No video

Ifahamu Historia ya Idara ya Usalama wa Taifa ya Tanzania: Kutoka Special Branch Hadi TISS

  Рет қаралды 105,368

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Wakati Marekani wana CIA na NSA huku Urusi nao FSB na uingereza wana MI5 na MI6 kwa Tanzania, kuna Idara ya Usalama wa Taifa ama kwa kimombo inafahamika kama Tanzania Intelligence and Security Services, TISS, ambayo ipo kwa mujibu wa Sheria ya mwaka 1996 na marekebisho yake ya mwaka 2023.
Fuatilia makala hii mwanzo mwisho uweze kufahamu historia ya Idara hii.
Rejea
Peter D. M. Bwimbo (2016), Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania, Mlinzi Mkuu wa Mwalimu Nyerere
Thomas J. Maguire and Hannah Franklin (2020), International History Review, Creating a Commonwealth security culture? State-building and the international politics of security assistance in Tanzania.
George Roberts (2021), Cambridge University Press, London, Revolutionary State-Making in Dar Es Salaam: African Liberation and the Global Cold War, 1961-1974.
Paul Bjerk (2015), University of Rochester Press, Building a Peaceful Nation.
Issa G. Shivji, Saida Yahya-Othman, and Ng’wanza Kamata. Mkuki na Nyota, Dar es Salaam, 2020, Development as rebellion: A biography of Julius Nyerere.
Issa G. Shivji (1990), Institute of Southern African Studies, State Coercion and Freedom in Tanzania.
James Robert Brennan (2021),The International History Review, The Secret Lives of Dennis Phombeah: Decolonization, the Cold War, and African Political Intelligence, 1953-1974
Mark J. Mwandosya & Juma V. Mwapachu (2022), Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania, 38 Reflections on Mwalimu Nyerere
Yoweri Kaguta Museveni (2016), Moran Publishers,Kenya, Sowing the Mustard Seed
Stephen Isaac Mtemihonda (2023), Mkuki na Nyota Publishers, Vita vya Kagera
Watafiti/Wahariri
Joel Ntile
Tony Alfred K
Sauti
Tony Alfred
Mhariri Video/Sauti
Shafii Hamisi
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 117
@thechanzo
@thechanzo Ай бұрын
Unaweza kutufuatilia kupitia; TWITTER: / thechanzo INSTAGRAM: / thechanzo FACEBOOK: / thechanzo TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_... Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
@jamesverdian2445
@jamesverdian2445 Ай бұрын
Idara yetu ya usalama wa taifa ni kati ya idara bora sana shida imeshikiliwa na wanasiasa wanaitumia vibaya Inaumiza sana
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 Ай бұрын
Umesema ukweli kabisa
@zonko0488
@zonko0488 Ай бұрын
Kama imeshikiliwa na wanasiasa basi sio idara bora. Ingekuwa bora ingesimamia malengo mapana ya Taifa na sio matakwa binafsi ya wanasiasa. Haina tofauti na idara nyingine zozote kwenye serikali zetu ambazo zinapelekwa hovyo na wanasiasa wasio waadilifu.
@JemisMolel
@JemisMolel 5 күн бұрын
​@@zonko0488u
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 3 күн бұрын
@@jamesverdian2445 kwani wanausalama hulipwa na nani??
@ibrahimmaulid2704
@ibrahimmaulid2704 Ай бұрын
Naomba hii historià iruduwe kusoma ni nzuri sana
@peterkefand7835
@peterkefand7835 Ай бұрын
Hongeren sana. yaani historia yetu ni kubwa sana na ipo kizalendo🎉
@aziadifukira
@aziadifukira 16 күн бұрын
Hongera msomaji wa makala hii umesoma vizur.Mungu awabariki staffs wote wa TISS
@mosestemi9875
@mosestemi9875 8 күн бұрын
Hongera sana kweli Kuna kila sababu ya nchi yetu kupanda milima na mabonde
@athumanimuhammadam3601
@athumanimuhammadam3601 Ай бұрын
Naipenda saaaana kazi hii,,,inapatikanaje???
@alipipijimmy7605
@alipipijimmy7605 Ай бұрын
Hongera chana chawa ni watu wema Sana na hii idara inatusaidia Sana iwapo kiongozi mwenye mamlaka anawatumia vizuri , pia nashukuru sana maana amani tulionayo ni usalama Wana sababisha nchi yetu iwe na amani pia nampongeza sana mwandishi amechambua vizuri mungu ambariki Sana yupo vizuri sana tuandalia na vitabu.
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 Ай бұрын
Msomaji wa makala hii umesoma vizuri sana, kiswahili kimenyooka, hakuna shida za L na R, safi sana, japo angepatikana msimulizi mzuri zaidi ingekuwa tamu zaidi.
@wechemakambo2182
@wechemakambo2182 Ай бұрын
Msomaji Mzuri zaidi ni yupi?Huyu kaeleweka vyema tu...
@Manyohu.tv1
@Manyohu.tv1 Ай бұрын
@@wechemakambo2182 unasifia na kuponda, binadamu bhana😁
@nasibuAbel
@nasibuAbel 24 күн бұрын
mkuu hata hii Mimi nime ipenda sana tu
@ibrahimmaulid2704
@ibrahimmaulid2704 Ай бұрын
Kwa kweli ni historià nzuri sana kwa taifa hili ni safi mie nimeipenda big up chanzo
@matthewmichaelsylvester5612
@matthewmichaelsylvester5612 Ай бұрын
kazi nzuri sana hii me napenda sana hii kazi
@bakorea
@bakorea Ай бұрын
Kabisa. na kama ulivyoona, wachambuzi wa Chanzo wamezama na kutuletea madini hasa. toka enzi ya Mwalimu mtu kuwa katika idara hii ulijua anakubalika kwa uzalendo, weledi. Zaidi wamezuia maadui wa nje na ndani. Hata Yugoslavia yenyewe ilisambaratika kwa idara yao kutotabiri mipango ya maadui wa nje. Angalia Somalia, hadi leo vita na mgawanyiko, Somali land ilijitenga na hakuna wa kuzuia. Watu kama Kitine hadi leo anakemea kabisa tabia za rushwa na unafiki.
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Ай бұрын
FBI ,CIA ,KGB na zote zinazofanana na hizo, Ni Kazi nzuri lakini kama una hofu ya Mungu Zina maswali mengi saana mbele ya Mungu, some of careers u learn not to question orders in order to put food on the table, hasa ukiwa mtu wa operation, ukipewa maelekezo tu mfyatue fulani haina kuhoji hata kama Ni mwenzenu, mnaweza mumchome Dawa ya usingizi na kumzamisha kwenye swimming pool alafu mnatangaza jamaa kafa Maji, asilimia kubwa mwisho wao huwa mbaya saaana vifo vyao vinatisha
@suleimansalym7537
@suleimansalym7537 Ай бұрын
Kazi ngumu sana hii ni kazi ambayo unamjua mkurugenzi tu ila watendaji huwajui kma wachawi tu vile yan kuna watu wanaipenda sana hii ila dahh!!! Inaonekana ni kazi hatar sana hasa ukifikiria mwisho wetu kma binadamu
@saimonmkangala7637
@saimonmkangala7637 Ай бұрын
Kazi nzuri pongezi kwenu, Mungu awatunze.
@bobjulieoneheartband
@bobjulieoneheartband Ай бұрын
Hongera kwake Mr Mombo....Mtu Mpole Sana na Mnyenyekevu
@Yefta-i2i
@Yefta-i2i 11 күн бұрын
Hako kamziki kanakopigwa kwa nyuma, tafadhali husikatoe. Safi sana hako
@elibarikikivuyo5946
@elibarikikivuyo5946 Ай бұрын
🎉 Hongera sana show up
@jumankumilwa4139
@jumankumilwa4139 Ай бұрын
HONGERA SANA BRO MOMBO
@abdallahmsham-eb7jz
@abdallahmsham-eb7jz 19 күн бұрын
duuuuu mungu aninusuru sifahamu
@user-hx7tr5iw8p
@user-hx7tr5iw8p Ай бұрын
Hii ni ya kizalendo Zaidi .nimeipenda ila kuna hichi kizazi kipya kichunguzwe sana kimeweka tamaa mbele kuliko uzalendo adui pia anaweza kuwashawishi wakaleta mihemko. Naipenda nchi yangu na nitaifia nchi yangu ya mababu zetu na bibi zetu mungu ibariki tanzania 🇹🇿mungu ibariki Africa 🌍
@bakorea
@bakorea Ай бұрын
hapo sasa. zamani watu wote wa Usalama walikuwa wanaitwa , Vijana wa Mwalimu, ikimaanisha waliopikwa na kupikika, hakuna rushwa, ubadhirifu, unafiki, nk..sasa wakati wa Magufuli yupo afisa wa Usalama wa Wilaya, nadhani Mkoani Arusha alihusishwa narushwa..aibu..ila wachache hao
@RaphaelMichael-g3x
@RaphaelMichael-g3x Ай бұрын
Big up to TISS
@nasibuAbel
@nasibuAbel 24 күн бұрын
Upo sa sahihi kabisa naamini hivyo na mimi mwenye ndoto za kuwa kwenye hicho kitengo
@user-kg5yu4kg9p
@user-kg5yu4kg9p Ай бұрын
Hongera sana idara ya usalama wa taifa Kwa kulinda amani ya nchi
@jerichoseth4188
@jerichoseth4188 Ай бұрын
Idara ya usalama wa Taifa ni idara Bora Sana pongezi kwao
@Nedjadist
@Nedjadist Ай бұрын
Hii ilikuwa Idara kabambe sana. Siku hizi nashuku majukumu yake ni kuwakomoa Watanzania kuitumikia CCM. Haijui hata jinsi rasilmali za Tanzania zinavyoibiwa! Hivi wanaweza kuwaambia Watanzania Magufuli alikufaje?
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir Ай бұрын
@@Nedjadist wewe ukitaka afe vipi kwa mfano? Siku yako ikifika hata ashuke yesu utakufa tu. Acha kuuliza uozo kama huo jiongeze?
@seifmohammed9167
@seifmohammed9167 Ай бұрын
Kwa kweli chanzo mpo vizuri kwa stori yote ulioeleza ni kweli kabisa
@officialkyenx4773
@officialkyenx4773 Ай бұрын
mbwa hyo ange kufa tu na mlengaji haku lenga vzuri angelenga kichwa tu akafa .mbaguzi sana
@ibrajuma8399
@ibrajuma8399 Ай бұрын
Hii ni ndoto yangu ila kuipata ndio shida
@Dr_Heart.
@Dr_Heart. Ай бұрын
Hii ingewekwa voice na yule shafii ingenoga sana, anajua kusimulia
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 Ай бұрын
Au Sky Walker wa SNS
@wechemakambo2182
@wechemakambo2182 Ай бұрын
@@Dr_Heart. hatupaswi kumdharau aliyefanya tukajua badala yake tumtie moyo azidi kuwa bora...Sasa Shafii hakuyajua haya.
@Dr_Heart.
@Dr_Heart. Ай бұрын
@@wechemakambo2182 Hakuna aliyedharauliwa hapo, kila kazi na mtaalamu wake, haina haja ya kuwa na unafiki kwenye suala linaloeleweka, pongeza panapostaili pongezi....nyie ndo machawa nyie mnataka kusifia kila kitu bastard😎
@hansmutta2549
@hansmutta2549 Ай бұрын
Sikujua kama tuko vizuri kwenye intelijensia big up sana
@Stanlykanwakabos
@Stanlykanwakabos 16 күн бұрын
asante
@NixonJohnson-r4m
@NixonJohnson-r4m Ай бұрын
Huyo mama waisulamu ndio kwenye hii nchi miaka yote. Yakwake.......
@nelsonnikodem1100
@nelsonnikodem1100 Ай бұрын
Lakini serekali yetu Haina dini
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir Ай бұрын
Wewe ndio mpumbavu kweli pimbi wewe. Unavyosema muislam una maana gani? Unaijua history ya nchi hii vzr? Pwani ya waislam ndio chimbuko wa kila kitu nchi hii. Nani alifahamu mikoa ya huko porini? Hata uhuru umedaiwa mikoa ya pwani na sio mikoa ya mbugani. Acha ujinga waislam ndio vinara wa kila kitu bongo mzima
@suleimansalym7537
@suleimansalym7537 Ай бұрын
Wewe ulitaka vp Kwan wanahubir au wanafanyakazi tu? Kazi yao ni utendaji hakuna hata siku moja uliosikia wanahubir ..watu wote wapo huru makanisa yapo na misikiti ipo hakuna siku huyu mama amezuia watu kwenda kanisani wala msikitini sio vzur hata kidogo kuhusisha Serikali na mambo ya kidini ...akili zako Zina ujauzito wa mawazo
@JK-uq1tv
@JK-uq1tv Ай бұрын
JPM aliwatumia vizuri usalama wa Taifa hasa kwenye maswala ya usama wa uchumi wa Nchi.
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir Ай бұрын
@@JK-uq1tv mbona viroba vya maiti kila siku coco Beach ktk utawala wake, hao TISS walikuwa wapi??
@alexdaniel7985
@alexdaniel7985 Ай бұрын
Kazi iendeleeeeeeeee
@peterchristopher5216
@peterchristopher5216 Ай бұрын
Habyarimana alionywa na Mkuu wa usalama wa taifa Tanzania Luteni jenerali Imran Kombe, Mobutu na Rais Moi hawakuja Tz, walikubali onyo la Kombe, lasivyo habyarimana asingetunguliwa kwenye ndege mwaka 1994 na hatimaye mauaji ya kimbari Rwanda yasingetokea.
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir Ай бұрын
@@peterchristopher5216 Acha kutupeleka peleka wewe, Kombe atawaambiaje hao marais wasije kwani kulikuwa na tatizo gani Dar? Huyo Habyarimana na mwenzake wa Burundi wametunguliwa wakiwa wanarudi kwao baada ya kuhitimisha mkutano na sio ndani ya Tanzania, walitunguliwa ktk ardhi ya Rwanda huko.
@peterchristopher5216
@peterchristopher5216 Ай бұрын
@@MilloWamilonga-ft8ir hujaelewa mantiki yangu, najua kuwa hawajatunguliwa Dar, ila Kombe alivujisha Siri ya assassination kwa mmoja wapo, Hadi wengine hawakuja, waliambiana, Habyarimana alishauriwa asiondoke hiyo tarehe, badala yake akalazimisha, yakamkuta.
@silvanuskuloshe7995
@silvanuskuloshe7995 24 күн бұрын
Usijibu mjinga nawe utakuwa mjinga​@@peterchristopher5216
@hazygardmericho9571
@hazygardmericho9571 Ай бұрын
I wonder where you guys get infomations
@EmmanuelJoshua-yn8ly
@EmmanuelJoshua-yn8ly 3 күн бұрын
😊
@mosesmagubira3700
@mosesmagubira3700 Ай бұрын
Niliwahi kutuma maombi lakini sikufanikiwa . Kisa kikubwa cha kutuma maombi ni uzalendo .
@boscofidelis6223
@boscofidelis6223 Ай бұрын
Tafadhali nijulishe namna ya kuomba maombi tafadhali
@N.T.KDigitalCreation
@N.T.KDigitalCreation 9 күн бұрын
Hawa ni watu wanaojua nini kinachoendelea Tz.
@abdulqadriabdallah9332
@abdulqadriabdallah9332 17 күн бұрын
Kumbe mzena ni hospital ya viongoz coz mzena alikuwa kiongozi WA usalama WA taifa
@richardmwandanji65
@richardmwandanji65 Ай бұрын
Kazi yao ni mhimu mno Ila kuna halufu mbaya na minong' ono mhimu kujilekebisha maana idara hi kisheria ni nyeti Mungu awapefikra za uweredi katika majukumu yenu.
@goodluckandrew3392
@goodluckandrew3392 Ай бұрын
Twalipo , KAMBI YA TWALIPO IKO KALIBU NA UHASIBU
@khamisjohn7639
@khamisjohn7639 Ай бұрын
Uchambuzi mzuri saana na Idara yetu ina historia ya kizalendo saana. Kazi kwao viongozi wa sasa nao kuweka historia nzuri kwa kutenda haki kwa watanzania wote na kulinda rasilimali za nchi yetu kwa wivu mkubwa
@meshajohn8713
@meshajohn8713 Ай бұрын
Idalayenuee
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 Ай бұрын
Historia ni kitu kizuri sana,tunaomba irudiwe,na kurudiwa tena na tena. Kumbe chanzo cha TIS kuwa chini ya Rais ikulu ni hii iliyopelekea Idara hii kuwa chombo chini ya Rais na chama kimoja na ulinzi wa viongozi wa serikali na chama pekee na sio chombo cha usalama wa nchi na maadui kutoka ndani na nje pekee na Polisi kubakia mambo ya ndani ya ulinzi wa wananchi na mali zao!
@user-pj7ng8il4t
@user-pj7ng8il4t Ай бұрын
Mwamba hapa alikuwa laurance Gama na Imran kombe. Kuuawa kwa kombe ni hasara kubwa
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir Ай бұрын
@@user-pj7ng8il4t kuuwawa ka Kombe haikuwa hasara kwa taifa, bali ilikuwa kwa faida ya taifa Ndio maana unakuta yeye aliuliwa na polisi live kwa pengine malengo flan.
@ChristmasMaheri
@ChristmasMaheri Ай бұрын
Hii ndiyo Idara iliyo na watu wasiojulikana? Mbona watu wasiojulikana hawajaweza kujulikana hadi leo? Hii Idara haiwezi kuwajua?
@peterchristopher5216
@peterchristopher5216 Ай бұрын
Edwardo Mondlane wa Msumbiji alikufa mwaka 1969 na siyo 1965
@frankkinyaiya.8217
@frankkinyaiya.8217 15 күн бұрын
Huyu Laurence Gama mwanae ndio Leonidas Gama aliyekuwa mkuu wa mkoa kilimanjaro kwa sasa ni marehem??
@chaulachaulaya5259
@chaulachaulaya5259 Ай бұрын
Itoshe kusema 'madingi' walikua ni watu wenye akili, wabishi, wenye maono pia wazalendo, tuna kazi kubwa ya kuyaishi yaliyoanzishwa
@overplantv21
@overplantv21 Ай бұрын
morning tiss 3:40 3:44 3:47
@OmarMohamed-bs2hf
@OmarMohamed-bs2hf Ай бұрын
Hapa ndio utajuwa vp muungano huu tulonao m zanzibar hakuekwa hata mmoja kwenye itara hii
@MohdMohd-fv1my
@MohdMohd-fv1my Ай бұрын
Amani na Usalama tunajivunia...
@naimame763
@naimame763 Ай бұрын
Dahh mung nijalie na mim hii kazi natamni siku moj na mm niwe TISS
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Ай бұрын
✌️👊👍.
@gregoryntibani6640
@gregoryntibani6640 Ай бұрын
Msomaji ameeharibu kiswahili. "HICHO" na siyo "Hiko"
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 Ай бұрын
Kikao cha maraisi 2015 au 2005
@OmarMohamed-bs2hf
@OmarMohamed-bs2hf Ай бұрын
Hii idara hakuna m zanzibar anaewe kuongoza sindio
@ruahakennelsandvetservices6567
@ruahakennelsandvetservices6567 Ай бұрын
😮😢😢
@hamzangakola8822
@hamzangakola8822 Ай бұрын
Kuna mmoja anaitwa lilungulu umemsahau kwenye hiyo orodha
@allyngoda761
@allyngoda761 Ай бұрын
Mmmh
@ElibarikiEliud
@ElibarikiEliud Ай бұрын
Mbona uteuzi umeegemea udini zaidi..tumeshuhudia matumizi mabaya ya madaraka ya ukiukaji wa katiba na viongozi kuingiza nchi kwenye mikataba isiyonufaisha nchi idara ikiwa kimya maana yake nini. hizi ni nchi mbili zilizouungana.idara inawajibika vipi kuhakikisha viongozi hawatumii nafasi zao kuhamisha rasilimali za upande moja. Isiieshie kushauri tu. Pia ichukue hatua
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir Ай бұрын
Huna akili kama ni udini basi huyo Julius. Kuanzia TISS wa kwanza hadi wanane na hakuna mtu alieliongelea hilo coz hatuna udini, umefahamu wewe pimbi?
@helladeogratias7630
@helladeogratias7630 Ай бұрын
Udini unakuja baada ya kukosekana hoja zenye mashiko.
@suleimansalym7537
@suleimansalym7537 Ай бұрын
Kuna sheikh kateuliwa kwani? Acheni mawazo finyu sidhani kma ni uzalendo kuhusisha Serikali na mambo ya dini. Siku zote mbona hamjasema kwann? Au sababu ni huyu mama tu je umeona sehemu yoyote kiongozi wa Serikali anahubir dini ? Mbona LUKUVI alipoenda kanisani na kuongea udini hukusema lolote?
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir Ай бұрын
@@suleimansalym7537 wakristo huwa hawajiamini, na wengine hujiamini kutokana na dikteta Nyerere kuwa rais wa kwanza lkn hawajui bidii zote zilifanzmywa na waislam wa pwani na ndio wenye pwani yao rasmi, kuanzia Mtwara, Lindi, Pwani. Dar na Tanga. Hata uhuru haujapatikana huko porini bara ndani. Kila kitu kwa wastaarabu pwani (DUR AL SALAAM) ambayo ndio Dar es salaam ya sasa.
@mussakantumba9914
@mussakantumba9914 Ай бұрын
Ndugu ukisema Udini kwa kuwa aliyechaguliwa ni Muislamu, Basi Waislamu nao wataanza kusema, mbona Wakuu wote wa jeshi la wananchi ni wakristo toka uhuru isipokuwa mmoja tu Abdallaah Twalipo? Kiongozi anatakiwa aingoze vizuri bila kujali dini
@wechemakambo2182
@wechemakambo2182 Ай бұрын
Hapo kwenye gazeti la 1965 la nationalist linasema watatu zaidi wakamatwa ni juu ya ile uasi wa jeshi inaonekana picha ya huyo afisa Wayne Mbwambo na J.T.Zangira sasa huyu Zangira baadaye 1977 alikamatwa tenaa na kufungwa kwa kusidiana na Wazungu wa Southern Rhodesia(Zimbabwe),hii imekaaje?
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir Ай бұрын
@@wechemakambo2182 uasi wa jeshi ni 1964, Nyerere alifichwa Kigamboni na matokeo yake Julius hakumsaidia lolote hadi kifo chake. Julius alikuwa ni kiongozi mwenye roho ya kwa nini halafu roho mbaya nature
@user-dy8ss4ly8z
@user-dy8ss4ly8z 27 күн бұрын
Kujiunga unafanyaje napenda pia
@shabanikimeru8409
@shabanikimeru8409 Ай бұрын
Kwaiyo Tiss ni jwtz au polis???
@selemanichimogo4789
@selemanichimogo4789 Ай бұрын
Mbona marehemu ng'itu hayupo
@clementiddi5708
@clementiddi5708 Ай бұрын
Hakuwahi kuwa mkurugenzi
@user-sw5kz8ep3e
@user-sw5kz8ep3e Ай бұрын
mbn kam umechanganya apo kweny diwan athuman msuya mbele yake hakuja uyo uliemuek badala yake alikuj moj kw moj Ali iddi
@preciousmoshi3392
@preciousmoshi3392 7 күн бұрын
Muongo wewe
@herrygeofreykilasi8658
@herrygeofreykilasi8658 Ай бұрын
😅p
@ga2revocatus91
@ga2revocatus91 Ай бұрын
Nifanyeje ili niwe members TISS
@henrymjema1685
@henrymjema1685 Ай бұрын
Kuwa 🐞
@user-tb4ol6yp6c
@user-tb4ol6yp6c Ай бұрын
We zombie haujui😂 shughuli kaka
@josephjulio6112
@josephjulio6112 Ай бұрын
Kazi siipendi kabisa
@BrysonKaduma
@BrysonKaduma Ай бұрын
😂​@@henrymjema1685
@clementiddi5708
@clementiddi5708 Ай бұрын
Umeshaikosa tayari
@athumanmapunda
@athumanmapunda Ай бұрын
Okay
@alexdaniel7985
@alexdaniel7985 Ай бұрын
Kazi iendeleeeeeeeee
@user-dy8ss4ly8z
@user-dy8ss4ly8z 27 күн бұрын
Kujiunga unafanyaje napenda pia
The Giant sleep in the town 👹🛏️🏡
00:24
Construction Site
Рет қаралды 20 МЛН
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 40 МЛН
When you discover a family secret
00:59
im_siowei
Рет қаралды 15 МЛН
Incredible Dog Rescues Kittens from Bus - Inspiring Story #shorts
00:18
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 27 МЛН
Kamala Harris's full speech to the Democratic National Convention
37:39
CBC News: The National
Рет қаралды 316 М.
The Giant sleep in the town 👹🛏️🏡
00:24
Construction Site
Рет қаралды 20 МЛН