Yaan watu bado hawaamini daah Mungu atusaidie sana
@musamshani87777 ай бұрын
Acha kuwasema watumishi wa mungu fanya like ulichotumwa wew kama kweli wew ni ntumishi wa mungu,unajua walikotoka,unajua mungu aliwatuma nin,wew ni mtu mbaya una roho kama ya yule Jamaa.
@GabrieliJumanne-lt8mx5 ай бұрын
Wewe ni mmojawapo wa wafuafi wa shetani.
@GabrieliJumanne-lt8mx5 ай бұрын
Sisi tunasoma biblia tunajua huyu mtumishi anasema ukweli
@emanuelmkama13252 ай бұрын
Kati ya yesu na Devi Nan nabii mkuu,ukjbu ILO swal ndo utajua uko kuzm au hai
@ElizabethMakwaia24 күн бұрын
Omba macho ya rohoni ndugu,hata hili bado huoni?
@edouardnsengiyumva11458 ай бұрын
Watu wanahubiliwa ukweli lakini ukweli wanawukataa wanakimbilia wanao hubili uongo ,paschal mungu akulinde
@samwelandrew38527 ай бұрын
Ukweli upi sass
@tinamkeko1926 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi asiekuelewa hatoelewa tena
@athanacnicholauc35558 ай бұрын
Naendelea kujifunza vitu vingi kutoka kwa watumishi wa MUNGU. MUNGU akubariki sana mtumishi katika kazi yake
@user-zz9gr1vd9h8 ай бұрын
Haombi hela ila ni sadaka kwaajili yakisaidia injili iendelee kwa njia ya mtandao watu wengi waifaham kweli ya Mungu maana. watu wanapotea bila kijua wanakoenda. haweki mgukoni mwake Mungu akubariki endelea kuipigania injli ya kweli
@GeophreyJames6 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@Rashid-vm1fk8 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Bwana,wenye akiri tunakufahamu wasio jua maagizo ya hawa majamaa (devil agents) atasumbuka sana Mungu awafungue fahamu zao.
@IvanRugogo2 ай бұрын
Navutiwa sana na Huduma yako Mtumishi wa Mungu na Mungu akutie nguvu uzidi kusonga mbele na huduma hii
@andreauisso32257 ай бұрын
Hongera sana Baba kwa kusimamia ukweli ni wachache wenye uwezo wakuwasema manabii ya uongoo
@user-ii1qk9xn9z8 ай бұрын
Umebarikiwa kuwaliko wote mtumishi. Unawakomboa wengi sana waliofungwa mioyo yao. Na kuzidi kutufundisha kujua mengi yaliyofichika. Bwana mwenyezi, neno lako linasema wale wakuchao na kufurahia kutii amri zako watafurahi milele. Ninakiri kwamba mtumishi atakuwa tajiri zaidi rohoni na mwilini na matendo yake mema yatadumu milele. Ninaamuru kwamba amani yake ni kubwa na utulivu wake hautasumbuliwa kamwe. Bwana kawafanye adui zake wanaoinuka dhidi yake kwa njia moja au nyingine kushindwa na kukimbia kwa njia saba kwa jina kuu la Yesu kristo.
@modestamashoke90387 ай бұрын
Ni kweli kabisa mtumishi
@omasogreatfamily53958 ай бұрын
Tangu nianze kukuskia MTUMISHI wa BWANA,umenifunza mengi na kuniamsha usingizini. Mungu na akupe uzima utulishe chakula kinachofaa kwa wakati wake🙏 step by step with you servant of God to the day will hiding for life bcoz of Christ of Nazareth🙏 following u from Kenya in the name of Jesus Christ 🙏🙏
@user-rj2sh1hg4f8 ай бұрын
Mchungaji asante sana kwa ujumbe huu nakuombea mungu aendelee kukushika mkono unapoendelea kuhubiri kwa mataifa yote barikiwa sana ,ata watu wakucheke na kukukujeli usirudi nyuma endelea mbele ni linet toka kenya nabarikiwa sana kila siku kutokana na ujumbe wako kuhusu ukweli wa kurudi kwa yesu mara ya pili
@bettykinyami5096Ай бұрын
Mungu sio mungu
@WorshippersofGodarmy-ot1mk8 ай бұрын
Nawapenda sana watumishi wa mungu vijana wa yesu kama, mtalemwa, wa kanisa la ECCG anasubiri injili sana yenye maalifa isiyochanganya na uchafu, wa kinafiki
@gladnesnghwasa26706 ай бұрын
Hakika
@ardokipundwe946 ай бұрын
Mungu akusaidie mtumishi uzidi kutufungua Zaid na Zaid tupate kuelew aminaa
@RedSun-ms2zq3 ай бұрын
Pascal toka kitambo uko na mungu mwinjirist mungu atuokoe kwa kweli
@ulayaz6 ай бұрын
Mtumishi mungu akujaalie upate afya ya kupambana na matapeli
@tvt14576 ай бұрын
Neno la Mungu litasimama milele halitobadilika hata wanadamu waliwekaje shida tunapenda miujiza kuliko kujua neno la mungu linasema nini katika ahadi baraka na mafanikio kutoka kwa mungu ….. mjue sana Mungu ili uwe na amani ndipo mema yatakapokujilia hatuhukumu watu wanavaa mavazi yawapasayo wanaume wanaingia makanisani na wachungaji wanaona ni sawa kikubwa wapate baraka sio sahihi
@YvetteBafunyembaka2 ай бұрын
Wewe ni Mutumishi wa Mungu baba, neno la Mungu linasema mutaijuwa kweli nayo kweli iyo ita waweka ninyi kuwa huru. Mutumishi wa Mungu wao wenye kupinga maneno haya unyo yasema ni vipofu wa macho na roho
@user-yk1hb6xk6r6 ай бұрын
Hongera sana ndugu Mungu hakulinde
@erickrao8 ай бұрын
God bless you so much jesus will protect you man of God bila kuogopa chochotete tobua siri zao Wana pagawa waomini nakuzuia mengi kukosa kujua ukweli🇰🇪
@fidelajackson27238 ай бұрын
Nakuelewa sana mtumishi wa Mungu wa kweli.endelea kuusema ukweli nina imani wapo watu watatoka kwenye hizo kanisa za wa tumishi wa shetani.
@mpesastatements22658 ай бұрын
Amina mtu wa mungu ubarikiwe sana endelea kufungua watu sana
@user-bg4fr8qd4y7 ай бұрын
nëno la mungu ni upanga mungu akubaliki mtumishi paschal usikatishwe tamaa na wapumbavu mana wao husema hakuna mungu
@omasogreatfamily53958 ай бұрын
Njia ya Yohana mbatizaji si rahisi lakini naamini Bwana atakulinda hadi utimize kazi yako🙏
@user-cx8ne3nv6m6 ай бұрын
Ukweli lazima upingweee, paster mung akuinuee, n uzid kumuomba mung zaid.wwnaokatisha Tamaa wapo adi kwenye comment,,, ila s mbaya at kiping cha yesu walikuwepo.
@bettykinyami5096Ай бұрын
Yesu sio Yesu, Mungu sio mungu
@bettykinyami5096Ай бұрын
Yani herufi kubwa tafadhali YY. Mm
@annaamadeo-ge2dd8 ай бұрын
Mungu aendelee kukutetea mtumishi. Maana hii ni zaidi ya vita
@mariammnanka34048 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu azidi kukutumia ili wengi tufunguliwe ufahamu,maana walio wengi wamefungwa ufahamu hawaelewi,Malaika walinzi wakulinde usiku na mchana
@pascalmtivike8 ай бұрын
Hii ni Vita sana Mungu akulinde mtumishi wake
@jamesmulatya77097 ай бұрын
Kasiani naamini unaweza kukutana na shetani ana kwa ana ila huwezi kukutana na Malaika wa Mungu ana kwa ana. Waliopikiwa chakula wakielekea kuichoma Sodom na Gomorrah walikuwa nani?
@lumierejason50195 ай бұрын
Walikuwa ni malaika Walikuwa na meili wakinadamu
@user-ji2ks9ex9s7 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu mtumishi wa kweli❤❤
@user-fn3me3qj2s5 ай бұрын
Nakubaliana na wew mtumishi wanatupotosha sn mi sijawahi kuona Kama Kuna maombi ya Bei Kama mwamposa
@user-uw5wy2yj8d7 ай бұрын
Mungu akihifadhi zaidi na zaidi mtumishi wa Mungu asante sana sikujua jaman,sasa naelewa
@martinahlighare64958 ай бұрын
Truly i believed these man , Geodavi, vile anatoa pesa kuwapa watu ni jambo jema. Ila nimejifunza mengi kupitia kwako mwinjilist. Mungu aturehemu tunaoamini kila madhabao ya miujiza.
@KakumbaElisha7 ай бұрын
❤kwakweli ubarikiwe kwa ushujaa ulio nao na mahamzi mazito uliyo yachukuwa❤kwa kuweka mambk yote wazi pia na Mungu akutumie zaidi mpaka kieleweke Bwana akubariki sana Mtumishi
@stellalochodo91637 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu,Mimi nakuheshimu sana,ila tu ,natofaitiana nawe kwa kukutana na Mungu (Kupitia Kristo Yesu,) Yesu na malaika hutokea watu , Kibinafsi nimekuwa na maono Mara tatu,Yesu akinitokezea ,hila hitokea kiroho ,anajidhihirisha visawa kwa yule anakusudi naye kwa muda huo!
@faithfaith-zr6gz6 ай бұрын
Simuelewi huyu jamaaa ni tatizooo wangemjuaaaaa!!!
@user-jv1qw8rw3k8 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi kwa mafundisho mazuri
@user-bp4wv4jo2i6 ай бұрын
Kuna ukweli juu ya hii jambo pascal analiogelea,ni kweli hakuna aliyemuona Mungu wa majeshi ,mkuu WA uumbaji wa kila kitu ulimwenguni na malaika viumbe viko karibu sana na Mungu huwezi iishi utakufa
@user-ji2ks9ex9s8 ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu nmeanza kukuelewa
@officialkinghimself26378 ай бұрын
Mungu akubariki katika roho na kweri
@jonassamwely7 ай бұрын
Mungu akutie nguvu daima na Mungu akibariki una vita kali sana
Wanaadamu tusiwe wavivu Mungu anapatikana Mithali 8:17. Tumtafute. Injili ya Bwana Yesu alianza kwa TOBA. Kizazi cha leo Mwalimu wetu ni nani. Uvivu wa KUTOSOMA na KULITAFAKARI NENO LA MUNGU. MARANATHA.
@jameschilongwe76207 ай бұрын
Weka hoja mezani Mungu mwenyewe atajua siku ya mwisho ngano ni ipi na magugu ni yapi.
@YvetteBafunyembaka2 ай бұрын
Watumishi ambao wangali na tembeleya haki na kweli ya Mungu ni wachache sana
@emilyrissling97036 ай бұрын
Kanisa limefika mahali pagumu, wakristo wamepotea kwa kutaka miujiza, kutabiriwa, nakadhalika,ila bibilia iko wazi siku za mwisho watatokea MANABII WENGI, NA WATAPOTEZA WENGI, JE UNAYE mfuata anatumia bguvu za mungu au nguvu za shetani? Asabte sana Brither Casian jwa kufungua Dari ukweli ujulikane,
@revocatusbahatibussiah52018 ай бұрын
Mtumishi upo sahihi asilimia mia...... Wapo watu wengne huwa wanaenda kwa manabii Hawa huku wakiwa wanajua kabisa!!! Unayoyasema yameandikwa kwenye biblia kabisa....ila sijui watu wanasoma wapi na hawajataka kumfaham YESU.. kingne wanaotaka mafanikio kwa muda mfupi ndo wanaokimbilia huko. Siku za mwisho shetani atakuwa anafanya maigizo ndo kqmq hivyo. Huyo n muongo ila watu hawajui!!
@user-dy9ht1on7y7 ай бұрын
Sawa tume kuwerewa ira kaa ukijuwa usimuukumu mtu yoyote apaduniani subiri mungu ndio atakae waukumu tafa thari acha kuwasema watu chamusingi tufundishe neno ra mungu kaka mbona ivyo kwani unaubiri au una waukumu watu
@RedSun-ms2zq3 ай бұрын
Amewasema wapi yeye anasema vitu vya kweli ili tusiendelee kkukumbatia manabii wa uongo
@IvanRugogo2 ай бұрын
Wala hata ajahukumu mtu hapo soma ISAYA 58:1 Utamuelewa anachozungumzia
@SelinaDorcas2 ай бұрын
Ingia dip na utafakari anayo yaongea
@WorshippersofGodarmy-ot1mk8 ай бұрын
Sasa nimemariza kukukosoa kwa uongo wako, nategemea massege zako za kunitisha, maana wewe hutaki kukosolewa, kama yule mwenzio nilimpa maonyo sana naye akaanza kunitishia, mwisho wake akatishiwa mwenyewe,❤❤❤
@user-dy9ht1on7y7 ай бұрын
E
@emanuelmkama13252 ай бұрын
Uongo upi apo
@SelinaDorcas2 ай бұрын
Ww haona la kusema
@SelinaDorcas2 ай бұрын
Ww hauna lakusema
@PrinceHendry-hp8vv8 ай бұрын
Pambana na shetani na watu wenye dhambi wamjue yesu kwa watumishi hutaulizwa chochote coz sio kaz yako
@RedSun-ms2zq3 ай бұрын
Ndo mliokamatwa na roho za kishetani kwa hiyo ashindwe kukemea maovu
@PrinceHendry-hp8vv3 ай бұрын
@@RedSun-ms2zq Huna ufahamu
@HopefulFlower-sn4kg6 ай бұрын
KAZI YA MUNGU NI KMHUBIRI KRISTO WATU WAJE KWA YESU. WIVU UMEWAJAA KILA KUKICHA UNAWAHUBIRI WATU. ACHA UTAAHIRA.
@YOSHUAMWAMPETA7 ай бұрын
Mwamposa hana watu BALI WATU NI WA MUNGU NA Mungu ndiye anayewaleta kwake kwa njia hiyo ili WAMJUE YESU KRISTO WA NAZARETI.
@MariaMdemu-xt5cv7 ай бұрын
Mungu atusaidie , tujue watumishi sahihi ambao wametumwa na KRISTO , muujiza ndo inawachanganya wengi ,wanaposikia kunakupokea gari au nyumba wanajua ni Mungu , kumbuka Mungu hawezi kukupa kama hufanyi kazi jibidiishe na Mungu atakubariki Kwa kile unakifanya ......
@floramongi14106 ай бұрын
Asante maria mdemu
@user-ij8je9eg4t7 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu
@paulnabiikakule6 ай бұрын
mimi ni mutumishi ila ndungu yangu huyu ambaye anatukana mutu anafatana namaisha yake mwenyewe siyo kufwatiliya maisha yawatu katika bibia hauzungumuze kutukana ila inasema tutawatambuwa kwamatendo ila matendo haya yamatukano siyo vizuri usiwaharibiye wengine sifa ili wewe ufaulu,tuhubiri habari njema siku hubiri njina lamutu ila yayesu kristo hiyo nitama u
@user-uw5wy2yj8d8 ай бұрын
Yaani sasa hapa ndyo naelewa ubarikiwe sana Paschal sana
@simaojacintojumane32028 ай бұрын
Deus te abençoe e continua te usar muito mais
@user-ii1qk9xn9z7 ай бұрын
tu laisses qui tranguille? et pour utiliser quoi?
@barakamkofiwa7 ай бұрын
indeed mwinjilisti uko sawa kwa upeo wangu na nilivyo isoma Biblia kitabu kizuri chenye mwongozo wa safari ya mbinguni.
@emilyrissling97036 ай бұрын
Assnte mtumishi kwa huu ufunuo,
@user-ys2eg6dz9v7 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
@evelynetitus9747 ай бұрын
Hubiri neno sio watu
@gracekagoma32317 ай бұрын
Tunawajitaji watu kama hawa.Wafungue macho hao vipofu ndugu.E n delea kuwafundisha.vipofu .❤
@henrysizya2398 ай бұрын
Kwa sasa nimeanza kuelewa kuhusu haya mambo! Kipindi nasoma sekondari zaidi ya miaka 15 iliyopita nilikuwa natamani sana kwenda Dar es salaam ili niende kwenye moja ya haya makanisa ambayo wayumishi wake huwa wakiwashika watu na kuanguka chini. Nilitamani sana niingie kanisani nikae mbele nione kama naweza kuanguka chini. Nahisi ulikuwa ni utoto ambao ulikuwa unanisumbua kwa sasa naamini kabisa ninaweza kuanguka chini vibaya sana. Mungu atusaidie
@AshrafuJonny-sz4gs7 ай бұрын
Kweli kabisa ubarikiwe kwa kutujulisha matapeli
@issayarashid98457 ай бұрын
Fedha Mali na Dhahabu vyote ni vya Bwana ....
@janemhangomhango58416 ай бұрын
Amen Pascal nakuamin hakuna Nabii waukweri
@rahabnkya82767 ай бұрын
MTUMISHI wa Mungu Cassian wewe UNAJUA unachosema juu ya watumishi wenzako. Yu mkini Mungu amekupa nguvu ya kuwasema, basi judgement ni kwa Mungu tu, hatuna woga kusikiliza pia, tuko darasani siku zote. AMEN BARIKIWA nawe.
@mabondolawrence18127 ай бұрын
Hajamhukumu yeyote huko sahihi
@RachelSimon-wj3pu7 ай бұрын
Usiogope kusema ukweli juu ya kristo yesu watu waokolewe
@floramongi14106 ай бұрын
Afanyae kinyume na maandiko sio mtumishi wa Mungu acheni kuwaita hivyo hao ni mapepo
@nathalieswedy36537 ай бұрын
Kama mapepo yanatambua Je MUNGU hatambui mmmh shida ni kufukiri MUNGU hawez ubiria watu wasio mjua mungu wamjue acha kuwatoa waliomkir yesu km anatambua kupitia jina la YESU mbona km unateseka
@blessedEmmanuel-mm4sn6 ай бұрын
Kama Mungu hajakupa neema ya kua nabii, nabii ni spirit so kama huna kaa kimya, wewe ni mchungaji, chunga kondoo wa Bwana, wewe ni mwinjilist hubiri injili watu wamjue Mungu, huna karama ya ya unabii au ya kitume kaa kimya acha poyoyo, insuch anaepaswa kuhukumu ni Mungu siyo mwanadam, wewe huna lolote kasome bible acha alolo apeche
@GeophreyJames6 ай бұрын
Nabii gani anaruhusu mabinti wacheze uchi kwenye madhabahu, hata kwa akili ya kawaida tu haikubaliki
@loycep77858 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi kwa kusema ukweli wa Neno ili watu wawe huru Maana wakiijua ile kweli itawaweka huru kweli kweli Jipe moyo mtumishi hatakuacha yuko na wewe popote pale unapopeleka ujumbe
@shadidusalim22468 ай бұрын
Nikweli MUNGU amfunike kwadamu yake
@GamalieliMusembi-wv6sg8 ай бұрын
Daaah!!! Sawa Tumekusikia vyema huwa nashindwa kuwaelewa hao wanaosema hawakuelewi.... Mbona unaeleweka vyema sana!!! Shida nini? Yani me mwenyewe sijaokoka lkn nakuelewa mno na nataka niamue kuokoka rasmi nianze kuishi maisha ya uchaji Kristo... Sasa hao nikwann hawakuelewa??? Daaah! Semann Cassian usichoke ndugu yangu wala usivunjike moyo kabisa.. Me mwenyewe umenisaidia sana wala nisikufiche pia naomba unikumbuke kwenye maombi tafahdar sana nakusihi mkumbuke.. Natamani sikumoja nikusaidie kazi ya Kristo kupaza sauti ya hekima ya Mungu... Pia nataka nimpokee Kristo kwakweli... Naitwa Gamalieli Musembi plz nikumbuke uombapo Cassian plz roho yangu inakuamini ww kua nimjumbe hakika wa Mungu wa mbinguni Jehova.
@mackfasonmoshi46298 ай бұрын
Daah!!! Ndugu yangu G. Musembi.. nimekupata kaka. Nakuombea uokoke kaka. Utajua mengi zaidi. Huyu Brother P C anayo mengi mazuri japo baadhi hawamwelewi..esp hili la "kushambulia"....Barikiwa..
@GamalieliMusembi-wv6sg8 ай бұрын
@@mackfasonmoshi4629 Mungu wa mbinguni akubariki sana ndugu yangu..
@user-eu6ql9zl7n8 ай бұрын
Ufaham unakamatwa bdio maana hawaelew ombea faham za watu
@nenolauzima52818 ай бұрын
Wasioekewa wamefungwa wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii...
@NeemaPaulo-iw3gi7 ай бұрын
Amena m2mishi ufahamu we2umefungwa kabsa nakuelewa sana
@selestinimassawe36017 ай бұрын
Yesu akupiganie mtumwa wa Yesu
@ParteAfter36007 ай бұрын
Mtumishi Kuna nyimbo ya ajabu umeimba chorus inasema "twahitaji msaada wako" Ni nyimbo ya baraka kubwa sana. Shalom
@allanlyombile70147 ай бұрын
Wewe unasema nabii mkuu anafanya miujiza kwa nguvu ya mapepo na mafarisayo walisema Yesu anatenda miujiza kwa nguvu za belizeburi mkuu wa mashetani, swali kwani wewe na mafarisayo mmezaliwa mapacha? kwasababu mawazo yenu yanafanana mnasema Mungu hawezi kutenda miujiza mikubwa ila shetani ndiye mwenye uwezo wa kutenda miujiza mikubwa, UMEFIRISIKA MIROHO.
@kingsolomoni-xp3dv7 ай бұрын
Nani kakwambia ukiongea kwa kupiga kelele ndio tutakuelewa 😂😂😂 achakelele 😂😂 ongea kistarabu
@user-uf7vr4ju4s7 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi laiti tungepata mtumishi kama huyu kenya❤❤❤❤❤
@hellenagati94987 ай бұрын
Wapo ni wewe huwajui
@GiftMwawasi-cn4fg6 ай бұрын
Tafadhali kilicho Cha maana kwako ni kufundisha hilo neno la mungu wako na Wala sio kumuongea mtu mwingine.huo muda wakumsema mwingine.
@mercyetago40207 ай бұрын
I like the way you imitate tgem. Very funny.
@Magufuli.8 ай бұрын
Mungu azidi kukutia nguvu ili uendelee kuwakaba kooni.
@samwelandrew38527 ай бұрын
Akukabe wewe na familia yako
@EmmanuelNyinyigwa7 ай бұрын
Mtumishi napenda NI kuskilize Sana shida unaonge kwa sauti Sana kwani ukitufundishi kwa sauti utaratbu hato elewa?
@user-sk9zr4bn2k6 ай бұрын
Ubarikiwe Sana soma yohana 15:1:5
@gasparlubaga58667 ай бұрын
Mtu wa Mungu nakuelewa sana
@michaelmasalago80687 ай бұрын
Duu kwakweli ndugu pascian umeninitoa usingizi ktk ulimwengu huu wawahubili feki, unaongea ukweli. Hongera Kwa kuashuhudia hayo.
@thobiassamwel40776 ай бұрын
Acha upoyoyo wewe,Yan kila mtumishi mwenye nguvu ni freemason kwan Mungu yeye hana watu wake jamani.Hapa kuna chaku jifunza na tuwe macho tu mi sina shaka na watumishi wa Mungu,God is good all the time🎶
@rosemarynyakamo30516 ай бұрын
Kuna point za Msingi Apo kweli Mungu hawezi kuonana na mtu Ana kwa Ana
@SelinaDorcas2 ай бұрын
Ivi ww ukimuona yesu ana Kwa ana utakuaje
@jewelmabhenga47427 ай бұрын
Sasa Yesu kukutana nae ni ajabu kwa mtumishi wa Mungu. Yesu anatokea kwa jinsi ya mwili na amewatokea watumishi wake wengi tu. Yohana mwanafunzi wa Yesu ametokewa na Yesu kwa jinsi ya mwili. Soma ufunuo mtumishi. Halafu kazi ya Mungu kama ni yake huwa haikomi na Mungu siyupo Mungu atawashughulikia mwenyewe toka umeanza kusema sijui unashida gani na unataka kuharibu nini haya wewe mwenyewe utajua. Mwisho ndio maana kazi ya mungu lazima mwende shule sasa wote wakianza hivi mwili wa kristo utajengwa
@user-mp8tk1gj1w7 ай бұрын
Cassian anaongea kweli kwa sababu yey katoka huko kwenye freemason so amewaona huko kwahiyo ata ile ajali freemason walitaka kumwuua kwa sababu katoboa siri
@KokolikoKokoliko6 ай бұрын
Uyu awe freemason wawapi ww
@kelvinyesaya33047 ай бұрын
Ubarikiwe
@neemamarko1768 ай бұрын
Barikiwa
@ombenisomi22106 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu Cassian, nyakati za Musa bado neno la Mungu halikuwa limefanyika mwili, hakukuwa na Yesu aliyefunuliwa kwa watu ambaye alikua kwa namna ya binadamu wa kawaida. Ila nyakati hizi Yesu Kristo anaweza kumtokea mtu, nasema tena INAWEZEKANA. Nenda jifunze kwa mtumiahi wa Mungu Keneth Hagin. Vinywa vyetu vinaweza kufuta Mungu kufanya miujiza mengi maishani mwetu, tutunze ukiri wa vinywa vyetu. NB: Siafiki maneno na maono ya Geor Davie
@denniskitongamutie53327 ай бұрын
Mahubiri yako makavu sana hayana hata roho wa mungu....mtumishi hubiri achana na wengine na utabarikiwa
@bettykinyami5096Ай бұрын
Acha aseme ukweli watu wanapaka kwenda Mbinguni waokolewe, sio kupenda miujiza lakini huna mahusiano na Mungu
Ww waonyesha wajua...mm nakuombea Kwa mungu akusamehe😅😅😅
@SelinaDorcas2 ай бұрын
Ww waonyesha wajua...mm nakuombea Kwa mungu akusamehe😅😅😅
@johnmasalu24357 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu unahubiri vizuri lakini jitahidi vizuri sana, nashauri uwe unatoa mafungu husika na mahubiri yako-barikiwa na Bwana
@iamdivineimage7 ай бұрын
Hana reference huyu ni mwanasiasa
@floramongi14106 ай бұрын
@@iamdivineimageAcha ujinga tulia ujifunze Cassian ni mtumishi wa Mungu
@iamdivineimage5 ай бұрын
@@floramongi1410 Nikuambie kitu, kama wewe ni msomaji mzuri wa neno la MUNGU utajua kutofautisha kati ya Mtumishi wa MUNGU na mtafuta Kiki..... Toka anaanza huduma alianzia na kiki ya kuwa yeye alikuwa freemason mara alikuwa mchawi na akawa anahubiri kuhusu hayo but baada ya soko kubadilika kajiingiza kwenye kuponda Watumishi maarufu...... Ni wapi imeandikwa kuwa hilo ni jukumu lake ikiwa Yesu mwenyewe alisema, "yaache magugu na ngano vikue pamoja"? Kumbuka Mtume Paulo naye alisema, iwe kwa kheri au shari ni lazima injili ihubiriwe.... Kikubwa ajikite kumhubiri Kristo na siyo kutafuta Contents
@user-uc2rc1kz4x7 ай бұрын
Daaa unafundisho mazuri Sana mtumishi
@dailantz40737 ай бұрын
Unaigiza hata wewe wewe kakupa mamulaka nani wewe nawewe unatafuta jiya yako naomba unijibu himendikwa yesu halise usimkuu mtu kwabra ujaukumiwa
@faithfaith-zr6gz7 ай бұрын
Pascal wewe nitapeli tunaokujua utusumbui, Umesha changanyikiwa kitambo sanaaa.. Kazi kubaka watu kwenye studio yako
@nasrahgdjuma9307 ай бұрын
Because he’s telling the truth? 😅😅😅😅 I am not surprised even the Pharisees said Yesu ni tapeli ni muongo watu wasi fallow Yesu and guess what Jesus had 11 followers upo ndo ujue many people like fake prophets kama wewe
@regnaldymambaly98807 ай бұрын
47:08 teme ulimi mate,unadhubutuje kuongea upuuzi kama huo
@Jacklinjohn-cr4vs7 ай бұрын
@@nasrahgdjuma930 hahah nimecheka yangu yote leo ..duh
@faithfaith-zr6gz6 ай бұрын
@@nasrahgdjuma930which truth???
@nasrahgdjuma9306 ай бұрын
@@regnaldymambaly9880 well that’s how it’s we might not like the truth and do what we like. Ila kwenye ukweli usimwe tu 😂🤣🤣
@NorahAlex-iz7mt7 ай бұрын
Naendelea kujifunza mungu tusaidie
@SilviaRafael-mc5ki7 ай бұрын
Mungu mwenyewe ndo atakaekuja kuhukum ila sio binadam
@sifamalinga18166 ай бұрын
Acha magugu na ngano viote pamoja unani wewe unayehukumu unayenyosha kidole kwa wengine bado sana bro acha hizo wewe ni feki wajanja hatujakuelewa tulia ufinyangwe utengenezwe Yesu kristo kama alama yetu hakuwa na swaga ka hizo hebu mfuateni kristo jamni acheni kupalamia SI WOTE WANIIYAO BWANA BWANA WATAUONA UFALME....ATASEMA ONDOKENI KWANGU SIWAJUI
@user-zk8eu7jz6v7 ай бұрын
Nakuelewa sana
@valenakomba92187 ай бұрын
Aminaa. Ni kweliii kabisa.
@user-cp7ci3tm2r6 ай бұрын
Wasema kweli mtumishi !! Sema yote, aminiye ataokoka, asiyeamini ataamini akiwa kuzimu katika shimo la Moto.