Рет қаралды 1,099
Tayari nchi ya Iran imeshapata rais wake mpya kupitia raundi ya pili ya uchaguzi uliofanyika Julai 5, 2024.
Uchaguzi huu wa Irani umefanyika baada ya kifo cha aliyekuwa rais wa nchi hiyo Ebrahim Raisi kilichotokana na ajali ya ndege aina ya Helikopta hapo Mei 19, 2024.
Katika uchaguzi huo, Masoud Pezeshkian ambaye kitaaluma ni daktari bingwa wa upasuaji wa moyo na mwenye msimamo wa wastani kisiasa ameshinda kwa kura milioni 16.2 dhidi ya kura milioni 13.5 alizopata Saeed Jalili ambaye ni mwanasiasa wa siasa kali nchini Iran kutoka kundi la wanazuoni wa kidini
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.