mlima hahaaa. Kwa nn MLA ndizi?
@eliamtinda7222
@eliamtinda7222 8 ай бұрын
Big up!
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 8 ай бұрын
Safi Sana 🎉🎉
@mbwelamedia3469
@mbwelamedia3469 8 ай бұрын
Kuna vipaji vimejificha mtaani shida wenye nafasi hawataki warithi
@peternyambo1439
@peternyambo1439 8 ай бұрын
97 SHULE YA UHURU, BADO WADOGO NOW DAYS WAMEZEKA AISEE
@SamoraDavid
@SamoraDavid 8 ай бұрын
Hawamiliki account za mtandaoni niwe nawasikiliza nawapenda❤❤
@KulekatsengeHaruni-sb6qc
@KulekatsengeHaruni-sb6qc 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂heee iyi nikali
@xaverykihwili577
@xaverykihwili577 8 ай бұрын
😅kikubwa kukubaliwa na watu
@sawackoswald9322
@sawackoswald9322 8 ай бұрын
Tanzania tuna talent kibao nivile hazijitokezi hadharan
@isackkidaso9030
@isackkidaso9030 8 ай бұрын
Ssfi sana
@RizikiMwinami
@RizikiMwinami 4 ай бұрын
TikTok wanatumia jinagani hawajamaa
@aimableassumani2340
@aimableassumani2340 8 ай бұрын
Hawa jamaa wamenifurahisha 😂
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 8 ай бұрын
Kwani hawa ndio wale DOKTA MJUSI na PROFESA KAZI !?. Walisumbua sana enzi zetu tukiwa watoto 😂😂😂
@officialdinaize
@officialdinaize 8 ай бұрын
Sio
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 7 ай бұрын
@@officialdinaize kama siyo wenyewe basi wamewaiga wale jamaa ndio waanzilishi
@batoolmwajuma3000
@batoolmwajuma3000 8 ай бұрын
😂😂😂😂,ety tukaweke wapi rooh zetu uwiiiiiii
@jamesmusyoka1447
@jamesmusyoka1447 7 ай бұрын
kama kuna mtu ako apo chalinze kwa petrol station yenye inaitwa (ngamila station) tafathali nijulishe nikutume salam nimerudi niko kwetu kenya
@faudhiasaidi3669
@faudhiasaidi3669 8 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣pyende kyukyu
@SurprisedDachshund-rc2fw
@SurprisedDachshund-rc2fw 8 ай бұрын
Tunataka mapya sio yayare
@user-bv4gu5po4g
@user-bv4gu5po4g 7 ай бұрын
😂😂❤❤❤🎉🎉
@erickabel6201
@erickabel6201 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-gx4pk2zg1g
@user-gx4pk2zg1g 8 ай бұрын
Asante
@SaimonBishanga-uq7qz
@SaimonBishanga-uq7qz 8 ай бұрын
Kakaeee Hawa ndo wenyewe
@matembatony9287
@matembatony9287 7 ай бұрын
Mende wingi twende maana yake twende tutarudi tena siku nyingine!
@user-tu7xf5dk6i
@user-tu7xf5dk6i 8 ай бұрын
😂😅😂
@MuhammedSinga
@MuhammedSinga 8 ай бұрын
🎉🎉🎉😂😂😂😂😂
@salama1113
@salama1113 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@user-dy9hr8tz1x
@user-dy9hr8tz1x 8 ай бұрын
😅😅😅😅
@damianmcba9525
@damianmcba9525 7 ай бұрын
Turia mlandizi kuna mlima,,,,laziwe uwe wa Cuba ndio uelewe
@mossesmichaelnzowa3378
@mossesmichaelnzowa3378 8 ай бұрын
Kazi nzuri hii.
@user-hp9xd2jj7e
@user-hp9xd2jj7e 7 ай бұрын
Dah noma nyie ni wakali sana.
@josephkavindi3666
@josephkavindi3666 8 ай бұрын
😂😂😂
@GWIJIGWIJISELLA-tt2it
@GWIJIGWIJISELLA-tt2it 8 ай бұрын
😁😁🤣🤣🤣
@user-hp9xd2jj7e
@user-hp9xd2jj7e 7 ай бұрын
Dah noma nyie ni wakali sana.
@donkaloza6985
@donkaloza6985 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Underwater Challenge 😱
00:37
Topper Guild
Рет қаралды 48 МЛН
Самое неинтересное видео
00:32
Miracle
Рет қаралды 1,7 МЛН
The FASTEST way to PASS SNACKS! #shorts #mingweirocks
00:36
mingweirocks
Рет қаралды 14 МЛН
MTANGA NA BAMBO ,WAUZA MISHKAKI YA NYAU ,HII KIBOKO KABISA
6:38
MTANGA COMEDY TZ
Рет қаралды 635 М.
SENGA NA PEMBE KWENYE CHEKA TU
12:19
Cheka tu
Рет қаралды 1,2 МЛН
Underwater Challenge 😱
00:37
Topper Guild
Рет қаралды 48 МЛН