Kuendelea kupata mafundsho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:- Facebook : / gospeltvshow Instagram : / chomozanews KZbin : kzbin.info?su... #ChomozaTv#Mwamposa#UwezaWaMungu.
Пікірлер: 131
@JescarMwakipesile12 күн бұрын
Ni mbaya sana watakatifu kutoelewana. Mungu atupe ufahamu wa Kiroho. Tuombeani tusihukumiane wala kudharauliana. Mungu atusaidie.
@matridaignas82553 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu,unamafundisho mazuri! Kupitia maombi yako nimefunguliwa na nimepona! Uishi miaka mingi
@jacklinebirusha2922 жыл бұрын
Mafundisho mazuri sana hayachoshi kusikiliza asifiwe Mungu aliyekuleta Duniani kwa jina la Yesu Kristo
@rehemashaban68584 жыл бұрын
Asante sana baba wengi wetu tupo siku ya pili mungu atutie nguvu kweli
@anordsakaya98524 жыл бұрын
Eeeh Mungu naomba nikitoka kwenye Siku ya kwanza unipaishe mpaka Siku ya tatu maana Siku ya pili inakatisha tamaa.Amen. @HATARI YA SIKU YA PILI.
Asante mtumishi kwa kweli mim nimekuwa nikiomba na kufunga lkin kazin kwangu ndo kwanza bos anazidisha chuki leo umenipa somo kumbe niko siku ya pili hakika leo nimeamka nimekata tamaa Mungu anisaidie na anisamehe kwa kukata tamaa kwangu
@christinewomanoffaith54792 жыл бұрын
Manung'uniko ni dhambi,yanaongeza uharibifu🙏
@emmymatigula48703 жыл бұрын
Asante MUNGU ALIYEHAI,nimepokea kupitia kinywa cha Mtumishi wako.Amina
@dorotheawilliam29822 жыл бұрын
Amina nimepokea nimepona na nimeshinda kabla ya kushinda pia Mungu naomba univushe haraka siku ya pili
@gracepaulo73543 жыл бұрын
Nabarikiwa sana mtume..nakupenda pia baba wa iman ubarikiwe sana
@kenethkayuni86582 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi waMungu uishi miaka 100
@WinWilly41624 жыл бұрын
Ahsante Apostle,nimejifunza kitu kikubwa sanaa
@elinemsuya86512 жыл бұрын
Duuh I like this man of God
@rehemaiyanga53343 жыл бұрын
Apostle namuelewa sana hakika kaletwa na Mungu haleluya
@mukembanyikalinda8908 Жыл бұрын
Mimi nayapenda saana
@graceasukile70292 жыл бұрын
Namuelewa sana huyu Mtumishi..hakika Mungu,azidi kukutumia..japo ni ngumu sana kueleweka na walio wengi..
@HelenaTembo-dz4pr Жыл бұрын
Ubarikiwe sana Kwa Kaz njema hata yesu wakuu wa makuhani wali msulubisha tupo pamoja
@mbassa5070 Жыл бұрын
Baba anahekima sana
@jengatech_tanzania4 жыл бұрын
Amen apostle
@aleckkinyoa65713 жыл бұрын
Ameen baba Neno hili limegusa full maisha yangu niombee nivuke salama siku hii ya pili
@JanethAmosi-i1f23 күн бұрын
Mungu akuweke mtume
@christinewomanoffaith54792 жыл бұрын
Safi sana,Bwana ana watu I jus love this revelation!🙏Yesu ni Mungu, hallelujah
@julianlaurent21073 жыл бұрын
Yaani mtume baba wa Imani wengi wamepona kupitia maombi yako
@stelladomani44294 жыл бұрын
Apostle nahitaji hicho kitabu.nguvu ya kuona ninacho kizuri sana. Mungu akubariki sana.
@prijoseph46655 ай бұрын
Habari Mpendwa
@Jasinthaamon8 ай бұрын
Ameeeeeeeeen 👏👏👏👏
@graysonkewe10042 жыл бұрын
Amen Baba, Asee am never the same
@MWAMASIMBI_TV2 жыл бұрын
This is deep Major
@user-nf9nw7xd6y7 ай бұрын
Mtumishi wangu pendwa Mwamposa amenipa amani na kuijua kweli
@ameniameni6173 жыл бұрын
Amen mtumishi kitabu cha nguvu yakuona kimenisaidia kuwa na Imani kubwa pia mafundisho yako yamenijenga mpaka sasa siogopi chochote .Mungu azidi kukuinua
@senimsangi677 Жыл бұрын
Asante sana mtumishi wa wangungu nimejifunza mengi na nimebarikiwa sana
@sarahmgaiwa88082 жыл бұрын
Barikiwaa mtumishi wa MUNGU
@zainatoji19653 жыл бұрын
Asante mtume nimepona magonjwa mengi kupitia mungu wa mwamposa ndoa yangu inapona mungu azidi kukupa maono
@hongeradulle15533 жыл бұрын
Aminaa naamini Nani nitapona kwa jina la yesu aminaa
@gladnessjoseph9847 Жыл бұрын
Mungu akutunzeee babaaa naponaaa kwa mafundisho tu
@vujadonald22446 ай бұрын
Bonge la mafundisho barikiwa mtumishi
@zulfafengu37836 ай бұрын
Mbona Sasa hivi chomoza mwamposa atumuon chomoza
@AshuraYasini9 ай бұрын
Ameen mafundsho haya nimeyaelewa mungu akubariki mtumishi
@carenhilary806710 ай бұрын
Haleluya, nimepata kitu zaidi ya Madini.
@mberwasevelian74068 ай бұрын
Mungu wa madhabau ya rise and shine bariki kazi ya mikono yangu nyota yangu ingae Kila niendako nipendwe nakila mtu nizidiwe mafanikio makubwa nimiliki pesa na Mali Kila nifanyalo lifanikiwe niwe tajili mkubwa ninuke nakuangaz Kila Kona nipendwe mpk nizidiwe
@Jasinthaamon8 ай бұрын
Jamani SoMo zurii mnoooo
@venitarugemalila929010 ай бұрын
Ameeeni nimepokea
@odethadeodatus59064 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi kwa mafundisho yako mazuri ya kutufundisha lmani .
@lavianaalbert90063 жыл бұрын
Kiukweli umenivusha sana sku pili nimekua jasri siogopi wala stajibizana na watesi
@dianamwakitega61113 жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu
@aloycekibiki96189 ай бұрын
Songa mbele mtumishi wa Mungu
@johnnjau202811 ай бұрын
Dah kiukweli nimejifunza sana
@pauloalex51522 жыл бұрын
Amna mtumishi
@amokizzymc7053 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtume mungu akuweke miaka mingi sana
@wordoffaithanddeliverencem43652 жыл бұрын
Neno la kweli kabsa
@pastorgodsonjohn85623 жыл бұрын
Kitabu kinapatikanaje hicho
@Rodahpaschal Жыл бұрын
Anaongea point
@mukembanyikalinda8908 Жыл бұрын
Ubarikiwe saana
@yasinijuma6646 Жыл бұрын
absalute mr. mwamposa
@jeressjohn91053 жыл бұрын
Barikiwa sana 🙏🙏
@benjaminlijongwa37153 жыл бұрын
Watesi wangu wa siku ya pili wajiandae kunishuhudia nikila Bata mbele yao siku ya tatu imekaribia
@pastorgodsonjohn85623 жыл бұрын
Mwambie dr sam akanyage chini ananinginia kwa kiti sjui haumii😂😂😂
@yohanayohana8882 жыл бұрын
Amen
@edykiwele8782 жыл бұрын
Duh una mawe yakujenga na kuokoa we noma
@elizabethkambi5221 Жыл бұрын
Mafundisho mazuri sana
@madatapeter22183 жыл бұрын
Amini kua ukiona unapata madui ndio utapa mafanikio kumbe nilikua sijui kumbee ukiwana maono nilazima upte madui ameni nashukuru Sana kwa kujua hii 🙏🙏🙏🙏ameni
@nzumimawa9853 Жыл бұрын
Kwa kweli Akili aliyonayo Apostle Mwamposa kama ni degree za duniani sijui zingekuwa ni ngapi. Naomba Mtumishi atutoletee hicho kitabu cha siku ya pili uchambuzi wake umenishangaza sana kwani si rahisi kama mtu wa kawaida anavyoweza kufikiri, cha nguvu ya kuona chenyewe kinanitoa jasho, I sometimes fail to read between the lines and keep on repiting.
@lilyrose79834 жыл бұрын
Ameen mbarikiwe sana
@aleckkinyoa65713 жыл бұрын
Ameen ndimi mrs Aleck
@simonielisha90413 жыл бұрын
Naelewa Sana Hapa unachokosema mtume
@kyaruzitz49944 жыл бұрын
MUNGU AWABARIKI SANA
@matridaignas82553 жыл бұрын
Ameeeeeen
@tezrantangeki58453 жыл бұрын
Amen! Barikiwa mtume! Unafundisha kwa umakini mkubwa,mno!
@semakogamtende39293 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi
@roselugendo69433 жыл бұрын
Asante baba kwa somo zuri
@paskalmagiri44663 жыл бұрын
Bwana mwenyewe ana maadui ufu 12;7_20
@rainfalling1033 жыл бұрын
Ameni!
@daudisaba78082 жыл бұрын
Hapa ktv tanzania
@johnnjau202811 ай бұрын
Amen halelluhy
@adarashidi81782 жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏
@lovenessmwamengo70902 жыл бұрын
Jamani tunaitaji kitabu hicho
@elizabethmgimba Жыл бұрын
Amna
@amashalwijajo5698 Жыл бұрын
mafundisho mzr sana
@happinessakim2679 Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@naikenjau1686 Жыл бұрын
Kweli kabisa bila maadui hufikiii mafanikio yako
@venitarugemalila929010 ай бұрын
Unapoinuka au inuliwa adui au maadui lazima
@analucas7606 Жыл бұрын
Amém
@noelmarapachi18084 жыл бұрын
Kazi nzuri wapendwa, ila ficheni hizo transmitor za mic
@atanito13273 жыл бұрын
udat iyooo aninga'ng'nie
@pastorsthenksrojaskapunga684311 ай бұрын
Akili inaitajika hekika kweli kuishi na ndugu hekika
@albertomsolansimbi1512 Жыл бұрын
So inspirational!
@leonardmtweve Жыл бұрын
Wewe Ni Mtume wa kweli kutoka kwa MUNGU hakika mapenzi ya MUNGU yaendelee kutimizwa kwenye maisha yetu sisi wanadamu wote Katika Jina la YESU KRISTO AMEEN . MUNGU akulinde zaidi Mtume wetu Boniface Mwamposa ❤️❤️❤️
@seniorprophetmaxmbise7372 жыл бұрын
✋✋✋👏
@paulmassawe15912 жыл бұрын
Mwandishi anamawenge kweli kweli wanaume weupe Ndio kawaida yao
@RaphaelGerald-ip4vs2 ай бұрын
Hatali yacku yapili
@user-nf9nw7xd6y7 ай бұрын
Mtangazaji unachekacheka tulia usikilize nn mtumishi anaongea
@atanito13273 жыл бұрын
aleluyaaa naomba bos wangu aniogope hata kuniomba hesabu yake na kila anae nidai aniogope kwa jina la yesu amen
@joycechaz28403 жыл бұрын
Lipa madeni ya watu huko!! wakuogope nini wakati ulikopa
@joycechaz28403 жыл бұрын
Boss asikuombe hesabu kweli? Ungekuwa wewe ndo boss ungejiskiaje?
@jonathanmnyone40032 жыл бұрын
Nadhani unamuelewa vibaya Apostle. Hakuwa anamaanisha usiwajibike. Ni wajibu wako kulipwa deni na kutimiza kazi ulizopewa na boss wako.
@jonathanmnyone40032 жыл бұрын
Kulipwa= kulipa
@archkeels3753 Жыл бұрын
Nataka nisikuelewe lakin najikuta ovias
@janetmwasokwa4016 Жыл бұрын
Nivushe siku ya pili leo baba na niupushe na madui
@seebs11563 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kuhusu siku ya pili
@shadrack1425 Жыл бұрын
Mwamba huyo
@yohanayohana8882 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🤣🤣
@user-wz8xc6gz5q7 ай бұрын
Kiki tka hcho kitabu cha mateso sku ya pili mtangaze
@priscadaniel73 жыл бұрын
Mutume mwpoosa mungu awe na wewe siku zte tumepona kupitia wewe
@jastinshukabwanakatikatiya72303 жыл бұрын
Amina mtumishi nimebarikiwa sana na mafundisho yako
@omarikereda28883 жыл бұрын
Ubatikiwe Sana mtume,nimefunguliwa,nimepokea,nimezidishiwa imani
@hongeradulle15533 жыл бұрын
Namimi naamini nitatembea kwa uwezo wa mwenyezi mungu amina
@kiazikitamu39853 жыл бұрын
Watu waliomfata Yesu awaombee walisema shida zao hawakuzificha kama unaumwa sema naumwa usisemw siumwi kama hauumwi unahitaji maombi ya nini, wogonjwa ndio wanaomfata Daktari si wazima, halafu Yesu alisema nimekuja kwa ajilinya wenye dhambi na wale wenye ndambi walimpokea hawakukana kwamba hawana dhambi,batimayo alipoulizwa unataka nini batimayo alijua yeye ni kipofu na akamwambia Yesu ninataka kuona hivi Batimayo angeficha tatizo lake je angeponywa? Utakuta mtu anakataa eti haumwi wakati unamwoma anakwenda hospitali au anakwenda kuombewa wakati kasema haumwi duh inachanganya sana
@phinaisaya39533 жыл бұрын
Huyu ndo baba yangu wa kiroho, wachape neno baba hapo watatafutana hao
@davidwilliam11893 жыл бұрын
Jamani hivi mmesahau huyu ndio alisababisha Yale mauaji ya moshi pale
@lavianaalbert90063 жыл бұрын
Hujatushawishi kwa uongo wako watu tushapona tunarojua hirotu uongo peleka huko
@yasinijuma6646 Жыл бұрын
J
@charlesjamesmwandusa Жыл бұрын
Mtumishi unanipa somo kubwa
@davidwilliam11893 жыл бұрын
Wewe ni mtume wa kuua watu mwamposa
@rehemaconeriocostance90113 жыл бұрын
Usiukumu usijr ukaukumiwa, unaushahdi gani juu ya hilo
@rehemaconeriocostance90113 жыл бұрын
Usiukumu usijr ukaukumiwa, unaushahdi gani juu ya hilo
@ameniameni6173 жыл бұрын
David William mwamposa kwani aliwangonga au aliwapa Sumu au aliwapiga Risasi Moshi mbona waislamu wakienda kuiji maka wanakufa nawatu awaachi kwenda tena
@lavianaalbert90063 жыл бұрын
Wivu nikidonda farisayo kaumia na huyu mungu ahusike na kinywa chako akufundishe