Uzuri WA Eliudi ni ana Uwezo WA kueleweka na Watu WA MJINI na Vijijini pia. Anatumia Visa halisia kwenye jamii kuwachekesha Watu. Such a wonderful talent. Walionielewa TUJUANE
@johnsilima1629Ай бұрын
Uzuri wa huyu jamaa anachekeaha bila kutumia nguvu afu story zake zimejipanga kwa mtiririko mzuri na vichekesho vyake havina matusi wala matamshi mabaya pia hana uchama wala utimu big up tunakupenda sana🙏🇹🇿💪
@ElshadaiconsolateurАй бұрын
Wa kwanza kutoka Dr Congo, jamani naomba likes zenu
@happyalicko8571Ай бұрын
𝕎𝕒𝕥𝕦 𝕨𝕒 𝕝𝕦𝕓𝕦𝕞𝕓𝕒𝕤𝕙 𝕥𝕦𝕛𝕦𝕒𝕟𝕖
@casmuiddy7304Ай бұрын
Huyu mtu anakitu sana na Kama hatumii nguvu sana 😂😂😂😂😂 I do appreciate him
@Iampanther_Ай бұрын
Huwez muelewa Eliud kama hujaishi kusini mwa Tz🎉😂😂jmaa anajua saana🙌🏾🙌🏾
@haikawilson2168 күн бұрын
Eliudi is the best comedian in Tanzania
@mtangag77429 күн бұрын
😂😂😂😂sema huyu jamaa ndo maan harudiagi maana anatunga story kutokana na watu hapohapo
@kwejimisobi4491Ай бұрын
😂😂😂 nimecheka mpaka nimelia, af nipo karib na watu wameanza kunishangaa tu. Mungu akuinue Zaid ka Eliud, akuketishe na wakuu
@ZuwenaAlly-dv7buАй бұрын
namshukur Mungu kwa ajili yako hakuna kitu rahis Mungu asikuache aongoze hatua zako
@hurumajosephat633328 күн бұрын
Yuko vzr ata ukiwa na familia unaangalia tu
@user-je8qx8ze8oАй бұрын
Nakuombeya Eliud mungu akuzidishiye nemaa sana tena sana
@pamelamboma6725Ай бұрын
😂😂😂😂 comedy yako nzuri sana mtu unainjoiiii unarelax
@EngelLameck-nz5nkАй бұрын
Mungu akupandishe Viwango vingine kaka angu ❤
@veronicahlusekelo5205Ай бұрын
Jamani eliudi kabla haujaongea me naanza kucheka
@edinamwanasenga1584Ай бұрын
Mungu akupe maisha mlf🎉🎉🎉
@Friday-nx8pmАй бұрын
Eliud jamani unajitahidi sana.
@veronicahlusekelo5205Ай бұрын
Ndagha wakukaja ❤❤❤❤
@HusnaHassani-jo7gqАй бұрын
Mungu akubaliki
@DrMboneaАй бұрын
Jamaa umenikumbusha kaka yangu akiachiwa kutuangalia anajikuta Baba mwenye nyumba 🤣🤣🤣
@gracethomas683Ай бұрын
😂😂
@MerycianaJustineАй бұрын
Ila eliud mungu akuzidishie sanaaaaaaaaaa
@tinasteve518115 күн бұрын
❤❤❤ Eliud you are extraordinary , cjaona tena kama Eliud
@tyivbraАй бұрын
Ur Kikuyu boy from Kenya
@EdgerJastneАй бұрын
Mngu akubaliki mkuu eliud unyenyekevu wako
@Paulina198728 күн бұрын
Umetisha
@lilianeerica33182 күн бұрын
Lily tena jmn😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@NasibuJuma-sb3od29 күн бұрын
Umetisha sana
@stevejohansen6246Ай бұрын
Good job bruu
@GabrielSoromonАй бұрын
Nakubali sana
@user-ms8yc5hq7sАй бұрын
Nyieeeee elika wangu umepitia vingi 😂😂😂😂
@emmanuelrobina4894Ай бұрын
Mungu aendelee kukubariki kaka
@amedeusmmanga8043Ай бұрын
Eliud sokapu hapaaaa
@deniskabungo3617Ай бұрын
Mungu awe nawe kaka ...kutoka uyole
@shafiikibwesi3076Ай бұрын
😂😂😂😂😂 daaaah very talented..
@geraldkapinga61127 күн бұрын
Jamaaa arudiag contents ndo ninachomkubal anaangalia audience t anaruk nayo
@EmanuelyMbagalla-rt2vm15 күн бұрын
Amekuja Rose wa mtaani kwao, tayari akaruka na wizi wa kuku kitaa chao. Ni mbunifu sana.
@barakaPaulo-ei8zpАй бұрын
Dah w jamaaa unajuaa sanaaa kak
@RoseTango-hu1ngАй бұрын
Big up My Brother
@ntimimalamula2104Ай бұрын
Unajua sana homie
@SauliMaliaki27 күн бұрын
😂eliud umeokoka kweli au mbona kama past kweli
@DograsMussa24 күн бұрын
Kweli
@ashadarusi58919 күн бұрын
Amen hakika
@user-ov7ge3ci6f20 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂nlskia kweee 😂😂😂 Slam kutoka kahama Tanzania
@gracepaul5901Ай бұрын
Nilikuwepo hapa Mbeya Tughimbe hotel live nilibarikiwa mno
@josephjoh8260Ай бұрын
😀😁😁 home boy umetisha
@user-lo3vb1oc3zАй бұрын
Umetisha sana bro.
@bahatirobert1009Ай бұрын
Eliudi ama tukuchoka😂😂😂😂😂
@LucyNtindaАй бұрын
bless up sana kaka Mungu akutunze
@mhifadhi79722 күн бұрын
My best comedian
@gladnessFiriminАй бұрын
Amen
@lazarofissoo5037Ай бұрын
Upendo wa hali ya juu kabisaaaa
@gracelutumo6911Ай бұрын
Nimepunga mkono kwa mbali, nzovwe Moja.
@StevenRobert-ld9nh29 күн бұрын
Daah we mwamba kwa kweli
@Mr.KibabuАй бұрын
Kitendo chakupiga Magoti kuombewa kizuri sana Kijana mnyenyekevu atafika mbali sana
@GRACENyanda-cn3pgАй бұрын
Amina
@getrudakalinga3600Ай бұрын
Neema mwaipopo❤❤
@malimajr8708Ай бұрын
Huo wimbo wa Matching aisee,Walionizalisha wamenikimbia😂😂😂😂
@gracethomas683Ай бұрын
😅😅😅
@samwelisack2076Ай бұрын
Homeboy bhana 😁😁😁😁
@user-mf2zb5qd4sАй бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 umetisha
@HebronGreadyАй бұрын
Good❤
@vailethkidumage310Ай бұрын
Aminaaa kubwa
@RobinsonMwangomoАй бұрын
😂😂😂 wabandue cement
@hussenikija669914 күн бұрын
Good job MC eliud
@user-je8qx8ze8oАй бұрын
Natamani nicheke kwa sauti ila naishi kwa wenyewe nawanajuwa nimelala😅😅😅😅😅
@MaryGeorge-bw1ynАй бұрын
Jomon mungu ukutunze
@JoyNzundaАй бұрын
Dah weee mwamba noma et kama ndoto
@lucasbatano33327 күн бұрын
Kazi nzuri
@MickyAluis-y3m19 күн бұрын
Yani atumii nguvu ili mtu acheke,ila utachekatu mwenyewe
@alisonmwankesa8617Ай бұрын
Ndaghaaa fhijhoooo
@gladnessFiriminАй бұрын
😂😂😂😂😂😂
@tadeymwalongo1528Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
@eliudmuchui5479Ай бұрын
Somo wangu
@martinlema4192Ай бұрын
Amen!
@MiracleJeremiaАй бұрын
❤❤
@rehemamwakateba6687Ай бұрын
Waoh
@GraceSichinga-bm4fhАй бұрын
😂😂😂😂nacheka watu wananishangaa ila eliud watoto wa 90mmeshindikanaa