Pole sana Dr. Nyagori. Mungu pia anahitaji vyombo vyema vikamtumikie....Mapenzi yake hayapingiki na huzifanya hekima za kibinadamu kuwa upuuzi. He just want him in Paradise to join Serafim Quire....
@nguyekorajabu15922 ай бұрын
Watanzania wengi tunashida ya afya ya akili . Daktari kaongea vizuri sana . Kasema tatizo alilokua nalo hawezi kupona bila kufanyiwa Upasuaji . HAWEZI KUPONA BILA KUFANYIWA UPASUAJI .. Media hii imeandika tittle kimchongo sana . Hizo ni Proffession za watu . Mtu ana degree tatu za Udaktari na Uzoefu wakutosha ....kutoka Hospitali kuu ya Taifa . Kaaminiwa na Taifa na ni mzoefu ....katibu watu wengi wenye tatizo hilo au linalokaribiana na hilo . Degree tatu za udaktari jumlisha uzoefu hapo si chini ya miaka 15. Mchakato wa kumpata Daktari huyo anaeongea
@estherlabanghuliku46682 ай бұрын
Mungu atabaki kuwa Mungu. Dr Nyagori Mungu azid kukupa Maisha Marefu Nakumbuka Wewe ndio uligundua tatizo langu lililonitesa Miaka kadhaa Ukanifanyia Operation kubwa na Kabla ya Operation Nakumbuka ulisema tuombe Mungu awabariki Madaktari Wote na Manurse kazi Yenu ni Ngumu sn.
@findinglela2 ай бұрын
Amina
@JamesJastin-bg1rx2 ай бұрын
Sasa kwani hata akiishi maisha marefu atakua hafi? Mpuuzi ww
@sabinajoseph67332 ай бұрын
@@JamesJastin-bg1rxHujakutwaa na ttzo wwe Mungu akusamehe
@JamesJastin-bg1rx2 ай бұрын
@@sabinajoseph6733 nawew pia mpuuzi tu
@brown468842 ай бұрын
Dunia imefika pabaya. Sasa lipi linalokufanya umtukane?@@JamesJastin-bg1rx
@MrNorthshoremc2 ай бұрын
@32 years there were options considering the time from the first symptom to the third day. More than three hospitals 😭😭😭 prof what was the diagnosis... Dont say you're a champion and you just lost a patient. AS THE ATTENDING PHYSCIAN What was the diagnosis please? . Thats more than 72 hours.. Complications MUST have set in from the heart surgery... Hypovolemic shock..
@254xlo2 ай бұрын
Pia inawezekana platelets zillisha .ingefaa wamuwekee platelets pekee ili kuzuia thrombocytopenia, coagulopathy, haemodilution .etc...Madaktari 17 na wachina Juu yake...masaa 12 hrs. Halafu inafail...😢😢that's sad. Do a death audit and report accordingly
@Mesave2342 ай бұрын
Telling a patient admitted in hospital that YOU CANT MAKE IT already kills the patient. Give hope to the Patient😢😢😢😢
@FlorenceMugusu2 ай бұрын
Tanzanians are terrible, wangempeleka hospitali za kenya
@Jostany2 ай бұрын
Sure
@jeffowinostv39812 ай бұрын
We always trained to re- assure the patient hata kama hawezi make
@mwinjemwinje10162 ай бұрын
Fact@@Jostany
@shukranbulilo81322 ай бұрын
you can't make it UNLESS YOU UNDERGO SURGERY. You guys omit the key words
@ruthmoraa66652 ай бұрын
Thank you doctor for the clear information, be blessed
@blessedggithinji61922 ай бұрын
True Daktari wa upasuaji hufanya kazi kubwa theater mimi nimeingia theater major stomach sugeries na sio mchezo chance za mtu kuiyaga dunia huwa juu mno😢
@gladysmutunga71982 ай бұрын
Mlianza kumuua marco wakati mliamua kumrudisha tz, hilali hospitali zimejaa kenya jameni.
@RosieNgina2 ай бұрын
Kenya ni mbovu kabisa kitambo ushughulikiwe wengine wanadai pesa kwanza ndio wakuhudhurie
@PendoWilliam-v6f2 ай бұрын
So vizr kumwambia mgonjwa hautapona noooo ata kama yupo hali gani mtie moyo mwambie yupo Mungu atakuponya , maaan ukimkatisha moyo hivo anaweza ata kuwaza na ikapeleka kujiona hafai kit anakuwa na msongo wa mawazo so madactar watumie busara zaid kuwatia moyo wagonjwa 😢
@ndugudaudimlelwa36482 ай бұрын
Daktari anapaswa kutoa taarifa na kuweka bayana ukomo wa uwezo KIDAKTAR, HAKIKA INAPASWA IWE KWA BUSARA, UPENDO NA KUHUSUKA. Kama hapa, Daktari hakusema HATOPONA. but alisema BILA OPERATION HATOPONA ( YEYE ANAELEZA KAMA DAKTARI). LAKINI TUNAJUA MUNGU HANA UKOMO, YEYE ANAWEZA YOTE. HUTUPONYA NA MAGONJWA YOTE. ZABURI 103:3
@MokamiPouline2 ай бұрын
Mungu awape nguvu ndie tu mfariji mkuu@@ndugudaudimlelwa3648
@christinmueni43702 ай бұрын
Mm ni doctor na kua mkweli ni vizuri haina haha kudaganya
@BazozaEphraim2 ай бұрын
Mungu awa fariji familia ya zabroni na kundi la zabroni singers ❤ basi mungu ame amuwa yawe ovyo Mc bazoza Ephraïm toka Rdc Goma
@Mokiwa2 ай бұрын
Labda sijui kiingereza, Dr anapomwambia mgonjwa you can't make it huwa ina maana gani??🤔
@michaelmshighati84322 ай бұрын
Sambili Asubuhi Hadi saa sita usiku duuu ni Upasuaji hatari huo Poleni sana.
@meryamabdullah20812 ай бұрын
Tatizo lilikua kubwa
@YunisJerald2 ай бұрын
Nimejifunza kitu hapa Doctor Jinab amekuwa anatuambia tucheki afya hata kama hatuumwi.Poleni familia watu ndio hivo sku hizi tunatembea tukiwa tumekufa hatujui ni Mungu ndio anajua.😢😢
@lesliesolomon36242 ай бұрын
Mungu ameumba na Mungu ametwaa....Buriani Marco J🙏
@Milianstore232 ай бұрын
Acheni kulaumu watu jamn,tatizo watu wabongo wengi hamjanyooka mkidanganywa ndo mnafurahi, afadhali walimwambia iliafanyiwe matibabu kwa uharaka asidelay, hayo mengine yanatokea tu na tunamshukuru Mungu kwa ajili ya maisha yake.
@lucylight93412 ай бұрын
Asanteni sana wauguzi kwa kujaribu kuokoa maisha yake Marcos, you did your part and God did his part... Mungu ndie huponya na wakati huu aliponya marcos maisha hivi hatawai umia tena . To the family nad Friends na waumini wote poleni sana . All we have to do is accept that it has happened and Marcos is fine with Christ . He's just sleeping not dead . Watanzania wote poleni sana . lala salamanMarcos tutakumis akhi .
@blessedggithinji61922 ай бұрын
Woi PR yangu hupiga 149 to 150😢 pressure huwa 96/65 mara mingi Mungu nisaidie but my Dr Cardiologist hunipa ushauri ninywe maji kwa wingi kuzuiya pressure kushuka zaidi
@verombwambo37032 ай бұрын
Ila madaktari msiwe mnamwambia mgonjwa unaweza kufa usipofanya hivi Ile lazima mgonjwa awe na mawazo mnatakiwa mumtie moyo ikiwezekana na mnatanguliza Dua kabla ya yote
@MurunguwetoshaDeheaven2 ай бұрын
Kwamba uambiwe utapona,,,madactari wazoefu wanajua hutoboi wanakuambia usali utengeneze njia yako, unaandaliwa kufa ukiwa unajua,,,,,mungu atusaidie Sana,,magonjwa mengine pia ni inheritance hayahitaji uchokozi
@husnazahorohusna39052 ай бұрын
@@MurunguwetoshaDeheavenila bora aseme mnatakiwa msali muombe op imalizike salama mungu atujaalie tumalize salama ila mgonjwa ukishamtakia kufa lazim pressure kama mimi nikisema nahisi tofauti niende hospital kupima tuu muda wakupewa majibu pressure hiyo 😅yani mpuzi napata kwa shida moyo unaenda mbio yani tafrani ila halipangalo mungu binadamu huwezi pangua
@catherinekihengu24202 ай бұрын
Rip
@homeandaway28112 ай бұрын
Nchi ya ughaibuni nilipo unaambiwa wazi kabisa hali halisi, hata kama umebakiza siku 2 unaondoka wanakwambia kwa hali hii hauwezi kufikai kesho kutwa😢 inatisha lakini ndio ilivyo
@rajabumsuya-hg8jd2 ай бұрын
Lazima mgonjwa aambiwe ukweli ili atoe ruhusa ndio taaluma inataka hivyo
@kezzybett11422 ай бұрын
How can you tel a client that he wont recover? Mshindwe sana Nyinyi ndio mlimuua
@MichaelMhagama2 ай бұрын
@AliceJepkogei2 ай бұрын
@@MichaelMhagama😅😢😢
@georginahongayo2 ай бұрын
😂😂😂waah💔
@MATIKO96402 ай бұрын
Poleni watanzania kwa msiba mkubwa,😢😢
@nyangetamusibha89912 ай бұрын
Alaafu madaktari kwann hata kama mnajua tutakufa hatuponi kwanini mnatupatia hizo taarfa jamani dah😢😢😢😢
@RosieNgina2 ай бұрын
But amesema walimwambia lazima afanyiwe operation bila hio haweziishi kwa muda
@mariamlasseko15172 ай бұрын
Poleni sana zabron tulimpend lakin Mungu kampenda zaid ❤ 3:28 3:35 3:36
@joycehaule97172 ай бұрын
Mungu HASHINDWI NA JAMBO ...MUNGU NI MKUU SANAA...ANAPONYA ANAWEZA ....
@jamesmaseno8709Ай бұрын
Ndivyo hata mimi nilisema juzi ,mambo ya moyo ni jambo la dharula halingengojewa hadi kurudi Tz ,la ! Angepelekwa eldoret kenya huo mdaa wote ulitumika kwa barabara hadi tz haukustahili pole familia inaumia hata nazi tumeumia sana.
@mercyigoki70562 ай бұрын
Naomba hata kesho madaktari msimwambie mgonjwa kuwa hataweza kupona...this word finishes someone
@ndugudaudimlelwa36482 ай бұрын
Kwamba wadanganye !!... Bila upasuaji ni 100% kifo (kidaktar) , matokeo ya operation ni 50% chanya... Inapasa mgonjwa ajue , ili achafue. HII INATHIBITISHA DAKTARI HAPONYI, ANASAIDIA TU MAUMBILE, DAKTARI SIO MUNGU BALI N MTUMISHI WA MUNGU. MWENYE KUPONYA NI MUNGU TU. DAKTARI HAWEZA KURUDISHA WALA KUONDOA UHAI, NI MUNGU MWENYE UAMUZI.
@ndugudaudimlelwa36482 ай бұрын
Nadhan Jambo la msingi , ni Jinsi taarifa inawasilishwa na Daktari. Hii hutusaidia kugeuza tumaini letu lote kwa MUUMBAJI PEKEE, na ndipo miujiza beyond science hutokea.
@mercyigoki70562 ай бұрын
@@ndugudaudimlelwa3648 I now understand
@josephineusui11142 ай бұрын
This doctor is so casual kwa kuogea
@JohnmsopoleJohnmsopole2 ай бұрын
Nyie jk hamuwez operation hzo mnaua Sana watu weng kwann msikubal tu hamuwez mungu alitaka kumuokoa mtumishi wake Kama angetibiwa Kenya tunaamin asingefarik lakn hospital za Tanzania government ni tatizo mkubal msikubal mfn Leo watu wanaogopa peleka mgonjwa mloganzira wanapaita ni machinjion serikal itafakal sna
@MrNorthshoremc2 ай бұрын
Huyu kibaraka.. Hakuna ubigwa kwa udaktari.. aache sifa nyingi.. Njoo uone vifaa na specialist Kenya wame tulia na elimu kubwa. .. Marcos agetibiwa kenya tuu... That was an emergency.. Bona alimshauri kusafiri kurudi TZ...
@MeryHumay2 ай бұрын
Polen sana familia .Nilikumpendaga sana Marco sauti yake ilikuainabarik sana
@ruthyaysha43762 ай бұрын
Very painful,rest in peace 🕊️
@NeemaMkwemba-ws9du2 ай бұрын
Binadamu c mungu,, mnawasema bure ili hali nimapenzibya mungi tu,, mbona hata operation zingine ndogo mtu anakufa??sembuse hiyo kubwa ya moyo
@VickyMasunga2 ай бұрын
Kwa kweli mm huwa siwaamini madactar ,mm nachojua siku yake ilitimia
@AjabuLiberius-o3k2 ай бұрын
Mungu ailaze mahali pema peponi Amina
@SharonRotich-ox4nu2 ай бұрын
Poleni sana mungu awafariji😭
@dominicongeri52542 ай бұрын
Kwa nini alirudishwa tanzanian na kena tunazo hospitali za hali ya juu na wataalam waliopopopea katika paswaji wa moyo jameni
@jeffowinostv39812 ай бұрын
Je Tanzania mko na utalamu wa heart surgery kweli? Or mlikua mnafanya experiment kwake? Kwani panya ziliisha za kufanyia experiment
@cipladapretty86172 ай бұрын
Nkt
@MokamiPouline2 ай бұрын
Kazi ya mungu haina makosa pumzika kwa aman ndugu marko
@reginamwendwa67092 ай бұрын
Jamani Jakaya ni hosptl i ya kiwango cha kimataifa Nchi toka kusini na west Africa wote wanatibiwa hapo hata vyombo vyao havina tofauti na vya India tusilaumu tatizo lilikuwa kubwa sana Aorta ni mshipa mkubwa sana😮
@MokamiPouline2 ай бұрын
🎉 0:22
@ednaJF10282 ай бұрын
Nchi zetu bado sana kutibu magonjwa ya mayo. Mbona mimi Kuna Doctor hapa USA hiyo ndo kazi yake na kila siku anapasua mioyo ya watu na huwa wanapona tu. Wakati mwingine hatui kitu gani kimetokea wakati wa upasuaji mana hiyo ni sehemu hatari sana
@AliceNielsen-mi1oc2 ай бұрын
Tatizo kubwa la hospitali za Afrika ni ukosefu wa vifaa vya kisasa....😢
@ednaJF10282 ай бұрын
@@AliceNielsen-mi1oc yes hiyo pia inachangia
@MrNorthshoremc2 ай бұрын
These doctors caannot escape to be blamed... ..lets not be naive... Thats manageble with proper cath labs, Standard OTs and expertise... Period.. Kenya was an easier option..
@trophywilson72112 ай бұрын
Madaktari wa Africa Bado Mbona USA watu hawafi.hapo hapo kabla ya kupona?ni nini kwetu??
@magrethmollel10782 ай бұрын
Maisha ya mtu wyako mikononi na mwa Mungu si madaktari wa Africa au USA
@Mkrist2 ай бұрын
Mimi ni daktari hapa Marekani na watu wanakufa every day. Acha uongo.
@frankgilagiza10832 ай бұрын
Operation ilianza saa mbili asubuhi, ikakamilika saa tano usiku. Itoshe kuamini madaktari walifanya yote kuokoa maisha ya Marco
@joycelinekobero77242 ай бұрын
@@frankgilagiza1083 For sure,masaa mengi mno,maana yake ilikuwa operation ngumu na kubwa
@homeandaway28112 ай бұрын
Unaishi Marekani ipi wewe? Hii hii ya Biden? Usiongee usichokijua watu wanakufa sana.
@personalitiesan98062 ай бұрын
Nlshasema tuwe makini na marafiq zetu........ friends are your enemies rip Marcus
@candiesalm89952 ай бұрын
Marafiki wamefanya nin sas😢
@roselineharrison69192 ай бұрын
Eti rafiki kafikaje sasaaa@@candiesalm8995
@GracieTyno2 ай бұрын
@@candiesalm8995😂😂😂😢
@PeterJonathan-c8k2 ай бұрын
Kabla ya kwenda hospital, niku mwomba MUNGU ukutane na madaktari wenye hofu ya MUNGU
@RashidMussajuma2 ай бұрын
Mungu alimuumba Marcos na ndie amemuhitaji
@AgnessKikaja2 ай бұрын
Mungu watie nguvu madakitari wote maana mnapambana namengi
@dorahmramba52642 ай бұрын
Sasa mliokoa maisha ama mlimaliza maisha ..rip marcos
@frayy55952 ай бұрын
Vip wewee daktar anatibu tu kuponya n ya Mungu
@MrNorthshoremc2 ай бұрын
WAlimaliza😱😱😭😭
@mwinjemwinje10162 ай бұрын
Taarifa kwamba hatopona asipofanyiwa operation mngewapa ndugu na sio mgonjwa! Huenda hiyo taarifa labda ndo ilimfanya b.pressure ikashuka.... anyways RIP 💔💔
@joycehaule97172 ай бұрын
HAWEZI KUPONA NYIE NDIO MUNGU?
@DaudLucas-qj3mp2 ай бұрын
Hakuna ubobezi viongozi wangekuwa hawaendi kufanyiwa oparesheni nnje mnafanya vitu vya kubahatisha siovya uhakika hata ndugu wa Marcos walikuwa hawawaamini .
@MrNorthshoremc2 ай бұрын
Huo ndio ukweli.. Na shangaa anajisifu na amepoteza mgonjwa... Hio ni kiburi.. Ikiwa huwezi mwenzako anaweza.. Pole kwa familia sio hawa madokta wa sifa tuu...
@MonicaErickChipungahelo-ol4ql2 ай бұрын
Poleni saaaaaaaanaaa ndugu wafiwa na wote tulioguswa na msiba huu. Ila tutambue tuu kwamba uhai wetu upo mikononi mwa Mungu na akisema ndio hakuna wa kupinga. Tuzidi tuu kumwomba Mungu na kuangalia hatima zetu. Kwani tumeona hata wapendwa wetu wengi wametutangulia na wengine hata bila kuumwa na wengine waliokuwa wakiumwa Mungu amewaponya. Jamaaaaaniiii tusilaumu madaktari kwani uhai wa mtu uko mikononi mwa Mungu. Poleni saaaaaaaanaaa wanafamilia na wote tulioguswa na msiba huu. R.I.P Marco. Mungu ametoa na Mungu ametwaa jina lake lihimidiwe. Ameeeen
@dicksonjonas17992 ай бұрын
Dah polen sana ndgu jamaa na marafiki
@salcle97022 ай бұрын
Madokta wa tz mmmmm mungu awake mkono tu.
@benjaminkundy1282 ай бұрын
Kufa kupo sasa lawama A nini? Kwani na wewe si utakufa tu hebooo
@BilioneaofsafaritvKenya2 ай бұрын
poleni sana ndugu wapendwa 😢😢😢😢
@alexabuya34882 ай бұрын
My condolences to the family and friends of Zabron singer poleni sana kwa kumpoteza mpendwa wenu Marcon Joseph mungu awarehemu😭😭😭😭😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Bekita-nz7bq2 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢Rest in peace 🕊️🕊️
@NehemiahNyagaka-jq1vg2 ай бұрын
Ogopa marafiki waongo kama madaktari
@RosieNgina2 ай бұрын
Huyu ni daktari pia ni relative wake
@MrNorthshoremc2 ай бұрын
Then hakufaa kuwa attending physcian.
@Dutwacomedytv2 ай бұрын
Huo ote ni uongo mumemuua
@AliceNielsen-mi1oc2 ай бұрын
Daktati huyu hata haonyeshi huzuni yoyote...mwe!😮
@trophywilson72112 ай бұрын
Madaktari ni Hivyo
@reginamwendwa67092 ай бұрын
Hata ulaya ukitibu mgonjwa unatakiwa uwaambie ndugu hata mgonjwa mwenyewe progress ya ugonjwa wake sidhani kama yeye magonjwa aliambiwa direct itakuwa ndugu ndio waliambiwa hio operation kupona ni asilimia 50 mlitaka awadanganye kuwa lazima atapona?
@jeremiahlotukoi69182 ай бұрын
Mbona hangetibiwa kenya surely
@AnnieProsper2 ай бұрын
Ogopa mtu anaevaa miwani💔💔
@hafsalucky10882 ай бұрын
RIP Marco😭
@DaudLucas-qj3mp2 ай бұрын
Hata yule dada mwimbaji mwenzako angekipeleka kichwa chake kufanyiwa upasuaji hapo ingekuwaga imebaki sitori lakini kwasababu alienda India mpaka Leo yupo.
@danyohanatv19262 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@maryamtan6822 ай бұрын
Unamaanisha kwamba?
@kolisonkolison36812 ай бұрын
ACHA KUJIDANGANYA KWENDA INDIA SIO KUPONA, NA KUPONA SIO KWENDA INDIA. mtafute MUNGU!
@danielngove2 ай бұрын
@@kolisonkolison3681Wale ni very special...
@JOSEPHPETERMACHOTA2 ай бұрын
Kweli kabisa Mimi wabongo siwamini
@wilsonandlea86142 ай бұрын
Hapo ndipo mnatakiwa watu kuwa naongozi wenye kujua afya yabinadam nimuhim kuliko chochote leo hii tungekua na dktr tusingekua tunaongea haya
@rwa8772 ай бұрын
Rip. Marko zabron. 😭😭
@elgaotieno72102 ай бұрын
😭😭😭😭 sad
@mamatifah15042 ай бұрын
Mngemuacha tu Kenya afanyiwe upasuaji....Tanzania hamna madaktari bado na hivyo ndio Marco ameenda tuu so sad 😭😭
@ephraimkabeya96482 ай бұрын
Ni mapenzi ya MUNGU, madaktari wa Tanzania ni wasomi zaidi na wanajua zaidi hata Kama sio wengi usipende kudharau vya kwenu hata India, Marekani, Ufaransa, Uingereza watu wanakufa tu.
@magrethmollel10782 ай бұрын
We ulishatibiwa Kenya
@lizycoltd2862 ай бұрын
Uko Kenya ndo pumba kabisa 😂😂
@ndugudaudimlelwa36482 ай бұрын
Inasikitisha Sana kuwa na mtanzania anayezungumza hivi!.. Laiti ungekuwa Daktari,....!!.. Laiti hata ungemjua huyu aliyekuwa akiongea.. ungeongea Kama mtu mwenye busara , na kupenda wa - kwake. BWANA AMETOA , BWANA AMETWAA JINA LAKE LIBARIKIWE. MUNGU AWE FARAJA KWA FAMILY, MARAFIKI , MADAKTAR, WAUGUZI NA WOTE WALIOHUSIKA. MUNGU AWABARIKI.
@Leonanda3182 ай бұрын
Kenya doc wa roho Ako wapi😅😅😅ama we ni daktari
@EvelineAnyango-nv9rw2 ай бұрын
😅polen mungu avaient nguvu
@lilianchambua58392 ай бұрын
Kazi ya Mungu Haina makosa
@MichaelChongolo2 ай бұрын
Hapo kuna mwl wetu mmoja amefia hapo mwezi nne kwa kupasuliwa sasa shida nini JKIC
@MrNorthshoremc2 ай бұрын
Vifaa na majivuno... Km huyu hapa ni professor... Bado sanaa..
@MediatrixAnyango-w7b2 ай бұрын
😢😢😢😢RIP MACRO 😢😢😢
@anithawidambe75432 ай бұрын
MWEEE MNGEMPLKA INDIA PENGINE ANGEPONA JAMANI DHAMBI
@geraldgwaje89672 ай бұрын
Dah
@AndreaMatwiga2 ай бұрын
😢😢😢😢😢
@mchmwal...z.a.ndelwa78382 ай бұрын
Kumbe ukiumwa moyo hakuna kufanyiwa upaleshi kwani kupona 50,%na kufa 50% Kwa hiyo ni heli nisifanyiws tu Pole family hii Maisha ni maisha Maisha ya maombi kwakweli Yaweza tuvusha 😢
@phoebemoraa33692 ай бұрын
Nyinyi ndo mlimua how a professional doctor unakua na energy ya kuambia the patient that you can't make it 😢😢
@mamatifah15042 ай бұрын
Sababu hawakujiamini walikua wanajaribi so sad😭
@MercelaAdoyo2 ай бұрын
Haki Marco angeachwa kenya
@lukasimbaya73422 ай бұрын
Ni bora huko angepona
@HiteshkumarDhirajlal-nh3ly2 ай бұрын
Hivi madaktari wa leo mnamwambiaje mgonjwa eti huwezi kupona badala ya kumpa hope na sio kitisho? Hao waalimu wenu wanatokea dunia gani?? Hamjui kuwa HOPE inamfanya mgonjwa sushi?badala ya kumkatisha tamaa kwa Gifu ya kufoka?? Nyakati za mwisho!!!!!
@yasintajoseph74952 ай бұрын
Huwezi kupona Bila upasuaji
@janethmalaika52412 ай бұрын
Hujamuelewa kasema usipofanyiwa hio operation utakufa.Ila si kitu cha ajabu mfano wagonjwa wa cancer wanaambiwa tu kuwa tumejitahidi na sasa hamna kilichobaki tena tutakuweka comfortable tu mpaka mda ukifika hapo wanafamilia teyari mnajua ndo imetoka hio na hata mgonjwa anapata uelewa so unadungwa dawa za kupunguza makali ya process ya kufa sababu vinavyoanza kufa ni organs moja baada ya ingine mwisho mapigo yanakata mda mwingi mtu huyo anakuwa amelala .Nimeiona kwa baba yangu
@Milianstore232 ай бұрын
Walimwambia hawezi kupona kama hatofanyiwa operation,means ilibidi wafanye maamuzi haraka isijekuwa late,lkn yote kwa yote shukran kwa kila jambo,wacheni kulaumu watu.
@MrNorthshoremc2 ай бұрын
Lawama lazima...hakuna kitu amesema huyu.. utepetevu tuu hapa... Kijana mdogo 32 yrs...dont interfere if you know you cannot manage.. Kuna mwenzako anaweza kirahisi.. Mpe hio nafasi..
@veronicangwale71592 ай бұрын
Daktar mwenyew wa mchongo huyuuuuu
@ephraimkabeya96482 ай бұрын
Acha dharau bhana, huyo ni Professor na Amesoma sawa na madaktari wote wazuri unaowajua wewe. Huyu Daktari hana mbwembwe tu
@MrNorthshoremc2 ай бұрын
😢
@MokamiPouline2 ай бұрын
Mokami
@RachelLaizer-n2p2 ай бұрын
Msilaumu madaktari kwanza ni mdogo sana kupata ugonjwa huo ni ngumu kwakweli wasukuma ni wachawi sana wamemmaliza kijana wawatu hivi hivi kanda ya ziwa ni wachawi mnoo hapana aisee
@NancyMwaibula76342 ай бұрын
Kweli kabisa hapo na mapepo yanahusika na walivyomtamkia atakufa naye akakiri ntakufa akapata hofu shetani akapata nafasi ya kumaliza kazi nyie
@julybwana28442 ай бұрын
Kazi yake mola haina makosa
@RoselyneMogeni-zg8wz2 ай бұрын
😭😭💔💔
@Waky-h8u2 ай бұрын
From saa mbili Asubuhi mpaka takribani saa Tano usiku, saa saba,alitoka. Ok. Operation ilikuwa mzuri, (those are 15hours) 3:51 OMG.
@joycehaule97172 ай бұрын
Kuna mwaka flan uliongeaga kama msemaji wa familia wakakuwakia familia ile je leo wam3kuruhusu kuongea kama familia au?