Ifahamu Historia ya Idara ya Usalama wa Taifa ya Tanzania: Kutoka Special Branch Hadi TISS

  Рет қаралды 145,704

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Пікірлер: 138
@thechanzo
@thechanzo 6 ай бұрын
Unaweza kutufuatilia kupitia; TWITTER: / thechanzo INSTAGRAM: / thechanzo FACEBOOK: / thechanzo TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_... Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
@MangaikwelaMatengo
@MangaikwelaMatengo 4 ай бұрын
Mama Samia amejua mtu muhimu..Hongera sana Suleiman Abubakar Mombo..Tunakutakia kazi njema
@jamesverdian2445
@jamesverdian2445 6 ай бұрын
Idara yetu ya usalama wa taifa ni kati ya idara bora sana shida imeshikiliwa na wanasiasa wanaitumia vibaya Inaumiza sana
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 6 ай бұрын
Umesema ukweli kabisa
@zonko0488
@zonko0488 6 ай бұрын
Kama imeshikiliwa na wanasiasa basi sio idara bora. Ingekuwa bora ingesimamia malengo mapana ya Taifa na sio matakwa binafsi ya wanasiasa. Haina tofauti na idara nyingine zozote kwenye serikali zetu ambazo zinapelekwa hovyo na wanasiasa wasio waadilifu.
@JemisMolel
@JemisMolel 5 ай бұрын
​@@zonko0488u
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 5 ай бұрын
@@jamesverdian2445 kwani wanausalama hulipwa na nani??
@Rasoulhk98
@Rasoulhk98 4 ай бұрын
Naam inavyotumiwa kisiada ndio inaifanya iwe na picha mbaya mbele ya wengi
@judicatendengerio-ndossi1583
@judicatendengerio-ndossi1583 Ай бұрын
Uhondo wa historia kutumika kurekebisha yajayo kabla ya kuwa. Ubarikiwe mwandishi.
@ibrahimmaulid2704
@ibrahimmaulid2704 6 ай бұрын
Naomba hii historià iruduwe kusoma ni nzuri sana
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 6 ай бұрын
Msomaji wa makala hii umesoma vizuri sana, kiswahili kimenyooka, hakuna shida za L na R, safi sana, japo angepatikana msimulizi mzuri zaidi ingekuwa tamu zaidi.
@wechemakambo2182
@wechemakambo2182 6 ай бұрын
Msomaji Mzuri zaidi ni yupi?Huyu kaeleweka vyema tu...
@njeyaduniatv
@njeyaduniatv 6 ай бұрын
@@wechemakambo2182 unasifia na kuponda, binadamu bhana😁
@nasibuAbel
@nasibuAbel 6 ай бұрын
mkuu hata hii Mimi nime ipenda sana tu
@peterkefand7835
@peterkefand7835 6 ай бұрын
Hongeren sana. yaani historia yetu ni kubwa sana na ipo kizalendo🎉
@alipipijimmy7605
@alipipijimmy7605 6 ай бұрын
Hongera chana chawa ni watu wema Sana na hii idara inatusaidia Sana iwapo kiongozi mwenye mamlaka anawatumia vizuri , pia nashukuru sana maana amani tulionayo ni usalama Wana sababisha nchi yetu iwe na amani pia nampongeza sana mwandishi amechambua vizuri mungu ambariki Sana yupo vizuri sana tuandalia na vitabu.
@aziadifukira
@aziadifukira 5 ай бұрын
Hongera msomaji wa makala hii umesoma vizur.Mungu awabariki staffs wote wa TISS
@matthewmichaelsylvester5612
@matthewmichaelsylvester5612 6 ай бұрын
kazi nzuri sana hii me napenda sana hii kazi
@bakorea
@bakorea 6 ай бұрын
Kabisa. na kama ulivyoona, wachambuzi wa Chanzo wamezama na kutuletea madini hasa. toka enzi ya Mwalimu mtu kuwa katika idara hii ulijua anakubalika kwa uzalendo, weledi. Zaidi wamezuia maadui wa nje na ndani. Hata Yugoslavia yenyewe ilisambaratika kwa idara yao kutotabiri mipango ya maadui wa nje. Angalia Somalia, hadi leo vita na mgawanyiko, Somali land ilijitenga na hakuna wa kuzuia. Watu kama Kitine hadi leo anakemea kabisa tabia za rushwa na unafiki.
@athumanimuhammadam3601
@athumanimuhammadam3601 6 ай бұрын
Naipenda saaaana kazi hii,,,inapatikanaje???
@ibrahimmaulid2704
@ibrahimmaulid2704 6 ай бұрын
Kwa kweli ni historià nzuri sana kwa taifa hili ni safi mie nimeipenda big up chanzo
@bobjulieoneheartband
@bobjulieoneheartband 6 ай бұрын
Hongera kwake Mr Mombo....Mtu Mpole Sana na Mnyenyekevu
@saimonmkangala7637
@saimonmkangala7637 6 ай бұрын
Kazi nzuri pongezi kwenu, Mungu awatunze.
@elibarikikivuyo5946
@elibarikikivuyo5946 6 ай бұрын
🎉 Hongera sana show up
@mosestemi9875
@mosestemi9875 5 ай бұрын
Hongera sana kweli Kuna kila sababu ya nchi yetu kupanda milima na mabonde
@IbrahimKimath-u9z
@IbrahimKimath-u9z 6 ай бұрын
Hii ni ya kizalendo Zaidi .nimeipenda ila kuna hichi kizazi kipya kichunguzwe sana kimeweka tamaa mbele kuliko uzalendo adui pia anaweza kuwashawishi wakaleta mihemko. Naipenda nchi yangu na nitaifia nchi yangu ya mababu zetu na bibi zetu mungu ibariki tanzania 🇹🇿mungu ibariki Africa 🌍
@bakorea
@bakorea 6 ай бұрын
hapo sasa. zamani watu wote wa Usalama walikuwa wanaitwa , Vijana wa Mwalimu, ikimaanisha waliopikwa na kupikika, hakuna rushwa, ubadhirifu, unafiki, nk..sasa wakati wa Magufuli yupo afisa wa Usalama wa Wilaya, nadhani Mkoani Arusha alihusishwa narushwa..aibu..ila wachache hao
@simonwilliam3396
@simonwilliam3396 4 ай бұрын
Amazed by TISS💯
@abdallahmsham-eb7jz
@abdallahmsham-eb7jz 5 ай бұрын
duuuuu mungu aninusuru sifahamu
@hansmutta2549
@hansmutta2549 6 ай бұрын
Sikujua kama tuko vizuri kwenye intelijensia big up sana
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 6 ай бұрын
FBI ,CIA ,KGB na zote zinazofanana na hizo, Ni Kazi nzuri lakini kama una hofu ya Mungu Zina maswali mengi saana mbele ya Mungu, some of careers u learn not to question orders in order to put food on the table, hasa ukiwa mtu wa operation, ukipewa maelekezo tu mfyatue fulani haina kuhoji hata kama Ni mwenzenu, mnaweza mumchome Dawa ya usingizi na kumzamisha kwenye swimming pool alafu mnatangaza jamaa kafa Maji, asilimia kubwa mwisho wao huwa mbaya saaana vifo vyao vinatisha
@suleimansalym7537
@suleimansalym7537 6 ай бұрын
Kazi ngumu sana hii ni kazi ambayo unamjua mkurugenzi tu ila watendaji huwajui kma wachawi tu vile yan kuna watu wanaipenda sana hii ila dahh!!! Inaonekana ni kazi hatar sana hasa ukifikiria mwisho wetu kma binadamu
@Yefta-i2i
@Yefta-i2i 5 ай бұрын
Hako kamziki kanakopigwa kwa nyuma, tafadhali husikatoe. Safi sana hako
@Dr_Heart.
@Dr_Heart. 6 ай бұрын
Hii ingewekwa voice na yule shafii ingenoga sana, anajua kusimulia
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 6 ай бұрын
Au Sky Walker wa SNS
@wechemakambo2182
@wechemakambo2182 6 ай бұрын
@@Dr_Heart. hatupaswi kumdharau aliyefanya tukajua badala yake tumtie moyo azidi kuwa bora...Sasa Shafii hakuyajua haya.
@Dr_Heart.
@Dr_Heart. 6 ай бұрын
@@wechemakambo2182 Hakuna aliyedharauliwa hapo, kila kazi na mtaalamu wake, haina haja ya kuwa na unafiki kwenye suala linaloeleweka, pongeza panapostaili pongezi....nyie ndo machawa nyie mnataka kusifia kila kitu bastard😎
@jumankumilwa4139
@jumankumilwa4139 6 ай бұрын
HONGERA SANA BRO MOMBO
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 2 ай бұрын
Story imeeleweka vizuri mno
@jerichoseth4188
@jerichoseth4188 6 ай бұрын
Idara ya usalama wa Taifa ni idara Bora Sana pongezi kwao
@RaphaelMichael-g3x
@RaphaelMichael-g3x 6 ай бұрын
Big up to TISS
@NassoroKulondwa
@NassoroKulondwa 6 ай бұрын
Hongera sana idara ya usalama wa taifa Kwa kulinda amani ya nchi
@Stanlykanwakabos
@Stanlykanwakabos 5 ай бұрын
asante
@seifmohammed9167
@seifmohammed9167 6 ай бұрын
Kwa kweli chanzo mpo vizuri kwa stori yote ulioeleza ni kweli kabisa
@officialkyenx4773
@officialkyenx4773 6 ай бұрын
mbwa hyo ange kufa tu na mlengaji haku lenga vzuri angelenga kichwa tu akafa .mbaguzi sana
@HamisiHemediWaguga
@HamisiHemediWaguga 4 ай бұрын
August Maiga mwenyeenzi mungu ailaze roho yake pahala pema peponi amn, alikuwa mtu mwema sana dani ya Kibo palace Hotel Arusha
@alexdaniel7985
@alexdaniel7985 6 ай бұрын
Kazi iendeleeeeeeeee
@abdulqadriabdallah9332
@abdulqadriabdallah9332 5 ай бұрын
Kumbe mzena ni hospital ya viongoz coz mzena alikuwa kiongozi WA usalama WA taifa
@JK-uq1tv
@JK-uq1tv 6 ай бұрын
JPM aliwatumia vizuri usalama wa Taifa hasa kwenye maswala ya usama wa uchumi wa Nchi.
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 6 ай бұрын
@@JK-uq1tv mbona viroba vya maiti kila siku coco Beach ktk utawala wake, hao TISS walikuwa wapi??
@EmmanuelJoshua-yn8ly
@EmmanuelJoshua-yn8ly 5 ай бұрын
😊
@EdwardRweyendera
@EdwardRweyendera 3 ай бұрын
Bado sana inaendeshwa kizamani inabidi iendeshwe kiteknolojia
@athumanmapunda
@athumanmapunda 6 ай бұрын
Okay
@nasibuAbel
@nasibuAbel 6 ай бұрын
Upo sa sahihi kabisa naamini hivyo na mimi mwenye ndoto za kuwa kwenye hicho kitengo
@SEBASTIANBEKKO-ni8nn
@SEBASTIANBEKKO-ni8nn 4 ай бұрын
TISS
@overplantv21
@overplantv21 6 ай бұрын
morning tiss 3:40 3:44 3:47
@Nedjadist
@Nedjadist 6 ай бұрын
Hii ilikuwa Idara kabambe sana. Siku hizi nashuku majukumu yake ni kuwakomoa Watanzania kuitumikia CCM. Haijui hata jinsi rasilmali za Tanzania zinavyoibiwa! Hivi wanaweza kuwaambia Watanzania Magufuli alikufaje?
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 6 ай бұрын
@@Nedjadist wewe ukitaka afe vipi kwa mfano? Siku yako ikifika hata ashuke yesu utakufa tu. Acha kuuliza uozo kama huo jiongeze?
@Nedjadist
@Nedjadist 4 ай бұрын
@@MilloWamilonga-ft8ir Hizi no akili za mfuasi wa dini kimajaka. Yaani hakuna kuuawa kwa dhuluma, 'kifo ni kifo' eeeh?
@NixonJohnson-r4m
@NixonJohnson-r4m 6 ай бұрын
Huyo mama waisulamu ndio kwenye hii nchi miaka yote. Yakwake.......
@nelsonnikodem1100
@nelsonnikodem1100 6 ай бұрын
Lakini serekali yetu Haina dini
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 6 ай бұрын
Wewe ndio mpumbavu kweli pimbi wewe. Unavyosema muislam una maana gani? Unaijua history ya nchi hii vzr? Pwani ya waislam ndio chimbuko wa kila kitu nchi hii. Nani alifahamu mikoa ya huko porini? Hata uhuru umedaiwa mikoa ya pwani na sio mikoa ya mbugani. Acha ujinga waislam ndio vinara wa kila kitu bongo mzima
@suleimansalym7537
@suleimansalym7537 6 ай бұрын
Wewe ulitaka vp Kwan wanahubir au wanafanyakazi tu? Kazi yao ni utendaji hakuna hata siku moja uliosikia wanahubir ..watu wote wapo huru makanisa yapo na misikiti ipo hakuna siku huyu mama amezuia watu kwenda kanisani wala msikitini sio vzur hata kidogo kuhusisha Serikali na mambo ya kidini ...akili zako Zina ujauzito wa mawazo
@richardmwandanji65
@richardmwandanji65 6 ай бұрын
Kazi yao ni mhimu mno Ila kuna halufu mbaya na minong' ono mhimu kujilekebisha maana idara hi kisheria ni nyeti Mungu awapefikra za uweredi katika majukumu yenu.
@hazygardmericho9571
@hazygardmericho9571 6 ай бұрын
I wonder where you guys get infomations
@peterchristopher5216
@peterchristopher5216 6 ай бұрын
Habyarimana alionywa na Mkuu wa usalama wa taifa Tanzania Luteni jenerali Imran Kombe, Mobutu na Rais Moi hawakuja Tz, walikubali onyo la Kombe, lasivyo habyarimana asingetunguliwa kwenye ndege mwaka 1994 na hatimaye mauaji ya kimbari Rwanda yasingetokea.
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 6 ай бұрын
@@peterchristopher5216 Acha kutupeleka peleka wewe, Kombe atawaambiaje hao marais wasije kwani kulikuwa na tatizo gani Dar? Huyo Habyarimana na mwenzake wa Burundi wametunguliwa wakiwa wanarudi kwao baada ya kuhitimisha mkutano na sio ndani ya Tanzania, walitunguliwa ktk ardhi ya Rwanda huko.
@peterchristopher5216
@peterchristopher5216 6 ай бұрын
@@MilloWamilonga-ft8ir hujaelewa mantiki yangu, najua kuwa hawajatunguliwa Dar, ila Kombe alivujisha Siri ya assassination kwa mmoja wapo, Hadi wengine hawakuja, waliambiana, Habyarimana alishauriwa asiondoke hiyo tarehe, badala yake akalazimisha, yakamkuta.
@silvanuskuloshe7995
@silvanuskuloshe7995 6 ай бұрын
Usijibu mjinga nawe utakuwa mjinga​@@peterchristopher5216
@ibrajuma8399
@ibrajuma8399 6 ай бұрын
Hii ni ndoto yangu ila kuipata ndio shida
@AhmedSaid-tj5ji
@AhmedSaid-tj5ji 14 күн бұрын
Idara hii nyeti isipokuwa inayumboshwa n'a kuingiliwa na chama cha CCM.
@JayItsquare
@JayItsquare 3 ай бұрын
Our Intelligence agency needs enough cyber security experts who ll be trained in advance to protect our nation.
@ruahakennelsandvetservices6567
@ruahakennelsandvetservices6567 6 ай бұрын
😮😢😢
@allyngoda761
@allyngoda761 6 ай бұрын
Mmmh
@khamisjohn7639
@khamisjohn7639 6 ай бұрын
Uchambuzi mzuri saana na Idara yetu ina historia ya kizalendo saana. Kazi kwao viongozi wa sasa nao kuweka historia nzuri kwa kutenda haki kwa watanzania wote na kulinda rasilimali za nchi yetu kwa wivu mkubwa
@meshajohn8713
@meshajohn8713 6 ай бұрын
Idalayenuee
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 6 ай бұрын
✌️👊👍.
@JosephKapunda-m1w
@JosephKapunda-m1w 4 ай бұрын
Hiki ni chombo muhimu saana kwa Usalama wa NCHI dhidi ya uovu,ufisadi,ugaidi na ubadhirifu wa Mali ya umma. Uzalendo,uadilifu ,utii kwa serikali ndio Siri pekee ya mafanikio ya Idara hii MUNGU IBARIKI TANZANIA.
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 6 ай бұрын
Historia ni kitu kizuri sana,tunaomba irudiwe,na kurudiwa tena na tena. Kumbe chanzo cha TIS kuwa chini ya Rais ikulu ni hii iliyopelekea Idara hii kuwa chombo chini ya Rais na chama kimoja na ulinzi wa viongozi wa serikali na chama pekee na sio chombo cha usalama wa nchi na maadui kutoka ndani na nje pekee na Polisi kubakia mambo ya ndani ya ulinzi wa wananchi na mali zao!
@chaulachaulaya5259
@chaulachaulaya5259 6 ай бұрын
Itoshe kusema 'madingi' walikua ni watu wenye akili, wabishi, wenye maono pia wazalendo, tuna kazi kubwa ya kuyaishi yaliyoanzishwa
@naimame763
@naimame763 6 ай бұрын
Dahh mung nijalie na mim hii kazi natamni siku moj na mm niwe TISS
@JohnMlimira
@JohnMlimira 4 ай бұрын
Idara nyeti
@goodluckandrew3392
@goodluckandrew3392 6 ай бұрын
Twalipo , KAMBI YA TWALIPO IKO KALIBU NA UHASIBU
@N.T.KDigitalCreation
@N.T.KDigitalCreation 5 ай бұрын
Hawa ni watu wanaojua nini kinachoendelea Tz.
@MohdMohd-fv1my
@MohdMohd-fv1my 6 ай бұрын
Amani na Usalama tunajivunia...
@ChristmasMaheri
@ChristmasMaheri 6 ай бұрын
Hii ndiyo Idara iliyo na watu wasiojulikana? Mbona watu wasiojulikana hawajaweza kujulikana hadi leo? Hii Idara haiwezi kuwajua?
@peterchristopher5216
@peterchristopher5216 6 ай бұрын
Edwardo Mondlane wa Msumbiji alikufa mwaka 1969 na siyo 1965
@mosesmagubira3700
@mosesmagubira3700 6 ай бұрын
Niliwahi kutuma maombi lakini sikufanikiwa . Kisa kikubwa cha kutuma maombi ni uzalendo .
@boscofidelis6223
@boscofidelis6223 6 ай бұрын
Tafadhali nijulishe namna ya kuomba maombi tafadhali
@ismailmasanilo7018
@ismailmasanilo7018 3 ай бұрын
Unatumaje maombi kaka sisi tuliopitia jkt
@shabanikimeru8409
@shabanikimeru8409 6 ай бұрын
Kwaiyo Tiss ni jwtz au polis???
@ShabaniSudi-d1x
@ShabaniSudi-d1x 6 ай бұрын
Mwamba hapa alikuwa laurance Gama na Imran kombe. Kuuawa kwa kombe ni hasara kubwa
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 6 ай бұрын
@@ShabaniSudi-d1x kuuwawa ka Kombe haikuwa hasara kwa taifa, bali ilikuwa kwa faida ya taifa Ndio maana unakuta yeye aliuliwa na polisi live kwa pengine malengo flan.
@frankkinyaiya.8217
@frankkinyaiya.8217 5 ай бұрын
Huyu Laurence Gama mwanae ndio Leonidas Gama aliyekuwa mkuu wa mkoa kilimanjaro kwa sasa ni marehem??
@gregoryntibani6640
@gregoryntibani6640 6 ай бұрын
Msomaji ameeharibu kiswahili. "HICHO" na siyo "Hiko"
@OmarMohamed-bs2hf
@OmarMohamed-bs2hf 6 ай бұрын
Hapa ndio utajuwa vp muungano huu tulonao m zanzibar hakuekwa hata mmoja kwenye itara hii
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 6 ай бұрын
Kikao cha maraisi 2015 au 2005
@OmarMohamed-bs2hf
@OmarMohamed-bs2hf 6 ай бұрын
Hii idara hakuna m zanzibar anaewe kuongoza sindio
@NeemaKisinga-q2l
@NeemaKisinga-q2l 6 ай бұрын
Kujiunga unafanyaje napenda pia
@hamzangakola8822
@hamzangakola8822 6 ай бұрын
Kuna mmoja anaitwa lilungulu umemsahau kwenye hiyo orodha
@Dj2nyi
@Dj2nyi 4 ай бұрын
Mbna inagoma kupray
@selemanichimogo4789
@selemanichimogo4789 6 ай бұрын
Mbona marehemu ng'itu hayupo
@clementiddi5708
@clementiddi5708 6 ай бұрын
Hakuwahi kuwa mkurugenzi
@wechemakambo2182
@wechemakambo2182 6 ай бұрын
Hapo kwenye gazeti la 1965 la nationalist linasema watatu zaidi wakamatwa ni juu ya ile uasi wa jeshi inaonekana picha ya huyo afisa Wayne Mbwambo na J.T.Zangira sasa huyu Zangira baadaye 1977 alikamatwa tenaa na kufungwa kwa kusidiana na Wazungu wa Southern Rhodesia(Zimbabwe),hii imekaaje?
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 6 ай бұрын
@@wechemakambo2182 uasi wa jeshi ni 1964, Nyerere alifichwa Kigamboni na matokeo yake Julius hakumsaidia lolote hadi kifo chake. Julius alikuwa ni kiongozi mwenye roho ya kwa nini halafu roho mbaya nature
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 13 күн бұрын
@@MilloWamilonga-ft8ir mnazijuwa historia kwa kweli ndugu
@ElibarikiEliud
@ElibarikiEliud 6 ай бұрын
Mbona uteuzi umeegemea udini zaidi..tumeshuhudia matumizi mabaya ya madaraka ya ukiukaji wa katiba na viongozi kuingiza nchi kwenye mikataba isiyonufaisha nchi idara ikiwa kimya maana yake nini. hizi ni nchi mbili zilizouungana.idara inawajibika vipi kuhakikisha viongozi hawatumii nafasi zao kuhamisha rasilimali za upande moja. Isiieshie kushauri tu. Pia ichukue hatua
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 6 ай бұрын
Huna akili kama ni udini basi huyo Julius. Kuanzia TISS wa kwanza hadi wanane na hakuna mtu alieliongelea hilo coz hatuna udini, umefahamu wewe pimbi?
@helladeogratias7630
@helladeogratias7630 6 ай бұрын
Udini unakuja baada ya kukosekana hoja zenye mashiko.
@suleimansalym7537
@suleimansalym7537 6 ай бұрын
Kuna sheikh kateuliwa kwani? Acheni mawazo finyu sidhani kma ni uzalendo kuhusisha Serikali na mambo ya dini. Siku zote mbona hamjasema kwann? Au sababu ni huyu mama tu je umeona sehemu yoyote kiongozi wa Serikali anahubir dini ? Mbona LUKUVI alipoenda kanisani na kuongea udini hukusema lolote?
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 6 ай бұрын
@@suleimansalym7537 wakristo huwa hawajiamini, na wengine hujiamini kutokana na dikteta Nyerere kuwa rais wa kwanza lkn hawajui bidii zote zilifanzmywa na waislam wa pwani na ndio wenye pwani yao rasmi, kuanzia Mtwara, Lindi, Pwani. Dar na Tanga. Hata uhuru haujapatikana huko porini bara ndani. Kila kitu kwa wastaarabu pwani (DUR AL SALAAM) ambayo ndio Dar es salaam ya sasa.
@mussakantumba9914
@mussakantumba9914 6 ай бұрын
Ndugu ukisema Udini kwa kuwa aliyechaguliwa ni Muislamu, Basi Waislamu nao wataanza kusema, mbona Wakuu wote wa jeshi la wananchi ni wakristo toka uhuru isipokuwa mmoja tu Abdallaah Twalipo? Kiongozi anatakiwa aingoze vizuri bila kujali dini
@abelabba7809
@abelabba7809 4 ай бұрын
Huyu kibaka wa kunyima haki za kuishi anapata wapi jeuri hii. Nonsense
@herrygeofreykilasi8658
@herrygeofreykilasi8658 6 ай бұрын
😅p
@MuhammedAli-q2l
@MuhammedAli-q2l 6 ай бұрын
mbn kam umechanganya apo kweny diwan athuman msuya mbele yake hakuja uyo uliemuek badala yake alikuj moj kw moj Ali iddi
@antonyezekiel9260
@antonyezekiel9260 3 ай бұрын
Taarifa hizi na wewe umetoa wap
@MansoorShomari
@MansoorShomari 2 ай бұрын
wewe utakuwa io
@ga2revocatus91
@ga2revocatus91 6 ай бұрын
Nifanyeje ili niwe members TISS
@henrymjema1685
@henrymjema1685 6 ай бұрын
Kuwa 🐞
@Daniel-g2f6v
@Daniel-g2f6v 6 ай бұрын
We zombie haujui😂 shughuli kaka
@josephjulio6112
@josephjulio6112 6 ай бұрын
Kazi siipendi kabisa
@BrysonKaduma
@BrysonKaduma 6 ай бұрын
😂​@@henrymjema1685
@clementiddi5708
@clementiddi5708 6 ай бұрын
Umeshaikosa tayari
@preciousmoshi3392
@preciousmoshi3392 5 ай бұрын
Muongo wewe
@alexdaniel7985
@alexdaniel7985 6 ай бұрын
Kazi iendeleeeeeeeee
@NeemaKisinga-q2l
@NeemaKisinga-q2l 6 ай бұрын
Kujiunga unafanyaje napenda pia
@WILFREDCHUMI
@WILFREDCHUMI 2 ай бұрын
Kama huna ndugu mwenye nafasi kubwa serikalini. Ngumu sana
Oscar Kambona: Shujaa au Msaliti? | The Chanzo Documentary
1:04:34
Каха и дочка
00:28
К-Media
Рет қаралды 3,4 МЛН
Support each other🤝
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 81 МЛН
Tanzania Ilipowafukuza Maofisa wa Marekani Kwa Tuhuma za Ujasusi
10:08
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
Wasafi Media
Рет қаралды 1,8 МЛН