MTOTO ALIYEMLIZA NABII MKUU APEWA MILIONI 2 NA SHANGAZI YAKE - GeorDavie TV

  Рет қаралды 293,080

GeorDavie TV

GeorDavie TV

Күн бұрын

Пікірлер: 350
@JuliusPaulo-zf4cr
@JuliusPaulo-zf4cr 6 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu na akuzidishie Roho ya kusaidia hivyo hivyo
@NewtonMugango
@NewtonMugango 8 ай бұрын
Siku ya kwanza,,kukupata leo kwangu baba ubarikiwe sana ,,nifungue mim,niombe nyota yangu irudi baba natoka Kenya,,,nakupenda sana,,Mungu akubariki sana ,,AMEN.🎉🎉🎉
@barakakusa7606
@barakakusa7606 Жыл бұрын
Uzuri wa huyu mwamba anarudisha kwenye jamii tofauti na Hawa wafanyabiashara za mafuta wao nikujilimbikizia mahela tu na famillia zao,Barikiwa sana mtumishi.
@magdalenapeter6106
@magdalenapeter6106 Жыл бұрын
Hazirudi Bure kaa ukijua hilo ndugu yangu
@mohammadkijana6618
@mohammadkijana6618 Жыл бұрын
Manabii walishapita na sasa tumebaki kizazi cha nabii muhammad so wanaowafuata wanaojiita manabii na kuwatukuza basi wajue wanawapiga vita manabii na Mwenyezimungu maana hakuna nabii aliyesema mungu ana mwana pia hakuna nabii aliyesema yeye ni mwana wa mungu isipokua walisema wao ni Mitume au wajumbe wa Mwenyezimungu
@mashalaizer3152
@mashalaizer3152 Жыл бұрын
Kweli
@MumtazKhan-tu4hz
@MumtazKhan-tu4hz Жыл бұрын
Kabisaaa
@tmaafrica5927
@tmaafrica5927 Жыл бұрын
Be blessed pastor what in you for seeing the talent of the child
@Reverseumbetangie
@Reverseumbetangie Жыл бұрын
Huyu baba nimekuwa nikifuata kazi yako Mungu anaona...hapa kenya sijaona mtumishi anaye supoti waimbaji kama huyu...God bless you sir
@SaidWaKonde
@SaidWaKonde Жыл бұрын
Sio issue kusurpot je u jamii kujihuisha na nyimb
@Reverseumbetangie
@Reverseumbetangie Жыл бұрын
@@SaidWaKonde yes
@NeySway-b8o
@NeySway-b8o Жыл бұрын
Mungu akutunze mtumish,,ila jambo kubwa,anayekusifu ww usikubali hizo sifa,mara moja anazitamka kwako nawe umpe hizo zifa Mungu,,kwan syo ww bali ni Mungu mwenyewe ndan yako,,,,watumish wengi wamekufa kimwili hata kiroho kwa kosa lakupokea sifa za Mungu kama Mungu,,,barikiwa sana zaid
@villancekeke2954
@villancekeke2954 Жыл бұрын
Nko Kenya mtumishi wa Mungu hata mimi umenitouch, una moyo wakuinua mtu na kile ako nacho mungu akubariki sana, natamani siku nyingine nifike Tanzania tuu niguse hayo madhabahu tuu , nibarikiwe
@SaidWaKonde
@SaidWaKonde Жыл бұрын
Ujingao madhambi hayafutwi na binadam mwenzak
@robertnyanje69
@robertnyanje69 Жыл бұрын
@@SaidWaKonde santhaaa🤣🤣
@rehemaSanga-p3g
@rehemaSanga-p3g Ай бұрын
Unatisha baba mungu aendelee kukuinua zaidi
@naimarishedy1523
@naimarishedy1523 3 ай бұрын
Mungu akubariki pastor Geodavi🙏
@MadinaIsimail
@MadinaIsimail 7 ай бұрын
Ubarikiwe baba katika kazi yako umewa nusuru ao wadda. Mugu akupe mayishamarefu uzidi kutunusuru uobeye nata ifakwa ujumura amani mugu aku bariki
@NewtonMugango
@NewtonMugango 8 ай бұрын
Mungu abariki baba wetu,,love from Kenya
@karimumohamedi5421
@karimumohamedi5421 Жыл бұрын
Mtumishi Jo dev ubarikiwe mtumishi wa mungu
@RoseDaud-e5n
@RoseDaud-e5n 4 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi naomba uduma ya maombi
@AbelSM254
@AbelSM254 Жыл бұрын
Blessed is the hand that given. More blessings flow to you our spiritual father . A good example to other pastors
@JAimeNtakarutimana
@JAimeNtakarutimana 5 ай бұрын
Umebalikiwa sana Nabii Mukuru kwasapoti unao sapoti watotowako Yusu Azidi kukuweka juuu NABII MUKUU!
@MugishoManegabe-h2t
@MugishoManegabe-h2t 8 ай бұрын
Jambo mutumichi wa mungu nakupendaka sana ni pasteur mugisho manegabe jean kutoka Congo
@MadinaIsimail
@MadinaIsimail 7 ай бұрын
Binada muwanameji wegiwa oha wanama ono umeza riwanimutumishi usijari yabinadamu❤
@furahajastin8649
@furahajastin8649 Жыл бұрын
God bless you papa niombee milango yangu ya mafanikio.Mungu akuzidishie mafuta mabichi.
@esthercharo827
@esthercharo827 Жыл бұрын
Hutaki mafuta ya kuiva😂😂😂😂
@talentedboys-tv1507
@talentedboys-tv1507 Жыл бұрын
Alooo this is supremely owesome🤝🤝🤝man of God ur more than wow.....wenye povu liwatokeee
@PendooJohn
@PendooJohn Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@glaury9938
@glaury9938 Жыл бұрын
Hata mimi ninaamini wewe ni mtumishi wa mungu alie hai nashukuru kwa upendo uko nao nimelia by glory mayotte france
@elisanteqamdu
@elisanteqamdu Жыл бұрын
Hatumsifii mwanadamu tunadanganywa hapo only GOD is the one who receive praise mwamini mungu siyo nabii
@samwelsimon4800
@samwelsimon4800 Жыл бұрын
Haikuhusu Kaa kimya
@marrykilyenyi8573
@marrykilyenyi8573 Жыл бұрын
Safi Sana Mtumishi kwakusaidia watu ,kwakwer mi nabarikiwa ,huangalii sura Wala kabila ,Mungu akuinue
@elishamafulu106
@elishamafulu106 Жыл бұрын
Naomba maobezi ya biashara yanga yaspare zamangari zikuwe famili yanga uchum afya nyumban watoto wangu shule tupate ada Kwa jina la YESU christo amen baba 🙏🙏🙏🙏🙏👏🙏🙏🙏🙏
@josephakure6743
@josephakure6743 Жыл бұрын
Sifa na utukufu zimwendee Yesu Kristo.Amen
@mutekulwadavid2585
@mutekulwadavid2585 Жыл бұрын
mungu yopo mbinguni tumsifu yeye alie iumba mbingu na nchii
@dedenegele4996
@dedenegele4996 Жыл бұрын
Nampenda sana Nabii Geerdev Sema sina uwezo ningetoa zawadi ila basi Mungu namuachia kwake Amen
@nicoluu874
@nicoluu874 Жыл бұрын
Mpee mzingo tu
@JoyceSarufu
@JoyceSarufu 6 ай бұрын
Amen 😂
@Emmanuel-b4g1n
@Emmanuel-b4g1n Ай бұрын
Huyu ndo mmoja wa wale mpinga Kristo 😢
@karimumohamedi5421
@karimumohamedi5421 Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu kwa huduma mungu akubariki sana
@DativaUwimana-pf4de
@DativaUwimana-pf4de Жыл бұрын
Haki ubalikiwe ndani ya Yesu
@johnayub7694
@johnayub7694 10 ай бұрын
Aisee huyi nabii ❤
@fatimahants1526
@fatimahants1526 Жыл бұрын
Wewe mchngaji unadhamini wanadamu wote kwa moyo wa dhati kabisa bila kujali utofati wa dini mungu akuongeze kila itwayo leo
@FurahiniJohn-f4g
@FurahiniJohn-f4g Жыл бұрын
Good Bless you
@Ghislain-yl9qh
@Ghislain-yl9qh 5 ай бұрын
Asante mtumishi,ila kwangu mimi ni na ulizo Baba, nataka nijuwe kabla ujakuwa nabii ulikuwanarndesha kazigani??,pili.naitati niwe naku nuowa kipara,yaani mimi ni kinyozi.sikumoja nikuone nikutach,.ninasababu fulani .siitaji hela ama milioni.ila nina malengo fulani.❤
@MariaJoseph-sr2le
@MariaJoseph-sr2le 10 ай бұрын
Poleni sana mungu ni mwema
@elizabethjakobo279
@elizabethjakobo279 Жыл бұрын
Ubarkiwe baba Yetu ❤ Nakupenda savabu unajali Sana shida zawatu
@gatimakonge8678
@gatimakonge8678 Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️💘💘💯💯🙏🙏🙏🙏🙏 nimekuelewa vizuri Sana 🙏💯 Mwenyezi Mungu Aendelee kukutunza
@henrymaile1121
@henrymaile1121 Жыл бұрын
Mungu akubarik baba yaan natamani sana kuja ikulu kwa mfarume namuomba mungu anipe uwezo mbaka nifike nimuone baba 2
@NeemaMbowe-j4u
@NeemaMbowe-j4u Жыл бұрын
Mungu akiamua kukuinua akunaanaeweza kupinga
@officialcolofindo19
@officialcolofindo19 11 ай бұрын
MUNGU amekuleta kwenye maisha yetu kwa MAKUSUDI
@florenceakinyi56
@florenceakinyi56 Жыл бұрын
Shalom Baba naomba kujiunga na maombi yako asante
@ManuelLucastoto-m5h
@ManuelLucastoto-m5h 17 күн бұрын
Bwana asifiwe baba mtumishi wa
@edwindaniel7306
@edwindaniel7306 Жыл бұрын
Amen kati ya manabii nimeweza ona huyu ndo nabii wa kwanza anayetoa majibu ya kweli
@jovinjoseph1438
@jovinjoseph1438 Жыл бұрын
Nakupenda sana nakuitaji sana 🙏🙏🙏🙏
@Foma-Tz
@Foma-Tz 9 ай бұрын
Mungu asifiwe
@baghabaghaingwengwe1750
@baghabaghaingwengwe1750 Жыл бұрын
Nabii hakika Mungu azidi kuwa mbele yako katika shughuli zako zote
@BishopEyanae
@BishopEyanae Ай бұрын
Ubarikiwe
@josephitangishaka960
@josephitangishaka960 Жыл бұрын
Baba YANGU NABII MKUU GEARDAVIE Mungu Awabariki Sana. Apostle Joseph Itangishaka Burundi Gitega capital poritike nagupenda tena nagufuata Sana 10/10
@mohammadkijana6618
@mohammadkijana6618 Жыл бұрын
Manabii walishapita na sasa tumebaki kizazi cha nabii muhammad so wanaowafuata wanaojiita manabii na kuwatukuza basi wajue wanawapiga vita manabii na Mwenyezimungu maana hakuna nabii aliyesema mungu ana mwana pia hakuna nabii aliyesema yeye ni mwana wa mungu isipokua walisema wao ni Mitume au wajumbe wa Mwenyezimungu
@VivianMakange
@VivianMakange Жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu baba.
@karimpasclee4043
@karimpasclee4043 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana 🙏 baba
@geoffreytheprincemwimbaji9343
@geoffreytheprincemwimbaji9343 Жыл бұрын
Kuna wimbo wangu ningependa. Pia utasame" TUTASIMAMA.. TUTASIMAMA SONG ndio my best TRENDING SONG.. nisapoti
@magrethmvwango2682
@magrethmvwango2682 Жыл бұрын
Ameni mungu awe pamoja nawe🙏🙏
@RhodaMary
@RhodaMary 3 ай бұрын
Nintap that anointing from Kenya
@samwelmsongoa1861
@samwelmsongoa1861 Жыл бұрын
Baba naomba million moja ninashida
@yasinidicole4171
@yasinidicole4171 Жыл бұрын
Mungu ni mwema sana kbs🔥🔥🔥
@franciscakija1702
@franciscakija1702 Жыл бұрын
Mungu akisema ndiyo, hakuna wa kumpinga
@zachariahonyonka4102
@zachariahonyonka4102 Жыл бұрын
Am from Kenya how will I meet this spiritual father please I really need to she him
@MikeLiroko
@MikeLiroko Жыл бұрын
Mungu atupe uokofu
@BarakaCostantine
@BarakaCostantine 3 ай бұрын
Amiina
@Eunicemakokha-gc9ss
@Eunicemakokha-gc9ss 7 ай бұрын
Wimbo ya baraka Tele kwa mteule WA mungu
@elizabethdeus7923
@elizabethdeus7923 Жыл бұрын
Akuna lishindikanaro kwa mungu 🙏
@acrrehteacher4230
@acrrehteacher4230 Жыл бұрын
Baba mungu akubariki na akujalie maisha marefu ili utuvushe kondoo wako
@lotimwansule5017
@lotimwansule5017 Жыл бұрын
Kwa nn tusiwe na Imani na mungu kuliko binadamu
@stephenngala1048
@stephenngala1048 9 ай бұрын
glory to God not fellow human beings
@amanisaid9863
@amanisaid9863 Жыл бұрын
Mimi nakuita mwamba,,safiii sanaaa nakukubari sana
@r0semaryabuga434
@r0semaryabuga434 Жыл бұрын
Asante nabii wa mungu nisaidie nami kwa watoto wawili sina uwezo asante
@Bedamamwinji
@Bedamamwinji Жыл бұрын
Only Mungu asifiwe si Binadamu
@bonifacedeljaykay1221
@bonifacedeljaykay1221 Жыл бұрын
Wimbo huu umeniguza kwa kweli... Tuna Imani na ww GDV. Hallelujah
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 Жыл бұрын
,😳
@rozinzowa2426
@rozinzowa2426 Жыл бұрын
Naitwa rose Niko mbeya kiukweli namimi nakuamini baba nakufatilia Sana baba endelea kupiga mwingi
@rozinzowa2426
@rozinzowa2426 Жыл бұрын
Tunaimani Naye
@amoskilekwa7780
@amoskilekwa7780 Жыл бұрын
Je écouter votre production n'a bi
@lameckmmbaga7605
@lameckmmbaga7605 Жыл бұрын
Mungu akutunze Sana baba
@maryminya
@maryminya Жыл бұрын
Hongren
@annajohn419
@annajohn419 Жыл бұрын
Ee. Mungu tusaidie sana
@josephfrances1447
@josephfrances1447 Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu hakika mimi nimekbar wewe siyo siyo mbinafsi tena hata siku nikifika kanisan kwako nikatoa sadaka yangu nitajivunia sana Kwan inarud Kwa jamii isiyojiweza, Sasa hapa ndo unampa Mungu sadaka🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@mohammadkijana6618
@mohammadkijana6618 Жыл бұрын
Manabii walishapita na sasa tumebaki kizazi cha nabii muhammad so wanaowafuata wanaojiita manabii na kuwatukuza basi wajue wanawapiga vita manabii na Mwenyezimungu maana hakuna nabii aliyesema mungu ana mwana pia hakuna nabii aliyesema yeye ni mwana wa mungu isipokua walisema wao ni Mitume au wajumbe wa Mwenyezimungu
@Jehovarohiband
@Jehovarohiband 9 ай бұрын
Matayo 24:24 tuwe makini sana yesu kashasema
@lovenessaron2669
@lovenessaron2669 Жыл бұрын
Wimbo ni mzuri sn hadi umenisisimua ♥️😍👌🔥🔥🔥
@Bedamamwinji
@Bedamamwinji Жыл бұрын
Mko na talanta lkn itumieni kusifia Mungu,,Acheni upofu wa kiroho nyinyi
@mrnickmusician7139
@mrnickmusician7139 Жыл бұрын
amen mtumishi wa Mungu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏
@prosperjuma905
@prosperjuma905 Жыл бұрын
Shetani anainua watu washidane na Yesu. Ili jina la Yesu lisisikike..lisikike la wanadam wengine. Anajua kabisa Jina la Yesu likisikika sana ni anguko lake.
@HappyMirindi
@HappyMirindi 6 ай бұрын
Amen baba
@apynesnzisa5045
@apynesnzisa5045 Жыл бұрын
🙄🙄🙄eti mna Imani na na binadamu😢 yesu ndie utumia mtu kuondoa mapepo... God have mercy upon us😢 Nyie, mlikuwa mwataka hela semeni ivyo tuu, acheni kutuzengua.... Mwenye tuna Imani nae ni mungu tuu, juu yeye ndio pumzi yetu🙏🙏🙏
@Bedamamwinji
@Bedamamwinji Жыл бұрын
Hii n ufala ak ,,,Eti kukusifu surely ,,Mmefanya huyu mtu kuwa Mungu ama ,,Kati yake n Yesu ni Nani nambii mkuu ak
@JumaHassan-b3g
@JumaHassan-b3g 12 күн бұрын
Mh mbona anasifiwa nabii Sio mungu yesu awakumbuke nyakat hiz tulizonazo
@davidmj8166
@davidmj8166 Жыл бұрын
Wimbo umenigusa 👏👏👏👏🙏🙏🙏💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿🇺🇸🇺🇸
@EsterShirima-vr7cv
@EsterShirima-vr7cv Жыл бұрын
Mtumishi tunapokea upako wako kwajina la yesu
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 Жыл бұрын
Kiukwel mm mwenyewe nimeupenda Sana huo wimbo hd upigaj wa kinanda
@janenkata6290
@janenkata6290 Жыл бұрын
Amen Mungu akubariki sana
@kerenkanini9246
@kerenkanini9246 Жыл бұрын
Aliye kuita katika huu ufalme ni mungu nakupitia kwako wengi tumebarikiwa wengi tumeponywa na mungu.
@jordankikoti1045
@jordankikoti1045 5 ай бұрын
Unzr huyu anaishi na jamii so mwingine Kila wimbo anaona dhambi na huu ndo unabii wa kwel,Yesu mwenyewe aliishi na Kila jamii
@nurumollel5988
@nurumollel5988 4 ай бұрын
Amen
@EloisKatsongo
@EloisKatsongo 6 ай бұрын
Munapotezwa kwa vitu vidogo vidogo
@jamilankaya6825
@jamilankaya6825 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa. Uimbiwe angalia upo hai uko sahihi nabii mkuu mungu azidi kukufungulia kibali cha imani
@fettsamri3835
@fettsamri3835 Жыл бұрын
Anapatikana wapi ata chaneli gani nimfatilie
@kenmurithi6367
@kenmurithi6367 Жыл бұрын
Amen pia yangu istawili
@damarisnjerunjeru399
@damarisnjerunjeru399 Жыл бұрын
Wow Live long papa
@peterjohn7613
@peterjohn7613 Жыл бұрын
Wachungaji wengine wanakamua hela za waumini lakini wewe unawabariki watu kwa pesa, hongera kwa kutoa
@HenryMutie
@HenryMutie Жыл бұрын
Akuna ajuae baraka yake itatoka wapi Mungu niwajabu 🙏🙏🙏🙏🙏
@FurahiniJohn-f4g
@FurahiniJohn-f4g Жыл бұрын
MUNGU akutunze Baba NABII MKUU DR GEORDAVIE Balozi wa AMANI UISHI Miaka Mingi
@emerecianawumbe2044
@emerecianawumbe2044 Жыл бұрын
Kuzimu inakusifu kwa kupoteza wengi ukiwapoteza kwa fedha za kuzimu moto huko mbele yako.....
@salimkingu2108
@salimkingu2108 Жыл бұрын
We ndo taira kweliii wap umeona emeandikwa fedha ya kuzimu
@annamariamakula3853
@annamariamakula3853 Жыл бұрын
Afadhali huyu anayerudiaha kwa jamii wengine hawajui hata shida za jamii wananenepesha account zao tu.
@barikingowo1052
@barikingowo1052 Жыл бұрын
Kiukweli wewe ndo shetani na maana nikikuuliza kwann unamchukia huyu Baba utasema nini?
@JanethMoheli-jt6cy
@JanethMoheli-jt6cy Жыл бұрын
Tunaimani na mungu wetu
@FrankShafani
@FrankShafani Жыл бұрын
hiyo ni.kweli.kabisa ndugu anae pasa kusifiwa ni.mungu.
@TuelewaneSemahoro
@TuelewaneSemahoro 7 ай бұрын
Mutumishi wa Mungu nakuomba unikubalie vifungo vilivyo juu yangu vitoke kukataliwa nawatu niwe mtukama wengine.
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 Жыл бұрын
Namm naomba milion moja baba nashida Sana Sana 😭😭
@hassanseif5651
@hassanseif5651 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@ashurahaji4794
@ashurahaji4794 Жыл бұрын
Hujamwamkia atakupaje
@farajayosia4849
@farajayosia4849 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@didiermusimbipeter
@didiermusimbipeter Ай бұрын
Katika wanabii wewe ni nabii sababu pesa zako siyo zakujionesha Ila naona kila Mara zina Saidia wengi nakuwasapoti , unaye mtumikiya awe mbele Yako kila Léo NABII MKUHU natowa maoni aya nikiwa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@alexmwangangi3014
@alexmwangangi3014 Жыл бұрын
Nice🔥🔥🔥🔥🔥
@emmanuelbalume4088
@emmanuelbalume4088 9 ай бұрын
Tunaitaji kanisa ya NABII MKUU ifunguliwe hapa congo ,Goma town
@kevindaud9069
@kevindaud9069 Жыл бұрын
Asante sana baba
@magdalinamwikali7251
@magdalinamwikali7251 Жыл бұрын
Mungu hakubariki na hakubariki huyo mtoto
小丑家的感情危机!#小丑#天使#家庭
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 32 МЛН
龟兔赛跑:好可爱的小乌龟#short #angel #clown
01:00
Super Beauty team
Рет қаралды 38 МЛН
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 29 МЛН
Who’s the Real Dad Doll Squid? Can You Guess in 60 Seconds? | Roblox 3D
00:34
MCHUNGAJI HANANJA AMVAA MFALME ZUMARIDI NA NABII GEORDAVIE KUSEMA WANAONGEA NA MUNGU
29:57
TAZAMA JINSI NABII HUYU ALIVYOFUNGUA VIFUNGO VYA WATU HAWA
13:24
COVENANT HOME TV
Рет қаралды 9 М.
MAKONDA AWAFUKUZA KAZI WATUMISHI ARUSHA
1:06:20
JAMBO TV
Рет қаралды 99 М.
MWANAMKE ALIEPACHIKWA MIMBA NA KAKA YAKE SIRI YAFICHUKA MUMEWE AJA JUU NA KUMKATAA
12:39
PASTOR DOMINIC KIBOKO YA WACHAWI
Рет қаралды 107 М.
MAMA B: NAJUTA KWANINI SIKUWAHI KUMJUA NABII MKUU - GeorDavie TV
8:30
小丑家的感情危机!#小丑#天使#家庭
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 32 МЛН