Asante sana baba ethu bauloz pakazi ambayo unayofanya unajituma kwakweri ubalikiwe sana kaz njema👏👏👏👏
@johnsondiscoequipments992 Жыл бұрын
Asante sana mkuu maamini wengi umetufungua macho nakutuonyesha uhalisia wa moyo wako safi wakumtakia mtanzania mafanikio.Asante mungu hakuzidishie maono na Amani afya Njema ili mtanzania apate zaidi mafanikio zaidi kupitia nafasi yako mungu amekupa nafasi iyo uwe mkombozi wa watu wake na we umeitendea haki Asnte pia kwa wakuuu wa Nchi kukuamin
@kelvinmwombeki763 Жыл бұрын
Ahsante sana Balozi unaongea kwa kutulia na kwa ufafanuzi uliomakinika .Hapa Mh Rais alipatia sana kwenye uteuzi pamoja na S.korea
@newttechog758 ай бұрын
Duh kilichonisikitisha hii video ina zaidi ya mwaka sasa na inaongelea vitu vya muhimu katika maisha ya vijana. Ila coments na views zake zinasikitisha ila kwenye udakuu😂 kama tu alichokiongelea balozi.
@MohamedMbaraka-b2d Жыл бұрын
Balozi kailuki ni mfano wa kuigwa kuna Mabarozi wengine hatuwafahamu hata kidogo wala hawajawai kujitokeza na kutangaza fursa kama hizi Aidha wakishapewa ubolozi nikulala tu na kufulaia Maisha!! Kwakweli Mzee wang umezitangaza frusa Umeitangaza Soya vijana tuamke usingizn KASINGE WAITU" unatuwakirisha vyema eneo husika Tuko nyuma yk Baba
@zuhuraomary2782 Жыл бұрын
balozi ana content za kibiashara kama kweli ukipata