nashukuru mungu kwa kunitafutia torch sahihi inayoniwashia mwanga wa maisha
@kakapascal50906 жыл бұрын
"Mwanangu, muda wako una kikomo hivyo basi kamwe usiupoteze bure kwa kuishi maisha ya mtu mwingine" asante ndugu kwa marudio ya kutukmbusha.
@joelnanauka6 жыл бұрын
kabisa Pascal
@paschalmoris3976 жыл бұрын
Kaka Pascal o
@winniefrida14836 жыл бұрын
Acha nianze na Chura kuanzia sasa Nitafika tu Mungu ni mwema Asante sana kaka Mungu akuweke zaidi na zaidi ili nije kukurejeshea mafanikio ya mafundisho yako
@justinefesto84266 жыл бұрын
hii principle ya 80/20 ckuwa nmeielewa nlpokuwa nasoma kitabu cha Brian Tracy, sasa nmeelewa leo, thanx sir
@alexlucas15715 ай бұрын
Kweli kabisa Kaka JOEL NANAUKA, hii hali inanikumba sana, ahsante sana kww ushauri bora huu
@MosesFikiriIbrahimu2 ай бұрын
Hii nzuri sana Toka 2018 Mimi. Nimesikia Leo Duuu
@kassimandrea85406 жыл бұрын
Allah akulipe kheri kaka Joel, mimi nimuajiri ktk offisi ya mtu binafsi,Ila chura wangu ni kuwa na offisi yangu, kila niamkapo dakika zangu 60 nafanya zoezi la viungo na naiangalia familia,ila my Dreams kuwa naoffisi yakwangu
@joelnanauka6 жыл бұрын
safi sana Kassim,namini itakuwa hivyo siku moja na utanipa ushuhuda
@shukranjulius73106 жыл бұрын
Kaka Asante Mimi kiukweli nilikua napoteza muda mwingi ninapo amka muda mwingi nakua nachelewa kuchat
@irakozemaissarah43255 жыл бұрын
asante sana kaka joel najifunza mengi sana toka nimekufaham from+257
@ikirezijose57416 жыл бұрын
tuko pamoja frm +257 pia naamini yakwamba nitaanza tumiya iyo kanuni ya 5 ili niweze kufanikisha kile ninachoitaji kufikia.asante sana👏
@shukranjulius73105 жыл бұрын
Kiukweli Kaka nahitaji kubadilika lakini ugonjwa wangu mkubwa nikiamka chakwanza sm,namudamwingine najikuta nipobze hadi nakosa muda wakupumzika yote hiyo kutokujiwekea mikakati katika kazi
@SylviaCornelyBalemba-ne8ti Жыл бұрын
Chura wangu ni masomo, napaswa nisome Kwa bidii na kufaulu vzr sana
@pilumsolah12346 жыл бұрын
Eat That Frog Wangu ni kusoma.... Napenda sana kujisomea vitabu. Nakupenda Brother Joel umekuwa moja ya watu waliniinfluence sana kuelekea mafanikio yangu.
@danielwilliam97586 жыл бұрын
Ubalikiwe sana. Mwalimu umifundisha mambo mkubwa sana
@mjukuutvonline83736 жыл бұрын
kaka mimi ki ukweli umenijenga toka nimeanza kukufatilia, asante saana na Mungu akubariki saana sana, unatupa sana madini
@safiaabubakar11206 жыл бұрын
Thanks Joel Nanauka mie mipango yangu ya mwaka ku focus kwenye masomo yangu ili doto zangu kutimia pale nitakapo chukua degree yangu 2019
@joelnanauka6 жыл бұрын
safi sana naamini nitao picha zako za graduation mwakani
@abdallahmaloweka8716 жыл бұрын
tenx bro nanauka keep teach us hope tutafika mbali kupitia mafunzo yako
@jescalyatuu56326 жыл бұрын
My frog....! Barikiwa kaka Joel
@azzeaazza63316 жыл бұрын
Asanteeee Mwalim mm chura langu nikuja kua mwimbaji hodar was injili Ila natafuta pesa Kwanza zakunisaidia kurekod hivyo niki amka naamkia KAZI
@shadrackmchele83125 жыл бұрын
Asante bro kiukweli tangu nianze kusikiliza crip zako mwaka huu ni wangu naamini
@eliezermtokoma20576 жыл бұрын
Asante kaka Joel nazidi kupata ufahamu kupitia we Mungu akuinue zaidi Eat that flog
@revocatusclevery15406 жыл бұрын
asante bro,, keep it up! kanuni ya kupanga siku yangu na kanuni ya dakika 60. Mungu Akutunze brother
@mahambagislain96186 ай бұрын
Asante kaka Mungu akubariki 🎉🎉✍️🇨🇩
@herlychavdy29326 жыл бұрын
Kwangu mm nitaanza kuandika marengo yamgu kwanza kwakirasiku Mungu akuzidishia Nanauka unamoyo smart ndiomana unatuongoza.
@frankbrightony74606 жыл бұрын
Pamoja kaka Joel lakn mi nashndwa kufanya vyot ivo et
@emanuelshauritanga52842 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana brother Joel wewe ni mubarikiwa na mteule ....👏👏👏👏👏
@alawiyadunga90686 жыл бұрын
1. Andaa siku yako kabla haijaanza 2. 80/20 3. Finish the task 4. 60 Eat that 🐸 Thanks.
@linnetmbotto72126 жыл бұрын
Nakukubali sana bro. Chura wangu mimi ni kula a bowl of green kila asubuhi ili kuongeza damu, lakini nakwepa sana kwasababu sipendi sio tamu. So hata nikijaribu ngumu aisee.. Thanks for ur advice
@paulmalongo79825 жыл бұрын
Ahsnte sana kiongoz, nabarkiwa saana Na masomo yako, Munvh naakuinue zaidi
@zariakamanda47675 жыл бұрын
Brooo...how to get your books...I want to learn more en more
@johnkawawa21834 жыл бұрын
Hongera kaka nimekuelewa sana
@Caryvv5 жыл бұрын
Leo yangu nzuri nimejifunza
@irenempogole355 жыл бұрын
Asante sana kaka ....nakufuatilia sana umebadlisha maisha yangu kwa kias kikubwa
@latiphahood77645 жыл бұрын
Mm ntaanza na kanuni ya kwanza ya kuandaa cku yangu kabla haijaanza
@aggypatrick41644 жыл бұрын
asante sana kwakunifungua masikio nimeajiliwa na mtu na mimi nataka nijiajili
@johnsonemmanuelbenedicto20384 жыл бұрын
Naombeni msada mwalimu mimi swala la muda bado situmii mda vizuri
@iragibarumi84356 жыл бұрын
I'm from America thank you very much God bless you brother
@ngumaonline55506 жыл бұрын
Ahsante
@user-os9nb8ub6k Жыл бұрын
Kaka uko vzur na sahii asante sana
@dennischarles85246 жыл бұрын
Yaani huyo chura I'm just going to swallow without chewing, thanks for your advice
@bmwwbigchanel37222 жыл бұрын
Ubarikiwe mwalimu
@mosesburton1846 жыл бұрын
Good man
@benjaminkiula24532 жыл бұрын
Thanks,am getting an idea about what I wanna start do (GOD bless you)
@mariammasatu47856 жыл бұрын
Asante sana bro chura wangu ni kwenda kuuza ice-cream shuleni
@joelnanauka6 жыл бұрын
Umetisha mariam,huwa unauza kila siku?
@susaitlenguisusu41416 жыл бұрын
Kaka Nanauka endelea hivyo hivyo Ngoisusu from kenya
@leliapple23866 жыл бұрын
Pamoja Sana boss hii topic IPO kwenye kitabu gani
@jennymwakibasi20692 жыл бұрын
Habari nashukuru kwa kuwa sikuwahi kufikiria kuainisha kila asubuhi mambo ambayo yatachangia mafanikuo yangu
@blackwarrior-animations5936 жыл бұрын
Brother Nauka ningependa Unipe list ya Vitabu mbalimbali ambavyo ni more valuable to life, boost up my financial &social wellbeing mentality........ Maana tumechoka kupitia Novels tu!
@kigodahaba53106 жыл бұрын
Thanks ipo ok Sana kwa kutanuwa mawanda
@suzanamaganga56615 жыл бұрын
I like itttttttttttt
@arthurmbega36706 жыл бұрын
Gud brother I like ur motivation.
@khamismaulid83475 жыл бұрын
Kanun zote znanilenga ipaswavyo chura wangu ni physcs
@jacksonlameck92635 жыл бұрын
Good idea my brother with clear lesson
@meshackngadango68555 жыл бұрын
Ahsante sana kwa somo zuri.Hapo kwenye kuandika malengo ya mwaka @ siku pana nipa shida yaani stress ndo zinazidi @ nikiangalia malengo hayo ya mwaka,,,nifanyaje?
@beatricetv56116 жыл бұрын
Working out.na nitaanza kuitendea kazi zaidi kanuni ya eat that frog ... Nitakupa mrejesho hapa au kwenye grupu
@meshackngadango68555 жыл бұрын
Beatrice Abel Naomba kuungwa kwenye hilo group la wasap Tafadhari.
@philipkiliba12115 жыл бұрын
Me malengo yangu kak Joel Nanauka nikuwa mfanya biashala mkubwa San duniani.
@jembesumukagine14034 жыл бұрын
Vizuri Sana Kwa kazi nzuri
@irenembise16185 жыл бұрын
Asante sana Mungu akubariki
@brhchannel66186 жыл бұрын
Amina Brother Nakusikiliza hatua kwa hatua Daily.
@joelnanauka6 жыл бұрын
nashukuru sana engineer
@noeldickson31876 жыл бұрын
Eng.Muyengi Baraka
@ngininasungare41863 жыл бұрын
Thank you so much! Ushauri nzuri Sana.
@MosesFikiriIbrahimu2 ай бұрын
NASHUKURU SANA.. NZURI NIMESOMA nimesikiliza NDUGU YANGU NASHUKURU SANA
@marymungai81706 жыл бұрын
Mimi chura yangu ni mazoezi everyday nasema nitanzia mazoezi but najikuta nahairisha kila siku.
@magahumarwa58815 жыл бұрын
Eat that frog the principles of Avoiding procastination,, it really hep alot if u gat tym find it read it,, eat that frog the best among many!! Thank you bro
@othmanchande9886 жыл бұрын
Frog wangu Natakiwa nianze na Mazoez kabla kujiandaa kuingia kazin ila huwa inanishinda mara nyingi nafanya jioni kwa uvivu sana.
@mohammedrashid29063 жыл бұрын
Bomba sana
@jumaomar14546 жыл бұрын
Nataka nitoke ktk kuajiriwa na nijiajiri mwenyewe
@vedastokeya33444 жыл бұрын
Daa hata mm Niko kujiandaa kuacha kazi nimejpa miaka miwili
@kpetres28723 жыл бұрын
😂😂😂njoo tuuze kachori. Maisha huru 😁
@yusufuuzuwila75126 жыл бұрын
wengi wetu huwa tunapenda vitu virahis kwanza halafu vigumu vinafuata hali ya kuwa hauna muda na nguvu tena ya kufanya kitu kigumu 'eat that frog first' kauli hii inahitaji mipango madhubuti na mtu jasiri. Mi nakumbuka wakati nipo shuleni mwalim wangu wa hisabati alikua ananambia anza kufanya maswali mepesi kwanza halafu utarudia yale magumu kam muda bao upo. Tumelemazwa tukiwa watoto, sasa tunahitaji kubadilika..
@mwambauliohai50435 жыл бұрын
teacher chura wangu Mimi ni kusoma
@kidongojoseph1792 Жыл бұрын
God bless you 🙏 bro
@raginauthor18816 жыл бұрын
am the first one to like today
@joelnanauka6 жыл бұрын
RAGIN AUTHOR hongera sana,nashukuru kuwa mfuatiliaji mzuri
@mariamogelasanayohana74423 жыл бұрын
kaka napeda sana mazoezi asubui
@bintkiondo68826 жыл бұрын
ubarikiwe kaka
@safimusa10115 жыл бұрын
Shura wangu nikutengeneza bidhaa zisizo tegemea oda
@brightonwalter66825 жыл бұрын
Unachange akili yangu kabsa nakfatilia kila kpndi
@rosashy50766 жыл бұрын
mungu akubariki kaka .
@leoniaphilipo43516 жыл бұрын
Thanks and Noted Bro.
@isayasway86334 жыл бұрын
Thanks you very much
@iragibarumi84356 жыл бұрын
Umenifanya ni jitabue sana
@reubenkatenya46396 жыл бұрын
nakupata Brother
@reubenkatenya46396 жыл бұрын
niko Mza, ni muda sasa nimekuwa nikihitaji kitabu chako cha timiza malengo, sijafanikiwa kukipata mwl.
@rckilada59166 жыл бұрын
sante kaka joel ninaombi moja kama itafaa can you make a video inayoelezea jinsi ya kupanga siku yako nzima because i always try ila nakwama sehemu if possible tuoneshe hata kwa mfano ya kwako nitabarikiwa sana
@venassamweli21354 жыл бұрын
Najifunza vitu vingi sana kwenye vpindi vyako Mungu akubaliki
@hoseakitomary71022 жыл бұрын
Be blessed bro
@raginauthor18816 жыл бұрын
TABIA KUMI NAMBILI ZINALETA MAFANIKIO, nakumbuka kuna hicho kipengele
@christopherkapungu62226 жыл бұрын
Asante sana
@jescathomas69913 жыл бұрын
I real appriciate your work
@happymbare27706 жыл бұрын
andaa ratiba yako kbda sku yko haijaanza kaka MUNGU akbariki Sana huwa skos kkflia kipnd chko njfnza mengi sana 🙏🙏
@joelnanauka6 жыл бұрын
Ameen Happy thanks sana
@rashidkihombo67824 жыл бұрын
Kanuni namba 5
@mwangazajoyce22874 жыл бұрын
Thanks brother
@johnsonemmanuelbenedicto20384 жыл бұрын
Mimi naona nikitumia mda vizuri naona maisha yatabadilika saana
@herimailo8183 Жыл бұрын
Asante brother
@abelmwilapwa11114 жыл бұрын
Asante my blood
@robertemmanuel59226 жыл бұрын
Una mawazo Chana broo penda Sana wewe👍
@neemajohn93074 жыл бұрын
Nimekuelewa
@sebaboniphace5706 жыл бұрын
unanibariki sn
@salmadalaquimane53036 жыл бұрын
Daaah asante bba nakuelewaga sana
@nzisakasau82346 жыл бұрын
mafundisho mazuri sana
@eliazalyemmanuel94785 жыл бұрын
chula yangu ni kuwa na latiba ndani ya life yang then miladi iwe kipaumbere kaka joel niko nawe bega kwa bega
@Sirjimmyb26 жыл бұрын
Asante mkuu, nakuelewa
@marynsonga72726 жыл бұрын
nakuelewa xana
@chrisssebby85166 жыл бұрын
Naanza na kanuni ya 80/20
@susaitlenguisusu41416 жыл бұрын
be blessed brother Ngoisusu
@alphamenson37846 жыл бұрын
wen i wake up the first thing I used to do daily is to feed ma mind(soul), all i wanna do is to be consistent to ma purpose cuz the harder the battle the bigger the reward, OH YEAH am ready to eat dat frog, n am hungry.
@joelnanauka6 жыл бұрын
safi sana Kendrick
@emmamoke64075 жыл бұрын
Bjr tabia mbaya yangu ni kuto kamilisha mara nyingi nilioanza , akini nyakati ninapo kamilisha nililo lianza nasikiya furaha na amani ?
@munirabdully16946 жыл бұрын
Kuwa mtaalam wa kilmo na mifugoo ilii kuitumikia jamii kiufanisi zaidi huyoo ndio chura wa kila ckuu "mbinuu natarajia kwenda kusoma