Ulikuwa muhuni sana sema Mungu Jehova ni kiboko ya uchafu wote
@onesmomashembo849511 ай бұрын
Nakukumbuka uliwahi kuja shule ya msingi Lusahunga miaka ya zamani kweli kati ya 1993 na 1994 tulilipa sh10
@jesusislord919011 ай бұрын
Hapa kuna kitu tunajifunza waislam wengi kama sio woote wanapenda sana sana kusikiliza maneno ya watu hasa mashekh alafu wanapenda kuwaamini sana sana mashekh.. aliesambaza uvumi kuwa nyerere alimpiga idd amin kwasababu za kidini ni shekh Ilunga.. waislam bila kujua bila kujadili wamelichukuwa kama walivyo ambiwa mwanajeshi wa uganda wanakili kuwa kweli waliuwa raia wa kitz kwahiyo ilikuwa sawa idd amin kuuwa watz ila kwenda kumkabili ni kosa kwasababu tu ni muislam...hii sio sawa waislam wengu huwa wanapandikizwa chuki na mashekh wanaofanya mambo kwa maslah yao binafsi.....
@JamesKahamba11 ай бұрын
Story nzuri sana davister fanya kama ofa uweke hata mala mbili kwa siku kaka
@joycemuhoja472911 ай бұрын
Yaani hii Ni nzuri Sana nacheka muda wote
@stephanofyulla844811 ай бұрын
Huyu jamaaa anauwezo mkubwaa sana kichwa ukiangalia hata remembering capacity ni very very huge
@ASALABOY11 ай бұрын
Mungu atuinue sana sisi vijana
@IYEGU-p3n11 ай бұрын
Nilikuona zamani mzee wetu
@jamesswai658311 ай бұрын
Hatari mzee wa mastori.
@fenellalilian459011 ай бұрын
Hakuna science ulkuwa unatumia huo ulikuwa uchawi( mazingaombwe) hakuna vile uneza washa moto kwa kichwa afu ukaange chakula na ukose kuunguwa
@matthieulugerero935511 ай бұрын
Huyu mtumishi anazungumzia ukweli kabisa! Mimi niko Entebbe kwa sasa. Mimi ni mkongo na mambo ya kongo anayo sema ni kweli
@Irenes_Kitchen11 ай бұрын
Nice story ❤
@nyaticarriersllc307511 ай бұрын
Muhhuni kweli, good story teller
@FaridaOngala11 ай бұрын
😂😂😂 story nzuri
@shashemuzyo453711 ай бұрын
Kaka. Unachelewa kuzimwaga KZbin... tupe mwendelezo wake mapema
@edwardleonard579311 ай бұрын
Huyu jamaa nqmkumbuka sana kule kusini alishavuruga mno kwa mazingaombwe sarakasi na michezo ya nguvu. Si ndio wewe ulijiita Sambali magulu😂😂😂😂😂 Kumbe ulikuwa jambazi. Ashukuriwe Mungu aliekuokoa
@shijandobehe495311 ай бұрын
Anasema ukweli kabsa kipindi Cha Vita hiyo baba mkubwa alikuwa mwanajeshi alikuja na katheti kutoka huko Uganda aliwahi kuniambia
@franciskobelo11 ай бұрын
Yani mjomba anajua kuhadisia hauchoki kumsikikiza kwa kwel..
@LoFi_12011 ай бұрын
End of season one, Story ianze sasa.
@tututz10011 ай бұрын
JBOYS 1999
@dorcaskarago287611 ай бұрын
Iyo njo kiswahili sasa is 😂😂
@jesusislord919011 ай бұрын
Baba yangu aliniambia kuwa alinunu injini ya boti shilingi 15 jonson ..mwaka 1985
@jesusislord919011 ай бұрын
I mean 15000
@JoramKasenga-ig2gk11 ай бұрын
Swali langu kwanini mwanamke akilala mwanzo wa kitanda majambazi hawawezi kufanikisha zoezi lao na kuondoka je nishariti la waganga au hali ya kibinadamu tu
@fadhili229310 ай бұрын
We ulijuaje?
@danrevelian11 ай бұрын
Msela wa zamani 😂😂😂
@leonardmayunganyamfanka962311 ай бұрын
Hahhahahaaa yaan
@matheothomas189111 ай бұрын
Ni sprit moto wake auchomi
@silvesterrichardhelenya131911 ай бұрын
Power mabula alikuwa msukuma alikuwa ana act kama mzambia
@sukisa123411 ай бұрын
Samahani davistar muulize huyu mtumishi ndo alikuwa akijiita power mabula akija sumbawanga...?