Рет қаралды 91,149
Inawezekana upo Dar es salaam na kila siku unapita barabarani lakini hukutani na magari ya zamani ila kukusaidia tu ni kwamba bado yapo tena kuna watu wameya-pimp vizuri.
AyoTV imekukusanyia details zote kutoka kwenye hayo maonyesho na magari yote mpaya mengine yaliyoletwa Tanzania hata kabla ya uhuru..... USISAHAU KUNIAMBIA IPI IMEKUVUTIA