MCHUNGAJI HANANJA ALIPUKA HAKUNA BINADAMU DUNIANI ALIYEENDA MBINGUNI NA KURUDI HII KUFURU KWA WATOTO

  Рет қаралды 80,837

Maks Media

Maks Media

5 ай бұрын

Пікірлер: 166
@seacresthotel8998
@seacresthotel8998 4 ай бұрын
💥💥💥💥👏👏👏MUNGU akubariki sana mchungaji
@florachogo243
@florachogo243 5 ай бұрын
Mtumishi huyu anajielewa, hongera, watu wanajitoa ufahamu
@sultanalnaamani2156
@sultanalnaamani2156 5 ай бұрын
Mchungaji Mungu akupe afya njema na umri mrefu Mzee wetu tunaomba nambari yako ya Cm ilituwetukiwasiliana kwa pamoja hakika nimependa mafundisho yako ni mazuri na ukweli sana upo vizuri Ahsante.
@Byondorujulika17
@Byondorujulika17 5 ай бұрын
Amina Mutumishi wa Bwana, karibu tena hapa kwetu IOWA STATE USA 🇺🇸.
@alexiscirhuza
@alexiscirhuza 4 ай бұрын
Asante sana baba kwa Mashauri Yako ambayo yana uhai. Mungu akupe maisha marefu
@obedimunguachiza8434
@obedimunguachiza8434 5 ай бұрын
Tupate wapi tena watumishi wenye ufahamu wa Neno la Mungu kama na huu? Eh Mungu litakase kanisa lako, tuko hatarini.
@arimazuri
@arimazuri 3 ай бұрын
Uko sahihi baba Mungu akubariki sana mtumishi
@GADAUNEWS
@GADAUNEWS 5 ай бұрын
Asante mtumish Mungu akubarik Hananja
@ruthaloyce1012
@ruthaloyce1012 5 ай бұрын
Sawa, Hananja kama Hananja!❤❤❤🌹🌹🌹chukua maua yakoo!
@saimonbikulaofficial
@saimonbikulaofficial 4 ай бұрын
Isee hananja tukupe makanisa yoye ya tz uyanyooshe mama unamafindisho yakweli unafundisha uhusiano kati ya mwanadamu na mungu God bless you
@RockofLifeChurch
@RockofLifeChurch 4 ай бұрын
Mungu ambariki Mchungaji Hannanja Watu wengi hawana misingi.
@japhetmnyeta1076
@japhetmnyeta1076 5 ай бұрын
Mchungaji Ume quolify,ni kweli ili Kujua MUNGU yupo lazima pawe na utaratibu na utaratibu ni sifa ya MUNGU WA mbinguni
@KALULUALLI
@KALULUALLI 5 ай бұрын
MCHUNGAJI NAKUPENDA SANAA WEWE HUNAUONGO WALA UBABAISHAJI
@KhadijaKipua-dw7yz
@KhadijaKipua-dw7yz 5 ай бұрын
Mchungaji hananja uko sahihi kabisaa.
@IsackTheonest
@IsackTheonest 5 ай бұрын
❤Mungu akubariki mchg, ww ni mwanga wa vijana
@twabwikemundela5770
@twabwikemundela5770 5 ай бұрын
Amen mtumishi. Nimebarikiwa sana.
@abdulsimbarakiye4145
@abdulsimbarakiye4145 23 күн бұрын
Baba mchungaji mimi ni Abdul Simba mungu akubariki baba yangu mimi ni mwisilam uwa nafata vipindi vyako wewe ni mkweli kabisa
@user-uu8bd4vi9s
@user-uu8bd4vi9s 5 ай бұрын
Mch umenyoka uko sahihi anae pinga hichi unacho sema akasome neno..Mungu akutie nguvu akulinde maisha yako yote.
@adronicoreveliano7151
@adronicoreveliano7151 5 ай бұрын
Sure!
@adriannebatakanwa6904
@adriannebatakanwa6904 5 ай бұрын
Kina Ezekiel hawakuchukuliwa katika Roho. Yohana akiwa kisiwa Patimo hakuchukuliwa na kuonyeshwa yatakayokuja? Usipotoshe watu japo si wote wanasema kweli lakini kuchukuliwa kupo tu. Omba neema ikuzukie.
@PatriciaAkena
@PatriciaAkena 5 ай бұрын
Binadamu anpendi ukweli...nani anasugumunza na mungu kufuru kweli mungu bibilia inasema imani hati alitembea na mungu wapi hata musa mwenyewe..akumwona na kupenda bure
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 5 ай бұрын
Huyu mchungaji ni comedian wala hana wito wa Mungu ila alisoma theology tu. Kama hana muda wa kukaa magotini hawezi kutumiwa na Roho Mtakatifu.
@charleslukumai7875
@charleslukumai7875 5 ай бұрын
n​@@elishakayagwa9371wewe ndo komedian. Onyesha kwenye biblia mahali palipoandikwa kuna nabii aliyewahi kwenda mbinguni akakutana na Mungu, Mungu akamtembeza kwenye ufalme wake, kisha akarudi duniani.
@ElibarikiMbando
@ElibarikiMbando 24 күн бұрын
barikiwa sana hananja;hua nakufuatilia saana
@imanihussein9457
@imanihussein9457 5 ай бұрын
hananja upo vzr
@felisterjoshuamollel3930
@felisterjoshuamollel3930 5 ай бұрын
Tunakukubali Sana mch. Hananja❤chukua maua yako 🎉🎉
@priscakitambi8639
@priscakitambi8639 Ай бұрын
Uko vzr sana Mch. Mi nakukubali sana
@eliabrandy
@eliabrandy Ай бұрын
Nakukubali sn pastor chukua mataji
@user-uy5zk4lj5w
@user-uy5zk4lj5w 4 ай бұрын
HALELUYA, MCHUNGAJI MUNGU AKUBARIKI KWA UKWELI WA NENO LA MUNGU KUPITIA BIBLIA TAKATIFU
@KabatoniBoraa
@KabatoniBoraa 4 ай бұрын
Mchungaji wetue tupe number za sin Ili tuwe tunawasiliana.kwamana Wewe naona elim unayo kabisaa.allah akuifadhi akupe nguvu zakuteteya dini zote
@adenmwakalobo760
@adenmwakalobo760 4 ай бұрын
Hongera na endelea vivi hivi mch Hananja, ulaghai wa baadhi ya wachungaji wachumia tumbo kwa kuwahadaa watu wanyonge na wasio na ufahamu mzuri ktk makanisa yao! Watakasirika kweli kwa vile umezianika hadharani mbinu zao ovu za kupumbaza watu; hata mienendo yao imejaa chukizo! Jamii yetu inapata faida kwa kuamshwa kupitia mafundisho yako kwa muongozo wa bibilia takatifu.
@williamkadote305
@williamkadote305 4 ай бұрын
Muchungaji kwakweli unaongea sahihi, Na uko Baba watoto, ❤Sasa Muchungaji kwanini ulimi yako kila mara inatoka inje ? Kwakweli sio ma sighs zakisasa ?
@blandinajoseph1291
@blandinajoseph1291 4 ай бұрын
Anaufanya kama ishara ya njoka
@user-ty4ji9qm5r
@user-ty4ji9qm5r 5 ай бұрын
Hongera sana Hananja
@hermannicholaus238
@hermannicholaus238 5 ай бұрын
Njoo Moshi
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 5 ай бұрын
Walokole wanauvuruga ukristo sanaa...
@fredyjunior6961
@fredyjunior6961 5 ай бұрын
Mnooo
@hildaminja5148
@hildaminja5148 5 ай бұрын
Asante sana. Unaweza kusaidia kizazi hiki
@lwitikomusa1712
@lwitikomusa1712 4 ай бұрын
Amina mtumishi ananja 🙏
@MILEMBEMASUKE-ds2fx
@MILEMBEMASUKE-ds2fx 5 ай бұрын
What a paster....🙏
@user-wq4pl5dv6b
@user-wq4pl5dv6b 5 ай бұрын
Mtume mohamed
@user-gt9zw9jk6w
@user-gt9zw9jk6w 5 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@user-tf4zb9fz1f
@user-tf4zb9fz1f 5 ай бұрын
Mwacheni Mzee angee ukweri .
@user-yq7yv5bb8j
@user-yq7yv5bb8j 2 ай бұрын
Jaman mm nikimsiliza mch Hananja Roho inajaa amani tele.
@costantineevarist5110
@costantineevarist5110 5 ай бұрын
Amina mchungaji..Aliyepaa Ni Yesu tu.Wengine ni hadithi tu za uongo
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 5 ай бұрын
Hata Mtume Muhammad mwenyewe alidanganya umma eti alipaa na Buraq😂
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 5 ай бұрын
Hananja mungu akubariki sana kwakusema ukweli
@user-gi3io1ew8e
@user-gi3io1ew8e 5 ай бұрын
❤😂 Amina kabisa true pst 🙏
@user-tr2mf3hp5s
@user-tr2mf3hp5s 5 ай бұрын
Nakukubali sana mzee wng
@phinescah7353
@phinescah7353 5 ай бұрын
Amesema ukweli kabisaa,i support the truth because the bible says you shall know the truth and the truth shall set you free
@farhannahomary5505
@farhannahomary5505 4 ай бұрын
Mungu akulinde
@bashirukajembe4165
@bashirukajembe4165 5 ай бұрын
Nakukubali sana baba
@japhetmnyeta1076
@japhetmnyeta1076 5 ай бұрын
Hakuna roho ambayo itakua kwenye mwili ikamuona MUNGU na isitake kumrudia muumba wake Kwa uzuri aliokua Nao MUNGU thus why Mussa alipokwisha ona mgongo wa MUNGU alirudi na wazee wa Israel wakashangaa mng'ao na wakamkimbia
@hekimaoscar6527
@hekimaoscar6527 4 ай бұрын
Hongera
@mossesezekiel7862
@mossesezekiel7862 4 ай бұрын
Ashukuliwe MUNGU atupae kushinda kwa BWANA WETU YESU KRISTO
@DonatiMlay
@DonatiMlay 5 ай бұрын
Huyu mchungaji anasema ukweli mtupu manabii wa uwongo kwa ajili ya kuwapora hela waliokosa maarifa.
@leonardpeter153
@leonardpeter153 4 ай бұрын
Shetani ni mjanja sana watu wanawaogopa sana manabii wachungaji wanatumia nafasi hiyo kuvutia sana kwao ,Mungu ana mipaka yote yanawezekana kwake yeye aaminiye biblia aiimpi Mungu mipaka
@eliuschonjo7706
@eliuschonjo7706 3 ай бұрын
Kucheza na akili za watu lazimaa uongezee uongoo !!! Ila hapo Kwa Mungu kuzungumzia uongo ni laana kubwa sana
@iddyissa8110
@iddyissa8110 5 ай бұрын
Haaa kweli kama unawaza sanaa unaweza ota kweri wanakufuru
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 5 ай бұрын
Bado mitume ya Kinyakyusa😂😂😂
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 5 ай бұрын
Watu wanajiita manabii😢ni wa uongo 😢😢
@user-hg7ec5vc3f
@user-hg7ec5vc3f 8 күн бұрын
Yohana 3:13 Wala hakuna mtu aliyepaa mbinguni, ila yeye aliyeshuka kutoka mbinguni, yaani, Mwana wa Adamu. Ni kweli Baba upo sahihi Akuna alie enda mbinguni akarudi
@pcctMadale
@pcctMadale 5 ай бұрын
PASTOR HANANJA UKO SAHIHI KABISA,HAKUNA BINADAMU ANAWEZA KWENDA MBINGUNI KUONGEA NA MUNGU,HAKUNA BINADAMU ANAWEZA KUONANA NA MUNGU NA AKAWA SALAMA!HATA MUSA HAKUWEZA!
@Kamkono
@Kamkono 5 ай бұрын
Henoko ?
@SifaelMpagike-gt1gz
@SifaelMpagike-gt1gz 5 ай бұрын
Amen
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂 asante kwa kuwaumbuwa wenzako wako kibiashara tu kuendesha maisha na watu hawana akili wanafata mkumbo tu
@user-ri8ch2hs3m
@user-ri8ch2hs3m 5 ай бұрын
Waambie baba wafunguke
@littlelunie.7653
@littlelunie.7653 5 ай бұрын
Waambie na daniel alionyeshwa hakwenda mbinguni
@kwamnkurumah8574
@kwamnkurumah8574 5 ай бұрын
Mchungaji hyu Nina mkubali Sana aise upo sahihi Nikipa mkubwa wao
@user-tl5oz3ws9m
@user-tl5oz3ws9m 5 ай бұрын
Ukosawa sana badili muelekeo uokoke ukweli wote unaujuwa
@user-cd9nk8yz2h
@user-cd9nk8yz2h 4 ай бұрын
Binadamu mpaka akufe mara moja tuu ndio aende kwa mungu mbiguni
@stephenlembo8986
@stephenlembo8986 5 ай бұрын
Yesu hakuleta dini alileta wokovu.
@bosssyedmund8785
@bosssyedmund8785 4 ай бұрын
Na tracksuit yangu😂😂😂
@danieljoseph1610
@danieljoseph1610 5 ай бұрын
Ila kwenye biblia unawazidi sana kuijua! Wachungaji wengi wengi unawapiga fimbo!
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 5 ай бұрын
Hata hao wengine wanajua, ila wanaitumia vibaya ili kufanikisha malengo yao ya hovyo😢😢😢
@suzydeusy1405
@suzydeusy1405 4 ай бұрын
Hamna mtu atamwona Mungu akiwa kwenye mwili huu
@christianmwabukusi8132
@christianmwabukusi8132 5 ай бұрын
Usihangaishwe nao Mchungaji
@majaliwamsigwa6206
@majaliwamsigwa6206 5 ай бұрын
Upo sahihi Mtumishi
@user-mg9fg6vc9w
@user-mg9fg6vc9w 5 ай бұрын
We mzee Uislam umesha ujua achana na Hao matapeli
@petronyereresaliboko4047
@petronyereresaliboko4047 4 ай бұрын
Watu wanaenda kuzimu na mbinguni yaani sana Tena shida saana hii inatisha mpaka unajiuliza hii ni nini
@danielchaulema1670
@danielchaulema1670 3 ай бұрын
Watu wangu huangamia kwakukosa maarifa
@davidmapugilo5283
@davidmapugilo5283 5 ай бұрын
Ufahamu, ufahamu, ufahamu, never speak of things you do not know
@manuelymanuely-ly7gs
@manuelymanuely-ly7gs 5 ай бұрын
Wee unajina unaufaham
@Inzaghi809
@Inzaghi809 5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@bettmutahi1346
@bettmutahi1346 5 ай бұрын
Urealy do have a problem
@lukamwinuka2957
@lukamwinuka2957 4 ай бұрын
Wambie hao wanaenda kuxim wanasema Kwa Mungu
@tigejuma9865
@tigejuma9865 5 ай бұрын
Pastor anajua mpk ndumu....Yani hua wanipunga xna bro...
@Zaka-hv9ui
@Zaka-hv9ui 4 ай бұрын
Wewe ni mkweli mch Hananja
@gilbertmaganga9370
@gilbertmaganga9370 5 ай бұрын
Huyu namuelewa sana msema kweli
@japhetmnyeta1076
@japhetmnyeta1076 5 ай бұрын
MUNGU si mchezo wazee
@ChejoBuchejo-mm8bb
@ChejoBuchejo-mm8bb 5 ай бұрын
Tz ni nchi ya watu wajinga sana ,,,yani tumejazwa uwoga tukawa mazuzu kabisa.....BORA NIWE NARUDI MASKANI KUTAMBIKA ,,,,,Asante mtumishi kusema UKWELI unaopotoshwa
@AnthonyAnatory
@AnthonyAnatory 4 ай бұрын
Kabisa wasanii hao wanaangalia maokoto
@user-fh1vu5xk3j
@user-fh1vu5xk3j 5 ай бұрын
Wengi tunakuelewa,
@user-wm9hr7fx9l
@user-wm9hr7fx9l 4 ай бұрын
Halafu huyo wa Arusha anajiita nabii mkuu,tofauti na maandiko maana kwa mjibu wa maandiko alie mkuu ni mmoja tu
@KabatoniBoraa
@KabatoniBoraa 4 ай бұрын
Sante paster wetu!!!wewe sahihi kabisa.waaambiye awo waache kupoteza Watu.
@user-vr6lu8tq1n
@user-vr6lu8tq1n 5 ай бұрын
Sasa kama wanafunzi wa yesu walikua na wake mbona nyie wengine mnawambia msiowe?
@oscarmario466
@oscarmario466 5 ай бұрын
Hilo swali huyu halimuhusu anamke na watoto na haamini Hilo la kutokuowa maana kuto kuowa ni Sheria ya warumi
@user-hh1cx5xn8n
@user-hh1cx5xn8n 4 ай бұрын
Unaongea ukwelii unwell unadumu binandamu hawataki kweli
@JulianMakondo
@JulianMakondo 5 ай бұрын
Sema watu wasimchukulie Mungu kikawaida , kusema ukweli Mungu anatisha na mwanadamu akimwona Mungu katika mwili huu wa damu na nyamu huyo mwanadamu hawezi kuishi , maana hata tuwe wasafi vipi Kwa utukufu Mungu alio nao tukimwona Kwa macho tu ya damu na nyama tunakufa
@user-ye1dt2eb8u
@user-ye1dt2eb8u 5 ай бұрын
Na vile watu tumechanganywa ni hizo ushuhuda za walio enda mbinguni na kuzimu, au Mungu aliwachukua ili waje watufundishe jinsi kuzimu inavyotisha
@EvanceBoy1997
@EvanceBoy1997 5 ай бұрын
Unaongea unbelievable yule ni tapeli 😅😅😅
@user-cf9tt4vg9e
@user-cf9tt4vg9e 4 ай бұрын
UWO NI KWELI KABISA
@saidiathumani6443
@saidiathumani6443 5 ай бұрын
Mafarisayo walishindwa kumwelewa yesu vilevile kwa sababu ya ufahamu tangulizi ndani yao. Muumba ni sauti na anasikika kupitia mmoja aliemchagua, ni vigumu sana kumuelewa muumba kama huna unyenyekevu. Hata hivyo wapo waliokusudiwa ndio wanaoelewa kuwa muumba anafanya kazi na wale wampendao, aliowakusudia hata kabla ya chochote kuumbwa!!
@rosejefwa9806
@rosejefwa9806 5 ай бұрын
Sasa hao wazee wanakuja kukupakamafu wanakuwa wameyatowa wapii wanakiwanda?
@frankanyandwilemwakatika1059
@frankanyandwilemwakatika1059 5 ай бұрын
Mungu atusaidie kuelewa maandiko na sababu ya kuja Yesu 23 Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu. Yohana 4:23 24 Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli. Yohana 4:24 Tuache kufikiri kimwili Mungu anaongea na watu wake mpaka sasa ukiona haongei na wewe jichunguze mwenendo wako
@francofrederick972
@francofrederick972 5 ай бұрын
Wanafanya mdahalo😅😅😅😅
@saidali-xv8yh
@saidali-xv8yh 4 ай бұрын
Hameni huko dini ya ukristo siya dini wapagani ndiyo wemekuiteni wakristo siyo Mungu wala yesu hakutmwa kwenu bali katumwa kwa wana wa israel.
@Asana-wi7yj
@Asana-wi7yj 4 ай бұрын
Unahitaji kuelekezwa aliowaijilia hawakumpokea
@salymsuleiman2035
@salymsuleiman2035 4 ай бұрын
Ukristo ni dini ya maokoto
@georgiakiluvia8029
@georgiakiluvia8029 4 ай бұрын
P
@user-fh1vu5xk3j
@user-fh1vu5xk3j 5 ай бұрын
Waelewa tunakuelewa
@dominicuskmbele158
@dominicuskmbele158 5 ай бұрын
Hananja Master....
@SaleheRichard
@SaleheRichard 23 күн бұрын
MCHUGAJI SEMA UKWELI KABISA UMESOMA BIBLE KIUKWEL
@ProspertRubura
@ProspertRubura 5 ай бұрын
Iyo nikweli baba sema kweli
@sirajally8356
@sirajally8356 5 ай бұрын
ukweli nikwamba una simama naukweli wana haribu baibo nimatapeli sana
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 5 ай бұрын
😂😂 ndumu haijaisha vizuri
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 5 ай бұрын
Unachosema Hananja kweli kabisa wachungaji wengi ni wasaka tonge la wajinga ndiyo waliwao hasa wanawake wanakombwa haswaaa
@Kamkono
@Kamkono 5 ай бұрын
Hananja mwenyewe ameajiriwa na K.K.K.T Hana uwezo wa kumtafuta MUNGU asiye mjua .
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4,3 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 20 МЛН
MBOWE AENDELEA KUSIKITIKA MSIGWA KUBEBWA NA CCM , SIKIA ALICHOKISEMA
9:59
ABUU JADAWI ONLINE TV
Рет қаралды 7 М.
бим бам бум💥💥 типа..
0:18
Ma1x1
Рет қаралды 6 МЛН
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
0:30
FASH
Рет қаралды 25 МЛН
23 июля 2024 г.
0:11
Tszb😈😈
Рет қаралды 2,7 МЛН
GiGaMoN! 5 🗿 #gigachad #sigma
0:53
The Logan Chitwood
Рет қаралды 12 МЛН