Kwenye dini ya kislam hakuna 50 50 mwanamme kaamrishwa ndio provider kwenye ndowa sasa yy kasoma dini ipi hataki kukubali kama kafata kitu kwa mkewe ila ukweli upo wazi
@israelnibigira4990
MTU muongo Huwa anaonekana akiwa anaongea so huyu jama ni muongo
Kwel kwenye maisha usijali hata watu wasipokuelewa 😂ukweli mimi huyu kaka simuelewiiiii😢😢
@sovajulius3870
Ukiona mwanaume anaoa oa Sana ujue ipo shida.Jirekebishe
@scollantandu2350
Mh jamani dah pole sana, mana uongo mwingiiiii 😢
@NatacollectionMushi-ux2xm
Huyu kaka nilikuwa namuheshimu sana ila saivi namuona kitu chaajabu sanaa
@lucasernest6012
mbona alikua anajiombeleza msaada hii juzi,acha fix kiongozi
@nicholauskilosa5336
Shehe wa wapi,huyo ni mganga wa kienyeji msanii wa mjini wanaitwa Diable
@wahidaabeid5712
Wasanii au watu wa mitandaoni mkitaka kuowa su kuolewa tafuteni watu walokuwa sahihi msitafute matapeli huyu jamaa anaonesha ni tapeli na ni mzuri kwa mazingumzo kuweni makini na ndoa au mahusiyano au mapenzi ya kweli halafu ni uchafu tu huyu katembea na huyu ambapo huyu mtu wake huyu naona mapenzi ya dhati hamna jirekebisheni
@sovajulius3870
Jamani Huyu jamaa ni Boss wa Matapeli ona anavyoongea .Sasa angekuwa na pesa ni wewe ulisema Analipa nyumba ya milioni 5 tana kwa kuungaunga Sana which hukupenda Yaani hapa anasema hivyo ili mahakamani Diva akose ushahidi ukweli kaoa Binti na hapo anamchezea AKILI Dada wa watu ili azidi kuwehuka
@Zaynab-ny6gr
Mie namuelewa sana pia namkubali shemela wangu 🎉🎉🎉