No video

DAZ BABA AFUNGUKA KUHUSU KULA UNGA, NIMEOKOKA TANGU TUMBONI KWA MAMA YANGU

  Рет қаралды 29,822

EastAfricaTV

EastAfricaTV

Жыл бұрын

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 87
@EzzyK438
@EzzyK438 Жыл бұрын
Bro anaongea fact sana, nipeni likes zake huyu mwamba
@msafirlaizer2368
@msafirlaizer2368 Жыл бұрын
Hii miziki ya huyu mwamba Daz baba n miziki ambayo haijawai tokea , Yaan namaansha n ngoma kali all the times ❤🎉
@DavidLucas-ou7vp
@DavidLucas-ou7vp Жыл бұрын
Jembe letu bwana Hilo 😍alifanya vizuri sana mpaka nipo gheto nasikiliza elimu dunia
@AhmadaMkingiye-qm8nu
@AhmadaMkingiye-qm8nu Жыл бұрын
Ila jamaa kama kafanana na alioucisse yule kocha wa Senegal kama Kuna mtu kagundua hlo like hii comment 🤔🤔
@omarymkondo9651
@omarymkondo9651 15 күн бұрын
Exactly
@piuskusenge-jf2ob
@piuskusenge-jf2ob Жыл бұрын
😂jamaa ana majibu smart Sana, I like it
@mkoreaog4434
@mkoreaog4434 11 ай бұрын
😊
@vaghoghontweki9827
@vaghoghontweki9827 Жыл бұрын
Hawa ndo wasanii sasa,,,,content na uimbaji hamna wa siku za leo japo kizazi cha siku hizi wanachojua ni kusifu sifu vitu ili mrad2,,,Dazibaba big up sana broooo❤
@dayanamsuya6516
@dayanamsuya6516 Жыл бұрын
Wakumshukuru mungu kapata afya na akili imetulia mungu wetu amsimamie vema
@silvestabahebewadudu6625
@silvestabahebewadudu6625 Жыл бұрын
Daah Mungu mkubwa..tunakupenda daz..
@zkbeto2486
@zkbeto2486 Жыл бұрын
Sauti bado ipo tena motooooo sana...NIPE TANO
@antidabanyikwa3259
@antidabanyikwa3259 Жыл бұрын
Rudiii banaaa Daz we miss you 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@abubakaralimohammed3388
@abubakaralimohammed3388 Жыл бұрын
Tuko pamoja niliwa Saudia Arabia,great job for the East Africa Radio.
@bainolatino3412
@bainolatino3412 Жыл бұрын
Saudi Maeneo gani kaka
@ayoubimam7271
@ayoubimam7271 24 күн бұрын
Huyu jamaa ana hits nyingi na kali kuliko ferouz
@armandoleonardo6966
@armandoleonardo6966 Жыл бұрын
Daz Baba você foi um homem que sempre nos deixou feliz na música tanzaniana. Deus abençoe a você e sua família 🇲🇿🇲🇿
@hunterdeskeezy7142
@hunterdeskeezy7142 Жыл бұрын
Armando
@armandoleonardo6966
@armandoleonardo6966 Жыл бұрын
@@hunterdeskeezy7142 Aqui 👍
@noelbryson7840
@noelbryson7840 Жыл бұрын
Jembe sana , me nakukubali sana mwamba 👍
@kilasiovethi5040
@kilasiovethi5040 Жыл бұрын
Safi kamanda nakubalii mkulugenzii wangu
@magrethsimon5787
@magrethsimon5787 Жыл бұрын
kipaji cha kweli 🥰💪
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 Жыл бұрын
Dazz baba nimesha kua mtu mzima mie, sasa naitaji mpenzi wa kuishi nae, kuzaa na kulea watoto na mie.
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Mwamba huyu hapa🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@Basagamp4
@Basagamp4 Жыл бұрын
Heshima saana Mwalimu Daz
@eddiemohamed9003
@eddiemohamed9003 Жыл бұрын
SALUTE 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👊👊👊 DAZ BABA
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 Жыл бұрын
Kiswahili Bhana Jamani Kifo Akiwezi Kumuumbua Mtu Mtu Akifa Aumbuki Kwasababu Kinachokufa Ulie Hai Uwezi Muona Utaona Maiti1 Sasa Maiti Itaumbuka Vipi Mbele Yako wakati Mtu Akifa Aludi Kwa Dunia Tena Mahisha Aya Kigeugeu Unaweza Msema Dazi Baba Wakati Wewe Ujui Mbele Yako Unajisifu Ukiwa Ujui Mbele Yako Unaweza Kua Teja Kuliko Dazi Baba
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Жыл бұрын
Safi sana kwa kweli jamaa ana hits kali bas tu madawa
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j Жыл бұрын
Halafu kwao wala hana choka. Mbaya yupo vizr tuu geti kali nini ilq. Kajiaharibu naulevi
@bainolatino3412
@bainolatino3412 Жыл бұрын
Havuti madawa huyo wewe style ya pombe ikizidi ni inakua too much lakini ni Unga kitu kingine hiki
@JamesJastin-bg1rx
@JamesJastin-bg1rx 2 ай бұрын
Tako
@user-ez7xs4xy3l
@user-ez7xs4xy3l Жыл бұрын
Aloo Uyu mwamba anajua
@ZachariaMwita-bu7rw
@ZachariaMwita-bu7rw Ай бұрын
Mtu wa maana kabisa
@Theonethatismissing
@Theonethatismissing 6 ай бұрын
Namba Nane Is the Best so far na Kamanda
@xaverisunday699
@xaverisunday699 Жыл бұрын
#aboi_4rm_makambako maniger faza wetu huyu tunajivunia hiki ni cha kwetu njombe boi mwanetu daz baba
@matunzojr4862
@matunzojr4862 Жыл бұрын
raha ya kuandika ngoma mwenyew ata miaka 20 lazima utaikumbuka tu huez sahau verse kama yule msanii wao aliyesahau mistari ya kuandikiwa stejin😃😃
@bennylove6021
@bennylove6021 Жыл бұрын
Jamaa aliambiwa aimbe Pafyum akashindwa dah
@bainolatino3412
@bainolatino3412 Жыл бұрын
Nani huyo
@mawengemtz
@mawengemtz Жыл бұрын
@@bainolatino3412 rado ausio
@dastopadady2402
@dastopadady2402 Жыл бұрын
Kweli
@sontrillthereal8186
@sontrillthereal8186 7 ай бұрын
Kuna kitu hakipo sawa ila yeye mwenyewe hataki kukubali, muda utaongea
@deogratiusdominick8882
@deogratiusdominick8882 Жыл бұрын
Looooohhhhhh kweli maisha yanaenda,,
@vickieeddie2230
@vickieeddie2230 Ай бұрын
ananikumbusha utoto wangu sana
@patrickdezzy9871
@patrickdezzy9871 Жыл бұрын
Muulizaji anapwaya sana, Kuzoea kuuliza maswali ya udaku udaku, eti umewai shika sh ngapi.
@amirimohammed2875
@amirimohammed2875 Жыл бұрын
@nackplankton1669
@nackplankton1669 Жыл бұрын
Hajawah kutokea nahatotokea kama huyu miaka30 mbele
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 Жыл бұрын
Kila Mtu Anakuja Anaishi Anaenda Kikubwa Kila Mtu Amueshimu Mwenzie Akila Madawa Asile Madawa Kikubwa Jamaa Alileta Fulaa Kwa Vijana Wakale Waleo Na Wakesho Na Hata Milele Amina Hata Ukiwa Teja Lakini Ngoma Zako Tamu Muda Wote Zote Tamu
@salehhemed9388
@salehhemed9388 Жыл бұрын
Elimu Dunia
@sautikaliitz934
@sautikaliitz934 Жыл бұрын
mwamba
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j Жыл бұрын
Huyu anaivuta sanaa ukimkuta kwao pale duu😅😅sema nampenda yani ukipita salam kwa sana
@noelbryson7840
@noelbryson7840 Жыл бұрын
Anaivuta nini sasa? .. Acha unafki..
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j Жыл бұрын
@@noelbryson7840 Wewe fala kweli niongee unafki wanini namjua vizr sana mpqkq ndani kwao nyumba ya baba yangu ipo karibu NA alikiba dada angu yupo karibu nq nyumb yakin dazz baba huyu anashinda nnje kwao kunakibar kidogo kilikuwakinauzwa pombe halafu kikafungwa anashinda hapo nje NA msela. Wenzie kuvuta mda wote sahii nenda utamkuta ukishuka sanene tabata segerea shuka. Vuka. Barabara ongoza ile. Njia kuelekea shule ya tusime mpqkq. Police jamii kata kona upande wakushoto utamkuta nje tuu geti lao jeusi ukiuliza tuu unapeleka mpqkq ndani
@bainolatino3412
@bainolatino3412 Жыл бұрын
Kuna maswala waandishi wanauliza ili kumpima mtu kama at Atoka kwene reli au vipi lkn Kwa Daz naona kajipanga kisaikolojia halafu shule pia imemsaidia form 6 ya zamani sio kama yasasa
@domisonrichman6499
@domisonrichman6499 Жыл бұрын
Kamanda ...kichwa hiki
@bakarimuhibu602
@bakarimuhibu602 Жыл бұрын
Madawa kweli yanaharibu sana
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 Жыл бұрын
Umuli
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 Жыл бұрын
Dah kumbe daz yukonpoa tuu leo wamemkuta hajalewa anaongea poa tuu bado anajielewa tuu
@dicksonkisanga7380
@dicksonkisanga7380 Жыл бұрын
Ndipo wazazi wangu walipokaa chin na kufkri japo kuwa mm mkubwa nianze skul
@JescaLameck-mr9dw
@JescaLameck-mr9dw Жыл бұрын
Waje bana waje tumewa mc bana hawa wakisasa wametuchosha na mapenzi
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 Жыл бұрын
Wasanii ya siku hizo walikuwa wanafanya vizuri sababu walikuwa wanatembeleana maskani zao na kupeana chalenge sema tu mziki ulikuwa haulipi
@malkavoice2570
@malkavoice2570 Жыл бұрын
Hapa kapona mbona anang'aa
@hamisibaharia-bl9og
@hamisibaharia-bl9og 11 ай бұрын
Sema umepoteza brand uyu mwamba kaja na 20parcent mikumi wamekunywa tungi awana ela acha wavutane apo bar 20parcent kapigwa mbaka chupa ya mkono
@dicksonkisanga7380
@dicksonkisanga7380 Жыл бұрын
Anafanana na Bob
@elisanteshayo3882
@elisanteshayo3882 Жыл бұрын
Unga ni jambo baya sana jamaa ameshindwa kabisa kuacha unga ni ngumu sana
@kuvetamzazi8689
@kuvetamzazi8689 Жыл бұрын
Daz ndugu yangu acha kuficha maradhi, kwani kuna siku kifo kitakuumbua. Wewe kubali tu kwamba wewe ni teja ili usaidiwe kupata tiba na baadae urudi upya kutupa burudani yako tuliyoikusa muda mrefu. Acha unga na utubu maana vijana wengi wanaangamia kwa kuficha maradhi.
@benmbuya1814
@benmbuya1814 Жыл бұрын
Acha kuhukumu, una uhakika gani anatumia hivyo vitu?
@dayanamsuya6516
@dayanamsuya6516 Жыл бұрын
Ila ata kama hivyo anaonekana yuko fresh kuliko kipindi cha nyuma anapambana vizuri
@salimrizikijaji1281
@salimrizikijaji1281 Жыл бұрын
Dah bos wng huon km anatumia hayo mambo hapataki toch hapo
@IDV630
@IDV630 Жыл бұрын
Uyu jaama namukubali nyimbo zake hazitatoka kwa hewani
@michaelmwalupale3354
@michaelmwalupale3354 Жыл бұрын
Mwandishi ana maswali ya kiwaki sana huyu hakujipanga kabisa
@djtobasoba3660
@djtobasoba3660 Жыл бұрын
Tatizo ukilikataa inakuwa mbaya
@abeidsaid9635
@abeidsaid9635 Жыл бұрын
akuna kitu mm nilimuona tabata teja aswa huyu leo kaoga kavaa kapendeza
@dicksonmbuta6700
@dicksonmbuta6700 Жыл бұрын
Elimu DUNIA HATARIII MNOOO
@kadaskarim5081
@kadaskarim5081 Жыл бұрын
Daz umeanza kupendeza hongra san
@diwanikatayankonko2671
@diwanikatayankonko2671 Жыл бұрын
Ngoma zake ninazo mpaka saiv
@derrickwanatanzega5047
@derrickwanatanzega5047 Жыл бұрын
MWANDISHI UNA MASWALI YA KINDEZI
@elishamwangolo1560
@elishamwangolo1560 Жыл бұрын
jembe langu tanzaniano
@mudriqbutton8372
@mudriqbutton8372 Жыл бұрын
Rasta
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 Жыл бұрын
Mond msaidie huyu jamaa
@oscanyakunga
@oscanyakunga Жыл бұрын
NAWEWE OKOKA KWA NEEMA'
@championtv255
@championtv255 Жыл бұрын
Dah huyu jamaa kazeeka na utam wake
@rashidomar1558
@rashidomar1558 Жыл бұрын
Heavy weight
@zkbeto2486
@zkbeto2486 Жыл бұрын
Sauti bado ipo tena motooooo sana...NIPE TANO
@sultanmsoloni8635
@sultanmsoloni8635 Жыл бұрын
Daz akiri mingi
@trillionthamani
@trillionthamani Жыл бұрын
Mario hawezi kuulizwa atukumbushe alichoimba
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 31 МЛН
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 11 МЛН
BIG SUNDAY LIVE - FEROOZ | NIPE 5, NIKUSAIDIAJE
5:56
Wasafi Media
Рет қаралды 89 М.