ALIYETAKA KUMPINDUA NYERERE AJULIKANA:MIPANGO YA "URUSI"/VITA VYA UGANDA/UJASUSI NI SIRI NZITO.PART2

  Рет қаралды 25,146

Dar24 Media

Dar24 Media

Жыл бұрын

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#urusi #ukraine #putin

Пікірлер: 51
@raymondonyona.2736
@raymondonyona.2736 3 ай бұрын
Hapana, Korea ya kusini halikuwa Taifa la kijamaa enzi za Mwalimu Nyerere bali Korea ya Kaskazini.
@anytime5685
@anytime5685 Жыл бұрын
Mwamba yupo vizuri kitabu tunakipataje sasa
@Michael12372
@Michael12372 Жыл бұрын
Hawa ndo wanakula Bando kihalali
@mzungu2012
@mzungu2012 Жыл бұрын
Aliemwambia Nyerere kuhusu TAA akiwa wakati Nyerere anaanzisha chama ni mzee Mwangosi, sio Mwapachu
@theroggyplus255
@theroggyplus255 Жыл бұрын
mtoe sehemu ya tatu fasteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer hata na ya 4 na 5 mpaka seasons... Jamaa yupo good
@othmanmapunda2310
@othmanmapunda2310 Жыл бұрын
Weeeee unasema uongo hujui chochote kuhusu vita ya Uganda mwongo sana
@danielhamisi8928
@danielhamisi8928 Жыл бұрын
Ongea wewe basi
@eliufoom6195
@eliufoom6195 Жыл бұрын
Hili jamii lina madini sana
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 Жыл бұрын
Sehemu tamu Sana
@sulyshaaban9392
@sulyshaaban9392 Жыл бұрын
Sio tu muongo ana virusi vya utApeli!!
@michaelmulokozi1512
@michaelmulokozi1512 5 ай бұрын
😂😂😂
@elinisafibabarita
@elinisafibabarita 6 ай бұрын
Kuhusu ujerumani ni kweli, unfortunately cant say a lot
@georgelupembe8672
@georgelupembe8672 Жыл бұрын
.....sio South ni North Korea !
@jkifutu7936
@jkifutu7936 Жыл бұрын
Ujasusi ni umbea unapokuwa na wambea wengi utajua mambo mengi sana
@almasi25
@almasi25 Жыл бұрын
Rusophobia is anything against Russia . Any negative propaganda against Russia . USSR ndo nchi zilizo kuwa ktk jumuiya ya kisovieti. Nadhani unaongelea hilo na sio Rusophobia.
@alexanderankiza3185
@alexanderankiza3185 Жыл бұрын
Thank you, vile vile sijamuelewa anaposema nchi 67, while NATO ni nchi 30 kwa ujumla wake.Vile vile sikumuelewa aliposema aliwajua Presidents wa nchi zaidi ya 300, Kuna nchi 195 tu dumiani.Anatiririka sanaa,inamtoa kwenye mstari sometimes.
@almasi25
@almasi25 Жыл бұрын
@@alexanderankiza3185 kama mwandishi facts zake hazipo Sawa ,sasa hicho kitabu kitakuwa Vipi ? Vitu vingi hana facts zake .
@suleimansadalla5606
@suleimansadalla5606 Жыл бұрын
wajerumani walishindwa vita kuivamia urusi sababu ya baridi na seluji gari zao ziligoma askari walikufa kwa baridi
@josephlorri431
@josephlorri431 Жыл бұрын
Pugu..sio St Mary's... ni St Francis... punguza uwongo ndugu
@othmanmapunda2310
@othmanmapunda2310 Жыл бұрын
Jamaaa mwongo mukundu weee una lolote unataka sofa tu huna jipya
@eduardomala150
@eduardomala150 Жыл бұрын
Je, hicho kitabu chako kimechapishwa kwa lugha ya kiswahili au kiengereza tu? Ni bei gani?
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu Жыл бұрын
Kanisa watawekaje historia hiyo na wakati hiyo ni kazi ya nyuma ya pazia unadhani Kwa mtu mwelewa ukimwambia habari kama hizo atalichukuliaje kanisa kuwa ni dini au ni mambo ya watu???
@frankmakwabu8119
@frankmakwabu8119 Жыл бұрын
Tuchambulie na kitabu kabisa
@damianmstambi848
@damianmstambi848 Жыл бұрын
Natapaje kitabu
@kindysuleiman5935
@kindysuleiman5935 Жыл бұрын
Nyie jamaa wacheni kulonga musolijua
@jumanesaidi7635
@jumanesaidi7635 Жыл бұрын
Mbona unanong’ona ?Siri ya nini, nawe umeamua kuweka mambo hadharani ?
@jkifutu7936
@jkifutu7936 Жыл бұрын
Bullaza na taka kukunua vitabu vyako please
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 Жыл бұрын
Leo upo na baba anakupa nondo zake
@gainjulius1164
@gainjulius1164 Жыл бұрын
Bola angempindua sijuhi alifail wapi
@selemansombe4177
@selemansombe4177 Жыл бұрын
North Korea
@Bob-ev2fi
@Bob-ev2fi Жыл бұрын
Don't entirely .buy your story.there is no bridge at Masaka. The bridge was Kagera. Tune down your history
@charleslukumai7875
@charleslukumai7875 Жыл бұрын
Wewe muongo. Nyerere hakulipiwa nauli na kanisa Katoliki kwenda UNO. Nauli ililipwa na wanachama wazalendo, akina Abdul Sykes, Rupia, Mbowe, na wazee wengine maarufu Tanganyika. Pia alilazimishwa kuacha ualimu St. Marys kwa 7bu ya kujihusisha na siasa za TANU.
@mastaplan
@mastaplan Жыл бұрын
Naweza kutoa pesa kwa watu ili kufikie wewe na kamii ikajua hao watu ndio waliotoa Lakini ukija kwenye UJASUSI unapata jibu kuna sehemu ndio imetoka hiyo pesa.... Unapotaka kujibu swali tulia kwanza kisha ndio ujibu acha mhemko
@damymzuri9989
@damymzuri9989 Жыл бұрын
Mkuu wa shirika la jesuit atakufafanulia zaidi yupo na ni padri wa kikatoliki , sema hatutaki kujikweza , watatukweza wanaofahamu
@livinuskamugisha5296
@livinuskamugisha5296 Жыл бұрын
Njoo wewe usimuliee
@christiannyamamba9089
@christiannyamamba9089 Жыл бұрын
Ukijua mambo ya kijasusi utaelewa watu hutumiwa tu kwa macho ya wengi ila ndani yake mipango yote inatoka chini huko so we kijana waleo uwezi jua kitu kuhusu hivi vitu kila unachokiona kinaenda ujue kuna wenye mambo walishapanga hawa unaowaona wewe wapiga kelele ni vibalaka tu
@haidarykufakunoga5973
@haidarykufakunoga5973 Жыл бұрын
Kaka Charles Lukumai uko SAHIHI. WAISLAMU wa Enzi hizo NDIO walikuwa chachu ya KUPIGANIA UHURU. UKOO wa AKINA SYKES ndio miamba. ABDULWAHID SYKES ndie aliyepaswa kuwa Kiongozi wa TANU na alimzidi MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE kwa kura Moja. Lakini kwa BUSARA yake ABDULWAHID alikataa. Wengi hamjui Jinsi gani WAISLAMU wale walivyomjenga HAYATI BABA WA TAIFA akafikia alipofikia. Nani Anamjua SHEIKH TAKADDIR? WAKRISTO HAWAKUWAHI KUCHANGIA LOLOTE KATIKA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA. Kwanza wote walishakuwa wasomi Wana Ajira hivyo wasingeweza kuhatarisha hatima yao KIMAISHA. Kama kuna SHUJAA katika maisha yangu katika kupigania UHURU wa TANGANYIKA SHUJAA WANGU Ni ABDULWAHID SYKES.
@mustafakingwande9459
@mustafakingwande9459 Жыл бұрын
Huyo jmaa anaitwa nan
@mwambolamwambola4430
@mwambolamwambola4430 Жыл бұрын
Yeriko nyerere
@conradmwingira684
@conradmwingira684 Жыл бұрын
Ni kweli vita vya Uganda tulitumia silaha za Kirusi lkn Urusi iligoma kutuuzia silaha wakati wa vita bali tulisaidiwa na Msumbiji na Angola
@reubenbushiri1753
@reubenbushiri1753 Жыл бұрын
Jasusi wa Mbutu block E
@ramadhanmwandambotuntufye5972
@ramadhanmwandambotuntufye5972 Жыл бұрын
Kwa hiyo unaposema Kuna kundi linadai lilipigania Uhuru kwani uongo? Unataka kuaminisha watu kuwa nyerere ndiye alipigania Uhuru ? Acha kudanganya umma. Waislam ndio wamepigania nchi hii. Nyerere aliwapora chama Chao kutokana na ujinga wao.
Зачем он туда залез?
00:25
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,3 МЛН
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 12 МЛН
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 6 МЛН
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 9 МЛН
Oscar Kambona: Shujaa au Msaliti? | The Chanzo Documentary
1:04:34
ODM Leadership in Kenya Kwanza Government.
43:38
SpiceFM
Рет қаралды 82 М.
Зачем он туда залез?
00:25
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,3 МЛН