inasikitisha sana kuona sasaiv Kila mtumishi wa Mungu unatumia picha yake kufundisha mafundisho ya wanaotumika na shetani. Nakuomba sana mtumishi Muombe Mungu akupe ufunuo wa kiroho kuwajua lakn sio kueka Kila picha. Mfano pastor Chris ni mtu wa Mungu kabsa na anasimamia kwa nguvu sana injili ya Mungu daah inaumiza sana kuona umeeka picha yake hapa. lakn pia waambie basi na watu watumishi wakwel unaowajua Leo maana watu unawaacha njia ya panda na ukwel hata Sasa bado wapo watumishi wa kwel Mungu anawatumia
@sakakajouf59004 ай бұрын
Amen nasikiza maubiri yako yananifuza mambo mengi sana
@mercymamuya78447 ай бұрын
Haleluyah ni ukweli kabisa laiti ningejuwa hili tokea ujana wangu. Mungu akulinde sana mtumishi wa Mungu.
@MtazameKristoTv7 ай бұрын
Aisee kumbe kila anaefanya miujiza sana kwako ni Mtu wa Shetani, akina Pastor Chris mafundisho Yao Yako strict ni injili ya Kristo sema kila ukiona miujiza ni mingi unaingiwa na mashaka ❤❤❤
@KayingaJailos6 ай бұрын
Na hiyo ndio doubt yangu kwake
@evelinadodie94436 ай бұрын
Wanafanya kazi kwasiri sana hadi uwe na Roho wa Mungu Ili akufunulie au utawatambua hata kwa matendo yao ya mwilini mpendwa
@MtazameKristoTv6 ай бұрын
@@evelinadodie9443 Mimi Nina roho mtakatifu na ananishuhudia pamoja nao, kuwa wao ni Wana wa Mungu sawa na Mimi na wanatenda miujiza sana
@neyjames75297 ай бұрын
Sema mtumishi sema wenye masikio na wasikie Mungu afungue masikio ya walio wake yaisikie sauti hiii
@romanusmasanja1157 ай бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi.
@GamalieliMusembi-wv6sg7 ай бұрын
Daaah.. Muirsael kweli kweli.. Kifua kilichobeba chepeo ya wokovu. Umesimama kama mwanasimba... Wacha tuchangie huduma
@epmzmusifiwar66947 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi WAMUNGU ALIYE HAI JUU ZAIDI MBINGUNI AkutiyeNguvu Zaidi
@user-sv4rf2rz1y7 ай бұрын
mungu akutiye nguvu mtumishi
@user-ts8po9rz1n7 ай бұрын
Kwakweli Mungu mwema sana Mtumishi Mungu atusaidie sana
@neyjames75297 ай бұрын
Mungu azidi kukutumia na akulinde hakika
@user-ji2ks9ex9s6 ай бұрын
Amen ubarikiwe sana mtumishi Mungu akupe maisha marefu
@BintiMwambapa-ev6kw7 ай бұрын
Mtumishi pascal, Bahati bukuku yupo kupotosha watu, et urembo ulimfanya mwanamke kahaba apate kibali kuingia mbinguni, yaaani kwamwita Bwana YESU, et jamaa alipoona urembo wa yule kahaba alishawishika akasema wewe over mbinguni moja kwa moja. Please fatilia
@jovettedenise25917 ай бұрын
Asante somo nzuri rakini watu walikuwa wanapendana arafu wakifika kuwowana razima ikiwa wako dini tofawuti muke alikuwa amugewukie mwana wume abatiziwe dini yamume ndo wanakuwa pamoja kwasababa imani tayari nimoja.
@millicentakinyi55047 ай бұрын
Amen amen. Amen😂😂😂nikweli mungu atulide naulimwenfu😢😢
@FurahaExpress7 ай бұрын
Mungu akubariki mutumishi
@DeborahMugisha15 ай бұрын
Shetani aliyekutuma kutupoteza Hana nafasi Wakati huyu Acha kupoteza muda wako kwenye mitandao
@agnessima50326 ай бұрын
Lakini Yesu huyohuyo alisema mwisho wa siku kutainika mitume na manabii wapinga Kristo....mmojawapo ni wewe.😢
@evelinadodie94436 ай бұрын
Mungu akusaidie
@evelinadodie94436 ай бұрын
Mungu akusaidie
@sarahamri16207 ай бұрын
Mungu anatupenda jamani
@SifaMwakisambwe-kn3yl5 ай бұрын
Mtumishi hatutakiwi kuwasema watumishi wa MUNGU. Hubiri neno acha ngano na magugu viote pamoja MUGU anawajua waliowake.
@frankbeyanga98417 ай бұрын
Barikiwa xana mtumishi wa kweli wa mungu
@JohnstoneMutunga-hb3xn7 ай бұрын
Mungu akutie nguvu mtumishi
@user-mn2hb7xt9k7 ай бұрын
KAZI unayo kasian waombee sasa wa mungu utakuwa umewasaidia kuliko kila CK maneno yako
@jeniphermyingajeniphermyin80296 ай бұрын
Mimi namkubaligi sana huyu mtumishi,,lakini kitunbacho nashindwa kumwelewa mbona watumishi wengine wote anawaona waongo.Hata Kama ilitabiriwa watakuja Nabii wauongo,lkn Sasa ndiyo wote waliopo waongo?
@BerylSeer17 ай бұрын
Mimi Nika Dhani mnyama ni Joka, haaaa mimi sio mpagani
Mhhh! Mama wa dini zote...ACHA UWONGO PASCHAL....unatafuta waumini kwa nguvu....😢 halafu kuhusu walokole enzi za kina Paulo walitoka wapi na ukatoliki ndo ulikuwa umetawala?? .....Hata Nebukadreza aliua, akakufuru na akaongoka.
@DonDesdery5 ай бұрын
Kwan umelazimishwa kuamin?
@prof.normanking73197 ай бұрын
Hongera sana
@judithnjunwa66686 ай бұрын
Jamani jamani,,,,hakuna kugandana ika chapa ilale,,,,eeee MUNGU tusaidie
@gmbrown14297 ай бұрын
Sasa mtumishi paschal sizani kama utakua ujaona video ya bahati bukuku. Amedai kua urembo unaitajika mbinguni, yaani ata makalio navyote kama make up. Chtistina shusho, umemupa vidonge vyake 👍tamaa iilikua imemzidi. Bahati kakulipa mbona ujamripua?staki unipe wasi wasi mtumishi
@oficialtebo8967 ай бұрын
Mtumish wAmbiee watu wamegeuza mungu Kama kityu Cha kawaida sku ipo
@JohnstoneMutunga-hb3xn7 ай бұрын
Hiyo hapana mnajidanganya wenyewe
@jeniphermyingajeniphermyin80296 ай бұрын
Lakini sasa kwann umewaweka hao watumishi picha zao hapo,mbona kati yao hapo wapo wanahubiri vizuri hawatoki nje yaneno,mimi nakukubali sana,lakn kwakiweka picha zawezio nahuku ukihubiri mambo yanayowadanya waonekane wao niwauongo wote mimi hapo hapana mtumishi,siyo sahihi.Kama weww unafanya hivyo hauoni unachukia nafasi ya Mungu,Mungu afanye nn sasa.Wapo wanaosimama katika neno pekee kufundisha watu,lkn kwann unawaona waongo wote mkweli peke yako,mmmmh Mbingu sote tunaitaka lkn Mungu tusaidie,maana unavyowasema vby watumishi wengine kunawashirika wanaamua kuondoka nakuacha lmani mara baada tu yakisikia kiongozi wake kasemwa vby,ama kawekwa picha yake hapo,katika mapokeo ama uelewa wakulipokea jamno tumetofautiana.
@hadijagoyandi76035 ай бұрын
Tunachangia huduma
@DonDesdery5 ай бұрын
Anazungumzia umoja na umoja huo utataka kuwaunganisha na wale wazuri ,
@DanielMichael-fq6br4 ай бұрын
Uyu Sasa ndo mtumishi wA kwel mi nawambieni tusome neno kwenye bibilia
@DeborahMugisha15 ай бұрын
Uyo ni wivu unakusumbuwa ndiyo Sababu unapiga Kelele kwenye mitandao Na kuingiliya Mayisha watumishi wa ukweli wewe umechanganikiwa na sura Yako inaonyesha kabisa wewe ndiye mutumishi washetani na wa kristu wote wamekukimbiya
@mageselusambagula42586 ай бұрын
mungu atusadie
@DanielMichael-fq6br4 ай бұрын
Mim
@IsaacLameck-nz8yr4 ай бұрын
Hivi pastor Chris unamweka apo kwenye picha ni mtu wa shetani au unabahatisha tu
@DavidDanken-uf7kp7 ай бұрын
Du Asante saaana
@Pendopasilika7 ай бұрын
Ni hayari sana siku hizi hata makanisa ya kiroho yanaungana makanisa matano ila ni dhehebu moja hapo inakuwaje mtumishi ni vema au si vema
@Issa-ud6sy7 ай бұрын
Injili zipo mbili,ya Paulo yawasio tahiriwa na ya Petro ya waliotahiriwa,wewe unaifua ipi? Wagalatia 2:7
@user-ki6hk1wb2g7 ай бұрын
MUNGU akupe ujasili zaidi ili ukweli uhubiliwe watu wapone kipindi kigumu hiki
@pastorbonifacenjiku29557 ай бұрын
Kwanini umeweka picha za hawa wahubiri??
@martinahlighare64957 ай бұрын
😂😂😂 ndoa kamari. Nilidhani nitaoleka Tanzania, kumbe sio maana imani yangu haitaambatana nao. Itakua sijafungiwa nira sawa sawa. Mungu kwa mapenzi yako naomba usaidizi wa kukaa na marafiki wa imani maana hakuna shirika wa giza na nuru.
@esterpeter85567 ай бұрын
Msema ukweli
@marcodavid41837 ай бұрын
Sasa ndo umuweke askofu gwajima kwenye hilo genge ndugu yangu?....mbona wamchukulia poa sana....huyu ni mjoli wa Bwana...hata kama wamuona kakosea jambo muonye ila sio kumuweka kundi moja na magugu...usifanye hivo next time maana unakuwa unaushambulia mwili wa kristo....haitakuacha salama hata wewe.
@stephanomkongo46687 ай бұрын
Imeandikwa ijue kweli nayo kwel itakuweka huru
@magdalenapeter61067 ай бұрын
We huoni picha yake na yeye amejiweka?
@user-bt9cm4cj4i6 ай бұрын
Sika unachokisikia unakiamini, na sikila ushawishi unakuja mbele Yako unautendea kazi,zijaribun hizo roho
@agnessima50326 ай бұрын
@@magdalenapeter6106😂😂😂😂😂
@Issa-ud6sy7 ай бұрын
unaowasema ni makafiri wenzako ,maana wote sio waislam,kama nimoto wote mtaingia
@NUHUONLINETV7 ай бұрын
MTOTO AKILILIA JELA MPATIE
@user-hf9ei6oj7r7 ай бұрын
Huyu mtumishi amenifungua nakweli anaushuhuda mkubwa
@epmzmusifiwar66947 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi WAMUNGU ALIYE HAI JUU ZAIDI MBINGUNI AkutiyeNguvu Zaidi
@epmzmusifiwar66947 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi WAMUNGU ALIYE HAI JUU ZAIDI MBINGUNI AkutiyeNguvu Zaidi