Dakika Sitini Za Mwanzo Kila Unapoamka

  Рет қаралды 74,415

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 195
@alfredjamesmayuya5169
@alfredjamesmayuya5169 5 жыл бұрын
nashukuru mungu kwa kunitafutia torch sahihi inayoniwashia mwanga wa maisha
@kakapascal5090
@kakapascal5090 6 жыл бұрын
"Mwanangu, muda wako una kikomo hivyo basi kamwe usiupoteze bure kwa kuishi maisha ya mtu mwingine" asante ndugu kwa marudio ya kutukmbusha.
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
kabisa Pascal
@paschalmoris397
@paschalmoris397 6 жыл бұрын
Kaka Pascal o
@winniefrida1483
@winniefrida1483 6 жыл бұрын
Acha nianze na Chura kuanzia sasa Nitafika tu Mungu ni mwema Asante sana kaka Mungu akuweke zaidi na zaidi ili nije kukurejeshea mafanikio ya mafundisho yako
@justinefesto8426
@justinefesto8426 6 жыл бұрын
hii principle ya 80/20 ckuwa nmeielewa nlpokuwa nasoma kitabu cha Brian Tracy, sasa nmeelewa leo, thanx sir
@alexlucas1571
@alexlucas1571 5 ай бұрын
Kweli kabisa Kaka JOEL NANAUKA, hii hali inanikumba sana, ahsante sana kww ushauri bora huu
@MosesFikiriIbrahimu
@MosesFikiriIbrahimu 2 ай бұрын
Hii nzuri sana Toka 2018 Mimi. Nimesikia Leo Duuu
@kassimandrea8540
@kassimandrea8540 6 жыл бұрын
Allah akulipe kheri kaka Joel, mimi nimuajiri ktk offisi ya mtu binafsi,Ila chura wangu ni kuwa na offisi yangu, kila niamkapo dakika zangu 60 nafanya zoezi la viungo na naiangalia familia,ila my Dreams kuwa naoffisi yakwangu
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
safi sana Kassim,namini itakuwa hivyo siku moja na utanipa ushuhuda
@shukranjulius7310
@shukranjulius7310 6 жыл бұрын
Kaka Asante Mimi kiukweli nilikua napoteza muda mwingi ninapo amka muda mwingi nakua nachelewa kuchat
@irakozemaissarah4325
@irakozemaissarah4325 5 жыл бұрын
asante sana kaka joel najifunza mengi sana toka nimekufaham from+257
@ikirezijose5741
@ikirezijose5741 6 жыл бұрын
tuko pamoja frm +257 pia naamini yakwamba nitaanza tumiya iyo kanuni ya 5 ili niweze kufanikisha kile ninachoitaji kufikia.asante sana👏
@shukranjulius7310
@shukranjulius7310 5 жыл бұрын
Kiukweli Kaka nahitaji kubadilika lakini ugonjwa wangu mkubwa nikiamka chakwanza sm,namudamwingine najikuta nipobze hadi nakosa muda wakupumzika yote hiyo kutokujiwekea mikakati katika kazi
@SylviaCornelyBalemba-ne8ti
@SylviaCornelyBalemba-ne8ti Жыл бұрын
Chura wangu ni masomo, napaswa nisome Kwa bidii na kufaulu vzr sana
@pilumsolah1234
@pilumsolah1234 6 жыл бұрын
Eat That Frog Wangu ni kusoma.... Napenda sana kujisomea vitabu. Nakupenda Brother Joel umekuwa moja ya watu waliniinfluence sana kuelekea mafanikio yangu.
@danielwilliam9758
@danielwilliam9758 6 жыл бұрын
Ubalikiwe sana. Mwalimu umifundisha mambo mkubwa sana
@mjukuutvonline8373
@mjukuutvonline8373 6 жыл бұрын
kaka mimi ki ukweli umenijenga toka nimeanza kukufatilia, asante saana na Mungu akubariki saana sana, unatupa sana madini
@safiaabubakar1120
@safiaabubakar1120 6 жыл бұрын
Thanks Joel Nanauka mie mipango yangu ya mwaka ku focus kwenye masomo yangu ili doto zangu kutimia pale nitakapo chukua degree yangu 2019
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
safi sana naamini nitao picha zako za graduation mwakani
@abdallahmaloweka871
@abdallahmaloweka871 6 жыл бұрын
tenx bro nanauka keep teach us hope tutafika mbali kupitia mafunzo yako
@jescalyatuu5632
@jescalyatuu5632 6 жыл бұрын
My frog....! Barikiwa kaka Joel
@azzeaazza6331
@azzeaazza6331 6 жыл бұрын
Asanteeee Mwalim mm chura langu nikuja kua mwimbaji hodar was injili Ila natafuta pesa Kwanza zakunisaidia kurekod hivyo niki amka naamkia KAZI
@shadrackmchele8312
@shadrackmchele8312 5 жыл бұрын
Asante bro kiukweli tangu nianze kusikiliza crip zako mwaka huu ni wangu naamini
@eliezermtokoma2057
@eliezermtokoma2057 6 жыл бұрын
Asante kaka Joel nazidi kupata ufahamu kupitia we Mungu akuinue zaidi Eat that flog
@revocatusclevery1540
@revocatusclevery1540 6 жыл бұрын
asante bro,, keep it up! kanuni ya kupanga siku yangu na kanuni ya dakika 60. Mungu Akutunze brother
@mahambagislain9618
@mahambagislain9618 6 ай бұрын
Asante kaka Mungu akubariki 🎉🎉✍️🇨🇩
@herlychavdy2932
@herlychavdy2932 6 жыл бұрын
Kwangu mm nitaanza kuandika marengo yamgu kwanza kwakirasiku Mungu akuzidishia Nanauka unamoyo smart ndiomana unatuongoza.
@frankbrightony7460
@frankbrightony7460 6 жыл бұрын
Pamoja kaka Joel lakn mi nashndwa kufanya vyot ivo et
@emanuelshauritanga5284
@emanuelshauritanga5284 2 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana brother Joel wewe ni mubarikiwa na mteule ....👏👏👏👏👏
@alawiyadunga9068
@alawiyadunga9068 6 жыл бұрын
1. Andaa siku yako kabla haijaanza 2. 80/20 3. Finish the task 4. 60 Eat that 🐸 Thanks.
@linnetmbotto7212
@linnetmbotto7212 6 жыл бұрын
Nakukubali sana bro. Chura wangu mimi ni kula a bowl of green kila asubuhi ili kuongeza damu, lakini nakwepa sana kwasababu sipendi sio tamu. So hata nikijaribu ngumu aisee.. Thanks for ur advice
@paulmalongo7982
@paulmalongo7982 5 жыл бұрын
Ahsnte sana kiongoz, nabarkiwa saana Na masomo yako, Munvh naakuinue zaidi
@zariakamanda4767
@zariakamanda4767 5 жыл бұрын
Brooo...how to get your books...I want to learn more en more
@johnkawawa2183
@johnkawawa2183 4 жыл бұрын
Hongera kaka nimekuelewa sana
@Caryvv
@Caryvv 5 жыл бұрын
Leo yangu nzuri nimejifunza
@irenempogole35
@irenempogole35 5 жыл бұрын
Asante sana kaka ....nakufuatilia sana umebadlisha maisha yangu kwa kias kikubwa
@latiphahood7764
@latiphahood7764 5 жыл бұрын
Mm ntaanza na kanuni ya kwanza ya kuandaa cku yangu kabla haijaanza
@aggypatrick4164
@aggypatrick4164 4 жыл бұрын
asante sana kwakunifungua masikio nimeajiliwa na mtu na mimi nataka nijiajili
@johnsonemmanuelbenedicto2038
@johnsonemmanuelbenedicto2038 4 жыл бұрын
Naombeni msada mwalimu mimi swala la muda bado situmii mda vizuri
@iragibarumi8435
@iragibarumi8435 6 жыл бұрын
I'm from America thank you very much God bless you brother
@ngumaonline5550
@ngumaonline5550 6 жыл бұрын
Ahsante
@user-os9nb8ub6k
@user-os9nb8ub6k Жыл бұрын
Kaka uko vzur na sahii asante sana
@dennischarles8524
@dennischarles8524 6 жыл бұрын
Yaani huyo chura I'm just going to swallow without chewing, thanks for your advice
@bmwwbigchanel3722
@bmwwbigchanel3722 2 жыл бұрын
Ubarikiwe mwalimu
@mosesburton184
@mosesburton184 6 жыл бұрын
Good man
@benjaminkiula2453
@benjaminkiula2453 2 жыл бұрын
Thanks,am getting an idea about what I wanna start do (GOD bless you)
@mariammasatu4785
@mariammasatu4785 6 жыл бұрын
Asante sana bro chura wangu ni kwenda kuuza ice-cream shuleni
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Umetisha mariam,huwa unauza kila siku?
@susaitlenguisusu4141
@susaitlenguisusu4141 6 жыл бұрын
Kaka Nanauka endelea hivyo hivyo Ngoisusu from kenya
@leliapple2386
@leliapple2386 6 жыл бұрын
Pamoja Sana boss hii topic IPO kwenye kitabu gani
@jennymwakibasi2069
@jennymwakibasi2069 2 жыл бұрын
Habari nashukuru kwa kuwa sikuwahi kufikiria kuainisha kila asubuhi mambo ambayo yatachangia mafanikuo yangu
@blackwarrior-animations593
@blackwarrior-animations593 6 жыл бұрын
Brother Nauka ningependa Unipe list ya Vitabu mbalimbali ambavyo ni more valuable to life, boost up my financial &social wellbeing mentality........ Maana tumechoka kupitia Novels tu!
@kigodahaba5310
@kigodahaba5310 6 жыл бұрын
Thanks ipo ok Sana kwa kutanuwa mawanda
@suzanamaganga5661
@suzanamaganga5661 5 жыл бұрын
I like itttttttttttt
@arthurmbega3670
@arthurmbega3670 6 жыл бұрын
Gud brother I like ur motivation.
@khamismaulid8347
@khamismaulid8347 5 жыл бұрын
Kanun zote znanilenga ipaswavyo chura wangu ni physcs
@jacksonlameck9263
@jacksonlameck9263 5 жыл бұрын
Good idea my brother with clear lesson
@meshackngadango6855
@meshackngadango6855 5 жыл бұрын
Ahsante sana kwa somo zuri.Hapo kwenye kuandika malengo ya mwaka @ siku pana nipa shida yaani stress ndo zinazidi @ nikiangalia malengo hayo ya mwaka,,,nifanyaje?
@beatricetv5611
@beatricetv5611 6 жыл бұрын
Working out.na nitaanza kuitendea kazi zaidi kanuni ya eat that frog ... Nitakupa mrejesho hapa au kwenye grupu
@meshackngadango6855
@meshackngadango6855 5 жыл бұрын
Beatrice Abel Naomba kuungwa kwenye hilo group la wasap Tafadhari.
@philipkiliba1211
@philipkiliba1211 5 жыл бұрын
Me malengo yangu kak Joel Nanauka nikuwa mfanya biashala mkubwa San duniani.
@jembesumukagine1403
@jembesumukagine1403 4 жыл бұрын
Vizuri Sana Kwa kazi nzuri
@irenembise1618
@irenembise1618 5 жыл бұрын
Asante sana Mungu akubariki
@brhchannel6618
@brhchannel6618 6 жыл бұрын
Amina Brother Nakusikiliza hatua kwa hatua Daily.
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
nashukuru sana engineer
@noeldickson3187
@noeldickson3187 6 жыл бұрын
Eng.Muyengi Baraka
@ngininasungare4186
@ngininasungare4186 3 жыл бұрын
Thank you so much! Ushauri nzuri Sana.
@MosesFikiriIbrahimu
@MosesFikiriIbrahimu 2 ай бұрын
NASHUKURU SANA.. NZURI NIMESOMA nimesikiliza NDUGU YANGU NASHUKURU SANA
@marymungai8170
@marymungai8170 6 жыл бұрын
Mimi chura yangu ni mazoezi everyday nasema nitanzia mazoezi but najikuta nahairisha kila siku.
@magahumarwa5881
@magahumarwa5881 5 жыл бұрын
Eat that frog the principles of Avoiding procastination,, it really hep alot if u gat tym find it read it,, eat that frog the best among many!! Thank you bro
@othmanchande988
@othmanchande988 6 жыл бұрын
Frog wangu Natakiwa nianze na Mazoez kabla kujiandaa kuingia kazin ila huwa inanishinda mara nyingi nafanya jioni kwa uvivu sana.
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 3 жыл бұрын
Bomba sana
@jumaomar1454
@jumaomar1454 6 жыл бұрын
Nataka nitoke ktk kuajiriwa na nijiajiri mwenyewe
@vedastokeya3344
@vedastokeya3344 4 жыл бұрын
Daa hata mm Niko kujiandaa kuacha kazi nimejpa miaka miwili
@kpetres2872
@kpetres2872 3 жыл бұрын
😂😂😂njoo tuuze kachori. Maisha huru 😁
@yusufuuzuwila7512
@yusufuuzuwila7512 6 жыл бұрын
wengi wetu huwa tunapenda vitu virahis kwanza halafu vigumu vinafuata hali ya kuwa hauna muda na nguvu tena ya kufanya kitu kigumu 'eat that frog first' kauli hii inahitaji mipango madhubuti na mtu jasiri. Mi nakumbuka wakati nipo shuleni mwalim wangu wa hisabati alikua ananambia anza kufanya maswali mepesi kwanza halafu utarudia yale magumu kam muda bao upo. Tumelemazwa tukiwa watoto, sasa tunahitaji kubadilika..
@mwambauliohai5043
@mwambauliohai5043 5 жыл бұрын
teacher chura wangu Mimi ni kusoma
@kidongojoseph1792
@kidongojoseph1792 Жыл бұрын
God bless you 🙏 bro
@raginauthor1881
@raginauthor1881 6 жыл бұрын
am the first one to like today
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
RAGIN AUTHOR hongera sana,nashukuru kuwa mfuatiliaji mzuri
@mariamogelasanayohana7442
@mariamogelasanayohana7442 3 жыл бұрын
kaka napeda sana mazoezi asubui
@bintkiondo6882
@bintkiondo6882 6 жыл бұрын
ubarikiwe kaka
@safimusa1011
@safimusa1011 5 жыл бұрын
Shura wangu nikutengeneza bidhaa zisizo tegemea oda
@brightonwalter6682
@brightonwalter6682 5 жыл бұрын
Unachange akili yangu kabsa nakfatilia kila kpndi
@rosashy5076
@rosashy5076 6 жыл бұрын
mungu akubariki kaka .
@leoniaphilipo4351
@leoniaphilipo4351 6 жыл бұрын
Thanks and Noted Bro.
@isayasway8633
@isayasway8633 4 жыл бұрын
Thanks you very much
@iragibarumi8435
@iragibarumi8435 6 жыл бұрын
Umenifanya ni jitabue sana
@reubenkatenya4639
@reubenkatenya4639 6 жыл бұрын
nakupata Brother
@reubenkatenya4639
@reubenkatenya4639 6 жыл бұрын
niko Mza, ni muda sasa nimekuwa nikihitaji kitabu chako cha timiza malengo, sijafanikiwa kukipata mwl.
@rckilada5916
@rckilada5916 6 жыл бұрын
sante kaka joel ninaombi moja kama itafaa can you make a video inayoelezea jinsi ya kupanga siku yako nzima because i always try ila nakwama sehemu if possible tuoneshe hata kwa mfano ya kwako nitabarikiwa sana
@venassamweli2135
@venassamweli2135 4 жыл бұрын
Najifunza vitu vingi sana kwenye vpindi vyako Mungu akubaliki
@hoseakitomary7102
@hoseakitomary7102 2 жыл бұрын
Be blessed bro
@raginauthor1881
@raginauthor1881 6 жыл бұрын
TABIA KUMI NAMBILI ZINALETA MAFANIKIO, nakumbuka kuna hicho kipengele
@christopherkapungu6222
@christopherkapungu6222 6 жыл бұрын
Asante sana
@jescathomas6991
@jescathomas6991 3 жыл бұрын
I real appriciate your work
@happymbare2770
@happymbare2770 6 жыл бұрын
andaa ratiba yako kbda sku yko haijaanza kaka MUNGU akbariki Sana huwa skos kkflia kipnd chko njfnza mengi sana 🙏🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Ameen Happy thanks sana
@rashidkihombo6782
@rashidkihombo6782 4 жыл бұрын
Kanuni namba 5
@mwangazajoyce2287
@mwangazajoyce2287 4 жыл бұрын
Thanks brother
@johnsonemmanuelbenedicto2038
@johnsonemmanuelbenedicto2038 4 жыл бұрын
Mimi naona nikitumia mda vizuri naona maisha yatabadilika saana
@herimailo8183
@herimailo8183 Жыл бұрын
Asante brother
@abelmwilapwa1111
@abelmwilapwa1111 4 жыл бұрын
Asante my blood
@robertemmanuel5922
@robertemmanuel5922 6 жыл бұрын
Una mawazo Chana broo penda Sana wewe👍
@neemajohn9307
@neemajohn9307 4 жыл бұрын
Nimekuelewa
@sebaboniphace570
@sebaboniphace570 6 жыл бұрын
unanibariki sn
@salmadalaquimane5303
@salmadalaquimane5303 6 жыл бұрын
Daaah asante bba nakuelewaga sana
@nzisakasau8234
@nzisakasau8234 6 жыл бұрын
mafundisho mazuri sana
@eliazalyemmanuel9478
@eliazalyemmanuel9478 5 жыл бұрын
chula yangu ni kuwa na latiba ndani ya life yang then miladi iwe kipaumbere kaka joel niko nawe bega kwa bega
@Sirjimmyb2
@Sirjimmyb2 6 жыл бұрын
Asante mkuu, nakuelewa
@marynsonga7272
@marynsonga7272 6 жыл бұрын
nakuelewa xana
@chrisssebby8516
@chrisssebby8516 6 жыл бұрын
Naanza na kanuni ya 80/20
@susaitlenguisusu4141
@susaitlenguisusu4141 6 жыл бұрын
be blessed brother Ngoisusu
@alphamenson3784
@alphamenson3784 6 жыл бұрын
wen i wake up the first thing I used to do daily is to feed ma mind(soul), all i wanna do is to be consistent to ma purpose cuz the harder the battle the bigger the reward, OH YEAH am ready to eat dat frog, n am hungry.
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
safi sana Kendrick
@emmamoke6407
@emmamoke6407 5 жыл бұрын
Bjr tabia mbaya yangu ni kuto kamilisha mara nyingi nilioanza , akini nyakati ninapo kamilisha nililo lianza nasikiya furaha na amani ?
@munirabdully1694
@munirabdully1694 6 жыл бұрын
Kuwa mtaalam wa kilmo na mifugoo ilii kuitumikia jamii kiufanisi zaidi huyoo ndio chura wa kila ckuu "mbinuu natarajia kwenda kusoma
Njia 4 Za Kuongeza Thamani Yako Ili Ulipwe Zaidi
22:28
Joel Nanauka
Рет қаралды 46 М.
Ishi Katika Uwezo Wako Wa Kipekee Sehemu Ya Kwanza
17:27
Joel Nanauka
Рет қаралды 105 М.
Blue Food VS Red Food Emoji Mukbang
00:33
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 36 МЛН
ДОКАЗАЛ ЧТО НЕ КАБЛУК #shorts
00:30
Паша Осадчий
Рет қаралды 1,7 МЛН
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 53 МЛН
FANYA JAMBO MOJA KWA MUDA MREFU - JOEL NANAUKA
29:30
Joel Nanauka
Рет қаралды 180 М.
UMUHIMU WA KUWEKA AKIBA YA FEDHA- Anthony Luvanda
13:31
TonyInspirationalTalk
Рет қаралды 4,5 М.
Inawezekana Kufikia Malengo Yako Usikate Tamaa   Joel Arthur Nanauka
23:06
Mambo ya Kuzingatia Ukitaka Kufanikiwa Kwenye Maisha - Joel Nanauka
17:05
SAIKOLOJIA YA RANGI NA TABIA ZA MWANADAMU - JOEL NANAUKA
11:06
Joel Nanauka
Рет қаралды 21 М.
Maximizing your season - Joel Nanauka
1:23:37
Destiny City Church
Рет қаралды 13 М.
Blue Food VS Red Food Emoji Mukbang
00:33
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 36 МЛН