Mtumishi huyu anajielewa, hongera, watu wanajitoa ufahamu
@sultanalnaamani21565 ай бұрын
Mchungaji Mungu akupe afya njema na umri mrefu Mzee wetu tunaomba nambari yako ya Cm ilituwetukiwasiliana kwa pamoja hakika nimependa mafundisho yako ni mazuri na ukweli sana upo vizuri Ahsante.
@Byondorujulika175 ай бұрын
Amina Mutumishi wa Bwana, karibu tena hapa kwetu IOWA STATE USA 🇺🇸.
@alexiscirhuza4 ай бұрын
Asante sana baba kwa Mashauri Yako ambayo yana uhai. Mungu akupe maisha marefu
@obedimunguachiza84345 ай бұрын
Tupate wapi tena watumishi wenye ufahamu wa Neno la Mungu kama na huu? Eh Mungu litakase kanisa lako, tuko hatarini.
@arimazuri3 ай бұрын
Uko sahihi baba Mungu akubariki sana mtumishi
@GADAUNEWS5 ай бұрын
Asante mtumish Mungu akubarik Hananja
@ruthaloyce10125 ай бұрын
Sawa, Hananja kama Hananja!❤❤❤🌹🌹🌹chukua maua yakoo!
@saimonbikulaofficial4 ай бұрын
Isee hananja tukupe makanisa yoye ya tz uyanyooshe mama unamafindisho yakweli unafundisha uhusiano kati ya mwanadamu na mungu God bless you
@RockofLifeChurch4 ай бұрын
Mungu ambariki Mchungaji Hannanja Watu wengi hawana misingi.
@japhetmnyeta10765 ай бұрын
Mchungaji Ume quolify,ni kweli ili Kujua MUNGU yupo lazima pawe na utaratibu na utaratibu ni sifa ya MUNGU WA mbinguni
@KALULUALLI5 ай бұрын
MCHUNGAJI NAKUPENDA SANAA WEWE HUNAUONGO WALA UBABAISHAJI
@KhadijaKipua-dw7yz5 ай бұрын
Mchungaji hananja uko sahihi kabisaa.
@IsackTheonest5 ай бұрын
❤Mungu akubariki mchg, ww ni mwanga wa vijana
@twabwikemundela57705 ай бұрын
Amen mtumishi. Nimebarikiwa sana.
@abdulsimbarakiye414523 күн бұрын
Baba mchungaji mimi ni Abdul Simba mungu akubariki baba yangu mimi ni mwisilam uwa nafata vipindi vyako wewe ni mkweli kabisa
@user-uu8bd4vi9s5 ай бұрын
Mch umenyoka uko sahihi anae pinga hichi unacho sema akasome neno..Mungu akutie nguvu akulinde maisha yako yote.
@adronicoreveliano71515 ай бұрын
Sure!
@adriannebatakanwa69045 ай бұрын
Kina Ezekiel hawakuchukuliwa katika Roho. Yohana akiwa kisiwa Patimo hakuchukuliwa na kuonyeshwa yatakayokuja? Usipotoshe watu japo si wote wanasema kweli lakini kuchukuliwa kupo tu. Omba neema ikuzukie.
@PatriciaAkena5 ай бұрын
Binadamu anpendi ukweli...nani anasugumunza na mungu kufuru kweli mungu bibilia inasema imani hati alitembea na mungu wapi hata musa mwenyewe..akumwona na kupenda bure
@elishakayagwa93715 ай бұрын
Huyu mchungaji ni comedian wala hana wito wa Mungu ila alisoma theology tu. Kama hana muda wa kukaa magotini hawezi kutumiwa na Roho Mtakatifu.
@charleslukumai78755 ай бұрын
n@@elishakayagwa9371wewe ndo komedian. Onyesha kwenye biblia mahali palipoandikwa kuna nabii aliyewahi kwenda mbinguni akakutana na Mungu, Mungu akamtembeza kwenye ufalme wake, kisha akarudi duniani.
@ElibarikiMbando24 күн бұрын
barikiwa sana hananja;hua nakufuatilia saana
@imanihussein94575 ай бұрын
hananja upo vzr
@felisterjoshuamollel39305 ай бұрын
Tunakukubali Sana mch. Hananja❤chukua maua yako 🎉🎉
@priscakitambi8639Ай бұрын
Uko vzr sana Mch. Mi nakukubali sana
@eliabrandyАй бұрын
Nakukubali sn pastor chukua mataji
@user-uy5zk4lj5w4 ай бұрын
HALELUYA, MCHUNGAJI MUNGU AKUBARIKI KWA UKWELI WA NENO LA MUNGU KUPITIA BIBLIA TAKATIFU
@KabatoniBoraa4 ай бұрын
Mchungaji wetue tupe number za sin Ili tuwe tunawasiliana.kwamana Wewe naona elim unayo kabisaa.allah akuifadhi akupe nguvu zakuteteya dini zote
@adenmwakalobo7604 ай бұрын
Hongera na endelea vivi hivi mch Hananja, ulaghai wa baadhi ya wachungaji wachumia tumbo kwa kuwahadaa watu wanyonge na wasio na ufahamu mzuri ktk makanisa yao! Watakasirika kweli kwa vile umezianika hadharani mbinu zao ovu za kupumbaza watu; hata mienendo yao imejaa chukizo! Jamii yetu inapata faida kwa kuamshwa kupitia mafundisho yako kwa muongozo wa bibilia takatifu.
@williamkadote3054 ай бұрын
Muchungaji kwakweli unaongea sahihi, Na uko Baba watoto, ❤Sasa Muchungaji kwanini ulimi yako kila mara inatoka inje ? Kwakweli sio ma sighs zakisasa ?
@blandinajoseph12914 ай бұрын
Anaufanya kama ishara ya njoka
@user-ty4ji9qm5r5 ай бұрын
Hongera sana Hananja
@hermannicholaus2385 ай бұрын
Njoo Moshi
@paschalsafari97475 ай бұрын
Walokole wanauvuruga ukristo sanaa...
@fredyjunior69615 ай бұрын
Mnooo
@hildaminja51485 ай бұрын
Asante sana. Unaweza kusaidia kizazi hiki
@lwitikomusa17124 ай бұрын
Amina mtumishi ananja 🙏
@MILEMBEMASUKE-ds2fx5 ай бұрын
What a paster....🙏
@user-wq4pl5dv6b5 ай бұрын
Mtume mohamed
@user-gt9zw9jk6w5 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@user-tf4zb9fz1f5 ай бұрын
Mwacheni Mzee angee ukweri .
@user-yq7yv5bb8j2 ай бұрын
Jaman mm nikimsiliza mch Hananja Roho inajaa amani tele.
@costantineevarist51105 ай бұрын
Amina mchungaji..Aliyepaa Ni Yesu tu.Wengine ni hadithi tu za uongo
@NgengeMkeni-uo5hq5 ай бұрын
Hata Mtume Muhammad mwenyewe alidanganya umma eti alipaa na Buraq😂
@allymwashambwa59205 ай бұрын
Hananja mungu akubariki sana kwakusema ukweli
@user-gi3io1ew8e5 ай бұрын
❤😂 Amina kabisa true pst 🙏
@user-tr2mf3hp5s5 ай бұрын
Nakukubali sana mzee wng
@phinescah73535 ай бұрын
Amesema ukweli kabisaa,i support the truth because the bible says you shall know the truth and the truth shall set you free
@farhannahomary55054 ай бұрын
Mungu akulinde
@bashirukajembe41655 ай бұрын
Nakukubali sana baba
@japhetmnyeta10765 ай бұрын
Hakuna roho ambayo itakua kwenye mwili ikamuona MUNGU na isitake kumrudia muumba wake Kwa uzuri aliokua Nao MUNGU thus why Mussa alipokwisha ona mgongo wa MUNGU alirudi na wazee wa Israel wakashangaa mng'ao na wakamkimbia
@hekimaoscar65274 ай бұрын
Hongera
@mossesezekiel78624 ай бұрын
Ashukuliwe MUNGU atupae kushinda kwa BWANA WETU YESU KRISTO
@DonatiMlay5 ай бұрын
Huyu mchungaji anasema ukweli mtupu manabii wa uwongo kwa ajili ya kuwapora hela waliokosa maarifa.
@leonardpeter1534 ай бұрын
Shetani ni mjanja sana watu wanawaogopa sana manabii wachungaji wanatumia nafasi hiyo kuvutia sana kwao ,Mungu ana mipaka yote yanawezekana kwake yeye aaminiye biblia aiimpi Mungu mipaka
@eliuschonjo77063 ай бұрын
Kucheza na akili za watu lazimaa uongezee uongoo !!! Ila hapo Kwa Mungu kuzungumzia uongo ni laana kubwa sana
@iddyissa81105 ай бұрын
Haaa kweli kama unawaza sanaa unaweza ota kweri wanakufuru
@jabirkasunzu68415 ай бұрын
Bado mitume ya Kinyakyusa😂😂😂
@gracekagoma32315 ай бұрын
Watu wanajiita manabii😢ni wa uongo 😢😢
@user-hg7ec5vc3f8 күн бұрын
Yohana 3:13 Wala hakuna mtu aliyepaa mbinguni, ila yeye aliyeshuka kutoka mbinguni, yaani, Mwana wa Adamu. Ni kweli Baba upo sahihi Akuna alie enda mbinguni akarudi
@pcctMadale5 ай бұрын
PASTOR HANANJA UKO SAHIHI KABISA,HAKUNA BINADAMU ANAWEZA KWENDA MBINGUNI KUONGEA NA MUNGU,HAKUNA BINADAMU ANAWEZA KUONANA NA MUNGU NA AKAWA SALAMA!HATA MUSA HAKUWEZA!
@Kamkono5 ай бұрын
Henoko ?
@SifaelMpagike-gt1gz5 ай бұрын
Amen
@mohammadoman89634 ай бұрын
😂😂😂😂😂 asante kwa kuwaumbuwa wenzako wako kibiashara tu kuendesha maisha na watu hawana akili wanafata mkumbo tu
@user-ri8ch2hs3m5 ай бұрын
Waambie baba wafunguke
@littlelunie.76535 ай бұрын
Waambie na daniel alionyeshwa hakwenda mbinguni
@kwamnkurumah85745 ай бұрын
Mchungaji hyu Nina mkubali Sana aise upo sahihi Nikipa mkubwa wao
@user-tl5oz3ws9m5 ай бұрын
Ukosawa sana badili muelekeo uokoke ukweli wote unaujuwa
@user-cd9nk8yz2h4 ай бұрын
Binadamu mpaka akufe mara moja tuu ndio aende kwa mungu mbiguni
@stephenlembo89865 ай бұрын
Yesu hakuleta dini alileta wokovu.
@bosssyedmund87854 ай бұрын
Na tracksuit yangu😂😂😂
@danieljoseph16105 ай бұрын
Ila kwenye biblia unawazidi sana kuijua! Wachungaji wengi wengi unawapiga fimbo!
@TM.Sullusi5 ай бұрын
Hata hao wengine wanajua, ila wanaitumia vibaya ili kufanikisha malengo yao ya hovyo😢😢😢
@suzydeusy14054 ай бұрын
Hamna mtu atamwona Mungu akiwa kwenye mwili huu
@christianmwabukusi81325 ай бұрын
Usihangaishwe nao Mchungaji
@majaliwamsigwa62065 ай бұрын
Upo sahihi Mtumishi
@user-mg9fg6vc9w5 ай бұрын
We mzee Uislam umesha ujua achana na Hao matapeli
@petronyereresaliboko40474 ай бұрын
Watu wanaenda kuzimu na mbinguni yaani sana Tena shida saana hii inatisha mpaka unajiuliza hii ni nini
@danielchaulema16703 ай бұрын
Watu wangu huangamia kwakukosa maarifa
@davidmapugilo52835 ай бұрын
Ufahamu, ufahamu, ufahamu, never speak of things you do not know
@manuelymanuely-ly7gs5 ай бұрын
Wee unajina unaufaham
@Inzaghi8095 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@bettmutahi13465 ай бұрын
Urealy do have a problem
@lukamwinuka29574 ай бұрын
Wambie hao wanaenda kuxim wanasema Kwa Mungu
@tigejuma98655 ай бұрын
Pastor anajua mpk ndumu....Yani hua wanipunga xna bro...
@Zaka-hv9ui4 ай бұрын
Wewe ni mkweli mch Hananja
@gilbertmaganga93705 ай бұрын
Huyu namuelewa sana msema kweli
@japhetmnyeta10765 ай бұрын
MUNGU si mchezo wazee
@ChejoBuchejo-mm8bb5 ай бұрын
Tz ni nchi ya watu wajinga sana ,,,yani tumejazwa uwoga tukawa mazuzu kabisa.....BORA NIWE NARUDI MASKANI KUTAMBIKA ,,,,,Asante mtumishi kusema UKWELI unaopotoshwa
@AnthonyAnatory4 ай бұрын
Kabisa wasanii hao wanaangalia maokoto
@user-fh1vu5xk3j5 ай бұрын
Wengi tunakuelewa,
@user-wm9hr7fx9l4 ай бұрын
Halafu huyo wa Arusha anajiita nabii mkuu,tofauti na maandiko maana kwa mjibu wa maandiko alie mkuu ni mmoja tu
Sema watu wasimchukulie Mungu kikawaida , kusema ukweli Mungu anatisha na mwanadamu akimwona Mungu katika mwili huu wa damu na nyamu huyo mwanadamu hawezi kuishi , maana hata tuwe wasafi vipi Kwa utukufu Mungu alio nao tukimwona Kwa macho tu ya damu na nyama tunakufa
@user-ye1dt2eb8u5 ай бұрын
Na vile watu tumechanganywa ni hizo ushuhuda za walio enda mbinguni na kuzimu, au Mungu aliwachukua ili waje watufundishe jinsi kuzimu inavyotisha
@EvanceBoy19975 ай бұрын
Unaongea unbelievable yule ni tapeli 😅😅😅
@user-cf9tt4vg9e4 ай бұрын
UWO NI KWELI KABISA
@saidiathumani64435 ай бұрын
Mafarisayo walishindwa kumwelewa yesu vilevile kwa sababu ya ufahamu tangulizi ndani yao. Muumba ni sauti na anasikika kupitia mmoja aliemchagua, ni vigumu sana kumuelewa muumba kama huna unyenyekevu. Hata hivyo wapo waliokusudiwa ndio wanaoelewa kuwa muumba anafanya kazi na wale wampendao, aliowakusudia hata kabla ya chochote kuumbwa!!
@rosejefwa98065 ай бұрын
Sasa hao wazee wanakuja kukupakamafu wanakuwa wameyatowa wapii wanakiwanda?
@frankanyandwilemwakatika10595 ай бұрын
Mungu atusaidie kuelewa maandiko na sababu ya kuja Yesu 23 Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu. Yohana 4:23 24 Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli. Yohana 4:24 Tuache kufikiri kimwili Mungu anaongea na watu wake mpaka sasa ukiona haongei na wewe jichunguze mwenendo wako
@francofrederick9725 ай бұрын
Wanafanya mdahalo😅😅😅😅
@saidali-xv8yh4 ай бұрын
Hameni huko dini ya ukristo siya dini wapagani ndiyo wemekuiteni wakristo siyo Mungu wala yesu hakutmwa kwenu bali katumwa kwa wana wa israel.
@Asana-wi7yj4 ай бұрын
Unahitaji kuelekezwa aliowaijilia hawakumpokea
@salymsuleiman20354 ай бұрын
Ukristo ni dini ya maokoto
@georgiakiluvia80294 ай бұрын
P
@user-fh1vu5xk3j5 ай бұрын
Waelewa tunakuelewa
@dominicuskmbele1585 ай бұрын
Hananja Master....
@SaleheRichard23 күн бұрын
MCHUGAJI SEMA UKWELI KABISA UMESOMA BIBLE KIUKWEL
@ProspertRubura5 ай бұрын
Iyo nikweli baba sema kweli
@sirajally83565 ай бұрын
ukweli nikwamba una simama naukweli wana haribu baibo nimatapeli sana
@warakawayohana28965 ай бұрын
😂😂 ndumu haijaisha vizuri
@margarethpolepole74385 ай бұрын
Unachosema Hananja kweli kabisa wachungaji wengi ni wasaka tonge la wajinga ndiyo waliwao hasa wanawake wanakombwa haswaaa
@Kamkono5 ай бұрын
Hananja mwenyewe ameajiriwa na K.K.K.T Hana uwezo wa kumtafuta MUNGU asiye mjua .