No video

DK. MCHUNGUZI KWA UCHUNGU: "CCM WASIMUADHIBU TENA MPINA, 4R ZA RAIS ZITAKUWA HAZINA MAANA TENA"

  Рет қаралды 6,295

MwanaHALISI TV

MwanaHALISI TV

Күн бұрын

🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Пікірлер: 52
@josephkmarwa7425
@josephkmarwa7425 2 ай бұрын
Sisi. Wananchii hana..kosa..huyo. Bwana..mwenye..haki..hakubaliki..kwa..wanyonyaji..🙏🙏🙏🙏
@gilbertmwakalebela2862
@gilbertmwakalebela2862 2 ай бұрын
Mpina akiadhibiwa na ccm itaonesha kwamba wabunge wa ccm hawana haki ya kuikosoa serikali watakua wanawaziba midomo wabunge wanaofichua makosa ya mawaziri. Mbunge ahoji chochote bila kuzibwa midomo kwasababu wao ndio wanaishauri serikali bila kujali kua ni ccm. Wabunge wakishindwa kuhoji kwakua mawaziri na serikali kwa ujumla ni ccm basi nchi imefika pabaya.
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im Ай бұрын
MUSUKUMA HANA USHAWISHI WOWOTE. ALIPOTEZA USHAWISHI WAKE KWA KUTOKUWA NA MUSIMAMO.
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu Ай бұрын
HII TAKATAKA INAYOITWA SIJIU SANGOMA MUCHUNGUZI (Maana Hakuna Phd kwa Kima Kama Hii) INA KIHERE HERE SANA!
@atupegemwakahesya
@atupegemwakahesya Ай бұрын
Jimbo la Mpina, nao waiadhibu CCM Kwa kuinyima kura. Hiyo itasaidia sana!
@TinaZimba
@TinaZimba 2 ай бұрын
Sula baya kama shetani
@rahimsadru-ct4ot
@rahimsadru-ct4ot 2 ай бұрын
Dah😂
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 Ай бұрын
😅😅
@EK-kp2np
@EK-kp2np Ай бұрын
Enh 😮, haya huyo kaumbwa na Mungu unamtia kasoro, tuonyeshe wa kwako uliyemuumba🤔
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 2 ай бұрын
Mimi nalishauri bunge lisipoondoa adhabu kwa Mpina serikali ijipange,licha ya kuongeza adhabu anayosema Dkt.Dennis ndio kabisaa wananchi watalichukia sana bunge na serikali kwa ujumla, wakisikia Bwana asifiwe,laa wakipuuza Haleluya....
@pastorypetro6861
@pastorypetro6861 Ай бұрын
Safi sana Dr
@kashiririrkaasongwisye9487
@kashiririrkaasongwisye9487 2 ай бұрын
Bunge la maigizo na huyu atasemaje?
@maggiehiza5884
@maggiehiza5884 2 ай бұрын
Hivi wewe ni nani???
@user-ii3xo5jw9y
@user-ii3xo5jw9y Ай бұрын
WEWE DR ABLAKADABLA WEWE NIMTU MBAYA SANA. WAHAYA UNATUFANYA TUJIONE KUWA NI WANAFIKI. KAMA UNATAKA UKUBWA NENDA UKAKAE NA WAUAJI WETU.
@user-lb8yy8vl7n
@user-lb8yy8vl7n Ай бұрын
Kwa nini nchi ni yetu halafu hatuna haki ya kufanya judgment? Haya mambo ya kuwa passive ni mabaya sana. We must judge for issues concerning us in our country. This Dr anatudanganya.
@fatumasaidimmependezamjeng8994
@fatumasaidimmependezamjeng8994 Ай бұрын
@henricomuhoja3368
@henricomuhoja3368 Ай бұрын
Eti Doctor,Mchunguzi,pumbavu,Unazidi uwaudhi watanzania ,Umelipwa na Mafisadi kuja kwenye Midia kusema ujinga,
@BernardMwakipesile-nq5ze
@BernardMwakipesile-nq5ze 2 ай бұрын
Mbona serikali haiadhibiwi ikikosea mf.wizi, dhuluma basi adhabu zifutwe abaki Mungu atoe adhabu
@MollelMollel-il4rg
@MollelMollel-il4rg 2 ай бұрын
Kumbe huyu jamaa hovyo sana nani mwenye imani na ccm hata wasipomrudisha mpina
@beinafuu6219
@beinafuu6219 Ай бұрын
Kumbe kada
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 2 ай бұрын
Yaani wewe mzee ni hovyo kabisa, nyie wazee ndo mlio lihalibu hili taifa. #NONSENSE.
@godfreymeagisa1871
@godfreymeagisa1871 2 ай бұрын
Sio bure wabunge wanashangilia tu hata ujinga
@RenatusMatungwa
@RenatusMatungwa Ай бұрын
Linataka sifa hili zee
@ramdanmbara8500
@ramdanmbara8500 2 ай бұрын
Nawasiwasi na digrii za huyu mzee. Uchawa wa mzee huyu umevuka mipaka...
@ndogosatv8684
@ndogosatv8684 Ай бұрын
Sijakuelewa kati ya swali ulilouzwa na maji haya be reconciled
@kukuz4588
@kukuz4588 Ай бұрын
Bivi nyinyi vyombo vya habari mnakosaga watu wa kuhoji? Asa huyu anajua nn?
@ndogosatv8684
@ndogosatv8684 Ай бұрын
Kwao sio kisesa
@HamzaHeri
@HamzaHeri Ай бұрын
HUYO MPINA HAFAI YEYE HAWEZI KUWA JUU YA CHAMA ATIMULIWE KABISA HAWEZI KUWA ANATUMIWA NA WATU WACHACHI KUIJUMU SEREKALI ALAFU TUNAIFUNGIA MACHO NIMJINGA SANA
@henricomuhoja3368
@henricomuhoja3368 Ай бұрын
Acha upumbavu wewe,unaongea ujinga tu,Kamati ya bunge haijajibu kitu,Bashe anapaswa kujihudhuru ,Wewe unadharilisha hadhi ya taaluma yako,Mpina tunamuhitaji sisi watanzania,Ni mzalendo wa kweli,Sipika huyu tumemdharau sana Watanzania si Mwana Democratic.
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 Ай бұрын
Njaa yake iko kichwani Haiko tumboni
@fadhilimoshi5754
@fadhilimoshi5754 2 ай бұрын
Wewe ni wale wale mnaolishwa keki kupotosha ukweli hovyooo tafakari chukua hatua.
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha Ай бұрын
Doktari Bweeege Zwazwa, Seee nngeee etc ad infinitum
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 2 ай бұрын
Huyu kątoka wapi? Kanunuwa wapi PHD yake? Kuna shida gani Mpina kuwaelezea watanzania ukweli? Kama Tanzania ni nchi ya haki na demokrasia? . Bunge limejitia aibu kumuadhibu Mpina. Mpina ni mbunge ana haki ya kuwaeleza watanzania kama kuna udanganyifu wa mali zawo. Musukuma ni mbunge asiyekuwa na elimu yeyote. Watu wengi walimuamini, lakini tangu alipobadili Kauai yake kuhusu Magu, wengi tulimudharau. Wabunge wengi ni opportunities. Wako Tayali kusifia na kupiga makofi kulinda nafasi zawo. Mpina ni mbunge Mwenye musimamo na elimu, huwezi kumununuwa. Musukuma kasema speaker kapigiwa kura na wazungu kwa hiyo aaminiwe. Kwani kapigiwa kura na wazungu ndiyo nini ? Hata Trump anapigiwa kura na wazungu. Tanzania inahitaji katiba mpya. Ina sheria mbovu sana za ku kandamiza watu. Anayetowa habari ya ufisadi, ndiyo anakuwa mutuhumiwa. Nchi żenie haki ya kupigana na ufisadi, Mpina angetunukiwa zawadi, sio Tanzania, tunaoigia makofi mafisadi, ndiyo maana hatuendelei. Viongozi wetu wana bahati kuongoza watu wapole na wengi hawaelewi haki zawo. Unaweza kuwa professor, na bado ukawa mjinga. Watanzania tuna ugonjwa wa woga. Viongozi wetu wanatuongoza kwa ku tuziba midomo. Viongozi wenye nia nzuri ya kutuelimisha wakijulikana wanazimwa na kuambiwa wakae kimya, ama watatupwa Cuba ambako hakuna Internet. Hii itaendelea mpaka lini? Viongozi kama Polepole, Bashir, na wengi wenye ujasiri na sauti ya kutetea watu , wote wamenyamazishwa.
@fmleli.tz2004
@fmleli.tz2004 2 ай бұрын
Hueleweki
@ezrommkambati1554
@ezrommkambati1554 2 ай бұрын
Typing and deleting.....
@mtakamatv
@mtakamatv Ай бұрын
Unaongea ujinga na kishabiki si kitaalam
@JacksonMtese-gn4so
@JacksonMtese-gn4so Ай бұрын
Ok tolerance muhimu
@hbdina
@hbdina 2 ай бұрын
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Nataka mumuhoji kwenye uwekezaji wa wakening hasa kwenye Madini, ardhi na uvuvi.Nadhani hizi sekta tuwawezeshe technologically Watanzania wazawa ili tuzishilie kwa wingi ili tusije tukageuka tabaka la chini kama wazawa wa South Africa. Tuna wawekezaji wa kigeni wengi sana kwenye madini,viwanda mandarin serikali inafanya jitihada gani ili tuibe technology/tujifunze ujuzi wao ili mbeleni tujitegemee kwenye hizo sekta.
@godfreymeagisa1871
@godfreymeagisa1871 2 ай бұрын
Mpina hana kosa lolote
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 Ай бұрын
Wewe mzee ni mpumbavu kumbe nikajua una akili kumbe wewe ni mchumia tumboni
@wilsonsikahanga1761
@wilsonsikahanga1761 2 ай бұрын
Mnafiki wewe
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 Ай бұрын
Huyu mzee vp hajasijiliza clip ya wazeshaji wa sukari na pia sheikh bunge ni la mipasho huna lolote bunge limekuwa la hovyo wananchi siyo wajinga Na tunataka KATIBA mpya
@SanziNzige
@SanziNzige 2 ай бұрын
ToA ushambA wako wewe.
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 2 ай бұрын
Uyo Samia msikivu kwa kitu kipi nenda zako
@helencyprian8745
@helencyprian8745 Ай бұрын
La hovyo hili
@FelicianSimon
@FelicianSimon Ай бұрын
Ww mzee umefeli ww
@saidiathuman-og6bc
@saidiathuman-og6bc 2 ай бұрын
Aloo ninyi hatuwapend iv mnalijua ilo
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 2 ай бұрын
Ww Yani unaongea tu utafikiri Sasa pesa zinazojenga nizako Pesa mnakopa kopa bila mipango ilikusudi mtengeneze miradi Yenu.. Halafu huku nyuma mnatuachia vumbi la shida mnatutoza makodi kulipa mamikopo yenu
@SanziNzige
@SanziNzige 2 ай бұрын
Huna akiri wewe treni busis na kote unakokutaja hakuhusiani na anguko lenu .nyie mmeshaanguka tayari.na mpina mmeshampa adhabu unajiongelesha nini?.
@barakakevela245
@barakakevela245 2 ай бұрын
TUONDOLEE MKUDA HUYO PARA KUBWA KAZI UCHAWA TUU MPINA NI MWAMBA ACHANA NA HUYO MSUKUMA NA KIBAJAJU HAWAJUI HATA KUCHAM UA MAFAILI
@jumanneselemani2172
@jumanneselemani2172 2 ай бұрын
9
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 2 ай бұрын
Ha! Huyu profesor vipi?!, anasifu watu kwa itikadi zao!, huwezi kumlinganisha Lusinde na Musukuma hata kidogo.Msomi anayewaza kwa kichwa atasema Musukuma ana kipaji karibu sawa na cha mbunge Kishimba,na wote sio mafrofesorio! Lusinde wa elimu yao hana lolote zaidi ya uchawa wa kujipendekeza tu! Kishimba na Musukuma wakizungumzia hoja wanatoka nje kabisa ya kusimamia upande ama kujipendekeza, rejeeni maneno ya Lusinde akiunga mkono adhabu na kuongeza yake ya kashfa kwa Mpina, mlinganishe na hoja zake za nyuma mtaamini lusinde tofauti kabisa na Kishimba na Musukuma. asemayo Drkt.Dennis hayana utafiti wowote ni uchawa tu...!
Kind Waiter's Gesture to Homeless Boy #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 15 МЛН
Incredible Dog Rescues Kittens from Bus - Inspiring Story #shorts
00:18
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 28 МЛН
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 56 МЛН
DR.GWAJIMA AWEKA WAZI NDOTO YA UKOMBOZI WA UCHUMI WA TANZANIA
59:18
huduma ya kristo
Рет қаралды 19 М.
Kind Waiter's Gesture to Homeless Boy #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 15 МЛН