Kuanzia Leo nakuita Dr Hananja Hekima zako wengi hawana Big up!! babu yangu Kwa majibu yaliyojaa hekima ndani yake
@maliproductiontv57088 ай бұрын
Nakuunga mkono atunukiwe na vyuo
@rahabuibrahim53248 ай бұрын
Huyu mzee tuna hazina aisee nilimchukulia rahiss kumbeeee duuuu dhahabuu kuliko watu naowajua kanibariki sana
@wiza23098 ай бұрын
Mch Hananja ana Neno, ndiyo maana anaweza kujibu kila aina ya swali kwa Neno, wengibwetu hatuna Neno ila tuna maneno, ni kelele tu kwa jamii na mbele za Mungu. Mungu ambariki sana kwa kazi hii ya kufundisha kupitia mitandao, ni kazi njema na inawafikia watu wengi zaidi walio Wakristo na wasio Wakristo wote tunasikia Neno la Mungu kwa usahihi
@Byondorujulika178 ай бұрын
Asante sana mutumishi wa Bwana kwa ujumbe muzuri, karibu tena kwetu IOWA, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.
@EzekiaMichael-jn5np8 ай бұрын
Mchungaji nimekupenda sana Mungu akuweke na akupe maisha marefu na tusiitafute laana Kwa kuongelea vitu ambavo havipo kama wanaweza wapambane na walio hai
@josephmandelapenet45878 ай бұрын
This Man was an extraordinary he shook the world when he was alive and still shaking when he is dead
@edwinmbunda67098 ай бұрын
Exactly 💯
@annastaziamwakasege13668 ай бұрын
Very true
@jbm63098 ай бұрын
He was a true man of God
@Theinspector218 ай бұрын
He was a high level witch doctor. Even Hitler did the same.
@leahmollel65898 ай бұрын
Mch Hananja Mungu akibariki sana! Wewe ni hazina kubwaaa👏👏👏🙏🙏🙏
@OmbeniLuka8 ай бұрын
Hananja ni mchungaji mwenye uwezo mzuri wa kusimamia kweli ya Neno la Mungu
@salomemwambindo81818 ай бұрын
Mchungaji Mungu akubariki sana kwa hekima yako. Ninakukubali baba.
@aminakupila30798 ай бұрын
Tb Joshua is true man of GOD nimefadika sana ktk maombi hadi sasa. He told us before his death watch and pray 🤲🙏🙏🙏
@sweetlisious8 ай бұрын
walidhani wataharibu ukristo ..ukristo utasimama kama Mungu alivyotupa imani
Mwanangu alipokea uponyaji 2016.Na mimi nilipokea blessing nyingi mimi na familia yangu.YOTE YANAYOSEMWA NI UONGO .HAO WALIFUKUZWA KANISANI KW UTOVU WA NIDHAMU.MAAJENTI WA SHETANI.
T b Joshua was a true sevant of God, we miss you our father
@dancanmwamafupa68068 ай бұрын
Mungu ndiye ajuae usimsemee kwa mengi tutaona na tabia ya mtu si kuonekana unahubir tabia ya mtu ni pale anapokuwa peke yake kila binadamu ni mtumishi wa mungu jukumu la binadamu kuumbwa ni kumtumikia muumba wake
@VioletNamz-tq4tg8 ай бұрын
Asante sana baba kwaufafanuzi mzuri, jamani mtaraniwa kusema vibaya watumishi wa bwana. Mungu tusamehe.
@Electricalmechanicaltanzania8 ай бұрын
Laiti kama TB joshua angekua Mzungu basi hio documentary ingekua ya masia wa Karne hii. Moja kati ya mkakati uliopo nikuopress the african Superiority. TB a was great Man of God.
@sweetlisious8 ай бұрын
TB Joshua alikuwa anapinga ushoga na juzi papa aliongea kuhalalisha ushoga wameona makanisa ya kilokole mengi yamepinga sasa wameona wapitie njia ya kuchafua ulokole na wameshindwa.
@geofreymilinga29658 ай бұрын
Kweli Kabisa
@christinewomanoffaith54798 ай бұрын
Yes, na mkakati mwingine ni kuua Imani ya kikristo! Hapa wala hoja sio tbjoshua
@apostle_AngazaGN8 ай бұрын
uko sahihi kabisa,mtu mweusi awe chini kufuta legacy yake kabisa
@godson.gidion73388 ай бұрын
Mchungaji wetu,ni Yesu Kristo, Haya yoooote ni kuchafuana,Wapeleke huko Ushoga wao,kwani Mchungaji wetu Hananja, Yupo sawasawa, Yaani sijui hao wanaojitokeza kumchafua Mtu ambaye tayari ni Marehemu ATI inawasaidia nini ?
@TinaNicolaus8 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.Una maneno ya hekima na busara sana.
@sweetlisious8 ай бұрын
Hananja una akili sana kwa kusimama na ukristo Mungu akubariki.
@nestasanga84338 ай бұрын
Umenena mtumishi wa Mungu, ubarikiwe sana,wanapigana na imani Yetu Ili kuzika ukristo na Imani zetu,hawataweza
@mauajuma37628 ай бұрын
Asantee Baba Mchungaji kwa Hekima zako,wengi tungejua hivi
@Teulesmwaseba8 ай бұрын
Ukiona vizuri hizi ni roho chafu zilizotumwa kushambulia watumishi wa MUNGU na kuwachafua,lengo ni kushambulia watu imani zao wasimwamwini MUNGU na YESU ili wasiabudu MUNGU, shetani awapate vizuri,..ni vita ya kiroho hii, na nyakati za mwisho hizi watumishi wengi wa MUNGU wanafedheheshwa na kudharirishwa sana..imani ya YESU inashambuliwa sana..
@MasawefamilyTv8 ай бұрын
This man be protected for all costs ❤
@patrickagri1858 ай бұрын
Thank you baba umenena vyema, Mungu akubaliki
@SHELLAAUSI8 ай бұрын
Mungu akubariki mchungaji Ananja kwa hekima ya Kiungu
@fatumaminyeko18758 ай бұрын
Amen Amen neno dokilakitu baba ubarikiwe Sana mtumishi
@noeldismas73408 ай бұрын
Dr. Hananja, umebarikiwa na hekima kubwa, Mungu akubariki mnoo, endelea kuelimisha jamii
@maryamsuleiman15098 ай бұрын
Asante sana Baba
@gwizalandkingaru67328 ай бұрын
Hao wote ni watu wa mungu ndio maana ukweli wa kanisa unauchambua vilivyo na mwisho watu wanawatengenezea kesi kwa ukweli wao wa kumtangaza mungu
@dorcasmasinde73498 ай бұрын
Asante sana mtumishi wa mungu kwa majibu ya hekima kama ya mfalme Suleiman mungu na akubariki sana.
@anza-amenndossa44038 ай бұрын
Hawa wote wanaomsema vibaya TB Joshua ni Wafuasi wa MPINGA KRISTO
@lilianeerica33188 ай бұрын
Ukihangalia vizuri hili ni boom lililotengenezwa ili kuharibu u kristo maana ingekua kweli lwanini hawakusema mapema watu wote hao amekosa hata mumoja wakutoa siri kweli Mungu atupe uelevu wa kiroho Ameeeeeen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 hii ni vita ya kiroho pia ni kazi ya shetani tuwe makini sana🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@daslamonline46658 ай бұрын
Kwa hiyo hata Mackenzie angekufa mngekanusha kwanini yeye Tu wamekufa wangapi wasafi hatukusikia ya hivyo 👉 Acha watu wajue aliyo Fanya nyuma ya bible usafi WA ulimi sio usafi wa nafsi,,
@SALOMEMWAILENGE8 ай бұрын
Mungu akubariki mch Hananja
@Sifam6348 ай бұрын
Mungu wa mbinguni azidi kukubariki mutumishi
@gasparpeter40498 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. Kwakweli wewe ni mtumishi wa Mungu wa kweli na msema kweli.
@osianamwabuka23218 ай бұрын
Hao ni mawakala wanatafuta kupotosha kanisa la Mungu,sio wakristo wala wanafunzi wa yesu kweli
@loemaangelo87798 ай бұрын
Mungu akuweke muda mrefu ili uendelefe kutuelimisha nakutufundisha hekima mungu awe pamoja nawe daima
@EzbonKashaga-u8m8 ай бұрын
Mungu akubariki mchungaji,Maombi yangu kwako...uanzishe mahubiri ya mtandaoni..ili wengi tupate kulijua Neno la Mungu kweli..na kweli ituweke huru
@OmegaDelta-z6t8 ай бұрын
Jamani jamani watanzania acheni kuwachafua watumishi wa Mungu
@gracesylvester37178 ай бұрын
TB JOSHUA 😘😘😘😘 NI PRACTICALLY YESU MWENYEW NDANI YA MWILI WA MWANADAM..
@brendajulius29958 ай бұрын
Weee Acha makufuru khaaaa😮
@BenedictaMagantg8 ай бұрын
Well said Mchungaji.
@janetkiewo3518 ай бұрын
Walimsema Bwana Yesu ubaya wa kila namna yeye akiwa mti mbichi watamwachaje T.B. Joshua? Shetani anatafuta kulipa kisasi alikanyagwa sana na T.B. Jishua. Hakuna jipya. Bwana Yesu aliwaasa wanafunzi wake kuhusu haya haya! Mungu ailaze pahali pema roho ya T.B. Joshua.
@paschalsafari97478 ай бұрын
Alikuwa wakala wa shetani
@goldmansun58598 ай бұрын
@@paschalsafari9747yesu alikuwa wakala wa shetani?duuh wew kwel duuh, rudi kuzimu muda wenu bado haujafika
@lellovenance57028 ай бұрын
Watu walitishwa waliogopa kufa alikuwa na pawa haya yule aliyemfata akiwa anajirekodi mbona alijikataa tena mbona ni kikundi cha watu, lakin yesu alionya watakuja watatumia jina lake vibaya
@goldmansun58598 ай бұрын
@@lellovenance5702 hivi wew kwa akil zako mtu anabakwa mara tatu, wanafunz wak weng tu wanapinga hiyo ishu, tb Joshua alishaingia kweny ugomv na media na magharib alipokuwa against ushoga bro, tatizo lilianzia hapo, fuatilia, Yesu mwenyew katukanwa na kasingiziwa mengi, soma talmud utajua, matunda ya tb Joshua meng ni mema, hta nafundisho yak,nafikir tujikite kweny mazur maana mengi sana achana kusuport huu uongo, pawa gan wew mbele ya bbc
@LastdayJesu41538 ай бұрын
Siku za mwisho zinaambatana na watu wenye tabia hizi zinazoendelea hakuna jipya mtumishi.
@jaotetv63087 ай бұрын
Pastor unahekima sana Mungu akuzidishe zaidi.
@elizabethkitundu19368 ай бұрын
Neno la Mungu litaendelea kusimama hata kama TB Joshua amelala,walijua kanisa lake litafungwa kwavile yeye hayupo ndio kwanza mafuriko ya watu kutoka pande zote za dunia na hakuna anayewezakuvunja kazi hii!
@mohamedmkumbwa8 ай бұрын
True..Mchungaji Hananja..
@abubakaldismasdismasdismas78 ай бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji. Hekima uliyo ionyesha ni ya kipekee. T.B Joshua aliwahi kusema kwamba "Midomo ya watumishi wa Mungu ina mamlaka ya na mamlaka hiyo ni kujenga na wala sio kubomoa"
@joshuaalsel58288 ай бұрын
Maombi yakusimanga, umeniuwa na cheko. Pasta Mungu akubariki
@gerkombo65128 ай бұрын
HANANJA THE GREAT!
@nyanchokachacha99548 ай бұрын
Umenena vizuri Mchungaji HANANJA
@rosemneney32448 ай бұрын
Huyu mchungaji au chawa wa wasanii hovyo kabisa
@lightnessmushi81378 ай бұрын
We ndo feki
@leahmollel65898 ай бұрын
Nawaza tuu kwa sauti! Haya yanayosemwa kuhusu mtumishi huyu Joshua hivi kwa wazungu kwao hayapoo! Waafrika na wakristo Mungu atupe jicho la tatu😭🙏
@angle36008 ай бұрын
Nimecheka nimecheka hapo pa watumishi kuhaha,utadhani mganga kaona msekule😂😅
@silvesterrichardhelenya13198 ай бұрын
BBC waongo Sana wanachonganisha dini na WAUMINI
@esthersongambele34977 ай бұрын
Uko sahihi wachonganishi Sana, wanataka tuharibikiwe na Mungu wetu ni mwema Sana hatarihusu hayo juu yetu
@jeaninekabano91908 ай бұрын
Huu ni upinzani wa ukristu wa wazi na Huduma ya T B Joshua Mama Evelyn T B Joshua Mungu atamtumia kwa kiwango cha juu yatapita tuu Wakristo kuweni macho ❤
@PhilomenaStephern8 ай бұрын
NI NJIA YA MPINGA KRISTO. WANACHAFUA WATU WA MUNGU ILI KONDOO WATAWANYIKE. NA WATUMISHI WENGINE WASUBIRI YAMETABIRIWA NA WAKRISTO WENGINE MAMBO YANAWAIJIA OMBENI SANA MAMBO YAMEANZA MTAONA NA MTASIKIA MENGI. TUOMBE SANA SANA WAKRISTOTUKO VITANI TUOMBE SANA.
@beatricenangale54398 ай бұрын
Wakristi wajihadhari sana, kwa maana wanashambuliwa kuua Ikristu Bilaa kujijua, 1. Mata T.B Joshua, 2. Mara Mwamposa 3. Mara Papa Francis anapakaziwa hivi, tofaiti kabisa na maneno aliyosema Hizo ni mbinu, amkeni wakristu
@NeemaWilliam-n7t8 ай бұрын
Kwakweli baba yangu nakushuru kwa hekima Mungu aliyokupa barikiwa kwa ufafanuzi na hekima iliyotukuka Mungu akutunze na akupe hekima iliyo ya juu sana
@emmanuelthomas49678 ай бұрын
Wewe mtumishi wa MUNGU kweli, wafundishe wachungaji wanaofundisha uganga badala ya NENO. Barikiwa sana Baba.
@neemambunda20048 ай бұрын
Heshima yangu kwako mtumishi
@JuniorLameck-ek5es3 ай бұрын
Mzee nakukubali sana
@berthamushi68918 ай бұрын
Mtumishi Mungu Akubariki maana Mungu amekufunulia mambo Makuu tena roho hizo zipo nyingi mno za kuwasema watumishi ila kwa ambaye ameshatangulia mbele za haki ni kwamba wanataka kupunguza Nguvu ya Ukristo ili wafanye mambo wanayoyataka.
@marinemodest17988 ай бұрын
Barikiwa Mch. Barikiwa sana
@josephosborne3072Ай бұрын
Intelligent man
@DeusMbalamwezi-h7t8 ай бұрын
Nashukuru kwa hekimayako Mzee wetu ❤
@lilianmoyo3168 ай бұрын
Ubarikiwe mchunganyi kwa hekima kubwa
@mercylema83278 ай бұрын
Ubarikiwe Mch umesema ukweli Binadamu wengine hawaonagi mema ni kutafuta mabaya tu
@laninjeje82908 ай бұрын
Na huu ujinga upo kwa Pascal Casian na kikosi kazi, kila siku ni stori za Freemason na kutukana wachungaji wengine😂😂
@annasolomon98558 ай бұрын
Mjinga yule Kila mtumishi kwake ni freemason.. unajua simwelewagi.. 😊😊
@anitavictoire12128 ай бұрын
Nakuamini Ka Bisa
@faithfaith-zr6gz8 ай бұрын
Asante Asante baba kabisa, Hiyo ni roho ya wivu.
@oswardmwakalobo70318 ай бұрын
Nakukubar sana
@danielmushi57558 ай бұрын
Hao wanaosema kuhusu TBJOSHUA ni waovu mno ,mie nilifika Kanisani kwake,nilikutanaye naye ,aliniombea na nilipona.Lengo la hawa wahuni ni kupinga Ukristo.
@speciozakaloli8 ай бұрын
Wivu tu unawasimbua
@ip_header8 ай бұрын
Well said 👏
@macharosandra94678 ай бұрын
T.B Joshua alinipinga sana ushoga,.. ndio maana wanamchafua
@sweetbertrwiza59828 ай бұрын
Kweli ukigusa ushoga watakula na wewe saani moja
@eben_ezer88538 ай бұрын
😂😂😂😂😂Ila huyu Baba nampenda sanaaa
@tinertv13828 ай бұрын
Kabisa mtumishi wache wamseme mimi sitanyanyua mdomo nilipokea uponyaji
@geofreymilinga29658 ай бұрын
Tupo pamoja na mm nilipokea Uponyaji ambao madaktar bingwa walishindwa
@stellahebenezer67298 ай бұрын
Mchungaji hatujaharibikiwa kwa kwenda kule. Mimi nilikwenda kule kwa ajili ya uponyaji nilipona. Na kiwango cha imani kilipanda. Mtumishi yeyote wa ukweli wa Mungu aliye hai lazima apitie hayo yote. Accussations, intimidations, etc. Kama aliyopitia Bwana Yesu. Hiyo vita ni ya ukristo sio ya TB Joshua. Wanataka kuanzisha dini moja dunia nzima, sasa laxima watafute mbinu za kuwapata waumini. Na wenye imani haba na wale walio kuwa affected na vita hivi watapatikana. Prophet TBJoshua ni nabii wa ukweli wa Mungu. Na amevuna nafsi nyingi sana dunia nzima kwa Yesu Kristo.Sasa zile nafsi zilizovunwa ndio tatizo. ZilitakiwA kubaki kwa shetani. Sio vita ya TB Joshua ni vita against ukristo.
@otaibonny88358 ай бұрын
Wewe bora kujitolewa kwa hio kiza, hakuna kitu cha Bure kutoka shetani… najua walioenda huku na baada waliongezeka bahati mbaya.. usidanganywe huyu alikuwa mchawi mkubwa kabisa.
@lankemeleji21588 ай бұрын
Umenena ukweli...
@davidbochela14418 ай бұрын
Ukiona mtu haoni shida kudhihaki jambo asilojua basi Hilo sio hali ya kawaida@@otaibonny8835
@mwameposanga29738 ай бұрын
Ameni
@MbangulaTungaliwe7 ай бұрын
Mnakuwa chawa mpaka katika ishu za TB
@oliviawakaba56498 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu barikiwa sana.
@WiselightOfficial8 ай бұрын
Baba mwenye hekima ambaye namsikiliza ❤
@rosepodi41278 ай бұрын
😂😂😂😂😂Ameen I love this pastor ❤❤
@allythabiti81508 ай бұрын
Polen wakristo kuchafuliwa ila BBC wangempumzisha marehemu maana wanamsakama saana
@sweetbertrwiza59828 ай бұрын
Hawatusumbui hawa BBC maana tumeishawajua lengo lao ni kueneza ushoga na usagaji
@h.jrugashaula12968 ай бұрын
Mzee amezungumza kwa hekima sana
@judicalosika76428 ай бұрын
Una AKILI SANA Mch. HANANJA. UNASEMA KWELI KABISA KABISA.
@aishanelly20268 ай бұрын
Jmani achani maneno..Africa acheni kurubuniwa Ukiristo wet ahuuu wapi Africa!,,, waanatafuta kuendeleza ushoga Africa Mtafuteni Yesu wetu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🧚🏿🧚🏿🧚🏿
@stellahzacharia87438 ай бұрын
Waseme wasemavyo wamepungukiwa na maono mnao msema mtumishi wa Mungu hali hayupo mlikuwa wapi akiwa hai wanao msema vibaya ninyi wenyewe siku yenu ipo mtasemwa na mtatoa hesabu wachumia matumbo mnakazi yeye kamaliza je ya kwenu mmeyaficha
@MaryPamela8 ай бұрын
Asante kwa hekima yako.
@enesskatiti38188 ай бұрын
Mch huyo mwanamke atubu vinginevyo ana laana kwa kumchafua marehemu joshua
@francismbotomrutu27848 ай бұрын
TBJOSHUA alikuwa hakika Mtumishi wa Mungu. BBC imetoa Uongo mkubwa ulioongonzwa Bisola mwanamke wa Roho ya Jezabeli. Sasa ukweli unatoka uongo unajitenga.
@MwazoaMwazoa8 ай бұрын
Ukichunguza mamilioni ya wanawake waliokua wakimuendea TB joshua atawabaka wangapi au alikua na nguvu za kiume za kiwango gani.hamna binadamu wa hivyo nafsi inakinai chakula au kinywaji hata kiwe kizuri kwa kiwango gani.kwa umaarufu cheo haiba na pesa aliyokua nayo mchungaji hakuna mwanamke yeyote ambae angeombwa akachomoa.Ukiwa na pesa hata ukiwa na sura mbaya unaonekana HB mtanashati.labda wambake wao.
@annasolomon98558 ай бұрын
😅😅 umeongea point nzuri Sana 😊
@cosmaslunyembeleka2518 ай бұрын
Yani Watu wa Africa tunasumbuliwa vitu 3 Umaskini,Ujinga na Fikra hasi. Yani Hawa watu wa BBC uwa nawaita Bible Bandit Church Uwa Ni shirika la Shetani ambao wanasubiri watumishi wa Mungu hasa wa Kiafrica wenye uwezo mkubwa kuliko wao kiroho wafe au wawaue ndo wake na documentary za kuingiza pesa nyingi izo pesa wamewekeza kwa waafrica tena ili wazidi kuwachafua wenzao. Angalia Hawa ndio wanaoeneza ushoga kwa Kasi Africa kwa pesa alafu angalia mashoga walikuwa wakienda kwa TB Joshua kufunguliwa na wengi hasa wa kutoka Africa kusini walihacha ushoga. Ilikuwa Ni Vita ya away Wa BBC naTB Joshua. Angalia vijana wakiislam waliohacha kupambana na chi zao waliofunzwa na magharibi ugaidi.Alafu bado eti Ni wachunguzi. ?😊N😊😊
@christinewomanoffaith54798 ай бұрын
Wapuuzi kweli
@mwanobruno8 ай бұрын
Hakika Hawa watu wanaibua makaburi Kama waliuona anawatesa au anawbaka walitakiwa wamwendee na kumwambia
@sweetbertrwiza59828 ай бұрын
Sasa BBC hawahawa wanaotetea ushoga wana nini la maana la kutwambia bwana!!!!
@joycekashalaba35758 ай бұрын
Asante mchungaji Mungu azidi kukubariki
@asnathmasegenya98908 ай бұрын
Hekima za mchungaji Hananja
@vukoni18 ай бұрын
😂😂😂😂 Kila mtu ayingiye uwanjoni ku ingiza goli.... Ubadiliko ya sauti ni kujifanya kama mtu amesha jua bibilia tayari... Uwo mahojiano ni hatari kwa wadanganyifu ya ulimwengu ya leo... Baadhi ya walewanao uwezo la kudangaya Kwa ajili ya kutendea biashara neno ya mwenyezi mungu, wakae stareh siku ya ukumu. Shukurani zaidi Mchungaji
@aishandayishimiye51278 ай бұрын
❤❤❤❤❤much love
@FaustinKihambaSaragulwa8 ай бұрын
mtumishi uko vzr baba
@WillywiliamkihongossKihongoss7 ай бұрын
Uko vzur mchungaji weka nambazako tukutumie sadaka wafundishe wakristu wenzetu
@vibetz99918 ай бұрын
Huu ni moja ya mchakato wa kudhoofisha imani ya ukristo duniani ili agenda ya shetani ipate nafasi,,,,Ndo mana papa mwenyewe amebariki ushoga,,,,Lengo imani ya kweli ya ukristo ife,,,,,Kumtangaza Tb joshua kwa kiasi hicho manaake Wakristo wasiamini watumishi wao wa mungu kabisa
@ApolloniaMwinulaАй бұрын
Ntashangaa sana,hivi n nn mtu ameshakufa,SS inatusaidia nn hata alitenda machafu! Mtafutege kazi za kufanya!
@sadamkhamis90438 ай бұрын
Nakubali mzee sio mnafki kabisa unaongeaga ukweli.😅
@BonifaceMaPunda-r5l6 ай бұрын
👍
@Kwelihukuwekahuru8 ай бұрын
Ni juhudi za makusudi kuchafua Ukristo Yesu alishatupa angalizo kuwa tutakuwa na wapinzani wa Kristo
@anethmapima39018 ай бұрын
Walidhani kulala kwa TB Joshua kanisa litakosa nguvu sasa wanaona huduma inaendelea.
@geffdepoet59748 ай бұрын
Huyu anajua,,barikiwa sana
@faithfaith-zr6gz8 ай бұрын
Asante baba umenena vema.
@faithe40638 ай бұрын
Nampenda huyu pastor, ni kwa nini waongelee marehemu waache apumsike kwa Amani Yesu ndiye atahukumu