Wengi tunalalamika hatuoni thamani ya maisha bila kujua sababu ni nini! Jibu ni kwamba muda wako hauna thamani na ndio maana kuishi kwako kumepoteza thamani. Unaongezaje thamani ya muda wako? Hizi hapa kanuni nne
Пікірлер: 7
@nsajigwamwambungu8863 Жыл бұрын
Shukrani Sana mwalimu na dr.kwanza heri ya mwaka hakika Mungu ametupa Neema na kibali Tena ya kuweza kuendelea kujifunza hakika uwa napata maarifa zaidi
@mwamvitamyombo4466 Жыл бұрын
Mungu akubariki Dr.chris mauku kwa mafundisho yako yanaelimisha
@danchibomnyama5461 Жыл бұрын
Aiseeeh kaka angu Dr.chris mauki mungu akubariki sana nimejinza kitu