Allah akupe maisha marefu bro❤ haki watanzania mnabahati sana wengine tuna waza tuta anzaje😢😢😢😢
@aishajuma507922 күн бұрын
USIKATE TAMAA MUNGU TU UKOWAPI MPENZI
@hidayamanda-gk7nf2 ай бұрын
❤❤❤
@JanethMadios-oe5ue6 ай бұрын
Ila bwana mbao ni mbao tuu mimi hayo mamilango ya chuma hadi vyumbani hapana kwa kweli, ila yote kwa yote kazi ni nzuri sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉nimekupa mauwa yako
@mohamedmanzu26003 ай бұрын
Mashaallah.kazi zako nzuri sana broo ( Allah ) akulinde na kila shari na akuwezeshe katika kazi zako ziweze kuwa nzuri zaidi na zaidi.,🙏 Mimi nipo Kenya nasapoti Sana kazi
@kennethzebedayo10366 ай бұрын
Kazi nzuri sana mtaalamu.
@miraajswai7446 ай бұрын
Nipe likes zangu
@felixrobert97345 ай бұрын
We brother unajua san
@AminaKida-ik8fc6 ай бұрын
🎉 🎉🎉🎉kaka uko vizuri
@halimamohammed64106 ай бұрын
Mashaallah
@madownloadionlinetv7596 ай бұрын
huna kz mbovu
@richardrichope35286 ай бұрын
huwo mlango wa choo mbona kama utakuwa unachafuka kawaida