Daah, haya maisha bhana. Daz Baba mpaka anatia huruma 😭😭😭
@yusufwazili53592 жыл бұрын
Daz kiukweli siyo yule ambaye nilikuwa nakusikiliza nikiwa dogo shule ya msingi..nyimbo zako na ulivyo tofauti sana,,
@hamisihaji70492 жыл бұрын
Babu big hapu sana
@matridamwalyoyo17352 жыл бұрын
Mtangazaji yupo vzur sana, very talented mekupnd bure mrembo,sema umekutana na mteja
@marcominja88502 жыл бұрын
Jamaa kajikaz kujionesha yuko sawa na mwenye mafanikio lkn kwa wataalam wa saikolojia unaweza kuona jamaa ni mtu aliyejichokea, kukata tamaa na ambaye hayuko sawa kichwani.
@jaffergeoffreypaul71339 ай бұрын
Kwa ww uko sawa kichwani😂
@user-li2kv7uy3tАй бұрын
Swali lako liko sawa tena vizuri tu kwa mtu mjuaji wakati akili yake aijui yuko wapi🎉🎉🎉
@shamsaalrahbi55732 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Huyo anomuhoji anaogop kwa kweli 🙏🙏🙏Honger mama kwa ujasir
@hamadathuman69392 жыл бұрын
Kweliii nilifikirii ni mimiiii
@Noah-zt5zf2 жыл бұрын
Dah,,mbona kama kaweka ugolo lakin😂
@mwananyamalaz44272 жыл бұрын
Dada unaweza kweri pamoza Sana 🙌
@ericalexandre21662 жыл бұрын
Grace napenda sauti yako alafu ww mzuri
@martinokello27932 жыл бұрын
daaaaah jman daz baba akiulzanajbu tofauti na anavoulizwa jmn nmpendaa dazbabaa mpka leo but kwa nn kawa ivoo jmn
@waziriwahekima6824 Жыл бұрын
Daz amearibika Sana !!!! Yani madawa Na Bange imemuaribu Sana !!! Nilikua namfuatilia Mwamba toka nipo Shule ya msingi Adi now
@abdullhafidh26632 жыл бұрын
Mshkaji namkubali sana huyu Daz baba ktk kigongo cha Wife akiw na mangwear
@dariuskasitu55942 жыл бұрын
Daaha daz baba jamani huyu msanii ana kipaji sana bangi sio pw
@aladinho13522 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 kuna kautetezi kidogo kwenye bangi Daz Baba bana 😅😅😅😅😅
@georgesikazwe59142 жыл бұрын
Good interview daz...elimu dunia 🙌🏻
@bolotz19432 жыл бұрын
Vp bobu
@righitkileo29 күн бұрын
Da! Jamn maisha ni kuamua au kuchaqua. Hawa walikuwa wasanii wakubwa na walikuwa na mashairi. Hatar sana yaan maskin sio Daz baba yulr
@mooh9saalim137 Жыл бұрын
Daz unajua maisha kwa kila m2 magumu ila tunatamani kazi na sauti akoo pamoja#Daz baba #pemba island
@OmariRashidi-ly3ze3 ай бұрын
Duuh namkubali sana huyo jamaa❤
@ik39342 жыл бұрын
Mondo noma, mwamba kanyauka sanaaa aisee!
@allymnali49182 жыл бұрын
Wandishi someni...Hakuna mtu mwenye Ras😇😇😇
@jumamwandai39412 жыл бұрын
Dah apo ni ana taarifa ya interview nd kapendeza full set dah namuonea hadi huruma asee 🙌😓 dunia hii jmn 😫😭😫 jamaa kachokaaa.!!!! Wasanii mastar... Msaidieni uyu jamn 😭
@user-li2kv7uy3tАй бұрын
Uwezi kumuelewa dazi mpaka huwe kwanza unajielewa kuna maswali mengine sio ya kumuongelesha mtu .... Maisha ya msanii ni sawa na Maisha ya Mtu mwengine tu
@kijakazinyalinga7003 Жыл бұрын
😭😭😭daz baba kweli wakua hiv maisha yan kwenda kasi sana
@rajabukhamis467 Жыл бұрын
Kwanza pole sana dada leo nimeamini kama waandishi wahabari mnakazi ngumu sio kwa maojiono ayo nauyo mwamba 😂😂😂
@babusadala57322 жыл бұрын
Ngada ....🌿
@nuromussa99262 жыл бұрын
Mozambique tugonge hapa!
@jumaabdala75302 жыл бұрын
Duuuuh😃😃😃Kama unapenda Bifu kangalie Urusi na Ucreni ufulahi kiswazi
@aminanamoyo832 жыл бұрын
Mwandishi: umeshawahi kutumia madawa ya kulevya? Dazbaba: Aaah no labda wewe sijawahi 🤣🤣🤣🤣🤸♀️🤸♂️🤸
@salmakhan00922 жыл бұрын
Nimecheka🤣🤣🤣
@zebidahlawrence94192 жыл бұрын
Dah 🤣🤣
@luqmanmbwambwa71272 жыл бұрын
daaah ndumuuu ety labdaa wewe
@aminmohammed42492 жыл бұрын
😂😂😂 kweli labda ndugu mtangazaji anatumia hayo mavitu
@user-yt5wl6bi4i12 күн бұрын
Daz unaniumiza sana dah😢😢😢😢
@pilatoonlinetv96602 жыл бұрын
Duh !! Kweli tabata kama huyo ndo mwalimu wenu wa mashwart na kongfuu, aloo watoto wa manzese wakija na raisi wao ney wa mitego Tabata yote itakuwa mateka kwa dk 10. 😂😂
@semenitheclassic2 жыл бұрын
🤣🤣🤣😭
@amosmark80862 жыл бұрын
🤣🤣🤣 dah
@georgematahimba52422 жыл бұрын
Huyu jamaa kapinda.
@alexkalonga53232 жыл бұрын
Ganja inazingua sana
@salamanauthar4802 жыл бұрын
Jamani alomuona Zahir hapa anipe like
@maximumtvonline2 жыл бұрын
Daah
@abasilihundu2002 жыл бұрын
Mbona anafanana na Dogo Janja 😄😄😄😄
@inocentgalinoma95442 жыл бұрын
Baba ake...🤣🤣🤣🤣
@maxjofrey702 жыл бұрын
mi nanyumba zangu lakini apa nakaa kwa baba😂😂 alafu apatusiongelee kuhusu family tuongelee music tu😄 Jamani wana simba hii kitahalam mnahii taje 🤣🤣
@safinamalero39712 жыл бұрын
Bench la ufund
@safarimallya45362 жыл бұрын
Bench la ufundi
@jesuslove22052 жыл бұрын
Kitahalam mnahiitaje
@emmanuelmbelenzi30772 жыл бұрын
Cap suluu
@dastopadady2402 Жыл бұрын
Jiamina yatakuw sawa ukiitaji kuwashinda fanya kazi waoneshe kwavitendo😊
@Michael12372 Жыл бұрын
Dah
@angelrukyaa55982 жыл бұрын
Mdada anajua sana kuhoji
@joanithamwaudama99282 жыл бұрын
Mnoooo
@hafidhali4336 Жыл бұрын
Hahahah nimecheka sana
@bernadinodnawe184 Жыл бұрын
At least, he recognizes angels guide him.
@juniornamao5272 жыл бұрын
Daaaaah😭😭
@issazalala49072 жыл бұрын
Brow hayupo Sawa
@magorimagori92642 жыл бұрын
Huyu jamaa ana shida...apewe msaada
@Atb3002 жыл бұрын
Kitasa uyu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@julianajacksoni42752 жыл бұрын
Hahahaha kuna watu ukiwaoji usipokua makini unaweza kupigwa..jamaa ayuko sawa huyu
@aminanamoyo832 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣wewe
@nigamo96452 жыл бұрын
Kwa kweli
@MrNdanguza2 жыл бұрын
😂😂😂aisee bongo kweli bahati mbaya
@omaryteddy622 жыл бұрын
Elimu dunia Ina tuludia wenyewe mungu tulinde utupe mwisho mwema
@ubuntubantu2404 Жыл бұрын
Pombe hazijawahi niathiri..ila maneno ya watu ndio huniathiri....jamani tuwe makini na maneno, ni sumu mbaya sana, maneno yanaumiza
@Football-cl2hj2 жыл бұрын
Sahir uyu dd kaolewa?
@waziriwahekima6824 Жыл бұрын
Amesha changanikiwa Uyo namtangazaji upo vzr Sana Kwa interview
@clementselestine53082 жыл бұрын
Enzi zako ni hatari,lkn makundi mabaya ...ulikuwa poa sana.
@slimbaj31482 жыл бұрын
👩🏿🦰: Umeshawai kutumia madawa ya kulevya.? 😎: Aaah labda wewe..
@kelvinmwakajumba1546 Жыл бұрын
Aaaaaaaaaah daz anaweza kukaa na kichaa akamwelekeza na kichaa akamwelewa
@loxlox1502 жыл бұрын
Lafiki yangu unalewa saana unashika ndala mkoni yani ile siku nimekuona nilishikwa nabutwaa daz unalewa saana ulikuwa segerea mitaani ulikuwa ovyo punguza pombe
@njonjolomahfudh32382 жыл бұрын
ETI ANJAMU🤣🤣🤣🤣🤣
@AllyMKUMBA-gd2ti2 ай бұрын
Haaaa ❤❤
@jumamwandai39412 жыл бұрын
G mill mill 💥
@mauwarashid48232 жыл бұрын
kazi_mnzuri_jamani maojiano_mazuri_
@dullahsimbaulanga64722 жыл бұрын
>>>>Dah Labda ww me Sijawah Kutumia 😂
@abdyleluu90512 жыл бұрын
Yah man nakuelewa daz znz
@barakastephano89962 жыл бұрын
Hahaha naona mdada tayari ushaanza kumhoji kwa uoga daz baba kutokana na ukakisi wake
@slimbaj31482 жыл бұрын
👩🏽🦰; kitu gani maishani mwako umewai kufanya na unajutia mpaka saizi. 😎; mi nawajutia wanaonisema vibaya tu 😎
@jescajohn66192 жыл бұрын
kubali tu braza umechoka, unahitaji msaada
@plusabracadabra51662 жыл бұрын
Hanjamu gani katika pombe na Sigara 😇😇😇so sad
@user-pf5gg5gk6i8 ай бұрын
Mbona kama akili haipo poa...acha drugs u're big..choose drugs or good future
@frankbuya53392 жыл бұрын
Daaaaah mwamba kachoka
@loner_wolf2 жыл бұрын
Rasta na dreadlocks ni vitu tofauti ..... Bob marley ndio rasta , hawa wengine wafuga nywele tu ..... Ifahàmike hivyo
@mahadiaomary10562 жыл бұрын
Daaaah sjapendaa
@Mpakauseme2 жыл бұрын
Vishungi au dreadlocks mtu yeyote anaweza kufuga lakini Je wewe unafahamu maana ya rastafarian ?