Diva unapenda misifa, mwanzo ulivyomganda Mganga mpaka alivyokupiga Matukio ndo umenyoosha mikono juu. Pole yako Mbibi. Kuna mali gani ulizochuma na Mganga. Umevurugwa Diva.
@fathiyahmuzney73674 ай бұрын
Et nilikua nafuta madirisha yan unavyoongea hzo mambo km mtt 😂😂😂😂
@balthazershayo82504 ай бұрын
Ww ni mkubwa sana,unaelimu na ufahamu mkubwa. Vitu vingine unatakiwa usiseme. Unajipunguzia heshima.
@zayanazayana55184 ай бұрын
Huko kujidai kujivuna, anajifanya na anajifikiria brand. Kumbe hana chochote njaa tupu
@ibraa11574 ай бұрын
Ndoa ya vipindi Twasubiria season 12...😅
@fathiyahmuzney73674 ай бұрын
Umesikia abdul ana nyumba umeanza tamaa ww si ulisema Abdul hana lolote ni muongo sasa unataka mgawane nn😂😂😂
@RoverRoom4 ай бұрын
Hongera Diva❤❤❤❤❤❤❤❤I love you Nairobi and supporting you.
@SilaNjeri4 ай бұрын
Mhuni mwenzie
@tygatest5254 ай бұрын
Hapa hakuna mwanamke -- Kuolewa na kukaaa na mume hapo ni ndoto
@LindaMbilinyi-n3n4 ай бұрын
Diva kumbe unajichubua??cheki huo mkono mwisho😂😂😂😂😂
@mankaminja6834 ай бұрын
Ana swali saana
@ruqaiamohammed3454 ай бұрын
🤔🤔kumbe ukiswali vigingi vya mikono vyagusa chini? 😂😂@@mankaminja683
@solomtz70494 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅
@catherinekanono42984 ай бұрын
Ata mikono aki na kizungu kiingi na pronunciation is wrong ghai
@shabanizena26124 ай бұрын
Kwani ye ni wa kwanza kujicubua!aca ushamba
@ngoshakulwa83484 ай бұрын
Eti niliombewa na mashekhe na.wachungaji.... Diva muogope Mungu
@lingakalibule14204 ай бұрын
Unaongea sana mpe mwandishi nafasi ya kuuliza maswali..
@asmadotto4 ай бұрын
Sasa unataka vitu vyako na jee hivo vitu vyake ulivovitoa ukawapa watu kama ulivosema na yy atavipata vipi😂😂😂😂 my dear ukiamua kuachana na mtu wee samehe kila kitu qnd start a fresh 😂😂😂😂😂
@rosenamilia41404 ай бұрын
Diva mdogo wangu ukitaka AMANI YA MOYO NA MAISHA YAKO YA BAADAE, samehe vitu vyote kaanze upya.La msingi pata talaka zako 3 zote na kwenda kuanza maisha mengine mapya. Otherwise utapoteza muda mrefu kufuatilia material things for nothing. Sahau yote mliyochuma na Abdul ,bado ww mazuri yanakusubiria mbele yako.Vyote ulivyotoa kwa familia ya Abful,ulitoa kwa UPENDO for good na sio wakurudishie tena.
@HadijaZabroni-pu1lt4 ай бұрын
Mimi sioni chaajabh dada diva wewe ni mtu mzuri sana vitu vinanunulika acha utapa vingine
@allykirunginyamka91714 ай бұрын
Mungu anisamehee, simpeeendi hata kidogo
@AmanaHussein4 ай бұрын
Nani Sasa upeeendi😜
@estherminnahboaz69564 ай бұрын
Hivi nyie huyu mwenye afya ya akili mnamuhojigi wa nn? Mganga akimpigia tu simu anapagawa kiufupi huyu nimgonjwa mpelekeni hospital
@NiceWatson-y7e4 ай бұрын
😂😂😂😂 kilichobaki ni kuingia tinda kutafuta mzungu 😂😂😂😂 maana wabongo hawakuwez
Dah nimeandika na kudelete naogopa 😂😂😂jamani diva kwahiyo kumbe jina lako la ndoa ni diva liyhana😂😂
@laylatabdallah27964 ай бұрын
Rayhana sio layhana🤪
@lingakalibule14204 ай бұрын
Brand😂😂😂
@StrongbowArrow20044 ай бұрын
Hv weusi wa viwiko hauna mkorogo🤣🤣
@gloryprotas10434 ай бұрын
Mkorogo au cram kali😅
@azizayassin36234 ай бұрын
Diva ansongea sna na wla haendi iyo holiday 😂😂😂😂 kazi kweli kweli
@jadetoto4 ай бұрын
Nyie huyu Diva akapimwee alikuwa anafua anapika na kufuta madirisha as a woman eeeeh mbona akina Esma wamemove on huyu anamtaka bwana kwa mali gn walizochuma
@salomewandya72574 ай бұрын
Diva kwa misifa jamani🤣🤣🤣🤣
@zayanazayana55184 ай бұрын
Kwani ukizungumza kiswahili na mwenzio utapungua nini Si rahisi kupata mume kwa mtu mwenye tabia hio
@jadetoto4 ай бұрын
Jamaica mwache mrembo wetu
@jacquelinejohn78214 ай бұрын
Yaan watu ambao hamjasoma mna shida sana huyu dada ana shuda lkn huwez mjudge kwa anavyoongea babake alimsomesha na ada haijaenda bure
@TichaSabah4 ай бұрын
Hapo anapunguza machungu kwani haujui😂😂😂😂😅
@theresaelizabethelijah1174 ай бұрын
Wataka kulipwa kwa kufuta madirisha lile vumbi limekupa pumu 😢🤣🤣🤣🤣😂😅
@matridamwalyoyo17354 ай бұрын
Teheee ukitaka kugawana bwana mwenyewe ana njaa huwez achana miaka mia
@hidayakhamis9364 ай бұрын
Kwenye uislam hakuna kugawana Mali
@hamisaabdalah62324 ай бұрын
Siyo kwa kiingereza hicho hatukuelewi...wenzio washwahili
@WardaSalehe4 ай бұрын
Muongo uyu dada eti 36 muongo ww 40na kwenda mbele uko
@TatoOman-s5t4 ай бұрын
Nani alokua hajaekewa kama Mimi sasa hawa wamefunga ndoa gani ya kikiristo au ya kislam sijaelew ndoa gani
@vickyitenyo.4 ай бұрын
Delulu is the solulu😂😂😂😂
@minaeli59894 ай бұрын
Si huyo Delulu atanunua vingine si anapesa
@fatmaallyfatmaally3854 ай бұрын
Ila diva kila siku niliolewa ndoa ya sheria na cheti kwani kuna ndoa isiyo na cheti?
@Brunn-mh2bq4 ай бұрын
American English with a twist. Huyu dada upuuzi utammaliza. Sijui kwa nini anajidanganya kiasi hiki. Ati brand; mara big star; mara nataka respect kama diva, kusafiri Marekani, ulaya. Hizo ndoto za kijjnga katika umri huu dada umechelewa. Ulijitosa kwa mganga kwa sababu ya kukosa walio bora zaidi sasa leo utapata wapi? Hebu shut up mara moja moja usituchefue.
@masalakulwa76014 ай бұрын
namshangaa sana sijui anaota au
@israelkisaila84014 ай бұрын
Kinachonishangaza ni waandishi WA habari wanaomfuata kumhoji
@AfricaQueen4 ай бұрын
😂🤣😂🤣😂🤸🏽♂️😂🤣😂🤣🥁🥁🥁
@AmanaHussein4 ай бұрын
🏃🏃🏃🏃🏃
@EstarMichael4 ай бұрын
Sanamu lako tunaliweka Posta mkuu umeongea vyema Mimi nilishasemaga haya mandoto yakushiba sana miksa nakaugonjwa ka afya ya Akili nitatizo kubwa❤
@zayanazayana55184 ай бұрын
Kwani Diva hajui kiswahili? Kwa nini anaulizwa kwa lugha yetu ya taifa, na analjibu kwa english Hovyoo
@AminaMwanaid3 ай бұрын
Diva nakupenda sana mdogo wangu
@azizayassin36234 ай бұрын
Mtangazi anasema 26 /diva they boss 36 jamen tusomeni sna😂😂😂😂😂
@nahyialetomia92844 ай бұрын
Brand ni nini kwenye ndoa? Beyonce mwenye brand amekuwa kwenye ndoa kutoka 2008
@umfahad26094 ай бұрын
Ukija Oman karibu kwangu Diva. Nakupenda saana. Mimi ni mama wa wtt wa5.
@AmanaHussein4 ай бұрын
Utaambiwa na diva wamuibia nyota shauriako
@FatumaAli-e9y4 ай бұрын
Jaman eti38 hahahaha.hamtak kuzeeka but anyway.is none of my business.
@azizayassin36234 ай бұрын
Hawezi kuvua miwani kwani 😂😂😂😂 adi usichu
@sheikhaabbas86804 ай бұрын
Mtangazaji mkono umechoka😂
@SUNDAYMRGAMINGTZ4 ай бұрын
Diva anasema alikuwa anafuta hadi madirisha😅😅😅😅😅
@preciouspeter61264 ай бұрын
Huyu dada ana tatizo la afya ya akili, I pray that one day atajua hilo atafute msaada kupona😅
@susans44904 ай бұрын
Alokwambia hizo unoziita ndoa za udi hazina cheti nani?
@mummy-Ak4 ай бұрын
Kwenye ndoa hakuna udiva mama
@mnllyboy_tz91074 ай бұрын
Hii ndoa Kila siku inafika tamati inafufuka
@AmanaHussein4 ай бұрын
Wagombanao ndo wapatanao🤪😜
@jadetoto4 ай бұрын
Nimexhekaaaaaa sana Diva karogwa suo bure mara simtaki mara Abdul ni cute presentable mara mhuni wa Dunia anipe talkative mara nsoa yangu ipo kihalali kihalali huku unapigwa matukio si ukimbie au karogwaa
@ruqaiamohammed3454 ай бұрын
Kwan hao wanaolewa kwa udi / uban sio ndoa? Kwa taarifa yako ndoa za udi /ubani ndio ziko na furaha kuliko ndoa yao unayojisifia misukosuko kibao mungu anakulani 😂ww una manyanyaso sana kusaidia ndg wa mume ni kiherehere chako kwan ungekataa wangekushikia panga? Tulisaidia ndg wa mume lkn hatukuwanyanyasa wala kutangaza km unavyotangaza ww mfyuuu ndo mana huzai 😂
@nadianyamuraka4 ай бұрын
Myaka 36 baado mtoto sana Diva...wazungu wana kwambia myaka ni just namba tu....
@minaeli59894 ай бұрын
Ulaya ipi ulaya where huyu kwa ulaya ni mzee huku ukifika miaka 18yr ushakuwa huyu kwa ulaya ni mtu mzima haswa yes Age is number but kisheria ni mtu mzima na angekuwa ni mtoto kamaliza O level
@AfricaQueen4 ай бұрын
🤔😂🤣😂Kwishaaa Habariii umri umekwenda shost 🫵🏾🤔hapo ulipo unaonekana kama mama na watoto watano 🤔na kumpata huyu bwana unaemuota 😂🤣😂🤣😂Umechelewa 😂🤣😂😂🤣Eti Mr Luuuuu 😂🤣😂🤣😂🤪🤪wacha ndoto za abunuasi 😏🤔Umesha dataaaa 🫵🏾🫵🏾🫵🏾🫵🏾🤪Unahitaji Maombi kanisani ✍🏽
@SaadaHassan-qw7vn4 ай бұрын
hahahah nalo neno
@masalakulwa76014 ай бұрын
hakuna mwanaume ataweza ishi na d8va..never ever
@AmanaHussein4 ай бұрын
Kuishi na diva ni kazi😢
@TumainiSawee4 ай бұрын
Na maringo Sasa looo kwisha wewe
@kampotkanangila96474 ай бұрын
Apo njo tunapo jidanganyaga sisi wanawake tunasahahu juwa mwanahume yeye azeheki sisi mapema tu kama ujapata mwenziwako kwishahabari wengi wanapata bahati wanazi chezea wana sahahu kuwa myiaka inavohenda umbri unazidi kuwa mwanahume ata humri uzeheke anawaza kumu howa yoyote
@AlaikaHassan4 ай бұрын
Weee eti Diva hapendi interview usimjaze anapenda kulko kitu chochote
Eti toka Uislam kwenda Ukristo😅 nyieeee Diva tumeshampoteza
@umfahad26094 ай бұрын
Kumbe unamdai Abul. Ndio maana hataki kutoa talaka.
@BimHamdi4 ай бұрын
Kwa hio diva nikki minaj ni dada yako sanaaa eee asante bongo
@jadetoto4 ай бұрын
Mtangazaji anachoka na huo mkono wajameni
@beauty22394 ай бұрын
Nyie diva kusema kwwli kweny swala la ndoa yako huwa sikuelew kabisa yaan we deal na maonywsho ndyo ndoa zako
@MohamediKalanje4 ай бұрын
DIVA THE BAWSE❤
@MajutoElliasi4 ай бұрын
Ujana kwaheri
@spreadlove53004 ай бұрын
Kumbe walirudiana tena jamani 😂😂😂
@AmanaHussein4 ай бұрын
Wagombanao ndo wapatanao 🤪🤪
@SimonBinde4 ай бұрын
Kuhusu kuwa na biashara mijengo siyo rahisi kama unavofikiria-hata nyie hamna siyo vzr kumsema mtu kwa kukosa maendeleo hamjui kipato chake.
@judithemanuelmnyanginila79584 ай бұрын
Jmn uyu diva mmmme mckia vzr kasema kaaanza utangazaji akiwa n miaka 21 nasahv anatimiza miaka 16 y utangazaji jumla na 21 cyo 37 mbn anasema Ana miaka 26
@munirahassan50134 ай бұрын
Hajasema 26 kasema 36 labda masikio yko Yana matege
@umfahad26094 ай бұрын
Lkn mimi nampenda saana huyu mdada jamani. Natamani nikuone dear Diva. Mimi nipo Oman. Karibu kwangu utembee. Mimi ni mama wa wtt wa5.
@fathiyahmuzney73674 ай бұрын
Mpe mumeo amuoe bas😂😂😂😂
@AmanaHussein4 ай бұрын
Karibu wapi unakurupka tu kama mkojo wa asubuh hata Kenya asije🤣🤣🤣🤣
@lilybarongo81194 ай бұрын
Sasa we utajipanga na Beyonce?😅😅
@Jassmin-media-official4 ай бұрын
Nachekaga nahiyo kitu bland kkkkkkkk lol duh waandishi kazi mnayo make kusikia ushuzi wanamna hii nikazi kubwa sana inatakiwa uwe namoyo
@DalhaAbdi-xf3gpАй бұрын
Mnaekti movie nyie
@AyishaEidi4 ай бұрын
Ivi huyu dada ht akifa atajibu malakatlimaut mm ni mrandi
@davidkisinini88554 ай бұрын
Diva sio mzima hata kidogo
@queenlinda2554 ай бұрын
Una taka mali kwa bwana mganga si ulisema mganga hana mali mnja mjanja mbona ww diva kama umechanganyikiwa
@AmanaHussein4 ай бұрын
Huyu kaka akirudi anamoyo
@alsam48814 ай бұрын
Diva ni muongo hana miaka 36, Ungemuuliza shule na chuo kamaliza mwaka gani? na pia ungemuuliza kazaliwa mwaka gani? kwasababu katika uongo ukweli utajulikana tu,ungempiga maswali huyo basi ni lazima angekosea kwenye kujibu hapo. Haswa hao watu wanaojulikana yaani ni maarufu ni waongo sana ktk kutaja umri wao wa ukweli, Yaani kila siku huwa wanajirudisha miaka nyuma tu , utawaona wanasheherekea birthday zao na kila mwaka wanasema wana miaka chini 40, Yaani Waangalie tu akina Shilole, Dida, kajala, aunty ezekiel, Jackline wolper, Wema sepetu n.k wote hao tunawajuwa zaidi ya miaka 18 iliyopita, lakini wao wanasema bado wapo chini ya miaka ya 38 yaani hawajavuka miaka 40, na wengine wana mabinti wakubwa wapo chuo kwa mfano mabinti wa shilole wapo chuo, na kajala keshapata mjukuu, lakini wao kila mwaka ni wanasheherekea miaka chini ya 40, Yaani miaka yao haisogei mbele ila inarudi nyuma. Na wengi wao wanasema tulianza kufanya kazi bado tukiwa wasichana wadogo au wanasema tulizaa tukiwa wadogo kwasababu hawataki kuonekana ni watu wazima na umri umeshaenda, Na wanataka wapate wapenzi wavulana wenye umri mdogo. Kwa kweli ni aibu sana wana-date wavulana wadogo hata haipendezi kwenye jamii.
@janethalley40464 ай бұрын
Jamani huku kwenye mitandao watu huwa hawajui kuandika kiswahili vizuri, ila nimesoma comment yako umeandika umeeleweka. Hongera sanaaa😂❤❤❤
@cocorita83674 ай бұрын
Bora hata Loveness 😂
@nathalieswedy36534 ай бұрын
Dinn mbea shoga yangu nakuona unavolishia hapo izo poz bi mzr
@angelmdee45864 ай бұрын
Grow up
@kibouttv71484 ай бұрын
Yani kwa umri wa huyu dada alitakiwa saizi kuwaza Kuwa na mjengo, kuwekeza biashara na future yake na mume ukiishi Maisha yako ukajipenda ukajijenga atakuja mwanaume wa kufanana nae tu on her way ila akikaa hivi anawaza tu kuolewa mume ndo wanakuja hao makapi mana you are desperate na mume na kuolewa ladies sijui lini mtaishi kwa kutumia akili
@DM.22004 ай бұрын
Wanasaga usipokua na mtoto mpaka age karibia na 40 akili haikui kikubwa inakua kijinga na ni kwel nishaobserve hii kitu