Рет қаралды 14,234
Wakati Taifa linaadhimisha miaka 58 tangu kujinyakulia uhuru wake mwaka 1961 kutoka kwa Uingereza, Daily News Digital imetembelea Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam na kukuletea magari aliyotumia mwasisi wa taifa enzi hizo
#JuliusNyerere #MakumbushoYaTaifa #DarEsSalaam #DailyNewsDigital #Uingereza #British