No video

Ishi Katika Uwezo Wako Wa Kipekee Sehemu Ya Kwanza

  Рет қаралды 105,131

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 128
@reginaldipeter2272
@reginaldipeter2272 2 жыл бұрын
Halleluyah Pastor Joel NANAUKA Naomba nikuone MTU WA MUNGU Nahitaji Ushauri wako nipo hapa DAR
@bitcoinandforex1001
@bitcoinandforex1001 3 ай бұрын
huyu sio pastor, ni coach 😊😊😊😊😊😊
@michaelkakuja893
@michaelkakuja893 5 жыл бұрын
Excellent,,,,,!!! You are an invisible man who knows the secret of the secret world. Keep opening the eyes of God' s people.
@nahorichenda7225
@nahorichenda7225 5 жыл бұрын
Nafuatilia sana mafundisho yako. Naomba uwe my life coach.
@samsonkasaki4549
@samsonkasaki4549 3 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana Mkuu! You've a blessed mind. Thanks to Lord!
@chieffofofoodinternational4102
@chieffofofoodinternational4102 7 ай бұрын
nashukuru Sana kiongozi umefanya Sasa nijue muelekeo wangu wa maisha ni upi almost for years nimefanya kazi lakn hakuna nilicho ambulia but Sasa ni wakati wa kubadilika kwangu
@LilianFelix-my1ew
@LilianFelix-my1ew 2 ай бұрын
Habar kaka Joel Nanauka. Nimejifunza kitu kikubwa Sanaa hasa kwenye eneo lakujiwekea akiba kaka. Nimeanza kujiwekea elfu kumi kila siku mpaka mwaka 2027 bila kuzitumia.nimetenga matumizi yangu na kuweka iyo akiba bila kuigusa kataka 2027 nipanue biashara yangu kwa izo akiba kaka.nitakua na million kumi naaa Mungu anisimamie kwailo .
@leodavid5714
@leodavid5714 6 жыл бұрын
Great sound, lord bless you for everything, long life strong health
@kennedykagashani1818
@kennedykagashani1818 Жыл бұрын
Amina Brother Nanauka. I will become the best International Author and Speaker one day..!
@filbertsulusi8963
@filbertsulusi8963 3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu kwakweli unaelimisha jamii vizuri sana.sio siri wengi tunaishi bila malengo
@maryraphael7810
@maryraphael7810 6 жыл бұрын
asante,kaka ila studio si muache kupigapiga Ka mziki kwani lazima,kanaondoa kumuelewa MTU vizuri.
@mdtv2625
@mdtv2625 6 жыл бұрын
you are so brilliant God will bless you, everyday you are coming with a new things and its a food for brain.
@mtumesamsonyoutube5051
@mtumesamsonyoutube5051 6 жыл бұрын
Uko sahihi barikiwa sana
@salumselemani1059
@salumselemani1059 2 жыл бұрын
Wewe ni Mwamba xana Nanauka, kazi mzuri Mkuu.
@stephanobusanda4668
@stephanobusanda4668 6 жыл бұрын
I real understood, may God bls you
@josephstar240
@josephstar240 5 жыл бұрын
Napea madini mengi kutoka kwako, Asante una badirisha sehemu kubwa ya life style yangu
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
Nauza mosquite killer lamp 🚿 njoo watssap 0788562260 Andika LAMP
@Eliasphilipoh
@Eliasphilipoh 2 ай бұрын
Daaaaah thanks brother nimeelew man me student issue iyo inanikuta sana tu, So now nishaipata "5rules" ❤
@jamesricardo7557
@jamesricardo7557 Жыл бұрын
Nimeelewa Sana hii sasa Mimi kwaupande wangu Mungu amenijalia vipawa vingi nitajuaje nikipawa gani mafanikio yangu yalipo teacher J nanauke nisaidie.
@abdornephotidas3848
@abdornephotidas3848 6 жыл бұрын
Dah!!! Joel unaweza sana, we ni kichwa. Hongera, Mungu akubariki.
@ashabakke4733
@ashabakke4733 5 жыл бұрын
Asante sana. Kwa kweli itasaidia Sana. Wengine tunahitaji kusukumwa.
@enockkagomba1261
@enockkagomba1261 4 жыл бұрын
Asante my mentor
@user-ve8wj4pl1b
@user-ve8wj4pl1b 6 ай бұрын
Habar mkuu kweli nimeipenda na mm nataka kuanza kuweka malengo na muda japo sahiv nimeajiriwa
@bestcakes7098
@bestcakes7098 6 жыл бұрын
Asante sana kaka, nafikiri nahitaji ushauri zaidi
@rizikifumao3685
@rizikifumao3685 6 жыл бұрын
Asante kaka kwa kunijaza maarifa
@munahhaji474
@munahhaji474 6 жыл бұрын
Barikiwa joel unanifanya kila siku kujifunza kupitia ww
@mericktamba7981
@mericktamba7981 2 жыл бұрын
Thanxsss...brzaa.....💥💥💥💥💥💥💫💫💫
@user-pg8rb1bq6y
@user-pg8rb1bq6y 7 ай бұрын
god bless you brother by carlos
@happymbare2770
@happymbare2770 6 жыл бұрын
asnte kaka angu n kweli kbxa bora uishi kwa uwez wako
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
Nauza mosquite killer lamp 🚿 watssap 07 88 5622 60
@anteliusygregory7715
@anteliusygregory7715 4 жыл бұрын
Respect sir
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 2 жыл бұрын
Ahsante mkuu
@upendofrank4917
@upendofrank4917 4 жыл бұрын
thanks so much brother
@eliasbufula6290
@eliasbufula6290 5 жыл бұрын
Safi sana umenigusa vizuri muno.
@kivaulakivaula8354
@kivaulakivaula8354 3 жыл бұрын
Madini adimu haya bro, asante sana
@kelvinkisigiro1556
@kelvinkisigiro1556 5 жыл бұрын
Nimejifunza vitu tofauti kwenye maisha sasa ninafikiri nje ya box,, Mungu akubariki sana,ili tuweze kubadilisha Tanzania 🇹🇿 yetu na kuwa miongoni mwa nchi bora duniani… →
@claraprosper8642
@claraprosper8642 5 жыл бұрын
Nadhani nipo kwenye kundi no 1 ambalo nimefanya kaz nnayoipenda kwenye shirika Fulani ,lakini nilikuwa sipati malipo kama inavyotakiwa,mim binafs niliacha kutokana na msukumo niliokuwa nao ndani,mana niliona ndoto yangu itakufa nisiposimama mim binafs,hivyo pamoja na changamoto,nilisimama imara zaid na nna mpango wa kufungua kitu changu binafs
@charlesmarwa5914
@charlesmarwa5914 6 жыл бұрын
kaka joel una madini ya thamani kila siku unakuja na madini kuntu!ubarikiwe sana uzidi kutuelemisha ntakutafuta kaka!
@korirkiprop5188
@korirkiprop5188 5 жыл бұрын
best motivational advice my brother
@godsonsanga1688
@godsonsanga1688 4 жыл бұрын
Tunashukur sn kwa mafundixho yko
@florahnguma1458
@florahnguma1458 2 жыл бұрын
Your the best
@MasungaGahima-es5ei
@MasungaGahima-es5ei Ай бұрын
Mwl ubarikiwe
@edwinmtawa563
@edwinmtawa563 3 жыл бұрын
Ahsante mwalimu wang
@simonfredy2324
@simonfredy2324 6 жыл бұрын
Shukran Sana kaka.....!!
@mcmwanyonga4623
@mcmwanyonga4623 5 жыл бұрын
Nakubali sana
@emakiwalwakwanzatz8204
@emakiwalwakwanzatz8204 5 жыл бұрын
Shukran sana kaka nimejifunza mengi sana toka kwako
@kelvinkisigiro1556
@kelvinkisigiro1556 5 жыл бұрын
Kaka Joel umenisaidia kujifunza vitu tofauti kwenye sasa ninafikiri nje ya box, Mungu akubariki kaka
@laanyukoone9480
@laanyukoone9480 Жыл бұрын
Natamani sana siku moja ningekutana na wewe lives nafikiri nitaweza kubadilika na kuishi kusudi langu kwa Mungu. Kama una class la kuwamentor nisaidie.
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 Жыл бұрын
Hapa nimejifuza mambomeghi sana yani kweli waeleweka kakanghu mughuakuzidishiye neema kwamafunzoyako
@pamafdebossgal9108
@pamafdebossgal9108 6 жыл бұрын
shukran bro
@masterkey536
@masterkey536 Жыл бұрын
Sawaaaaaa
@mabulakenedy704
@mabulakenedy704 5 жыл бұрын
Ubarikiwe sana bro upo vzr
@feedomcharles4722
@feedomcharles4722 4 жыл бұрын
ubarikiwe
@anethnico4537
@anethnico4537 5 жыл бұрын
da imeisha bado hajamaliza yaani ubalikiwe tunaomba hivi kama utatengeneza dvd utatusaidia sana
@getrudenyamvula3511
@getrudenyamvula3511 6 жыл бұрын
sure ishi kwa uwezo wako
@abdillahabasi8174
@abdillahabasi8174 2 жыл бұрын
Kabsa
@user-gv4pc9if2u
@user-gv4pc9if2u 4 ай бұрын
Yap
@sumiodilo1180
@sumiodilo1180 6 жыл бұрын
Nikilala, nikiamka, nikitembea, nikikaa sauti yako inanizunguka akilini. Umekuwa breakfast kaka Nanauka. Naendelea kukufatilia, sijaongea bado, nitakuja kuongea, Kwasasa bado najifunza.
@hamadisalum2759
@hamadisalum2759 5 жыл бұрын
sumi odilo m
@jlxninejninekapinga4614
@jlxninejninekapinga4614 2 жыл бұрын
Endelea unavutia katika nafasi ya uwalim
@dulaismail6463
@dulaismail6463 6 жыл бұрын
Napenda saaana kujifunza naamin ntafanukiwa
@user-sq6kn2nm2z
@user-sq6kn2nm2z 7 ай бұрын
Mimi ni mwanafunzi nilikuwa nafaula physics kuliko wote hadi maks 90 lakini saivi na feli physics sijui sababu
@andreofficiel24
@andreofficiel24 4 жыл бұрын
Nafanya kazi kubwa ila mshaala wng mndogo so! Sijuw nifanye nn bro
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
KAZI gn UNAFANYA boy wassap 0788 5622 60
@mamawa3388
@mamawa3388 5 жыл бұрын
ni kweli ila watu hawana uaminifu unapompa mtu akufanyie jambo wanakuharibia ndio mana mtu anaamua kufanya mwenyewe kila jambo.tupe njia ya kufanya usiweze kuharibiwa mambo yako
@Mr_Sangwa
@Mr_Sangwa Жыл бұрын
Joel mimi najenga biashara yangu mtandaoni je nifanyaje ili nijenge core genius yangu mtandaoni
@niyonzimafafa2501
@niyonzimafafa2501 3 жыл бұрын
Asante sana
@yaseenbaltazar4320
@yaseenbaltazar4320 3 жыл бұрын
I got u brother
@sipembapaul8262
@sipembapaul8262 6 жыл бұрын
Uko vizuri sana
@Usawa_phonetech
@Usawa_phonetech 5 жыл бұрын
Hongera
@evahmwondosha
@evahmwondosha 5 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@sarahmhina4359
@sarahmhina4359 5 жыл бұрын
Barikiwa sana
@nehemiabalibutsa3319
@nehemiabalibutsa3319 5 жыл бұрын
Asante kaka.
@lucyemmanuel4236
@lucyemmanuel4236 6 жыл бұрын
Asante kaka j
@josephkesoy6225
@josephkesoy6225 3 жыл бұрын
Safi
@marigemsando1678
@marigemsando1678 3 жыл бұрын
God bless you broo.
@cresensiandimbo4195
@cresensiandimbo4195 6 жыл бұрын
Kweli wewe kaka kuwa TO ilikuwa halali yako kabisa ,nakukubali sana bri
@meinhardallois894
@meinhardallois894 6 жыл бұрын
Joel nakukubari sana kwauwezo wako
@esternyella6939
@esternyella6939 5 жыл бұрын
ni kweli kaka Joel
@vicentwilbert9567
@vicentwilbert9567 5 жыл бұрын
Kaka mungu akubariki sana na nakutakia viatu vyako
@filbertsulusi8963
@filbertsulusi8963 3 жыл бұрын
nimekujua kupitia rafika yangu nimekukubali
@rehemagunda3968
@rehemagunda3968 3 жыл бұрын
Kweli kaka
@hekimamgeni5831
@hekimamgeni5831 4 жыл бұрын
Asante kaka
@emmanuelslvestery9340
@emmanuelslvestery9340 5 жыл бұрын
yes
@eliaichiobrey2204
@eliaichiobrey2204 8 ай бұрын
Niko Kilimanjaro natamani kuja kwenye seminar yako
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb 2 жыл бұрын
Hapo mwishoni umeniacha, kama hao watu sahihi wa kuwapa hilo jukumu hawapo kabisa... yaani una watu mizigo, kila kazi kwake hajui....inakuwaje?
@Usawa_phonetech
@Usawa_phonetech 5 жыл бұрын
Nataka kuuliza swali
@peterfujokalogi7821
@peterfujokalogi7821 6 жыл бұрын
Nimeipenda
@ibrahmscauma2145
@ibrahmscauma2145 5 жыл бұрын
Brother nahitaj kukutan na wew
@eliazalyemmanuel9478
@eliazalyemmanuel9478 5 жыл бұрын
Peter Edward god
@micahfurniture
@micahfurniture 5 жыл бұрын
vitabu vyako vinapatkan wap
@tatu3tatu549
@tatu3tatu549 2 жыл бұрын
Hongera Nanauka
@ELIAWINGAMWASHA-iw9xq
@ELIAWINGAMWASHA-iw9xq 2 ай бұрын
Safi
@tembomelody5407
@tembomelody5407 3 жыл бұрын
I've unajua we mtu ni jiniaz
@lilykessy6284
@lilykessy6284 6 жыл бұрын
Kuna mtu ukimualika semina/warsha ya ujasiriamali au kitu cha muhimu anapuuza lkn vishughuli visivyo na tuja hakosi hata kimoja,,,nmejifunza kitu
@danielkyambokisambati1753
@danielkyambokisambati1753 5 жыл бұрын
kaka mm ufanyagii kazi Wang katka kuajiriwa kwangu kaka nikwamba nikiingia kwenye kazi nakuta nafanya vitu ambavyo vinafnya watu kkubali na kuelewa na wingine wananiambia kwamba Nina kitu Cha utofauti nisicho kijua mfano nimeajiriwa ofisin Wateja wanaongezeka na faida zinaongezeka labda unakuta kazi iliyum a
@rithamtui8865
@rithamtui8865 6 жыл бұрын
dahh!! ukoo vzury kaka naomba namba zako
@pendohumphrey9533
@pendohumphrey9533 6 жыл бұрын
Serengeti hotel
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 3 жыл бұрын
Yani kama meme ninavyo penda kufanya sanaa Ya maigizo 😪🤦‍♀️ila sijapata nafasi???
@miriamelly8782
@miriamelly8782 6 жыл бұрын
umenigusaaa..
@oranwateroranwater6356
@oranwateroranwater6356 5 жыл бұрын
Nanauka
@abelmwilapwa1111
@abelmwilapwa1111 4 жыл бұрын
Kitabu napataje nipo kigoma kasulu mjini ...msaada tafadhar
@bunayahussein3060
@bunayahussein3060 3 жыл бұрын
Mister joel, nipo tofaut na ww kidogo!!?ni bora ufanye kilakitu ili ukifel usije kujuta ni kwanin hukufanya baadhi ya vitu fulan....!!!
@dulaismail6463
@dulaismail6463 6 жыл бұрын
Nina namba ako mkuu lkn whatsapp aipatikan nnaomba unitumie inayo patikana
@Usawa_phonetech
@Usawa_phonetech 5 жыл бұрын
Kwa mfano
@williameliakim8595
@williameliakim8595 Жыл бұрын
Vitabuu tunapataa wapiii?
@njalaboy9113
@njalaboy9113 6 жыл бұрын
Ni kwel kaka
@robertmagige6800
@robertmagige6800 4 жыл бұрын
Nahitaji Kitabu cha timiza malengo yako
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
ROBERT MAGIGE karibu sana tuwasiliane 0745-252670 au +255 68 305 2686
@mohammedmshiraz75
@mohammedmshiraz75 3 жыл бұрын
100%
@olivermfinanga1268
@olivermfinanga1268 3 жыл бұрын
Kak kila unachokifundsha hcho ni kwa ajl yng
@nelsonsamwel6065
@nelsonsamwel6065 6 жыл бұрын
Kweli kaka mwenyewe huwa ni mwepesi kuelewa jambo lakin huwa ni muoga kulielezea jambo lenyewe nmekuelewa kaka ahsante am your friend on instagram @officialnelly_jux
@vincentmuli4283
@vincentmuli4283 6 жыл бұрын
Nelson Samwel Asante sana kwa kuendelea kutulisha maarifa ya kimaisha,ubarikiwe sana.
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 3 жыл бұрын
😪🙏
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 195 МЛН
Son ❤️ #shorts by Leisi Show
00:41
Leisi Show
Рет қаралды 11 МЛН
wow so cute 🥰
00:20
dednahype
Рет қаралды 16 МЛН
Pool Bed Prank By My Grandpa 😂 #funny
00:47
SKITS
Рет қаралды 19 МЛН
KUIPAMBANIA NDOTO YAKO - JOEL NANAUKA
13:57
Joel Nanauka
Рет қаралды 8 М.
Mambo ya Kuzingatia Unapojiandaa na Usaili wa Kazi/Job Interview
13:01
LUKUVI NGORONGORO  AUSEMA UJUMBE ALIOAGIZWA NA RAIS SAMIA
5:54
Mwananchi Digital
Рет қаралды 5 М.
Core Genius audiobook by Joel Arthur Nanauka
35:04
Tai wa Tanzania Tv
Рет қаралды 1,8 М.
Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa.
59:26
Personal Finance Hub
Рет қаралды 24 М.
MITIMINGI # 1141 AMBATANA NA WATU SAHIHI UKITAKA KUFANIKIWA - JOEL NANAUKA
13:35
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 195 МЛН